Kiswahili: translationNotes Print

Updated ? hours ago # views See on WACS

Ruth 1

Ruth 1:1

Ikatokea

"ilikuwa"

wakati waamuzi walipo tawala

"kipindi waamuzi waliongoza Israeli"

katika nchi

"katika nchi ya Israeli"

mwanaume mmoja

"mwanaume" Hii ni namna ya kukaribisha mtu kwenye stori.

Ruth 1:3

aliachwa na wanae wawili

"Naomi alikuwa na wanae wawiili"

akachukuwa wake

"akaoa wanawake"

kutoka wanawake wa Moabu

Wana wa Naomi walioa wanawake kutoka kabila la Moabu

jina la mmoja

"jina la mmoja wa wanawake"

Ruth 1:6

alisikia katika nchi ya Moabu

"wakati Naomi anaishi na Moabu alisikia"

Yahweh

Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wa Agano la Kale.

alisaidia watu wake kwenye shida

Mungu aliona mahitaji yao na kutoa mavuno mazuri kwa ajili yao

Ruth 1:8

kila mmoja wenu

Naomi alikuwa anaongelea watu wawili

nyumba ya mama yenu

"kwa nyumba ya mama zenu"

alionyesha ukarimu

"alirihidhisha uaminifu"

kwa wafu

"kwa waume zenu, waliyo kufa"

kwenye nyumba ya mume mwingine

na waume zao wapya, sio mume wa mtu mwingine

Ruth 1:11

kwanini uende na mimi?

Hili ni swali lisilo itaji jibu

Bado ni wana wa kiume tumboni mwangu , ili kwamba wawe waume zenu?

Naomi anatumia hili swali kusema kuwa hana tena wana wa kiume wa kuwaoa

mzee sana kuwa na mume

Hii yaweza andikwa kwa uwazi zaidi

Ruth 1:14

wakainua sauti zao na kulia

Hii ina maana walilia kwa uchungu

sikia

"Sikia" hapa ina maana ya "chukuwa tahadhari"

Ruth 1:16

una ishi wapi

"wapi unaishi"

watu wako watakuwa watu wangu

Ruthi anaeleza kuhusu watu wa Naomi, Waisraeli

Utakapo kufa nitakufa

Hii ina onyesha matamanio ya Ruthi ya kuishi maisha yake yote sehemu moja na Naomi

Ruth 1:19

ikatokea

"ikaja kutokea"

mji wote

"kila mtu katika mji"

Ruth 1:22

Kwaiyo Naomi na Ruthi

Hii ina hitimisha

Ruth 2

Ruth 2:1

Sasa mume wa Naomi

Hii ina tambulisha taarifa kabla ya stori kuendelea.

tajiri, wanaume mwenye ushawishi

"mtu maarufu, tajiri"

Ruthi, Wamoabu

Hapa stori inaendelea.

Wamoabu

Hii ni njia ingine ya kusema mwanamke alitoka nchi au kabila la Moabu

Ruth 2:3

Tazama, Boazi

Neno "tazama" lina ashiria tukio muhimu Boazi akija shambani

akatoka Bethilehemu

Mashamba yalikuwa ya yajatajwa umbali na Bethilehemu

kukubariki

"kukupa vitu vizuri"

Ruth 2:5

Huyu mwanamke mdogo ni wa mwanamme gani?

Maana zinazo wezekana ni 1) Boazi alikuwa anauliza kuhusu mume wa Ruthi au 2) Boazi alikuwa anauliza wazazi au walezi

usimamizi

"muhusika wa"

Ruth 2:8

Una nisikiliza mimi, binti yangu

Hii yaweza andikwa kama amri

binti yangu

Hii ilikuwa namna ya ukarimu ya kumtaja mwanamke

Eka macho yako shambani

Macho yanawakilisha kutizama kitu

Ruth 2:10

akainama mbele za Boazi, akishika kichwa chake kwenye ardhi

Haya ni matendo ya heshima na hofu.

kwanini nimepata kibali

Ruthi anauliza swali

mgeni

Ruthi aliweka uaminifu wake kwa Mungu wa Israeli sirini, lakini alijulikana hadharani kama Mmoabu

Imeletwa kwangu

Hii yaweza andikwa kama kitenzi tendaji.

