Kiswahili: translationNotes Print

Updated ? hours ago # views See on WACS

Ezekiel 1

Ezekiel 1:1

Katika mwaka wa kumi na tatu

Huu ni mwaka wa kumi na tatu ya uhai ya Ezekieli.

mwezi wa nne, na siku ya siku ya tano ya mwezi

"siku ya tano ya mwezi wa tano." Huu ni mwezi wa nne wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tano inakaribia mwishoni mwa mwezi wa sita kwenye kalenda za Magharibi.

Ikawa kwamba

Hili neno limetumika hapa kuonyesha tukio muhimu katika hadithi.

Nilikuwa nikiishi miongoni mwa mateka

Neno "Mimi" inamrejelea Ezekieli. "Nilikuwa miongoni mwa mateka"

Nikaona maono ya Mungu

"Mungu alinionyesha mambo yasiyo ya kawaida"

ilikuwa mwaka wa tano wa uhamisho wa Mfalme Yehoyakini

Kupitia hiki kitabu, Ezekieli ataandika tarehe juu ya lini Wababeli waliwalazimisha Yehoyakini kuondoka Yerusalemu.

kwa Ezekieli ... juu yake huko

Ezekieli anajizungumzia yeye mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine.

neno la Yahwe lika kwa nguvu kwa Ezekieli

"Yahwe alinena kwa nguvu na Ezekieli"

Buzi

jina la kiume

Keberi Kanali

Huu ni mto ambao watu katika Kaldea walichimba kupeleka maji kwenye bustani zao. "Mto Keberi"

mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake

Neno "mkono" mara nyingi limetumika kurejelea nguvu ya mtu au tendo.

Yahwe

Hili ni jina la Mngu ambaye aliyejifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.

Ezekiel 1:4

Sentensi Unganishi:

Ezekieli anaendelea kuelezea ono lake.

upepo wa dhoruba

Hii ni dhoruba ambayo yenye upepo mwingi.

unakuja kutoka kaskazini

Kaskazini ni uelekeo wa mkono wako wakati utazamapo jua linapokuwa linachomoza.

wingu kubwa lenye moto ndani yake

Hili linaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya: "Hii dhoruba ilikuwa kubwa pamoja na moto ukiwaka ndani yake"

moto ukiwaka

Maana ziwezekanazo 1) "mwanga ukiwaka" au 2) ukiwaka wakati wote."

na nuru ndani yake na kung'aa ukizunguka ndani yake

"na nuru kali sana ikimulika ilikuwa imelizunguka wingu ndani yake".

rangi ya kaharabu

"njano inayong'aa kama kaharabu" au "njano inayong'aa"

kaharabu

utomvu wa njano ngumu ambayo ilitumika kama pambo zuri juu ya kito

Katikati

"katikati ya dhoruba"

ulikuwa kama mwonekano wa viumbe hai vinne

"kulikuwa na vitu ambavyo vilifanana kama viumbe vinne"

Huu ulikuwa mwonekano wao

"Hivi ndivyo ambayo viumbe vinne vilivyokuwa vikionekana"

vilikuwa vikifanana na mtu

"vile viumbe vinne vilifanana na watu"

lakini vilikuwa na sura nne kila mmoja, na kila kiumbe kilikuwa na mabawa manne

"lakini kila kiumbe kilikuwa na sura tofauti tofauti na mabawa manne." Kila kiumbe kilikuwa na uso mmoja kwa mbele, uso mmoja upande wa nyuma, na uso mmoja kwa kila upande wa kichwa chake.

Ezekiel 1:7

Sentensi Unganishi:

Ezekieli anaendelea kueleza ono lake.

lakini nyao za miguu yao zilikuwa kama kwato za ndama

"lakini miguu yao ilionekana kama kwato za ndama"

kwato za ndama

sehemu ngumu ya mguu wa ndama

zilizokuwa zinang'aa kama shaba iliyosuguliwa

"zilizokuwa zimeng'aa kama shaba ambayo iliyokuwa imeoshwa." Hii inaelezea miguu ya viumbe.

juu ya pande zote nne

"juu ya pande zote nne za miili yao"

Kwa zote nne, nyuso zao na mabawa zilikuwa kama hivi"

"Kwa viumbe vyote vinne, mabawa yao na nyuso zao zilikuwa kama hivi"

na hawakugeuka walipokuwa wakienda

"na viumbe havikugeuka vilipokuwa vikitembea"

Ezekiel 1:10

Sentensi Unganisha:

Ezekieli anaendelea kuelezea maono yake

Mwonekano wa nyuso zao zilikuwa kama uso wa mwanadamu

Ezekieli anaelezea nyuso za hao viumbe kwa upande wa mbele. "Nyuso za kila kiumbe zilionekana kama hivi: Mbele ya uso palionekana kama uso wa mwanadamu"

uso wa simba kwa upande wa kuume

"kwa upande wa kulia wa kichwa chake palionekana kama uso wa simba"

"uso ulikuwa wa maksai uapnde wa kushoto

"upande wa kushoto wa uso wa kichwa ulikuwa unafanana na uso maksai"

mwishoni, uso wa tai

"mwishoni, uso wa upande wa nyuma wa kichwa chake ulifanana kama uso wa tai"

mabawa yao yalikuwa yametawanyika juu, hivyo basi kila kiumbe kilikuwa na jozi ya za mabawa yaliyokuwa yameshikamana na bawa la kiumbe kingine

"kila kiumbe kilishikilia mabawa yake mawili ili bawa moja liligusa bawa la kiumbe upande mwingine wa kiumbe kingine, na bawa jingine liligusa kiumbe kwa upande mwingine wa kiumbe kingine"

na pia njozi ya mabawa iliyokuwa imefunika miili yao

"Mabawa mengine mawili ya kila kiumbe yalifunika mwili wake"

Kila mmoja alienda mbele

"Kila kiumbe kilienda na uso ukiwa umetazama mbele"

Ezekiel 1:13

Sentensi Unganishi:

Ezekieli anaendelea kuelezea maono yake.

ulifanana kama mkaa uliochomwa, au kama tochi

"uling'aa kama mkaa katika moto mkali, au kama tochi"

na kulikuwa na tochi imewaka

"na mwanga ulikuja kutoka kwenye moto."

Hao viumbe hai vilikuwa vikihama mbio mbele na nyuma, na walikuwa na mwonekano wa radi

Tochi zilizowaka na kupotea upesi, na viumbe walienda kutoka upande mmoja kwenda mwingine upesi.

Ezekiel 1:15

Sentensi Unganishi:

Ezekieli anaendelea kuelezea maono yake.

kulikuwa na gurudumu moja juu ya nchi karibu na viumbe hai

"kulikuwa na gurudumu moja juu ya nchi karibu na kila mmoja wa viumbe hai, gurudumu moja kwa kila mweliekeo viumbe walipokuwa wameelekea"

Huu ndio ulikuwa mwonekano na umbo wa hizo gurudumu

"Hivi ndivyo magurudumu yalivyofanana na jinsi yavyokuwa yametengenezwa"

kama zabarajadi

Zabarajadi ni aina ya weupe, jiwe la thamani, mara nyingi la njano au rangi ya dhahabu."jeupe na manjano kama jiwe la zabarajadi"

hayo manne yote yalikuwa sawa sawa

"yote manne ya magurudumu yalifanana"

walifanana kama gurudumu linalofanana na jingine

"yalitengenezwa na gurudumu moja linaloenda kupitia gurudumu jingine"

Ezekiel 1:17

Sentensi Unganishi:

Ezekieli anaendelea kulezea maona yake

walienda bila kugeuka mahali popote viumbe walipokuwa wameelekea

"magurudumu yalikuwa yanaweza kwenda katika mahali popote penye njia nne ambapo viumbe walipokuwa wameelekea"

Kama kwa ajili ya kingo zao

"Hivi ndivyo kingo za magurudumu zilifanana"

walikuwa warefu na wakutisha

"kingo zilikuwa ndefu na zakutisha"

kingo zikuwa zimejaa macho yaliyozunguka

"kwa sababu kingo zilikuwa zilikuwa nyingi sana kuzunguka magurudumu yote manne"

Ezekiel 1:19

Wakati viumbe hai walipoinuka kutoka kwenye nchi

Viumbe vilikuwa vikiruka katika anga baada kuondoka kwenye nchi. "Hivyo wakati viumbe walipoicha nchi na kwenda juu kwenye anga."

roho wa kiumbe hai

"roho yule yule aliyetoa uhai kwa viumbe pia alitoa uhai kwa magurudumu."

magurudumu pia yaliiuka

"magurudumu pia yaliiacha nchi na kwenda kwenye anga"

Popote Roho alipoenda, walienda

Neno "wao" hurejelea kwa viumbe.

magurudumu waliinuka juu karibu nao

"magurudumu yalipanda juu kwenye anga pamoja na viumbe hai"

Ezekiel 1:22

anga itanukayo

Kuba huonekana kama mpira mtupu uliokatwa nusu. "Kutanuka" maana yake kubwa sana.

fuwele inayovutia

fuwele inayovutia- "barafu inayong'aa"

yaliyonyooshwa kuelekea juu ya vichwa vyao

"na kuba inayotanuka ilikuwa imesambazwa juu ya vichwa vya viumbe"

Benethi kuba

"chini ya kuba"

Kila viumbe hai pia vilikuwa na njozi moja kujifunika wenyewe; kila kiumbe kilikuwa na njozi moja kufunika mwili wake mwenyewe

"Kila viumbe hai pia vilikuwa na mabawa mawili mengine, ambavyo walitumia kufunika miili ya"

Ezekiel 1:24

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono ya viumbe hai.

Kisha nikasikia sauti ya mabawa yao. Kama mlio wa maji mengi. Kama sauti ya mwenye enzi popote walipoelekea. Kama

"Popote walipoelekea, nalisikia sauti ya mabawa yao. Kama sauti ya maji yanayoruka.

Kama ... maji. Kama ... tembea. Kama ... dhoruba ya mvua. Kama ... jeshi

Hizi sentensi hazijakamilika kwa sababu Ezekieli alikuwa akionyesha kwamba alikuwa na furaha kubwa kuhusu alichokiona. "Mabawa yalisikika kama ... maji. Yalisikika kama ... tembea. Yalisikika kama ... dhoruba ya mvua. Yalisikika ... jeshi."

maji yaliyotibuka

Hii inamaana rahisi "maji mengi." Ingeweza kurejelewa kwa "mto wenye sauti kubwa"

Kama sauti ya enzi

Wakati mwingine Biblia inarejea radi kama "sauti ya enzi." "Ilisikika kama sauti ya mwenyezi Mungu"

Kama sauti ya dhoruba ya mvua

"Kama sauti ya dhoruba kubwa sana"

Popote waliposimama

"Popote viumbe walipoacha kutembea"

walishusha mabawa yao

"hao viumbe waliacha mabawa yao kuning'ining'a chini karibu na sehemu zao." Walifanya hivyo wakati walipoacha kutumia mabawa yao kuruka.

Sauti ikaja kutoka juu ya anga

"Mtu aliyekuwa juu ya anga akinena." Kama unahitaji kueleza sauti hii ni ya nani, unaweza kujaribu kuitambua kama sauti ya Yahwe

anga juu ya vichwa vyao

"anga lililokuwa juu ya vichwa vya viumbe"

anga

huonekana kama mpira mtupu uliokatwa juu na chini.

Ezekiel 1:26

juu ya vichwa

"juu ya vichwa vya viumbe hai"

ulikuwa na mwonekano wa kiti cha enzi

"kulikuwa na kitu kilichofanana kama kiti cha enzi"

samawati

jiwe la thamani sana ambalo ni blu safi na ling'aalo sana

juu ya kiti cha enzi kulikuwa

"juu ya kiti cha enzi kulikuwa"

mwonekano wa mmoja aliyefanana kama mwanadamu

"mtu aliyefanana na mwanadamu"

Ezekiel 1:27

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono.

kutoka kwenye nyonga juu

Mwili wa mwanadamu juu ya nyonga palifanana kama chuma kinachong'aa kilichokuwa na moto ndani mwake.

kuzunguka kote

"kuzunguka kote mtu aliyeketi juu ya kiti cha enzi"

kutoka kwenye nyonga kwa chini palionekana kama moto na mng'ao ulozunguka kote

"Kumzunguka kote chini ya nyonga, niliona kilichofanana kama moto na mwanga ung'aao."

Ilionekana kama upinde wa mvua unaoonekana katika mawingu katika siku ya mvua, na kama mwanga unaong'aa ukiizunguka

"Mwanga ambao ulikuwa umemzunguka kote ulifanana kama upinde wa mvua uonekanao katika mawingu katika siku ya mvua inyeshapo."

upinde wa mvua

rangi nzuri ya mustari wa mwanga uonekanao katika mvua wakati jua liwakapo kutoka nyuma ya mwonekano

Huu ulionekana kama mfanano wa utukufu wa Yahwe

"Mwanga unaong'aa ulifanana kama kitu ambacho kilichofanana na utukufu wa Yahwe."

niliusikia kwenye uso wangu

"nilisujudu hata chini kwenye nchi" Ezekieli hakuanguka kwa ajali. Alienda chini hata kwenye nchi kuonyesha kwamba aliheshimu na kumwogopa Yahwe.

nilisikia sauti ikinena

Neno "sauti" ni picha ya mtu. "nikasikia sauti ikinena"

Ezekiel 2

Ezekiel 2:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono aliyoyaona.

Akanambia

"yule aliyefanana na mwanadamu". (1:2). Hakuwa "yule Roho."

ROho

"roho" au "upepo."

Mwana wa mtu

"Mwana wa mwanadamu" au "Mwana wa binadamu." Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ananguvu na huishi milele, lakini watu hawawezi. "utu wa kufa" au "Binadamu"

kwa watu wa Israeli, kwa taifa lililo asi

"kwa Waisraeli, kwa watu walioasi." Manano haya mawili huwarejea watu wale wale. "kwa watu wa Israeli, ambao ni waasi."

hata hivi leo

Hii inamaanisha kwamba watu wa Israeli waliendelea kutokumtii Mungu. "hata sasa" au "hata leo."

Ezekiel 2:4

Maelezo ya Jumla:

Mungu anaenedelea kunena na Ezekieli.

Uzao wao

Uzao wa kizazi kilichopita cha Israeli aliye asi juu ya Mungu, inawarejelea watu wa wa Israeli kipindi Ezekeieli anapoandika.

sura za kikaidi na mioyo miguma

Maneno "sura za kikaidi" inarejelea jinsi walivyotenda nje, na neno "moyo mgumu" inarejea jinsi wafikiriavyo na kusikia. Yote yanasisitiza kwamba watu wa Israeli hawatabadilika jinsi walivyoishi ili kumtii Mungu.

wana nyuso za kikaidi

"wana sura kwenye nyuso zao zinazoonyesha kwamba ni wakaidi"

kaidi

"wasiotaka kubadilika"

moyo mgumu

Jiwe haliwezi kubadilika na laini, na hawa watu hawawezi kubadilika na kujuta wakati wafanyapo mambo maovu.

nyumba

Huu ni mfano kwa ajili ya familia inayoishi katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu"

nabii alikuwa miongoni mwenu

"yule waliye mkataa kumsikiliza alikuwa nabii"

Ezekiel 2:6

Maelezo ya Jumla:

Mungu anaendelea kunena na Ezekieli

mwana wa Adamu

"Mwana wa mwanadamu" Mungu anamuita Ezekieli kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ana nguvu na huishi milele, lakini watu hawaishi milele.

mitemba na miiba na ... nge

Haya maneno yanawaeleza wana wa Israeli ambao watamtendea Ezekieli ukarimu wakati awaambiapo ambavyo Mungu asemavyo.

mitembe na miiba

Mitembe ni vichaka vilivyochongoka juu ya matawi. Zile sehemu zilizochongoka juu ya matawi zinaitwa miiba.

nge

Nge ni mnyama mdogo mwenye kucha mbeli, miguu sita, na mkia mrefu pamoja na mwiba wenye sumu. Mwiba wake una maumivu makali sana.

Usiyaogope maneno yao

"Usiyaogope yale wasemayo."

hofu kwa nyuso zao

Neno "nyuso zao" ni mfano kwa ujumbe watu wanaueleza kwa nyuso zao. "poteza shauku kuniokoa kwa sababu ya jinsi wakutazamavyo"

Ezekiel 2:7

Maelelzo ya Jumla:

Mungu anaendelea kunena na Ezekieli.

ni waasi mno

"ni waasi sana" au "kuasi kabisa juu yangu"

nyumba

Huu ni inasimama kwa familia inayoishi katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi.

Ezekiel 2:9

na mkono ulikuwa umenyooshwa kwangu

Ilikuwa kana kwamba, mtu katika mbingu alinyoosha mkono kumwelekea Ezekieli na Ezekieli angeweza kuona kutoka mkono hata kiwiko au bega

hati moja ya kukunja

"hati iliyokuwa imeandikwa"

Aliisambaza

Neno "Yeye" inarejelea kwa "yule aliyefanana na mtu" (1:26).

ilikuwa imeandikwa sehemu zote mbele na nyuma yake

"mtu mmoja alikuwa ameandika pande zote mbele na nyuma yake"

yaliandikwa maombelezo, huzuni na majonzi

"maombolezo," "huzuni," na "majonzi" "mtu mmoja aliandika juu yake kwamba hawa watu watahuzunika, kuhuzunika vile watakavyokuwa kama yule waliyempenda alikufa, na kuwa na mambo mabaya yaliwatokea"

Ezekiel 3

Ezekiel 3:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kuelelza kuhusu maono aliyoyaona.

Alinambia

Neno "Yeye" inarejelea kwa ""yule aliyefanana na mwanadamu" (1:26).

Mwanadamu

"Mwana wa mwanandamu" Mungu anamuita Ezekilei hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ana nguvu na huishi milele, lakini watu hawataishi milele.

umepata nini

Hii inarejelea kwa hati ya kukunja ambao Mungu aliyokuwa akimpa.

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni mfano kwa familia inayoishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Israeli"

hiyo hati ya kukunja

Matoleo mengi yana "hati ya kukunjua" au "hii hati ya kukunjua."

lisha tumbo lako na jaza tumbo lako kwa hii hati ya kukunjua

Neno "tumbo" linarejelea kwenye sehemu ya mwili watu wanayoweza kuiona kutoka nje. Neno "tumbo" linarejelea ndani ya ogani ndani ya tumbo.

ilikuwa tamu kama asali

Asali ina ladha tamu, na hati ya kukunjua inaladha tamu.

Ezekiel 3:4

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kutueleza kuhusu maono aliyoyaona.

akanambia

"yule aliyefanana na mwanadamu" (1:26). Hakuwa "roho."

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni mfani kwa familia inayoishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya mika mingi. "kundi la Waisraeli"

maneno ya kushangaza au lugha ngumu

"anayenena manenu magumu"

sio kwa taifa lenye nguvu la maneno magumu

"Sikupeleki kwa taifa lenye nguvu ambalo watu wananena maneno magumu"

Kama nikikupeleka kwao, wataweza kukusikiliza

Hii ni hali swali lisilohitaji kujibiwa ambalo litatokea lakini halitatokea. Yahwe hakumsimamisha Ezekieli kwa watu ambao hawakuweza kuelewa lugha yake.

Kama nikikupeleka

Neno "wao" linarejelea kwa taifa lenye nguvu tofauti na Israeli.

paji gumu na moyo mgumu

"uasi sana" au "kaidi sana"

paji gumu

lisilotaka kubadilika

moyo mgumu

Hili neno linashauri kwamba watu humpinga Mungu na hawataki kumtii. Moyo umetumika kueleza sehemu katika mwili ambapo mtu huamua kile wanachotaka kukifanya.

Ezekiel 3:8

Maelezo ya Jumla:

Roho wa Mungu anaendelea kunena na Ezekieli.

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linamtaharisha Ezekieli kuwa makini kwa habari mpya inayofuata.

Nimeufanya uso wako wa ukaidi kama nyuso zao

Neno "sura" limetumika kusimama kwa ajili ya watu. "Nimekufanya kaidi kama walivyo."

Nimekufanya ... paji la uso kuwa gumu kama mapaji yao

"Paji" ni sehemu ya mbele ya kichwa au nyusi za macho na ni mfano wa mtu. "Nimefanya ... wewe imara ili usisimame kufanya unachokifanya"

nimezifanya nyusi zako kama almasi, ngumu kama jiwe la kiberiti

"Nimezifanya nyusi zako kama jiwe gumu kabisa, nguma kuliko jiwe gumu sana."

jiwe gumu sana

jiwe ambalo ni gumu kuanzisha moto kwa kulichoma kwa chuma au jiwe jingine

nyumba

Huu ni mfano wa familia inayoishi katika familia, kwa kwesi hiiWaisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu"

Ezekiel 3:10

wachukulie kwenye moyo wako na wasikilize kwa masikio yako

"wakumbuke na wasikilize kwa makini"

Kisha nenda kwa mateka

Neno "mateka" inarejelea kwa watu wa Israeli waliokuwa wakiishi katika Babebli.

watu wako

"kundi la watu wako." Ezekieli aliishi katika Yuda kabla Wababeli kumchukua kwenda Babeli.

Bwana Yahwe

Hili ni jina la Mungu.

Ezekiel 3:12

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelia kueleza kuhusu maono aliyaona.

nikasikia nyuma yangu sauti yenye tetemeko la aridhi: "Ubarikiwe utukufu wa Yahwe kutoka mahali pake!"

Baadhi ya matoleo yanachukua "Baraka .. mahali!" kama maneno ambayo "tetemeko kubwa" iliyonenwa. "Nimesikia nyumba yangu sauti ya tetemeko kubwa, lisemalo, 'Utukufu u kwa Yahwe kutoka mahali pake!"'

sauti ya tetemeko kubwa

Haiko wazi kama sauti ilitoka kutoka kwenye tetemeko, kutoka kwenye sauti kulikuwa na sauti kubwa kama tetemeko, au kutoka kwenye mabawa na magurudumu. sauti kama sauti ya tetemeko kubwa" au "sauti ikinena; sauti ilisikika kama tetemeko kubwa"

utukufu wa yahwe

sifa kuu ya Yahwe

sauti ya tetemeko kuu

"sauti kuu na ngurumo yenye nguvu kama sauti ya tetemeko"

Ezekiel 3:14

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaonekana alinkuwa na hasira kwa sababu Yahwe alimpeleka kunena na watumwa Waisraeli, hivyo kuasi juu ya Yayhwe mwenyewe. Ingawa alipaswa kunena nao, alikuwa kimya kwa mda wa siku saba, ingawa aliisikia hasira ya Yhawe.

kwa uchungu katika hasira kali rohoni mwangu

Neno "uchungu" na "hasira" ni aina ya hasira. "nilikuwa mwenye uchungu na roho yangu alikuwa amejaa hasira" au "nilikuwa na uchungu sana na hasira."

uchungu

Ezekieli anazungumzia hasira yake kwa Yahwe kana kwamba kulikuwa na ladha mbaya kinywani kwa sababu Yahwe alimlazimisha kitu ambacho kinaladha mbay.

kwa kuwa mkono wa Yahwe alikuwa na nguvu zikigandamiza juu yangu

Ezekieli anazungumzia kuwa na huzuni na kuchoka kwa sababu Yahwe alimwamuru kufanya mambo ambayo hakuyataka kuyafanya kana kwamba Yahwe alikuwa akimsukuma chini kwenye nchi.

mkono wa Yahwe

neno "mkono" mara nyingi limetumika kurejea nguvu ya mtu au tendo "uweza wa Yahwe."

