Kiswahili: translationNotes Print

Updated ? hours ago # views See on WACS

Ezra 1

Ezra 1:1

mwaka wa kwanza

inarejea mwaka wa kwanza wa kutawala mfalme Koreshi

Yahwe

Hili ni jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika agano la kale. Angalia neno la tafsiri kwenye ukurasa unaouhusu Yahwe kuhusiana na jinsi ya kutafsiri.

Yahwe akatimiza neno lake

"Yahwe akafanya kile alichokisema kuwa atakifanya"

ambalo lilikuja kwa kusemwa na Yeremia

Ambacho Yeremia alikiandika au kukiongea kuhusu.

Yahwe..... kuinua roho ya Koreshi

Kuinua roho ni msemo wa kumfanya mtu atake kutenda "Yahwe .....akamfanya Koreshi atake kutenda"

Sauti ya Koreshi ikasambaa kote kwenye ufalme wake

Sauti ni aina msemo wa ujumbe sauti inaongea, na ufalme ni msemo kwa watu ambao mfalme anawaongoza. AT: "Koreshi akatuma ujumbe kwa kila mmoja ambao anawaongoza"

Kitu gani kiliandikwa na kuongelewa

Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai. Itakuwa vizuri kutafsiri ili kwamba wasomaji waelewe kwamba watu wengine walimsaidia Koreshi kupata ujumbe kwa watu ambao anawaongoza. AT:"Kile alichokiandika Koreshi na kile wajumbe wake walikisoma ili watu waweze kuwasikia wao"

Ufalme wote wa dunia

Hii ni kukiuka, kana kwamba kulikuwa na ufalme ambao Koreshi alikuwa hauongozi

kwa yeye nyumba katika..... Yuda

Ungependa kufanya........... kwamba nyumba ilikuwa kwa ajili ya watu kumwabudu Yahwe. AT:"nyumba katika....... Yuda ambapo watu wanaweza kumwabudu yeye"

Ezra 1:3

watu wake

watu walio katika umiliki wa Yahwe

waliosalia katika nchi........ walipaswa kuwapa wao

Wale waisraeli waliochagua kubaki pale walipo walipaswa kuwasaidia wale waliochagua kwenda Yerusalem kimwili na kiuchumi.

Ezra 1:5

kazi zao

Hii inarejea kazi ya watu katika mstari uliopita iliyohimizwa na Mungu.

kila mmoja ambaye roho wa Mungu alimwinua kwenda

Kuinua Roho ni msemo kwa kumfamya mtu atake kufanya. AT: "kila mmoja ambaye Mungu alimfanya aweze kwenda"

Ezra 1:7

Mithredathi......... Sheshbaza

Haya ni majina ya wanaume

akaviweka katika mikono ya Mithredathi mtunza fedha

Kuweka kitu katika mikono ya mtu ni fumbo la kumruhusu mtu kufanya kile anachotaka kwa kitu ulichompa. Hapa wasomaji waelewe kwamba Koreshi alitegemea Methredathi kufanya ambacho Koreshi alimtaka akifanye.AT:"kumweka Methredathi mtunza fedha kiongozi wao" au "kumweka Methredathi mtunza fedha kuwajibika kwa ajili yao"

mtunza fedha

kiongozi mhusika wa fedha

akavitoa na kuvihesabu kwa Sheshbaza

kuhakikisha kwamba Sheshbaza anafahamu kwa uhakika vitu vyote vilivyo

Ezra 1:9

Taarifa kwa ujumla

Hii ni orodha ya idadi ya vitu

Therasini ....... moja elfu....... ishirini -tisa

tisa - "30..... 1,000.... 29"

beseni......mabakuli

vyombo vilivyotumika kutunzia maji ya kunawia

5,400 dhahabu na vitu vya fedha vyote

jumla ya idadi ya vitu vilivyorudi Yerusalem kutoka Babeli, vimeorodheshwa hapo juu kwa kutenganishwa.

Ezra 2

Ezra 2:1

Taarifa kwa ujumla

Hii ni mwanzo wa orodha ya majina ya watu waliorudi kutoka mateka

kwenda

Hii ni idom ambayo inarejea kutembea kuelekea Yerusalem. AT:"kurudi" au "kurudi tena"

Seraya,Reelaya,Mordekai,Bilshani,Mispari,Bigwai,Rehumu na Baana

Haya ni majina ya wanaume

Ezra 2:3

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu waliorudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kundi

Paloshi..... Shefatia..... Ara.....PathMoabu...... Yeshua

Haya ni majina ya wanaume

Ezra 2:7

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi

Zatu....Zakai......Binui

Haya ni majina ya wanaume

Ezra 2:11

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi

Bebai.....Azgadi......Adonikamu

Haya ni majina ya wanaume

Bigwai

jina la mtu tafsiri kama ulivyofanya katika 2:1

Ezra 2:15

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi

Adini....Ateri........Besai

Haya ni majina ya wanaume

tisini-nane

nane "98"

Ezra 2:19

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi

Hashimu.....Gibeoni

Haya ni majina ya wanaume

tisini-tano.......hamsini-sita

tano........hamsini-sita - "95......56"

Wanaume wa Bethlehemu

Hii inaanza orodha ya idadi ya watu ambao watangulizi wao waliishi katika mji wa Yuda

Netofa

Hii ni jina la mji katika Yuda

Ezra 2:23

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea na orodha ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi ambao watagulizi walikuja kutoka sehemu zilizo orozeshwa

Anathothi.....Azmawethi....Kiriath- Yearimu....Kefira.......Beeerothi......Geba

majina ya maeneo

arobaini - mbili

mbili - "42"

Ezra 2:27

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea pamoja na idadi ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi ambao watangulizi walikuja kutoka sehemu zilizoorodheshwa.

Mikmashi.....Nebo..Magbishi

majina ya maeneo

hamsini-mbili

mbili - "52"

Ezra 2:31

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea na orodha ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi katika kila kikundi ambacho watangulizi walikuja kutoka maeneo yaliyo orodheshwa

Harimu.....Lodi......Hadidi........Ono

majina ya maeneo

Ezra 2:34

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea pamoja na idadi ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja idadi katika kila kikundi ambao watangulizi walikuja kutoka maeneo yaliyo orodheshwa

Senaa

majina ya maeneo

Ezra 2:36

Taarifa kwa ujumla

Sehemu hii inaorodhesha majina ya makuhani ambao wana wao walirudi kutoka matekani pamoja na idadi ya kila kikundi.

Yedaya.....Imeri.......Pashuri......Harimu

majina ya wanaume

Yeshua

jina la mtu

Harimu

Harimu 2:31 ni jina la eneo, lakini hapa "Harimu" ni jina la mtu

Ezra 2:40

Taarifa kwa ujumla

Hii sehemu inaonyesha idadi ya majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi

Kadmiel...Hodavia...Shalumu...Talmoni,Akubu,Hatita, na Shobai

majina ya wanaume

Sabini na nne

nne "74"

walinzi

wale wahusika ambao huenda kupitia geti la Hekalu

Ateri

jina la mtu

Ezra 2:43

Taarifa kwa ujumla

Hii sehemu inaendelea kuoorodhesha majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka .

Siha,Hasufa,Tabothi,Keros,Siaha,Padoni,Hagaba...Hagaba,Salmai, na Hanani

majina ya wanaume

Akubu

Tafsiri kama ilivyo katika 2:40

Ezra 2:47

Taarifa kwa ujumla

Hii sehemu inaendelea kuorodhesha majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka. Haya ni majina yote ya wanaume

Ezra 2:51

Taarifa kwa ujumla

Hii sehemu inaendelea kuorodhesha majina ya walawi ambao walirudi kutoka mateka.Haya ni majina yote ya wanaume

Ezra 2:55

Taarifa kwa ujumla

Hii sehemu inaendelea kuoorodhesha majina ya Walawi ambao wana wao walirudi kutoka mateka

walikuwa wapatao 392 jumla ya wana

Hii ni idadi ya watu wote katika hili kundi ambao walirudi kutoka mateka

Ezra 2:59

Taarifa kwa ujumla

Hii ni orodha ya watu ambao walirudi Israeli kutoka baadhi ya miji ya Babeli lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao.

