Kiswahili: translationNotes Print

Updated ? hours ago # views See on WACS

Numbers 1

Numbers 1:1

Siku ya kwanza ya mwezi wa pili

Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kihebrania. Siku ya kwanza iko karibu na katikati ya mwezi wa Aprili kwa kalenda ya nchi za Kimagharinbi.

Mwaka wa pili

"Mwaka wa 2"

Wahesabu kwa majina

Kuwahesabu wanaume kwa kunakiri majina yao.

Umri wa miaka ishirini

"Umri wa miaka 20"

Unakiri majina ya wanaume kwa katika makundi yao ya kijeshi

Kuwaandika wanaume kufuata vikosi vya kijeshi.

Numbers 1:4

Kichwa cha ukoo

"kiongozi wa ukoo"

Kutumika pamoja na wewe

"kukusaidia"

Elizuri ... Shedeuri ... Shelumieli ... Zurishadai

Haya ni majina ya wanaume.

Numbers 1:7

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila.

Numbers 1:10

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila.

Numbers 1:12

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila.

Numbers 1:16

Wale wanaume waliokuwa waliokuwa wameandikwa.

"Wale wanaume ambao BWANA amewchagua"

Numbers 1:17

Wakawachukua wale wanaume

"Wakawakusanya wale wanaume pamoja"

Waliokuwa wameandikwa kwa majina

"Ambao majina yao walikuwa wameyaandika"

Siku ya kwanza ya mwezi wa pili

"Siku ya 1 ya mwezi wa 2." Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kihebrania. Siku ya kwanza iko karibu na siku ya katikati ya mwezi wa Apili katika kalenda ya kimagharibi.

Kishsa kila mwanamume ... alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na familia kutoka katika ukoo

Sentensi ya pili inafanana na sentensi ya kwanza ila imetumika kuongeza ufafanuzi.

Alitakiwa kutaja

"Kutaja" inamaanisha "kusema." "Kila mwanamume alitakiwa kusema"

Numbers 1:20

Yalihesabiwa majina yote

"waliheabau majina yote"

wenye uwezo wa kwenda vitani

"waliokuwa na uwezo wa kwenda viatani"

wanaume 46,500

"wanaume elfu arobaini na sita, n a mia tano"

Numbers 1:22

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:24

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:26

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:28

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:30

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:32

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:34

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:36

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:38

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:40

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:42

yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia

Tazama 1:20

Numbers 1:44

Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli ... walihesabiwa kutoka kwenye familia zao

Tazama 1:20

Numbers 1:47

wanaume toka ukoo wa Lawi hawakuhesabiwa

"Musa na Haruni hawakuwahesabu wale wanaume waliokuwa wakitoka ukoo wa Lawi

waliokuwa wakitoka ukoo wa Lawi

"waliokuwa wakitoka kwenye kabila la Lawi

usiwahesabu wale wa kabila la Lawi

"kabila la Lawi" inamaanisha wanaume wote wa akbila la Lawi". "usiwahesabu wanaume wote wa kabila la Lawi"

Numbers 1:50

Hema la amri za agano

Lile hema pia lilitwa kwa jina hili kwa sababu lile sanduku lenye sheria liliwekwa ndani yake.

vyote vilivyomo

Neno "mo" inamaanisha masikani

Walawi watalazimika kuibeba masikani

Mtakaposafari, Walawi wataibebba masikani

Kuzitengeneza kambi zinazoizunguka

Wataweka kambi zao kuizunguka.

Numbers 1:51

Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa

"wakati wa kuisimamisha masikani utakapofika"

Na mgeni ... atauawa

"Mtamwua kila mgeni atakayeisogelea masikani"

bango

bendera kubwa

jeshi lake

"kikosi chake cha kijeshi"

Numbers 1:53

Masikani ya amriza agano

Tazama 1:50

Ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli

"ili kwamba katika hasira yangu nisije nikawaadhibu watu wa Israeli"

BWANA aliagiza kupitia Musa

BWANA alikuwa amemwagiza Musa mambo yote ambayo Waisraeli walipaswa kufanya, na ndipo Musa alipowaagiza Waisraeli.

Numbers 2

Numbers 2:1

kulingana na mahali pake

Kulikuwa na makundi makubwa manne ambayo makabila yalikuwa yamegawanyika. Kila kundi liliamuliwa kukaa mahali pamoja. Kila kundi lilitambulishwa na bango.

pamoja na mabango ya baba zao

Kila ukoo ulikuwa na bango lao hapo kambini, ambalo lilikuwa ndani ya eneo kufuata mahali pao.

mabango

bango ni bendera kubwa.

Numbers 2:3

katika kuundi lao

Tazama 2:1

Nashono mwana wa Aminadab

Tazama 1:7

74,600

"elfu sabini na nne, na mia sita.

Numbers 2:5

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Nathaniel mwana wa Zuari

Tazama 1:7

Kikosi

Hili ni neno la kijedshi lenye maana ya kundi kubwa la wanajeshi. Kila kabila lilikuwa na "kikosi chake."

Numbers 2:7

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Eliabu mwana wa Heloni

Tazama 1:7

57,400

wanaume 57,400

Numbers 2:9

Idadi yote ya kambi ya Yuda ni 186,400

Idadi hii inajumuisha wanaume wote katika makabila ambayo yalikuwa yameweka kambi kufuata mahali pa Yuda. "Idadi ya wanaume waliokuwa wameweka kambi ya Yuda ni 186,400.

Watakuwa wa kwanza kuondoka

Hii inamaanisha kuwa watakuwa wa kwanza wakati kambi za Waisraeali zitakapoondoka. "Wakati wa kusafiri watakuwa wa kwanza kuondoka.

wa kwanza

"wa 1"

Numbers 2:10

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Katika kundi lao

Tazama 2:1

Elizuri mwana wa Shedeuri

Tazama 1:4

46,500

"wanaume 46,500"

Numbers 2:12

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Shelumieli mwana wa Zurishadai

Tazama 1:4

59,300

"wanaume 59,300

Numbers 2:14

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Eliasafu mwana wa Deuli

Tazama 1:12

45,650

"wanaume 45,650"

Numbers 2:16

Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na vikosi vyao, ni 151,450

Idadi ya wanaume wote waliokuwa wameweka kambi mahali pa Reubeni kwa kufuata vikosi vyao ni 151,450"

wa pili

"wa 2"

Numbers 2:17

hema ya kukutania kuondoka kambini .. katikati ya kambi zote

Hii inamaanisha kuwa hema ya kukutania lazima libebwe na Walawi katikati ya makabila wakati wa safari.

Lazima waondoke

neno "wa" inamaanishsa makabila kumi na mbili.

kwa kufuata bango lake

"Kwa bango la kabila lake"

Numbers 2:18

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Kufuata mahali pao

Tazama 2:1

40,500

wanaume 40,500

Numbers 2:20

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Baada ya hao

Hii inamaanisha kuwa kabila na Manase ndilo litakalofuatia.

32,200

wanaume 32,000

Numbers 2:22

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Kabila litakalofuata

Hii inamaanishsakuwa kabila la Manase ndilo litakalofuata, baada ya kabila la Efraimu.

35,400

Wanaume 35,400

Numbers 2:24

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108,100

Idadi ya wanaume waliokuwa wameweka kambi mahali pa Efraimu ni 108,100.

wa tatu

"wa 3"

Numbers 2:25

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

kambi ya kikosi cha Dani

Hii inamaanisha kikosi kizima cha Dani, Asheri, na Naftali ambao wako mahali pa Dani. "Kikosi ambacho kinaweka kambi mahali pa Dani.

Ahiezeri mwana wa Amishadai

Tazama 1:12.

62,700

Wanaume 62,700

Numbers 2:27

Taarifa kwaujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

PAgieli mwana wa Okirani

Tazama 1:12

41,500

Wanaume 41,500

Numbers 2:29

Taarifa kwaujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Ahira mwana wa Enani

Tazama 1:12

53,400

Wanaume 53,400

Numbers 2:31

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.

Wote waliohesabiwa kwenye kambiya Dani walikuwa 157,600

"Idadai ya wanaume waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157.600

Numbers 2:32

wote waliohesabiwa

Musa na Haruni waliwahesabu wote

kwa kufuata vikosi vyao

Neno "vyao" inamaanisha wana wa Israeli

Numbers 2:34

Walisafiri kutoka kambini

"Waliposafiri waliondoka kambini"

Numbers 3

Numbers 3:1

Sasa

Mwandishi analitumia neno "sasa" ili kuonyesha anavyoanza kueleza habari nyingine.

Nadabu, mzaliwa wa kwanza

"Nadabu, aliyekuwa mzaliwa wa kwanza"

Nadabu ... Abihu ... Ithamari

Haya ni majina ya wanaume

Numbers 3:3

Wale makuhani waliokuwa wametiwa mafuta na kuwekwa wakfu.

"wale makuhani ambao Musa aliwatia mafuta na kuwaweka wakfu"

Nadabu ... Abihu ... Ithamari.

Tazama 3:1

walikufa mbele za BWANA

Kirai cha "walikufa" kinamaanishsa kufa ghafula. "Walikufa ghafula mbele za BWANA"

Mbele za BWANA

iNamaanisha uwepo wa BWANA, kwa maana ya kwamba BWANA aliona kila kitu kilichokuwa kikitokea. Au "Katika uwepo wa BWANA"

Walipomtolea moto usiokubalika

Neno "moto" limetumika kumaanisha "uvumba wa kufukiza." Walichoma uvumba wa kufukiza ambao BWANA hakuukubali."

Numbers 3:5

Walete kabila ya Lawi

Hapa neno "kabila" inamaanisha wanaume walio katika kabila hiyo

Numbers 3:7

badala ya

"kwa." Hii inamaanisha kufanya kazi ya mwingine kama mwakilishi wa wengine.

watayatumikia makabila ya Israeli

Hapa "makabila ya Israeli inamaanisha watu wa Israeli. "Kuwatumika watu wa Israeli"

watawatumikia makabila ya Israeli kwa huduma ya hemani

Kirai cha "kwa huduma" kinamaanisha kutumika." "Wtawasaidia Waisraeli kwa kutoa huduma ya hemani"

kwa huduma ya hemani

"kazi ya hemani."

Numbers 3:9

Uwaweke

"U" inammaanisha Musa.

Nimewatoa kikamilifu

Nimewatoa kwa vyote

mgeni yeyote atakayekaribia lazima auawe

"lazima mmuue mgeni yeyote atakayesogea karibu.

lakini mgeni yeyote atakayekaribia

"lakini mgeni yeyote atakayeikaribia masikani"

Numbers 3:11

Tazama

"Sikiliza" au "Uwe msikivu kwa kile ninachotaka kukuambia"

Nimewachukua Walawi

"Nimewachagua Walawi"

Numbers 3:14

Wahesabu uzao

"Wahesabu wazao wa kiume"

katika nyumba za koo zao

Neno "nyumba za koo zao" linamaanisha "wazao wa ukoo" nineno lingine lenye maana ya koo zao." au kwa kufuata koo zao.

Kufuata maelekezo ya BWANA, kama alivyoamriwa kufanya.

Kimsingi virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekilke na vimetumika pamoja ili kutia msisitizo kuwa alimtii BWANA.

Numbers 3:17

Taarifa kwa ujumla

Hii ni orodha ya uzao wa Lawi

Ukoo uliotokana na

Hapa mwandishi anamaanisha ukoo "unaotoka" kwa

Numbers 3:21

Zilitokana na Gerishoni

Hapa mwandishio anatumia neno "kutokana" na kuonyesha kama unaotoka kwa. "Zinatoka kwa Gerishoni"

Walibini ... Washimei ... Wagerishoni

Walibini n a Washimei ni majina ya koo waliotajwa kwa kufuata vichwa vya familia zao. Wagerishoni ni jina la watu wanaotokanana Gerishoni.

Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa

Musa aliwahesabu wanaume wote kuanzia wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi.

7,500

elfu saba na mia tano

Numbers 3:24

Elisfu ... Laeli

Haya ni majina ya wanaume

Lile pazia la lango

"pazia la kwenye ua"

ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu

"huo ni ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu"

Numbers 3:27

Taarifa kwa ujumla

Hii niorodha ya koo zilizotokana na Kohathi

Kohathi

Tazama 3:17

Wanaume 8,600 walihesabiwa

Musa aliwahesabu wanaume 8,600

wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi

"Kuanzia mwenzi mmoja na zaidi"

Numbers 3:30

Taarifa kwa ujumla

Mistari hii inatupatia taarifa zinahusiana na koo ambazo zinatokana na Kohathi.

vitu vitakatifu ambavyo hutumika katika huduma yao

"vitu vitakatifu ambavyo makuhani hutumia katika huduma"

Numbers 3:33

Taarifa kwa ujumla

Hii ni orodha ya ukoo u naotokana na Merari

Wanaume 6,200 walihesabiwa

"Musa aliwahesabu wanaume 6,200"

Numbers 3:36

Mbao za hema

Hizi ni mbao zinazotenegenezwa kwa kuunganisha vipande viwili vya mbao.

mataruma

Hii ni mihimili inayolifanya jengo kuwa na imara.

nguzo

Nguzo ni ubao imara unaosimamishwa wima ili kushikilia kitu.

makalishio

hivi ni vitu ambavyo viliwekwa mahali ambapo nguzo zilisimikwa.

vifaa vya ujenzi

Hii inamaanishsa kila kitu ambacho kilitumika kwa kuunganishia mataruma, nguzo na makalishio

pamoja na vigingi vyake

kiwakilishi "vyake" inamaanisha mihimili na nguzo.

vitundu, vigingi na kamba zake

Hivi ni vifaa ambavyo vilitumika ili kuunganisha mbao zilizolazwa kwenye nguzo.

Numbers 3:38

watoto wake

Neno "wake" inamhusu Haruni

kuelekea mawio ya jua

huu ni upande wa mashariki wa masikani. "upande ule wa mashariki kwenye mawio ya jua"

wataajibika na majukumu

neno "majukumu" ni nomino zahania inayoweza kuelezeka kama kitenzi, "kufanya majukumu"

mgeni atakayekaribia mahali patakatifu auawe"

Utamwua kila mgeni atakayekaribia mahali patakatifu

wanaume ishirini na mbili elfu

wanaume 22,000

Numbers 3:40

utwae wanyama wa Walawi

"utanitwalia wanyama wote wa Walawi.

Numbers 3:42

wazaliwa wote wa kwanza

"wana wote wa kwanza"

Numbers 3:44

BWANA

Neno "BWANA" ni jina la Mungu ambalo alilitumia wakati alipojifunua kwa Musa kwenye kile kichaka kilichowaka moto. Jina "BWANA" linatokana na neno ambalo linamaanisha, "kuwa" au "kuwepo." Linaweza kumaanisha "Yeye ndiye" au "Mimi ndiye" au "Yeye anayewezesha vitu kuwepo". Jina hili linafunua ukweli wa Mungu kuwa alikuwepo na ataendelea kuwepo daima. Jina hili linaandikwa kwa herufi kubwa kubwa ili kulitofautisha na neno Bwana ili kuonyesha heshima.

Musa

Musa alikuwa nabiina kiongozi wa Waisraeli kwa zaidi yamiaka 40. WakatiMusa alipokuwa mtoto mchanga: wazazi wake walimweka kwenye kikapu kisha kumtupa kwenye majani ya Mto Naili ili kumficha ili Farao Mmisiri asimwone. Umbu lake Miriamu alimtazama pale. Maishsa ya Musa yalisalimika pale binti wa Farao alipomwona na umchukua kisha akampeleka ikulu kulelewa. Mungu alimchagua Musa kuwaokoa wana wa Israeli kutoka utumwani na kuwapeleka kwenye nchi ya ahadi. Baada ya Waisraeli kutoka Misri; wakati wakizungukazunguka jangwani,Mungu alimpatia Musa vidonge viwili vya mawe vilivyokuwa vimeandikwa amri kumi za Mungu. Karibu na mwisho wa maisha yake, Musa aliona ile nchi ya ahadi, lakini Mungu hakumruhusu kuingia pale kwa sababu alishindwa kutii.

Mlawi, Lawi

Lawi alikuwa mmoja wa wana kumi n a mbili wa Yakobo au Israeli. Neno "Mlawi" linamaanisha mtu ambaye anatoka kwenye ukoo wa Lawi. Walawi waliajibika kulitunza hekalu na kuendesha ibaada za kidini, ambazo zilijumuisha sadaka na dhabihu na maombi. Makuhani wote wa Kiyahudi walikuwa Walawi, waliokuwa wametokana na Lawi. Lakini si Walawi wote walikuwa makuhani. Makuhani wa Kilawi walikuwa wametengwa na kuwekwa wakfu kwa ajili ya kazi maalumu ya kumtumikia Mungu hekaluni. Kuna watu wawili pia waliojulikana kwa jina la "Lawi" wanaonekana kwenye ukoo wa Yesu katika injili ya Luka. Mwanafunzi wa Yesu aitwaye Mathayo pia aliitwa Lawi.

Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli

Jina "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpatia Yakobo. Linamaanisha, "aliyemng'ang'ania Mungu. Wana wa uzao wa Yakobo walijulikna kama "Watu wa Israeli," "taifa la Israeli," au "Waisraeli"

Numbers 3:46

za wokovu kwa

Nomino ya "wokovu" lnaweza kutafsiriwa kwa tendo la "okoa." "Kuokoa"

wazaliwa wa kwanza wa Israeli

"wana wa kwanza wa Israeli"

shekeli tano

shekeli moja sawa na gramu 11. Kwa hiyoni sawa na gramu 55 za fedha

wanaozidi idadi ya Waisraeli

Hii inamaanisha kuwa kulikuwa na wazaliwa wa kwanza wa kiume zaidi ya 273 miongoni mwa makabila mengine ya Israeli zaidi ya idadi yao ya Walawi wa kiume.

Utazitumia hizo shekeli kwa kipimo cha mahali patakatifu

Hii inamaanisha kuwa shekeli itapimwa kwa kwa kipimo sawa na kile cha shekeli za mahali patakatifu. "Utatumia kipimo cha shekeli za mahali patakatifu"

gera ishirini

"gera 20."Gera ni kipimo kilicho sawa na kilogramu 0.57

kwa kipimo cha wokovu ulicholipa.

Hapa neno "bei" linamaanisha shekeli ambazo Musa alikuwa amekusanya, "zile pesa ambazo umekusanya kwa ajili ya wokovu"

Numbers 4

Numbers 4:1

Kohathi

Tazama 3:17

kati ya miaka thelathini na hamsini

"kati ya miaka 30 hadi 50"

wataungana na kundi

Neno "kundi"linamaanisha wale watu wengine wanaofanya kazi kwenye hema ya kukutania.

vilivyohifadhiwa kwa ajili yangu

"ambavyo nimevichagua kwa ajili yangu"

Numbers 4:5

Wakati kambi inajiandaa

Neno "kambi" linamaanisha watu wote waliokambini. "Wakati watu wanapojiandaa"

kusonga mbele

"kwenda kwenye eneo lingne"

kulifunika sanduku la ushuhuda kwa .. hilo

Kiwakilishi "hilo" kinamaanisha pazia ambalo lilitenganisha kati ya mahali patakatifu na patakatifu pa patakatifu.

watachomeka hiyo miti

"chomeka hiyo miti kwenye hizo peete pembeni za sanduku.

Numbers 4:7

mikate ya wonyesho

Mikate hii inawakilisha uwepo wa BWANA. "mikate ya uwepo wa BWANA"

Juu yake wataweka

Kiwakilishi cha "yake" kinamaanisha ile nguo ya rangi ya samawi.

sahani, vijiko, mabakuli ya kumiminia

"mabakuli navikombe vinavyotumka kwa kumiminia sadaka ya vinywaji"

Watavifunika

Neno "vi" inamaanisha yale masahani, vijiko, mabakuli na vikombe."

Mikate itakuwepo daima

"Lazima kuwepo na mikate daima"

kitambaa cha rangi nyekundu

"kitambaa chekundu"

kuweka miti ya kubebea

"kuweka miti kwenye pete pembezoni mwa meza"

Numbers 4:9

Wataweka ... vikiwa vimefunikwa na ngozi za pomboo"

"Lazima wavifunika ...na ngozi za pomboo"

Wataviweka kwenye miti ya kukibebea

"wataviweka vitu vyote hivi juu ya miti ya kubebea"

kuweka ile miti ya kubebea

"kuweka miti ya kubebea kwenye zile pete zilizo pembezoni mwa madhabahu"

Numbers 4:12

miti ya kubebea

Hiki ni chombo cha miti chenye umbo la mstatili kilicho na nguzo za kubebea vitu.

kwa kazi ya madhababahuni

"vinavyotumika wakati wa kutoa huduma ya BWANA mahali patakatifu"

katika kazi ya madhabahuni

"wakati wa kutoa huduma madhabahuni"

kuweka ile mitiy a kubebea

"Weka ile miti ya kubebea kwenye zile pete zilizo pembezoni mwa madhabahu"

Numbers 4:15

kubeba vitu vya mahali patakataifu

"kubeba vitu vyote vya mahali patakatifu"

kambi itakapoanza kuendelea mbele

"wakati watu watakapoende mbele"

Kohathi

TAzama 3:17

vyombo vitakatifu

"vifaa vitakatifu

mafuta ya taa

"mafuta kwa ajiliya taa"

atasimamia u,inzi

"wale wanaolinda"

Numbers 4:17

Wakohathi

Tazama 3:27

Kuondolewa kati ya Walawi

"kufanya chochote ambacho kitanifanya mimi kuwatoa kabisa miongoni mwa Walawi."

kwa kufanya hivi

Kirahi hiki kinalenga kitu ambacho BWANA atasma baadaye. Musa atawalinda Wakohathi kwa kutowaruhusukuingia ndani na kuona mahali patakatifu.

kazi maalumu ya kufanya, kila mmoja

virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile na vimeunganishwa ili kutoa msisitizo.

Numbers 4:21

kwa wana wa Gerishoni

kwa wana wa kiume wa Gerishoni

Gerishoni

Tazama 3:17

kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini

"kuanzia miaka 30 hadi miaka 50"

kuungana na wala wanaotumika katika hema ya kukutania

Tazama 4:1

Numbers 4:24

Hii ndiyo kazi ya koo za ... wanachotumikia na wanachobeba

Hi ni sentensi inayofafanua kile kinachoelezwa na mistari inayofuata.

Wagerishoni

Tazama 3:21

vifuniko vvya ngozi ya pomboo ambavyo vipo juu yake

"ni kifuniko cha nje kiinachotengenezwa kwa ngozi za pomboo"

Chochote kinachotakiwa kufanywa kutokana na vitu hivi

"kazi yeyote ambyo inahitajika kwa ajili ya kazi hii."

Numbers 4:27

watakaoongoza

"kusimamia"

Huu ndio utumishi wa Wagerishoni ... hema ya kukutania

Neno "utumishi" ni nomino zahania ambayo inaweza kuelezekakwa kutumia kitenzi. na neno hili linamaanisha kile ambacho BWANA alikuwa amesema. "Hii ndiyo namna ya utumishi wa wana wa ukoo wa kizazi cha Wagerishoni ambavyo watatumika katika hema ya kukutnia"

Ithamari

Tazama 3:1

Numbers 4:29

Uzao wa Merari

"uzao wa wana wa kiume wa Merari"

Merari

Tazama 3:17

uwapange

"uwaorodheshe"

umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini

"umri wa miaka 30 hadi umri wa miaka 50"

atakayeungana na kundi lenye utumishi katika hema ya kukutania

Tazama 4:1

Numbers 4:31

Huu ndio wajibu wao

"Huu" inamaanisha kile ambacho BWANA atasema baadaye.

mbao za masikani, mataruma, ... na vifaa vyake.