Tel Abibu

Mji katika Babeli, kama kilomita 80 kusini mashariki mwa mji mkuu, ambayo iliitwa Babeli pia.

Kebari Kanali

Huu mtu ambao watu katika Kaldea walichimba kupeleka maji kwenye bustani zao.

kushinda katika mshangao

"kutoweza kufanya jambo lolote kwa sababu nilikuwa nimeshangazwa"

Ezekiel 3:16

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaeleza kuhusu uzoefu wake huko Tel-Abibu.

neno la Yahwe likanijia

"Yahwe alinena nami."

mwangalizi

Mungu alimwambia Ezekieli kuwaonya wana wa Israeli kama mwangalizi alivyowaonya watu wa mji kama maaduli walikuwa wakija, hivyo wangeweza kujiandaa na kuwa salama.

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" inasimama kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu Waisraeli"

onyo kwa waovu kuhusu matendo yao maovu ili aishi

"onyo kwa watu waovu kuacha kufanya mambo yake maovu ili aweze kuishi"

mwovu

"watu waovu"

kutaka damu yake kutoka kwenye mkono wako

Hii ni lugha inayoshikilia wajibu au hatia ya kuua. "nitakutenda kana kwamba ulikuwa umemuua"

hawezi kugeuka kutoka uovu wake au kutoka matendo yao maovu

Neno "matendo maovu" maana yake kitu kimoja kama "uovu." hakuacha kufanya mambo maovu."

Ezekiel 3:20

weka kizuizi mbele yake

"fanya jambo baya litokee kwake" au "kumfanya atende dhambi wazi."

atakufa katika dhambi yake

"atakufa mapema" au "atakufa kama mtu mwenye hatia kwa sababu hajanitii"

nitaiaka damu yake kutoka mkono wako

Hii ni lugha ya kushikilia wajibu wa mtu au hatia ya uuaji. "nitakutenda kana kwamba ulikuwa umemuua"

kwa kuwa alikuwa ameonywa

"tangu ulipomuonya"

Ezekiel 3:22

mkono wa Yahwe

Neno "mkono" mara nyingi limetumika kurejea kwa nguvu ya mtu au tendo. "nguvu ya Yahwe."

utukufu wa Yahwe

fahari ya Yahwe

Kebari Kanali

Huu ni mto ambao watu katika Kaldea waliuchimba kupatia bustani zao maji.

nikaanguka kifudifudi

"nikasujudu chini hata chini" au "nikalala kwenye nchi." Ezekieli hakuanguka kwa ajali. Alianguka chini hata chini kuonyesha kwamba aliheshimu na kumuogopa Yahwe.

Ezekiel 3:24

akanena nami

"yule aliyefanana na mtu." Hakuwa "Roho."

wataweka kamba juu yako na kukufunga ili usiweze kutoka nje miongoni mwao

Hii ni tafsiri nzuri halisi.

Ezekiel 3:26

Maelezo ya Jumla:

Roho anaendelea kunena na Ezekieli.

paa ya kinywa chako

"juu ya kinywa chako"

utakuwa kimya

"hutaweza kunena"

nyumba

Hii ni mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaindi ya mika mingi. kundi la watu"

nitakufungua kinywa chako

"nitakufanya uweze kunena"

yule atakayeshindwa kusikiliza hataweza kusikiliza

"yule akataaye kisikiliza hataweza kusikiliza"

Bwana Yahwe

Jina la Mungu

Ezekiel 4

Ezekiel 4:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. Anamwambia Ezekieli kuchukua tofali na udongo na vipande vya mbao na kutenda kana kwamba alikuwa Yahwe akiuharibu mji wa Yerusalemu.

mwanadamu

"mwana wa mwanadamu" Mungu anamwita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ananguvu na anaishi milele, lakini watu hawaishi milele.

chonga mji wa Yerusalemu

"chonga picha ya mji wa Yerusalemu"

laza ngome juu yake

"zunguka mji ili kuunyakua"

jenga ngome juu yake

"jenga kuta juu yake." "Kuta zitawahifadhi watu wasiuache mji.

Anza kushambulia juu yake

"jenga hanamu nje ya hiyo kwa ajili ya maadui kuingia ndani." Yerusalemu ilikuwa na ukuta kuizunguka kuwalinda watu ndani.

Weka shambulio la ghasia kuizunguka

"Shambulio la ghasia" ni miti mikubwa au nguzo ambazo watu katika vita wangechukua na kupiga juu ya ukuta au mlango hivyo wangeuangusha chini na kuingia ndani. "Weka kuizunguka nguzo kubwa watu watumie kuvunja malango na kuingia ndani"

weka uso wako juu yake

"itazame kwa uso wa hasira"

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni mfano wa familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa yakobo zaidi ya miaka mingi.

Ezekiel 4:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anendela kunena na Ezekieli.

weka dhambi ya nyumba ya Israeli juu yake

"teseka kwa kulaza upande wako kwa sababu ya dhambi zao."

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni mfano wa familia iishiyo katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi iliyopita.

utachukua dhambi zao

"utakuwa na hatia za dhambi zao" au "utaadhibiwa kwa ajili ya dhambi zao"

lala chini juu ya nyumba ya Israeli

"lala kuelekea ufalme wa Israeli."

Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao

"Mimi mwenyewe nimekuamuru kulala upande wako kwa namba ile ile ya siku kama namba ya miaka ambayo nitakayo waadhibu."

kila mwaka wa ghadhabu yao

kila mwaka watakaoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zao

Ezekiel 4:6

Maelezo ya Jumla:

Roho anaendelea kunena na Ezekieli.

siku hizi

siku Ezekieli alipolala chini upande wake wa kushoto kuelezea ngome ya ufalme wa Israeli

utachukua uovu

"utakuwa na hatia ya uovu" au "utaadhibiwa kwa ajili ya uovu wao."

Nyumba ya Yuda

Neno "nyumba" ni mfano wa familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii uzao wa Yuda zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Yuda" au "watu wa Yuda"

Nakuteua siku moja kwa kila mwaka

"Nitakufanya kufanya kufanya siku moja kwa kila mwaka ambao nitakughadhibu."

tabiri juu yake

"tabiri kuhusu mambo mabaya yatakayotokea kwa Yerusalemu"

tazama!

"ona!" au "sikiliza!" "kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambia!"

Naweka vifungu juu yako

Vifungo ni kamba au minyororo inayomfanye mtu asitembee. Haiko wazi kama neno "vifungo" ni mfano kwa jambo Yahwe analolifanya ambalo ni kama alikuwa amemfunga Ezekieli

Ezekiel 4:9

Maelezo ya Jumla:

Roho anaendelea kunena na Ezekieli.

ngano, shayiri, ... mtama, na kusemethi

Hii ni aina tofauti tofauti za nafaka.

maharagwe

mbegu za mizabibu, ambao humea katika safu moja ndani yake njia nyingine tunda tupu, linaweza kuliwa

dengu

Haya ni kama maharagwe, lakini mbegu zake ni ndogo, mviringo, na sawasawa.

shekeli ishirini kwa siku

"shekeli 20 kwa siku." gram 200 za mkate kila siku"

sita ya hini

" hini1/6" au "sehemu ya sita ya hini" au "takriban nusu lita" (UDB)

Ezekiel 4:12

Maelezo ya Jumla:

Roho anaendelea kunena na Ezekieli.

Utalila

mkate

shayiri

mkate bapa wa shayiri

keki za shayiri

mkate wa bapa uliotengenezwa na shayiri

utauoka kwenye kinyesi kikavu cha mwanadamu

"utaupika juu ya moto uliotengenezwa kwa viapande vya uchafu mgumu wa mwanadamu."

nitawafukuza

peleka mabali kwa nguvu

Ezekiel 4:14

Ee

Ezekieli anataabika kwa kile Bwana alichomwambia afanye. "Itakuwa si sawa kwa mimi kufanya hivyo"

Bwana Yahwe

Jina la Mungu. Hapa Ezekieli ananena na Bwana.

nyama ya kunuka

Hii inarejea kwa nyama ambayo ni najisi kwa sababu imekuja kutoka mnyama aliyekufa kwa ugonjwa au aliyezeeka au aliyeuawa na mnyama mwingine. Neno "kunuka" hunyesha karaha yake juu ya nyama kama hii. "kuchukiza, nyama najisi"

nyama ya kunuka haijawahi kuingia katika kinywa changu

"sijawahi kula nyama ya kunuka."

Tazama!

"Sikia" au "kuwa makini kwa jambo la muhimu nitakalokwambia sasa"

nimekupatia

"nitakuruhusu kutumia"

mbolea ya ng'ombe

uchafu mgumu kutoka kwenye ng'ombe au mbolea ya ng'ombe.

kinyama cha binadamu

uchafu wa mwanadamu.

Ezekiel 4:16

Tazama!

"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambai!"

Nalivunja gongo la mkate katika Yerusalemu

"nitasimamisha usambazaji wa chakula kwa Yerusalemu."

mkate wa gongo

Kusambaza kunaitwa gongo kwa sababu baadhi ya watu wanahitaji gongo kutembelea na kufanya kazi zao, na watu wanahitaji mkate kuishi. Mkate unawakilisha aina zote za mkate. "kusambaza chakula"

Yerusalemu

"watapungukiwa makate na maji" hata "Nalivunja gongo la mkate" ni "Yerusalemu - wata ... tetemeka - ili"

watakula mkate ukiwa unagawa katika wasiwasi

"watagawanya kwa makini mkate wao kwa sababu wanahofia kwamba hautatosha"

kugawa

kutoa kiasi kidogo cha kitu kwa watu wengi ambachi hatoshi

kugawa kwa kutetemeka

"kuugawa ukiwa unatetemeka" au "kuugawa katika hofu"

kila mtu atafadhaishwa na ndugu yake na kumpoteza

"kila mmoja atamtazama ndugu yake na kuhofu kuhusu ni kiasi gani cha chakula ndugu yake hula na kupoteza"

poteza

Hili neno mara zote limetumika nyama au kuchimbua mabao. Hapa ni mfano kwa watu waovu kuwa wembamba na kufa kwa sababu hawana chakula.

Ezekiel 5

Ezekiel 5:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. Kila mifano ya "miji" inarejea kwa "mji" ambao Ezekieli kuchonga kwenye tofali (4:1).

mwana wa adamu

"mwana wa mwanadamu" au "mwana wa binadamu." Mungu anamwita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ananguvu na huishi milele, lakini watu hawawezi kushi milele.

kiwembe cha kinyozi

"ubapa kwa ajili ya kunyolea nywele"

pitisha wembe juu ya kichwa chako na ndevu

"nyoa kichwa chako na uso wako" au "ondoa nywele zako kutoka kichwa chako na ndevu kutoka uso wako"

Choma theluthi ya tatu ya hiyo

"Choma theluthi ya tatu ya nywele zako"

kati

katikati

wakati siku za ngome zitakapokamilika

"wakati siku za ngome ya Yerusalemu zitakapoisha"

chukua theluthi ya tatu ya nywele

"chukua moja ya tatu ya manyoya ya nywele"

na uipige kwa upanga kuzunguka mji wote

"na ipige kwa upanga wako mji wote"

tawanya theluthi yake kwenye upepo

"ruhusu upepo uvume theluthi ya mwisho ya nywele zako katika mwelekeo tofauti"

Nitasogeza upanga kufata watu

Neno "upanga" ni mfano kwa ajili ya adui maaskari ambao watawashambulia kwa panga zao, na kwa "kusogeza upanga" ni kupeleka maadui kuwafatilia na kuwashambulia kwa uapanga. (UDB)

Nitakusogoza mbali kwa upanga

"Nitauvuta upanga nje ya kibebeo chake"

Ezekiel 5:3

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli.

Lakini chukua ... kisha chukua

Ezekieli alikuwa afanye hivi wakati aliponyoa nywele zake na ndevu (5:1) na kabla hajachoma nywele (5:1).

hesabu ndogo ya nywele kutoka kwao

"nywele chache kutoka manyoya laini ya nguo"

zifunge

Neno "wao" inarejelea nywele. nywele zilkuwa ndefu tayari hivyo Ezekieli angeweza kuzifunga.

pindo za nguo zako

Maana ziwezekanazo 1) "nguo kwenye mikono yako" ("mikono ya vazi lako") (UDB) au 2) mwishoni mwa vazi kwenye joho lako" (pindo lako").

kutoka hapo utatoka nje kwenda nyumba zote za Israeli

"kutoka huko moto utasambaa na kuwachoma watu wote wa Israeli." Yahwe anazungumzia jinsi atakavyo iadhibu Israeli kana kwamba alikuwa akienda kuweka moto kwenye nyumba na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa familia iishiyo katika nyumba.

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Israeli"

Ezekiel 5:5

Maelezo ya Jumla:

YAhwe anaendelea kunena.

Bwana Yahwe

Jina la Mungu

Hii ndio Yerusalemu

"Hili pango linawakilisha Yerusalemu"

katikati ya Mataifa

Maana ziwezekanazo 1) mataifa mengine yalikuwa pande zote za Yerusalemu au 2) "muhimuz aidi kuliko mataifa mengine."

nimemuweka

Yerusalemu inarejelewa kama "yeye" na "-kike."

nchi nyingine

"nchi jirani" au "nchi zinazozunguka"

Watu wamezikataa hukumu zangu

"Watu wa Israeli na Yerusalemu wamekataa kutii hukumu zangu."

Ezekiel 5:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda.

Bwana Yahwe

Jina la Mungu

Kwa sababu mmekuwa kikwazo kuliko

"kwa sababu hali yenu ya dhambi ni mbaya kuliko" au "kwa sababu ninyi ni makaidi kuliko"

yanayowazunguka

"yote yanayowazunguka."

kuacha kuenenda katika amri zangu

"Kuenenda ni mfano kwa njia mtu aishiyo. "kutokuishi kulingana na amri zangu" au "bila kuzitii amri zangu"

au tenda kulingana na maagizo yangu

"au kutii maagizo yangu"

Tazama!

"Tazama!" au "Sikia" au "Kuwa maini kwa kile nnachotaka kukwambia!"

nitatekeleza hukumu kati yako

"nitakuhumu katika njia tofauti tofauti" au "nitakuadhibu" (UDB).

Ezekiel 5:9

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yerusalemu.

yale ambayo sijawahi kuyafanya na kile ambacho sintokifanya tena

"kama sijawahi kufanya na sintafanya katika njia ile ile tena" au "kama sijawahi kufanya tena na sitafanya tena" (UDB).

Kwa sababu ya matendo yenu maovu

"kwa sababu ya matendo yenu yote maovu muyafanyayo." Mungu alikuwa na hasira kwa sababu watu walikuwa wakiabudu sanamu na miungu ya uongo.

mababa watawala watoto wao kati yenu, na wana watawala baba zao

Huenda Ezekieli anaeleza nini kitatokea hasa wakati watakapo kosa chakula.

nitatekeleza hukumu juu yako

"nitakuhukumu" au "nitakuadhibu kwa ukali" (UDB)

na kuwatawanya kila upande wote walio ondoka

"na nitawalazimisha wote walio ondoka kwenda sehemu tofauti tofauti."

Ezekiel 5:11

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda.

ishi-huu ndio usemi wa Bwana Yahwe-hii

Yahwe anajinenea yeye mwenyewe kana kwamba kulikuwa na mtu mwingine, au Ezekieli anawakumbusha wasomaji wake kwamba anamnukuu Yahwe.

kama niishivyo

"kama niishivyo hakika." au "kama kweli iko hivyo ni hai, ni hakika pia kwamba"

Bwana Yahwe

jina la Mungu

najisi ... patakatifu

haribu mahali ambapo Yahwe alipokuwa ameweka karibu kuwa kwa matumizi yake pekee

kwa mambo ya yanayoumiza

"kwa mambo yote yako yanayoumiza." "kwa sanamu zako zote, nizichukiazo" au "kwa sanamu zako zote za kuchukiza" (UDB)

na kwa matendo yako maovu

"na kwa mambo yenu yote ya machkizo mliyoyafanya"

jicho langu halitakuwa na huruma juu yako

Neno "jicho" ni mfano wa Yahwe. "sitakuwa na huruma juu yako"

sitokuharibu

"nitakuadhibu hakika"

wataliwa kwa njaa kati yako

"wengi wao watakufa kwa sababu ya njaa"

Ezekiel 5:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda.

ghadhabu yangu itatimia

"sitakuwa na hasira tena kwa sababu nimefanya kila kitu nilichotaka kukifanya kwa sababu nilikuwa na njaa"

nitaifanya ghadhabu yangu juu yao hata kulala

Neno "ghadhabu" maana yake hasira kali sana, na hapa inarejelea kwa adhabu. "nitaacha kukuadhibu kwa sababu nimewaadhibu kwa uaminifu."

nitaridhika

"nitaridhika kwamba nimewaadhibu mno"

wakati nitakapokamilisha ghadhabu yangu juu yao

"wakati nitakapomaliza kuwaadhibu"

Ezekiel 5:15

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda.

katika hasira na ghadhabu

Neno "hasira" na "ghadhabu" kimsingi yana maana moja na kusisitiza mkazo wa hasira. "kwa sababu nitakuwa na hasira nanyi mno."

mishale mikali

"mkazo wa njaa"

vunja gongo lenu la mkate

"Gongo" kilikuwa kitu ambacho watu waliegama juu ya kuwasaidia. Hili neno ni mfano maana yake "kuondoa kusambaza chakula ambacho ukitegemeach." "katilia chakula chenu" (UDB)

Pigo na damu vitapita juu yenu

"Pigo na kifo kikali sana kitapita juu yenu." Hiki kifo kikali kitasababishwa na vita.

Ezekiel 6

Ezekiel 6:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anamwambia Ezekieli kunena na milima kana kwamba walikuwa watu ili kwamba watu wa Israeli wangesikia maneno na kujua kwamba maneno ya Ezekieli yalikuwa kwa ajili yao.

Neno la Yahwe likanijia

"Yahwe akanena nami."

Mwana wa adamu

"Mwana wa mwanadamu" au "Mwana wa bianadamu."

weka uso wako juu ya milima ya Israeli

"tazama milima ya Israeli kwa uso wa nguvu."

milima ya Israeli

"milima ya Israeli katika nchi ya Israeli."

Tazama!

"Tazama!" au "Sikiliza!" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambia!"

Bwana Yahwe

Jina la Mungu

naleta upanga juu yako

Neno "upanga" hapa linarejelea vita. "ninaleta vita juu yako."

Ezekiel 6:4

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli.

Kisha madhabahu zenu zitakuwa ukiwa na nguzo zenu zitaharibiwa

"Hakutakuwa na yeyote wakuabudu madhabahu zenu na adui wataziharibu nguzo zenu"

nitwatupa chini ... nitailaza ... na kutawanya

Yahwe alikuwa akinena juu ya kuwapeleka maaskari kuwatupa chini ... watalala ... na kutawanya."

maiti zenu

"watu wenu waliokufa"

Ezekiel 6:6

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli.

miji itaharibiwa

"Wanajeshi maadui wataiharibu miji yenu"

zitavunjwa

"madhabahu zenu zitavunjwa" au "wanajeshi maadui watazivunja."

nguzo zenu zitaangushwa chini

"wataziangusha nguzo zenu."

kazi zenu zitafutiliwa mbali

"hakuna atakayekumbuka ulichokifanya"

Maiti zitaanguka chini kati yenu

"Umuona adui akiwaua watu waengi"

jua kwamba mimi ndiye Yahwe

Maana ziwezekanazo ni 1) "tambua mimi, Yahwe, ni nani" au 2) "tambua kwamba mimi ni Yahwe, Mungu wa kweli."

Ezekiel 6:8

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli.

baadhi yao ambao walioukimbia upanga

"baadhi yao waliouawa katika vita." Upanga unawakilisha kuuawa katika vita.

wakati mtakapo tawanyika miongoni mwa nchi tofauti tofauti

"wakati mtakapoenda ishi katika nchi tofauti tofauti"

nitakavoyowaponda mioyo yao ya kikahaba ambayo imeniacha

Yahwe anawazungumzia Waisraeli kana kwamba walikuwa mwanamke anayelala na watu wengi. "nilikuwa na huzuni kwa sababu walikuwa kama mke aliyeniacha na kulala na wanaume wengine"

na kwa macho yao ya kikahaba kufuata sanamu zao

Yahwe anawazungumzia Waisraeli kana kwamba walimuoa mwanamke anayetafuta wanaume wengine na kutamani kulala nao. "na kwa njia waliyoitamani kwa nguvu kuabudu sanamu"

wataonyesha chuki kwenye nyuso zao kwa udhaifu walioufanya

Maana zinazowezekana ni 1) "watajichukia wenyewe kwa sababu ya mambo yao maovu waliyoyafanya" au 2) "watayachukia mambo maovu waliyoyafanya." "Nyuso zao zitaonyesha chuki zao kwa uovu walioufanya."

Ezekiel 6:11

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli.

Bwana Yahwe

Jina halisi la Mungu wa Kweli alilojifunua kwa wa Israeli.

Piga makofi na kanyaga kwa mguu wako

Ezekieli alikuwa afanye hili tendo la ishara kupata umakini wa watu. Hii haikuwa makofi.

Ole

Neno "Ole" limetumika kuelezea huzuni.

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Israeli"

Kwa kuwa wataanguka kwa upanga, njaa, na tauni.