Tel-mela,Tel charsha,Kerubu,Adani,na Imeri

ni maeneo katika Babeli ambayo hayapo kwa sasa.

Delaya,Tobia, na Nekoda

majina ya wanaume

Ezra 2:61

Habaya....Hakosi....Barzilai

majina ya wanaume

kumbukumbu ya kizazi chao

kumbukumbu ambayo ilielezea watangulizi walivyokuwa

hawakuweza kupatikana

"hawakuweza kuyaona majina yao katika kumbukumbu ya makuhani"

waliweza kutolewa kutoka kwa makuhani kama wasiosafi

Hii inaweza kutafsiliwa katika mfumo hai. Majina "Ukuhani" linaweza kutafsiliwa kama kitenzi "kazi kama ya kuhani." AT: makuhani wengine waliwachukulia wao kama wasio safi hawakuwaruhusu kufanya kazi kama makuhani"

wasiosafi

kutokuwa sawa kuwa kuhani

Urimu na Thumimu

vitu viwili kama dai ambavyo kuhani alivitumia kuamua kitu gani ambacho Mungu anataka wao wakifanye

Ezra 2:64

kundi lote

kundi lote ambalo lilirudi tena kwenye ardhi ya Yuda kutoka mateka

wasaidizi wao

"watumishi wao wa kike"

mia mbili

"200"

Ezra 2:66

Taarifa kwa ujumla

Hii ni orodha ya wanyama pamoja na idadi ya kila aina ambao walirudi pamoja na watu kutoka mateka.

Ezra 2:68

sitini-moja elfu...elfu tano...elfu moja

elfu moja...elfu tano...mia moja "61,000...5,000...100"

dhahabu za darkoni

"darkoni" ilikuwa ni salafu ndogo ya dhahabu iliyotumika katika utawala wa uajemi

mane

Mane ni kipimo cha uzito. mane moja ni sawa na gramu 550. mane kawaida ilihusishwa na vipimo vya fedha.

mavazi

mavazi yaliyovaliwa juu ya ngozi

Ezra 2:70

watu wote katika Israeli walikuwa katika miji yao

Kila mmoja alirudi tena kwenye mji wa nyumbani Yuda. Si kila mmoja alikaa katika Yerusalem.

Ezra 3

Ezra 3:1

mwezi wa saba

huu ni mwezi wa saba katika kalenda ya kiebrania.Ni kipindi cha mwisho cha kiangazi na mwanzoni mwa nyakati za mvua. Ni kipindi cha mwisho cha mwezi wa tisa na kipindi cha mwanzo wa mwezi wa kumi kwa kalenda ya watu wa magharibi.

kama mtu mmoja

mtu mmoja yuko katika sehemu moja na ana kusudi moja. AT: "kwa kusudi moja"

Yeshua

Hili ni jina la mtu.Litafsiri kama katika 2:36

Sheatieli

Hili ni jina la mtu.

kuinuka na kujenga

Kuinuka juu ni msemo wa kuanza kutenda. AT: "kuanza kutenda na kujenga"

kama ilivyoamliwa katika sheria ya Musa

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. Unatakiwa kufanya kile ambacho Yahwe alikiagiza. AT: "kama vile Yahwe alivyoagiza wao wafanye kama vile sheria ya Musa"

Ezra 3:3

wakaanzisha nadhabahu juu ya msingi

"wakaunganisha madhabahu juu ya nguzo" au "wakaweka madhabahu juu ya nguzo ili ibaki pale"

hofu waliokuwa nayo

huu ni msemo. AT"walikuwa na woga sana"

kwa sababu ya watu wa nchi

Unapaswa kufanya uchunguzi kitu gani kiliwahusu watu wa nchi ambacho kiliwafanya wayahudi kuogopa. AT: "kwa sababu walifikiri watu nchi walitaka kuwavamia wao"

walitoa sadaka ya kuteketezwa kwa yahwe asubuhi na jioni

kitu cha kwanza walichokifanya watu ni kuanza kutoa sadaka ya kujitoa. Hii ilikuwa kabla ya Hekalu kujengwa.

siku kuu ya vibanda

Hii ilikuwa ni sherehe ambayo ilisheherekewa kwa siku nane katika kipindi cha mwezi wa saba wa kalenda ya kiebrania. ilikuwa ikihusiana na kipindi cha kutika wakati Waisraeli wakiiishi katika mahema.

Ezra 3:6

siku ya kwanza ya mwezi wa saba

Huu ni mwezi wa saba kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza ilikaribia katikati ya mwezi wa tisa kwa kalenda ya watu wa magharibi.

hekalu lilikuwa bado halijapatikana

Wayahudi walianza kusherehekea kwa ibada hata kabla hawajaanza kujenga hekalu. AT:"walikuwa bado hawajaanza msingi kwa ajili ya hekalu"

kama walivyoamriwa wao kwa Koreshi mfalme wa Uajemi

Barua ilitumwa na Koreshi kuwapa wayahudi ruhusa ya kununua vifaa na kujenga hekalu.

Ezra 3:8

mwezi wa pili

Huu ni mwezi wa pili kwa kalenda ya Kiebrania. Hiki ni kipindi cha kiangazi wakati watu wanavuna mazao. Ni kipindi cha mwisho mwezi wa nne na sehemu ya kwanza kwa mwezi wa tano kwa kalenda ya magharibi.

mwaka wa pili

Hii ilikuwa ni kipindi cha mwaka ambacho baadae walirudi

kwa nyumba ya Mungu

Unapaswa kufanya uchunguzi kwamba kulikuwa hakuna nyumba ya mungu iliyokuwepo wakati wanafika.AT:"ni wapi nyumba ya Mungu ilisimamishwa" au "ni wapi walipotaka kujenga nyumba ya Mungu"

Yeshua...Yosadaki...Henadadi

Haya ni majina ya wanaume

miaka ishirini

"20 miaka"

Kadmiel

Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:40

Ezra 3:10

kuweka msingi

"msingi" kwa mantiki hiyo ilikuwa zaidi si matofali ya mawe kwa ajili ya kusaidia ukuta wa hekalu. Ilijumuisha sakafu yote ya hekalu iliwekewa mawe. Hii iliwawezesha wanaosifu hekaluni kuvaa mavazi lasmi na yaliwaweka kuwasafi.

nguo zao

"mavazi yao maaalum"

mkono wa Daudi... uliagiza

Mkono wa mfalme ni picha ya kumpa nguvu kutoa amri. AT:"kama Daudi alivyoagiza"

Shukrani

Hisia na kujisikia kupongeza kwa ajili ya ukarimu wa mwingine.

Ezra 3:12

nyumba ya kwanza

Hii inarejea hekalu la kwanza ambalo Selemani alijenga, nyumba ya Mungu.

mbele ya macho yao

Macho yanawakilisha kuona.AT:"katika kuona kwao" au "na walitazama"

kulia kwa sauti

Hii inaonyesha hisia ya uzuni ikiambatana na machozi na sauti ya kulia.

Ezra 4

Ezra 4:1

Taarifa kwa ujumla

Watu wasio wayahudi kujitoa kusaidia kujenga hekalu

wale waliokuwa kifungoni

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"wale ambao wababeli waliwachukua kifungoni"

Esar-hadoni,mfalme wa Ashuru

Alitawala Ashuru kabla ya Koreshi kutawala katika Uajemi

Zerubabeli

Jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:1

Esar-hadoni, mfalme wa Ashuru

Alitawala katika Ashuru kabla ya Koreshi kutawala Uajemi.

Ezra 4:3

Yoshua

Jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:3

Sio wewe, lakini sisindio lazima tujenge

Maana yake inaweza kuwa 1)viongozi wa kiyahudi walifikiri kwamba Koreshi aliwaamuru wao peke yao kujenga hekalu au 2) ujenzi wa hekalu ilikuwa ni kazi iliyowatenga wayahudi na wasio wayahudi ndio watakaoruhusiwa kuchanga kwa ajili ya kazi.