Ruth 2:13

Acha nipate kibali machoni pako

Hii yaeleza kuomba baraka

Ruth 2:14

Wakati wa chakula

Hii ina maana ya mchana

Ruth 2:15

Alipo inuka kukusanya nafaka, Boazi aliamuru vijana wake

Katika muktadha wa amri, inawezekana Ruthi alikuwa mbali sana na maelekezo ya Boazi

Alipo inuka

"Alipo inuka"

usimkeme

"usimsababishie aibu"

Ruth 2:17

maskio ya nafaka

Hii ina maana ya vitu vinavyo liwa vya nafaka

Akainua juu na kwenda mjini

Ina ashiriwa kwamba Ruthi alibeba nafaka nyumbani

mama mkwe wake aliona

Naomi aliona

Ruth 2:19

yeye abarikiwe na Yahweh

Naomi ana muuliza Mungu kumpa thawabu Boazi kwa ukarimu wake kwa Ruthi na yeye.

kwa waliyo hai

"kwa watu wanao ishi"

wafu

"watu waliyo kufa"

Ruth 2:21

Hakika, alisema kwangu

"Ata aliniambia"

kuwa karibu na vijana wangu

Boazi alikuwa anaongelea ulinzi wa kimwili vijana wake wanaweza mpa

toka na

"fanya na"

Ruth 2:23

alikuwa karibu

Ruthi alifanya kazi shambani mwa Boazi na wafanya kazi wake mchana, ili awe salama

aliishi na mama mkwe wake

Ruthi alienda kwa Naomi kulala usiku

Ruth 3

Ruth 3:1

mama mkwe

Naomi ni mama wa mume wa Ruthi aliye kufa

Binti yangu

Ruthi alikuwa binti wa Naomi kwa kumuoa mwanae na kwa matendo yake baadae kwa kumjali Naomi baada ya kurudi Bethilehemu

wafanya kazi wa kike uliyo kuwa nao

"wafanya kazi wa kike umekuwa ukifanya nao kazi"

sio ndugu yetu?

Naomi labda alitumia hili swali kumkumbusha Ruthi kitu

Angalia

Hii ina maana kuwa maelezo ya fuatayo ni muhimu sana

Ruth 3:3

jipake mafuta mwenyewe

Ina inazekana ni kujipaka mafuta ya kunukia mwilini, kama wanawake wanavyo jipaka marashi leo

lala chini hapo

"lala kwenye miguu yake"

Ruth 3:6

moyo wake ulifurahi

"aliridhika"

alikuja tarajibu

"alinyata ndani"

akafunua miguu yake

"aliondoa shuka miguuni mwake"

Ruth 3:8

Ikaja kuwa kwamba

Haya maneno yanatumika kuonyesha jambo muhimu katika stori.

usiku wa manane

"katikati ya usiku"

Aligeuka

Aliangalia nini kimemgusa

mwanamke alikuwa amelala miguuni mwake

Mwanamke alikuwa Ruthi, lakini Boazi hakuweza kumtambua gizani

Ruth 3:10

binti yangu

Boazi alitumia msemo huu kama ishara ya heshima kwa Ruthi kama mwanamke mdogo

ukarimu mwishoni kuliko mwanzoni

"ukarimu zaidi sasa kuliko kabla"

ukarimu mwishon

Hii ina eleza kuwa Ruthi anamuomba Boazi kumuoa

Ruth 3:12

kama hatafanya jukumu la ndugu

"kama hatamuoa ndugu wa mjane wake na kuzaa watoto kwa ndugu yake aliyo kufa

kwa maisha

"hakika kama Yahweh aishvyo"

Ruth 3:14

amelala miguuni mwake

Ruthi alilala miguuni mwa Boazi. Hawaku fanya mapenzi

kabla ya mtu yeyote kumtambua mwenzake

Wakati huu wa siku unaweza elezwa kama giza

kuweka mzigo juu yake

Kiasi cha nafaka kilikuwa kikubwa hadi Ruthi alihitaji msaada kubeba

Ruth 3:16

Ulifanyaje binti yangu?