"Kwa kuwa watakufa kwa upanga, njaa, na tauni." "Upanga", "njaa", na "tauni" ni njia mbali mbali watakazokufa. Upanga "upanga" inawakilisha vita.

nitaikamilisha ghadhabu yangu juu yao

"nitatosheleza hasira yangu juu yao"

Ezekiel 6:13

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli.

jua kwamba mimi ndimi Yahwe

Maana zinazowezekana ni 1) "tambua mimi ndiye, ambaye, Yahwe, au 2)"tambua kwamba mimi Yahwe, ndiye Mungu wa kweli"

kuzunguka madhabahu zao, kwa kila mlima mrefu

Maana nyingine inayowezekana ni "kuzunguka madhabahu zao, ambazo zipo katika kila mlima mrefu"

mlima mrefu-juu ya vilele vya mlima, na chini ya mti wenye majani mabichi na mwaloni

Maana nyingine zinazowezekana ni "mlima, juu ya vilele vya milima yote, chini ya mti uliostawi, na chini ya kila mwalo mkubwa."

kustawi

yenye afya na inayokua

mwaloni

mti mkubwa wenye mbao imara zinazo andaliwa kwa ajili ya kivuli cha kuabudia

Dibla

Baadhi ya maandiko yanasema Ribla. Hili lilikuwa jina la mji katika kaskazini.

Ezekiel 7

Ezekiel 7:1

Maelezo ya Jumla:

Hii inaanza na utabiri wa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli.

Neno la Yahwe likanijia

"Yahwe akanena nami."

Wewe, mwana wa adamu

"Mwana wa adamu, nataka uwe makini kwa kile ninachoenda kukwambia"

Bwana Yahwe

Hili jina la Mungu wa kweli alilojifunua katika taifa la Israeli.

kwa nchi ya Israeli

"kwa watu wa Israeli".

Mwisho!

"Mwisho umefika!"

mipaka minne ya nchi

Hii inarejelea kwa nchi nzima ya Israeli.

Ezekiel 7:3

Maelezo ya Jumala:

Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli

mwisho uko juu yako

"uhai wako umeisha" au "mwisho wa mda wako umefika"

kutokana na njia zako

"kulingana na mambo unayoyafanya" au "kwa sababu ya mambo maovu ufanyayo"

nitaleta machukizo yako yote juu yako

"nitaufanya uzoefu wako matokeo ya tabia yako ya machikizo" au "nitakuadhibu kwa kufanya haya mambo ninayoyachukia sana"

machukizo

Hii inarejelea kwa tabia ambayo Mungu aichukiayo.

Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia

"Kwa kuwa sitakutazama kwa huruma"

nitaleta njia zako juu yako

"nitakufanya mzoefu wa matokeo ya tabia yako mbaya" au "nitakuadhibu kwa mambo mabaya uyafanyayo."

machukizo yako yatakuwa katikati yako

"matokeo ya tabia yako ya chuki yatakuzunguka" au 2) "sanamu zako zitakuwa pamoja nawe na hazitakuwa na uwezo."

Ezekiel 7:5

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli.

Bwana Yahwe

Jina la Mungu linaloonyesha kwamba yeye ni Mungu wa uwezo wote.

Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja.

Hili tamko linamaanisha kufanya ujumbe imara sana. "Tazama, msiba wa kutisha unakuja, ambao hakuna ambaye amewahi kuupata."

Tazama

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. "Tazama" au "Sikiliza" au "Kuwa makini kuhusu ninachotaka kukwambia."

Mwisho umeinuka juu yako

Hukumu inayokuja inachukuliwa kana kwamba alikuwa adui akiamka kutoka usingizini.

milima haitakuwa na shangwe tena

"watu juu ya milima hawatakuwa na shangwe tena."

Ezekiel 7:8

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yayhwe kwa watu wa Israeli.

Sasa hivi punde

"Hivi punde baada ya mda mfupi sana"

nitamwaga ghadhabu yangu juu yako na kujaza hasira yangu juu yako

Yahwe anatumia haya maneno "mwaga" na "kujaza" kulinganisha utendaji wake na kumwaga maji na kujaza chupa. Haya maneno mawili kimsingi yana maanisha kitu kimoja na kusisitiza ukali wa adhabu ya Yahwe. "nitakiuadhibu vikali kwa sababu ninahasira sana.."

ghadhabu

"hasira" au "hasira kubwa"

Kwa kuwa jicho langu halitatazama kwa huruma

Neno "jicho langu" linamaanisha Mungu mwenyewe. "Kwa kuwa sitatazama kwa huruma"

sitakuharibu

"sitakuacha bila adhabu" au "nitakuadhibu"

machukizo yako yatakuwa katikati yako hivyo utajua kwamba ni mimi Yahwe

"nitaufanya uzoefu wako matokeo ya tabia yako ya machikizo" au "nitakuadhibu kwa kufanya haya mambo ninayoyachukia sana"

Ezekiel 7:10

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.

Tazama!

"Tazama!" ai "Sikiliza" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambai!"

Siku inakuja

"Siku ya hukumu yako inakuja."

Kifo kimetoweka

Hii inaonyesha kwamba yamkini hicho kifo kitakuja kwa Israeli. "Kifo kimeanza kuja kwa Israeli" au "Mambo ya kuogofya yameanza kutokea."

Gongo limechipua kwa maua mengi ya kiburi

"Ua limeanza kukua juu ya fimbo na umekua pamoja na kiburi." Hapa neno gongo linawakilisha pengine Israeli au udhalimu. Maana zinazowezekana 1) "Watu wa Israeli wamekuwa na kuburi sana" au "Watu wa Israeli wamekuwa na wadhalimu na kiburi sana."

Udhalimu umekuwa kwenye gongo la uovu

"Udhalimu wa watu umewapeleka kufanya mambo maovu zaidi"

Ezekiel 7:12

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.

Wakati unakuja; siku imekaribia

Yote "mda" na "siku" zinarejelea kwenye muda wakati Mungu atakapo waadhibu watu wa Israeli. "adhabu ya Israeli itakuwa hivi punde sana"

maono yako juu yako kikundi kizima

"kile Mungu alichoonyesha kitatokea kwenye kundi"

kundi

kundi la watu wengi sana. Hapa inarelea kwa watu wa Israeli.

kadiri wanapoendelea kuishi

Neno "wao" linarejelea kwa watu wa Israeli wauzao vitu.

Hatarudi

"hawatarudi Israeli."

hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia uwezo

Neno "uwezo" linamrejea msaada wa Mungu anamsaidia mtu kuendelea kwenda wakati mambo ni magumu kupitia tumaini, faraja na nguvu ya mwili. "hakuna aliye hai anayeendelea kumuasi Mungu atakayesaidiwa na Mungu."

Ezekiel 7:14

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.

Wamepiga tarumbeta

"Wamepiga tarumbeta kuwaita watu kupigana juu ya adui.

Upanga uko nje

Upaga unawakilisha mapambano au vita. "Kuna mapigano nje."

pigo la njaa lipo ndani ya jengo

Kimsing jungo hurejea kwenye mji

wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji

Hapa neno "kula" linamaanisha "haribu kabisa." "na watu wengi katika mji watakufa kutokana na njaa na ugonjwa."

Kama hua wa mabondeni, wote watalia

Hua hufanya kambi chini kunusa hiyo milio kama mlio mtu afanyayo wakati akiwa katika maumivu ya kawaida au maumivu ya ndani.

Ezekiel 7:17

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.

na hofu kuu itawafunika

"watajawa na hofu" au "na watakuwa na wasi wasi sana"

katika siku ya ghadhabu ya Yahwe

"katika siku wakati Yahwe atakapotenda juu ya hasira yake" au "wakati Yahwe atakapowaadhibu"

hawatashibishwa njaa yao

"hawatakuwa na chakula cha kula"

uovu wao umekuwa kizuizi

Maana ziwezekanazo 1) "kwa sababu kumiliki dhahabu nyingi na fedha zimewapelekea kuasi" (UDB) au 2) "kwa sababu ni waovu, wanafanya dhambi hiyo inaonyesha jinsi walivyo waovu."

Ezekiel 7:20

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.

nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni

Neno "mkono" umetumika unarejelea mamlaka. "nitazitoa hizo sanamu kwenye mamlaka ya watu wasio wajua" au "nitazitoa hizo sanamu kwa watu wasio wajua"

mateka

viyu vilivyopotea au kuchukuliwa kwa nguvu

watawanajisi

Wageni na watu waovu watazinajisi sanamu ambazo watu wa Israeli walizo zitengeneza.

nitaurudisha uso wangu mbali

"sitakuwa makini" au "sitatazama"

mahali pangu pa siri

"mahali nipapendapo" Hii inarejelea kwa hekalu la Mungu.

Ezekiel 7:23

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kwa Ezekieli kuhusu Israeli.

Tengeneza mnyororo

Minyororo hutumika kushikilia watumwa au wafungwa. Mungu anasema hivi kuonyesha watu ambao watakuwa watumwa au wafungwa.

nchi imejawa na hukumu ya damu

"kila sehemu katika nchi Mungu anawahukumu watu kwa sababu wamewaua watu wengine vikali sana."

mji umejaa udhalimu

"Udhalimu u kila mahali katika mji" au "watu wengi katika mji wanafanya mambo maovu kwa wengine"

na watamiliki nyumba zao

"waovu watazichukua nyumba za Israeli"

nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza

nitawafanya watu wenye nguvu katika Israeli kuacha kujiona fahari"

mahali pao patakatifu patanajisiwa!

Maadui watapanajisi mahali mnapo abudia."

mahali pao patakatifu

mahali ambapo walipoabudia sanamu.

Hofu itakuja

"Watu watakuwa na hofu"

Wataitafuta amani

"Watatumaini tumaini kwa ajili ya amani" au "Watajaribu kufanya amani pamoja na maadui zao"

Ezekiel 7:26

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.

watatafuta maono kutoka kwa nabii

"watawauliza manabii ni maono gani waliyoyaona."

sheria itawaangamiza kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wazee

"Hawa makuhani hawatafundisha sheria na wazee hawataweza kutoa ushauri mzuri." Hii ni kwa sababu Mungu hawapatia hekima.

mwan mfalme

Maanza zinazo wezekana 1) "mwana wa mfalme" (UDB) au 2) kila mwanmume wa familia ya kifalme isipokuwa mfalme.

atakata tamaa

Maana zinazo wezekana 1) "hatakuwa na tumaini" au 2) "atavaa mavazi ambayo yataonyesha anaomboleza."

mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu

"watu wa nchi watakuwa na hodu kubwa kwamba mikono yao itatetemeka"

jua kwamba mimi ni Yahwe

"jua kwamba mimi, Yahwe, ndimi"

Ezekiel 8

Ezekiel 8:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaeleza kuhusu ono jingine aliloliona.

Hivyo ikawa

Hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanzo wa mwanzo wa sehemu ya hadithi.

katika mwaka wa sita

"katika mwaka wa sita wa uhamisho wa Mfalme Yehoyakini"

mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi

"siku ya sita ya mwezi." Huu ni mwezi wa sita wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tano inakaribia mwezi wa tisa katika kalenda za Magharibi.

mkono wa Bwana Yahwe ukanguka tena juu yangu

baaaye Ezekieli alipoona kitu kama mkono. Wengine wanaweza kuchagua kufikiria mkono sitiari kwa ajili ya uwepo wa Yahwe au uweza. (UDB)

Bwana Yahwe

Jina la Mungu aliye hai.

anguka juu

"shikilia"

mng'ao wa chuma

Wakati ikiwa yamoto sana, hung'aa kwa njano au mwanga wa chungwa.

Ezekiel 8:3

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono kutoka kwa Mungu.

akanyoosha

Neno "yeye" huenda linarejelea kwa "picha kama mtu"

kati ya mbungu na nchi

"kati ya anga na ardhi"

katika maono kutoka kwa Mungu, akanileta hata Yerusalemu

Neno "katika maono" inamaana kwamba huu uzoefu unatokea katika mawazo ya Ezekieli. Angeendelea kubakia nyumbani kwake wakati Mungu anapomwonyesha haya mambo.

lango la ndani la kaskazini

"lango la ndani la kaskazini mwa hekalu"

sanamu ile iletayo wivu mkubwa

"sanamu yule aletaye wivu mkubwa" au "yule sanamu anayemsababisha Mungu kuwa na wivu"

ambaye mwonekano wake ulikuwa ule ule nilipoona katika uwanda

"aliyeonekana sawa kama yule niliyemuona katika uwanda"

uwanda

eneo kubwa la nchi ya tambarare ambalo lina miti michache.

Ezekiel 8:5

Maelezo ya Jumla:

"Picha kama ya mtu" (8:1) inanena na Ezekieli.

Mwanadamu

"Mwana wa mwanadamu" au "mwana wa binadamu."

inua macho yako juu

"tazma" au "geuza kichwa chako na tazama"

lango linaloelekea kwenye madhabahu

"lango kupitia watu wanaotembea hivyo wanaweza kwenda kwenye madhabahu"

unaona kile wanachokifanya?

Mungu anatumia hili swali kuvuta usikivu wa Ezekieli kwa kile watu walichokuwa wakikifanya. "nataka kufahamu kwa nini nachukia kile watu wanachokifanya hapa."

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni badala ya familia inayoishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi.

Ezekiel 8:7

ua

"ua wa hekalu"

Ezekiel 8:10

Tazama!

Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.

Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea

"vitu vilivyo chongwa katika ukuta wa kila aina ya wanyama watambaao na wanyama wa karaha." Neno kitu kitambaacho" linarejea wadudu na wanyama wengine wadogo.

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" linasimama badala ya familia inaishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi.

Yaazania mwana wa Shafani

hili ni jina la kiume

chetezo

sufuria ambayo watu hutumia kwa kuchomea ubani ndani wakati wakimwabudu Mungu au miungu ya uongo

Ezekiel 8:12

unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza

Mungu aliuliza hili swali hivyo Ezekieli angeona kile ambacho Mungu alichokuwa akimwambia kutazama.

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia inayoishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi.

humba kilichojificha cha sanamu yake

"hapa chumba ambacho hakuna anayeweza kumuona akiabudu sanamu wake"

Ezekiel 8:14

lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini

Hili lilikuwa lango la nje kaskazini sio kama lili la katika 8:3

tazama!

Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.

wakimlilia Tamuzi

"kuhuzunika kwa sababu kwa sababu mungu wa uongo Tamuzi alikuwa amekufa.

Ezekiel 8:16

tazama!

Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.

varanda yenye matao na nguzo

vinyago mbele ya lango la kuingia pamoja na safu au mihimili kwa ajili ya kusaidia

na ntuso zao kuelekea mashariki

"na walikuwa wakitazama kuelekea mashariki"

Ezekiel 8:17

Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya hapa

Mungu anatumia hili swali kuonyesha hasira yake ambayo watu wa Yuda hawafikirii kwamba kuabudu sanamu ni kitu kibaya sana.

nyumba ya Yuda

Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii uzao wa Yuda zaidi ya miaka mingi.

wameijaza nchi kwa udhalimu

"nchi yote wanafanya mambo ya udhalimu au "nchi yote wanashambuliana kila mmoja"

kunichochea hasira

"kunikasirisha"

kuweka tawi kwenye pua zao

Hii inaweza kumaanisha "kushikilia matawi kwenye pua zao katika ibaada ya uongo."

sitaacha kuwaharibu

"bado nitawaadhibu."

hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa

"Hata watapiga yowe kwangu kwenye maombi yao kwa sauti kubwa"

sitawasikia

"sitawasikiliza"

Ezekiel 9

Ezekiel 9:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono aliyopewa na Mungu.

akalia katika masikio yangu

"nilimsikia akiniita kwa sauti"

walinzi

watu ambao hulinda kitu.

silaha ya uharibifu

silaha kwa ajili ya kuharibu watu auvitu

silaha ya kuchinja

silaha kwa ajili ya kuchinja watu wengi

tazama!

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kinachofuata.

nguo ya kitani

imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto.

kifaa cha uandishi

vifaa ambavyo waandishi hutumua kuandikia

shaba

chuma kilichopakwa rangi ya dhahabu nyeusi. Imetengezwa na shaba nyekundu sana pamoja kuongezwa chuma kwa uimara.

Ezekiel 9:3

kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa

"kutoka juu ya mabawa manne ya viumbe"

kisingiti cha nyumba

"Nyumba" inarejea kwa hekalu la Mungu.

kitani

imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto.

kifaa cha uandishi

vifaa ambavyo waandishi hutumua kuandikia

waliolemewa na kushusha/kuvuta pumzi

Hizi ni sauti ambazo watu hufanya wakati wanapojisikia huzuni sana au kusikitishwa kuhusu jambo

machukizo yanafanyika kati ya mji

"mambo ya kutisha yamekuwa yakifanyika katika mji"

Ezekiel 9:5

akaongea na wengine kupitia kusikia

Neno "wengine" linarejea kwa walinzi.

Msiache macho yenu yawe na huruma

"Msiwe na huruma juu ya watu mnaowaona.

msiogope

"msiepuke kuuawa"

alama juu ya kichwa chake

Hawa walikuwa watu waliogugumia kuhusu machukizo yanayotokea katika Yerusalemu.

Anzeni katika patakatifu pangu

"Kuanza kuwaua wale ambao hawana alama katika patakatifu pangu"

wazee

Maana zinazowezekana 1) "wazee sabini wa nyumba ya Israeli" 2) "mzee yeyote"

Ezekiel 9:7

Maelezo ya Jumla:

Mungu anaendelea kunena na walinzi kuwahukumu watu wa Israeli.

kuushambulia mji

"kuwashambulia watu katika mji"

nikaangukia kwenye uso wangu

"nisujudu chini kwenye nchi" au "nikalala kwenye aridhi." Ezekieli hakuanguka kwa ajali. Alienda chini haya kwenye aridhi kuonyesha kwamba alimuheshimu na kumuogopa Yahwe.

Ee, Bwana Yahwe

Ezekieli alisema hivi kwa sababu anataabika sana kwa kile Bwana alichowaambia watu kuifanya Yerusalemu.

je, utayaharibu mabaki yote ya Israeli wakati wa kumwaga ghadhabu yao juu ya Yerusalemu?

"je itawaharibu mabaki yote ya Israeli kwa kumwaga gadhabu yako juu ya Yerusalemu?" Ezekieli anajitetea kwa Yahwe asiwaharibu mabaki.

Ezekiel 9:9

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia iishoyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi.

unaongezeka sana

"kubwa sana"

Nchi imejaa damu

"nchi imejaa udhalimu" au "Nchi yote watu wanawaua watu"

mji umejaa upotovu

"mji umejaa watu wanaofanya mambo ya upotovu."

jicho langu halitatazama kwa huruma

"sitawatazama kwa huruma"

nitaileta juu ya vichwa vyao

"leta madhara ya waliyoyafanya juu ya vichwa vyao." Inamaana "nitawalipa kwa kile walichokifanya"

tazama!

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata.

nguo ya kitani

imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto.

Alitoa taarifa na kusema

"Alitoa taarifa kwa Yahwe na kumwambia"

Ezekiel 10

Ezekiel 10:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu ono lililoelezwa katika 8:1.

kueleka kuba

"kuelekea paa iliyofunikwa"

kerubi

mnyama mwenye mabawa manne

kama rangi ya samawati

Rangi ya samawati ni jiwe la thamani lenye rangi ya blii au kijani.

mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi

"inayofanana kama kiti cha enzi"

mtu aliyevaa nguo ya kitani

imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto.

Nenda kati ya magurudumu

Tanzama katika sura ya 1:15.

vipande vya mbao vilivyoungua

Hivi ni vipande vya mbao vilivyobaki baada ya moto. Ni vyeusi, vinang'aa rangi nyekundu na chungwa wanapokuwa vyamoto sana.

watawanye juu ya nchi

"wanyunyize juu ya mji" au "watawanye juu ya mji"

Ezekiel 10:3

kerubi

Tazama ilivyotafsiriwa katika 10:3.

upande kuume

inayoelekea mashariki, "upande wa kulia" inaelekea kusini.

utukufu wa Yahwe

Tazama ilivyotafsiriwa katika 1:27.

ukauijaza nyumba

Neno "uka" inarejea kwa utukufu wa Mungu.

Ezekiel 10:6

Ikawa kuhusu

Hili neno limetumika hapa kuonyesha tendo linaanzia wapi.

Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema

Hii inarejea habari iliyokuwa imetolewa katikka 10:1. Baada ya kuchukua kerubi na utukufu wa Mungu katika 10:3-5, Ezekieli anarudi kueleza kuhusu yule mtu aliyekuwa amevalia nguo ya kitani.

yule mtu aliyevalia nguo ya kitani

Tazama maana ya nguo ya kitani ilivyotafsiriwa katika 9:1.

pembeni ya gurudumu

Tazama neno gurudumu lilivyotafsiriwa katika 1:15.

Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao

"nikaona yule kerubi alikuwa na kitu kama mkono wa mtu chini ya mabawa yao"

Ezekiel 10:9

tazama!

Neno "tazama" linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.

magurudumu

Tazama ilivyotafsiriwa katika 1:15.

kerubi

mnyama mwenye mabawa manne

kama jiwe la zabarajadi

"Zabarajadi" ni ngumu sana, jiwe la thamani. Hii zabarajadi ilikuwa ni kama kijani au bluu. Zumaridi ni kijani aina ya zabarajadi na zumaridi ina aina ya bluu ya zabarajadi.

gurudumu linalokingamana na gurudumu jingine

Neno "kingamana" linamaanisha "kukingama" au "kukutana" au "kugusana."

popote kichwa kilipoelekea

"popote kerubi lilipoelekea" au "popote kerubi lilipoelekea"

kichwa

Hii inarejea kwa kichwa cha kerubi lolote.

Ezekiel 10:12

Mwili wao wote

"Miili yote ya kerubi"

magurudumu

Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika 1:15.

magurudumu yalikuwa yakiitwa "kuzunguka."

Neno "kuzunguka." Hapa ni neno la magurudumu. "mtu mmoja aliitwa magurudumu, "kuzunguka'"

Walikuwa na sura nne kila mmoja

"Kila kerubi alikuwa na sura nne" "Kila kiumbe kilikuwa na sura mbele, sura upande wa nyuma, na sura kila upande wa kichwa chake, na sura katika kila upande wa kichwa.

Kerubi

mnyama mwenye mabawa manne

Ezekiel 10:15

kerubi

mnyama mwenye mabawa manne

kiumbe hai

hawa viumbe hai walikuwa na mwonekano wa radi.

Keberi Kanali

Huu ni mto ambao watu katika Kaldayo walichimba kwa ajili ya kumwagilia bustani zao.

kuinuka

"kwenda juu kwenye anga"

Yaliendelea kuwa karibu nao

"Magurudumu yakuwa pamoja na kerubi." "Magurudumu yalihama pamoja na kerubi."

pia yalisimama

"pia yalisimama" au "hayakuhama"

roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu

"roho wa viumbe hai aliongoza magurudumu"

Ezekiel 10:18

utkufu wa Yahwe

Tazama ilivotafsiriwa katika 1:17.

nyumba

Inarejea kwa hekalu la Mungu.