Ezra 4:4

watu katika nchi

"watu ambao walikuwa wakiishi katika nchi wakati ule" ambao ilihusisha wasio wayahudi na wayahundi ambao jamii haikuchukuliwa na Wababeli kifungoni

wakaifanya mikono ya wayahudi kudhoofika

wakawavunja nguvu wayahudi

Wayahudi

watu waliorudi kutoka Babeli na wakaweka makazi katika nchi ya Yuda

kuvuruga mipango yao

"ili kutimiza hilo wayahudi hawakujenga hekalu kama walivyokuwa wamepanga.

waliandika mashitaka dhidi ya wenyeji wa Yuda na Yerusalem

jina "mashitaka" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "kushitaki" na kitendo "kuishi ndani" kuheshimika. Inakupasa kufanya uchunguzi kitu gani ambacho maadui waliwashitaki wayahudi kwa walichokifanya. AT: "waliandika barua ambayo waliwashitaki wale walioishi Yudana Yerusalem kwa kutomtii mfalme"

Ezra 4:7

Bishlamu.....Mithredathi...Tabeeli.....Shimshai

majina ya wanaume

Barua

Hii ni barua iliyoongelewa katika $:4

Kiaramu

lugha iliyokuwa inatumika katika eneo hilo kwa wakati ule maalum kwa biashara

na kutafsiriwa

katika Uajemi

Rehumu

jina la mwanaume tafsiriwa kama katika

Ezra 4:9

Waelemi.....Asur

majina ya miji

Elamu

jina la mji mkubwa katika nchi

Asurbanipal

Hili ni jina la mtu

Jimbo ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi mwa mto Flati

Ezra 4:11

Hii ni nakala

Ezra alijumuisha katika maandishi yake ujumbe wa barua kutuma kwa mfalme Artashasta

mji ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambalo lilikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9

mji wa uasi

Mji ni kwa watu wanaoishi hapo. AT:"mji ambao walipanga kuishi na kuwapinga ninyi"

wamekarabati msingi

"kukamilisha msingi" au "kurekebisha msingi"

Ezra 4:13

ikiwa mji utajengwa na ukuta utakamilika

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Ikiwa watajenga mji na kukamilisha ukuta"

lakini watawadhuru wafalme

Neno "kudhuru" linamaanisha kwa wayahudi kutoendelea kutoa fedha kwa wafalme.

Ezra 4:14

tumekula chumvi ya Ikulu

Maana inayowezekana ni kwamab 1)mwandishi kuwa mtiifu kwa mfalme au 2)mfalme kumpa mwandishi heshima maalum. AT:"sisi ni watiifu kwako" au "umetuheshimu sisi kwa kutufanya kuwa maofisa wako"

mji wa uhalibifu

Mji ni kwa watu ambao wanaishi ndani yake.AT:"mji wanaoishi watu waliopingana dhidi ya baba yako"

mji uliharibiwa

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai, ambapo itakulazimu kutaka kujua nani ambaye akiharibu mji. AT:"Wababeli waliharibu mji"

ikiwa mji huu na ukuta utajengwa

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Ikiwa watajenga mji na ukuta" maneno haya yameonekana katika 4:13

hakuna kitakachokua kimebakia kwa ajili yako

Hii ni kumchanganya na kumfanya mfalme kufikiri kwamba hatakosa fedha nyingi za kodi iwapo wayahudi watampinga.

Mji ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambalo lilikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:

Ezra 4:17

Mji ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto Efrati. ilikuwa kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9

Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai ambapo utatakiwa kufanya utafiti nani aliyetafsiri na kusoma barua kwa mfalme. AT:"Ninaye mtumishi kutafsiri na kusoma barua ambayo ulituma kwangu"

Rehumu

jina la mtu tafsiri kama katika 2:1

Shimshai

jina la mtu. Tafsiri kama katika 4:7

Mto

mto Efrati

Ezra 4:20

Mji ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambalo liko magharibi ya mto efrati. Ilikuwa kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9

Ada na kodi walilipwa wao

hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:'Watu katika Yerusalem walilipa ada na kodi kwa wale wafalme" au "Wale wafalme waliweza kukusanya ada na kodi"

kuweka agizo

"kuweka amri"

Uwe mwangalifu usipuuze hili

"Uwe mwangalifu kufanya hili"

Kwa nini kuruhusu tishio hili kuongezeka na kusababisha hasara kwa matakwa ya mfalme?

Artashasta alitumia swali kuwaambia wao kwamba anafahamu ya kuwa atapoteza kodi na heshima ikiwa mji utajengwa. AT:"Unapaswa kuhakikisha kwamba hili tishio halikuhi na kusababisha hasara zaidi kwa matakwa ya ufalme"

tishio kukua

Hatari imeongelewa kana kwamba ulikuwa mmea ambao ungekuwa na kuongezeka kwa kimo. AT:"hatari ya kuja kuwa balaa"

kusababisha hasara zaidi kwa matakwa ya ufalme

neno "matakwa ya ufalme" ni msemo kwa mfalme mwenyewe. AT:"kusababisha mabaya mengi kutokea kwa mfalme"

Ezra 4:23

Amri ya mfalme Artashasta ilisomwa

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. ambapo utakiwa kufanya utafiti nani alisoma amri kutoka kwa mfalme kwa maofisa. AT:"Wajumbe kutoka kwa mfalme Artashasta walisoma amri"

Rehumu

Tafsiri kama katika

Shimshai

Tafsiri kama katika

kazi ya nyumba ya Mungu ikasitishwa Yerusalem mpaka kutawala mara ya oili kwa mfalme Dario

Huu uchelewaji ulikoma takribani miaka 16

Ezra 5

Ezra 5:1

Ido...Yoshua ...Yosadaki

majina ya wanaume

Sheatieli

jina la mtu.Kama ilivyotafsiriwa

kujenga nyumba ya Mungu

Hili lilikuwa hekalu la mungu.

Ezra 5:3

Tatenai...Shethar-Bozenai

majina ya wanaume

mji ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambalo ilikuwa magharibi ya mto efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto katika mji wa Susa. Angalia kama ulivyotafsiri katika 4:9

Ezra 5:6

Hii ni nakala ya barua

Ezra anahusisha ujumbe wa barua kwa mfalme Dario kuhusiana na kazi ya hekalu.

mji ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambalo ulikuwa magharibi ya mto efrati. Ilikuwa kuvuka mto katika mji wa Susa. Angalia kama ilivyotafsiriwa katika 4:9

Ezra 5:8

Taarifa kwa ujumla

Barua kutoka kwa Tatenai kwenda kwa mfalme ambayo imeanza katika 5:6

mbao

ubao kwa ajili ya kujengea

nani aliyewapa waraka

"nani aliyewapa ruhusa"

Ezra 5:11

Taarifa kwa ujumla

Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambaye alianza katika 5:6 inaendelea

Sisi tu watumishi wa mmoja

Maana yake inawezekana ikiwa 1)walikuwa wakiwaita wayahudi watu wa Mungu au 2) wale waliokuwa wakijibu walikuwa wakitokea kabila la Lawi na Haruni, ambao ndio walikuwa wakiwajibika hekaluni kwa kuabudu na kutoa sadaka.

ambalo lilikuwa limejengwa miaka mingi iliyopita wakati ambapo mfalme mkuuu wa Israeli alipoujenga na kukamilisha hilo.

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"ambapo mfalme mkuu wa Israeli aliujenga na kusambaza vifaa vyote kwa "

Ezra 5:12

Taarifa kwa ujumla

Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme inaendelea. Tetai anaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi walimwambia kuanzia katika 5:11

kumchukiza Mungu wa mbinguni

"kumfanya Mungu wa mbinguni kuwa mkali kwetu sisi"

aawatia katika mikono ya mfalme Nebukadineza wa Babeli, ambaye alivunja nyumba na kuwachukua watu

Mkono ni mfano wa nguvu au kuongoza. Pia, "kuruhusu Nebukadineza mfalme wa Babeli na jeshi lake kuvunja hii nyumba na kuwachukua watu"

Ezra 5:14

Taarifa kwa ujumla

Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalmeambayo ilianza katika 5:6 inaendelea. Tetai anaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi walimwambia yeye mwanzoni katika 5:11

Sheshbaza

Tafsiri kama katika

Yeye akavitunza vile

Mfalme Koreshi akavirudisha vitu vya hekalu

Na nyumba ya Mungu iweze kujengwa

Hii inaweza ktafsiriwa katika mfumo hai. AT:"ninataka wayahudi wajenge nyumba ya Mungu"