Alicho maanisha Ruthi kwa hili swali la weza andikwa wazi zaidi.

yote mwanaume aliyo fanya

"yote Boazi aliyo fanya"

Usiende mtupu

"usiende mikono mitupu"

Ruth 4

Ruth 4:1

lango

"lango la mji" Hili lilikuwa mwingilio wa mji wa ukuta wa Bethilehemu.

ndugu wa karibu

Huyu alikuwa ndugu wa karibu wa Elimeleki

wazee wa mji

"viongozi wa mji"

Ruth 4:3

katika uwepo wa

Hii ilifanya muamala wa kisheria na wa kufunga

kumboa

Hii ili maanisha kununua ardhi ili kuweka ndani ya familia yao

Niko baada yako

Boazi alikuwa ndugu anaye fuata kununua ardhi

Ruth 4:5

Siku utakayo nunua ... lazima pia

Boazi anatumia huu msemo kutambulisha ndugu zake majukumu ya ziada atakayo kuwa nayo atakapo nunua ardhi

kutoka nchi ya Naomi

"kutoka kwenye umiliki wa Naomi"

lazima pia umchukuwe Ruthi

"lazima umuoe Ruthi"

Ruthi ... mke kwa mwanaume aliye kufa

"Ruthi ... mjane wa mwana wa Elimeleki"

Ruth 4:7

Sasa hii ilikuwa desturi

Mwandishi wa kitabu anaelezea desturi za kubadilishana kipindi cha Ruthi

wakati wa awali

"kipindi cha nyuma"

kiatu

"ndala"

jirani yake

Hii yaeleza mtu aliye kuwa anafanya naye makubaliano.

Ruth 4:9

kwa wazee na watu wote

Hii yaeleza watu wote waliyo kuwepo sehemu hiyo, sio kila mtu mjini

yote yaliyo kuwa ya Elimeleki na yote yaliyo kuwa ya Kilioni na Mahaloni

Hii yaeleza mali za mume wa Naomi aliye kufa na wanae

kutoka mkono wa Naomi

Mkono wa Naomi una wakilisha Naomi

Ruth 4:11

watu waliyo kuwa langoni

"watu waliyo kuwa wanakutana pamoja langoni"

jenga nyumba ya Israeli

"kuzaa watoto wengi waliyo kuwa taifa la Israeli"

kama Raheli na Lea

Hawa walkuwa wake wawili wa Yakobo, ambaye jina lake lilibadilishwa kuwa Israeli

nyumba yako iwe kama

Mungu kwa utele alimbariki Yuda kupitia mwanae Perezi.

Ruth 4:13

Boazi akamchukuwa Ruthi

"Boazi alimuoa Ruthi"

Akalala naye

"Akafanya naye mapenzi"

ambaye hajakuacha leo bila ndugu wa karibu

"ambaye leo amekupatia ndugu mzuri wa karibu"

Ruth 4:16

Naomi akachukuwa mtoto

Hii ya husu Naomi kushikilia mtoto.

akamueka kifuani

Hii sentensi ya upendo kwa mtoto

mwana wa kiume amezaliwa kwa Naomi

Ilieleweka kwamba mtoto alikuwa mjukuu wa Naomi, sio mtoto wake wa kimwili

baba wa Daudi

"mtoto wa mfalme Daudi"

Ruth 4:18

wazao wa Perezi

"wazao waliyo rithi." Mwandishi anaendelea kuorodhesha familia ya Perezi