"kusimama"

"baki"

simama

Hapa neno "simama" linamaanisha "kusimama" au "kusubiri."

ukaja juu yao kutoka juu

"kwenda juu ya kerubi"

Ezekiel 10:20

viumbe hai

Tazama ilivyotafsiriwa katika 1:13.

Keberi Kanali

Huu ni mto ambao watu katika Kaldayo walichimba kwa ajili ya kumwagilia bustani zao.

alienda mbele

"elekea mbele" au "alitazama kuelekea mbele"

Ezekiel 11

Ezekiel 11:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu ono aliloeleza katika 8:1.

kuelekea mashariki

"inayoelekea mashariki." "Lango la mashariki" iliyoelekea mashariki.

tazama

Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari za kushangaza kwa kinachofuata.

Nyumba ya Yahwe

sehemu ya hekalu

miongoni mwao

"miongoni mwa watu ishirini na tano"

Ezekiel 11:2

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono.

Mwanadamu

"Mwana wa binadamu" Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni binadamu tu. Mungu ana uweza na anaishi milele, lakini si watu.

huu mji ni sufuria, na sisi ni nyama

Watu wanajizungumzia wenyewe kana kwamba walikuwa wakataji wa nyama wazuri na mji kana kwamba ulikuwa sufuria ambalo lilihifadhi nyama.

sufuria

sufuria kwa ajili ya kutunzia nyama au sufuria ya kupikia nyama.

Ezekiel 11:5

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na nabii Ezekieli.

Roho wa Yahwe akanijaza

Ezekieli anamzungumzia Roho wa Yahwe kutia moyo na kumtia nguvu kutabiri kana kwamba Roho wa Yahwe amejaa juu yake.

nyumba ya Israeli

Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia, katika kesi hii Waisraeli ambao ni uzao wa Yakobo.

kama unavyosema

"Unanena haya mambo." Hii inarejea kwa kile watu walichokuwa wakikisema katika 11:2.

watu mliowaua ... ni nyama, na huu mji ni sufuria

Yahwe anawazungumzia watu waliouawa kana kwamba walikuwa wakata nyama wazuri na mji kana kwamba ilikuwa sufuria ambayo nyama ilikuwa imehifadhiwa au kupikwa.

Lakini mnaenda kutolewa nje kutoka

"Lakini ninakwenda kuwatoa nje"

Ezekiel 11:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.

Mmeuogopa upanga, kwa hiyo nauleta huo upanga juu yenu

Neno "upanga" linasimama badala ya adui maadui ambao watashambulia kwa upanga wao.

kuwaweka kwenye mikono ya wageni

Hapa neno "mikono" hapa linawakilisha nguvu au utawala. "nitawawezesha wageni kuwachukua"

Mtaanguka kwa upanga

Neno "upanga" linasimama badala ya adui maadui ambao watawashambulia kwa upanga zao. "Kuanguka kwa upanga" inamaana kwamba watauawa kwa upanga.

mtajua yakwamba mimi ni Yahwe

"mtaelewa kwamba mimi ni Yahwe.

Ezekiel 11:11

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.

Huu mji hautakua sufuria yenu ya kupikia, wala hamtakuwa nyama ndani yake

Watu wanajizungumzia wenyewe kana kwamba walikuwa wakataji wa nyama wazuri na mji kana kwamba ulikuwa sufuria ambalo lilihifadhi nyama.

kati ya mipaka

Hii inaonyesha matumizi ya mipaka kuwakilisha Israeli.

mipaka

ukingo wa nje ya nchi au eneo

mtajua ya kwamba mimi ni Yahwe

Tazama katika 6:6

Ezekiel 11:13

Ikawa kwamba

Hili neno limetumika hapa kuonyesha tukio la muhimu katika hadithi.

Pelatia mwana wa Benaya

Alikuwa mmoja wa viongozi waovu wa Israeli aliyetajwa katika 11:1.

ukanijaza kwenye uso wangu

Tazama tafsiri yake katika 1:27.

Ee

Ezekieli anasema hivi kuonyesha hofu yake kuhusu nini kitatokea kwa watu waliosalia huko.

Ezekiel 11:14

Neno la Yahwe likaja

"Yahwe alinena neno lake."

ndugu zako! Ndugu zako!

Hii imetajwa mara mbili kwa msisitizo.

nyumba ya Israeli

Tazama ilivyo tafsiriwa katika 3:1.

Wote hao ndio hao ambao inasemekana wale wanaoishi Yerusalemu

"Watu wanaoishi Yerusalemu wansema kuhusu wote"

Wote hao ndio hao ambao inasemekana

Baadhi ya matoleo ya kisasa yana "Wote ni wale ambao ilisema."

Ezekiel 11:16

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anampatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli kuhusu wale waliotawanyika.

nimekuwa mtakatifu kwa ajili yao

"nimekuwa pamoja nao kuwalinda."

nchi ambazo walizoend

"mataifa ambayo waliyochukuliwa"

Nitawakusanya kutoka kwa watu, na kuwakutanisha kutoka kwenye nchi

Yahwe amesema hii ahadi mara mbili katika njia tofauti tofauti kwa ajili ya kuonyesha kwamba ni muhimu.

chukizo

"ya kutisha," au "ya kuchukiza"

Ezekiel 11:19

Maelezo ya Jumla:

Mungu anaendelea na unabii wa kile kitakachotokea kwa Wasraeli waliotawanyika.

oyo wa jiwe kutoka kwenye miili yao

Hii ni njia ya kusema kwamba Mungu atabadilisha mwonekano wao kutoka ukaidi wa uasi. "ukaidi wao"

moyo wa nyama

Hii ni njia ya kusema kwamba Mungu atabadilisha mwonekano wao kukubali kanuni yake. "utayari wa kutii"

watatembea kwenye amri zangu, watayachukua maagizo yangu na kuyatenda

Kila moja ya haya maneno inaelezea watu kama kutii kile Yahwe alichowaamuru kufanya.

tabia ya kujifanya

"moyo wa ibaada"

mambo maovu

"mambo ya karaha" au "mambo ya machukizo"

mwenendo

"matendo"

juu ya vichwa vyao wenyewe

"rudi juu ya wale watu."

tamko

"kauli"

Ezekiel 11:22

Maelezo ya Jumla:

Yule kerubi wa Sura ya 10 akaondoka kwenye hekalu na karibu na utukufu wa Mungu.

magurudumu yaliyokuwa karibu nao

Tazama tafsiri yake katika 1:15.

Ezekiel 11:24

uhamisho

"uhamisho" inarejelea kwa Waisraeli walilazimisha kuishi katika Kaldea.

Ezekiel 12

Ezekiel 12:1

Neno la Yahwe likanijia

"Yahwe akanena neno lake."

wana macho ya kuona lakini hawaoni; na wana masikio ya kusikia lakini hawasikii

Haya maneno yote yanatumia pengine macho au masikio kurejea kwa uwezo wa watu kujifunza.

Ezekiel 12:3

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anatekeleza fumbo jingine.

Kwa hiyo wew

"Hivyo hii ni kwa ajili yako"

Labda wataanza kuona, kuwa wao ni nyumba ya uasi

"Pengine wataanza kuelewa kile unacho kieleza" Neno "ona" limetumika kurejea uwezo wa Wayahudi kuelewa.

Ezekiel 12:4

Maelezo ya Jumla:

Mungu ananena na Ezekieli kueleza jinsi atakavyotenda lile fumbo.

katika uso wao

Neno "wao" inarejea kwa watu wa Israeli.

Nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:16.

nimekuweka kama ishara

"nimekuweka kama sahihisho kwa kufikiria kwao"

Ezekiel 12:7

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anawaonyesha watu wa Israeli pundi watalazimika kwenye uhamishoni.

chimba shimo kwenye ukuta kwa mkono

"chimba shimo kwenye ukuta kwa mkono wangu"

nje katika giza

"nje usiku wakati kuna giza"

Ezekiel 12:8

neno la Yahwe likaja

"Yahwe alinena neno lake."

nyumba ya Isaraeli

Tazama tafsiri yake katika 3:16.

Mwanadamu, je nyumba ya Israeli, ile ni nyumba ya uasi, hawakukwambia, 'Unafanya nini?

Mungu anamuuliza hili swali Ezekieli kuonyesha kwamba watu wa Israeli wametangaza kile Ezekieli anachokifanya.

walio kati yao

"walio miongoni mwao"

Ezekiel 12:11

katika giza

"usiku wakati kuna giza"

Nitausambaza wavu wangu juu yake naye atanaswa kwenye mtego wangu

Neno "wavu" na "mtego" yametumika kwa sababu hii ni njia tofauti kukamata mnyama. Mungu anajua kiongozi wa Yerusalemu atafanya nini na ameweka matukio ili kwamba anyakuliwe kama anapojaribu kukimbia.

nitamleta hata Babeli

"nitamfanya achuliwe kwenda Babeli"

Ezekiel 12:14

nitaleta upanga mbele yao

Neno "upanga" limetumika kurejea kwa jeshi la watu wanaobeba panga.

wakati nitakapo watawanya kwenye nchi zote

Haya maneno mawili kimsingi yana maanisha kitu kimoja. "nitakapowafanya wasambaratike kila mmoja na kuishi katika mataifa tofauti tofauti."

kutoka ule upanga

Neno "upanga" linarejea kuuawa katika kupigana.

Ezekiel 12:17

Neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika 2:1.

kula mkate wako kwa kutetemeka, na kunywa maji yako kwa mtetemo na hofu

"ishi maisha yako ya kila siku kwa hofu kubwa." Kula na kunywa ni mambo ya kawaida yanayofanyika katika maisha na hivyo mwambie Ezekieli kuishi kwa hofu kubwa.

Ezekiel 12:19

Watakula mikate yao kwa kutetemeka na kunywa maji yao wakiwa wanatetemeka

Haya maneno mawili yana maana moja na kusisitiza kwamba watu wataogopa sana, hata wakati wa kufanya mambo ya msingi kama kula na kunywa.

miji iliyokuwa wenyeji itahuzunishwa

"huzuni" inaeleza mahali ambapo hakuna mtu anayeishi. "watu katika miji wataondoka au kufa"

mtajua kwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 6:6.

Ezekiel 12:21

neno la Yahwe likanija

"Yahwe ananena neno lake."

Siku zimerefushwa, na kila ono linaanguka

Huu ulikuwa usemi wa watu wa Israeli ambao hakuamini kwamba Mungu angewahukumu.

Siku zinakaribia

Hili neno linarejea kwa siku ambazo Israeli itahukumiwa.

kila ono litatimizwa

Haya maono Mungu anayoyatoa kwa manabii yatakuwa kweli. "kila unabii utatokea"

Ezekiel 12:24

Maelezo ya Jumla:

Yahwe ananena na watu wa Israeli.

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri katika 3:1.

Hakuna kitu kitakacho chelewesha

"Kile nilicho kitabiri kitatokea punde"

Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama taffsiri yake katika 5:11.

nena hili neno

"nena huu ujumbe" au "nena huu unabii"

katika siku zenu

"wakati mkiwa hai"

Ezekiel 12:26

neno la Yahwe likaja

"Yahwe alinena neno lake."

kunijia ... ono ambalo ona ... na ametabiri

Maneno "mimi" na "yeye" yanamrejea Ezekieli.

waambie

Neno "wao" linarejea kwa watu wa Israeli.

Tazama

Neno "Tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa kushangaza habari inayofuata.

'Lile ono alionalo ni kwa siku nyingi kutoka sasa, na ametabiri kipindi kilicho mbali sana

Haya maneno yote ni njia ya watu wa Israeli wanasema maonyo ya Ezekieli hayatatokea katika kipindi cha maisha lakini yatatokea huko mbeleni sana.

Maneno yangu hayatacheleweshwa sana, lakini lile neno nililoliongea litatimizwa

Haya maneno ni njia zote Mungu anawaambia watu wa Israeli kwamba mambo aliyoyaonya, yatatokea punde.

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo!

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

Ezekiel 13

Ezekiel 13:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe alinena neno lake."

mwanadamu

(mimi) Ezekieli

wanotabiri nje ya fikra zao wenyewe

kutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe

fuata roho zao wenyewe

Hili neno limetumika kwa nabii kufanya kile wanachotaka. Neno "roho" linarejea kwa mawazo yao na neno "fuata" linarejea kwa kile wanachokifanya.

mbweha

wanyama wa porini kama mbwa au mbweha mwitu.

kama mbeha kwenye aridhi iliyoharibiwa

Kama mbweha aliyeiba chakula kutoka wanyama wengine katika jangwa, manabii huiba kutoka watu wa Israeli wakati wanapodanganya kuhusu kuwa na ujumbe kutoka kwa Mungu.

Ezekiel 13:5

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:1.

kupinga katika vita

"kujilinda"

Je hamkuwa na maono ya uongo ... Wakati mimi mwenyewe sikuongea?

Yahwe anatumia hili swali kuwakemea manabii wa uongo.

mlikuwa maono ya uongo na kufanya utabiri wa uongo

Tangu manabii wa uongo wakose kupokea ujumbe wa kweli kutoka kwa Yahwe, kile wanacho tabiri kuhusu baadaye sio kweli.

Hivi na hivi

Hili ni nenao lililotumika kurejea kwa kitu chochote nabii ameweza kusema.

Agizo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

Ezekiel 13:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe ananena na watu wa Israeli na kurudia maneno katika njia tofauti tofauti kueleza jinsi walivyo wakweli.

mmekuwa na maono ya uongo na kuwaambia uongo

"mmedanganya kuhusu kuwa na jumbe kutoka kwa Mungu"

Tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

Mkono wangu utakuwa juu ya manabii

Neno "mkono" mara nyingi limetumika katika njia tafauti tofauti kwa uweza wa Yahwe.

mliodanganya maono na wale waliofanya unabii wa uongo

"aliye na jumbe kutoka kwa Mungu lakini anadanganya"

katika kusanyiko la watu wangu, au kuandikishwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli

"walio orodheshwa kama watu wangu" Hii ni njia mbili kueleza jambo moja."

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:1.

mtajua yakwamba mimi ndimi Bwana Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 6:6.

Ezekiel 13:10

Kwa sababu hii

Neno "hii" linarejea kwa ahadi ya Bwana kulazimisha manabii wa uongo nje ya Israeli.

wamewaongoza watu wangu

Neno "wao" linarejea kwa manabii wa uongo katika nchi ya Israeli.

wanajenga ukuta ambao wataupaka chokaa

Hapa "ukuta" unasimama kwa ajili ya amani na ulinzi ambao manabii wa uongo wamewaambia watu kwamba Yahwe aliahidi kuwapatia.

kupaka chokaa ... chokaa

"chokaa" ni kimiminika cheupe kilichochanganywa kwa kufanya sehemu ya juu ya kitu (kama vile kuta au wigo)

mvua ya kufurika ... mvua ya mawe ... upepo wa dhoruba

Haya yote ni sehemu ya dhoruba mbaya sana. Mungu anatumia dhoruba kurejea majeshi yatakayoishambulia Yerusalemu.

mvua ya mawe

vigololi vya barafu ambavyo wakati mwingine vinaanguka kutoka angani kipindi cha dhoruba ya mvua.

wengine hawakukwambia

Ezekieli anauliza hili swali kushinikiza jibu.

Ezekiel 13:13

upepo wa dhoruba ... mafuriko ya mvua ... Mvua ya mawe

Hizi sehemu zote ni dhoruba mbaya sana. Mungu anatumia dhoruba kurejea majeshi yatakayoiteka Yerusalemu.

Nitaleta upepo wa dhoruba katika ghadhabu yangu

"wakati nitendapo ghadhabu yangu nitaleta upepo wa dhoruba"

kutakuwa na mafuriko ya mvua kwenye ghadhabu yangu

"wakati nitendapo hasira yangu nitaleta kiasi kikubwa cha mvua"

Mvua ya mawe katika ghadhabu yangu itauharibu kabisa

"Wakati nitendapo juu ya hasira yangu nitaleta mvua ya mawe kuharibu kuta wanaoujenga watu"

kufunua

"isiyofunikwa"

mtaangamizwa

"kuangamizwa kabisa"

kujuwa kwamba mimi ndimi Yahwe

"kutambua kwamba mimi ndimi Yahwe, yule Mungu wa kweli"

Ezekiel 13:15

mimi

inamrejea Yahwe

nitakavo uangamiza kwa ghadhabu yangu

"wakati nitendapo juu ya hasira yangu nitaleta mwisho"

kuupaka chokaa

"kuupaka ukuta rangi nyeupe"

Ukuta hautaonekana tena, wala watu wanaoupaka

"Ukuta hauko huko tena, wala watu"

monoa amani kwa ajili yake

Neno "yeye" inarejea kwa Yerusalemu.

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazma tafsiri yake katika 5:11.

Ezekiel 13:17

mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika 2:1.

weka uso wako dhidi

Tazama tafsiri yake katika 4:1.

binti za watu wako

wanawake wa Israeli

kutabiri dhidi yao

Hii inamaanisha kuunda unabii kutoka kutokana na fikra zao wenyewe.

hirizi

vitu vilivyoaminika vina nguvu za miujiza.

kutengeza vitambaa vya shela kwa ajili ya vichwa vyao kwa kila kipimo, ili kuwinda watu

Mapambo yaliyovaliwa na manabii yalikuwa kama "mtego" kwa sababu walikuwa wakitumia uzuri, fumbo na uongo kutega watu ili wawaamini na kuasi juu ya Mungu.

Ezekiel 13:19

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunane na juu ya unabii wa uongo katika Israeli.

makonzi ya shayiri na vipande vya mkate

Shayiri ni nafaka iliyotumika kutengenezea mkati na neno "vipande vya mkate" ni kiasi kidogo cha mkate.

Ezekiel 13:20

Bwana Yahwe asema hivi

Tazama tafsiri yake katika 5:5.

hirizi

vitu ambavyo vinavyoaminika vina nguvu ya muujiza

kukamata

"kukamata"

kuyakamata kwa hila maisha ya watu kana kwamba wamekuwa ndege ... watu ambao umewakamata kama ndege

Yahwe analinganisha mapambo ya unabii kukamata kwa ajili ya ndege.

nitazichana kutoka kwenye mikono yenu

Neno "mikono" inarejea inakuja kutawaliwa na unabii. Waongo watatumia utawala wa watu wa Israeli ni kama mikono ambayo imewakamata kurudi kutokana na kukimbia.

havitakamatwa tena katika mikono wako

Kusema hawatakamatwa ni sawa kama kusema watakuwa huru.

kujua kwamba mimi ndimi Yahwe

"kujua kwamba mimi ndimi Yahwe, Mungu wa kweli"

Ezekiel 13:22

mmeuvunja moyo wa mtu mwenye haki

Moyo wa mtu mwenye haki imetumika kurejea kwa hisia zao.

geuka kutoka kwenye njia yake

Kuacha kufanya kitu kinachorejea kurudi katika mwelekeo tofauti.

maono ya uongo au kuendelea kufanya utabiri

Haya maneno yote yanarejea kueleza kuhusu kile kitakachotokea baadaye.

kutokana na mkono wako

Neno "mkono" limetumika kurejea kutawala unabii.

mtajua kwamba mimi ndimi Yahwe

"kutambua kwamba mimi ndimi Yahwe, Mungu wa kweli"

Ezekiel 14

Ezekiel 14:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe alinena neno lake."

wamechukua sanamu zao kwenye mioyo yao

"kufikiria sanamu zao kuwa muhimu sana"

mbele ya nyuso zao

Mungu anasema watu wamehifadhi sanamu ambapo wanaweza kuwaona. Hii inaonyesha sanamu ni muhimu kwao.

pingamizi la uovu wao

Sanamu zinarejea kama kitu dhambi zao zimewafanya kuanguka.

Je naweza kuulizwa yote na wao?

"Hawataniuliza kwa chochote."

Ezekiel 14:4

Kwa hiyo watangazie hivi

Neno "wao" linarejea kwa "watu kutoka wazee wa Isareli"

achukuaye sanamu moyoni mwake

"anayefikiria sanamu zake kuwa muhimu sana"

awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake

Neno "mbele ya uso waake" inamaanisha "kwa uangalifu mkubwa."

kisha yule ajaye kwa nabii

Mtu aendaye kwa nabii ili kusikia Mungu anasemaje.

idadi ya sanamu zake

"ana kiasi gani cha sanamu."

niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao

"nitawafanya watu wa Israeli wanipende tena"

kuirudisha ... mbali nami

Anasema atawarudisha ili kuwafanya wampende hata kama sanamu zao zimewasukuma mbali na Mungu.

Ezekiel 14:6

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:1.

Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote

Haya maneno yote ni njia ya kuwaeleza watu wa Israeli kuacha kuabudu sanamu.

Tubuni na rudini

Maneno "Tubu" na "geuka" kimsingi yana maana moja. Kwa pamoja waliimarisha amri ya kuacha kuabudu sanamu.

Ezekiel 14:7

achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake

"ambaye afikiriaye sanamu zake kuwa muhimu sana"

na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe

"sanamu ambayo aliyoitumia imetumika kuasi kwa kuiabudu"

nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu

"nitakuwa juu yake" au "nitatoa umakini wangu kuwa juu yake"

kumfanya ishara na mithali

Hapa maneno "ishara" na "mithali" yanarejea kwa kitu kinachohifadhi kama kuonya wengine kuhusu matokeo mabaya ya tabia mbaya.

Ezekiel 14:9

Nitanyoosha mkono wangu juu yake

mkono wa Mungu unarejea kwa kile afanyacho. "nitashughulika juu yake"

Watabeba uovu wao wenyewe

"Watawajibika kwa ajili ya kile kibaya walichokifanya"

haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi

Neno "mbali kutoka kunifuata" halilingani na kile Mungu anachotaka kwenda mbali naye.

Ezekiel 14:12

neno la Yahwe likanijia

"Yahwe akanena neno lake."