Kiwakilishi cha "zake" kinamaanisha nguzo za ua.

nguzo za ua zinazozunguka, nguzo, mbao ... na kamba zake

Tazama 4:31

Waoredhesha kwa majina na majukumu yao

"Uorodheshe kila jina la mtu na jukumu lake"

Numbers 4:33

chini ya uongozi wa Ithimari mwana wa Haruni kuhani mkuu

"Kama Ithimari nwana wa Haruni atkavyokuwa akiwaongoza"

Ithimari

Tazama 3:1

Numbers 4:34

Wana wa uzao wa Wakohathi

Hii inamaainsha wale wana wa kiume. "Wana wa wa kiume wa uzao w a Wakohathi"

Wakohathi

Tazama 3:27

Wenye umri wa miaka thelathini hadi umri wa wa miaka hamsini

"Miaka 30 umri wa miaka 50"

kila mmoja aliyepaswa kuungana na kundi

"kila mmoja aliyekuwa ameamriwa kuunagana na kundi"

kuungana na kundi linalotoa huduma y a utumishi kwenye hema ya kukutania

Tazama 4:1

2,750

"elfu mbili, mia saba na hamsini"

Numbers 4:38

Uzao wa Gerishoni

"Wana wa kiume wa uzao wa Gerishoni"

Uzao wa Gerishoni walihesabiwa

"Musa na Haruni waliwahesabi wana wa uzao wa Gerishoni

Kuanzia umri wa miaka thelathini hadi umri wa miaka hamsini

"kuanzia umri wa miaka 30 hadi umri wa miaka 50"

kwa kila mmoja anayetakiwa kuungana na kundi

Kila mmoja aliyetakiwa kuungana na kundi"

walihesabiwa kufuata koo zao

"ambao Musa na Hruni waliwahesabu kwa kufuata koo zao"

2,600

"wanaume 2600"

Numbers 4:41

walifanya hivi ili kutii

Kiwakilishi "wa" kinamwakilisha Musa na Haruni

Numbers 4:42

Uzao wa Merari walihesabiwa

"Musa na Haruni waliwahesabu uzao wa Merari"

Kuanzia umri wa miaka thelathini hadi umri wa miaka hamsini"

"kuanzia miaka 30 hadi miaka 50"

kila anayepaswa kuunga na na kundi

"kila mmoja aliyekuwa amepangiwa kuungana na kundi"

kuungana na watu wanotumika kwenye hema ya kukutania

tazama 4:1

waliohesabiwa kupitia koo zao

"ambao Musa na Haruni waliwahesabu kpitia koo zao"

Numbers 4:45

walitii

Kiwakilishi "wa" kinamwakilisha Musa na Haruni

Numbers 4:46

kuanzia thelathini hadi hamsini

Hii inamaanishsa wanaume. "wanaumekuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini"

kuanzia thelathini hadi hamsini

Hii inamaanishsa wanaume. "wanaumekuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini"

Numbers 4:49

Kwa agizo la BWANA

"Kama vile BWANA alivyoagiza"

na kutunza kumbukumbu ya kazi ambayo kila mmoja anaweza kufanya.alimwesabu kila mwanaume kwa jukumu alilofanya

Virai hivi viwili vinamaanishakitu kimoja na vimetumka pamoja ili kusisitiza jinsi Musa alivyowahesabu wanaume wote.

kile ambacho BWANA alikuwa amewaagiza kufanya

"kwa aina ya kazi ambayo alikuwa amemwagiza kila mmoja kufanya"

anaweza kufanya

"ambayo angekuwa nayo"

walitii ambacho BWANA alikuwa amewaagiza

kiwakilishi cha "wa" na "me" kinamlenga Musa na Haruni.

Numbers 5

Numbers 5:1

wenye magonjwa ya ngozi

Hii inamaanisha ukoma, huu ni ugonjwa unaoathiri ngozi na unasambaa kwa wengine kwa urahisi.

vidonda vinavyotoa harufu

Hii inamaanisha vidonda vya wazi vinavyotoa usaha.

ambaye amenajisika kwa kugusa maiti

Mtu alipogusa maiti alionekana kuwa najisi. Mtu ambaye alikuwa hakubariki kwa matumizi ya kazi ya Mungu alionekana ki mwili kuwa najisi.

umtoe kambini

kiwakilishi cha "u" ni cha wingi na kinamanisha watu wa Israeli.

Watu wa Israeli walifanya hivyo

Watu wa Israeli waliwatoa kambini watu waliokuwa najisi.

Numbers 5:5

dhambi yeyote ambayo watu hufanyiana

"dhambi yeyote ambayo watu hufanya dhidi ya mwingine"

mtu huyo atakuwa na hatia kwangu

"mtu huyo atakuwa amenikosea mimi pia"

malipo ya hatia yake

"kiwango sahihi cha fedha kwa dhambi yake"

na kuongeza kwenye malipo hayo sehemu ya tano zaidi

sehemu ya tano zaidi. Hii inamaanisha kuwa mtu atalipa sehemu ya tano zaidi ya malipo anayotakiwa kulipa.

sehemu ya tano

Sehemu ya tano ni sehemu moja kati ya vitu vitano.

Numbers 5:8

Lakini k ama mtu huyu aliyetendewa kosa hana ndugu wa kupokea hayo malipo

Lakini kama mtu aliyetendewa kosa amekufa na hana ndugu wa karibu wa kupokea malipo hayo"

kama mtu aliyetendewa kosa

"kama mtu ambaye mtu mwenye hatia amemtendea kosa"

basi atalipa hayo malipo ya hatia kwangu kupitia kwa kuhani.

kama mtu atalipa malipo hayo kwa kuhani kulipia hatia yake ni sawa na kulipa malipo hayo kwa BWANA.

kutoa fidia kwa ajili yake

"kutoa fidia kwa ajili ya dhambi yake"

vitu ambavyo vimetengwa na vikaletwa kwa kuhani na watu wa Israeli

"vitu ambavyo watu wa Israeli wamevitenga na kuvileta kwa kuhani"

sadaka ya kila mtu itakuwa ya kuhani; kama mtu yeyote atatoa kitu chochote kwa kuhani, kitakuwa chake

Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile na vinaweza kuunganishwa ili visomeke kuwa, 'sadaka ambayo mtu hutoa huwa mali ya kuhani ambaye wamepewa.

Numbers 5:11

kama mke wa mtu ataasi na kuafanya dhambi dhidi ya mume wake

Hiki ni kituambacho kinaweza kutokea, BWANA anamwambia Musa jinsi ya kufanya iwapo kama kitu hiki kitatokea.

Mke wa mtu ataasi

kama mke wa mtu si mwamiinifu

na kufanya dhdambi dhidi ya mume wake

"akafanya dhambi dhidi ya mume wake kwa kulala na mwanamume mwingine"

Numbers 5:13

Halafu mtu mwingine akalala naye

na mtu mwingine akalala naye

atakuwa amenajisika ... mke wake amenajisika ... mke wake hajanajisika

"amejinajisi mwenyewe ... mke wake amejinajisi mwenyewe ... mke wake hajajinajisi mwenyewe"

katika tendo

"katika tendo la uzinzi" au "kulala naye"

ile roho ya wifu itaendelea kumjulisha yule mume.

Hapa neno "roho" linamaanisha mtazamo na hisia za mtu. Wivu wake umeongolewa kama kuna mtu ambaye anamwambia, "Yule mtu anaweza kujihisi wivu na kuanza kumhofia"

roho ya wivu inaweza kumdanganya yule mwanamume

mwanamume anaweza kuwa na wivu bila sababu.

Numbers 5:15

sehemu ya kumi

hii ni sehemu moja kati ya kumi

sehemu ya kumi ya efa

sehemu ya kumi ya efa ni karibu sawa na lita 2.

ni sadaka ya unga ya wivu

"ni sadaka ya unga inayotolewa kwa ajili ya wivu"

dalili ya dhambi

"Dalili" ni kitu kinachoonyesha uhakika wa jambo fulani. kwa ahali hiyo alitoa sadaka inayoonyesha kama mke wake kweli alifanya uzinzi au la.

Numbers 5:16

karibu na kumweka mbele ya BWANA

"Katika uwepo wa BWANA." Kuhani atamleta karibu na madhabahu. "Karibu na madhabahu na kumweka karibu mbele za uwepo wa BWANA."

Numbers 5:18

mbeleza BWANA

"katika uwepo wa BWANA"

sadaka ya unga kwa ajili ya wivu

Tazama 5:15

kama hujafanya uzinzi

"kama haujaonyesha kutokuwa mwaminifu kwa mme wako"

na kufanya uovu

"kwa kufanya uovu maana yake ni kufanya uzinzi."

utakuwa huru na maji haya machungu

"haya maji machungu hayakuletea madhara"

haya maji machungu yanaweza kuleta laana

maji machungu yanaelezwa kama maji yanayoweza kuleta laana. Maana yake ni kwamba yule mwanamke atakapoyanywa maji haya yanaweza kumfanya asizae watoto,, hasa kama ana hatia.

Numbers 5:20

chini ya mume wako

"chini ya mamlaka ya mume wake"

umekengeuka

"hakuwa mwaminifu kwa mume wake"

umenajisika

"umejinajisi mwenyewe"

kinachoweza kuleta laana kwake

"ambacho kinaweza kusababisha laana kuja"

BWANA atakufanya wewe kuwa laana ... kuwa hivyo kwa watu wako

Kwa sababu BWANA anakulaani, watu wengine watakulaani pia, na BWANA atawaonyesha watu kuwa umelaaniwa kabisa"

itakayooneshwa kuwa hivyo kwa watu wako

"atakayoionesha kwa watu wako kuwa laana"

na kulifanya tumbo lako kuvimba na mapaja yako kuoza

Maana ya sentensi hii yaweza kuwa: 1) mwanamke hataweza kuzaa watoto. 2) mimba ya mwanamke itakooma mapema na yule mtoto atakufa.

mapaja yako kuoza

Neno mapaja, ni tafsida inayoonesha tumbo la mwanamke au sehemu zake za siri. "tumbo lako kuwa si kitu"

Numbers 5:23

na kisha kuzifuata laana zilizoandikwa

Hii inamaanisha kufuta wino ulio kwenye gombo

laana zilizoanadikwa

laana alizoziandika

Numbers 5:24

Taarifa kwa ujumla

Mpangilio wa matukio ulio kwenye hii mistari unachangaya sana, umeandikwa kwa mfumo huu ili kuonesha jinsi yale maji yawezavyo kuleta laana. Inaonekana kuwa mwanamke anapoyanywa yale maji; kuhani naye anateketeza ile sadaka, kisha yule mwanamke anayanywa yale maji tena. Anayanywa yale mara moja.

Naye kuhani atamwelekeza yule mwanamke kunywa yale maji ... yale maji yaletayo laana yataingia na kuwa machungu

Inaweza kusaidia kama mpangilio utatengenezwa upya kwa kuuweka mstari wa 24 unaoelezea habari ya mwanamke kunywa yale maji, baada ya mstari wa 26.

sadaka ya kuwakilisha

kiasi cha konzi ya unga kinawakilisha sadaka yote ya unga. Na maana yake halisi ni kwamba sadaka yote ni ya BWANA.

sadaka ya unga ya wivu

Tazama 5:15

Numbers 5:27

kama alinajisika kwa sababu alifanya uovu

"kama alikwa amejinajisi mwenyewe kwa sababu ya kufanya uovu"

alifanya uovu

"alifanya uzinzi"

Tumbo lake litavimba na paja lake litavimba

Tazama 5:20

Yule mwanamke atalaaniwa kati ya watu wake

"Watu wake watamlaani"

hajanajisika

"hajajinajisi mwenyewe"

na kama ni msafi

"hana hatia"

basi atakuwa huru

yaweza kumaanisha 1)"basi hatalaaniwa 2) "basi yuko huru katika hatia"

atabeba ujauzito

"atakuwa mjamzito"

Numbers 5:29

sheria ya wivu

"sheria inayoshughulikia maswala ya wivu"

anayekengeuka kwa mume wake

"ambaye si mwaminifu kwa mumewe"

na kunajisika

"na kujinajisi mwenyewe"

ile roho ya wivu

tazama 5:13

mwenye roho ya wivu kwa mkewe

"kumwonea wivu mke wake kuwa si mwaminifu kwake"

mbele ya BWANA

"katika uwepo wa BWANA"

Numbers 5:31

Atakuwa hana hatia ya kumleta mke wake kwa kuhani

"atakuwa hana hatia ya kufanya jambo lenye makosa kwa kumleta mke wake kwa kuhani"

atauchukua"

"atavumilia"

Numbers 6

Numbers 6:1

ataweka nadhiri ... kwa kuwa ni mnadhiri

"kuwa mnadhiri" maana yake ni kujiweka wakfu"

atajiepusha

Hii nahau inamaanisha kuwa mtu huyo lazima asinywe hivyo vinywaji wala chakula kilichokatazwa.

kilio kiinachotengenezwa na siki

"kileo ambacho watu hutengeneza kutokana na siki"

siki

ni kinywaji kinachotokana na divai ilichachushwa kwa muda mrefu na kuwa kinywaji kikali na kichungu

kilevi

"au siki iliyotengenezwa kutokana na divai kali"

zabibu zilizokauka

"zabibu zilizokaushwa"

ambazo amejitenga

"amejitenga kwa ajili yangu"

asile chochote kinachotokana na zabibu

"asile chochote ambacho watu huetengeneza kutokana na zabibu"

wala kitu chochote kitokanacho na makokwa hadi maganda

"kutokana na kitu chochote cha mizabibu"

Numbers 6:5

Nadhiri yake

Neno nadhiri humaanisha "kuwekwa wakfu"

wembe usipite kichwani mwake

"asipatikane mtu wa kutumia wembe juu ya kichwa chake"

siku za nadhiri yake kwa BWANA

Neno "nadhiri" ni "nomino zahania ambalo linweza kutumika kama kitenzi. Neno "nadhiri" hapa hapa linamaanisha kuwekwa wakfu. "siku ambazoamejiweka wakfu kwa BWANA"

kwa BWANA zitimilike

kwa BWANA zitimilike

Lazima ajitenge kwa BWANA

Lazima ajitenge mwenyewe kwa BWANA

Numbers 6:6

Kujidhiri ... amejitenga ...kujidhiri

Kujidhiri ni kujiweka wakfu.

Asijinajisi

Unajisi ni hali ya kutokukubalika kwa ajili ya matumizi ya BWANA.

ametengwa

amejitenga mwenyewe

wakati wa kujidhiri kwake

kwamba amejitenga mwenyewe

alijitunza kwa ajili ya BWANA

amejitunza kwa ajili ya BWANA.

Numbers 6:9

kukitia unajisi kichwa chake

Neno "kichwa"linamaanisha nywele za mnadhiri ambazo ni ishara ya kiapo chake. "amezinajisi nywele zake ambazo zinamwosha kila mtu kuwa kuwa amejitenga kwa ajili ya Mungu"

katika siku ya kujitakasa

"katika siku ambayo mwenyewe anajiweka kukubalika kwa Mungu"

siku ya saba

"siku YA 7"

Numbers 6:10

Siku ya nane

"Siku ya 8"

Numbers 6:12

katika siku hizo za utakaso

"katika siku hizo ambazo atawekwa wakfu"

Atalaetea kondoo mume kama ... sadaka ya hatia

"Ataleta kondoo mume wa mwaka mmoja kwa kuhani kuwa sadaka ya hatia"

Zile siku za kabla ya kunajisika hazitahesabiwa

"Hatazihesabu zile siku za kabla ya kunajisika"

kujiweka wakfu kwake kulinajisika

"alijifanya mwenyewe kutokukubalika kwa BWANA"

Numbers 6:13

muda wa kujidhiri kwake

"kujidhiri" kunamaanisha "kuwa wakfu". "kuwekwa kwake wakfu"

Ataletwa

"ataletwa na mtu"

Ataleta sadaka yake kwa BWANA

"ataleta sadaka yake kwa BWANA kupitia kwa kuhani ambaye ndiye ataitoa hiyo sadaka"

mikate iliyotengenezwa bila amira

"mikate iliyotengenezwa bila chachu"

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

"unga mwembamba aliouchanganya na mafuta"

mikate ya kaki isiyo na amira iliyopakwa mafuta,

mikate ya kaki isiyo na chachu ambayo aliipaka mafuta

mikate ya kai isiyo na amira

"vipande vidogovidogo vya mikate"

pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji

"pamoja na na sadaka za unga ambazo BWANA alitaka ziambatane na sadaka zingine.

Numbers 6:16

Atazitoa sadaka zake za dhambi

kiwakilishi "a" kinamaanisha kuhani. Na kiwakilishizake "zake" kinamlenga yule mtu anayetoa kiapo.

sadaka ya amani

"kuwa sadaka ya amani"

Pia kuhani atatoa ... sadaka ya vinywaji

"Pia kuhani atazitoa ... sadaka za vinywaji kwa BWANA"

Numbers 6:18

kama ishara ya kujitenga

"Ishara ya kuwa wakfu"

Numbers 6:19

bega la kondoo mume lililotokoswa

"lile bega la kondoo ambalo amelitakasa"

ishara ya kijidhiri

ishara ya kuwa wakfu" au "ishara inayoonyesha kuwa amaejiweka wakfu kwa BWANA"

Kisha kuhani atavitikisa

"kisha kuhani atavirudisha nyuma na kuvititsa"

pamoja na

"pia akiwa na"

cha kutikiswa

"ambacho kuhani alikitikisa"

lilitolewa

"ambalo alilitoa"

Numbers 6:21

kujidhiri kwake

"kujiweka kwake wakfu"

chochote atakachotoa

"kama ataamua kutoa sadaka yeyote ya nyongeza"

lazima atafanya kama alivyoapa

"Lazima aendelee kutii matakwa ya kiapo alichoaapa"

lazima atafanya kama alivyoapa ... kulinda ahadi yake kama ilivyoaanishwa katika sheria ya mnadhiri.

Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja. Vimetumika kuonyesha msisitizo kuwa lazima atii sheria za kiapo.

kama ilivyoaanishwa katika sheria ya mnadhiri

"kama ahadi ya sheria ya mnadhiri inavyoainisha"

Numbers 6:22

Mtawabariki wana wa Israeli

kiwakilishi "m" ni cha wingi

BWANA na awabariki na kuwatunza

Kiwakilshi cha "wa" ni cha umoja

na kuwatunza

neno "kuwatunza" linamaanisha "kuwalinda"

Numbers 6:25

awaangazie nuru ya uso wake

Hii ninahau inayomanisha "BWANA atoe tabasamu lake"

awatazame kwa neema

"akuonyeshe neema"

BWANA awaangazie nuru ya uso wake ...na awape amani

Kiwakilishi cha "a" ni cha umoja

wanaweza kuwapa jina langu

"watawafanya watu wa Israeli wajue kuwa wao ni wangu"

Numbers 7

Numbers 7:1

Musa alikamilisha masikini

"Musa alikamilisha ujenzi wa masikani"

viongozi wa israeli na wale vichwa vya familia

"viongozi wa Israeli ambao pia ni vichwa vya familia za mababu zao"

vichwa vya familia za mababu zao

"viongozi wa familia za mababu zao"

WAlisaidia kuwahesabu watu kwenye ile sensa

"walimsaidia Haruni na Musa kuwahesabu wale wanaume"

Walileta sadaka zao kwa BWANA ... Walileta vitu hivi mbele za masikani.

"Walileta sadaka zao kwa BWANA wkazikabidhi kwake mbele ya masikani"

Wlileta magari sita yaliyofunikwa na mafahri kumi na sita

"magari sita na mafahari 12"

Numbers 7:4

kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake

"kwa kila mwanamume kama alivyowahitaji kwa kazi yake"

Numbers 7:6

Gerishono ... Merari

Tazama 3:17

kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji

"kwa sababu hivyo ndivyo walivyowataka wafanye kazi yao"

chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani

"chini ya usimamizi wa Kuhani Ithamari mwana Haruni" au "Ithamri mwana wa Haruni kuhani alisimamia kazi yao"

Ithamri

Tazama 3:1

Alifanya hivi kwa sababu

Kiwakilishi "a" kinamwakilishsa Musa

kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao

"kwa sababu hivyo ndivyo walivyowataka wafanye kazi zao"

Numbers 7:9

hakuwapa chochote

Inamaanisha yale magari na wale mafahari

Kohathi

Tazama 3:17

wao waliangalia

"kazi yao ilikuwa"

vitu vitakatifu

"vitu ambavyo BWANA aliviweka kwa ajili ya masikani"

Numbers 7:10

walitoa bidhaa zao

"walitoa sadaka"

kila kiongozi alitoa sadaka kwa siku yake

"Kila siku, kiongozi mmoja alitoa sadaka yake"

Numbers 7:12

Siku ya kwanza

"siku ya 1"

Nashoni mwana wa Amiinadabu

Tazama 1:7

sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130

sahani moja ya fedha inayokaribiauzito wa kiligramu moa na nusu" au sahani moa ya fedha yenye uzani wa kiligramu moja na gramu 430"

bakuli moa yafedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini

"bakuli moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 70" au "bakuli moja ya fedha yenye uzito wa garamu 770"

kwa kipimo cha mahali patakatifu

"iliyopimwa kwa kipimo kinachotumika mahali patakatifu"

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

"unga mwembamba ambao umechanganywa na mafuta"

bakuli moja la dhahbu lenye uzani wa shekeli kumi

"bakuli moja la dhahabu ambalo uzani wake ni gramu 110"

Numbers 7:15

wa mwaka mmoja

"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"

"Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana Aminadabu"

"Hii ndiyo Nashoni mwana wa Aminadabu aliyotoa"

Nashoni mwana wa Aminadabu

Tazama 1:7

Numbers 7:18

siku ya pili

"siku ya 2"

Nathanieli mwana wa Zuari

Tazzama 1:7

sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

bakuli moja ya fedha yenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

"unga mwemba ambao aliuchanganya na mafuta"

Numbers 7:20

Bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi.

Tazama 7:12

wa umri wa mwaka mmoja

"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja'

Hii ilikuwa sadaka y Nathanieli mwana wa Zuari

"Hii ndiyo Nathanieli mwana wa Zuari alichotoa"

Nathaniel mwana wa Zuari

Tazama 1:7

Numbers 7:24

sikuta tatu

"siku ya 3"

Eliabu mwana wa Heloni

Tazama 1:7

sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

bakuli moja la fedha lenye uza ni wa sheli sabini

Taza 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamaba uliochanganywa na mafuta

Tazama 7:19

Numbers 7:27

wa mwaka mmoja

"ambao kila mmoja walikuwa na umri wa mwaka mmoja.

Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana wa Heloni

"Hii ndiyo sadaka ambayo Eliabu mwana wa Heloni alitoa"

Eliabu mwana wa Heloni

Tazama 1:7

Numbers 7:30

Siku ya nne

"siku ya 4"

Elizuri mwana wa Shedeuri

Tazama 1:4

Sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

Bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

Kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

Tazama 7:19

bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:33

wa mwaka mmoja

"ambao kila mmoja walikuwa na umri wa mwaka mmoja.

Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri

"Hii ndiyo Elizuri mwana wa Shedeuri alichotoa kama sdaka"

Elizuri mwana wa Shedeuri

Tazama 1:4

Numbers 7:36

Siku ya tano

"Sikuy a 5"

Shelumieli mwana wa Zurishadai

Tazama 1:4

Sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

Bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

Kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

Tazama 7:19

Bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:39

wa mwaka mmoja

"ambao kila mmoja alikuwa naumri wa mwaka mmoja"

Hii ndiyo sadaka ya Shelumieli mwana wa Zurishadai

"Hii ndiyo Shelumieli mwana wa Zurishadai alitoa kuwa sadaka"

Shelumieli mwana wa Zurishadai

Tazama 1:4

Numbers 7:42

siku ya sita

"siku ya 6"

Elisafu mwana wa Deuli

Tazama 1:12

sahani moja ya fedha yenye uzani shekeli 130

Tazama 7:12

bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

Tazama 7:19

bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:45

wa mwaka mmoja

"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"

Hii ndiyo Elisafu mwana wa Deuli alichotoa kuwa sadaka

"Hii ndiyo ambayo Elisafu mwana wa Deuli alitoa kuwa sadaka"

Elisafu mwana wa Deuli

Tazama 1:12

Numbers 7:48

siku ya saba

"siku ya 7"

Elishama mwana wa Amihudi

Tazama 1:10

Sahani moja ya edha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba

Tazama 7:19

bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:51

wa mwaka mmoja

"ambao walikuwa na umri wa mwaka wa mmoja kila mmoja"

Hii ndiyo iliopkuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi

"Hii ndiyo Elishama mwana wa Amihudi alichotoa"

Elishama mwana wa Amihudi

Tazama 1:10

Numbers 7:54

Siku ya nane

"siku ya 8"

Gamalieli mwana wa Pedazuri

Tazama 1:10

sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:130

bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

Tazama 7:19

bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:57

wa mwaka mmoja

"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"

Hiki ndicho Gamlieli mwana wa Pedazuri alitoa kuwa sadaka

"hiki ndicho Gamalieli mwana wa Pedazuri alitoa kuwa sadaka"

Gamalieli mwana wa Pedazuri

Tazama 1:10

Numbers 7:60

siku ya tisa

"siku ya 9"

Abidani mwana wa Gidioni

Tazama 1:10

sahani moja ya fdha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

Tazama 7:12

bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:63

wa mwaka mmoja

"ambao kla mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"

"Hiki ndicho Abidani mwana wa Gidioini alitoa kuwa sadaka"

Hiki ndicho Aabidani mwana wa Gidioni alitoa kuwa sadaka"

Abidani mwana wa Gidioni

Tazama 1:10

Numbers 7:66

siku ya kumi

"siku ya 10"

Ahiezeri mwana wa Amishadai

Tazama 1:12

sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

Tazama 7:19

bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:69

wa mwaka mmoja

"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"

Hii ndio ilikuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai

"Hiki ndicho Ahizeri mwana wa Amishadai alitoa kuwa sadaka"

Ahizeri mwana wa Amishadai

Tazama 1:12

Numbers 7:72

siku ya kumi na moja

"siku ya 11"

Pagieli mwana wa Okrani

Tazama 1:12

sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuata

Tazama 7:19

bakuli mojala dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:75

wa mwaka mmoja

wenye umri wa mwaka mmoja

Hii ndio sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani

Hii ndiyo sadaka ambayo Pagieli mwana wa Okrani alitoa

Pagieli mwana wa Okrani

Tzama 1:12

Numbers 7:78

siku ya kumi na mbili

"siku ya 12"

Ahira mwana wa Enani

Tazama 1:12

sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130

Tazama 7:12

bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini

Tazama 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazma 7:12

unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

Tazama 7:19

Bakuli moja la dhahabu lenye uzaniwa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:81

wa mwaka mmoja

Ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja

Hii ndio ilikuwa sadaka ya Ahira mwana wa Enani

"Hiki ndicho Ahira mwana wa Enani alitoa kuwa sadaka"

Ahira mwana Enani

Tazama 1:12

Numbers 7:84

walivitenga hivi vitu

kutenga ni kuweka wakfu. Maana yake ni kwamba sadaka hizi waliziweka wakfu kwa ajili ya BWANA

siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu

neno "siku" linamaanishsa kipindi chote cha wakati huo. Viongoziwa Israeli waliviweka wakfu vitu hivi kwa muda wa siku 12. "Musa alipomimiina mafuta kwenye madhabahu"

kila sahani ya fedha ailikuwa na uzani wa shekeli 130.

Tazama 7:12

kila bakuli lilikuwa nanuzani wa shekeli 70

Tazama 7:12

kwa kipimo cha mahali patakatifu

Tazama 7:12

vyombo vyote vya fedha vilikuwa na uzani wa ... vyombo vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa

"vyombo vyote vya fedha kwa pamoja... vyombo vyote vya dhahabu kwa pamoja vilikuwa na uzani wa"

vyombo vya fedha

Hii inamaanisha sadaka zote zile zilizokuwa zimetengenezwa kwa fedha, sahanizote na mabakuli.

Kila yale mabakuli kumi na mbili vya dhahabu... yalikuwa na uzani wa shekeli kumi

Tazama 7:12

Numbers 7:87

kumi na mbili ... ishirini na nne ... sitini

"12 ... 24 ... 60"

wa mwaka mmoja

"walikuwa na umri wa mwaka mmoja"

baada ya kumiminiwa mafuta

"Baada ya Musa kuimiminia mafuta"

Numbers 7:89

aliisikia sauti yake ikimwambia

"sauti yake" inamaanisha sauati ya BWANA. "alimsikia BWANA akimwambia"

kutoka juu ya kiti cha rehema ... kutoka kati kati ya makerubi.

Virai hivi viwili vinafafanua eneo moja

sanduku la ushahidi

Tazama 4:5

Alinena naye

"BWANA alinena na Musa"

Numbers 8

Numbers 8:1

lazima zimulike mbele

"lazima ziing'ae kuelekea mbele"

Numbers 8:3

ili ziangaze

"kuangaza"

kinara kilitengenezwa

"walikuwa wametengeneza kinara"

kutengenezwa kwa vikombe na kwa maua hadi juu

"kwa vikombe vilivyofuliwa vinavyofanana na maua"

Numbers 8:7

ili kuwatakasa

kiwakilishi "wa" kinawawakilisha Walawi.

uwanyunyizie maji ya takaso juu yao

"uwanyunyizie maji yanayoashiria utakaso"

wafue nguo zao

"waambie wafue nguo zao"

fahari mchanga na sadaka ya unga

Wakati wa kutoa sadaka ya fahari mchanga, sadaka ya unga ilitakiwa kuambatana nayo.

ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta

"ya unga mwembamba ambao wameuchanganya na mafuta"

Numbers 8:9

uwakusanye jamii yote

"wakusanye jamii yote"

mbele yangu, BWANA

BWANA imetumika kwa jina lake Mungu

Wana wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi

"Watu wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi, wakiwaweka wakfu kwangu"

kuwa sadaka ya kutikiswa

Haruni alitakiwa kuwatoa Walawi kwa BWANA kwa kiwango sawa cha kuwaweka wakfu kama ilivyo sadaka inayotolewa kwa BWANA. "kama ilivyo sadaka ya kutikiswa"

Numbers 8:12

Walawi wataweka mikono yao juu ya hao fahari

Hiki ni kitendo cha ishara kiniachowatambulisha Walawi kuwa sawa na wanyama wanaotolewa sadaka. Kwa namna hii mtu anajitoa mwenyewe kwa BWANA kupitia wanyama.

uwainue kuwa sadaka ya kutikiswa kwa ajili yangu

"uwaweke wakfu kwangu, kama vile unavyoinua sadaka ya kutikiswa"

Numbers 8:14

Uwatakase. Uwatoe kuwasadaka ya kutikiswa

"Lakini uwatakase kwanza, utawatakasa. utawatoa kama sadaka ya kutikiswa"

Utawatoa kuwa sadaka ya kutikiswa

"Utawaweka wakfu kwangu kuwa sadaka ya kutikiswa,kama vile unavyofanya wakati wa kutoa sadaka ya kutikiswa"

Numbers 8:16

kila mzaliwa wa kwanza afunguaye tumbo, mzaliwa wa kwanza.

Virai hivi viwili vinamaanisha jamabo lilelile ili kutoa msisitizo wa mzaliwa wa kwanza.

mtoto wa kiume afunguaye tumbo

"mtoto wa kiume ambaye ni mzaliwa wa kwanza kwa mama"

nilipowachukua

Hii ni tafsida inayotumika kuonyesha kitendo cha mtu anapomwua mtu. "Nilipomwua"

Niliwatenga

Kiwakilishi "wa" kinawawakilisha wazaliwa wa kwanza wa Israeli."

Numbers 8:18

Nimewatoa Walawi kuwa zawadi kwa Haruni na wanawe

Kitendo cha BWANA chca kuwatoa Walawi ili kumsaidia Haruni kinachukuliwa kuwa sawa na kuwa zawadi kwake ambayo BWANA aliitoa kwa Haruni na kwa wanae

Nimewachukua ... Nimewatoa

Kiwakilishi cha "wa" kinamaanishsa Walawi.

badala ya wazaliwa wa kwanza

"badala ya kuchukua wazaliwa wa kwanza"

wanapokaribia

"kiwakilishi cha "wa" kinawakilishsa wana wa Israeli.

Numbers 8:20

Musa, Haruni, na jamii ya Waisraeli wote ... waliwafanya Walawi hivi

"Musa, Haruni na watu wote wa Israeli waliwafanya Walawi kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwagiza Musa kuhusiana na Walaawi"

Numbers 8:22

kufanya utumishi wao

Neno "huduma" ni nomino zahania amabyo inaweza kutumika kama kitenzi "kuhudumia"

mbele ya Haruni na mbele ya wanawe

"katika uwepo wa Haruni na wanawe"

Kama BWANA

"Kile walichofanya kilikuwa"

Waliwahudumia Walawi wote kwa jinsi hii

"Waliwafanyia Walawi kile ambacho BWANA alikuwa amewaamuru. "Kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha watu wa Israeli.

Numbers 8:23

Haya yote ni kwa ajili ya Walawi

"Amri zote hizi ni kwa ajili ya Walawi"

umri wa miaka ishirini na mitano

"miaka 25"

Wataungana wa wale wanaohudumia kwenye hema ya kukutania

Tazama 4:1

Numbers 8:25

Watakapokuwa na umri wa miaka hamsini

"katika umri wa miaka 50"

Numbers 9

Numbers 9:1

mwezi wa kwanza

"katika mwezi wa. 1" Huu ni mweziwa kwanza wa Kalenda ya Kihebrania. Inaanzia pale Mungu alipowatoa Wana wa Israeli kutoka Misri

mwaka wa pili

"mwaka wa 2"

baada ya kutoka katika nchi ya Misri

Kirai cha "kutoka katika" kinamaanisha kuondoka. "Baada ya kuondoka katika nchi ya Misri"

Wana wa Israeli ... katika wakati wake

Neno "wakati wake" linamaanisha wakati uliopangwa "muda wa nyuma". Hii inamaanisha watakapokuwa wakiimbuka kila mwaka.

Siku ya kum na nne ... kwa muda uliopangwa

Huu ni wakati wa uliopangwa kwa mwaka ili waisherehekeePasaka. "katika siku ya kumi na nne ... wataikumbuka, kwa kuwa huu ndio muda wa kuisherehekea kwa kila mwaka"

siku ya kumi na nne

"siku ya 14"

fuata sheria zake zote na ufuate taratibu zake zote

Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja, Vimetumika kuonyesha msisitizo wa kuzitii amri.

utaikumbuka

neno "ku" itunza" ni nahau inayomaanisha kuikumbuka. "mtaikumbuka" au "mtaisherehekea"

Numbers 9:4

wataishika sikukuu ya Pasaka

Neno "wataishika" linamaanisha kuikumbuka. "kuikumbuka sikukuu ya Pasaka" au "Kuisherehekea sikukuu ya Pasaka"'

katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza

"katika siku ya 14 ya mwezi wa 1"

Numbers 9:6

walionajisika kwa sababu ya maiti

"walinajisika kwa sababu ya kugusa maiti"

kunajisika

Mtu ambaye Mungu anamwona hakubaliki kiroho ni yule ambaye katika hali ya mwili alikuwa amenajisika.

kuishika Pasaka

Tazama 9:4

kwa sababu ya maiti

"kwa sababu tumegusa maiti"

kwa nini basi unatutaka tuendelee kutoa sadaka ... wana wa Israeli?

Si sahihi kutuzuia kutoa sadaka ... kati ya wana wa Israeli.

uliopangwa

"ulioamriwa"

Numbers 9:9

amenajisika

Tazama 9:7

kwa sababu ya maiti

"kwa sababu umegusa maiti"

Kuishika Pasaka

Tazama 9:4

Numbers 9:11

Watishika Pasaka

Tazama 9:4

Sikuy a kumi na nne ya mwezi wa pili

"siku ya 14 ya mwezi wa 2"

wa jioni

"wakati wa jua kuzama"

Wataila

"Watamla mwanakondoo wa Pasaka"

kwa mikate isiyotiwa chachu

"kwa mikate iliyotengenezwa bila amira" au "kwa mikate ambayo haina amira"

mboga chungu

hii ni mimea midogo midogo ambayo ina radha mbaya

kuvuunja mifupa yake

"wasivunje mifupa yake yeyote"

Numbers 9:13

mtu yeyote asiye najisi

Mtu ambaye anakubalika kwa Mungu kiroho ni yule ambaye anaonekana kuwa kimwili ni msafi

kuishika Pasaka

Tazama 9:4

huyo mtu lazima aondolewe

Neno "kuondolewa" linamaanisha kukatiliwa mbali.

uliopangwa

ulioamriwa

Huyo mtu lazima abebe dhambi yake

"Mtuhuyo lazima abebe adhabu ya dhambi yake"

anayeishi kati yenu

kiwakilishi cha "yenu" kinamaanisha watu wa Israeli

ataishika na kufuata amri zote

"huyo mgeni ataishika na kufuata yote ambayo BWANA ameamuru"

ataishika na kufuata amri zote , na kufuata taratibu zake

Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile, vimetumika kutia msisitzo wa kwamba huyo mgeni atazitii sheria zote na kuishika Pasaka.

katika nchi

"katika nchi ya Israeli"

Numbers 9:15

masikani iliposimamishwa

"Walawi walipoisimamisha ile masikani"

ile hema ya amri ya agano

Tazama 1:50

Lilionekana kama moto mpaka asubuhi

"Wakati wa usiku lile wingu lilionekana kama moto mkubwa mpaka asubuhi"

Liliendelea hivyo hivyo

"Lile wingu lilibaki hivyohivyo juu ya masikani"

na kuonekana kama moto wakati wa usiku

"lilionekana kama moto mkubwa wakati wa usiku."

Na kila wingu lilipochukuliwa

"lilipoondolewa" au "BWANA alipoliondoa wingu"

wingu liliposimama

"Wingu liliposimama kuendelea"

Numbers 9:18

kwa amri ya BWANA

"BWANA alipotoa amri"

Numbers 9:20

kwenye masikani

"juu ya masikani

waliweka kambi

"walipoweka kambi yao"

kuanzia jioni mpaka asubuhi

"kuanzia jioni mpakasubuhi tu"

kama liliendelea

"kama wingu lilibaki juu ya masikani"

ni pale tu wingu liliponyanyuliwa ndipo waliendelea

"kisha baada ya wingu kuondolewa ndipo waliposafiri"

Numbers 9:22

pale wingu liliponyanyuliwa

"BWANA alipolinyanyua wingu"

kwa amri ya BWANA

"kile ambacho BWANA alikuwa ameamuru"

amri ya BWANA ilyotolewa kupitia kwa Musa

amari ambazo BWANA alikuwa ametoa kupitia kwa Musa

Numbers 10

Numbers 10:1

tengeneza tarumbeta mbili za fedha

"mwambie mtu mmoja atengeneze tarumbeta mbili za fedha"

utazitumia hizo tarumbeta

Siye Musa atakayepiga hizo tatrumbeta bali atawaagiz amakuhani kuzipiga.

Numbers 10:3

mbele yako

"wakati ukiwepo." Yaani Musa akiwepo wakati Makuhani watakapozipiga hizo taraumbeta.

basi viongozi, vichwa vya koo za za Israeli

virai hivi viwili vinamaanishsa kitu kilekile. Kirai cha pili kinatumika kufafanua kirai cha kwanza. "Viongozi ambao ni vichwa vya koo za za Israeli"

Utakapopiga tarumbeta ya sauti kuu

"utakapopiga ishara kuu"

Numbers 10:6

utakapopiga tarumbeta kwa ishara kuu

"watakapopiga ishara kuu"

watu wote watakapokutana

"kuwakusanya watu pamoja"

mara ya pili

"mara ya 2"

watapiga tarumeta kwa sauti kuu ili kuanza safari

"kiwakilishi cha "wa" kinawawakilisha makuhani wa Israeli.

huu ndio utakuwa utaratibu wa watu

"utakuwa utaratibu wenu." "wenu" ni kiwakilishi cha wengi kinachomaanisha Waisraeli.

Numbers 10:9

Nanyi mtakapoenda vitani ... wanaowakandamiza

"Waisraeli wanapokuwa vitani ... kwa wale wanaowakandamiza Waisraeli"

ndipo mtakapotoa sauti ya ishara ya tarumbeta

"basi utawaamuru makuhani kupiga sauati ya tarumbeta "

nitawaita na kuwakumbuka

Kirai cha " kuwaita" kinamanisha kuwakumbuka. "Nitawakumbuka"

Numbers 10:10

wa kusherehekea

"mtakaposherehekea"

mtapiga tarumbet zenu

"utawaamuru makuhani kupigahizo tarumbeta"

katika miandamo ya miezi

Kalenda ya Kihebrania ina miezi kumi na mbili. wakatiwa mwezi kuanza ukiwa na ule mwanga rangi ya fedha unaonyesha mwanzo wa wa mwezi katika kalenda ya Kihebrania.

sadaka zenu za kuteketezwa na kwa sadaka zenu za amani ... kwangu

kiwakilishi "zenu" ni cha wingi kikimaanisha Waisraeli.

kwa heshima ya sadaka zenu

""kwa heshima ya sadaka"

Huu utakuwa ukumbusho wenu kwangu."

Hii itakuwa kumbukumbu yanagu kwenu". au "daima itanikumbusha."

Huu utakuwa

Neno "huu" linamaanisha zile tarumbeta na zile sadaka.

Numbers 10:11

mwaka wa pili

"katika mwaka wa 2." Huu ni mwaka wa pili baada ya BWANA kuwatoa Waisraeli kutoka nchi ya Misri.

Katika siku ya ishirini, mwezi wa pili.

"katika siku ya 20, ya mwezi wa 2." Huu ni mwezi wa pili wa Kalenda ya Kihebrania.

wingu liliinuliwa

"BWANA aliliinua wingu"

masikani ya amri za maagano

Tazama 1:50

amri ya BWANA ilitolewa kupitia kwa Musa

"amri ambayo BWANA aliamuru kupitia kwa Musa"

Numbers 10:14

Kambi ya mahali pa uzao wa Yuda

Kambi hii inajumuisha makabila matatu chini ya kikosi cha Yuda: Yuda, Isakari na Zabuloni.

iliondoka ya kwanza

"iliondoka ya 1". Kirai cha w"aliondoka" kinamaanisha walifungasha vitu vya kambi yao na kuanza safari.

Nashoni mwana wa Aminadabu

Tazama 1:7

Nathanaeli mwana wa Zuari

Tazama 1:7

Eliabu mwana wa Heloni

Tazama 1:7

Numbers 10:17

Gerishoni ... Merari

Tazama 3:17

jeshi la mahali pa kambi ya Reubeni

Hii inamaanisha majeshi ya kabila yaliyo chini ya kikosi cha Reubeni: Yaani Reubeni, Simioni, na Gadi.

Elizuri m wana wa Shedeuri

Tazama 1:4

Shelumieli mwana wa Zurishadai

Tazama 1:4

Elisafu

Tazama 1:4

Numbers 10:21

Wakohathi

Tazama 3:27

Majeshi ya kabila la uzao wa Efraimu

Haya ni majeshi yaliyokuwa chini ya kikosi cha Efaimu: Efraimu, Manase, na Benyamini.

Elishama mwana wa Amihudi

Tazama 1:10

Gamalieli mwana wa Pedazuri

Tazama 1:10

Abidani mwana wa Gidioni

Tazama 1:10

Numbers 10:25

Jeshi lililoweka kambi mahali pa bango la Uzao wa Dani

Hii k ambi ilikjumuisha kabila la Dani ambalo ni: Dani, Asheri, na Naftali.

Ahizeri mwana wa Aminadamu

Tazma 1:12

Pagieli mwana wa Okrani

Tazama 1:12

Ahira mwana wa Enani

Tazama 1:12

Numbers 10:29

Hobibu mwana wa Reuli

Hili ni jina la mwanamume

ambalo BWANA ametuahidi

"ambalo BWANA ametuahidi sisi"

tutawatendea mema

"tutawakarimu vizuri"

Numbers 10:31

Tafadhali msituache

"mtatuongoza na kutonyesha jinsi ya kuishi jangwani"

Numbers 10:33

Walisafiri

"kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha Waisraeli

mlima wa BWANA

Huu ni mlima Sinai. "Mlima Sinai ni mlima wa BWANA"

Sandukula agano la BWANA liliwatangulia

"wale wanaume walilibeba sanduku la agano la BWANA mbele yao wakatiwote waliposafiri"

muda wote wa mchana

"kila mchana" au "wakati wa mchana"

Numbers 10:35

Kila hilo sanduku liliposafiri

"Kila wakati wale watu waliokuwa wamebeba sanduku walipoondoka"

Inuka BWANA

Kirai cha "inuka" ni ombi la BWANA kumtaka atende. Kwa hiyo Musa anamwomba BWANA awasambaze maadui wake.

Uwafanye wale wanaokuchukia kukukimbia

"uwafanye wale wanokuchukia kukimbia mbele ya sanduku lako na mbele ya watu wako"

na kila lile sanduku liliposimama

"kila watu wanobeba lile sanduku waliposimama"

hawa Waisraeli makumi elfu

Hii inamaanisha watu." hawa walio makumi elfu"

Numbers 11

Numbers 11:1

Moto kutoka kwa BWANA ukawaka

"BWANA alituma moto uliowaka"

Mahali pale paliitwa

"wakapaita mahali pale"

Numbers 11:4

Ni nani atakayetupatia nyama za kula?

"Tunatamani kama tungepata nyama tule"

na sasa hatuna hamuya kula

"hatutaki kula" au "hatuwezi kula"

Numbers 11:7

punje ya mtama

mbegu hii hutumika kama kiungo inapokuwa imekauka

bedola

hii ni kitu chenye rangi inayofanana na kijivu

Numbers 11:9

macho ya Musa

"katika fikra za Musa"

Numbers 11:11

Taarifa kwa ujumla

Musa anamlalamikia BWANA akitumia maswali mengi yasitotaka majibu.

Kwa nini umemtendea mtumishi wako vibaya namna? kwa nini hujapendezwa na mimi?

"usinitendee mimi, mtumishi wako, vibaya namna hiyo." au "usiwe na hasira dhidi yangu."

Umenifanya kubeba mizigo ya hawa watu

"umenifanya niajibike kwa ajili ya hawa watu"

Je, mimi ndiye niliyewatungia mimba hawa watu? Mimi ndiye niliyewazaa kiasi kwamba unaniambia?

"Mimi si baba wa hawa watu. Kwa hiyo si sahihi kuniambia mimi."

wabebe kwa ukaribu vifufani mwako kama baba abebavyo mtoto wake

Maana yake ni kwamba Musa analazimika kuajibika kwa watu ambao hawawezi kujilinda wenyewe, kama vile mzazi alindavyo kichanga.

Je, nitawabeba mpaka kwenye nchi ... mababu zao kuwapa?

""Usinitegeme mimi kuwabeba... mpaka kwenye uliyowaahidi mababu zao kuwapa" au "siwezi kuwabeba... mpaka kwenye nchi uliyowaahidi mababu zao."

Numbers 11:13

Naweza kupata wapi nyama za kuwapa watu wote hawa?

"siwezi kupata uwezekenio wa kupata nyama za kuwapatia watu wote hawa."

Mimi pekee yangu siwezi kuwabeba watu wote hawa

"Siwezi kuwapatia mahitaji yao watu wote hawa."

Ni wengi sana kwangu

"Wajibu huu ni mzito sana kwanagu"

Numbers 11:16

Sehemu ya roho iliyo ndani kwako

Neno "roho" linamaanisha mamlaka ambayo Roho wa Mungu alikuwa amempatia Musa ili kwamba Musa aweze kufanya yale amabyo Mungu alikuwa amemwamuru. "baadhi ya mamlaka ambayo Roho amekupatia wewe"

Nao watabeba mzigo wa watu pamoja na wewe

"Watakusaidia kuwaangalia watu hawa"

Na hautaubeba pekee yako

"Hautawaangalia pekee yako"

Numbers 11:18

Taarifa kw aujumla

BWANA anaendelea kuongea a Musa

nani atakayetupa nyama tule?

"Tunatamani kama tungepata nyama tule"

mpaka zitakapowatokea puani

Inaweza kumaanisha 1) Mungu anamaanishsa kutapika kupitia puani au mpaka mtaugua na kutapika 2)watakula nyama nyingi sana kama itakavyokuwa pale zitakapowatokea puani. au "mpaka mtaanza kujisikia kuwa zinataka kutokea puani"

kwa nini tulitoka Misri?

"Bora tusingelitoka Misri."

Numbers 11:21

Je, tutayachinja haya makundi ya ng'ombe na kondoo ili kuyatosheleza? Je tutawakamaata hawa samamki wote wa baharini ili kuwatosheleza?