Ezra 5:16

Taarifa kwa ujumla

Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambayo ilianza katika 5:6 inaendelea. Tetai inaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi wamemwambia yeye mwanzoni katika 5:11

imeshajengwa, lakini bado haijakamilika

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"watu sasa wanajenga, lakini bado hajakamilisha kazi yote"

kujengwa

kujenga

Ezra 5:17

Taarifa kwa ujumla

Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambayo inaanza katika 5:6 inaendelea. Tetai amemaliza kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi wamemwambia yeye na sasa anamwuliza mfalme kuona kwamba kile wayahudi wamemwambia yeye ni kweli.

ikiwa hukumu ya mfalme Koreshi iko pale

"ikiwa kuna kumbukumbu kule ambapo mfalme Koreshi alitoa amri"

Ezra 6

Ezra 6:1

akaamuru uchunguzi ufanyike

Neno "uchunguzi" inaweza kuelezeka pamoja na kitenzi "kuchunguza" au "kutafuta"AT:"aliamuru maofisa wake kutafuta"

aliamuru uchunguzi

Waliambiwa kuchunguza nini inaelezwa wazi.AT:aliagiza maofisa wake kuchunguza kumbukumbu" au "aliamuru maofisa kutafuta na kujua kama kuna kumbukumbu ya mfalme Koreshi inayosema wayahudi kujenga nyumba ya Mungu katika Yerusalem"

nyumba ya kumbukumbu

Hii ni nyumba ambayo mfalme alitunza kumbukumbu muhimu za kiserikali.

Akmetha

Hili ni jina la mji

chuo kilionekana

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"waliona chuo" au "waliona chuo ambacho kinaeleza kuhusu Dario na Yerusalem"

Ezra 6:3

Taarifa kwa ujumla

Hii inaanza na kumbukumbu Mfalme Koreshi akiamuru kwamba wayahudi wajenge hekalu la Mungu katika Yerusalem.

Katika mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi

Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa kwanza wa kutawala. AT:"Katika mwaka 1 wa kutawala Mfalme Koreshi"

Na nyumba iweze kujengwa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"Na wayahudi wajenge nyumba" au "Wayahudi lazima wajenge nyumba"

upana sitini

"60 upana" unaweza kuibadilisha kwa vipimo vya kisasa" AT:mita ishirini na saba"

sehemu tatu za mawe makubwa na sehemu ya mbao

Maana inayowezekana ni 1) hii inaonyesha jinsi ya kujenga msingi. AT:"Ijengwe katika sehemu tatu za mawe makubwa ikizungukwa na sehemu za mbao" au 2) hii inaonyesha jinsi ya kujenga ukuta. AT:"Kujenga kuta zake kwa sehemu tatu zikiwa na mawe makubwa pamoja na sehemu moja inayozunguka ya miti"

Na gharama zilipwe na nyumba ya mfalme

Msemo"nyumba ya mfalme" inamaanisha mali za mfalme Koreshi katika hazina ya ikulu. Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. AT: "Nitalipa fedha hizo kutoka katika mfuko wa hazina"

Ezra 6:6

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendeleza kumbukumbu za mfalme Koreshi kuagiza wayahudi kujenga hekalu la mungu katika Yerusalem, ambayo ilianza katika 6:3.

Tetanai...Shethar Bozenai

Dario anaandika mja kwa moja kwa huyu mtu. Tafsiri majina yao kama katika 5:3

mji ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto eflati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa.

Ezra 6:8

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendeleza kumbukumbu za Mfalme Koreshi agizo kwa wayahudi kujenga hekalu la Mungu katika Yerusalem, ambapo kilianza katika 6:3

Mchango kutoka kwa mfalme ngambo ya mto utatumika katika kuwalipa hawa wanaume.

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. AT:"Kutumia mfuko kutoka kwa mfalme ngambo ya mto utalipa hawa wanaume"

Mfuko kutoka hazina ya mfalme ngambo ya mto

"Hazina ya mfalme" inaamanisha kodi wanazolipa watu kwa mfalme. AT:"Pesa ktoka kwenye kodi ambazo mfalme anakusanya kutoka kwa watu ngambo ya mto"

Chochote kinachohitajika

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"chochote wanachohitaji"

Ezra 6:11

Taarifa kwa ujumla

Hii inaendelea na kumbukumbu ya mfalme Koreshi agizo kwa wayahudi kujenga hekalu la Mungu katika Yerusalem, ambalo lilianza katika 6:3

nguzo lazima itolewe katika nyumba yake na awekwe juu yake. Na nyumba yake itabadilishwa kuwa katika takataka.

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Niliagiza maofisa wangu kutolewa vyuma katika nyumba na iwekwe juu yake. Na baadaye itabadilishwa nyumba kuwa katika takataka"

nguzo

kipande kirefu cha mbao, kinachosaidia paa la nyumba

ambaye amenyosha mkono kubadilisha... au kuharibu

Kunyoosha mkono inamaanisha kujaribu kufanya kitu fulani. AT:"ambaye anajaribu kubadilisha... au kuharibu"anayetaka kubadili au kuharibu"

kubadilisha hili agizo

neno "agizo" linaweza kuelezwa hivi "kitu gani nilichoagiza" AT:"kubadili kitu nilichoagiza" au "kusema kwamba nimeagiza kitu kingine kabisa"

Ezra 6:13

Tatenai...Sheshthar-Bozenai

Tafsiri majina ya hawa wanaume kama ulivyofanya katika 5:3

Nyumba ikawa imekamilika

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. Unatakiwa kuweka maelezo nyumba ipi iliyokamilika. AT:"Walikamilisha nyumba ya Mungu" au "Walimaliza kujenga hekalu"

siku ya tatu ya mwezi wa adari

"adari" ni jina la kumi na mbili na mwezi wa mwisho katika kalenda ya kiebrania. Ni kipindi cha majira ya baridi. Siku ya tatu ni karibu ya katikati ya mwezi wa pili wa kalenda ya magharibi.

mwaka wa sita

Mfalme dario amekuwa akiongoza kwa miaka mitano, hivyo sasa katika mwaka wa sita wa kutawala kwake.

Ezra 6:16

waliobaki wa uamisho

Hawa watu wameshikwa na kupelekwa Babeli. lakini walirudi Yerusalem. AT:"baadhi ya watu waliochukuliwa mateka kwenda Babeli na waliorudi yerusalem" au "baadhi ya watu waliorudi kutoka matekani"

ngombe mia moja...kondoo mia nne

"100 ngombe...400 kondoo

kuwapa wajibu makuhani na walawi kufanya mgawanyo

jina "mgawanyo wa kazi" unaweza kuelezewa katika msemo "kugawanya kazi katika vikundi" AT: "kugawanya makuhani na walawi katika vikundi vya kazi"

mgawanyo wa kazi

"vikundi ambavyo vinafanya kazi pamoja"

Ezra 6:19

siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza

Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na nne ni karibu ya mwanzo wa mwezi wa nne kwa kalenda ya magharibi

wakajitakasa wenyewe

"wakajiweka kuwa safi wenyewe" kuwa safi inaonyesha kukubaliwa na Mungu. AT:"wakajiweka kukubalika kwa Mungu"

Ezra 6:21

wakajitenga wenyewe kutoka kwa watu wasio safi wa nchi

Kujitenga wenyewe kutoka kwa wasio safi inaonyesha kukataa kufanya vitu ambavyo mtu kutokuwa safi. AT:"Kukataa kufanya vitu ambavyo watu wa nchi wakifanya huwafanya wao kutokuwa safi"

kutokuwa safi kwa watu wa nchi

Hapa"kutokuwa safi" inawakilisha kutokukubaliwa na Mungu. AT:"vitu ambavyo watu wa nchi walivifanya na ikawafanya wasikubaliwe na Mungu"

kumchagua Yahwe

Kumtafuta Yahwe inaonyesha kuchagua kumjua, kuabudu na kumtii yeye. AT:"kuchagua kumtii Yahwe"

kubadilisha moyo wa mfalme wa Ashuru

Kubadilisha moyo wa Mfalme inaonyesha kumfanya yeye kufikiri tofauti kuhusu kazi ya hekalu. AT:"kubadilisha tabia ya mfalme wa Ashuru" au "kufanya mfalme wa Ashuru ku kutenda"

kuwatia nguvu mikono katika kazi ya nyumba yake

kuwatia nguvu mikono yao katika kazi inaonyesha kuwasaidia wao kufanya kazi.Mfalme wa Ashuru alifanya hivi kwa kuwaabia wao kufanya kazi na kutoa fedha kwa ajili hiyo.AT:"kuwasaidia wao kufanya kazi ya nyumba yake" au "kufanya iwezekane kazi ya nyumba yake"

kazi ya nyumba yake

Hii inamaanisha kujenga hekalu

Ezra 7

Ezra 7:1

Taarifa kwa ujumla

ukoo wa Ezra unaenda mpaka kwa kuhani wa kwanza Haruna

Ezra akaja kutoka Babeli

Ezra kuja juu inaweza kutafsiriwa vizuri. AT:"Ezra akaja Yerusalem kutoka Babeli"

Seraya

Tafsiri jina hili kama ulivyofanya katika 2:1

Shalumu

Tafsiri jina la mtu huyu kama ilivyofanya katika 2:40

azaria,Hilkia,...Sadoki,Ahitubu,Amaria,Azaria,Merayothi,Zerahia,Uzi,Buki,Abishua,Fineasi,eliazari

Hii orodha ni majina wanaume wote.