Ezekiel 14:15

hawa watatu

Nuhu, Danieli, na Ayubu

kama niishivyo, asema Bwana Yahwe

"Bwana Yahwe asema. "kama niishivyo"

isipokuwa maisha yao yataokolewa

"Yahwe pekee angeokoa maisha yao"

Ezekiel 14:17

hawa watu watatu

Nuhu, Danieli, na Ayubu

kama niishivyo, asema Bwana Yahwe

"Bwana Yahwe asema. "kama niishivyo"

Ezekiel 14:19

kumwaga ghadhabu yangu

Kama chupa ibebavyo maji, Mungu alikuwa akirudisha hukumu. Hivyo "mwaga ghadhabu yangu" inamaanisha Mungu harudisha tena kutoka kutenda hasira yake lakini atatenda juu ya hasira yake juu ya watu wa Israeli.

kuwakatilia wote mtu na mnyama

Haya maneno yanarejea kuuawa kama tendo la hukumu ya kimungu kwa ajili ya dhambi. "ua wote mtu na mnyama"

Ezekiel 14:21

kutoka kwake

Neno "yeye" inarejea kwa Yerusalemu.

Ezekiel 14:22

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu adhabu ya watu wa Israeli.

Tazama!

Neno "Tazazama!" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari inayofuata.

salia kwake ... fanya juu yake

Neno "yeye" linarejea kwa Yerusalemu.

njia zao na matendo yao

Maneno haya yote yanarejea kwa kile watu wa Israeli walichokifanya. "vile waishivyo" au "mambo wafanyayo"

Ezekiel 15

Ezekiel 15:1

Maelezo ya Jumala:

Yahwe ananena na Ezekieli katika hii sehemu.

neno la Yahwe likaja

"Yahwe alinena neno lake."

je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?

"mzabibu si bora kuliko mti wowote pamoja na matawi ambayo ni miongoni mwa miti katika msitu."

Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote?

"Watu hawachukui mbao katika mzabibu kufanya chochote."

uwa wanatengenezea kitu kutokana na huo

"hawatengenezi kitu kutoka huo kuning'iniza vitu juu yake."

Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?

kama moto ume mwisho wa ncha zake na pia katikati, yamkini sio vyema kwa kitu chochote!

Ezekiel 15:5

Maelezo ya Jumala:

Yahwe anaendelea kuzungumzia kuhusu mzabibu.

Ezekiel 15:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu watu wa Israeli.

ukiwa

ni mahali ambapo kila mtu ameondoka.

wamefanya dhambi

"wameasi"

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

Ezekiel 16

Ezekiel 16:60

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumrejea Yerusalemu kama mke mzinzi na mataifa mengine kama ndugu wa Yerusalemu.

kumbuka

"kukumbuka"

Ezekiel 16:62

kumbuka kila kitu

"kumbuka kila kitu"

hutafungua mdomo wako tena kusema

"hutasema kitu tena

Ezekiel 17

Ezekiel 17:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anasimulia ujumbe ambao aliopewa na Mungu.

Neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Hii inamrejea Ezekieli. Hili neno ni mwanzo wa maneno ya Yahwe aliyoyanena kwa Ezekieli.

tega kitendawili na sema fumbo

"toa fumbo kwao kufikiria"

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:1.

Tai mkubwa

"tai mkubwa sana"

vipapatio vya kuku, mwenye kujaa manyoya

Neno "kipapatio" linamaanisha mwisho wa nje ya mabawa. "mwishoni mwa mabawa yake kulijawa na mabawa na manyota."

kulikuwa na rangi nyingi

Hii inamrejea tai.

Akakata ncha za matawi

"Akavunja sehemu ndefu sana ya miti"

kuyachukua

"kuchukua sehemu ya juu ya mti" au "chukua matawi"

akaipanda katika mji wa wafanya biashara

Mfanya biashara ni mtu anayeuza vitu.

Ezekiel 17:5

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelelzo wa fumbo kuhusu tai.

Pia akachukua

Neno "Yeye" ni tai katika fumbo.

aridhi tayari kwa kupanda

"shamba lililokuwa tayari kwa kupandwa mbegu katika hilo." "aridhi yenye rutba" au "katika aritdhi nzuri."

Aliupanda karibu na maji mengi

"tai alipanda mbegu katika mahali ambapo palikuwa na maji mengi"

kuipanda ... kama mti mti umeao karibu na maji

Miti imeao karibu na maji hukua katika mahali ambapo kuna maji mengi. Kama tai alipanda mbegu kama mti umeao karibu na maji, ina maana kwamba aliupanda katika mahali penye maji mengi.

Kisha ukachipusha

"Kisha mbegu ikaanza kukua kwenye mmea"

mzabibu wenye kutanda

"mzabibu utandao juu ya nchi"

Matawi yake yakamwelekea yeye

Matawi ya mzabibu yakamgeukia tai.

mizizi yake ikamea juu yake

Miziz ya mzabibu ikamea chini ya tai.

Hivyo ukawa mzabibu

"Ambavyo mzabibu humea"

kuzaa matawi na kutoa matawi

"mea matawi na kusambaa mizizi yake"

Ezekiel 17:7

Maelezo ya Jumla:

Utambulisho "lakini" huonyesha kwamba tai mwingine ameelezwa kulikuwa yule wa awali.

tai mkubwa

Tai ni mkubwa, mwenye uwezo, na ndege mwenye kuvutia.

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linatahadharisha kuwa makini kwa habari ya kushangaza inayofuata.

Huu mzabibu ukabadilisha mizizi yake kumwelekea tai

"Mizizi ya mzabibu ikamea kumwelekea tai"

upate kumwagiliwa

"hivyo tai akamwagilia mzabibu"

Ulikuwa umepandwa

"yule tai wa awali aliupanda mzabibu."

karibu na kilindi cha maji

"katika mahali ambapo kulikuwa na maji mengi"

hivyo ungezaa matawi na kuanza kutoa matunda, ili kuwa mzabibu mzuri kabisa

"ili mzabibu ukue matawi na matunda na kuwa mzabibu unaovutia"

Ezekiel 17:9

Utafanikiwa?

"Hautafanikiwa."

Je! Haitaing'oa mizizi yake na kuyakata matunda yake ili kwamba unyauke, na majani yake yote mabichi yanyauke?

"Atang'oa mizizi yake na kukonyoa au kuchuma matunda yake hivyo ukuaji wa majani yake yote yatanyauka."

tazama!

Neno "tazama!" hapa inaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata. "kuwa macho kwa kile ninachotaka kukueleza!"

utamea?

"hautamea."

Je hautanyauka wakati upepo wa mashariki utakapoupiga?

"Utanyauka wakati upepo wa mashariki uugusapo."

Ezekiel 17:11

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Je! hamjui haya mambo yana gana gani?

"Mngetakiwa kujua kwamba hivi vitu nina maana gani."

Tazama!

"Tazama!" au "Sikiliza" au "Kuwa macho kwa kile ninachotaka kukueleza!"

Ezekiel 17:13

ukoo wa kifalme

Neno "ukoo wa kifalme" linawaelezea watu na vitu ambavyo vinavyohusiana na mfalme au malkia.

uzao, muundo wa uzao

"Uzao" ni mtu mwenye uhusiano wa damu moja kwa moja toka kwa mtu mwingine wa mbali katika historia ya familia fulani.

agano

Agano ni makubaliano rasmi, yenye ahadi za viapo baina ya pande mbili ambapo upande mmoja au pande zote zinalazimika kulitimiza.

nadhiri, kiapo, kujiapiza

Katika Biblia, nadhiri ni ahadi rasmi ya kufanya jambo fulani. Mtu anayefanya nadhiri hutakiwa kuitimiza ahadi hiyo. Nadhiri inahusisha mtu kujitoa kuwa mwaminifu na mkweli.

Ezekiel 17:15

Taarifa za Ujumla:

Yehova anazungumza juu ya ufalme wa Yerusalem ulivyoasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

Je atafanikiwa?

La hasha ! hatafanikiwa.

Je afanyaye mambo haya atatoroka?

"Afanyaye mambo haya hatatoroka!"

Je ataweza kutoroka Iwapo atalivunja agano?

Iwapo atalivunja agano hatatoroka.

Ezekiel 17:17

Taarifa ya Ujumla:

Yehova anzungumza juu ya mfalme wa Yerusalemu.

Jeshi kubwa na kusanyiko la wengi kwa ajili ya vita.

Vifungu hivi vya maneno kimsingi vina maana sawa na vinasisitiza ni kwa namna gani jeshi la Farao ni kubwa na lenye nguvu.

Hawatamlinda

Hapa neno "hawatamlinda "linarejea kwa mfalme wa Yuda.

Kuta zenye minara

Hii ina maana ya mnara wa wenye ngazi zinazoweza kuwekwa ukutani na kuruhusu wanajeshi kuruka ukuta na kuingia katika mji.

Ezekiel 17:19

Je hiki hakikuwa kiapo changu kwamba alidharau na agano lango alilolivunja?

"kilikuwa kiapo changu kuwa mfalme wa Yerusalemu alidharau na agano langu alilolivunja"

Nitaileta adhabu yake juu ya kichwa chake mwenyewe.

"Nitamuadhibu"

Ataanguka kwa upanga

"atauawa na jeshi la Wababeli"

Ezekiel 17:22

Taarifa za Ujumla:

Yehova anazungumzia juu ya Yerusalemu kana kwamba ni tawi lililopandwa katika milima ya Israeli.

Kuzaa matawi

"yatazalisha matawi mapya"

Ezekiel 17:24

Taarifa za Ujumla:

Yehova anazungumzia juu ya miti kana kwamba ni miji.

Kisha miti yote katika shamba itafahamu kuwa mimi ndimi Yehova.

Vitu kuvikwa uhusika kama binadamu.

Miti mirefu...Miti mifupi

Lugha ya picha/fumbo

Kupukutika

wakati ambapo mmea hunyauka na kufa.

Ezekiel 18

Ezekiel 18:1

Neno la Yehova likanijia

"Yehova alizungumza neno lake." Angalia namna ulivyotafsiri katika 1:1

Mnamaanisha nini, ninyi mnaotumia mithali hii...'wababa wanakula zabibu chachu, na meno ya watoto yametiwa ganzi'

God anawaonya watu kwa kufikiri kuwa wanaadhibiwa kwa dhambi za wazazi wao, lakini wakiamini kuwa wao wenyewe hawana dhambi

Wababa wanakula zabibu chachu, na meno ya watoto yametiwa ganzi

Mithali hii ina maana kuwa watoto wanaadhuibiwa kwa sababu ya matendo maovu ya wazazi wao.

Ezekiel 18:3

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linaongeza msisitizo juu ya kile kinachofuata. Linaweza pia kutafsiriwa kama " Haswaa! hii inaweza kutafsiriwa pia kama "ona" au "Sikikiliza" au "zingatia kile ninachoenda kukwambia"

Ezekiel 18:5

Hajakula juu ya milima...hajainua macho yake kuzielekea sanamu

Vifungu hivi vya maneno vinarejea katika ibada ya sanamu. watu walikula chakula ch amatambiko katika vichaka vya mmlima kuzitukuza sanamu. Kifungu cha maneno "kuinua macho yake" ni rejea ya tukio la kuzitazama sanamu na kuzitukuza.

Ezekiel 18:7

alirudisha amana

Mungu anafurahishwa na mkopeshaji anayerudisha amana ya mkopo kwa mkopaji hata kabla ya mkopaji kumlipa mkopeshaji.

Huwapa chakula wenye njaa. Na kuwavika nguo walio uchi.

Mungu anapendezwa na walio wakarimu kwa wasio na chakula na mavazi.

Ezekiel 18:10

humwaga damu

Kifungu hiki cha maneno kinamaanisha kuuwa mtu.

moja kati ya mambo hayo

Hii inamaanisha matendo maovu yaliyotajwa katika 18:11-18:12.

Ezekiel 18:12

Taarifa za Ujumla:

Yehova anaendelea kuzungumza juu ya mwana mkorofi

maskini na wahitaji

Maneno "Maskini" na "muhitaji" yasisitiza kuwa hawa ni watu wasioweza kujisaidia wenyewe.

kutoza riba

Neno "riba" linamaanisha fedha ya nyongeza inayolenga faida juu ya deni.

riba

Neno hili linamaanisha pesa inayolipwa na mtu ili atumie pesa ya mkopo. Hata hivyo baadhi ya tafsiri za leo za neno hilo hutaja kama "riba yoyote" katika kifungu hiki cha maandiko kama "riba kubwa sana"

Ezekiel 18:14

Tazama

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo juu ya mambo yanayofuata.

tenda

amefanya

Ezekiel 18:16

Taarifa za Msingi:

Yehova anaendelea kuzungumza juu ya mwana asiyetenda dhambi kama za baba yake.

walio uchi

Hii inaweza kumaanisha watu wasio na nguo kabisa, lakini kwa sehemu kubwa inamaanisha watu wenye mavazi chakavu, mavazi duni sana.

huwavika nguo walio uchi

Kuwapatia nguo watu wenye uhitaji wa nguo linazungumziwa kama tendo la kuwavalisha nguo katika miili yao. (lugha ya picha)

huuondoa mkono wake kwa maskini

Hapa neno "mkono" linasimama badala ya maneno "kutenda matendo yasiyo haki"

Ezekiel 18:18

Taarifa za Ujumla:

Yehova anazungumza juu ya baba wa mwana ambaye hajaitii sheria ya Mungu.

kupora

kuchukua kitu cha mtu mwingine kwa kutumia vitisho au mabavu.

tazama

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa jambo linalofuata.

Ezekiel 18:19

kwanini mwana asibebe uovu wa baba yake?

"kwanini mwana hawajibiki juu ya uovu huo?"

Haki ya kila mtenda mema itakuwa juu yake mwenyewe.

"Kila atendaye kwa haki ataitwa mwenye haki"

uovu wa mtu muovu utakuwa juu yake mwenyewe

"mtu atendaye maovu ataitwa muovu"

Ezekiel 18:21

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anazungumza juu ya mtu muovu anayebadirika na kutenda mema.

kuzingatiwa akilini

"kukumbukwa"

Ataishi kwa haki aitendayo

Ataendelea kuishi kwa sababu anatenda kwa wema"

Ezekiel 18:23

Maelezo ya Jumla:

Yehova anazungumza juu ya shauku yake kwa ajili ya watu waovu.

Je nitafurahia sana juu ya kifo cha mwovu...na si katika kugeuka kwake kutoka katika njia zake mbaya ili aishi?

"sifurahishwi na kifo cha mwovu, bali ninafurahia anapogeuka na kuyaacha matendo yake maovu na akaishi."

Hili ni tamko la Bwana, Yahwe mwenyewe

angalia tafsiri ya 5:11

si katika kugeuka kwake

"asipobadirika na kuyaacha matendo yake maovu na kutenda mema.

Ezekiel 18:24

Maelezo ya Jumla:

Yehova anatoa mfano wa mtu anayegeuka kutoka katika haki na kuugeukia uovu.

je ataishi?

"atakufa tu"

hatazingatiwa akilini

"hatakumbukwa"

Uhaini

kosa ambalo mtu hutenda dhidi ya nchi au dhidi ya Mungu kwa lengo la kusaliti na kujitwalia heshima.

hivyo atakufa katika dhambi anaoutenda

"Hivyo, atakufa kwa ajili yadhambi alizozitenda"

Ezekiel 18:25

kufa kwa sababu ya hayo ... kufa katika alioufanya

Haya maneno yanarudia wazo la mtu anayekufa kwa sababu ya dhambi zake kuonyesha kwamba lilikuwa kosa lake na halikuwa kosa la mtu mwingine yeyote.

Ezekiel 18:27

ameona

ametambua jambo.

Ezekiel 18:29

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kufundisha watu wa Israeli kwa nini njia zake ni za haki.

Je ni namna gani njia zangu haziko sawa, nyumba ya Israeli?

"Huenda njia zangu zi sawa, watu wa Israeli."

Je, ni kwa namna gani njia yako haiko sawa?

"Je, ni namna njia yako i sawa?" "Ni njia yako ambayo

kila mtu miongoni mwenu kulingana na njia zake

"matendo la kila mtu."

ili msiwe

"wao" inarejea kwa makosa ya watu wa Israeli.

Ezekiel 18:31

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli.

jifanieni moyo mpya na roho mpya

"kujibadilisha kabisa ulivyo"

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:1.

hili ni tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

Ezekiel 19

Ezekiel 19:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anamweleza Ezekieli kunena na watu wa Israeli.

Ezekiel 19:5

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaenedela kuelezea taifa la Israeli kama simba jike na wafalme wa ufalme wa Yuda kama wanasimba wake.

hivyo alimchukua mwingine miongoni mwa watoto wake

Sasa Yahwe anamlinganisha Yehoyakini na mwana simba mdogo.

Akawakamata wajane na kuiharibu miji

Haya maelezo ni mfano kwa ajili ya Mungu akiruhusu maadui wa Israeli kuyafanya haya mambo.

na viijazvyo

"na kila kitu katika huo"

Ezekiel 19:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kulielezea taifa la Isaraeli kama simba jike na wafalme wa ufalme wa Yuda kama wana simba wake.

juu yake

Neno "yeye" linarejea kwa mwana simba mdogo, anayemuwakilisha Yehoyakini.

kutoka mikoa inayozunguka

"kutoka mikoa inayoizunguka nchi ya Israeli."

mikoa

nchi zilizokuwa zimetawaliwa na Babeli

Ezekiel 19:10

mama

Yahwe anaelezea taifa la Israeli ingawa ilikuwa mama wa wana wa Israeli.

mzabibu uliopandwa katika damu yako

"damu" inawakilisha machafuko ya wafalme wa wafalme wa Yuda ambao waliwaua watu.

Ezekiel 19:12

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kulinganisha Israeli na mzabibu na viongozi wake pamoja na matawi imara ya mzabibu.

uliovunjika

"amevunjika"

Ezekiel 19:14

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kulinganisha Israeli na mzabibu na viongozi wake pamoja na matawi imara ya mzabibu.

kutawala

"kwamba mfalme angetumia kutawala"

Ezekiel 20

Ezekiel 20:1

Ikawa

Hili neno limetumika kuonyesha mwanzo wa sehemu ya mwanzo wa hadithi.

katika mwaka wa saba

"katika mwaka wa uhamisho wa Mfalme Yohoyakini"

siku ya kumi ya mwezi wa tano

Hii ni siku ya tano ya mwezi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ikaribu mwanzoni mwa mwazi wa Nane katika kalenda za magharibi.

mbele yangu

"mbele yangu"

Ezekiel 20:2

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Kama niishivyo

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

sitaulizwa swali na ninyi

"Sitawaruhusu kuuliza ujumbe wowote kutoka kwangu."

Ezekiel 20:4

Utawahukumu? Utamuhukumu, mwanadamu

"Wahukumu, mwanadamu."

Ulikuwa ukitiririka maziwa na asali

"Nchi yenye wingi wa maziwa na asali ikitiririka." "Ilikuwa nchi yenye rutuba sana."

Ezekiel 20:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli.

kwao

"kwa uzao wa nyumba ya Yakobo"

kutoka mbele ya macho yake

Hili neno lina maanisha kwamba "kwamba anapenda" au "kwamba anaabudu."

Ezekiel 20:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli.

wameasi juu yangu

Neno "wao" linarejea kwa "uzao wa nyumba ya Yakobo."

hawakuwa tayari kunisikiliza

"hawakuweza kunitii"

hivyo haikunajisi katika macho ya mataifa

Hili neno linamaanisha "hivyo mataifa hayatafikiri kwamba jina langu halikuwa takatifu."

walikuwa wakiishi

"walikuwa wakiishi."

Nilijifanya mwenyewe kujulikana kwao

"Nimewaonyesha mataifa mimi ni nani"

katika macho yao

"katika hali yakwamba mataifa wanaweza kuona"

kuwaleta

"kuwaleta watu wa nyumba ya Yakobo"

Ezekiel 20:10

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.

nimewapeleka

Neno "wao" linarejea kwa "uzao wa nyumba ya Yakobo."

Ezekiel 20:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.

mwaga ghadhabu yangu

Tazama tafsiri yake katika 20:8

nilifanya kwa ajili ya jina langu hivyo lisinajisiwe katika macho ya mataifa

Tazama tafsiri yake katika 20:8.

Ezekiel 20:15

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.

nimeinua mkono wangu kuapa kiapo

Tazama tafsiri yake katika 20:4.

kwao

"kwa nyumba ya Israeli"

Lakini jicho langu lilikuwa na huruma kwao

"Lakini bado nawahurumia."

kwa sababu ya uharibifu wao

"lakini sikuwaharibu"

Ezekiel 20:18

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.

Msitembee kama wazazi wenu

"Msifanye mambo ambayo wazazi wenu waliyawaamuru kuyafanya"

msitunze maagizo yao

"msizitii kanuni zao"

tunza maagizo yangu na yatii!

"Kutunza" maagizo ya Yahwe ni sawa na "kuyatii."

mtajua yakwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 6:6.

Ezekiel 20:21

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.

Hawakuenenda katika amri zangu

Tazama tafsiri hii katika 20:13.

hivyo nimeamua kumwaga ghadhabu yangu juu yao kutimiza ghadhabu yangu

Tazama hii tafsiri katika 20:8.

Ezekiel 20:23

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.

nimeuinua mkono wangu kuapa juu yao

Ilikuwa ni mazoea ya kawaida kuapa kiapo kwa kuinua mkono kuelekea mbinguni.

nitawatawanya kati ya maifa na kuwatawanya miongoni mwa nchi mabali mbali

Tazama tafsiri hii katika 12:14.

Macho yao yalizitamani sanamu za baba zao

"walikuwa na shauku ya kuabudu sanamu ambazo wazazi wao walizoziabudu."

Ezekiel 20:25

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.

Kisha niliwapa amri ambazo hazikuwa nzuri, na maagizo ambayo hawakuweza kuishi kwayo

Maneno amri katika hili neno halirejelei sheria ya Mungu. Mungu aliwaruhusu kuishi kwa sheria ya mwanadamu na hukumu ambazo hazikuwa nzuri.

kuwapatia

Neno "wao" linarejea kwa watoto ambao Yahwe aliwatoa Misri.

kwa zawadi zao

"kwa zawadi ambazo walizokuwa wamenipatia."

waweke kwenye moto

Hii inamaanisha kutoa sadaka mtoto kwa sanamu kwa kuwachoma wakiwa hai.

Ezekiel 20:27

Nini maana ya mahali palipoinuka ambapo mmeleta sadaka huko

"Hii ni mahali pa juu ambapo unatakiwa kuleta sadaka!"

jina lake linaitwa Bama

"Watu wemeiita hapo mahali Bama" "Bama" maana yake "mahali pa juu," mahali kwa ajili kuabudu sanamu.

Ezekiel 20:30

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa njumba ya Israeli.

weka wana wako kwenye moto

Hii inamaanisha kutoa sadaka watoto kwa sanamu kwa kuwachoma wakiwa hai.

Hivyo kwa nini nikuache unihoji mimi ... Israeli?

"Hauna haki ya kuniuliza ujumbe ... Israeli."