"Tutatakiwa kuwachinja makundi yote ya ng'ombe na kuwakama samaki wote wa baharini ili kuwatosheleza!"

Ng'ombe na makundi

Maneno haya yanamaanisha kitu kimoja. Yametumika kuonyesha msisitizo wa kundi kubwa la wanyama

Smamki wote wa baharini

Musa ametumia mfano huu ili kuonyesha kuwa ilivyokuwa vigumu kuwapatia chakula watu wa Israeli.

ilikuwatosheleza

"kuwatosheleza njaa yao"

Je, mkono wangu ni mfupi?

"Je, mnadhani kuwa sina uwezowa kuyafanya haya?" au "manapaswa kujua kuwa mimi nina uwezo zaidi wa kuyafanya haya."

Numbers 11:24

Maneno ya BWANA

"Kile ambacho BWANA amesema"

Sehemu ya Roho aliyekuwa kwa Musa

Tazama 11:16

na kuiweka kwa wale wazee sabini

Tazama 11:16

Roho alipowashukia

"Walipokuwa na nguvu kutoka kwa Roho"

Numbers 11:26

Roho aliwashukia pia

"Roho alipa nguvu pia"

Majina yao yalikuwa yameandikwa kwenye orodha

"Musa alikuwa ameandika majina yao kwenye orodha"

Numbers 11:28

wazuie

"waambie waache kutoa unabii"

una wivu kwa niaba yangu

"unapaswa kutokuwa na wivu"

una wivu kwa niaba yangu

"Unadhani kuwa wanaweza kuwa wanacchukua kitu kutoka kwangu?"

angeweka Roho yake juu yao

"Kwsamba Roo ya BWANA angewapatia uwezo."

Numbers 11:31

kware

ndege mdogo

kiasi cha umabli wa safari ya siku moja upande huu na umbali wa siku moja upande mwingine

"ni umbali wa siku moja ambao mtu anaweza kwenda katika uelekeo wowotde.

kiasi cha mita moja toka uso wa dunia

"kiasi cha sentimita 92" au "mita moja"

hakuna aliyekusanya pungufu ya mita mbili

"kila mmoja alikusanya si chini ya mita mbili za ujazo"

mita mbii za ujazo

mita moja ya ujazo ni saw na lita 220."lita 2,200"

Numbers 11:33

wakati ile nyama ikiwa bado iko kwenye meno, wakiwa bado wanatafuna

Sentensi hizi zinamaanishakitu kimoja. "wakati walipokuwa bado wanakula ile nyama"

Mahali pale paliitwa Kibroti Hataava

"walipaita mahali pale Kibroti Hataava"

Hazeroti

Hili ni eneo la mahali fulani jangwani

Numbers 12

Numbers 12:1

Hivi BWANA amesema na Musa tu? Ni kweli hajawahi kusema nasi pia?

"BWANA hajasema na Musa tu. Pia amesema na sisi."

sasa BWANA akasikia

Neno "sasa" linavuta usikivu kwa kile ambacho kinafuata baadaye.

Sasa Musa alikuwa mtu

"Neno "sasa" limetumika kuonyesha mwanzo wa habari kuu. Msimuliaji anaeleza historia ya Musa kuhusu tabia zake.

Numbers 12:4

nguzo ya wingu

umbo la wingu linaongolewa kama vile ni nguzo. "wingu lenye umbo kama nguzo" au "wingu refu"

Numbers 12:6

Lakini si hivyo kwa mtumishi wangu Musa

"Siongei na Musa kwa namna hiyo"

Yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu

Nyumba hapa inamaanisha taifa la Israeli. Musa amawaongoza watu wangu kwa uamiinifu" au Musa ndiye ninayemwamini kuwaongoza watu wangu Usraeli"

Kwa nini hamuogopi kumnenea kinyume mtumishi wangu Musa?

"Mnapaswa kuogopa kumnenea kinyume mtumishi wangu, dhidi ya Musa"

kinyume, cha mtumishi wangu Musa

kinyume cha mtumishi wangu, Musa

Numbers 12:9

Hasira ya BWANA ikawawakia

Hasira ya BWANA inafananishwa na moto."BWANA akawakasirikia sana"

"akawa mweupe kama ukokoma"

"akawa mweupe sana"

Numbers 12:11

usituadhibu kwa sababu ya uovu wetu huu

Hii inamaanisha usituadhibu kwa sababu ya dhambi zetu

Tafadhali usimwache akawa kama mtoto mchanga aliyekufa amabye nusu ya nyama yake imeoza

"Tafadhali usimwache akawa kama mtoto mchanga ambaye nusu ya nyamya yake imeoza"

Numbers 12:13

Mungu ninakusihi umponye tafadhali

neno "tafadhali" limerudiwa ili kuonyesha msisitizo

kama baba yake angemtemea usoni

kumtemetemea mtu usoni ilikuwa udhi baya

Miriamu akafungiwa nje ya kambi

"Miriamu alitengwa nje ya kambi"

Miriamu akafungiwa nje ya kambi

"Musa alimfungia Miriamu nje ya kambi"

Numbers 12:16

Hazeroti

Tazama 11:13

Numbers 13

Numbers 13:1

ambayo nimewapa

"ambayo nimeamua kuwapeni

Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake

"Kila mwanamume ambaye ulimtuma lazima awe kiongozi miongoni mwa kabila yake"

Numbers 13:3

Shamua mwana wa Zakuri

Haya ni majiina ya wanaume

Numbers 13:5

Shafati ... Hori ... Yefune ... Igali ... Yusufu ... Nuni

Haya ni majina ya wanaume

Numbers 13:9

Paliti ... Rafu ... Gadieli ... Sodi ... Gadi ... Susi ... Amieli ... Gemali

Haya ni majina ya wanaume

Kutoka kabila la Yusufu (Hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase)

Kutoka kwenye kabila la Mananse mwana wa Yusufu.

Numbers 13:13

Setu ... Mikaili ...Nabi ... Vofsi ... Geuli ... Machi

Haya yote ni majina ya wanaume

Hoshea mwana wa Nuni

Tazama 13:5

Numbers 13:17

Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje iko kama kambi au ni miji yeneye ngome?

"Mkaone kama nchi ni nzuri au mbaya. ni aina gani ya miji iliyoko huko, na kama miji hiyo ni kama kambi au imezungushiwa ngome za ulinzi"

Je, iko kama kambi au ni miji yenye ngome

Miji yenye ngome ilikuwa na kuta imara zinazozunguka ili kuwalinda na majeshi ya maadui. Kambi hazikuwa na kuta za namna hii.

Numbers 13:21

Sini ... Rehobi ... Zoani

Haya ni majina ya maeneo

jangwa la Sini

Neno "Sini" ni jina la Kihebrania lenye maana ya jangwa.

Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba kabla ya Zoani ya Misri

"Wakanaani walikuwa wameijenga Hebroni miaka 7 kabla ya kuijenga Zoani"

Ahimani ... Sheshai ... Talmai

Haya ni majinia ya koo zilizokuwa zimeitwa kufuata mababu zao.

Anaki

Hili ni jina la mwanamume

Numbers 13:23

Eshikoli

Hili ni jina la mahali

Na makundi mawili ya wapelelezi

"kati ya watu wawili wa makundi hayo"

Mhali pale paliitwa

"walipaita mahali pale"

Numbers 13:25

Baada ya siku arobaini

"Baada ya siku 40"

Wakaleta taarifa kwao

"wakaleta taarifa" au "wakaleta taarifa ya kile walichokiona"

Numbers 13:27

kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali

"kwa hakika ni nchi nzuri kwa ufugaji na kilimo cha mazao" au " kwa hakika ni nchi yenye rutuba"

maziwa

"mazao ya yatokanayo na wanyama"

asali

"chakula kitokanacho na mazao"

Numbers 13:30

Kalebu

Kalebu alikuwa mmoja wa wapelelzi kumi na mbili ambao Musa aliwatumakuipelelza Kanaani.

tia moyo ... kutia moyo

Neno tia moyo au kutia moyo ni maneno ya kuwafariji na kuwahamasisha waendelee kufanya jambo fulani kwa ujasiri.

Numbers 13:32

wakasambaza taarifa ... waksema

Kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha wale wanaume walioipelelza nchi isipokuwa Kalebu na Joshua.

Ile nchi waliyoipeleleza

Neno "wa" linamaanishawanaume wote walioipeleleza nchi akiwemo Joshua na Kalebu

nchi inayowala watu wake

"ni nchi ya hatari sana" au ni nchi ambayo hao watu watatuua"

Anaki

Hili ni jina la mwanaume

tulionekana ... machoni pao

"katika maoni yetu"

tulionekana kama mapanzi machoni mwao

"tulikuwa wadogo kama mapanzi ukitulinganisha nao"

Numbers 14

Numbers 14:1

Kwa nini BWANA alituleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga?

"BWANA asingetuleta kwenye nchi hii ili tufe kwa upanga"

tufe kwa upanga

"tufe pale watu watakapotuvamia kwa upanga"

Je, si bora kwetu kurudi Misri?

Ingekuwa heri kwetu turudi Misri kuliko kujaribu kuwapiga Wakanaani"

Numbers 14:4

Wakasemezana wao kwa wao

Hii in amaanisha watu wa Israeli

kifudifudi

"wakalal kifudifudi ili kuonyesha unyenyekevu kwa Mungu" au "walilala kifudifudi ili kumwomba Mungu"

Numbers 14:6

Nuni .. Yefune

Haya ni majina ya wanaume

amabo walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wametumwa

Ambaowalikuwa miongonimwa wale ambao Musa alikuwa amewatuma

wakachana mavazi yao

kuchana mavazi ilikuwa ishara ya kuonyesha kuwa mtu huyo ametabika sana na anaomboleza

Ni nchi inayotiririka maziwa na asali

Tazama 13:27

Numbers 14:9

Sentensi unganishi

Joshua na Kalebu wanaendelea kuongea na watu

Tutawateketeza kwa urahisi kama kula chakula

"Tutawatekeza kwa urahisi kama tuwezavyo kula chakula

Ulinzi wao utakuwa umeondolewa

"BWANA atawaondolea ulinzi wao"

Ulinzi wao

"Yeyote ambaye atajaribu kuwalinda"

Numbers 14:11

Watu hawa watanidharau hadi lini? Wataendelea kutoniamini mpaka lini? nijapokuwa nimefanya ishara kwa nguvu zangu kati yao?

"Watu hawa wamenidhrau kwa muda mrefu. Wameshindwa kuniamiini kwa muda mrefukati, japokuwa nimefanya ishara ... kati yao

kuwaondolea urithi

"kuwakataa akuwa siwatu wangu" Hii inawez akumaanisha kuwa atawaangamiza.

kutoka kwenye ukoo wako

Kiwakilishi "wako" kinamaanisha Musa.

Numbers 14:13

uso wako umeonekana

Yaweza kumaanisha 1)Musa anaoakijionyesha kwa watu wake kama vile Mungunggea habari za Mungu amewaruhusu kuuona uso wake. "wamekuona" 2) Musa anaongelea ukaribu wa uhusiano wake na Mungu kama vile Musa humwona Mungu pale Mungu anapoongea naye. "wewe huongea moja kwa moja na mimi."

Numbers 14:15

kama mtu mmoja

kuwaua wote kwa wakati mmoja inaonekana kama kumwua mtu mmoja. "wote kwa wakati mmoja"

Numbers 14:17

kwa vyovyote vile atafutilia hatia

"yeye ataadhibu kwa sababu ya hatia"

atakapoleta hukumu ya dhambi za mababu juu ya wazao wao

"atakapoadhibu uzao wa watu wenye hatia kwa sababu ya hatia ya dhambi ya watu"

Numbers 14:20

dunia yoe itakapojazwa na utukufu wangu

"utukufu wangu utaijaza duia yote"

bado wamenijaribu

"wameendelea kunijaribu"

mara kumi

namba kumi inaonyesha mara nyingi. "mara nyingi sana"

hawakuisikiliza sauti yangu

"hawakutii kile nilichosema"

Numbers 14:23

Sentensi unganishi

BWSANA anaendelea kuongea na Musa

kwa sababu alikuwa na roho nyingine

neno "roho" linawakilisha mtazamo. "kwasababu alikuwa tayari kumtii Mungu" au "kwa sababu alikuwa na mtazamo tofauti."

Numbers 14:26

Nitaivumilia jamii ya watu hawa waovu wanaoninung'unikia mpaka lini

"Nimeivumilia jamii ya watu hawa waovu wanaoninung'unikia kwa muda mrefu."

Nimeyasikia malalamiko ya wana wa Israeli dhidi yangu

"Nimewasikia wana awa Israeli wakilalamika

Numbers 14:28

kama vile mlivyosema katika masikio yangu

"kama nilivyowasikia mkisema"

Maiti zenu zitaanguka

"mtakufa"

ninyi mliohesabiwa kwenye ile sensa

"Ninyi ambao Musa aliwahesabu kwenye ile sensa"

kuanzia umri wa mika ishirini na kuendelea

"umri wa miaka ishirini na zaidi"

Numbers 14:31

maiti zenu zitaanguka

"mtakufa"

Watoto wenu watakuwa wachungaji kwenye jangwa hili

"watoto wenu watazungukazunguka kwenye jangwa hili" kwa sababu wachungaji huzungukazunguka wakitafuta malisho.

Lazima watabeba madhara ya matendo yenu

"Lazima wapate mateso kwa sababu ya matendo yenu"

mpaka mwisho wa maiti ya mwisho

"mpaka wote mtakapokufa"

Numbers 14:34

mtabeba madhara ya dhambi zenu

"mtapokea madhara ya dhambi zenu"

Wao watakatwa kabisa

"wote wataangamizwa"

Numbers 14:36

Kwa hiyo wale wanume ... waliomlalamikia Musa

Matukio y a yaliyo kwenye 14:36 yamepangwa ili kwamba maana ieleweke kwa urahisi zaidi.

walikufa kwa tauni mbele ya BWANA

"walikufa mbele ya BWANA kwa tauni ambayo aliileta"

Numbers 14:39

Tazama

"Tazama" neno hili linaongeza msisitizo

Numbers 14:41

Kwa nini sasa mnapinga amri ya BWANA?

"Hampaswi kuwa mnapinga amri ya BWANA tena"

BWANA hayuko pamoja nayi

"BWANA hatawasaidia"

kuwalinda dhidi ya maadui zenu

"kuwalinda ili maadui zenu wasiwaangamize"

mtakufa kwa upnga.

"watawaua mtakapopigana nao"

mlimtega mgongo BWANA

"mliacha kumtii BWANA"

Hatakuwa pmoja nanyi

"hatawasaidia"

Numbers 14:44

walithubutu kukwea mlimani

"walithubutu kwenda mlimani hata kam ungu hakuwaruhusu"

mlimani

Sehemu kubwa ya nchi ya Israeli ni ya milima.Waisraeli walipovuka bonde Mto Yorodani ili kuivamia nchi ya Wakanaani, kulikuwa na milima ambayo walilazimika kuikwea ili waweze kwenda mbali zaidi ndani ya nchi ya Kanaani.

Numbers 15

Numbers 15:1

Taarifa kwa ujumla

Hesabu 15:1 -32 inaelezea kile ambacho Mungu alimwambia Musa awaambie wana wa Israeli

ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA ya ng'ombe au ya kondoo

"kumfurahisha BWANA kwa kuteketeza sadaka ya ng'ombe au ya kondoo"

Numbers 15:4

sadaka ya kuteketezwa

Tazama 15:4

Sehemu ya kumi ya efa

"lita 2"

robo ya hini

"takribani lita moja" au "lita 1"

Numbers 15:6

sehemu za kumi mbili za efa

efa moja ni kipimo kilicho sawa na lita 22. "lita 4" au "lita nne na nusu"

sehemu ya kumi ya efa

"karibu lita 2" au "lita mbili"

itatoa harufu nzuri kwa BWANA

"Mtampendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo"

Numbers 15:8

sehemu za kumi tatu

"lita tatu na nusu"

nusu ya hini

"lita mbili"

ilyotengenezwa kwa moto.

"ambayo mliiwekwa kwenye moto"

Ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA

Kumpendezsha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo

Numbers 15:11

itafanyika hivi

"Lazima uifanye"

itafanyika kama ilivyoaanishwa

Lazma uifanye kama nilivyoainisha

iliyotengenezwa kwa moto

"ilitoteketezwa madhabhuni"

ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA

"kumpendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo"

Numbers 15:14

lazima atoe sadaka iliyotengenezwa kwa moto

"Lazima ateketeza sadka madhabahuni"

ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA

"Kumpendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo.

Ninyi mlivyo, ndivyo atakvyokuwa mgeni

maana yake yaweza kuwa 1) "Wewe na mgeni anayeishi na wewe mtakuwa sawa mbele ya BWANA" 2)"Sheria moja itakayotumika kw mgeni na kwako pia."

Atafanya kama mnavyofanya kwa BWANA

"atafanya kama mnavyofanya na kutii maagizo yote ya BWANA "

Numbers 15:17

chakula kitakachozalishwa katika nchi

"chakula kile ambcho nchi itazalishwa"

Numbers 15:20

mikate yenu ya kwanza

yaweza kumaanisha 1) mazao ya kwanza watakayokusanya wakati wa mavuno 2) Mikate ambayo itatengenezwa kutoka kwenye mavuno yao ya kwanza.

mkate

inapoitwa mkate mmoja ina maana kuwa walioka mkate kwanza

mtaiinua kwanza kama sadaka ya kuinuliwa

"kuiinua kama sadaka"

sadaka iloiyoinuliwa kutoka mahali pa kupuria nafaka.

Sadaka hii inafanywa kuwa sadaka kutoka mahali pa kupuria nafaka kwa sababu hapo ndipo mahali ambapo nafaka hutenganishwa na sehemu zingine za mmea.

Numbers 15:22

Sentensi unganishi

Mungu anendelea kumwmbia Musa kitu cha kuwaambia watu.

Taarifa kwa ujumla

Neno "m" linawakilisha waisraeli

ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA

Kumpendezsha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo.

lazima itengenezwe sadaka ya unga nasadaka ya vinywaji

"lazima mtengeneze sadakaya unga na sadaka ya vinywaji"

kama ilivyoagizwa katika amri

"kama amri inavyoagiza"

Numbers 15:25

Watasamehewa

"Nitawasamehe"

iliyotengenezwa kwa moto

"ambayo waliitengeneza kwa moto"

Ndipo watu wte wa Israeli watasamehewa"

"Nitawasamehe jamii yote ya watu wa Israeli"

Numbers 15:27

mbuzi jike wa umri wa mwka mmoja

"mbuzi jike wa umri wa mwka 1"

Yule mtu atasamehewa baada ya upatanisho kufanyika

"Nitamsamehe mtu yule baada ya kuhani kufanya upatanisho"

Numbers 15:30

Huyo mtu ataondolewa kati ya watu wake

Yaweza kumaanisha 1)" watu wake watamfukuza 2) "sitamtambua tena kuwa sehemu ya watu wa Israeli 3) "watu wake lazima watamwua."

amevunja amri yangu

"ameshindwa kutii amri yangu"

Dhambi yake itakuwa juu yake

Hapa "dhambi" inamaanisha 1) adhabu kwa ajili ya dhambi 2) hatia ya dhambi hiyo. dhambi kuwa juu yake ni sitisri inayomaanisha 1) kuadhibiwa 2) kuwa na hatia. kwa hiyo, Nitamwadhibu kwa sababu ya 1)dhambi zake au 2) Nitamwonw kuwa ni mwenye hatia.

Numbers 15:32

kwa sababu ilikuwa haijamriwa atakchotendewa

"BWANAalikua hajatamka cha kumfanya huyo mtu"

Numbers 15:35

Yule mwanamume lazima auawe

"kwa hakika lama mwue mtu huyo"

Numbers 15:37

wana wa Israeli

Israeli lilikuwa jina jingine la Yakobo. "watu wa Israeli"

na kuzishika

"kuzitii"

ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo yenu na macho yenu

"ili kwamba msije mkafikiria chochote manchokitaka"

na kuwa waasherati kwa hayo

"na kwa aibu mkashindwa kuw waaminifu kwangu"

Numbers 15:40

Sentensi unganishi

Mungu anaendeles kumwambia Musa vitu vya kuwawambia Waisraeli. Neno "fa" linawahusu Waisraeli.

kukumbuka

"kukumbuka

Mimi ndimi BWANA Mungu wenu

Kirai hiki kinajirudiaili kutoa msisitizo

Numbers 16

Numbers 16:1

Kohathi

Tazama 3:17

Wakamwinukia Musa

"walimpinga Musa"

mia mbili na hamsini

"250"

waliokuwa wakifahamika katika ile jamii

"watu wa muhimu katika ile jamii"

mnatumia mamlaka zaidi ya uwezo wenu

"Mmefanya zaidi ya kile manchotakiwa kufanya"

Kwa ini mnajiinua sana juu ya watu wengine wa BWANA?

"Mmekoswa kujiinua wenyewe juu ya watu wengine wa BWANA"

mnajiinua sana juu ya watu wengine

"mnajiona wenyewe kuwa wa mhimu kulikowengine"

Numbers 16:4

akalala kifudifudi

Hii inamanisha kuw Musa alikuwa akinyenyekeza kwa Mungu. Musa aliogopa kuwa Mungu angewaadhibu watu waliokuwa wanampingaMungu na viongozi wake aliokuwa amewachagua

aliyetengwa kwa ajili yake

"ambaye BWANA amemtenga kwa ajili yake"

Numbers 16:6

Sentensi unganishi

Musa anaendelea kuongea na Kora na wale wanaume waliokuwa na kora

vyetezo

vyombo vya kufukizia uvumba

mbele za BWANA

"katika uwepo wa BWANA"

yule ambye BWANA atamchagua atamtenga kwa BWANA

"BWANA atamenga mtu huyo kwa ajili yake"

Mmeenda mbele zaidi

"Mmefanya za"idi ya kile mnachotakiwa kufanya" au "Mmechukua mamlaka zaidi ya kiasi mnachotakiwa

Numbers 16:8

Je, ni jambo dogo kwenu... ili muwatumikie

"mnaishi kana kwamba ni jambo dogo kwenu ... kuwatumikia"

ni jambo dogo kwenu

"haitoshi kwenu" au "siyo mhimu kwenu"

mnataka na ukuhani pia

"mnataka na huduma ya ukuhani pia" au "mnataka kuwa makuhani pia"

kwa nini mnalalamika juu ya Haruni, ambaye anamtii BWANA?

"Kiuhalisia hamumlalamikii Haruuni, bali BWANA, ambaye Haruni anamtii"

Numbers 16:12

Kwani ni jambodogo kwamba umetuleta mpaka ... ili kutuua kwenye jangwa

"mnadhani ni jambo dogo kwamba umetuleta ... ili kutuua katika jangwa hili."

ni jambo dogo

"haitoshi" au "isiyo na umhimu"

nchi ya kutiririka maziwa na asali

tazama 14:6

kutupa urithi

Inahusisha kile ambacho Mungu atawapa kuwa mali yao milele kama urithi wao

Sasa unataka kutuposha na ahadi hewa?

"Sasa unataka kutuposha na ahadi hewa."

kutupofusha

"kutudanganya"

kwa ahadi hewa

"kwa ahadi ambazo huwezi kuzitimiza"

Numbers 16:15

Sijachukua punda mmoja kutoka kwao

"Sijachukua chochote kutoka kwao, wala hata punda mmoja"

vyetezo

vyombo vya kufukizi uvumba

Numbers 16:18

moto

moto ni joto, mwanga, miali ambayo hutokea wakati kitu fulani kinapochomwa. Moto pia hutumika kwa maana ya utakaso au hukumu.

hema ya kukutania

Hii ni hema ambayo ya mud ambayo Mungu aliitumia kukutana na Musa kabla ya kujengwa ile masikani. Hema ya kukutania iliwekwa nje ya kambi. Wakati mwiingine neno "hema ya kukutania" ilitumika kumaanisha masikani. Baada ya Waisraeli kujenga masikani; ile hema ya kukutania haikuwepo tena.