Ezra 7:6

Mfalme akampa kila kitu alichoomba

"Mfalme akampa Ezra chochote alichoomba kwake"

mkono wa Yahwe ulikuwa pamoja naye

"mkono" wa Yahwe unawakilisha baraka za Yahwe au kusaidia. AT:"baraka za Yahwe zilikuwa pamoja na Ezra" au "Yahwe alikuwa akimbariki Ezra"

katika mwaka wa saba wa mfalme Artashasta

Hii inarejea mwaka wa saba wa kutawala kwake. AT:"katika mwaka wa saba ambao mfalme alikuwa Artashasta"

Ezra 7:8

mwezi wa tano

Huu ni mwezi wa tano kalenda ya Kiebrania. ni kipindi cha mwisho cha mwezi wa saba na sehemu ya awali ya mwezi wa nane katika kalenda ya Magharibi

siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza

Hii ni karibu katikati ya mwezi wa tatu katika kalenda ya Magharibi

siku ya kwanza ya mwezi wa tano

Hii ni karibu ya katikati ya mwezi wa sabakatika kalenda ya magharibi

mkono mzuri wa Mungu

"mkono" inaonyesha nguvu au uongozi ambao Mungu anatumia kwa matokeo mazuri.

Ezra akaendeleza moyo wa kujisomea

Kuendeleza moyo inamaanisha kuamua au kujitoa yeye binafsi kufanya kitu fulani. AT:"ezra alijitoa maisha yake katika kusoma"

kutoa nje

"kutii"

maagizo na sheria za Yahwe

Hizi ni sheria ambazo Mungu alizileta kwa Waisrael kwa kumtumia Musa

Ezra 7:11

Hili lilikuwa agizo

ujumbe uliofuata maelezo lilikuwa agizo lililotolewa na mfalme Artashasta

Mfalme wa wafalme Artashasta

"Mfalme wa wafalme" ulikuwa ni wasifu, ukiwa unamaanisha kwamba alikuwa mkuu wa wafalme, mfalme ambaye wafalme wengine walimtii. AT:"Mfalme mkuu Artashasta" au "Artashasta, mkuu mfalme"

Ninatoa amri kwamba mtu yeyote....ambaye anatamani kwenda Yerusalem

Katika siku zile watu walipenda ruhusa kutoka kwa mfalme kurekebisha na kujenga katika eneo zamani liliharibiwa na wavamizi wa taifa jingine.

wanaweza kwenda pamoja na wewe

Neno "wewe" linamaanisha Ezra.

Ezra 7:14

Maelezo ya kuhusisha

Hii inaendelea na agizo la mfalme Artashasta alilompa ezra

Mimi, mfalme, na washauri wangu saba

neno "mimi" na msemo "Mfalme" linamaanisha mtu huyo huyo. Mfalme anakumbusha watu ambao watasikia barua kwamba yeye ndio mhusika wa hiyo barua.

kufahamu kuhusu Yuda na Yerusalem kuhusiana na sheria ya Mungu

kitu ambacho walitakiwa kuhulizia kinaweza kuelezewa vizuri zaidi. AT:"kuchunguza mwenendo katika Yuda na Yerusalem, ili kujifunza endapo au awatii sheria za Mungu"

Inakupasa kuleta dhahabu na fedha

Kitu walichoambiwa kuleta kinaweza kuelezwa vizuri.AT:"Inakupasa kuleta Yerusalem fedha na dhahabu"

fedha na dhahabu ambazo walitoa kwa hiari

"Hiari" inamaanisha hawakulazimishwa kutoa fedha. Walitoa kwa sababu walitaka. AT:"dhahabu na fedha ambazo walihiari kutoa"

Kitu gani cha hiari kilichotolewa na watu pamoja na makuhani

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"Kitu gani watu na makuhani walitoa kwa hiari"

Ezra 7:17

maelezo ya kuhusisha

Hii inaendelea na agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra

Basi ununue vyote...sadaka

msemo"vyote" inamaanisha vingi na vya muhimu kumalizia kazi. Walipaswa kutumia dhahabu na fedha kununua vyote vinavyohitajika ili kumwabudu mungu katiak hekalu. AT:"Nunua vingi kondoo, beberu,unga na sadaka ya vinywaji kama inavyohitajika"

wewena ndugu zako

Msemo "ndugu zako" inamaanisha watu ambao walifanya kazi pamoja na Ezra. AT:"watumishi wenzako" au "washirika wako"

Ezra 7:19

Maelezo ya kuhusisha

hii inaendeleza agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra.

vitu ambavyo ulipewa kwa hiari wew

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Vitu ambavyo tumevitoa kwa hiari kwako"

Viweke vitu...mbele yake yeye

Neno "yeye" linamaanisha Mungu

kwa huduma ya nyumba ya Mungu wako

Neno "huduma" linaweza kuelezwa kwa kitendo "kuhudumia" au "kutumia" "kazi" au "kuabudu" AT:"kutumia katika nyumba ya Mungu wako" au :kutumika katika nyumba ya Mungu wako"

hazina

sehemu ya usalama ambapo fedha inatunzwa

Ezra 7:21

Maelezo ya kuhusisha

Hii inaendelea na agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra

mji ngambo ya mto

Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi mwa mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Angalia ulivyotafsiri katika 4:9

Chochote ambacho Ezra ataomba kwenu anapaswa kupewa chote

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. "Mpeni Ezra chote anacjooomba kwenu"

anapaswa kupewa chote

Msemo "chote" hapa inamaanisha vyovyote muhimu vya kufanyia kazi. AT:"anapaswa kupewa vingi kadri anavyohitaji"

talanta mia moja za fedha

"talanta 100 za fedha" Unaweza kuthamanisha hii kwa kiwango cha sasa. AT:"3,400 talanta za fedha" au "tani tatu na nusu"

vipimo miavya ngano

Unaweza kuthamnisha katika kipimo cha sasa. 22,000 lita za ngano" au "ishirini na mbili elfu lita za ngano"

bathi mia za mafuta

Unaweza kuzibadilisha katika kipimo cha sasa. AT:"22,000 lita za mafuta" au "lita elfu mbili za mafuta"

nyumba yake

Hii inamaanisha hekalu la Mungu

Kwa nini hasira yake ije kwenye ufalme wangu na watoto wangu?

Mfalme anatumia swali hili kusema kwamba hataki hasira ya mungu ifike kwao. Hii inaonyesha kwamba wasipompa ezra kile ambacho ametaka, ndipo Mungu ataupiga ufalme. AT:"Kwa kuwa hatutaki hasira ya Mungu ije kwetu katika ufalme wangu na watoto" au "kwa kuwa usipofanya vitu hivi , hasira ya Mungu itakuja juu ya ufalme wako na watoto wako"

Kwa nini hasira yake ije ufalme wangu na watoto wangu

Hasira ya Mungu inamaanisha Mungu kuwaadhibu wao.AT:"Kwa nini Mungu kuadhibu ufalme wangu na watoto" au :Kwa kuwa usipofanya vitu hivi, Mungu ataadhibu ufalme wangu na watoto"

Ezra 7:24

Maelezo ya kuhusisha

Hii inaendelea kuhusisha agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra.