Ezekiel 20:33

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.

mkono wenye nguvu, mkono ulionyooshwa

Maneno haya yote yanarejea kwa uweza mkubwa.

Ezekiel 20:36

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.

Ezekiel 20:39

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.

nyumba ya Israeli

Tazama jinsi ya kutafsiri hii katika 3:1.

kunisikiliza

"kunitii" au "kuvuta usikivu kwangu"

Ezekiel 20:40

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.

kutaka

"kulazimu kuleta"

malimbuko ya kodi zenu

Hapa "malimbuko" huenda inamaanisha vitu bora miongoni mwa sadaka zote zilizowekwa pembeni kutoa kwa Mungu.

vitu vyako vitakatifu

"sadaka ulizoziweka pembeni kunitolea"

nitakapowatoa kutoka wale watu na kuwakusanya toka nchi ambazo mlizotawanyika

Haya maneno mawili yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba Yahwe atawarudisha watu wake kutoka mataifa yote ambayo aliyokuwa amewatawanya.

mlikuwa mmetawanyika

"nimewatawanya."

Nitajifunua mimi mwenyewe kama mtakatifu ndani yenu kwa ajili ya mataifa waone

"nitakutumia kuonyesha mataifa kwamba mimi ni mtakatifu"

Ezekiel 20:42

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpataia Ezekieli ujumbe wake kwenye nyumba ya Israeli.

inua mkono wangu

Hili neno linamaanisha "nimeapa" au "nimeahidi."

mtajua kuwa mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 6:6.

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

Ezekiel 20:45

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Ezekiel 20:48

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwenye msitu wa Negevu.

wataona

"wataelewa"

Ee

neno linaloonyesha kuteseka au huzuni

e! yeye sio mwenye kusema mafumbo?

Anaeleza hadithi"

Ezekiel 21

Ezekiel 21:1

Mwana wa adamu

"Mwana wa mwanadamu" Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ana uwezo na huishi milele, lakini watu hapana.

neno la Yahwe likanijia

"Yahwe akanipatia ujumbe."

weka uso wako kulekea Yerusalemu

Hii ni lahaja. Hii inamaanisha kwamba Yahwe anatupa hukumu juu ya Yerusalemu na kunena hukumu juu yake.

Nitautoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake na kuwakatilia mbali wote yaani mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako

Hii inazungumzia Yahwe akiwafanya hawa watu kufa kana kwamba amewaua kweli kwa upanga wake mwenyewe.

mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako!

watu wenye haki na watu waovu." Hii inarejea kwa watu wengi, sio mtu mmoja menye haki na mtu mmoja mwovu.

ala

kitu kinachoshikilia na kufunika upanga wakati unapokuwa hautumiki

katilia mbali

Hii inamaanisha kuua "ua"

Ezekiel 21:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa nchi ya Israeli.

katilia mbali

Hii inamaanisha kuua "ua"

mwenye haki ... mwovu

Hii inarejea kwa watu wenye haki na waovu. "wale ambao ni wenye haki ... wale walio waovu" au "watu wenye haki ... watu waovu"

kutoka kwako

"miongoni mwako"

upanga wangu utatoka kutoka kwenye ala yake dhidi ya

Hii inamzungumzia Yahwe akifanya hawa watu kufa kana kwamba amewau hasa kwa upanga wake mwenyewe.

wenye miili wote

Hapa "mwili" ni mfani kwa "watu" "watu wote"

kutoka kusini kwenda kaskazini

Hii inarejea kwa eneo la kaskazini, na kusini, na maeneo yote ya katikati. "katika kila uelekeo" "kila mahali"

kwamba mimi, Yahwe, nimeutoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake

Hii inamwongelea Yahwe akisababisha watu kufa kana kwamba amewaua kweli kwa upanga wake.

Hautarudi tena

Hii inamzungumzia Yahwe haurudishi upanga wake kutoka kuwashambulia watu kana kwamba upanga ulikuwa mtu ambaye hakuwa ameshikilia upanga wenyewe kuurudisha kutoka kushambulia.

Ezekiel 21:6

Maelezo ya Jumla:

Yahwe ananena na Ezekieli.

mwana wa adamu

"mwana wa mwanadamu"

gumia kama kuvunjika kwa viuno vyako

Yahwe anamwambia Ezekieli kugugumia kama ishara ya kuusindikiza ujumbe wake. Anamwambia kugugumia kwa kina kana kwamba tumbo lake lilikuwa kwenye maumivu makubwa sana.

Katika uchungu wa gumia

"Kwa huzuni kubwa"

mbele ya macho yao

Hapa Waisraeli wanarejelewa kwa "macho" yao kusisitiza kile wakionacho. "mbele yao" au "mbele ya watu wa Israeli"

ile habari inayokuja

Hii inazungumzia "habari" kana kwamba ilikuwa mtu ambaye alikuwa akija kwao punde.

kwa kila moyo utakaozimia

Hii inazungumzia watu kuogopa kana kwamba mioyo yao ilikuwa ikizimia.

utasita

"utakuwa dhaifu"

Kila roho itazimia

Hii inazungumzia watu kuwa na hofu katika roho zao kana kwamba roho zao zilitaka kuzimia.

kila goti litatiririka kama maji

"kila goti litakuwa dhaifu kama maji"

Ezekiel 21:8

neno la Yahwe likaja

"Yahwe ananena neno lake."

Utachongwa na kung'aa

"Li kali na lililosuguliwa." Hili neno linaonyesha kwamba upanga u tayari kwa ajili ya mtu kuutumia.

kung'aa

Mtuu kuufanya upanga laini, unaong'aa, na safi kwa kuusugua kwa kwa kifaa kinacho kwaruza

Ezekiel 21:10

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yerusalemu na wa nchi ya Israeli.

Utanolewa ... utang'arishwa ili

"nitaunoa ... nitaunoa ili kwamba uta"

ili uwe kama mng'ao wa radi

Hii inamaanisha kwamba utang'aa sana huo mwanga utaakisi na kung'aa. "Hivyo utawaka kama nuru"

Je! Tufanye furaha katika fimbo ya mwana wa mfalme?

Hili swali lisilohitaji majibu linasisitiza kwamba watu wa Israeli hawatasheherekea uwezo wa ufalme wao, kwa sababu hautaweza kuupitisha "upanga."

Tuta

Neno "sisi" linamrejea Ezekieli na watu wa Israeli.

katika mwana wangu wa kifalme

Hapa Yahwe anarejea kwa mfalme wa Yuda kama mwana wake. Fimbo ya mfalme inawakilisha utawala wake kama mfalme.

Upanga ujao huchukia kila hiyo fimbo

Hapa neno "upanga" Hii inazungumzia mfalme kutoweza kuupitisha "upanga" kama "upanga" unauichukia fimbo ya mfalme.

hiyo fimbo

Hili neno limetumika kuidhihaki fimbo ya mfalme kwa kuiita "fimbo." "hiyo fimbo"

upanga utatolewa kung'arishwa

"nitaung'arisha upanga"

kisha kushikika kwa mkono

"kisha mtu sahihi ataushika katika mkono wake"

utatolewa kwenye mkono wa yule auaye

"u tayari kwa ajili ya matumiziya kuua"

Ezekiel 21:12

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa watu wa Yerusalemu na nchi ya Israeli.

Wametolewa dhidi ya upanga pamoja na watu wangu

"Wameuawa kwa upanga pembeni ya watu wangu"

lakini itakuwaje kama fimbo ya kifalme haitakuwepo tena?

"na itakuwa hofu kubwa sana kama upanga utaiharibu fimbo na fimbo ikaenda."

Ezekiel 21:14

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake.

Upanga kwa wale watakaochinjwa

"Upanga kwa ajili ya kuchinja watu."

ukiwatoboa

Neno "wao" linarejea kwa watu wa Yerusalemu na wa nchi ya Israeli.

Ezekiel 21:15

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yuerusalemu na wa nchi ya Israeli.

kuongeza kuanguka kwao

Hapa "kuanguka" inarejea kwa watu kuuawa katika vita. "kuwaua watu miongoni mwao"

malango yao

Neno "yao" inarejea kwa watu wa Yerusalemu.

Wewe, upanga! Nyooka upande wa kuume! ...Nenda popote ulipoelekeza uso wako

Ipo kama Yahwe alikuwa akinena na upanga.

popote ulipoelekeza uso wako

"Popote nilipoelekeza ubapa wako."

uso wako

Hapa "uso" inasimama kwa ajili ya makali ya upanga.

Ezekiel 21:18

Neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

mwana wa adamu

Tazama tafsiri ya hii katika 2:1.

upanga

"vita."

Ezekiel 21:21

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake.

mitambo ya kubomolea

mashine kubwa ambazo watu walizitumia kuangusha chini kuta au minara

juu yake

"juu ya Yerusalemu

kujenga ngazi

Hizi zilikuwa ngazi kubwa ambazo mfalme wa babeli alizijenga ili kwamba maaskari wake waweze kuingia kwenye kuta za Yerusalemu.

minara ya boma

Hii ilikuwa minara ya mbao ambayo mfalme wa Babeli aliijenga kuzunguka Yerusalemu kuwawezesha maaskari wa Babebli kurusha mishale juu ya kuta za Yerusalemu.

Ezekiel 21:24

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yerusalemu.

Kwa sababu umeuleta uovu wako kwenye kumbukumbu zangu

"Kwa sababu umenikumbusha uovu wako"

uovu wako kwenye kumbukumbu zangu, makosa yenu yatafunuliwa! Dhambi zenu zitaonekana katika matendo yenu yote

"kwa kuufunua uovu wako, dhambi zako zitaonyeshwa wazi kwa kila mtu."

Kwa sababu hii utamkumbusha kila mtu kwamba

"Kwa sababu hii kila mtu ataelewa kwamba"

utatekwa kwa mkono wa adui zako

"mfalme wa Babeli atakuteka."

Ezekiel 21:25

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anampatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtwala wa Israeli.

siku ya nani inakuja

Hili neno linamaanisha "sasa Yahwe atamwadhibu nani."

mda wa nani wa kufanya dhambi umekoma

"mda wakati Yahwe akomeshapo uovu"

kilemba

kipande cha nguo kizuri ambacho mfalme huvaa kwenye vichwa vyao kama ishara ya mamlaka yao

tukuza unyenyekevu

"na tukuza ya chini"

Ezekiel 21:28

mwana wa adamu

Tazama tafsiri yake katika 2:1.

umetolewa

"umtolewa nje ya ala yake"

Wakati manabii waonapo maono kwa ajili yako

Neno "wew" inarejea kwa taifa la Amoni.

maono matupu

"maono ya uongo"

Ezekiel 21:30

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Amoni.

ala

tazama tafsiri yake katika 21:1.

Katika mahali pako pa uumbaji

"Katika mahali ambapo nilipo kuumbia"

Ezekiel 21:32

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Amoni.

Utakuwa kuni kwa ajili ya moto

"Moto utakuchoma"

Ezekiel 22

Ezekiel 22:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Sasa wewe, mwanadamu, Je! Utanihukumu? Utauhukumu mji kwa damu?

"Mwana wa adamu, nenda kahukumu. Nenda na uhukumu mji wa damu."

mji wa damu

Yahwe anarejea kwa Yerusalemu kama mji wa damu. Hii inarejea kwa wauaji na machafuko yaliyotokea katika Yerusalemu.

yeye ... yeye mwenyewe

Neno "yeye" linairejea Yerusalemu. Miji ilikuwa ikifikiriwa kama mwanamke. Hii inaendelea hadi mstari wa 32.

Ezekiel 22:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaenedela kunena na Ezekieli kwa watu wa Yerusalemu.

Kwa kuwa umezileta karibu siku zako na kuzikaribia miaka yako ya mwisho

Maneno haya yote yanamaanisha kwamba wakati mda Yahwe atakapoiadhibu Yerusalemu u karibu.

kujaa machafuko

watu wengi katika Yerusalemu wamechanganyikiwa

Ezekiel 22:6

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anazungumzia kuhusu mtawala wa Israeli katika Yerusalemu.

Tazama

"Tazama" au "Sikia" au "Vuta usikivu kwa kile ninachotaka kukwambia."

wamekuja kwako ... kati yako

Hili neno "wewe" na "yako" inarejea kwa Yerusalemu.

wamekula kwenye milima

Hapa "milima" linarejea kwa madhabahu kwa sanamu ambazo zi juu ya milima. Wakala nyama ambazo zilizokuwa zimetolewa kwa sanamu kwa ajili ya kuwa na baraka ya miungu.

Wamefanya uovu kati yako

Hii inamaanisha kwamba wanafanya mambo maovu ndani ya mji wa Yerusalemu.

Ezekiel 22:10

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kupitia Ezekieli kuhusu mambo mabaya ambayo watu wa Yerusalemu waliyoyafanya.

ninyi ... wao

Hivi viwakilishi majina vinarejea kwa Yerusalemu (watu wa Yerusalemu).

Uchi wa baba umefunuliwa

Huyu ni mke wa baba. Ni uchi ambao unaomaanisha kwa yeye kuona.

Wamemtukana ... waliofanya machukizo pamoja ... kuwafanya uchafu wa aibu kwa mke wa mwanao mwenyewe

uchafu wa aibu - Hizi ni njia zote za kueleza kwamba wanaume wamelala na wanwake ambao hawakutakiwa na jinsi matendo yao ya dhambi yalivyo.

vutia

Hili neno linarejea kwenye pesa zilizolipwa na mtu kutumia pesa iliyoazimwa. Ingawa baadhi ya baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "kuvutia" katika kifungu hiki kama "kuvutia sana."

umenisahau

kukataa kumtii Yahwe ni kama kusahau kwamba anaishi.

Ezekiel 22:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na watu wa Yerusalemu kwa kunena moja kwa moja na mji wa Yerusalemu.

nimeipiga faida mdanganyifu ... damu

Neno "piga" linarejea kwa Yahwe kuchukua uamuzi juu ya hivi vitu.

e! Moyo wako utasimama, mikono yako itakuwa hodari katika siku wakati mimi mwenyewe nitakapo kushughulikia?

"Moyo wako hautasiamama, mikono yako haitakuwa imara katika siku wakati mimi nitakapo shughulika na wewe.

nitakutawanya kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi mbali mbali

Tazama tafsiri yake katika 12:14.

safisha

toa kitu ambacho hakitakiwi.

katika macho ya mataifa

"katika wazo la watu katika mataifa mengine"

Ezekiel 22:17

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

takataka

"haina thamani"

Wote wamekuwa masazo ya shaba na bati, na chuma na risasi kati yenu

"Watu wote waliokuzunguka hawana thamani"

Ezekiel 22:20

Maelezo ya Jumla:

Mungu anaendelea kueleza adhabu yake ya watu kama Yerusalemu kama vitu vilivyokuwa vimeyeyushwa na kusafishwa katika tanuu.

Nitakuyeyusha

Adhabu ya Mungu inarejewa kama moto wa tanuu unaoisafisha Yerusalemu kama tanuu inayoisambaratisha vifaa isiyo na thamani kutoka vifaa vyenya thamani wakati wanapoiyeyusha.

Ezekiel 22:23

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anamwambia Ezekieli kunena na Yerusalemu.

Neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Hakuna mvua katika siku ya ghadhabu

Mvua imetumika kama mfano wa baraka ya Mungu. "Hakuna baraka katika siku ya ghadhabu"

njama

mpango wa siri wa watu wawili au zaidi kufanya kitu kiumizacho au kuvunja sheria.

Ezekiel 22:26

yeye

Hiki kiwakilishi cha jina kinarejea kwa Yerusalemu.

Wamemwaga damu na kuharibu maisha

Haya maneno mawili kimsingi yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza machafuko ambayo wana mfalme wa Yerusalemu wanayoyafanya. "Wanawaua watu"

Ezekiel 22:30

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anawalinganisha viongozi wa Yerusalemu kwenye ukuta na yeye mwenyewe kwa kushambilia jeshi.

mtu kutoka kwao ambaye ataweza kujenga ukuta

kiongozi akijikabidhi yeyey mwenyewe kati ya Yahwe na watu kwa kuchukua wajibu kuwaongoza kurudi kutoka kwenye haki. "mtu kutoka kwao ambaye ataweza kufanya kama ukuta"

kusimama mbele yangu katika uvunjaji wake

kusimama katika mahali ukuta ulipo vunjika. Kiongozi anawatetea watu wa Israeli ni kama shujaa kuutetea mji katika vita.

nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao!

huku itakayoweza kumwagwa kama maji kutoka kwenye bakuli.

moto wa ghadhabu yangu

hukumu ya Mungu ni kama moto kwa sababu ni kali sana.

weka njia zao katika vichwa vyao wenyewe

Kuweka kitu juu ya kichwa cha mtu inarejea kwa kuwafanya kuibeba au kuchukua wajibu kwa kuweja juu yake. "wafanye kuchukua wajibu kwa kile walichokifanya"

Ezekiel 23

Ezekiel 23:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anamwambia Ezekieli hadithi kuhusu mabinti wawili katika Misri kuelezea jinsi alivyoona tabia ya watu wa Israeli.

Neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

maziwa yao yalikuwa yamebanwa

"Wanaume waliyabana maziwa yao."

ubikira wa chuchu zao zilipapaswa huko

Kimsingi haya maneno yanamaanisha kitu kimoja kama neno lililopita na kusisitiza tabia mbaya ya wasichana wawili.

papaswa

kushikwa pole pole

Ohola

Hili ni jina la kike linalomaanisha "hema yake."

Oholiba

Hili ni jina la kike linalomaanisha "hima yake yu katikati yake."

Ezekiel 23:5

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendela kumweleza Ezekieli hadithi yake kuhusu uznifu wa mke wake Ohola.

nguvu

"katika utawala"

watu bora wote wa Ashuru

Hii inatambulisha mwenye neno "wao" inarejewa kwa.

Ezekiel 23:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumweleza Ezekieli kuhusu uzinifu wa mke wake Ohola

wakati walipoanza kummwagia tabia ya uzinzi

Neno "mwaga" linatumia wazo la maji kumwagwa kueleza kitu kikitokea katika mlima mkubwa.

kwenye mkono wa mpenzi wake, kwenye mkono wa Waashuru

Neno "mkono" linarejea kwa nguvu au mamlaka. Neno la pili linaeleza kwamba "wapenzi wake" walikuwa "Waashuru."

Ezekiel 23:11

Maelezo ya Jumla:

Yahwe akaanza kumweleza Ezekieli kuhusu uzinifu wa mke wake Oholiba, dada yake na Ohola.

Oholiba

Hili ni jina la kike linalomaanisha "hima yake yu katikati yake."

waliokuwa wamevaa ngua za ushawishi, walikuwa watu waendesha farasi

Maneno haya yote yanaelezea watu ambao ni matajiri. "waliokuwa matajiri"

Ilikuwa kama kwa dada wote

"Dada wote wakawa najisi kupitia matendo yao ya ukahaba"

Ezekiel 23:14

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kueleza hadithi kuhusu mke wake mzinifu Oholiba kwa Ezekieli.

vilemba

chepeo zilizotengenezwa kwa nguo ndefu na kufunika juu ya kichwa cha mtu.

Ezekiel 23:16

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kueleza hadithi kuhsu mke mzinifu Oholiba kwa Ezekieli.

basi akageuka mwenyewe kutoka kwao katika karaha

"mohemko yake kuhusu wao ilibadilika kutoka kutamani hata karaha"

Ezekiel 23:18

akakumbuka na kutafakari siku za ujana wake

"kumbuka na kufanya vitu vile vile kama alivyokuwa amefanya wakati alipokuwa kijana"

Ezekiel 23:20

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anamalizia kuzungumzia kuhusu Oholiba na Waashuri na kuanza kuzungumza na Oholiba.

ambao sehemu zao za siri zilikuwa kama zile za punda, na kile kizaliwacho hutoka kilikuwa kama wale farasi

ili kuonyesha jinsi Oholiba alivyokuwa na tamaa ya kutamani.

Ezekiel 23:22

Tazama

"Ona" au "Sikiliza" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukuambia."

Pekodi, Shoa, na Koa

Haya ni makundi ya watu waliooshi Babeli.

Ezekiel 23:24

sialaha

Neno la Kiebrani hapa limetafsiri kama "silaha" ni adimu. Matoleo mengi ya kisasa yanaitafsiri katika njia hii, lakini baadhi ya matoleo yameiacha kama ilivyo.

Watapanga ngao kubwa, ngao ndogo, na kofia za chuma juu yako

Hizi njia za utetezi zimetumika kurejea kwa aina tofauti tofauti za maaskari katika jeshi.

Wataikata pua yako na maskio yako

Hii inaelezea adhabu katika Babeli kwa mwanamke aliyeoolewa ambaye alilala na wanaume ambao sio waume zao. "Watawaadhibu kama wazinzi"

Ezekiel 23:26

Hutayainuja macho yako

Hii ni njia ya kumrejea mtu kugeuza kichwa chao kutazama kitu. "Hutaona"

hutaikumbuka Misri tena

Hili nenao "fikiria Misri" linarejea kwa matendo ya kikahaba aliyojifunza katika Misri. Hatawafikiria tena kwa sababu amejifunza hawatampatia vitu vizuri ambavyo Wamisri, na Waashuru walivyonavyo. Badala yake, matendo ya kikahaba vimemsababisha yeye kuadhibiwa na hatataka kufikiria kuhusu kuwafanya tena.

Ezekiel 23:28

Tazama

Neno "tazama" hapa linamalizia kusisitiza kile kinachofuata.

uchi na kuweka wazi

Haya maneno mawili yanamaanisha jambo moja na kusisitiza kwamba atakuwa uchi kabisa.

tabia yako ya aibu na uzinzi wako

Haya maneno yote yanaelezea ukahaba wake na kusisitiza jinsi tabia yake hii ilivyokuwa mbaya.

Ezekiel 23:30

umetenda kama kahaba, tamaa za mataifa

Oholiba anatenda kama kahaba pamoja na mataifa kwa sababu wanaume aliolala nao ni alama ya utajiri na nguvu ya haya mataifa.

nitakiweka kikombe chake

Neno "kikombe" linajea kwa hukumu ya Oholiba. Inawakilisha kitu alichokipokea.

Ezekiel 23:32

Utakinyea kikombe cha dada yako

Kunywa kutoka kikombe kimoja ni njia nyingine ya kusema watazoea jambo moja. "Utazoea hukumu ileile kama dada yako"

ambacho ni kirefu na kikubwa

Hii inarejea kwa kiasi cha hukumu kilichopokelewa. "hiyo ni kali"

dhihaka ... kitu kwa ajili ya dhihaka

maneno haya yoye yanarejea kwa mtu anayechekwa na

kikombe kimejaa kiasi kikubwa

Hii sentensi haisemi nini kilichopo katika kakombe kwa sababu imeeleweka kwa kusoma 23:30.