Musa

Huyu alikuwa nabii na kiongozi wa Waisraeli kwa muda wa miaka 40

Haruni

Huyu alikuwa kaka mkubwa wa Musa. Mungu alimchagua Haruni kuwa kuhani mkuu wa kwanza wa watu wa Israeli

Kora

Kora ni jina la wanaume watatu katika Agano la kale. Wa kwanza ni yule mwana wa Esau ambaye baadaye alikuja kuwa kiongoziwa watu wake. Wa pili ni yule aliyekuwa wa uzao wa Lawi ambaye pia alitumika kwenye masikani kuhani na baadaye kumwonea wivu Musa naHaruni na alikuwa nakundi la wanaume waliowapinga. Wa tatu ni yule alyeorodheshwa kama kwenye ukoo wa Yuda.

BWANA (YAHWEH)

BWANA ni jina binafsi la Mungu ambalo alilifunua wakati aliapoongea na Musa kwenye kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto. Neno hili YAHWEH linatokana na neno linalomaanisha "kuwepo" au "kuishi." Maana halisiy aweza kuwa "Yeye ndiye" au "Mimi ndiye" au "Yeye anyewezesha kuwepo."

utukufu

Neno "utukufu" linamanisha heshima, fahari, na ukuu uliotukuka. Wakati mwingine utukufu humaanisha kitu chenye thamani kubwa na cha muhimu. na Kwa mukhutadha mwingine inaweza kumaanisha mng'ao au hukumu.

Numbers 16:20

ili nipate kuwaangamiza

"ili niweze kuwatekeketeza"

wakalala kifudifudi

Hii inaonyesha kuwa Musa na Harunu walikuwa wnajinyenyekeza

Mungu wa wote wenye mwili

"Mungu anayewpa watu uhai"

kama mtu akitenda dhambi, ni lazima uwe na hasira na watu wote?

"tafadhali usiwe na hasira na watu wote kwa sababu ya dhambi ya mtu mmoja."

Numbers 16:23

hema

Hema ni kibanda kinachobebeka amacho kimetengenezwa kwa nyuzi zilizosukwa na zinazowezwa kuunganishwa na nguzo ndogo ndogo pamoja. hema zinaweza kuwa ndogo ndogo au kubwa kubwa.

Numbers 16:25

mtaangamizwa

"mtateketezwa"

mtataanganizwa na dhambi zao

"mtateketezwa kwa sababu ya dhamabi zao zote"

mtataanganizwa na dhambi zao

"mtateketezwa kwa sababu ya dhamabi zao zote"

Numbers 16:28

ndipo mtakapojua

"ndipo" inamaanisha kile ambcho Musa atakisema baadaye

ambye huwameza kama mdomo mkubwa

"na wataangui ndani yake na kufunikwa ndani yake"

Numbers 16:31

Dunia ikafungua makanwa yake na kuwameza

"Dunia ikafungua makanwa yake naowkaangukia ndani yake na kuwafunika"

Numbers 16:33

wakaingia ndani shimoni wakiwa hai

tazama 16:28

wakashangaa

kiwakilishi "wa" kinawakilishsa Waisraeli"

Nchi isije kutumeza na sisi pia

"Nchi inaweza kufunguka na sisi pia tukaangukia ndani yake na kufunikwa" au "Nchi ikifunguka tena na sisi tutangukia ndani yake tukaangukia ndani yake"

Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA ukawaangamiza wale wanaume 250

"Moto ukawaka kutoka kwa BWANA ukawaangamiza wale wanaume 250"

Numbers 16:36

kutoka ule moto

Hii inamaanisha ule moto uliowaangamiza wale wanaume 250

wale waliopoteza maisha

"wale waliokufa"

Na vifanyike

"Na Eliezeri atavifanya"

ni vitakatifu. Vitakuwa ishara

"vi" na "vi" inamaanishsa vile vyetezo

Numbers 16:39

vilikuwa vimetumiwa na wale watu walioungua

"vile ambavyo wale wanaume walioungua kwa moto walikuwa wamevitumia."

ili wasje kuwa kama Kora na kundi lake

"wakafa kama Kora na kundi lake walivyokufa"

Numbers 16:41

Kisha ikatokea

Kirai hiki kimetumika hapa kuonyesha tukiola muhimu sana katika simulizi hili.

walipokuwa wamekusanyika kinyume na Musa.

"walikuwa wamekusanyika ili kumnung'unikia Musa na Haruni"

tazama

"ghafla." Neno hili limetumika ili kuonyesha kuwa watu walishangazwa na kile walichokiona.

Numbers 16:44

ili niwaangamize

"ili kwamba niweze kuwaangamkiza"

wakalala chini kifudifudi

Hii inaonyesha kuwa Musa na haruni walijinyenyekeza mbela za Mungu.

hasira hii inatoka kwa BWANA

"BWANA antuonyesha hasira zake"

Numbers 16:47

akaweka ndani yake uvumba

"akachoma uvumba"

ile tauni ikazuiwa

"ile tauni ikazuiawa kuenea"

Numbers 16:49

Kora

Tazama 16:19

Hema ya kukutania

Tazama 16:18

Numbers 17

Numbers 17:1

kumbi na mbili

"12"

Numbers 17:3

Sentensi unganishi

BWANA anaendelea kuongea na Musa

Fimbo ya Lawi

"Jina la Lawi hapa linamanisha kabila ya Lawi

kwa kila kiongozi kutoka kwenye kabila la mababu zao

kiwakilishi "zao" kinamaanisha "kwa kila kiongozi"

amri za agano

Kirai cha "amri za agano" inamaanisha "sanduku la amri za agano" au "sanduku la amri za agano"

fimbo ya mtu yule ninayemchagua itachipua

"machipukizi yataanza kukua katika fimbo ya mtu yule nitakayemchagua"

Nitazuia watu wa Israeli walalamikao, ambao ambao wanaongea kinyume na wewe

"nitawafanya watu wa Israeli waache kulalamika dhidi na yako"

Numbers 17:6

aliyechaguliwa kutoka kwenye kila kabila

"ambaye Musa alimchagua kutoka kwenye kabila la mababu"

katika hema ya amri ya agano

"hama ya sanduku la agano"

Numbers 17:8

na tazama

Neno "tazama" linaonyesha kuwa kuna kitu cha muhimu kimetokea.

Numbers 17:10

amri za agano

"sanduku la agano"

ili ukomeshe malalamiko

"ili kwamba uwazuie kukulalamikia"

vinginevyo watakufa

"ili wasijekufa"

Numbers 17:12

tutakufa hapa. Wote tutaangamia

Virai vyote viwili vinvamaanisha kitu kile kile na vimetumika ili kuonyesha msisitizo.

Numbers 18

Numbers 18:1

dhambi zote zilizotendwa mahali patakatifu

"dhambi zote ambazo mtu amezifanya dhidi ya mahali patakatifu"

kwa uovu wowote uliofanywa na yeyote mahali patakatifu

"dhambi zote ambazo mtu huzifanya akiwa mahali patakatifu"

yeyote mahali patakatifu

"kuhani yeyote"

Numbers 18:3

Sentensi unganishi

BWANA anaendelea kuongea na Haruni.

Watakutumikia ... Wataungana na wewe

kiwakailiashi "wa" kinamaanisha Walawi. Na kiwakilishi "wewe" kinamwakilisha Haruni.

vinginevyo wewe na wao mtakufa

kiwakilish "wao kinamaanisha mtu yeyote katika kabilla Walawi anayesogelea kitu chochote mahali patakatifu. Kiwakailishi "wewe" kinamaanisha"Haruni" na Walawia wengine wanaotumika katika maeneo yaliyoidhinishwa.

asikusogelee. Wewe utaajibika.

kiwakilishi cha "wewe" ni cha wingi kinachomwakilisha Haruni na walawi wengine.

ili kwamba hasira yangu isiwajilie watuwa Israeli tena.

"ili kwamba nisije nikwaadhibu Waisraeli tena."

Numbers 18:6

Sentensi unganishi

BWANA anaendelea kuongea na Musa tena

Wao ni zawadi kwako

"Wao ni kama zawadi kwako.

waliotolewa kwangu

Neno "waliotolewa" kwa Mungu inamaanisha waliotengwa ili wamtumikie Mungu. "Ambao nimewatenga kwa ajili yangu"

wewe pekee yako na wanao

Kiwakilishi "wewe" na "yako" vinamaanisha Haruni na wanawe

kufanya kazi ya ukuhani

"kufanya kazi ya ukuhani"

kitu chchote ndani ya ukuhani

"kitu chochote chumbani nyuma ya lile pazia"

Mgeni yeyote anayekaribia atauawa

"Mgeni yeyote anayekaribia atakufa" au "mtamwua kila mgani anayekaribia"

anayekaribia

"anayekaribia maeneo matakatifu"

Numbers 18:8

Sadaka za kuinuliwa kwangu

Kirai cha "Kuinuliwa kawngu" knamaaisha kutoa kitu kwa Mungu. "Sadaka ambazo watu hutoa kwangu"

Nimekupa sadaka hizi wewe

"Nimeshazitoa sadaka hizi kwako"

kuwa haki yako milele

"kuwa sehsmu ya urithi ambayo utaendelea kupata"

visiteketezwe kwa moto

"amabvyo havitateketezwa kabisa kwa moto madhabahuni"

ni vitu vitakatifu sana

"vitu hivi ni vitskstifu sana"

Numbers 18:10

Sentensi unganishi

Mungu anaendelea kuongea na Haruni.

ambaye ni msafi

"anayekubalika kwangu"

Numbers 18:12

Sentensi unganishi

Mungu anaendelea kuongea na Haruni

Mavuno ya kwanza

Hii inamaanisha mafuta yale mazuri ya kwanza

Kila mtu aliyemzuri kwenye familia yako

"Kila mtu kwenye familia yako anayekubalika kwangu"

Numbers 18:14

Sentensi unganishi

Mungu anaendelea kuongea na Haruni

Kila kitu kinachofungua tumbo, kila limbuko

"kila mzaliwa wa kwanza wa kiume"

Kila kitu kinachofungua tumbo

Nahau hii ya "kufungua tumbo" mzaliwa wa kwanza wa kiume ambaye mama huzaa"

watu lazima wawakomboe wazaliwa wa kwanza wa kiume

Badala ya kutoa sadaka wazaliwa wao wa kwanza, watu walitakiwa kuwalipa makuhani kwa ajili ya wana wao.

Wale ambao wanahitaji kukombolewa na watu watakombolewa wakiwa na umri wa mwezi mmoja

"watu watawakomboa wakiwa na umri wa mwezi mmoja."

Wale wanaohitaji kukombolewa

Hii inamaanisha watu ambao wanatakiwa kukombolewa na wala si wale wanyama ambao ni wazaliwa wa kwanza wasiosafi

shekeli tano .... ambazo ni sawa na gera ishirini

""vipande vitano vya fedha ... ambvyo kila kimoja ni sawa na gramu ishirini za fedha" au "gramu hamsini za fedha kwa kipimo cha mahali patakatifu"

shekeli tano

Shekeli moja ni kipimo cha uzani. "shekeli tano za fedha"

shekeli za mahali patakatifu

Hizi ni shekeli zenye uzani tofauti. Ni kipimo ambacho kilitumikaa kwa mahali patakatifu hemani. Uzani wake ulikuwa gera ishirini sawa na gramu 11.

Numbers 18:17

Sentensi unganishi

Mungu an endelea kuongea na Haruni

Utanyunyizia damu yake

"mtawachinja na kunyunyizia damu yake"

sadaka ya moto

"ambayo imetengenezwa kwa moto"

harufu nzuri ya kumpendeza BWANA

"BWANA atapendezwa nanyi"

kidali cha kuinuliwa na paja la kulia

"kidali na paja la kulia ambalo utaliinua kama sadaka kwangu"

Numbers 18:19

Sentensi unganishi

Mungu anaendelea kuongea na Haruni

nimekupa wewe

"Ninakupatia wewe"

Kama gawio la kudumu

"Kama sehemu ambayo mtaendelea kupata"

Hili ni agano la milele la chumvi. Agano linalofunga milele

"mapatano aya milele"

agano la milele la chumvi

"agano lililotengenezwa kwa chumvi." Chumvi inawakilisha kitu cha kudumu na ilitumika kwa ajili ya sadaka kwenye chakula cha maagano. "agano la kudumu" au " agano la milele"

wala hautakuwa na gawio miongoni mwa watu

"Hautamilikishwa ardhi ya watu" au " au hauatapokea chochotekatika ardhi ambayo Waisraeli wataimiliki"

Mimi ndio gawio lenu na urithi wenu

"Badala yake Mimi ndio nitakuwa kile matakachohitaji" au " Badala yake, Mimi nitawaruhusu kunitumikia na nitatoa kwa ajili yenu kupitia huduma hiyo"

Numbers 18:21

Sentensi unganishi

Mungu anaendelea kuongea na Haruni

Tazama, Nimewapatia

"Neno "tazama" linaongeza msisitzo wa kile kinachofuata. "kwa hakika, Nimwewapeni"

kuwa urithi wao

"kama sehemu ay kile ninachowapatia Waisreali wote"

Numbers 18:23

Sentensi unganishi

Muungu anaendelea kuongea na Haruni

Na miongoni mwa watu wa Israeli hawa hawatakuwa na urithi.

"Hawatakuwa na ardhi yeyote ambayo watu wengine wa Israeli watapewa"

kuwa urithi wao

"kama sehemu ambayo ninawapa Waisraeli wote"

Numbers 18:25

Mnapopokea zaka tokakwa watu ambayo BWANA amewapa

Watu wa Israeli walikuwa wakimtolea BWANA ehehemu ya kumi ya mazao na ya wanyama, na BWANA aliwapatia hiyo Walawi

kuwa urithi

"kama seheelimu ya kile ninachowapita Waisraeli wote"

Zakayenu itahesabika kama moja ya mapato

"mkumbuke kutoa"

Numbers 18:28

Sentensi unganishi

Mungu anaendelea kumwambia Musa kile anachopaswa kuwaambia watu

mtatoa mchango wenu kwa Haruni yule kuhani

"mtampa Haruni yule kuhani mchango ambao BWANA anawadai"

ambavyo mmepewa

"vile ambvyo watu wa Israeli wamewapeni"

Numbers 18:30

Sentensi unganishi

Mungu anaendelea kuongea na Musa

hayo matoleo mazuri

"hayo matoleo m azuri ambayo mmepokea toka kwa watu wa Israeli"

nafaka zote zinazobaki

"nafaka" haya nimatoleo ambayo watu wa Israeli humpa Mungu na Walawi huzipokea.

Hamtakuwa na hatia yeyote kwa kuvila na kuvinywa

"hamtakuwa na hatia pale mtakapovila na kuvinywa"

Numbers 19

Numbers 19:1

ni amri, ni sheria

Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. "Ni amri za kimahakama"

wakuletee

Neno "wa" inamlenga Musa

kipaku wala waa

maneno haya yana maana ileile, yametumikaa pamoja kuongeza msisitizo kuwa mnyama huyu anatakiwa kutokuwa na dosari yeyote"

Numbers 19:3

mbele ya macho yake

"akiwa anaona" au "mbele yake"

yule kuhani atachukua mtia wa mwerezi

kuhania anayesemwa hapa ni Eliezeri

sufu

"sufu nyekundu"

Numbers 19:7

atafua nguo zake

"neno "a" linamwakilisha Eliezeri yule kuhani

Naye atabaki najisi

Hatakubalika kwa Mungu asiyefaa kufanya kazi yeyote. Mtu wa jinsi hii ni najisi.

Numbers 19:9

mtu aliyesafi

Mtu aliyesafi na anayeweza kufanya takatifu alihesabiwa kuwa ni msafi.

Majivu haya yatatunzwa

"Mtatayatunza haya majivu"

kwenye eneo safi

Kukubalika kwa kunamaanisha kuwa msafi. "Eneo linalokubalika"

atabaki najisi

Kutokukubalika kwa Mungukulionyesha kutoruhusiwa kufanyakazi yeyote takatifu. Ni ile hali ya kutokuwa msafi.

Numbers 19:11

Taarifa kwa ujumla

wazo la "usafi" na "Utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu

Taarifa kwa ujummla

wazo la "unajisi" na "uchafu," "kutokuwa msafi"linamaanisha kutokukubalika kwa Mungu.

maiti

"mwiliya mtu aliyekufa"

lakini kama hajajitakasa

"aomba mtu wa kumtakasa"

lakini kama hajajitasa mwenyewe katika siku ya tatu, basi hatakuwa safi katika siku ya saba

"atakuwa safi siku ya saba tu iwapo kama atajitakasa siku ya tatu"

mtu huyo ataondolewa

tazama 9:13

maji ya farakano yalikuwa hayajanyunyiziwa kwake

"hakuna alimnyunyizia maji ya farakano"

Atabaki najisi; na unajisi wake utabaki kwake

Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kwa pamoja kuonesha msisitizo

Numbers 19:14

Taarfa kwa ujumla

Lile wazo la "unajisi" linamaanisha kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayri kwa matumizi.

Kila chombo ambacho hakiina kifuniko kinanjisika

"vyombo amabvyo havina vifuniko vitabaki kuwa najisi kama havina vifuniko"

mtu aliyeuawa kwa upanga

"mtu ambaye aliuawa kwa upanga na mtu mwingine"

Numbers 19:17

Taarifa kwa ujumla

Lile wazo la "unajisi ni ile hali ya kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayari kwa matumizi

Taarifa kwa ujumla

Lile wazo la "usafi" na "utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu

Numbers 19:20

Taarfa kwa ujumla

Lile wazo la "unajisi ni ile hali ya kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayari kwa matumizi

Taarifa kwa ujumla

Lile wazo la "usafi" na "utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu

Huyi mtu ataondolewa

Tazama 9:13

Hajanyunyiziwa maji ya utakaso

"hakuna alimnyunyizia maji ya utakaso"

maji ya ufarakano

Tazama 19"11

Numbers 20

Numbers 20:1

Jangwa la Sini

Neno "Sini" ni neno la Kihebrania la jangwa.

mwezi wa kwanza

Huu ni mwezi wa kwanza wa Kalenda ya Kihebrania. unaoanza wakati Mungu aliwakomboa kutoka kwa Wamisri. Mwezi huu ulikuwa kati ya mwezi Machi na mweziwa Aprili katika Kalenda yetu ya Kimagharibi

alipozikwa

"na wakamzika"

Numbers 20:2

wakakusanyika

"kiwakilishi "wa"kinamaanisha watu wote

wakakusanyika pamoja

"walikuja pamoja kama kundi"

mbele ya BWANA

Hii inamaanisha kuwa mbele ya hema ya BWANA

Numbers 20:4

Sentensi unganishi

Watu wa Israeli wanaendelea kulalamika mbele ya Musa na Haruni

Kwaa nini umewaleta watuwa BWANA ... sisi na wanayama wetu?

"ni bora kama watu wa BWANA katika jangwahili ili kufa,hapa, sisi na wanyama wetu."

Kwa nini ulitutoa Misri ukatuleta katika eneo hili baya?

"Ni bora kama usingetutoa Misrina kutuleta katiaka eneo hili baya."

Numbers 20:6

wakalala kifufudifudi

Hii inaonesha kuwa Musa na Haruni walikuwa wakijinyenyekeza kwa BWANA.

Numbers 20:7

mbele ya macho yao

kiwakilishi cha "yao" kinaonesha watu waliona kile ambacho Musa alifanya. "wakati wakiona"

akachukua hiyo fimbo mbele ya BWANA

"mbele ya hema ya BWANA"

Numbers 20:10

Lazima tuwape amaji kutoka kwenye huu mwamba?

"Hamkufurahi ingawa tuliufanya mwamba huu kutoa maji, hata hivyo nitafanya"

Lazima tulete

"Kiwakilishi "tu" kinamwakilisha Musa na Haruni na kiaweza kumjumuisha BWANA, hakijumuishi wale watu wengine.

Numbers 20:12

Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya macho ya Israeli

"Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya macho ya Israeli kama mtakatifu, lakini niliumpiga ule mwamba badala ya kuuambia kama nilivyoawaambia"

mbele ya watu wa Israeli

"wakati watu wa Israeli wakikutazama wewe"

Mahali hapa paliitwa

"watu walipaita mahali hapa"

Numbers 20:14

Ndugu yako Israeli

Musa anatumia Kiraihiki ili kusisitiza kuwa Waisraeli na Waedomu walikuwa na uhusiano kwa sababu mababu zao Yakobo na Esau walikuwa ndugu.

Tulipomlilia BWANA

"Tulipomwomba BWANA atusaidie"

akatusikia sauti zetu

Neno "sauti" linawakilisha kilio au kile ambacho watu walimwambia. "alisikia kilio chetu" au "alitusikia kile tulichomwomba"

Tazam

Neno "Tazama" hapa linamaanisha kubadilisha mada. Walikuwa wanaongelea mambo yao ya nyuma na sasa wanaongelea mambo yao ya sasa ili wakati wanajiandaa kumwomba mfalme ili afanye kitu.

Numbers 20:17

Sentensi unganishi

Wale watumishi wanaendelea kuongea na mfalme wa Edomu

Hatutageuka upande wa kulia wala wa kushoto

Neno "kugeuka" linamaanisha kuiacha barabara, "Hatutaiacha barabara kwa uelekeo wowote"

nia kuu ya mfalme

Hii ni barabara kuu inayounganisha mpaka Dameski hadi Kaskazini kwenye ghuba ya Akabahi.

Numbers 20:18

Msipite hapa ... nitakuja na upanga na kukuvamia

"watu wako wasipite hapa ... kuwavamia"

Nitakuja na upanga

"Nitatuma jeshi langu"

Watu wa Israeli

Hii inamaanishsa wale watu wa Israeli waliokuwa wametumwa

tukitembea kwa miguu

Inamaanisha kuwa watapita kwenye hilo eneo wakitembea.

Numbers 20:20

kwa hiyo mfalme wa Edomu akawa kinyume cha Israeli kwa mkono wenye nguvu pamoja na jeshi kubwa sana.

"mfalme wa Edomu akatuma jeshi kubwalenye askari wengi ili kuwavamia Waisraeli"

kupita kwenye mipaka yake

Neno "yake" linamaanisha Waedomu

Numbers 20:22

Wana wa Israeli, watu wote

Kirai cha "watu wote" kinasisitiza kuwa kia mtu aliyekuwa sehemu ya Waisraeli alikuwepo bila kuwa na udhuru

Haruni kukusanyika na watu wake

Hii ni tafsida ya kusema kuwa Haruni atakufa. Ni wakati wa Haruni kufa na roho yakae kwenda mahali walipo mababu zake. "Haruni atakufa"

hamkutii sauti yangu

"sauti yangu" inamaanisha kile ambacho Mungu alikuwa amesema," Mlikataa kufanya nilichokuwa nimeema"

Numbers 20:25

Sentensi unganishi

Muungu anaendelea kuongea na Musa

atakufa na kulazwa pamoja na watu wake

Ni wakati wa Haruni kufa na roho yake kwenda walipo mababu zake

Numbers 20:27

siku thelathini

"siku 30"

Numbers 21

Numbers 21:1

akapigana dhidi ya Israeli

"Majeshi yake yakapigana dhidi ya Waisraeli"

Israeli akaapa

"watu wa Israeli wakaapa" au "Waisraeli wakafanya kiapo"

BWANA akaisikia sauti ya Israeli

"alifanya kile Israeli alichoomba"

sauti ya Israeli

ambacho Israeli aliomba

Wakawaangamiza kabisa pamoja na miji yao

"Watuwa Israeli wakaliangamiza kabisa jeshi la Wakanaani na miji yao"

Mahali pale paliitwa Horima

"Wakapaita mahali pale Horima"

Numbers 21:4

Kwa nini umetutoa Misri ili tufe katika jangwa hili?

"Usitutoe Misri ili tuje kufa katika jangwa hili"

Numbers 21:6

Tumemnung'unikia Musa na wewe

"Tumesema mabo mabya juu ya BWANA na wewe"

Tu

Kiwakilishi "tu" kinawakilisha watu wa Israeli bila kumjumuisha BWANA na Musa.

Numbers 21:8

Tengeneza nyoka

"Tengeneza mfano wa nyoka"

kila anayeumwa

"kila amabaye ataumwa na nyoka

nyoka wa shaba

"nyoka anayetokana na shaba"

na kumwanagalia huyo nyoka atapona

kiwakilishi "a" kinmwakilisha mtu yeyote aliyeumwa na nyoka.