Tutawapa taarifa wao kuhusu ninyi kwamba wasiwatoze ushuru au kodi

"Tumewaambia wao wasiwatoze ushuru au kodi"

mwanamuziki

watu wanaopiga vifaa vya muziki

Ezra 7:25

Maelezo ya kuhusisha

Huu ni mwisho wa agizo la mfalme Artashasta alimpa Ezra

kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa

Jina "hekima" inaweza kuelezwa kwa neno "busara" na "hekima" AT:"Mungu amekupa hekima, hivyo hekima utateua waamuzi na mtu muelewa"

ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa.

jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. AT:"uenda kwa kuwaua wao,kuwahamisha,kutowesha vitu vyao, au kuwafunga wao" "unaweza kuwaua wao, kuwafukuza wao, kuchukua vitu wanavyomiliki au kuwaweka gerezani"

Ezra 7:27

Maelezo ya kuhusisha

Ezra anamtukuza Mungu kwa sababu ya agizo la mfalme Artashasta

aliweka ndani ya moyo wa mfalme ili kumtukuza nyumba ya Yahwe katika Yerusalem

kuweka vitu ndani ya moyo wa mfalme inamaaanisha kusababisha yeye kuwa mawazo na matakwa. AT:"kusababisha mfalme kutaka kumtukuza nyumba ya Yahwe katika Yerusalem

Nyumba ya Yahwe

Hii inamaanisha hekalu la Yahwe

Nilitiwa nguvu

kutiwa nguvu inamaanisha kutiwa moyo. AT"Nimetiwa moyo"

kwa mkono wa Yahwe Mungu wangu

Hapa mkono wa Mungu inamaanisha alichokifanya kumsaidia Ezra. AT:"kwa sababu Yahwe amenisaidia mimi"

Ezra 8

Ezra 8:1

Taarifa kwa ujumla

Kuna badiliko la umiliki kuanzia hapa. Sura ya 1 - 7 iliandikwa kana kwamba mhusika alikuwa akiandika kuhusu Ezra. Sura ya 8 iliandikwa kana kwamba mhusika ni Ezra

Taarifa kwa ujumla

Mstari 2 - 14 ni orodha ya viongozi na watangulizi wao. Wote walikuwa ni wanaume

mwana wa Finehasi, Gershoni

Hii ni kitu cha kwanza katika orodha. Inaweza kuandikwa pamoja na kitenzi "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Finehasi alikuwa Gershoni" au "Gershoni alikuwa kiongozi wa wana wa Finehasi"

wana wa Ithamari,Daniel

Hiki ni kitu cha pili katika orodha. Kinaweza kuandikwa kwa kitendo "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Ithamari alikuwa Daniel" au "Daniel alikuwa kiongozi wa wana wa Ithamari"

Paroshi

Tafsiri jina la huyu mtu kama ulivyofanya katika 2:3

mwana wa Daudi, ambao walikuwa... Paroshi na Zakaria

Hii ni kitu cha tatu katika orodha. inaweza kuandikwa kama kitendo "walikuwa" AT:"Viongozi wa wana wa Daudi walikuwa Hatishu ambaye alikuwa Paroshi na Zakaria" au "Kiongozi wa wana wa Daudi walikuwa Hatishu na Zakaria. Hatishu alikuwa kutoka ...Paroshi"

pamoja na yeye walikuwa 150 wanaume waliorodheshwa katika kumbukumbu ya ukoo.

"pamoja na Zakaria walikuwa 150 wanaume waliorodheshwa katika kumbukumbu ya ukoo"

Ezra 8:4

Taarifa kwa ujumla

Orodha ya majina ya wanaume yanaendelea

wana wa Pahath-Moab,Eliehoenai mwana wa Zerahia

"Elihoenai mwana wa Zerahia alikuwa kiongozi wa wana wa Pahath Moab"

na pamoja naye kulikuwa wanaume mia mbili

"na pamoja Eliehoenai kulikuwa wanaume mia mbili"

Zerahia

Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 7:1

Shekania

Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 8:1

adini

Tafsiri jina hili kama ulivyofanya katika2:15

mia mbili...mia tatu...hamsini...sabini

"200...300...50...70"

Ezra 8:8

Taarifa kwa ujumla

Orodha ya majina ya wanaume inaendelea

wana wa Shephatia,Zebadia mwana wa Mikaeli

Hiki ni kitu cha pili katika orodha. Kinaweza kuandikwa pamoja na kitendo "ilikuwa." AT:"Kiongozi wa wana wa Shephatia alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli" au "Zebadia mwana wa Mikaeli alikuwa ni kiongozi wa wana wa Shephatia"

Shephatia

Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:3

Mikaeli

Hili ni jina la mtu.

na pamoja naye walikuwa wameorodheshwa wanaume themanini

"na pamoja na Zebadia walikuwa wameorodheshwa wanaume themanini"

Bebai

Tafsiri hii kama ulivyofanya katika 2:11

themanini...ishirini...nane

nane- "80...28"

Ezra 8:12

Taarifa kwa ujumla

Huu ni mwisho wa orodha ya majina ya wanaume

wana wa Azgadi,Yohana mwana wa Hakatani

Hii ni kitu kinachofuata katika orodha. Inaweza kuandikwa pamoja na kitenzi "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Azgadi alikuwa Yohana mwana wa Hakatani" au "Yohana mwana wa Hakkatani alikuwa kiongozi wa wana wa Azgadi"

na pamoja naye walikuwa wameorodheshwa wanaume 110

"na pamoja na Yohana waliorodheshwa wanaume 110"

Wale wa wana wa adinikamu

Neno "wale" linamaanisha viongozi. AT:"Viongozi wa wana wa Adonikamu"

AZgadi

Tafsiri jina hili la mtu kama ulivyofanya katika 2:11

Adonikamu

Tafsiri jina hili la mtu kama ulivyofanya katika 2:11

Bigvai

Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:1

sitini...sabini

"60...70"

Ezra 8:15

Taarifa kwa ujumla

Neno "mimi" katika sura 8 linamaanisha Ezra. Yeye ni mhusika.

Taarifa kwa ujumla

Mstari 16 unajumuisha orodha ya majina ya wanaume

mto uliyokuwa unaelekea Ahava

Maana inaweza kuwa kwamba "bandari" ilkuwa 1)njia ya maji ambayo watu walitengeneza au 2) mto wa kawaida. Inaweza kutafsiriwa kwa njia moja ya ujumla. AT:"njia ya maji ambayo inaelekea Ahava"

Ahava

Hili ni jina la eneo

Shemaya

Tafssiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 8:12

Elnathani...Elnathani...Elnathani

Kulikuwa na uwezekano wanaume watatu pamoja waliofanana majina.

Ezra 8:17

Ido

hili ni jina la mtu

Kilichofuata niliwatuma wao kwa Ido

Neno "wao" linamaanisha viongozi tisa na walimu wawili walioandikwa katika 8:15. AT:"kilichofuata niliwatuma wale wanaume kwa Ido"

Kasifia

Hili ni jina la eneo

niliwaambia wao chakusema kwa Ido..kwamba , kutumakwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu

Neno "kwamba" linaonyesha kuwa aliwaambia wao kusema. AT:"Niliwaambia wao kumwambia Ido...kutuma kwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu"

Ezra 8:18

sherebiah...Mali...Hashabiah...Yeshaya...Merari

Haya ni majina ya wanaume

Hivyo wakatutuma sisi kwa Mungu na mkono mzuri wa mtu

Mungu "mkono mzuri" unawakilisha ukarimu wake katika kuwapatia wao. AT:"Kwa sababu Mungu alikuwa mwema kwetu,walituma kwetu mtu"

mtu makini

huyu ni mtu mwenye ufahamu na hekima.

mwana wa Levi mtoto wa Israeli

Hapa "Israel" ni jina la mtu. Ni jina ambalo Mungu alimpa Yakobo.

kumi na nane...ishirini

18,20.