Ezekiel 23:33

kikombe cha ushangao na uharibifu

"kikombe kinachosababisha mshangao na uharibifu." neno "uharibifu" na "mshangao yanashirikiana maana moja hapa na kusisitiza jinsi hukumu yake itakavyokuwa ya kutisha.

kikombe cha dada yako Samaria

Oholiba dada yake na Ohola amewakilisha Samaria. Samaria imeitwa kwa jina lake lakini bado inarejelewa kama dada. Kikombe ni ishara ya adhabu aliyoipokea.

hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama jinsi ya ilivyotafsiriwa katika 5:11.

Ezekiel 23:35

na kunitupa mbali nyumba ya mgongo wako

Yahwe anasema Oholiba hajali kuhusu yeye.

Ezekiel 23:36

Mwanadamu, Je! utamhukumu Ohola na Oholiba?

"Mwanadamu, utamuhumu Ohola na Oholiba!"

kuna damu juu ya vichwa vyao

Damu ni matokea ya kuwaua watu, na kwa hiyo inawakilisha mauaji. "Wamewaua watu."

Ezekiel 23:38

Maelezo ya Jumla:

Yahwe ananena na Ezekieli kuhusu Ohola na Oholiba.

na katika siku hiyo hiyo wakainajisi Sabato zangu

Neno "siku hiyo hiyo" linarejea kwa neno lililopita "fanya patakatifu pangu najisi." "na juu ya siku hiyo hiyo wamepafanya patakatifu pangu najisi, wamezinajisi Sabato zangu"

wakaja hata patakatifu pangu siku hiyo hiyo kupanajisi

"wakaja kupanajisi patakatifu pangu siku hiyo hiyo wakiwachinja watoto wao kwa ajili ya miungu yao"

tazama!

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. "hasa!"

Ezekiel 23:40

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli ananena na Ohola na Oholiba.

tazama!

"tazama" au "sikiliza" au "kuwa makini kwa kile ninachotaka kukueleza!"

uliojiosha kwa ajili yao, uliweka rangi macho yako, na kujipamba kwa mapambo ya vito

Haya mabo yalifanywa na mwanamke mmoja kumfanya aonekane mrembo zaidi kwa mwanamume.

ubani wangu na mafuta yangu

vitu vilivyotumika katika kumwabudu Yahwe.

Ezekiel 23:42

sauti za kundi la watu waliokuwa pamoja na wapiganaji zilikuwa pamoja nawe

Sauti za kundi la watu imetumika kurejea kwa kundi la watu.

walevi

watu ambao mara nyingi hulewa. Ingawa baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri Washeba," ambayo ni, watu kutoka Sheba.

mapambo

pamba au kuchonga kufanya nzuri zaidi.

Ezekiel 23:43

juu yake aliyekuwa ameonywa kwa uzinzi

juu yake aliyekuwa ameonywa kwa uzinzi -Ezekieli anarejea kwa Ohola na Ohobila pamoja na maelezo.

walivyokuwa kama kahaba yeyote

"walipokuwa wakimpenyeza kahaba yeyote"

wana damu juu ya vichwa vyao

Hili neno linatumia ushahidi wa nguvu kusema wana nguvu ya hatia.

Ezekiel 23:46

inua kundi la watu

Hili neno "inua" linarejea kuongeza hesabu ya watu. "kusanya kundi kubwa la watu"

kuwatoa

Yahwe anatoa wajibu kuwaangalia na kuwaruhusu kutaabika kwa uchaguzi wao.

kuwa kitisho na kuteka nyara

"kwa kundi kutisha na kuwateka nyara."

Ezekiel 23:48

weka tabia yenu ya aibu juu yenu

"kuwafanya kukubali majukumu kwa ajili ya tabia zenu za aibu"

chukua hatia ya dhambi zenu

"kubali majukumu kwa ajili ya hatia ya dhambi zenu"

Ezekiel 24

Ezekiel 24:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe ananena na Ezekieli.

Neno la Yahwe likanijia

"Yahwe akanena neno lake."

katika mwaka wa tisa

"katika mwaka wa tisa wa uhamisho wa Mfalme Yehoyakini"

mweziwa kumi, na katika siku ya kumi ya mwezi

"siku ya kumi ya mwazi wa kumi." Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwanzoni mwa mwezi wa kwanza katika kalenda za Magharibi.

mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu

Jeshi la Babeli linarejewa kwa sababu ya kiongozi wake.

Ezekiel 24:3

jaza mifupa chini yake

Baadhi ya tamaduni huchoma mifupa kuichoma kwa sababu huungua mda mrefu kuliko kuni.

Ezekiel 24:6

chungu kinachopikwa

Yahwe anailinganisha Yerusalemu na chungu kinachopikwa.

kutu

ni kitu chekundu kilichotengenezwa juu ya chuma. Kutu hula chuma na mwishowe huiharibu chuma

Chukua

Yahwe hatoi hii amri kwa mtu maalumu, badala yake anaamuru baadhi picha ya mtu ambaye ni sehemu ya mfano.

Ezekiel 24:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yerusalemu.

yeye

Neno "yeye" linarejea kwa Yerusalemu, ambayo inawakilishwa na chungu kinachopikwa.

imeiweka juu ya jiwe laini

"ameweka damu juu ya mawe yaliyofunuliwa"

kuifunika kwa vumbi

"na kuifunika kwa vumbi"

Ezekiel 24:9

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kuilinganisha Yerusalemu na chungu kinachipikwa.

pia niataongeza chungu cha kuni

Inaonyesha kwamba nguzo ya mbao i chini ya chungu kunachopikwa, ambacho kinaiwakilisha Yerusalemu.

weka ... washa ... pika ... acha mifupa iteketee

Yahwe anato amri hii kufikirika watu ambao ni sehemu ya mfano.

acha mifupa iteketee

"choma mifupa"

Ezekiel 24:11

kuchoma

kuchoma uso wa kitu

kutu

Wakati kitu kinasababisha chuma kuvunjika vipande kwa kutu.

kula

"kuchomwa"

Amekuwa muoga

"Yerusalemu imechoka"

kazi na taabu

kazi ngumu

Ezekiel 24:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendlea kunena na Yerusalemu kwa kuilinganisha na chungu kilichopikwa.

Ezekiel 24:14

kazi zako, watakuhukumu

kile walichokifanya kinaonyesha wana hatia ya dhambi.

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

huu ni usemi wa Bwana Yahwe.

Ezekiel 24:15

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

tamaa ya macho yako

Hii inarejea kwa mke wa Ezekieli. Yahwe anarejea kwa Ezekieli kwa sehemu ya mwili wake anatumi kumuona mke wake.

lakini hutakiwi kuomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka

Haya maneno kimsingi yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba Ezekieli hatakiwi kumlilia mke wake anapokufa. "hutakiwi kuonyesha huzuni yako"

kilemba

kitambaa kirufu kilichotengezwa kwa ajili ya kufunga kwa kuzunguka kichwa.

makubadhi

viatu rahisi vinavyo valiwa kwenye miguu.

akini usivalishe shela nywele zako

Katika Israeli, wanaume walinyoa ndevu zao kuonyesha huzuni, kisha kufunika nyuso zao hata kwenye nywele zao. Yahwe alimwambia Ezekieli asiufunike nywele zake za mbele kuonyesha kwamba hakuwa amenyoa uso wake kuonyesha huzuni.

Ezekiel 24:19

Maelezo ya Jumla:

Watu wa Israeli wanamuuliza Ezekieli na Ezekieli anawaambia Yahwe alichowaambia.

Neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

kiburi cha nguvu zako

"kiburi katika kujenga kile ulicho kitengeneza"

tamaa ya macho yakow

"kutengeneza kile ulichokufurahisha kukitazama"

Ezekiel 24:22

utayeyuka

Hapa kupotea na kufa inazungumziwa kama kuyeyuka.

katika uovu wako

Hii inaonyesha kwamba Mungu hatasamehe dhambi za hawa watu. Ingawa, baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "kwa sababu ya dhambi zako"

gugumia

sauti mtu afanyayo anapohitaji msaada, lakini maumivu au huzuni inakuwa kali sana kwamba hawawezi kuzungumza.

Ezekiel 24:25

mkimbizi

mtu aliyelazimishwa kuondoka kwenye nchi yao kwa sababu ya vita au janga jingine.

kinywa chako kitafunuliwa

"Yahwe atafunua kinywa chako" Hii inaelezea mtu kueleweshwa na uwezo wa kuzungumza kuhusu kitu.

utaongea-hutakuwa bubu tena

Haya maneno yote yanamaanisha watu wa Israeli watazungumza. Inasema tena kama hasi kusisitiza chanya.

itakuwa ishara

Hii inarejea kwa watu wa Israeli kama ishara kwa sababu watawasaidia wakimbizi kuelewa kwa nini Yerusalemu iliharibiwa.

Ezekiel 25

Ezekiel 25:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika 2:1.

weka uso wako juu ya

Tazama tafsiri yake katika 4:1.

watu wa Amoni

"uzao wa Amoni" au "wale waishio katika nchi ya Amoni"

na tabiri juu ya

Tazama tafsiri yake katika 4:6.

Ezekiel 25:3

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anamwambia Ezekieli kuwaeleza watu wa Amoni.

watu wa Amoni

uzao wa Amoni" au "wale waishio katika nchi ya Amoni

Sikia neno la Bwana Yahwe

"Sikiliza huu ujumbe kutoka kwa Bwana Yahwe"

umesema, "Anhe!

Neno "Enhe" ni sauti ambayo watu hufanya wakati wakiwa na furaha kuhusu jambo. Katika kesi hii watu walikuwa na furaha kwa sababu mambo mabaya yalitokea kwa watu wa Israeli na Yuda. "umecheka"

juu ya patakatifu pangu wakati palipokuwa pamehasiwa

"juu ya patakatifu pangu wakati adui alipo paasi." "wakati adui wa kijeshi alipohasi hekalu langu"

juu ya nchi ya Israeli wakati ilipokuwa ukiwa

"wakati nchi ya Israeli ilipokuwa katika uharibifu"

juu ya nyumba ya Yuda wakati walipoenda kwenye uhamisho

"wakati walipo watazama watu wa Yuda mbali na watumwa."

tazama!

"tazama!" au sikiliza!"

niakupatia watu katika mashariki kama milki yao

"nitalifanya jeshi kutoka nchi ambayo ni mashariki yako kuja na kukutawala"

Wataweka kambi juu yako na kuweka hema zao miongoni mwako

Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya: "Wataweka hema na kuishi katika nchi yako."

watu wa Amoni shamba kwa ajili ya mifugo

Hapa "watu wa Amoni" inarejea kwa nchi ambayo ni mali ya watuwa Amoni.

Ezekiel 25:6

pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli

"pamoja na chuki yote uliyoijaza mbele ya watu wanaoishi katika Israeli"

tazama!

"tazama!" au "sikiliza!"

nitakunyooshea mkono wangu

"nitakupiga kwa mkono wangu wenye nguvu" au nitakuadhibu"

na kukutoa kama mateka kwa mataifa

"na nitayafanya mataifa kuja na kuchukua kila kitu mbali nanyi"

nitakukatilia mbali kutoka watu ... kukufanya adhabu miongoni mwa mataifa.

Haya maneno kimsingi yanamaanisha jambo moja na kusisitiza Yahwe atawaangamiza kabisa watu wa Amoni ili kwamba wasiwe taifa tena.

utajua yakwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 6:6.

Ezekiel 25:8

tazama!

"Ona!" au "sikia!"

ntafungua miinuko ya Moabu, kuanzia kwenye miji yake juu ya mpaka

"nitaifungua njia ya kwenda Moabu kwa kuiangamiza miji juu ya mpaka wake."

uzuri wa Beth Yeshimothi, Baal Meoni, na Kiriathaimu

"nitaanza na miji mikubwa ya Beth Yeshimothi, Baali Meoni, na Kiriathaimu."

kwa watu wa mashariki waliokuwa juu ya watu wa Amoni

"nitatuma jeshi lile lile kutoka mataifa katika mashariki aliyeiteka Amoni."

Nitawapatia kama milki ili kwamba watu wa Amoni hawatakumbukwa miongoni mwa mataifa

"nitayafanya majeshi kuishinda Amoni ili kwamba pasiwe na mtu hata wa kuwakumbuka."

watajua yakwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 6:6.

Ezekiel 25:12

Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu

Tazama tafsiri yake katika 25:6.

kutoka Temani hata Dedani

Haya ni majiji mawili mkabala na Edomu. Hii inamaanisha kwamba Mungu ataiangamiza Edomu yote.

Wataanguka kwa upanga

Neno "anguka" inawakilisha kuuawa na "upanga" inarejea kwa vita. "Maadui zao watawaua kwa upanga wao"

Ezekiel 25:14

Nitaweka kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli

"nitawatumia watu wa Israeli kulipa kisasi juu ya watu wa Edom"

watafanya kwa Edomu kulingana na hasira yangu na ghadhabu yangu

"wataionyesha Edomu hasira yangu na ghadhabu"

hasira yangu na ghadhabu yangu

Neno "ghadhabu" kimsingi linamaanisha kitu kimoja na kuongeza neno "hasira." "hasira yangu ya ghadhabu"

watakijua kisasi changu

"watu wa Edomu watajua ya kuwa nimelipa kisasi juu yao"

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

"Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo" "Hivi ndivyo Bwana asemavyo itakuwa"

Ezekiel 25:15

Wafilisti wamelipiza kisasi pamoja na uovu na kutoka ndani yao wamejaribu kuiharibu Yuda tena na tena

"Kwa sababu Wafilisti waliwachukia watu katika Yuda na kujaribu kulipa kisasi juu yao na tena"

Tazama!

"Tazama!" au "Sikia!"

Nitanyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti

"nitaurudisha mkono wangu wa uweza juu ya Wafilisti"

nitakatilia

"nitaangamiza"

Wakerethi

"Watu wa Kerethi." Hawa ni watu walioishi katika Filisti

watajua yakwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 6:6.

Ezekiel 26

Ezekiel 26:1

katika mwaka wa kumi na moja

"katika mwaka wa kumi na moja ya uhamisho wa Mfalme Yehoyakini"

katika siku ya kwanza ya mwezi

Haijulikani ni mwezi gani wa kalenda ya Kiebrania Ezekieli alio umaanisha.

neno la Yahwe likaja

"Yahwe alinena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika 2:1.

Tire alisema juu ya Yerusalemu

"watu wa Tire wamesema juu ya watu wa Yerusalemu."

Enhe!

"Ndiyo!" au "vizuri sana!"

Malango ya watu yamevunjwa

Watu wa Tire wanatumia haya maneno kurejea kwa Yerusalemu kana kwamba ilikuwa lango la mji ambalo wafanya biashara walipitia kutoka mataifa yaliyozunguka yalipitia.

Amenigeukia

Hapa neno "yeye" inarejea kwa neno "malango" ambayo "imegeuka" juu ya bawaba kufungua kwenda Tire.

nitajazwa

Hapa "kujazwa" inamaanisha kustawi. "nitafanikiwa"

ameharibiwa

"Yerusalemu imeharibiwa"

Ezekiel 26:3

Tazama!

"Tazama!" au "Sikia!"

nitayainua mataifa mengi juu yako kama bahari iiunuavyo mawimbi yake

Hapa neno "mataifa" inarejea kwa majeshi yao. "nitalikusanya jeshi kutoka mataifa ambayo ni makubwa na nguvu kama mawimbi katika bahari ya kitambaa."

minara

Mnara ni jengo refu lilitumika kuona kwa ajili maadui au kuficha ndani.

Nitafagia mavumbi yake mbali na kumfanya kama jiwe tupu

"nitalifanya jeshi kuuharibu mji kabisa, na hawatakuwa na kitu hapa hivyo utakuwa kama jiwe ambalo halina kitu juu yake."

Ezekiel 26:5

Atakuwa

Mara nyingi miji inarejewa kama "yeye." "Tire itakuwa" au "Itakuwa."

sehemu ya kuwekea nyavu kati ya bahari

Sehemu ya Tire ilikuwa kisiwa. "kisiwa kisichokuwa na kitu kilitumika kwa ajili kukaushia nyavu za samaki"

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

pora

vitu ambavyo watu walivyovipoteza

atakuwa mateka kwa mataifa

"majeshi kutoka mataifa wataiba kila kitu kutoka Tire."

Binti zake walioko mashambani watachinjwa kwa panga

"Adui wa jeshi atawaua mabinti zake ambao wapo katika uwanda."

Binti zake waliopo katika uwanda

Wakati mwingine vijiji viliitwa mabinti vya miji iliyotawala juu yao. wasichana wa Tire waliokuwa wakifanya kazi katika mashamba.

watajua yakuwa mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 6:6

Ezekiel 26:7

Tazama!

"Ona!" "Sikia!"

namleta Nebukadreza

Mungu anamtumia Nebukadreza kuleta kuhusu mapenzi yake.

mfalme wa waflme

"mfalme mwenye nguvu zaidi"

watu wengi sana

Haya maelezo yansisitiza ukubwa wa jeshi la Nebukadneza.

Atawaua mabinti zako

Hapa neno "Yeye" linamrejea Nebukadreza ni mfano kwa jeshi.

Ezekiel 26:9

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

Ataweka

Neno "yeye" inamrejea Nebukadneza, mfalme wa Babeli.

vyombo vya kubomolea

Tazama tafsiri yake katika 4:1.

vifaa vyake

"vifaa vyake vya vita"

Ezekiel 26:12

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendela kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

Ezekiel 26:15

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

visiwa havitatetemeka ... kati yako

"Tetemeko la kisiwa ... kati yako."

Ezekiel 26:17

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

Ezekiel 26:19

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

kukufanya

Neno "wewe" linarejea kwa mji wa Tire.

Ezekiel 27

Ezekiel 27:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

anayeishi kati ya malango ya bahari

"anayeishi kwenye malango ya bahari." "aishiye karibu na bandari ya bahari."

Ezekiel 27:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

mipaka yako

"Mipaka ya himaya yako"

mlingoti

ni nguzo ndefu inayoshika matanga ya meli.

Ezekiel 27:6

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

makasia

vipande virefu vya mbao ambavyo watu hutumia kutengenezea boti kutembea

sitaha

ni sehemu za boti ambazo watu wanaweza kutembea juu yake

pembe

nyeupe, nzuri, na nyenzo ngumu ambayo imetengenezwa kutokana na meno ya wanyama.

tanga

vipande vya nguo vinavyoendesha meli wakati upepo uvumapojuu yao

Ezekiel 27:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

marubani

watu wanaoelekeza meli wapi iende

jaza mishono yako

"kukutengeneza nyufa"

maharia

watu wanaotanga meli katia bahari

Ezekiel 27:10

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa tire.

watu wa vita

"watu waliopigana katika vita vyako" au "kutumika kama wapiganaji wako"

walionyesha uzuri wako

"walikutoa uzuri wako!"

Ezekiel 27:12

Maelezo ya jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekeili ujumbe wake kwa Tire.

chuma

chuma kigumu kilichokuwa kizuri kwa kutengenezea silaha na kujengea vitu

bati

chuma kilicho bakia baada kusafisha dhahabu, fedha au chuma

risasi

ni chuma cha thamani ambacho ni kizito sana na kilaini kuliko vyuma vyote

Yavani

ni taifa katika ufunkwe wa magharibi mwa Asia ndogo.

Ezekiel 27:14

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

farasi dume

farasi dume mwenye nguvu

Bidhaa zilikuwa mkononi mwako

"Umemiliki mizigo."

Ezekiel 27:16

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendela kumpatiaEzekieli ujumbe wake kwa Tire.

zambarau

"nguo ya zambarau"

lulu

vipande vya kitambaa cheupe kigumu ambacho hutoka viumbe katika bahari

keki

"chakula kizuri kilicho tengenezwa kwa unga."

rubi

mawe mekundu ambayo ni ya thamani sana

lihamu

utomvu utokao kwenye mti

Ezekiel 27:19

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tiro.

mdalasini

aina ya kiungo kinachotoka kwenye gome la mti.

mchai chai

ni aina ya majani ambayo watu hutumia kama manukato na kwa ajili ya dawa.

blangeti la shogi

kipande cha nguo ambacho watu wameweka juu ya farasi chini ya shogi

Ezekiel 27:22

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

vito vya thamani

"mawe ya thamani"

Ezekiel 27:24

Maelezo ya Jumal:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi

"majoho ya zambarau pamoja na rangi nyingine tofauti tofauti"

blangeti za zenye rangi tofauti tofauti, nakshiwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri

nguo zilizosanifiwa - "blangeti zenye rangi tofauti tofauti zilizokuwa zimebuniwa na kuvaliwa kwa hali ya juu"

katika moyo wa bahari

"katikati ya njia zote za biashara kwa ajili ya bahari ya biashara."

Ezekiel 27:26

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno

"Watu wapigao kasia wamekuleta kutoka kwenye bahari"

katikati yao

"katikati ya bahari"

Ezekiel 27:28

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa tire.

watalia kwa sauti

"watapiga unyende kwa huzuni kubwa"

Ezekiel 27:31

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

watanyoa vichwa vyao upaa

"watanyoa vichwa vyao hivyo hawatakuwa na nywele"

Ni nani aliye kama Tire

"Hakuna mji mwingine kama Tire."

ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa

"nani ameangamizwa."

ufukwe

"juu ya nchi"

Ezekiel 27:34

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire.

walikuogopa

"walishtuka na kuogopa kwa kile kilichotokea kwako"

kukuzomea

Kuzomea ni njia ya kuonyesha huzuni.

umekuwa tishio

"imekuwa tishio kwa watu kufikiria kuhusu wewe"

Ezekiel 28

Ezekiel 28:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno alake."

katika moyo wa bahar

Tazama tafsiri yake katika 27:4.

umeufanya moyo wako kama moyo wa mungu

"unafikiri kwamba kumbukumbu wa mungu"

Ezekiel 28:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtawala wa Tire.

kwa hekima na ujuzi

"kwa hekima yako na uelewa wako"

na kujipatia

"na kujihifadhia"

hazina

mahali pa kuhifadhia vitu vya thamani na kuviweka salama

Ezekiel 28:6

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtawala wa Tire.

umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu

Tazama ilivyo tafsiriwa katika 28:1, "umeufanya moyo wako kama moyo wa mungu.

uzuri wa hekima yako

"uzuri wa mji ambao ulioujenga kwa hekima yako."