Numbers 21:10

linalokabili Moabu

"ambalo linafuatia Moabu"

Numbers 21:12

ndio unaotengeneza mpaka wa Moabu na Amoni

Hii inamaanisha kuwa hawa watuwaliishi katika maeneo mwaili tofauti katika ule mto, amabayo mto ulikuwa mpaka wao.Wamoabu walishi kusini mwa mto na Waamori walishi upande ule wa Kusini.

Numbers 21:14

Wahebu katika Sufa

haya ni majina mawili ya mahali pale

mtelemko wa bonde linaloelekea katika mji wa Ari na kuelekea kwenye mpaka wa Moabu

"mtelemko unaoelekea kwenye mji wa Ari na mpaka wa nchi ya Moabu

Numbers 21:16

mpaka Beeri, hapo ndipo palipo na kisima ambacho

"mpaka Beeri. Hapo palikuwa na kisima"

ambacho BWANA almwambia Musa, "Wakusanye watu kwa ajili yangu ili uwape maji,"

"mahali ambapo BWANA alimwambia Musa kuwakusanya watu pamoja ili awape maji"

Numbers 21:17

enyi visima, yajazeni maji

"enyi maji, vijazeni visima"

Kisima ambacho viongozi wetu walichimba, kisima ambacho wenye hekima walichimba

Virai hivi viwili vivnamaanisha kitu kile kile, vimetumika kusisitiza wajibu wa viongozi kwa jukumu la kuchimba visima.

kwa fimbo ya kifalme na kwa fimbo ya kutembelea

"wakitumia hata fimbo zao za kifalme na za kutembelea"

Numbers 21:19

Nathalieli ... Bamothi

Haya ni majina ya maeneo

Mlima Piska

Hili ni jina la Mlima

kinapoonekana jangwani

"kinatokezea kutoka jangwani"

Numbers 21:21

Kisha Israeli

"Israeli" inamaanisha watu wa Israeli, hasa viongozi wao. "kisha Waisraeli"

Hatutapita kwenye shamba lolote au shamba la mizabibu

"Hatutaingia kwenye shamba lenu lolote au shamba la mizabibu"

njia kuu ya mfalme

Tazama 20:17

kupita kwenye mpaka wao

"kuvuka mpaka wao." Neno "wao" linamaanisha Waamori

Jahazi

Hili ni jina la mahali

alipigana dhidi ya Israeli

kiwakilishi "a" kina mwakilisha jeshi la Mfalme Sihoni, "jeshi lake lilipigana dhidi ya Israeli"

Numbers 21:24

Israeli akalivamia

Neno "Israeli" linamaanisha Waisraeli. "Waisraeli wakawavamia"

kwa nchaya uoanga

"na wakawaangamiza kabisa"

na kuchukua nci yao

"wakaitwaa nchi ya Waamori"

Watu wa Amoni ... Waamori

"Waamoni ... Waamori" au "watu wa Amoni ... watu wa Amori" majiina haya yanafanana lakinai yanamaanisha watu wa makundi mawili tofauti.

ulikuwa umefungwa

"ulikuwa na ulinzi imara"

Heshiboni na vijiji vyake vyote

"Hshiboni na vijiji jirani alivyovitawala"

Sihoni alikuwa ameteka ardhi yake yote

Neno "yake" linawakilisha mfalme wa Moabu.

Numbers 21:27

Heshiboni ... mji wa Sihoni

Haya ni majiina mawili yanayomaanisha mji uleule

Mji wa Sihoni ujengwe na kuimarishwa tena

"Mtu aujenge mji wa Sihoni na kuimarisha tena mji wa Sihoni"

Moto uliwaka toka mji wa Heshiboni, moto kutoka mji wa Sihoni

"Mfalme Sihoni alikuwa na jeshi imara kutoka mji wa Heshiboni"

Uliteketeza Ari ya Moabu

"uliharibu mji wa Ari katika nchi ya Moabu"

Numbers 21:29

Moabu ... watu wa Chemoshi

Virai hivi vinamaanisha watu walewale

Watu wa Chemoshi

"Chemoshi" lilikuwa jina la mungu wa Uogo amabye aliabudiwa na Wamoabu. "watu waliomwabudu Chemoshi"

Amewafanya watu wake

kiwakilishi "a" na "wake" kinamaanisha Chemoshi

tumewapiga

kiwakilishi "tu" kinawawakilisha Waisraeli waliompiga Sihoni

Tumeiangamiza Heshiboni

"Tumeiangamiza Heshiboni"

Heshiboni ...mpaka Diboni. Mpaka Nofa ... Madeba

Maeneo yote haya yako kwenye ufalme wa Sihoni. Hii inamaanisha kuwa Waisraeli waliuangamiza utawala wote wa Sihoni.

Numbers 21:31

kuwafukuza

"waliwaondosha"

Numbers 21:33

akatofautiana nao

"aliwavamia"

Mfanyeni kama mlivyomfanya Sihoni

"Mwangamizeni kama mlivyomwagamiza Sihoni mfalme wa Waamori"

Kwa wakamwua

"Kwa hyo jeshi la Israeli likamwua Ogu"

wote wakaisha na hakubaki hata mmoja aliyebaki hai

"watu wake wote waliuawa"

wakaichukua nchi yake

"wakaitawala nchi yake"

Numbers 22

Numbers 22:1

kwenye upande mwingine wa mto Yorodani kutoka mji ule

Waisraeli walikuwa wameweka kambi uoande wa Mashariki wa mtoYorodani. Yeriko ilikuwa magaharibi mwa mto

Numbers 22:2

Baalaki mwana wa Zippori

Balaki alikuwa mfalme wa Moabu

Moabu aliwaogopa sana hao watu ... Moabu aliwahofia wana wa Israeli

Virai vyote viwili vinamaanisha kitu kilekile na vimetumika kuonesha jinsi Moabu alivyokuwa amaeogopa

Moabu aliogopa sana

"Wamoabu wote walikuwa wameogopa sana"

Kwa sababu walikuwa wengi sana

"Kwa sabau ya wingi wao"

Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani

Wamobau na Wamidiani walikuwa watu wa makundi mawili tofauti, lakini Wamidiani walikuwa wanishi kwenye nchi ya Moabu wakati ule.

Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho kama vile maksai walavyo nyasi za kondoni

Jinsi Waisraeli watavyowaangamiza maadui zao kumeongolewa kama vile makaisai wanavyokula nyasi za kondeni

Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu

Huu ndio wasifu wa Balaki katika habari hii

Numbers 22:5

Akatuma wajumbe

"Balaki akatuma wajumbe"

Beori

Hili ni jina la baba wa Balaam.

Pethori

Hili ni jina la mji

katika nchi ya taifa lake na watu wake

"wa taifa la Balaam na watu wake"

Akamwita

"Balaki akamwita Balaam."

Wanafunika uso wa dunia

"walikuwa wengi sana"

uso wa dunia

Hii inamaanisha sehemu ya juu ya dunia

kuwafukuza

"kuwaondosha"

Najua kuwa yeyote unayembariki hubarikiwa na yeyote unayemlaani atalaaniwa

"Najua unazo nguvu za kubariki na kulaani watu"

Numbers 22:7

malipo ya uganga

"Pesa ya kumlipa Balaamu ili awalaani Waisraeli"

Wakafiaka kwa Blaamu

"Walienda kwa Balaamu"

Wakamwambia maneno ya Balaki

"maneno" inamaanishaujumbe wa Balaki. "Wakamwambia ujumbe toka kwa Balaki"

nitawaletea

"Nitawaambia"

Numbers 22:9

Mungu akaja kwa Balaamu

"Mungu akaonenkana kwa Balaamu"

Ni akina nani hawa waliokuja kwako?

"Niambie juu ya watu hawa waliokuja kwako"

Tazama hawa watu ... kuwafukuza.

Tazama 22:5

Kuwafukuza

"kuwaondosha"

Numbers 22:12

kwa sababu wamwbarikiwa

"Kwa sababu Nimewabariki"

Numbers 22:15

Wakaja kwa Balaamu

"Walienda kwa Balaamu"

watu hawa

"kundi hili la watu"

Numbers 22:18

Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha

Balaamu anasisitiza kuwa hakuna kitakachomfanya avunje utii wake kwa BWANA

sitaweza kufanya dhidi ya maneno ya BWANA... na kufanya pungufuau zaidi ya kile anachoniambia.

Inamaanishsa kuwa Balaamu hataacha kumtii BWANA kwa namna yeyote.

Numbers 22:21

akatandika punda wake

akamwanadaa punda wake tayari kwa safari

hasira za Mungu zikawaka

"Munga akajawa na hasira"

kama adui wa Balaamu

"ili aweze kumzuia Balaamu"

akiwa na upanga mkononi

"akiwa na upanga tayari kwa kushambulia

yule punda akageuka na kwenda shambani

"Yule punda alifanya hivi ili kumwepuka malaika wa BWANA"

ili arudi barabarani

"kumrudisha"

Numbers 22:24

Akasongea zaidi ukutani

Alifanya hivi ili kumwepuka malaika wa BWANA barabarani

Akasogea

"punda alisogea"

na kuubana mguu wa Balaalmu ukutani

"akaukandamiza mguu wa Balaamu na kumwumiza Balaamu"

Numbers 22:26

Hasira za Balaamu zikawaka

Tazama 22

Numbers 22:28

Kisha BWANA akafungua kinywa cha Punda na akaongea

"Kisaha BWANA akampa punda uwezo wa kuongea kama vile binadamu awezavyo kuongea"

Akamwabia Balaamu

"Yule punda akamwambia Balaamu"

Je, mimi si punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote mpaka hivi sasa?

"Mimi ni punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote, mpka hivi sasa."

Je, nimewahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi hapo awali?

"sijawahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi"

Numbers 22:31

Basi BWANA akafungua macho ya Balaamu, na akamwona malaika wa BWANA

"Kisha BWANA akampa Baalamu uwezo wa kumwonamalaika wa BWANA"

akiwa na upanga mkononi mwake

Tazama 22:21

Balaamu akainamisha kichwa chake chini

Balaamu akajinyenyekeza

Kwa nini umempiga punda wako mara tatu

"usingempiga punda wako mara tatu

kama adui yako

"ili kukupinga"

Kama asingekuwa amegeuka kutoka kwangu... ningekuwa nimekuua na yeye kumwacha hai

punda alimwokoa Balaamu

Numbers 22:34

kwa hiyo sasa, kama haikupendezi

"kwa hiyo kama hutaki mimi niendelee"

kwa hiyo Balaamu akaendelea na wale viongozi

Tazama 22:2

Numbers 22:36

Amoni

Tazama 21:12

Je, mimi sikutuma watu kukuita?

"Kwa hakika nilituma watu kukuita"

Kwa nini hukuja kwangu

"ulipaswa kuja kwangu"

Je, mimi sina uwezo wa kukufanya uheshimiwe?

"kwa hakika unajua kuwa mimi ninauwezo wa kukulipa pesa kwa ajili ya ujio wako kwangu"

Numbers 22:38

Je, mimi sina mamlaka ya kusema chochote

"Lakini sinsa mamlaka yakusema chochote ninachotaka"

maneno ambayo Mungu ameweka kinywani mwangu

"ujumbe ambao Mungu ananitaka niuseme"

Kiriathi Huzothi

Haya ni mjina ya miji

baadhi ya hiyo nyama

"baadhi ya hiyo nyama kutoka kwenye ile sadaka"

Numbers 22:41

mpaka mahali pa juu pa Baali

Tazama 21:19

Numbers 23

Numbers 23:1

Balaki

Tazama 22:2

Uandae mafahri saba na kondoo dume saba

"uchinje mafahari saba na kondoo dume saba kuwa sadaka"

simama kwenye sadaka yako ya kuteketezwa na mimi nitaenda

"baki hapa na sadaka yako ya kuteketetezwa na mimi nitaenda umbali kidogo"

Numbers 23:4

nimetoa sadaka ya fahari na kondoo dume

"Nimechinja fahari nakondoo dume na kuwateketeza kama sadak"

BWANA akaweka ujumbe kwenye kinywa cha Balaamu

"BWANA akamwambia Balaamu kile alichotaka akamwambie Balaki"

Numbers 23:7

Balaki amenileta kutoka Shamu ... mfalme wa Moabu kutoka katika milima ya mashariki,

Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile

Njoo, unilaanie Yakobo kwa ajili yangu; ... njoo umtie unajisi Israeli;

Virai vyote vinamaanishsa kitu kilekile vimetumika kuongeza msisitizo kwamba Balaki alitaka Balaamu kulaani Israeli.

Nawezaje kuwalaani wale ambaoMungu hajawalaani? Nawezaje kuwapinga wwale ambao Mungu hawapingi?

"Lakini siwezi kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani. Siwezi kuwapinga wale ambao Mungu hajawapinga"

Numbers 23:9

Kwa muwa kutoka juu ya miamba ninamwaona ... kutoka juu ya milima ninamtazama

Virai hivi viwili vinamaanishakitu kimoja. "Balaamu alimwona Israeli kutokea juu ya mlima."

Ninamwona ... ninamtazama

Kiwakilishi cha "mwo" na "m" kinawakilisha Waisraeli.

Kuna watu

"Kuna kundi la watu"

na hawajioni wenyewe kama ni taifa la kwaida

"wanajiona wenyewe kuwa taifa maalumu"

Numbers 23:10

Nani awezaye kuyahesabu mavumbi ya Yakobo au hata kuhesabu robo ya Israeli?

"Hawa Waisraeli ni wengi mno kuwahesabu. Hakuna awezaye kuwahesabu hata robo kwa sababu ni wengi mno"

kifo cha mtu mwenye haki

"kifo cha amani cha mtu mwenye haki"

mtu mwenye haki ... uwe kama wake

Hizi ni semi zinazowaongelea Waisraeli kuwa kama mtu mmoja.

Numbers 23:11

Balaki

Tazama 22:2

Umenifanyia nini?

"Siwezi kuamini ulichonifanyia!"

lakini ona

Hii inaonesha matukio ya kutisha yanayofuata

Kwa nini nisiwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA ameweka kinywani mwangu?

Lazima niwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA ananiambia kusema."

ameweka kinywani mwangu

Tazama 22:38

Numbers 23:13

Huko sasa unaweza kunilaania hawa watu

"Huko utanilaania Waisraeli"

Shamba la Zofimu

Neno "Zofimu" linamaanisha 'kutazama' au 'kupelelza'

Mlima Pisiga

Tazama 21:19

Numbers 23:16

na kumwekea ujumbe kinywani mwake

Tazama 22:38

Akasema

"Kisha BWANA akaksema"

Balaki, na usikilize ... Nisikilize mimi wewe mwana wa Zippori

Sentensi hizi zinamaanisha kitu kilekile na zimetumika kusisitiza umuhimu wa Balaki kuwa msikivu.

mwana wa Zippori

Tazama 22:2

Numbers 23:19

Je,alishawahi kuahidi kitu pasipo kukitekeleza? Je, alishawahi kusema kuwa atafanyakitu bila kufanya?

"Hajawahi kuahidi kitu pasipo kutimiza kile alichoahidi. Amekuwa akifanya kama alivyosema kuwa atafanya."

Nimeamuriwa kubariki

"Mungu ameniamuru kuwabariki Waisraeli"

Numbers 23:21

magumu katika Yeriko ... tabu katika Israeli

Virai hivi vinamaana moja ambayo yaweza kuwa 1) Mungu amempatia Israeli mambo mazuri tu 2) Hakuna dhdambi katika Israeli ambayo itamfanya awahukumu.

kelele za wafalme wao ziko pamoja nao

"Wanapiga kelele kwa furaha kwa sababu BWANA ni mfalme wao"

kwa nguvu kama za nyati

Mfano huu unamaanisha kuwa nguvu za BWANA ni sawa na nguvu za nyati

Numbers 23:23

Hakuna uganga utakaofanyika dhidi ya Yakobo ... hakuna uchawiutakaomwumiza Israeli

Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile kwamba; hakuna laana ambayo mtu yeyote ataifanya katika taifa la Israaeli itakayofanikiwa.

Itasemwa

"watu watasema"

Tazama kile ambacho Mungu amefanya

"Yatazame mambo mazuri ambayo Mungu amewafanyia!"

Numbers 23:24

watu wanainuka kama simba jike ... na kunywa damu ya windo lake

Israeli wanavyowaangamiza maadui ni kama simba anavyoshambulia windo lake.

Numbers 23:25

Balaki

Tazama 22:2

Sijakuambia kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema?

"Nilikuambia mapema kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema."

Numbers 23:28

ambalo ambalo unalitazama chini lile jangwa

"ambalo unalitazama lile jangwa ambapo Waisraeli walikuwapo"

Numbers 24

Numbers 24:1

kama hapo awali

"kama alivyofanya nyakatiza nyuma"

Numbers 24:2

Akayainua macho yake

"akatazama juu"

Roho wa Mungu akamjia

Roho wa Muungu alimtawala wakati wa kutoa unabii.

Akapokea huu unabii

"Mungu alimpatia huu unabii"

Balaamu mwana wa Beori

Tazama 22:5

ambaye macho yake yamefunuliwa

anaona na kuelewa

Numbers 24:4

Taarifa kwa ujumla

Balaamu anaendelea kutoa unabii kwa kuwezeshwa na Mungu

Huongeae ... Huona ... humwinamia

Haya ni maneno ya Balaamu

humwinamia

Hili ni tendo la heshima

macho yake yakiwa yamefumbuliwa

"macho yakiwa yamefumbuliwa" inamaaniaha kuwa Balaamu alikuwa amepokea uwezo wa kufahamu kile ambacho Mungu alimtaka aseme.

Jinsi zilivyo nzuri hema zako, ewe Yakobo, mahali unapoishi, Israeli

Virai hivi vyote vina maana moja na vinaonesha jinsi kambi za Waisraeli zilivyokuwa nzuri kwa Balaamu.

Numbers 24:6

Taarifa kwa ujumla

Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu

Wamesambaa kama bonde

Balaamu anawaongelea Waisraeli kuwa walikuwa wengi kiasi cha kulijaza bonde lote

kama bustani zilizo pembezonimwa mto

Balaamu anawaongelea Waisraeli kama bustani iliyomwagiliwa maji na itoayo mavuno menegi.

kama miti ya mishubiri iliyopandwa na Mungu

"Mishubiri ambayo BWANA ameipanda"

kama mfano wa mierezi pembezoni mwa maji

Mierezi ilikuwa miti mierfu sana huko Israeli. Balaamu anawaongelea Waisraeli kama mierezi iliyokuwa sana na kuwa miti mikubwa kwa sababu ya maji mengi.

Numbers 24:7

Taarifa kwa ujumla

Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu.

Maji yanatirika ... zimemwagiwa maji

"Mungu ataibariki Israeli kwa maji mengi kwa ajili ya mazao"

mbegu zao zimemwagiwa maji vizuri

"Watakuwa na maji mengi kwa ajili ya mbegu zao ili kusitawisha mazao"

Mfalme wao atakuwa juu ... na ufame wao utaheshimiwa

Sentensi hizi zinamaanisha kitu kimoja zinasisitiza kuwa Mungu atawabariki ukilinganisha na mataifa mengine.

Mfalme wao atakuwa juu ya Agagi

Neno "juu" linamaanishsa heshima ya juu na mamlaka kuliko Agagi.

Ufalme wao utaheshimiwa

"watu wengine watauheshimu ufalme"

Numbers 24:8

Taarifa kwa ujumla

Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu.

Mungu anamtoa

Mungu anawaleta Waisraeli

na nguvu kama za nyati

Waisraeli watakuwa na nguvu

Atawameza mataifa

Watawaangamiza maadui wao

Numbers 24:9

Taarifa kwa ujumla

Balaamu anamaliza kutoa unabii kwa uwezo wa Roho wa Mungu

Ananyatia kama siimba mume, na kama simba jike.

Inamaanisha kuwa wako tayari kushambulia.

Nani anayejaribu kumshambulia

"Hakuna anayethubutu kumsumbua"

Kila mmoja anayembarki na abarikiwe; na kila mmoja anayemlaani na alaaniwe

"Mungu awabariki wale wanawabariki Waisraeli; na awalaani wale wanowalaani Wasraeli"

Numbers 24:10

Hasira za Balaki zikawaka

"Balaki alijawa na hasira"

akaipiga mikono yake kwa pamoja

Hii ilikuwa ishara kubwa ya kuchanganyikiwa na hasira

Numbers 24:12

Hata kama Balaki atanipatia ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu

"Inaonesha kuwa hakuna kitu ambacho kitamfanya Balaamu kumkaidi Mungu

Je, sikuwaambia haya?

"Niliwaambia haya."

watu hawa

"Waisraeli"

Numbers 24:15

Balaamu mwana wa Beori

Tazama 22:5

ambaye macho yake yamefumbuliwa

Tazama 24:2

aliye na maaarifa toka kwake yeye aliye juu

"Anayejua vitu ambavyo Mungu aliye juu ameyafunua"

humpigia magoti

Hii ni ishara ya kujitoa kwa Mungu

Numbers 24:17

Taarifa kwa ujumla

Balaamu anaendelea na unabii wake wa kwanza

Ninamwona, lakini hayuko karibu sasa. Ninamtazama, lakini siyo karibu

Virai hivi vinamaanisha kitu kimoja. Hapa Balaamu anatoa maona ya tukio la wakati ujao. Kiwakilishi "mwo" kinamaanisha kiongozi wa Israeli wa baadaye.

Nyota itatokea katika Yakobo

"Nyota" inaonesha mfalme wa Waisraeli ambaye atainuka katika mamlaka.

Katika Yakobo

"kutoka katika uzao wa Yakobo"

Na fimboya enzi itainuka katika Israeli

Neno "fimbo" linamaanisha mfalme mwenye mamlaka

Katika Israeli

Kutoka kwa Waisraeli hapo baadaye"

atawapigapiga viongozi wa Moabu

Yaweza kumaanisha 1) atavunja vichwa vya viongozi wa Moabu 2) atawaharibu viongozi wa Moabu.

uzao wa Sethi

Hii inamaanisha Wamoabu, waliokuwa uzao wa Sethi

Numbers 24:18

Taarifa kwa ujumla

Balaamu anamaliza unabii wake wa kwanza kati ya nabii nne alizotoa.

Edomu atakapokuwa miliki ya Israeli

"Waisraeli wataimilki Edomu"

Na Seiri pia itakuwa milki yao

"Israeli atawaangamiza watu wa Seiri"

Kutoka kwa Yakobo atatoka mfalme

"Yakobo" ni kiwakilishi cha watu wote wa Isreli

katika mji

"mji wa Ari ambao Balaki alikutana na Balaamu"

Numbers 24:20

Balamu akamtazama Amaleki

Amaleki inamaanisha watu wa Amaleki ambao pia aliwatolea unabii.

mwisho wake utakuwa

amametumia iwakilishi "wake" kwa sababu ametumia kiwakilishi cha mtu mmoja.

Numbers 24:21

Wakeni

Hili ni jina la kundi la watu walitokana na Kaini

Mahali unapoishi pana usalamu

"Mahali unapoishi panalindwa"

na viota vyake viko kwenye miamba

"mahali penu pana usalama kama vile kioyta kilivyo salama kinapokuwa kwenye miamba"

Lakini pamoja na hayo, Kaini ataharibiwa na Ashuru atakapowachukua mateka."

"Lakini Waashuru watawaharibu Wakeni na kuwachukua kama mateka"

Numbers 24:23

Ole wake atakayesalia Mungu atakapoyafanya haya?