Yeshaya

Tafsiri jina hili kama ukatika 8:4

maofisa

watu ambao wana mamlaka maalum katika muundo wa Serikali

Ezra 8:21

mto wa Ahava

Hili ni jina la bandari ambayo elekeza maji eneo linaloitwa Ahava. Angalia ulivyotafsiri Ahava na bandari katika 8:15.

kutafuta njia ilinyooka kutoka kwakwe kwa ajili yetu,watoto wadogo na mali zetu zote

Neno "kutafuta" inamaanisha kumwomba Mungu afanye kitu kwa ajili yao. Hapa "njia iliyonyooka" inawakilisha usalama wakati wanasafiri. AT:"tunapomwomba Mungu kutupa sisi, wadogo zetu, na mali zetu usalama wakati wa safari" au "Kumwomba Mungu kutulinda sisi, wadogo zetu na mali zetu zote wakati tunasafiri"

Mkono wa Mungu wetu uko pamoja na wale wanaomtafuta

mkono wa Mungu unapokuwa pamoja na watu ni msemo kuwa Mungu husaidia watu. Kumtafuta Mungu ni msemo kuwa kumtumikia yeye" AT:"Mungu husaidi wote a,bao wanamtumikia yeye"

lakini uweza wake na ghazabu yake ni juu ya wale wote wanaomwasi yeye

Uwezo wa Mungu na gjazabu kuwa juu ya watu ni msemo kwake kuwa atawaadhibu watu. kumsahau Mungu ni msemo kwamba kukataa kumtumikia yeye. AT:"lakini yeye hutoa adhabu kwa wote ambao wanakataa kumtumikia yeye"

Hivyo tulifunga na kumsihi Mungu kwa jambo hili

Hapa kumtafuta mungu ni msemo wa kumwomba mungu afanye kitu kwa ajili yao. AT:"Hivyo tulifunga na kumwomba Mungu atusaidie sisi"

Ezra 8:24

Sherabia,Hashabia

Tafsiri majina haya ya wanaume kama ulivyofanya katika 8:18

Ezra 8:26

650 talanta za fedha

"650 talanta za fedha," Unaweza kuibadilisha hii katika kipimo cha sasa. AT:"22,000 kilogram za fedha" au "ishirini na mbili elfu kilogram za fedha"

talanta mia moja za vyombo vya fedha

Unaweza kubadilisha hii katika kipimo cha sasa. AT:"3,400 kilogram vyombo vya fedha"

talanta mia moja za dhahabu

Unaweza kuibadili hii katika kipimo cha sasa. AT:"3,400 kilogram ya dhahabu"

elfu moja darkoni

"darkoni"ilikuwa ni salafu ndogo ya dhahabu ambayo watu wa utawala uajemi waliitumia. Unaweza kutafsiri kwa idadi ya salafu au kwa uzito wake. AT:"Salafu elfu moja za dhahabu ya Uajemi au "kilogram nane na nusu za dhahabu"

vyombo vilivonakshiwa

Vyombo vilivyonakshiwa ni mchanganyiko wa shaba na chuma. Ina uimara zaidi ya shaba

Ezra 8:28

Ndipo nikasema kwao

"Ndipo nikawaambia maofisa kumi na mbili wa kikuhani"

ndipo mtakapovipima mbele ya makuhani,walawi na viongozi

Walipofika Yerusalem , walipima fedha, dhahabu na vyombo ili kuonyesha kwamba hawakuchukua chochote kwa ajili yao binafsi.

Makuhani na Walawi

Kulingana na sheria ya Musa, kabila la Levi walikuwa na kazi ya kutunza hekalu, mali zake pamoja na sadaka.

Ezra 8:31

Tukatoka kwenda mto Ahava

"Tuliuacha mto Ahava" au "Tulianza kusafiri kutoka mto Ahava"

Mto Ahava

hili ni jina la mto ambao unaosafiri kwenda sehemu inayoitwa ahava. Tafsiri hii kama ulivyofanya katika 8:21

siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza

Hii ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya kiebrania. Siku ya kumi na mbili ya karibu ya mwisho wa mwezi wa tatu kalenda ya magharibi.

Mkono wa Mungu ulikuwa juu yetu

Mkono wa Mungu kuwa juu ya watu ni msemo wa Mungu kusaidia watu. AT:"Mungu alikuwa akitusaidia sisi"

alitulinda kutoka kwenye mikono ya adui na wale...njiani

Mkono unawakilisha kile ambacho watu wangefanya. Inawalenga wao kuvamia kikundi ambacho walikuwa wanasafiri. AT:"alitulinda sisi kutokana na uvamizi wa adui na wale ambao walitaka kutuzuru tukiwa njiani" au " Aliwazuia maadui kutuvamia sisi na aliwazuia wanyanganyi kutotuzuru sisi tukiwa njiani"

wale waliotaka kutunfanyia fujo sisi

Hii inamaanisha wezi na wanyanganyi ambao walitaka kuwavamia wao kwa kuchukua fedha.

Ezra 8:33

fedha,dhahabu na vyombo vilipimmwa nje

Hii inweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"maofisa kumi na wawili wa kikuhani walipima fedha,dhahabu na vyombo.

waliweza kupima nje...kwamkono wa Meremothi

waliweza kupima nje..kwa mkono wa meremothi

Meremothi...Uriah...Eleazari...Phineasi...Yozabadi...Yoshuhua....Noadia..Binui

Haya ni majina ya wanaume

Yoshua

Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:3

Ezra 8:35

Wale waliorudi kutoka mateka...watu wa kifungoni

Hii misemo miwili inamaanisha wayahudi ambao walikuwa wakiishi Babeli utumwani na ambao walitoka Babeli na kurudi Yerusalem katika Yuda. AT:"wale waliorudi Yerusale kutoka kifungoni Babeli, watu wa matekani"

kumi na mbili...tisini...sita...sabini na saba...kumi na mbili

sita...sabini-saba...kumi na mbili "12...96...77...12"

maofisa katika mji ngambo ya mto

Hawa walikuwa ni maofisa wa Babeli waliokuwa wakiongoza watu magharibi ya mto Efrati, pamoja na watu walioishi Yuda.

mji ngambo ya mto

hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Ilijumuisha Yuda. angalia ulivyotafsiri katika 4:9

Nyumba ya Mungu

hekalu

Ezra 9

Ezra 9:1

hawakuweza kujitenga wenyewe

wameoana na watu kutoka nchi nyingine na wamefuata dini zao

Ezra 9:3

Niliposikia haya

Ezra aliposikia kwamba Waisraeli wengi wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wakiabudu miungu yao

nikachana nguo zangu na kanzu yangu na kunyoa nwele kichwani na ndevu

Ezra alikuwa akionyesha kila mmoja jinsi asivyopendezwa na watu walivyofanya mamboyaliyomchukiza Mungu

sadaka za jioni

sadaka ambayo makuhani wangeitoa kipindi ambacho jua linazama

Ezra 9:5

nafasi yangu nikiwa mnyenyekevu

njia nyingine ya kusema yeye alikuwa "alikaa na aibu"(9:3). "nilipokuwa nimekaa kwenye kiwanja chini kuonyesha aibu niliyokuwa nayo"

nikapiga na kunyooosha mikono yangu

"nikatoka na magoti yangu na kujinyoosha viungo nikiwa nimenyoosha mikono kuelekea angani

makosa yetu yamekuwa hadi kuvuka kichwani na maovu yetu yameongezeka kufika mbinguni

Haya maneno yana jinsi mbili ya kuyaongea makosa na maovu kana kwamba ni mwili abao unaweza kukuwa na kuongezeka kama watu. Majina "makosa" na "maovu" yanaweza kuelezekeza kama jina na kivumishi. AT:"sisi tumetenda maovu na tuna makosa"

Ezra 9:7

siku za watangulizi wetu

"wakati ambapo watangulizi wetu walikuwa hai"

katika maovu makuu...katika makosa yetu

Neno "maovu" na "makosa" yanaweza kutafsiriwa kama kitenzi na kitendo, respectively. AT:"maovukweli...Kwa sababu ya uovu tulioufanya:

sisi...tulikabidhiwa kwenye mikono ya mfalme

Hii inaweza kutafsiriwa kwenye mfumo hai.AT:ulitupa sisi...kwenye mikono ya mfalme"

kwa upanga

Upanga ni msemo wa watu kuua watu wengine. Mungu aliruhusu watu kuwaua wayahudi.

matekani

Hili jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. Mungu aliruhusu watu kuwakamata wayahudi na kuwachukua na kuwapeleka.

Ezra 9:8

neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja

Mungu ameamua kuonyesha rehema imesemwa kwetu ikiwa neema angekuwa mtu ambaye anaweza kutembea. AT:"Yahwe Mungu wetu ameamua kuwa mwenyerehema kwetu na"

ameendeleza agano kwa uaminifu kwa ajili yetu

Agano la uaminifu limesemwa kana kwamba ni kitu ambacho mtu anaweza kukishirikilia mkononi mwake na kukigawa kwa mtu mwingine kukichukua. AT:"alitoa ili iwe uaminifu kwetu sisi na kutunza Agano lake"

mbele ya macho kwa mfalme wa Uajemi

Kiualisia mfalme asingeweza kuona hekalu, lakini alijua kuhusu kilichokuwa kinatokea katika Yerusalem. Hapa "macho" ni msemo kwa kile ambacho mtu anafahamu. AT:"Hivyo mfalme wa Uajemi alijua kuhusu hilo"

Nyumba ya Mungu

hekalu

atatupatia sisi msingi salama

Msingi ambao utawaweka watu salama ni fumbo kwa Yahwe atawalinda watu wake. AT:"atatulinda sisi salama"

Ezra 9:10

kwa wakati wote

"mpaka mwisho wa wakati"

Ezra 9:13

matendo yetu maovu na makosa yetu makuu

najina :maovu" na "makosa" yanaweza kutafsiriwa kama majina na kivumishi. AT:"kwa sababu ya mambo mabaya tuliyofanya na kwa sababu tulikuwa na makosa"

hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na kutuacha kama mabaki

"ulikuwa na haki kama ungetuangamiza sote, lakini ukutuadhibu na matokeo yake ukatuacha tukiwa hai"

tunaweza kuvunja tena amri zako na kufanya...watu?

Hii inaweza kutafsiriwa kama maelezo.AT: "hili ni kosa kubwa sana kwamba baadhi tumevunja amri zako na kufanya ...watu."

huwezi kuwa na hasira....kutoroka?

Hii inaweza kutafsiriwa kama maelezo.AT:"ninaogopa kwamba utachukia....kutoroka"

Ezra 9:15

Angalia

"Kuwa makini kwa kile ambacho nataka kusema"

Tuko mbele yako na makosa yetu

"Utaona kwamba sisi sote tuna makosa"

hakuna hata mmoja anayeweza kusimama mbele yako

"hufikiri kwamba mtu yeyote ana kosa"

Ezra 10

Ezra 10:1

Akiwa Ezra anaomba na kutubu...akajirusha mwenyewe chini

Ezra anajiongelea mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine

akajirusha mwenyewe chini

upesi kutoka katika hali ya kusimama na kuwa hali ya kulala uso ukiangalia chini

mbele ya nyumba ya Mungu

mbele ya hekalu

Shekania

Kama ilivyotafsiriwa katika 8:4

Yehieli

Kama ilivyotafsiriwa katika 8:8

Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu wetu

Hii ilifanywa kama toba ya hadharani, sio madai ya kujivuna

Ezra 10:3

Sisi tuko pamoja nawe

"sisi tutakusaidia wewe"

Ezra 10:5

Yehohanani...Eliashibu

Haya ni majina ya wanaume

Ezra 10:7

Yeyote ambaye hakuja...atachukuliwa mali zote na kutengwa

"<aofisa watachukua mali yote kutoka mtu yeyote asiyekuja... na watawatenga wao" au "Watu wa Yuda na Yerusalem watachukua mali yote kutoka kwa yeyote ambaye hakuja ... na watawatenga wao"

siku tatu

3 siku

Ezra 10:9

katika siku tatu

"siku tatu baadaye"

mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi

Huu ni mwezi wa tisa wa kalenda ya kiebrania. Siku ya ishirini ni karibu katikati ya mwezi wa kumi na mbili kwa kalenda ya watu wa magharibi.

katika mraba

sehemu kubwa ya uwazi mbele ya hekalu

Walijitoa kutetea

jina "kujitetea" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. AT: "kusaidia adui za watu wako"

na kama kuongeza makosa ya Waisraeli

'na sasa Mungu akatuona wenye makosa zaidi ya dhambi kuliko mwanzoni"

Ezra 10:11

mjitenge kutoka

kuondoka kutoka, kuwa tofauti kutokana

Ezra 10:12

hii sio siku moja au mbili za kazi

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo chanya. AT: Tutahitaji muda mrefu kufanya hii kazi yote"

Ezra 10:14

muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"muda ambao viongozi na waamuzi wa mji wataupanga"

Yonathani...Asaheli...Yazeya...Tikwa...Meshulamu.......Sh

majina ya wanaume

Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili

Maana inaweza kuwa 1) hawa watu hawakutaka wakuu wa mji kuchunguze maovu au 2) hawakutaka mtu yeyote kuchunguza ndoa za watu.

Ezra 10:16

walifanya hivi

watu walichunguza wale ambao walioa wasio wayahudi

siku ya kwanza ya mwezi wa kumi

Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza inakaribia katikati ya mwezi wa kumi na mbili kwa kalenda ya watu wa magharibi.

siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza

Hii ni katikati ya mwezi wa tatu kwa kalenda ya magharibi

Ezra 10:18

Yoshua

Kama ilvyotafsiriwa katika 2:1

Yosadaki

Kama ilivyotafsiriwa katika 3:1

Maasela...Gedaliah

majina ya wanaume

Eliazeri...Yaribu

Kama ilivyotafsiriwa katika 8:15

Ezra 10:20

Taarifa kwa ujumla

Ezra anaendelea kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi

Imeri...Pashuri

majina ya wanaume

Hanani...Elionai...Nethanai...Elasa

majina ya wanaume

Zebadia

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:8

Harimu

jina la mtu, Kama ilivyotafsiriwa katika 2:31

Maaseya

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 10:18

Shemaya...Yehieli

majina ya wanaume.Kama iilivyotafsiriwa katika 8:12

Yozabadi

jina la mtu. Kama iivyotafsiriwa katika 8:33

Ezra 10:23

Taarifa kwa ujumla

Ezra anaendelea kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi

Yozabadi

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:33

Eliashibu

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:5

Shalumu

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 2:40

Paroshi

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 2:3

Eliazari

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 7:1

Ezra 10:26

Taarifa kwa ujumla

Ezra anaendle akuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi

Elamu...Zatu...Bani

Majina ya wanaume.Kama ilivyotafsiriwa katika 2:7

Yehieli

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:8

Elionai

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:20

Eliashibu...Yehohanani

majina ya wanaume. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:5

Bebai

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 2:11

Yehohanani

jina la mtu. kam ilivyotafsiriwa katika 10:5

Meshulamu

jina la mtu. Kam ilivyotafsiriwa katika 8:15

Ezra 10:30

Taarifa kwa ujumla

Ezra anendelea kuorodhesha wanaume ambao wameoa wanawake wasio wayahudi

Pahathi Moabu

jina la mtu. Lama ilivyotafsiriwa katika 8:4

Benaya...Matania

Majina ya wanaume. kama ilivyotafsiriwa katika 10:23

Maaseya

jina la mtu. Kama ilvyotafsiriwa katika 10:18

Mattania

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:26

Binui

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 8:33

Harimu

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 2:31

Eliezeri

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:15

Maluki

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:26

Ezra 10:33

Taarifa kwa ujumla

Ezra anaendelea kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi

Hashumu

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 2L19

Zabadi

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:26

Elifereti

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 8:12

Manase

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 10:30

Shimei...Benaya

majina ya wanaume. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:23

Bani

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 2:7

Meremothi

jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:33

Eliashibu

jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 10:5

Ezra 10:37

Taarifa kwa ujumla

Ezra anaendelea kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi

Matania...Adaya

majina ya wanaume.Kama ilivyotafsiriwa katika 10:26

Matenai

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 10:33

Binui

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 8:33

Sheremiah

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 10:23

Ezra 10:41

Taarifa kwa ujumla

Ezra anamaliza kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi

Sheremia

jina la mtu. kama lilivyotafsiriwa katika 10:37

Shalumu

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 2:40

Amaria

Jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 7:1

Nebo

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 2:27

Yeieli

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 8:12

Zabadi

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 10:26

Ido

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 5:1

Benaya

jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 10L23

Hawa wote

wanaume wote katika orodha kuanzia katika 10:20