"Hakuna atakayesalia Mungu atakayefanya haya"

Kittimu

Hili ni jina la mji katika kisiwa kilicho katika bahari ya kati.

wao pia wataishia katika uharibifu

"Mungu atawaharibu pia"

Numbers 25

Numbers 25:1

Shittimu

Hili ni jina la mahali kule Moabu

kuisujudia

"hili ni tendo la ibaada"

Peori

Tazama 23:28

Hasira ya BWANA ikawaka

Tazama 21:19

Numbers 25:4

viongozi wote wa watu

"viongozi wote wa watu ambao wana hatia ya kuabudu sanamu"

ili waonekane wakati wa mchana

Viongozi wa Waisraeli watawaua watu hawa na kuacha maiti zao nje ili watu wote wawaone

Viongozi wa Israeli

"Kwa viongozi wa Israeli wasiokuwa na hatia ya kuabudu sanamu"

Numbers 25:6

akaleta mwanake mmoja aliyekuwa miongoni mwa familia yake

"akaleta mwanamke wa Kimidiani kwenye kambi ya Waisraeli ili alale naye"

mbele ya macho ya Musa na watu wa Israeli

"mbele ya macho ya" ni nahau inayomaanisha walisikia juu yao, au walipata taarifa juu yao"

Eliezeri

Tazama 3:1

Numbers 25:8

Akamfuata

"Finehasi akamfuata"

Numbers 25:10

ameigeuza hasira yangu isiwe kwa wana wa Israeli

"Amesababisha mimi nisiwe na hasira juu ya wana wa Israeli"

sijawaangamiza watu wa Israeli kwa hasira yangu

"Sijawaangamiza wana wa Israeli kwa hasira yaku kali"

Numbers 25:12

Kwa hiyo waambie, 'BWANA anasema, "Tazama, ninampa Finehasi agano langu la amani ... watu wa Israeli."

"Kwa hiyo mwambie Finehasi kuwa nitampatia ... wana wa Israeli."

Numbers 25:14

Sasa

Hii inatutoa kwenye habari nyingine na kutupeleka kwenye habari ya Zimri na Cozibi.

alyeuawa

"ambaye Finehasi alimwua"

Zimri ... Salu ... Zuri

Haya ni majina ya wanaume

Cozibi

Hili ni jina la mwanamke

Numbers 25:16

kwa kuwadanganya

"kwa kukudanganya wewe"

waliwaongoza katika uovu

"Waliwashawishi ninyi kufanya uovu huu"

swala la Peori ... kwa swala la Peori

Virai hivi vinamaanisha kuwa vitu hivi vyote vilitokea pale Peori.

Peori

Tazama 23:28

amabye aliuawa

"ambaye Finehasi alimwua"

Numbers 26

Numbers 26:1

Wahesabu watu wote

"Wahesabu wanaume wote katika jamii"

miaka ishirini na zaidi

"umri wa miaka 20 nazaidi"

Numbers 26:3

wakawaambia

"wakawaambia viongozi wa Waisraeli"

Uwanda

Uwanda ni eneo tambarare

miaka ishirini na zaidi

"umri wa miaka 20 na zaidi"

Numbers 26:5

Taarifa kwa ujumla

Viongozi wa Israeli wanawahesabu wanaume wenye umri wa miaka 20 na zaidi, kwa kufuata makabila yao na familia zao.

ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli

"Israeli" inamaanisha Yakobo

kutoka kwa mwana wake

Neno "wake" inamaanisha Reubeni

Numbers 26:8

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Eliabu ... Dathani ... Abiramu

Tazama 16:1

Numbers 26:10

Dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja

"BWANA ndiye aliyesababishaardhi ifunguke, n a wale wanaume wakaangukia shimoni"

moto uliteketeza wanaume 250

"BWANA alisababisha moto uwaue wanaume 250"

uzao wa Kora

"familia yote ya Kora

kufa

"mwisho"

Numbers 26:12

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:15

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:19

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:23

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:26

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:28

Taarifa kwa ujumla

Tazzama 26:5

Numbers 26:30

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:33

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:35

Taarifa kwa umumla

Tazama 26:5

Huu ndio uzao wa Yusufu

"Hawa walikuwa wazao wa Yusufu, wazao wa wana wakeambao ni Manase na Efraiimu"

uliohesabiwa toka kila koo

"waliwahesabu kutoka katika kila ukoo wao"

Numbers 26:38

Taarifa kwa ujumla

Tazzama 26:5

Numbers 26:42

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:44

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:48

Taarifa kwa ujumla

Tazama 26:5

Numbers 26:51

jumla kuu

"jumla"

601,730

Laki sita, elfu moja, mia sab na thelathini.

Numbers 26:52

Ile ardhi itagawanywa

"mtaigawa ardhi"

wanaume hawa

Tazama26:5

Kwa kufuata idadi ya majina yao

"kwa idadi ya watu katika kila ukoo"

Numbers 26:54

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kuongea na Musa

utawagawia urithi mkubwa

"utawapa ardhi zaidi kuwa urithi"

waliohesabiwa

"ambao viongozi wa Israeli waliwahesabu

ardhi itagawiwa

"mtaigawa ardhi"

kwa kupigiwa kura

"kwa kupiga kura"

utagawiwa

"utaigawa"

watagawiwa

"na mtaigawa ardhi kwao"

Numbers 26:57

Taarifa kwa ujumla

Hii ni orodha ya ukoo wa Lawi. Musa aliwahesabu Walwi kwa namna tofauti na makabila mengine kwa sababu hawakupokea ardhi yeyote.

Zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo

"ambao viongozi waliwahesabu kwa kufuata ukoo"

Gerishoni ... Kohathi ... Merari ... Amramu

Tazama 3:17

Alimzalia Amramu watoto wao

"Yeye na Amramu walikuwa na watoto"

Numbers 26:60

Nadabu ... Abihu ... Ithamari

Tazama 3:1

Walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika

Tazama 3:3

waliohesabiwa

"ambao viongozi waliwahesabu"

Elfu ishirini na tatu

"23,000"

Umri wa mwezi mmoja na zaidi

"umri wamwezi mmoja na kuendelea"

hawakuhesabiwa

"lakini viongozi hawakuwahesabu"

hawakupewa urithi

"kwa sababu BWANA alisemawasipewe ardhi kama uriti wao"

Numbers 26:63

walihesabiwa na Musa na Eliezeri yule kuhani

"ambao Musa na Eliezeri waliwahesabu"

aliyehesabiwa na Musa na Haruni

"Ambaye Musa na Haruni waliwahesabu"

wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa

"walipowahesabu wana wa uzao wa Israeli"

Numbers 26:65

Hapakuwa na mtu aliyebaki, isipokuwa

"watu pekee waliokuwa walikuwa"

mwana wa Yefune

Tazam 13:5

mwana wa Nuni

Tazama 11:28

Numbers 27

Numbers 27:1

Kisha wakaja kwa Musa binti wa Zelofehadi ... wamana wa Yusufu

"Hawa ni mabinti wa uzao wa Zerofehadi waliomjia Musa"

Zelofehadi, mwana wa Hefa ... Mahlahi. Noha, Hogla, Milika, na Tiriza

Tazama 26:33

Gileadi ... Machiri

Tazama 26:28

Numbers 27:2

Walisimama

"Binti wa Zelofehadi walisimama"

Waliompinga BWANA katika lile kundi ka Kora

"Waliokufa kwa sababu walikuwa miongoni mwa wafuasi waliompinga BWANA"

kwa dhambi zake

"kwa sababu ya dhambi zake"

Numbers 27:4

Kwa nini jina la baba yetu liondolewe miongoni mwa ukoo wa jamaa za zake kwa sababu ya kukosa wana?

"Usiliondoe jina la baba yetu katika ukoo kwa sababu hakuwa na mwana"

Tupeni ardhi miongoni mwa ndugu wa baba zetu

"Tupeni ardhi kule ambako ndugu wa baba zetu wanaishi"

Numbers 27:6

miongoni mwa ndugu za baba zake

"mahali ambako ndugu za baba zake wanaishi"

Numbers 27:9

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendeleza sheria za Mungu juu ya nani anapaswa kupokea ardhi kama mtu hakuwa na wana.

Hii itakuwa sheria iliyoanzishwa kwa amri kwa ajil ya watu wa Israeli

"Itakuwa sheria ambayo watu wote wa Israeli wataitii"

alivyoniamuru

kiwakilishi "ni" kinamaanisha Musa

Numbers 27:12

Milima ya Abarimu

Hii ni safu ya milima huko Moabu

ambayo nimewapa wana wa Israeli

ambayo nitawapa wana wa Israeli

pia lazima ukusanyike na watu wako

"lazima ufe"

Kama Haruni kaka yako

"kama Haruni kaka yako mkubwa"

ninyi wawili mlipinga amri yangu

"Hii inamaanisha Musa na Haruni"

Katika jangwa la Sini

Tazama 13:21

Pale ambapo maji yalitoka kwenye mwamba, katika hasira yako

Hii inamaanisha lile tukio ambalo Mungu alitengeneza maji kwa muujiza yakatoka kwenye mwamba. Mungu alimwambia Musa auambie mwamba, lakini badala yakae Musa akaupiga kwa sababu alikuwa na hasira dhidi ya watu

ulishindwa kuniheshimu mimi kama mtakatifu

"haukunichukulia kama mtakatifu"

mbele ya macho ya watu wote

"mbele ya kundi lote"

maji ya Meriba

Tazama 20:12

Numbers 27:15

Mungu wa wote wenye mwili

"Mungu awapaye wanadamu pumzi"

mtu awe juu ya watu

"mtu wa kuwaongoza watu"

mtu ambaye atatoka na kuingia kuja kwao na kuwatoa kisha kuwarudisha

mtu ambaye atawaongoza watu wote na kuongoza jeshi katika vita

ili kwamba watu wako wasije kuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji

Hii inamaanisha kuwa watu wasipokuwa na kiongozi watazungukazunguka

Numbers 27:18

Mchukue Joshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yangu hukaa

Roho ya BWANA yumo ndani ya Joshua, Hii inamaanisha kuwa Joshua humtii BWANA na kufuata amri zake.

umwekee mikono yako juu yake

"umwekee mikon yako juu yake ili umwagize"

umwamuru kuwaongoza mbele ya macho yao

"na mbele yao umwamuru Joshua kuwaongoza watu wa Israeli"

Numbers 27:20

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kuongeea na Musa juu ya Joshua

Utaweka baadhi ya mamlaka yako kwake

"utampa baadhi ya mamlaka yako"

Urimu

Hili lilikuwa jiwe la thamani ambalo kuhani mkuu alilivaa kifuani pake. Alilitumia kwa kutambua mapenzi ya Mungu.

Yeye pamoja na watu wa Israeli, ambao ni watu wote

"Wote yeye na taifa lote la Israeli"

Numbers 27:22

na kumweka mbele ya

"na akamwambia kusimama mbele ya"

Akaweka mikono yake juu yake na kumwamuru aongoze

kiwakilishi "a" kinamaanisha Musa, na kiwakilishi "ku" kinamwakilisha Joshua.

Akaweka mikono yake yake

Kitendo cha kuweka mikono ilikuwa njia ya kumweka mtu wakfu ili afanye kazi maalumu ya Mungu.

aongoze

"kuwa kiongozi wa Waisraeli"

kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya

kiwakilishi "mu" kinamwakilisha Musa

Numbers 28

Numbers 28:1

kwa wakati uliopangwa

"kwa wakati ambao nimeuchagua"

chakulacha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa

"chakula cha sadaka ambacho mtaiteketeza kwenye madhabahu"

kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu

"harufu ninayoifurahia"

Numbers 28:3

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya.

sadaka iliyotengenezwa kwa moto

"sadaka ya kuteketezwa"

iliyochanganywa na

"ambayo mmeichanganya na"

sehemu ya kumi ya efa

"lita 2"

robo ya hini

"lita moja"

mafuta yaliyokamuliwa

"mafuta safi ya mizeituni yaliyokamuliwa"

Numbers 28:6

ilyoamriwa mlima Sayuni

ambayo BWANA aliamuru pale mlima Sayuni

iliyotengenezwa kwa moto

uliyoiteketeza kwa moto kwenye madhabahu

robo ya hini

"lita moja"

utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA

"Lazima iwe sadaka, ya kinywaji n a lazima uimimine mahali patkatifu kwa ajili ya BWANA"

Alivyotolewa

"kama yule mliyemtoa"

Numbers 28:9

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya

sehemu ya kumi mbili ya efa

"takribani lita 4.5"

iliyochanganywa na mafuta

"ambayo mmeichanganya na mafuta"

na ile sadaka ya kinywaji

"ile sadaka ya kinywaji inayoambatana nayo"

Numbers 28:11

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya

sehemu ya kumi tatu

"lita sita"

sehemu za kumi mbili

"takribani lita 4.5"

sehemu ya kumi ya efa

"lita 2"

ilyochanganywa na mafuta

"ambayo mmeichanganya na mafuta"

iliyotengenezwa kwa moto

ambayo mmeiteketeza madhabahuni

Numbers 28:14

nusu ya hini

"lita 2"

sehemu ya tatu ta hini

"lita 1.2"

robo ya hini

"lita moja"

beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA.

"Lazima mtatoa beberu mmoja kwa BWANA kuwa sadaka ya dhambi"

Numbers 28:16

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya

siku ya kumi na nne, ya mwezi wa kwanza ... katika siku ya kumi na tano ya mwezi

siku ya 14, ya mwezi wa 1, ... siku ya 15 ya mwezi huu, "Hii inamaanisha mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiyahudi"

itakuwa Pasaka ya BWANA

"mtasherehekea Pasaka ya BWANA"

kutakuwa na sikukuu

"mtakuwa nasikukuu"

Mtakula mikate isiyokuwa na chachu

mtakula mikate isiyotiwa chachu

siku ya kwanza

siku ya 1

kutakuwa na kusanyiko takatifu l a kumheshimu BWANA

"Mtakusanyika pamja kumwabudu na kumheshimu BWANA." Kirai cha kusanyiko takatifu kinamaanishsa kuwa watu wanakusanyika kumwabudu BWANA. Kumwabudu BWANA ni kusanyiko takatifu.

Numbers 28:19

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya

mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto

mtateketeza sadaka madhabahuni

sehemu za tatu za efa

"lita sita"

iliyochanganywa na mafuta

"ambayo umeichanganya na mafuta"

sehemu za pili

takribani lita 4.5

sehemu ya kumi ya efa

"lita 2"

kufanya upatanisho

"kupatana"

Numbers 28:23

inayotakiwa kila asubuhi

"ambayo BWANA huitaka kila asubuhi"

kama ilivyofafanuliwa hapa

"kama Mimi, BWANA ilkivyofafanua hapa"

kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto

"mtateketeza chakula cha sadaka madhabahuni"

kuwa harufunzuri kwa BWANA

"kama harufu nzuri kwa BWANA"

hiki kitatolewa kuwa sadaka

"mtakitoa"

mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA

"Mkusanyike pamoja kumwabudu na kumheshimu BWANA:

Numbers 28:26

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya

sikuya malimbuko

"Hii ni siku ya sikukuu ambayo wanatoa sadaka ya unga kwa BWANA.

Mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA

"Mtakusanyika pamoja kumwabudu na kumheshimu BWANA"

uliochanganywa na mafuta

ambao mmeuchanganya na mafuta

sehemu za kumi tatu za efa

"lita 6"

sehemu za kumi tatu za efa

"lita 6"

sehemu za kumi mbili

"Takribani lita 4.5"

Numbers 28:29

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya

sehemu ya kumi moja

"lita 2"

unga mwembamba uliochanganywa na mfuta

unga mwembamba ambao mmeuchanganya na mafuta

kufanya upatanisho

"kupatana"

sadaka zake za vinywaji

sadaka za vinywaji vinavyoambatana nayo

Numbers 29

Numbers 29:1

Taarifa kwa uumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya

siku ya kwanza ya mwezi wa saba

"siku ya 1, ya mwezi wa 7 ya mwezi, katika kalenda ya Kihebrania"

mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA

"Kusanyikeni pamoja ili kumwabudu na kumheshimu BWANA"

Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta

"Itakuwa siku ambayo makuhani watapiga matarumbeta"

Numbers 29:2

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya

Numbers 29:3

sadaka ya unga

sadaka ya unga inayotolewa pamoja navyo

uliochanganywa na mafuta

"ambao mmeuchanganya na mafuta"

shsmu ya kumi tatu ta efa

"lita 6"

sehemu ya kumi mbili

"lita4.5"

sehemu ya kumi

"lita 2"

ili kufanya upatanisho

"kupatana"

Numbers 29:6

katika mwezi wa saba ... mwanzo wa kila mwezi

"mwezi wa 7 ...mwanzo wa kila mwezi katka kalenda ya Kihebrania."

kilka mwezi ... pamoja na sadaka maalumu ... na sadaka zake

"kwa kila mwezi, sadaka maalumu za kuteketezwa ... pamoja nazo"

sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji.

"sadaka za kila siku za kuteketezwa pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji zinazoambatana nazo"

utakuwa ukitii kilichoamriwa

"utatii amri za BWANA"

sadaka iliyotengenezwa kwa moto

sadaka uliyoteketeza madhabahuni kwa BWANA"

Numbers 29:7

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya

siku ya kumi ya mwezi wa saba

"siku ya 10 ya mwezi wa 7 kwa kalenda ya Kihebrania.

mtakuwa na kusanyiko takatifu

kusanyikeni ili kumwabudu na kumheshimu BWANA"

Numbers 29:9

uliochanganywa na mafuta

"ambao mmeuchanganya na mafuta"

sehemu ya kumi tatu

lita 6

sehemu ya kumi mbili

lita 4.5

sehemu ya kumi ya efa

lita 2

ya upatanisho

inayopatanisha

pamoja na sadaka za unga na sadaka zake za vinywaji

"pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji zinazoambatana nazo"

Numbers 29:12

Taarifa kwa uumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya

siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba

"siku ya 15, ya mwezi wa 7, ya kalenda ya Kihebrania"

mtakuwa na kusanyiko takatifu

"kusanyikeni ili kumwabudu na kumheshimu BWANA"

mtazitunza hizo sikukuu kwa ajili ya BWANA.

"Mtazikumbuka hizo sikukuu kwa ajili ya BWANA"

sadaka iliyotengenezwa kwa moto

"mtaiteketeza kwenye madhabahu"

mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne

mafahari wachanga 13, kondoo waume 2, na wanakondoo waume 14.

Numbers 29:14

uliochanganywa na mafuta

"ambao umeuchanganya na mafuta"

sehemu ya kumi tatu ta efa

lita 6

mafahari kumi na tatu ... wanakondoo waume kumi na nne

mafahari 13, wanakondoo 14

sehemu a kumi mbili

lita 4.5

sehemu ya kumi ya efa

lita 2

sadaka yake ya unga, na sdaka ya vinywaji

sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji inyoambatana na sadaka ya kila siku ya kuteketezwa,

Numbers 29:17

siku ya pil ya kusanyiko

"siku ya 2 ya sikukuu." neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma.

fahari wachanga kumi na mbili, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne

"fahari 12, kondoo waume 2, na wanakondoo waume14."

kama ilivyoamriwa

"kama BWANA alivyoamuru"

sadaka yake ya unga na sadaka yake ya vinywaji

"pamoja na sadaka yake yaunga na sadaka yake ya vinywaji inayoamabatana nayo"

Numbers 29:20

siku ya tatu ya kusanyiko

"siku ya 3 ya sikukuu. Neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu ya majuma

mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne

"mafahari 11, kondoo waume 2, na wanakondoo waume 14."

kama ilivyoamriwa

"kama BWANA alivyoamuru"

sadaka zakeza unga, na sadaka zaka za vinywaji

"pamoja na sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo."

Numbers 29:23

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya wakati wa sikukuu za mwezi wa saba.

siku ya nne ya kusanyiko

"siku ya 4 ya sikukuu." neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma.

wanakondoo wa kiume kumi na nne

"wanakondoo wa kiume 14"

kama ilivyoamriwa

"kama BWANA alivyoamuru"

sadaka zake za unga, na sadakazakae za vinywaji

"pamoja na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo."

Numbers 29:26

siku ya tano ya kusanyiko

"siku ya 5 ya sikukuu." Neno kusanyiko linamaanisha sikukuu za majuma."

wanakondoo waume kumi na nne

"wanakondoo waume 14"

kama ilivyoamriwa

"Kama BWANA alivyoamuru"

sadaka zake za unga, na za vinywaji

"pamoja na sadaka zake za unga na za vinywaji zinazozambatana nazo."

Numbers 29:29

siku ya sita ya kusanyiko

"siku ya sita ya sikukuu." Neno kusanyiko linamaanisha sikukuu za majuma."

wanakondoo waume kumi na nne

"wanakondoo waume 14."

kama ilivyoamriwa

"kama BWANA alivyoamuru"

sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji

"pamoja nasdaka zake za unga, na sadaka zake za vimywaji zinazoambatana nazo."

Numbers 29:32

siku ya saba ya kusanyiko

"sikuy a7 ya kusanyiko." Neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma."

wanakndoo waume kumi na nne

"wanakondoo waume 14"

kama ilivyoamriwa

"kama BWANA alivyoamru"

sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji

"pamoja nasadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo"

Numbers 29:35

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya wakati wa sikukuu za mwezi wa saba.

siku ya nane

siku ya 8

mtakuwa na kusanyikok lingine makini

"kutaneni tena ili kumwabudu BWANA sawa na kusanyiko la siku ya kwanza "

Sadakailiyotengenezwa kwa moto

"mtaiteketeza kwenye madhabahu"

Numbers 29:37

sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji

"sadaka za unga na sadaka za vinywaji"

kama ilivyoamriwa

"kama BWANA alivyoamuru"

zadakazake za unga, na sadaka zake za vinywaji

"pamoja nasadaka zake za uunga , na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo"

Numbers 29:39

Hivi ndivyo utakavyotoa

"Hizi sadaka ndizo utakazotoa"

sikukuu za kila mwaka

"sikukuu zilizopangwa"

Numbers 30

Numbers 30:1

Mtu yeyote atakayefanya nadhiri, au kuapa kwa kiapo

Virai hivi viinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kuonesha unuhimu wa kiapo.

ili kufunga nafsi yake

"kujitoa ili kutimiza kiapo" au "kuahidi kufanya kitu fulani"

asivunje neno lake. HeAtafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake

"Lazima atimize ahadi yake"

asivunje neno lake

Lazima atimize ahadi zake"

sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake

"atafanya kila kitu anachosema kuwa atakifanya"

Numbers 30:3

na kufunga nafsi yake kwa kiapo

"anajitoa mwenyewe ili kutimiza ahadi" au "ahadi ya kufanya jambo fulani"

nadahari na ahadi

maneno haya yana maana moja "Nadhriri"

na kufunga nafsi yake

"ambacho ameahidi mwenyewe kukitimiza"

kumzuia

"kuahirisha alichoahidi"

ndipo nadhiri zake zitakuwa naguvu. kila ahadi ... itabaki kuwa naguvu.

"atatakiwa kutimiza kile alichoahidi"

Numbers 30:5

nadhiri yake na ahadi yake

"nadhiri yake"

alizofanya

"ambazo alijitoa kufanya" au "zile alizofanya"

zitabaki kuwa nguvu

tazama 30:3

Numbers 30:6

ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake

"ahadi zake makini ambazo amejitoa mwenyewe kuzitimiza"

na kama atazitengua

"kama atazitengua ahadi zake"

hazitakuwa na nguvu

"hatalazikmika kuzitimiza"

BWANA atamsamehe

"BWANA atamsamaehe kwa kutotimiza ahadi zake"

angali katika hivyo viapo

"wakati bado amejitoa kutimiza viapo hivyo"

bila kufikiri

"kitu kilichofanywa pasipo kufikiri"

katika hivyo viapo

"vitu ambavyo mwenyee amehadi kuvifanya"

Numbers 30:8

kiapo alichofanya ... manenoya midomo yake ya bila kufikiri

sentensi hizi zinamaanisha kitu kilekile. Kirai cha pili kinafafanua kiapo ambacho yule mwanamke alifanya.

maneno ya midomo yake ya bila kufikiri

"Maneno aliyosema pasipo kufikiri" au "ahadi za bila kufikiri"

ambayo kwayo amefunga nafsi yake

"ambayo amejitoa mwenyewe kutimiza"

BWANA atamfungua

"BWANA atamsamehe"

Numbers 30:9

Taarifa kwa ujumla

Musa anaenedelea kuwaeleza vingozi wa makabila ambacho BWANA ameamuru

mwanamke aliyetalikiwa

"mwanamke aliyepewa talaka na mwanamume"

ambacho atakisema kufunga nafsi yake

"ambacho amejitoa mwenyewe kutimiza"

kitabaki na nguvu kinyume na yeye

Tazama 30:3

kama m mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake

"kama mwanamke aliyeolewa atafanya nadhiri"

basi viapo vyake vitasimama ... vitabaki na nguvu

Tazama 30:3

viapo vyakae vitasimama ... na vifungo alivyovifanya vitabaki na nguvu

"basi viapo vyake na ahadi zake ... vitabaki na nguvu"

Numbers 30:12

basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake

"basi chochote atakachosema"

Havitakuwa na nguvu

Tazama 30:6

BWANA atamfungua

"BWANA atamsamehe kwa kutotimiza viapo vyake"

Numbers 30:13

Kila kiapo ambacho ... kinaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake

"Mume wa yule mwanamke anaweza kuthibitisha au kubatilisha kiapo chochote alichofanya ambacho kinamfunga ili kujikana"

kinachomfunga

"ambacho ameahadi kukifanya"

ahadi zake zinazomfunga

"ahadi"

kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia

"kwa sababu hakumwambia chochote juu ya ahadi hizo"

Numbers 30:15

basi ataajibika kwa dhambi zake

"kama hatatimiza ahadi zake, hatakuwa na hatia ya dhambi zake, na badala yake mawanamume atakuwa na hatia badala yake"

Numbers 31

Numbers 31:1

Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanyia Waisraeli

BWANA alikuwa anawaadhibu Wamidiani kwa sababu waliwashawishi kuabudu masanamu

utakufa na kukusanyika nawatu wako

Ni tafsida ya Musa kufa n a roho yake kwenda kule ambako mababu zake waliko

Numbers 31:3

andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita

"Wapatie silaha baadhi ya wanaume"

wakawapige Wamidiani na kubeba kisasi cha BWANA

"Nenda upigane na Wamidiani na muwadhibu kwa ajili ya kile walichotutendea"

elfu moja ...elfu kumi na mbili

"1,000 ... 12,000"

maelefu elfu wa Israeli na nawanaume elfu

"wanaume wengi wa Israeli"

wanaume elfu kumi na mbili

makabila 12 walituma wanaume, pamoja na kabila la Lawi. Kila kabila lilituma wanaume 1,000 vitani"

wanaume elfu moja walitolewa kwa kila kabila kwa ajili ya vita

"kila kabila lilitoa wanaume 1,000 kwa ajili ya vita"

Numbers 31:6

Evi, Rekemu, Zuri, Huri, na Reba

Haya ni majinaya wafalme wa Midiani

Balaamu mwana wa Beori

Tazama 22:5

Numbers 31:9

likachukua mataeka

"walichukua vitu vya Wamidiani na kuvifanya kuwa vyao"

Walichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote

"Jeshi la Waisraeli walichoma moto miji yote ambamo Wamidiani waliishi na kambi zote za Wamidiani"

Numbers 31:11

Walichukua

"Jeshi la Israeli lilichukua"

Miliki

Hii inamaanishsa vile vitu walivyochukua baada ya kuwaua Wamidiani

uwanda

eneo kubwa tambarare

Numbers 31:13

majemadari wa maelfu

Hawa ni viongozi wa majeshi waliongoza wanaume zaidi ya 1,000 lakini pungufu ya wanaume 10,000.

wa maelfu ... maakida wa mamia

"maelfu ya maaskaari ... maaskari mamia"

maakida wa mamia

hawa ni viongozi wa majeshi walioongoza zaidi ya wanaume 1000 lkaini pungufu ya wanaume 1000.

Je, mmewaachca wanawake wote kuishi?

Jeshi lilivunja sheria kwa kuwaacha hai wanawake na watoto. Musa aliwakemea wanajeshi.

Numbers 31:16

Tazama

Hii ilikuwa ni kuwataka wasikilize na kuelewa ambacho msemaji alikuwa anawaambia wasikilizaji

aliyelala na mwanaume

aliyefanya ngono na mwanaume

Numbers 31:18

Taarifa kwa uumla

Musa anawaambia majemedari wa jeshi la Waisraeli juu ya kujitakasa mbele za BWANA.

ambao hawajalala na mwanaume

mabikra

Ninyi wote

Yeyote ambaye alipigana kwenye hivyo vita, si majemedari tu.

mtajitakasa wenyewe

Lazima wawesafi kiroho kabla hawajarudi kambini.

Kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao

"kila kitu ambacho mtu alitengeneza kwa kutumia ngozi za wanyama, manyoya ya mbuzi, au mbao"

Numbers 31:21

Taarifa kwa ujumla

Eliezeri anawafundisha maaskari taratibu za kujitakasa mbele ya BWANA baada ya kwenda vitani

Dhahabu, fedha, shaba,vyuma, bati, risasi

Hivi ni vyuma ambavyo vilikuwa vinatumika wakati ule

haviwezi kupita kwenye moto

"ambavyo haviwezi kuungua"

mtakiweka katika moto

"viwekeni motoni"

maji ya takaso

Tazama 19:17

ndipo mtakapokuwa safi

Huu ndio utaraibu wa kuwa safi mbele ya BWANA

Numbers 31:25

vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara

"vihesabu vitu vyote ambavyo maaskari wa wamevichukua"

Nyara

Hivi ni vitu vilivyochukuliwa na maaskari

viongozi wa watu kufuata ukoo

"vioingozi wa kila ukoo"

Numbers 31:28

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kuongea na Musa

Taarifa kwsa ujumla

"kwangu" inamaanisha BWANA

Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani

"kusanya kodi kutoka kwenye nyara za wanajeshi na uzitoe kangu."

kati ya mia tano

"kila 500"

kutoka katika nusu yao

"kutoka katika nusu ya maaskari"

itakayotolewa kwangu

"ambavyo atavitoa kwangu"

Numbers 31:30

Taarifa ka ujumla

BWANA anaendelea kuongea na Musa

Pia kutoka katika nusu ya Waisraeli

"Pia kutoka katika nusu ya nyara za Waisrael."

kati ya hamsini

"kila 50"

wanaotumika

wale wanaosimamia masikani na sadaka kwa BWANA

Numbers 31:32

Sasa

Neno hili limetumika hapa ili kuonesha mwisho wa habari hii kuu. Pia Musa anaanza kusikiliza juu ya kiasi cha nyara na kiasi gani kilitolewa kwa maaskari, kwa watu, na kwa BWANA.

maksai elfu sabini na mbili, punda elfu sitina na moja, na wanawake elfu thelathini na mbili

"makisai 72,000, punda 61,000, na wanawake 32,000."

amabao walikuwa hawajalala na mwanaume

mabikra

Numbers 31:36

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA.

ile nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajiai ya maaskari

"sehemu ya kondoo wa maaskari"

elfu thelathini na sita

36,000

sabaini na mbili

72

Numbers 31:39

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA.

sitini na moja

61

elfu kumi na sita

16,000

thelathini na mbili

32

ilitakiwa kuwekwa sadaka ya BWANA

"kuwa sadaka ya BWANA"

Numbers 31:42

tarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA.

makisai elfu thelathini n a sita

makisai 36,000

wanawake elfu kumi na sita

wanawake 16,000

Numbers 31:47

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA.

Taarifa kwa ujumla

Ile kodi ya sehemu ya watu iliuwa juu kodi ya maaskari

Numbers 31:48

majemedari wa maelfu

Tazama 31:13

juu ya maelfu ... juuya mamia

"maaskari zaidi ya maelfu ... maskari zaidi ya mamia"

Makaptateni wa mamia

Tazama 31:13

watumishi wako wamewahesabu

"watumishiwako." Hii ni njiaya kujinyenyekeza wakati wa kuongea na mtu mwenye mamlaka makubwa.

hakuna hata mmoja wao aliyekosa

"tunajua kwa uhakika kuwa kila mmoja yuko hapa"

Numbers 31:50

Taarifa kwa ujumla

Maofisa wa jeshi wanaendelea kuongea na Musa.

metali, timbi, pete za mhuri, vipini na kikuku

Hivi vyote ni vitu vya mapambo ambavyo watu huvaa.

ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA

"kumshukuru Mungu kwa kutuokoa maisha yetu"

dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi

"vitu vyote vya dhahabu"

Numbers 31:52

vitu vyote vya dhahabu ... kutoka kwa mamia vilikuwa na uzito ...

"dhahabu yote ambayo makamanda wa jeshi walitoa kwa BWANA ilikuwa na uzani wa"

16,750

"mia saba na hamsini"

shsekeli

shekeli 1 ni sawa na garamu 11

kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA

dhahabu itawakumbusha watu kuwa BWANA aliwapa ushindi, Pia itamkumbusha BWANA kuwa watu walitimiza kisasi kwa Wamidiani.

Numbers 32

Numbers 32:1

Sasa

Hili neno "sasa" linatumika hapa kuonesha mwanzo wa habari mpya. Musa anaanza kueleza historia ya Kabila la Reubeni na Gadi.

Atarothi, Diboni, Jazeri, Nimrahi, Heshiboni, Elealehi, Sabamu, Nebo na Beoni

Haya ni majina ya miji

Numbers 32:4

Taarifa kwa ujumla

Watu kutoka kwa Reubeni na Gadi wanaendelea kuongea na Musa, Eliezeri, na viongozi wengine

Haya ni maeneno ambayo BWANA laichukua mbele ya watu wa Israeli

"ardhi ambayo BWANA ametuwezesha kuwaangamiza watu waishio ndani yake"

Sisi watumishi wako

watu wa Reubeni na Gadi wantumia lugha hii kuonesha unyenyekevu wao kwa mtu mwenye mamlaka ya juu.

kama tumepata kibali mbele ya macho yako

"kama tumepata kibali kwako" au "kamaumependezwa na sisi"

tunaomba ardhi hii tupewe

"utupe ardhi hii"

Usituvushe ng'ambo ya Yorodani

"Usituvushe ng'ambo ya Yorodani ili kupata umiliki wa ardhi kule"

Numbers 32:6

Je. mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?

"Si sahihi kwenu kukaa hapa wakati ndugu zenu wanaenda vitani"

Kwa nini kuwafisha moyo wana .... kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?

"Msikatishe tamaa mioyo ... ardhi ambayo BWANA amewapa"

kuwafisha moyo wa Israeli wasivuke

"kuwafisha moyo watu wa Israel ili wasivuke" "au "msiwasababishe watu wa Israeli ili wasitake kuvuka kwenda"

Numbers 32:8

Taarifa kwa ujumla

Musa anaendelea kuongea na watu wa Reubeni na Gadi

Bonde la Eskoli

Tazama 13:23

Waliiona ile ardhi

"Waliwaona wale watu hodari na ile miji katika hiyo ardhi"

wakawafisha moyo watu wa Israeli

Tazama 32:6

Numbers 32:10

hasira ya BWANA iliwaka

"BWANA akakasirika sana"

hakuna mtu

"hakuna mtu kati ya watu." Kirai hiki kinamaanishsa watu wote waume kwa wake

walionifuata kwa ukamilifu

"walinitii kwa ukamilifu"

Yefune ... Nuni

Haya ni majina ya wanaume

Mkenizi

Hili ni jina la kikundi cha watu

Numbers 32:13

Hasira za BWANA ziliwaka

"BWANA alikasirika sana

miaka arobaini

"miaka 40"

kile kizazi ... kilipoteketea

"kizazi chote ... macho yake kilipokufa"

kilichofanya maovu mbele za macho yake

"kilichofanya maovu mbele za macho ya BWANA"

mmetokea katika nafasi za baba zenu

"mmeanza kutenda kama babu zenu"

ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli

"kumfanya BWANA kuwa na hasira zaidi kwa Israeli"

watu hawa wote

"kizazi chote hiki cha watu"

Numbers 32:16

tutajipanga kijeshi

"tutakuwa tayari tukiwa na silaha" au "tutakuwa tayari kupigana vitani"

kwenye miji ya maboma

"katika miji salama"

Numbers 32:18

Taarifa kwa ujumla

Viongozi wa Reubeni na Gadi wanaendelea kuongea

apate urithi

"amechukua urithi wake wa ardhi"

Numbers 32:20

kama mtajipanga wenyewe

"kama mtachukua silaha zenu"

Mbele ya BWANA

"katika uwepo wa BWANA"

mpaka atakapowafukuza maadui zake

"mpaka BWANA atakapowawezesha maaskari kuwaangamiza maadui na kuwafu"kuza kutoka katika uwepo wake

na nchi itawaliwe na Israeli

"na katika uwepo wake Waisraeli watawatawala watu wanaoishi katika nchi hiyo"

mtaweza kurudi

"mtaweza kurudi katika nchi hii katika upande wa mashariki wa Yorodani

Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli

Inamaanisha 1) "mtakuwa mmekamilisha wajibu wenu kwa BWANA na kwa Israeli 2)"Hakutakuwa nalawama toka kwa BWANA au kwa Israeli"

Numbers 32:23

Mwe na hakika kuwadhambi yenu itaonekana

"Mjue kwa uhakika kuwa BWANA atawaadhibu kwa dhambi yenu"

watumishi wako

"hii ni namna ya kunyeyekea pale mtu anapoongea na mtu mwenye mamlaka ya juu"

Numbers 32:26

tutavuka

"tutavuka mto Yorodani"

kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita

"kila mtu aliyejiandaa kwa vita"

Numbers 32:28

kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani

"kila mwanamume aliyetayari akiwa na siilaha yake"

kama nchi mtaitawala mbele zenu

"kama BWANA atawatawala mbele yenu hao watu wanaoishi katika nchi hiyo"

basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani"

Basi kile kizazi cha Gadi na Reubeni watapokea ardhi pamoja nanyi kule Kanaani

Numbers 32:31

Tutavuka tukiwa na silaha zetu

"Tutavuka Yorodani tukiwa tayari kwa vita"

urithi wetu

"Sehemu ya ardhi ambayo tutaridhi"

utabaki upande huu

"utakuwa wetu"

Numbers 32:33

ufalme wa Sihoni ... na wa Ogu

"ufalme wa Sihoni ... na ufalme wa Ogu"

Numbers 32:34

Diboni, Aroeri ...

Haya ni majina ya miji

Numbers 32:37

Heshiboni, Elealehi ...

Haya ni majina ya miji.

baadaye waliyabadili majina yao

"baadaye watu walibadili majina ya miji hii"

Numbers 32:40

Jairi ... Nobaha

Haya ni majina ya wanaume

Havothi Jairi ... Kenathi

Haya ni majina ya miji

Numbers 33

Numbers 33:1

pamoja na makundi y ao ya kijeshi

Tazama 1:1

kama ilivyoamriwa na BWANA

"kama BWANA alivyoamuru"

kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka

"kutoka eneo moja hadi jingine"

Numbers 33:3

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayo Waisraeli walipita baada ya kutoka Msri.

mwezi wa kwanza, waliondoka siku ya kumi na tano

Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kihebrania

Wana wa Israeli waliondoka waziwazi mbele ya macho ya Wamisri

"Waisraeli waliondoka wakati Wamisri wakiwaona"

wazaliwa wao wa kwanza

"wazaliwa wao wa kwanza wa kiume"

ka kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao

"kwa kuwa pia alikuwa amedhihirisha kuwa yeye ni mkuu kulikko miungu yao"

Numbers 33:5

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

walisafiri kutoka

"waliondokda"

mwisho wa nyika

"kwenye mpaka wa jangwa

Numbers 33:8

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

na kupita katikati ya bahari

Hii inamaanisha BWANA alipoigawa habari ya shamu ili kwamba Waisraeli waweza kutoroka toka jeshi la Wamisiri

chemichemi kumi na mbilu ... na mti sabin ya mitende

chemichemi 12 ... na mti 70 ya mitende

Numbers 33:11

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

ambapo watu walikoswa maji ya kunywa

" "ambapo watu hawakupata maji ya kunywa"

Numbers 33:15

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Numbers 33:19

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Numbers 33:23

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Numbers 33:27

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Numbers 33:31

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Numbers 33:35

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Numbers 33:38

mwaka wa araobaini baada ...

"baada ya miaka 40"

katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano

siku ya 1 y a mwezi wa 5 kwa kalenda ya Kihebrania.

Numbers 33:40

Wakaanani, mfalme wa Aradi

"Mkanaani mfalme wa Aradi"

Aradi

Hili lilikuwa jinala nji wa Kanaani.

walisikia juu ya ujio wa Israeli

"walisikia kuwa wana wa Israeli walikuwa wanakuja"

Numbers 33:41

Taarfa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Numbers 33:44

Taarifa kwa uumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Numbers 33:47

Taarifa kwa ujumla

Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.

Nyanda

eneo kubwa lililotambarare

Numbers 33:50

na kuharibu mahali pao pote plipoinuka

"kuvunja mahali pao pote palipoinuka"

Numbers 33:53

Taarifa kwa uumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.

Mtairithi ardhi

Madai ya Waisraeli ya kuwa ile aradhi ni yao ndiko kunakofanya kusema kuwa watairithi ile ardhi.

Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhiitakuwa mali yake

"Kila ukoo utapata ardhi kulingana na kura itakavyokuwa"

Numbers 33:55

Tarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.

kama siindano machoni mwenu na miibakatika mbavu zenu

kama vile kitu idogo sana kinavyosababisha jicho kuuma ndivyo itakavyokuwa kwa Iwaisraeli kama watamwacha Mkanaani kukaa katika ile nchi.

Numbers 34

Numbers 34:1

jangwa l a Sini

Tazama 33:1

Numbers 34:4

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli.

Numbers 34:6

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli.

Numbers 34:7

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli.

Mlima Hori

Tazama 20:22

Numbers 34:10

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli.

Numbers 34:13

kwa makabila tisa na nusu

Hii inamaanisha kuwsa yale makabila yanayobaki ambayo tataishi ule upande wa magharibi wa Mto Yorodani katika nchi ya Kanaani. Tle makabila ya Reubeni na Gadi na nusu ya Manase yamepata urithi wao upande wa Mashariki wa Mto Yorodani.

kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao

"Kwa kufuata jinsi BWANA alivyoigawa mali kwa makabila ya mababu

Yale makabila mawili na nusu

"Kabila la Reubeni la Gdi, na nusu ya Manase"

Numbers 34:16

Taarifa kwa ujumla

Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila

Numbers 34:19

Taarifa kwa ujumla

Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila

Numbers 34:21

Taarifa kwa ujumla

Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila

Numbers 34:24

Taarifa kwa ujumla

Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila

Numbers 34:27

Taarifa kwa ujumla

Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila

Numbers 35

Numbers 35:1

nyanda

eneo kubwa ambalo ni tambarare

wa ardhi yao kwa Walawi

BWANA hakuwapatia Walawi ardhi yao, kwa hiyo walitakiwa kuishi kwenye miji ambayo ilikuwa ya makabila mengine.

eneo la malisho

eneo la malisho ambalo mifugo kuchungiwa

Numbers 35:3

dhiraa elfu moja

"mita 457"

Numbers 35:5

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.

dhiraa elfu mbili

dhiraa moja ni sawa na sentimita 46

Numbers 35:6

kama mtu ameua mtu

Hii inawahusu watu walioua. Lakini bado haijaamuliwa kama waliua kwa makusdi.

arobaini na mbili ... arobaaini na nane

"42 ... 48"

Numbers 35:8

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.

Numbers 35:9

pasipo kukusudia

"kwa bahati mbaya"

Numbers 35:12

mlipa kisasi

mtu anayetaka kulipa kisasi kwa kumwua mtuhumiwa

ili kwamba mtuhumiwa asije akauawa bila kwanza kusikilizwa na jamii

"ili kwamba mtu yeyote asije akamwua mtuhumiwa kabla jamii haijamhukumu barazani"

Numbers 35:14

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya.

Numbers 35:16

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya.

kwa hakika huyo anatakiwa kuuawa

"Lazima mwue"

Numbers 35:19

Mwenye kulipa kisasi cha damu

"Mtu yule ambaye anamlipizia mwuaji"

atamshinda mtu yeyoteyule anayemchukia

"atamzidi nguvu mtu fulani" au "amemtendea kwa ujeuri mtu fulani"

yule mtuhumiwa aliyempiga hakika atauawa

"mtuhumia lazima auawe"

Numbers 35:22

bila kukusudia

"bila kupanga kutokana na chuki hapa awali"

bila kumvizia

"bila kukusudia kujaribu kumwumiza"

Numbers 35:24

mlipa kisasi

Tazama 35:19

watu watamwokoa mtuhumiwa

jamiiitatakiwa kuamua kuwa kile kifo hakikusudiwa.

ambaye alipakwa mafuta matakatifu

ambaye mlimpaka mafuta matakatifu"

Numbers 35:26

mlipa kisasi

Tazama 35:19

Numbers 35:29

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya.

kwa kizazi chote

"na uzao wenu utakaoisi baada yenu"

mwuaji atauawa

"mtu fulani lazima amwua mwuaji"

kama neno la ushahidi litatolewa

kulingana n a ushahidi wa mashahidi"

Lakiniushahidi wa mtu mmoja unaweza usitoshe kusababisha mtu kuuawa

"Lakini neno l s mshahidi mmoja tu hautoshi kumfanya mtu auawe"

Numbers 35:31

kwa hakika lazima auawe

"Lazima mwue"

Msimruhusu ... kurudi kwenye mali zake

M"simruhusu ... kuondoka kwenye ule mji wa ukimbizi nakurudi nyumbani kuishi kwenye mali zake"

kwa namna yeyote

"kwa kupokea fidia"

Numbers 35:33

Msiiharibu nchi mnayokaa kwa namna hii, kwa kuwa damu ya mwuaji huharibu nchi.

Msiifanye nchi ile mnapoishi isikubalike kwangu kwa namna hii, kwa sababu damu ya mwuaji huifanye nchi isikubalike kwangu"

kwa namna hii

kwa kutokutii sheria inayohusiana na mtu anayeua mtu"

Hakuna sadaka ya upatanisho inayoweza kufanywa kwa nchi pale damu inapomwagika juu yake isipokuwa kwa damu ya mtu aliyeimwaga.

"mtu anapokuwa amemwaga damu kwenye nchi, ni adhabu ya kifo cha mwuaji tu ndiyo inayoweza kufanyika kuwa fidia kwenye nchi hiyo"

Numbers 36

Numbers 36:1

Machiri

Tazama 26:28

BWANA alikuamuru

"BWANA alikuamuru"

Zelofehadi

Tazama 26:33

Numbers 36:3

utaondolewa kutoka kwenye mgao wa mababu zao

"kamwe hatutakuwa kwenye mgao wa Mababu zetu"

Utaongezwa

"Utakuwa mali ya"

utaondolewa kwenye mgao uliopangwa kwenye urithi wetu.

"Kamwe hautakuwa sehemu ya urithi wetu"

mwaka wa yubilee ya wana wa Israeli

Hi ni sherehe inayotokea mara moja kila baada ya miaka hamsini. Katika sherehe hii, ardhi yote iliyouzwa lazima arudishiwe mmiliki wake wa kwanza.

mgao wao utaunganishwa

"mgao wao utakuwa mali ya..."

mgao wao utaondolewa kwenye mgao wa mababu zao

"watachukua mgao wa ardhi wa kabila letu"

Numbers 36:5

kwa neno l a BWANA

"kutokana na kile alichosema BWANA"

Acha waolewe na wale ambao wao wanafikiri ni vizuri

"Acha waolewe na wale wanaowataka"

lakini lazima waolewe ndani ya kabila ya baba yao

"lakini ni laziima waolewe na mtu kutoka kwenye kabila la baba yao"

Numbers 36:7

Hakuna mgao

Hakuna sehemu ya ardhi"

Numbers 36:8

aliye na mgao kwenye kabila lake

"aliye na mgao wa ardhi kwenye kabila lake"

aweze kuwa na urithi

ardhi ambayo kila ukoo unaimiliki inaongolewa kama urithi waliopokea.

Hakuna mgao utakaobadilika kutoka kabila nyingine

"hakuna anayeweza kuhamisha umiliki wa mgao wowote wa ardhi kutoka kabila moja hadi nyingine"

Numbers 36:10

Mahilaha, Tiriza, Hogila, Milika, na Noha

Tazama 26:33

urithi wao

"ardhi ile waliyopewa kama urithi"

Numbers 36:13

Nyanda

eneo kubwa amabalo ni tambarare