Ezekiel 28:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea lumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtawala wa Tire.

Je! kweli utasema, "Mimi ni mungu"

"Hutatakiwa kutamani kusema, "mimi ni mungu."

nimesema hili-asema Bwana Yahwe

Tazama tafsiri yake katika 5:11.

Ezekiel 28:11

Neno la Yahwe la Yahwe

"Yahwe akanena neno lake."

inua maombolezo

"imba nyimbo ya msiba" au "imba wimbo wa kuomboleza"

Ulikuwa mfano wa ukamilifu

"Ulikuwa mkalifu."

umejaa hekima na ukamilifu wa hekima

"hekima kubwa na mwenye umbile zuri sana"

Kila jiwe la thamani lilikufunika

"ulivaa kila aina ya jiwe la thamani." Hii inaonyeshaalikuwa tajiri sana.

almasi, zabarajadi, shohamu,yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabwamba mfalme

Haya yote ni mawe ya thamani ya rangi tofauti tofauti.

Ezekiel 28:14

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mfalme wa Tire.

mawe ya moto

"mawe ya moto."

kutoka siku ulipoumbwa

" tangu siku niliyokuumba."

Ezekiel 28:16

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mfalme wa Tire.

mawe ya moto

Tazama tafsiri yake katika 28:14.

mbele

"mbele ya"

Ezekiel 28:18

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mfalme wa Tire.

watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele

Tazama tafsiri yake katika 27:34.

Ezekiel 28:20

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika 2:1.

weka uso wako juu ya

Tazama tafsiri yake katika 4:1.

tabiri juu ya

Tazama tafsiri yake katika 4:6.

Tazama!

"Ona!" au "Sikia!"

Ezekiel 28:23

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Sidoni.

4Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake

"Hakutakuwa na watu mahali popote kuzunguka watu wa Israeli waliowajeruhi kama mitembe inayoparua na kuwaumiza kama miiba inayosababisha maumivu."

Ezekiel 28:25

kati yake

"katika nchi"

Ezekiel 29

Ezekiel 29:1

Katika mwaka wa kumi

"Katika mwaka uhamisho wa Mfalme Yehoyakini"

katika mwezi wa kumi katika siku ya kumi na mbili ya mwezi

"katika siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kumi." Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na mbili iliyo karibu na Mwezi wa kwanza katika kaelenda za Magharibi.

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake." Tazama tafsiri yake katika 1:1.

joka kubwa

"dubwana kubwa liishilo katika maji." Yahwe anaanza kumlinganisha Farao na dubwana liishilo katika maji. Dubwana linafanana kama mambo.

Ezekiel 29:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Faro, akimlinganisha na dubwana katika maji.

ndoana

vipande vikali au ubao ambao watu hutumia kukamatia samaki na wanya wengine katika maji

maganda

vipande vigumu vilivyo juu ya samaki, mambo na wanyama wengine

Ezekiel 29:6

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa Farao.

wamekuwa mwanzi wa kutegemewa

Yahwe anawalinganisha watu wa Misri na Farao na mwanzi kwa sababu watu wa Israeli waliwategemea Wamisri kuwasaidia katika vita, lakini Wamisri hawakuwa imara kuwasaidia.

mwanzi

mmea ukuao karibu na maji na unafanana na majani marefu

shina

sehemu ya mwanzi ambayo ni ndefu kama fimbo nyembamba. Watu wanaweza kuzitumia kama fimbo.

watakapo kushika

Neno "wewe" linamreja Farao.

Ezekiel 29:8

Maelezo ya jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Faro.

Tazama!

"Ona!" au "Sikia!"

upanga juu yako

Neno "wewe" ni imoja wa mwanamke na inarejea kwa taifa la Misri.

juu yako

Neno "wewe" umoja wa mwanamume na inamrejea Farao.

kutoka Migdoli hata Sewene

"Katika Misri yote" au "kutoka mpaka wa kaskazini mwa Misri hata mpaka wa kusini mwa Misri."

Ezekiel 29:11

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Farao.

hakuna mguu wa wanyama pori watakao upitia

"hakuna hata mnyama atatembea humo"

Ezekiel 29:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Farao.

walikuwa wametawanyika

"nimewatawanya."

nitawarudisha wageni wa Misri

"kuwapatia Misri kile kilichokuwa kimepotea"

mkoa wa Pathrosi

sehemu ya kusini mwa Misri kati ya Delta na nchi ya Kushi. Hii pia inaitwa Misri juu.

Ezekiel 29:15

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Farao.

Wamisri hawatakuwa sababu kwa ajili ya imani kwa ajili ya nyumba ya Israeli

"Taifa la Israeli halitaaminika kwa Wamisri"

walipogeukia Misri kwa ajili ya msaada

"Popote walipoenda hata Misri kwa ajili ya msaada"

Ezekiel 29:17

katika mwaka wa ishirini na saba

mwaka wa saba - "katika mwaka wa ishirini na saba ya uhamisho wa Mfalme Yehoyakini"

katika siku mwezi wa kwanza

"katika siku ya kwanza ya mwezi." Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Hii siku ya kwanza ipo karibu na mwanzoni mwa Mwezi wa nne.

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika 2:1.

Ezekiel 29:19

Tazama!

"Ona!" au "Sikia!"

Ezekiel 29:21

nitachipusha pembe kwa ajili ya nyumba ya Israeli

Hili neno linamaanisha "nitaifufua nguvu ya nyumba ya Israeli."

kati yao

"kwao"

Ezekiel 30

Ezekiel 30:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaeleza kuhusu ujumbe ambao Yahwe alio mpatia.

Neno la Yahwe likja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

Maombolezo

"Lia kwa huzuni" Hii amri ni kwa Misri na mataifa yanayoizunguka Misri.

Ole inakuja siku hiyo

"Hiyo siku itakuwa chungu sana" au "Mambo mabaya yatatokea siku hiyo"

Siku i karibu

Inaonyesha "hiyo siku" ilikuwa mda wakati watu wataomboleza.

Siku ikaribu kwa ajili ya Yahwe. Itakuwa

Hii inaonyesha kwamba siku hiyo, Yahwe atawaadhibu watu.

siku ya mawingu

"Itakuwa kama siku yenye giza la mawingu"

mda wa hukumu kwa ajili ya mataifa

"mda wakati mambo mabaya yatakapotokea kwa mataifa"

Ezekiel 30:4

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri

Kisha upanga utakuja juu ya Misri

Neno "upanga" hapa linarejea kwa vita au shambulizi. "Kutakuwa na vita juu ya Misri"

kutakuwa na maumivu makali katika Kushi

"Kushi itakuwa na huzuni sana" au "watu wa Kushi watakuwa na huzuni kubwa sana"

wakati wauaji wa watu watakapoanguka katika Misri

"wakati watu wa Misri watakapouawa" au "wakati watu wengi katika Misri watakapokufa katika vita."

wakati watakapochukua utajiri wake

"Washambuliaji watauchukua utajiri wa misri"

wakati msingi wake utakapoharibiwa

"Washambuliaji wataiharibu hata misingi ya majengo katika Misri"

Libya

Libya ni nchi ya magharibi mwa Misri.

Ludi

Hii ni kama inaurejea ufalme wa Ludi ambayo kwa sasa ni Uturuki. Ezekieli anaiita mkoa wa Ludi.

watu wa nyumba ya agano

"Wayahudi wanaoishi Misri"

wataanguka kwa upanga

"watakufa kwa mapambano" au "watakufa kwa upanga." Hii haimaanishi kwamba kila mtu atakufa, lakini kwamba watu wengi kutoka hizi nchi zote watakufa.

Ezekiel 30:6

Yahwe asema hivi

"Hivi ndivyo Yahwe asemavyo." Hii sentensi inatambulisha ambacho Yahwe atakisema.

Basi wale

"Katika njia hii" au "Katika namna hii, mataifa"

anayeisaidia Misri

"anayeisaidia misri"

wataanguka

"watakufa" au "wataharibiwa"

kiburi cha nguvu yake kitashushwa

"nguvu ya Misri, ambayo inaifanya ijiinue, itaondoshwa"

Kutoka Migdoli hata Sewene

Ezekieli ameipa miji majina upande wa mipaka ya Misri ili kuirejea Misri yote.

maaskari wao watanguka kwa upanga

Maaskari wa Misri watakufa kwa uapnga."

Wataogofya kati ya nchi zilizotupwa

"Maaskari wa washirika wa Misri wataogopwa wakati watakapoachwa wamezungukwa bila kitu lakini nchi tupu"

kati ya

"miongoni" au "kuzungukwa na"

miji yao itakuwa miongoni mwa miji yote iliyoangamizwa

"miji yao itazungukwa na miji iliyoharibiwa karibu na mataifa"

Ezekiel 30:8

Maelezo ya jumla:

Haya ni maneo ya Yahwe kuhusu Misri.

Kisha wata

"Kisha watu" au "Kisha Wamisri"

watajua kwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

wakati nitakapoweka moto katika Misri

Moto unarwjea kwa moto ambao mara nyingi umetokea katika vita.

wasaidizi wake wote wameangamizwa

"nawaangamiza wote wanaohusiana na Misri" au "ninawavunja wote wanaoisaidia Misri."

wajumbe watatoka mbele yangu katika meli ili kuitia hofu Kushi

Wajumbe wataleta ujumbe wa kuingamiza Misri hata Kushi, nani atakuwa tishio kwa hii habari.

kuitia hofu Kushi

"ili kuitishia Kushi, ambaye sasa anajisikia yuko salama kutoka hatari"

kutakuwa na maumivu makali miongoni mwao katika siku ya kuangamizwa Misr

"watu wa Kushi pia watakuwa na maumivu makali nitakapoiadhibu Misri"

Inakuja

"ina" inarejea kwa "maumivu makali" au "huzuni kubwa" ambayo Kushi watakuwa nayo wakati watakapoadhibiwa pembeni ya Misri.

Ezekiel 30:10

Bwana Yahwe asema hivi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:5.

Nitaufanya mwisho wa watu wa Misri

"nitafanya hivyo ili Misri isiwe na watu wengi."

kwa mkono wa Nebukadreza

Nebukadreza atakuwa yule ambaye aletaye hii hukumu.

Yeye pamoja na jeshi lake ... italetwa kuiharibu nchi

"nitamleta Nebukadreza na jeshi lake ... kuingamiza nchi"

Yeye pamoja na jeshi lake, hofu ya mataifa

Yahwe anamuita Nebukadrea "hofu ya mataifa" kwa sababu mataifa yote yana hofu kubwa ya jeshi lake.

kuiangamiza nchi

"hivyo wataiangamiza nchi." Yahwe atamleta Nebukadreza na watu wake ili waiangamize nchi.

watafuta panga zao juu ya Misri

"pigana juu ya Misri"

jaza nchi kwa maiti za watu

Hii ni kutia chumvi kuonyesha kwamba Wababeli watawaua Wamisri wengi sana.

Ezekiel 30:12

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri.

Nitaifanya mito kuwa nchi kavu

"Nitaikausha mito ya Misri"

nitaiuza nchi kwenye mkono wa watu waovu

Yahwe atawapatia Wababeli kutawala juu ya Misri kama mtu auzaye kitu kumpatia yule akununuaye kukitawala hicho kitu.

Nitaifanya nchi na viijazavyo ukiwa kwa mkono wa wageni

"Nitawafanya watu kutoka taifa jingine kuiharibu nchi na kila kitu ndani yake"

viijazavyo

"kila kitu katika nchi"

Ezekiel 30:13

Bwana Yahwe asema hivi

Tazama tafsri yake katika sura ya 5:5.

nitaleta mwisho wa sanamu za ubatili

"angamiza sanamu zisizo na maana"

Memfizi

Memfizi ulikuwa mji muhimu sana katika Misri. Ulikuwa karibu na Kairo ya mpya.

mwana mfalme katika nchi ya Misri

"mtawala muhimu katika nchi ya Misri"

nitaweka hofu katika nchi ya Misri

"nitawafanya watu wa Misri kuogopa sana"

Pathrosi

Huu ulikuwa mkoa katika kusini mwa Misri.

kuweka moto katika Soani,

"nitaichoma Soani kwa moto"

Soani

Soani ulikuwa mji mwingine muhimu katika Misri.

Thebesi

Huu ulikuwa mji mkuu wa kusini mwa Misri.

Ezekiel 30:15

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri.

Kwa kuwa nitamwaga ghadhabu yangu juu Sini

"Kwa kuwa nitatenda hasira yangu juu ya Sini" au "Kwa sababu nina hsira sana, nitaiadhibu Sini mmoja mmoja"

Sini

Huu ulikuwa mji wa muhimu kaskazini mwa Misri.

kuwakatilia mbali kundi la Tebesi

"kuua hesabu kubwa ya watu katika Tebesi"

Tebesi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 30:13.

Kisha nitaweka moto katika Misri

"nitaichoma Misri kwa moto"

Tebesi itavunjwa

"Tebesi itaangamizwa."

Kisha niweka moto katika Misri

"nitaichoma Misri kwa moto"

itakuwa katika dhiki kuu

"itakuwa katika maumivu makali"

Ezekiel 30:17

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri.

Heliopolisi na Pi-besethi

Hii ilikuwa miji katika upande wa kaskazini mwa Misri.

ataanguka kwa upanga

Neno "upanga" limetumika kurejea kwa mapambano au vita" au "watakufa kwa upanga."

miji yao itakwenda kwenye utumwa

"watu wa miji yao watakuwa mateka"

Tapanesi

Huu ulikuwa mji wa muhimu katika kaskazini mwa Misri.

Ezekiel 30:20

Kisha ikawa

Hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanzoni mwa shemu ya kwanza ya hadithi.

katika mwaka wa kumi na moja

Tazama tafsiri yake katika sura ya 26:1.

katika mwezi wa kwanza, siku ya saba ya mwezi

"katika siku ya saba ya mwezi." Hii ni siku ya kwanza ya mwezi ya kalenda ya Kiebrania. Siku ya saba ni karibu na mwanzoni mwa mwzi wa Nne katika kalenda za Magharibi.

neno la Yahwe likaja

Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

vunja mkono wa Farao

Hapa "mkono" unawakilisha uweza wa mfalme.

Tazama!

Neno "Tazama" Hapa linatuweka macho kwa habari inayoshangaza kwa kile kifuatacho.

Haukufungwa, au kufungwa kwa kitambaa cha bendeji

"Mkono wake haujafungwa na hauna dawa ili uweze kupona"

bendeji

kipande laini ambacho watu huweka juu ya vidonda ili wapone

hivyo basi uweze kuwa imara kushika upanga

Hapa "upanga" unawakilisha uweza wa mfalme katika vita. "hivyo mkono wake hautakuwa hodari kutumia upanga"

Ezekiel 30:22

Bwana Yahwe asema hivi

tazama tafsiri yake katika sura ya 3:10.

wote yule aliye hodari na yule aliyevunjika

"wote mkono ambao ni mzima na mkono ambao umevunjika tayari"

nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbali mbali

Tazama tafsiri yake katika sura ya 20:23.

nchi

"nchi"

Nitaunyoosha mikono kwa mfalme wa Babeli

"nitaifanya mikono ya mfalme wa Babeli kuwa imara"

Atagugumia mbele ya mfalme wa Babeli

Wakati mfalme wa Babeli atakapokuja kuiteka Misri, Farao atagugumia.

gugumia

"Gugumia ni sauti kubwa ambayo watu hufanya wakati wanapokuwa na maumivu au kufa.

kwa mgumio wa mtu anayekufa

"kama mtu anayekufa agumiavyo" au "kama mtu anayekufa"

Ezekiel 30:25

5Kwa kuwa nitainyoosha mikono ya mfalme wa Babeli

"nitaufanya mikono imara ya mfalme wa Babeli."

wakati mkono wa Farao utakapoanguka

"lakini Farao hataweza kutumia mikono yake" au "mikono ya Farao itakuwa dhaifu kwamba hataweza kuitumia"

Kisha wata

Neno "wao" "Wamisri" au "watu wote wasikiao kile Yahwe alichokifanya."

jua kwamba mimi ndimi Yahwe

tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

kwa kuwa ataishambulia nchi ya Misri kwa huo

"na mfalme wa Babeli ataishambulia nchi ya Misri pamoja na upanga"

nitaitawanya miongoni mwa mataifa na kuyatawanya kwenye nchi tofauti tofauti

Tazama tafsiri yake katika sura ya 20:23.

Ezekiel 31

Ezekiel 31:1

ikawa

Hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanza wa sehemu nyingine ya hadithi.

katika mwaka wa kumi na moja

Tazama tafsiri yake katika sura ya 26:1.

katika tatu ya mwezi, siku ya tatu ya mwezi

"katika siku ya kwanza ya mwezi wa tatu."

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

Katika ukuu wako, wewe ni kama nani?

"Ni nani aliye mkuu kama wewe?" Yahwe anatumia hili swali kutambulisha mada mpya. Farao alifikiri kwamba taifa lake lilikuwa kubwa zaidi, lakini Mungu anataka kuzungumzia taifa jingine.

Ezekiel 31:3

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Mungu kwa Farao kuhusu Ashuru. Mungu anatoa ujumbe wake katika mfumo wa fumbo kuhusu mti mkubwa wa mkangazi.

Tazama!

"Tazama!" au "Sikiliza!"

kivuli kwenye msitu

"inayo andaa kivuli kwa ajili ya miti mingine katika msitu."

na mrefu katika kimo,

"ndefu sana"

Urefu wa mti wake ulikuwa juu ya mawingu

"Urefu wa mti ulikuwa katika mawingu"

Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu

"Kwa sababu mkangazi ulikuwa na maji mengi, ulirefuka sana"

vilindi vya maji yaliufanya mkubwa

"kilindi cha maji katika aridhi uliufanya mkangazi kuwa mkubwa sana"

mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba

"na mifereji ilitoa kutoka kwenye mito kwenda kwenye miti yote ya shamba."

Ezekiel 31:5

Maelezo ya Jumla:

Fumbo la Yahwe kuhusu mwerezi linaendelea.

Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba

"Mwerezi ulikuwa mrefu kuliko miti mingine yote ya shambani"

matawi yake yakawa mengi

"ulimea matawi mengi sana"

kwa sababu ya maji mengi ilimea

"kwa sababu ulikuwa na maji mengi"

Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake

"Iina zote za ndege warukao angani walitengeza viota katika matawi yake"

wakati kila kiumbe hai cha shambani kilizaa mtoto chini ya tawi

"na viumbe vyote viishivyo katika shamba walizaa chini yamatawi ya mwerezi"

Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake

"mataifa yote yenye nguvu yaliishi katikakivuli chake"

ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake

"Ulikuwa mzuri kwa sababu ulikuwa mkubwa na matawi yake yalikuwa marefu sana"

Ezekiel 31:8

Maelezo ya Jumla:

Fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea

Mikangazi katika bustani ya Mungu haiwezi kuwa sawa

"Mwerezi katika bustani haukuwa mkubwa kama huo mti."

bustani ya Mungu

Hii ni njia nyingine ya kurejea bustani ya Edeni."

Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake

Yahwe alikuwa akinganisha kulikuwa na matawi mangapi.

miti ya mivinje

Miti ya mivinje ina matawi mengi sana. Yanaweza kurefuka sana.

miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake

Ilikuwa inamwonyesha Yahwe kulinganisha matawi marefu ya mti wa mwerezi pamoja na matawi marefu ya mwamori.

mierezi

Mierezi ni mirefu, miti yenye majani na matawi imara. Inafanana na mikuyu.

ulikuwa kama huo katika uzuri wake

"ulikuwa mzuri kama mti wa mwerezi"

Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake

"Nimeufanya mwerezi kuwa mzurri kwa kuupatia matawi marefu."

aliuonea wivu

"alikuwa na wivu wa mti wa mkangazi"

Ezekiel 31:10

Maelezo ya Jumla:

Fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea

weka urefu wake

Hili fungu linaendelea kumrejea mfalme wa Ashuru, ambaye aliwakilishwa na mkangaze.

Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa

"nimemuweka kwenye nguvu ya taifa imara zaidi." Neno "mkono" linawakilisha utawala.

Nimeufukuza

"nimeupeleka mkangazi mbali kutoka nchi ya mkangazi kwa sababu mkangazi ulikuwa dhaifu"

Ezekiel 31:12

Maelezo ya Jumla:

Fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea.

waliokuwa wakiogofya mataifa yote

"walio wafanya mataifa yote kuogopa"

kuukatilia mbali

"kuukatilia mkangazi chini"

matawi yake yameanguka

"wageni walivunja matawi ya mkangazi"

matawi

Ni matawi marefu yameayo kwenye miti.

wakatoka nje kutoka chini ya kivuli

"acha kivuli cha mkangazi"

Ezekiel 31:13

Maelezo ya Jumla:

fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea.

Ndege wote wa angani

"Ndege wote warukao angani"

wakapumzika juu ya shina lake

"wakaishi juu ya mkangazi uliosalia"

shina

ni sehemu nene sana ya mti ambao hutoka aridhini na kuzishikilia sehemu nyingine za mtu.

wanyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake

"wanyama pori waliishi katika matawi ya mkangazi"

mwagilia maji

"miti ipatayo maji mengi"

hakuna mti mwingine utakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye huo urefu

"na hakuna miti mingine ambayo itapata maji mengi itarefuka huo urefu ttena"

chini kabisa hata kwenye nchi

"na nimeufanya ili waende chini ya aridhi."

katikati ya watu wa mwanadamu aliyeenda chini hata kwenye shimo

"kuwa na hao watu waliokufa na kwenda chini kwenye kaburi"

Ezekiel 31:15

Maelezo ya Jumla:

fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea.

Katika siku ambayo mkangazi utakapo shuka kwenda Sheoli

Neno "kwenda chini hata Sheoli" maana yake "kufa." "Katika siku ambayo mkangazi utakapokufa"

nilileta maombolezo kwenye dunia

"nimeifanya nchi kuomboleza."

Nilifunika vilindi vya maji juu yake

Neno "funika" ni kama linarejea juu ya mavazi kwa ajili ya kuomboleza. "nimefanya maji kutoka chemichemi kuomboleza kwa ajili ya mkangazi"

nikayarudisha maji ya bahari

"nilitunza maji katika bahari kutoka kumwagilia nchi"

Nilizuia maji makuu

"Nilifanya hivyo ili kusiwe na maji mengi tena"

nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake.

"na nikaitengeneza Lebanoni kwa ajili ya mkangazi"

Ezekiel 31:16

Maelezo ya Jumla:

fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea

wakati nitakapo mtupa chini hata Sheoli

"wakati nitakapomtupa chini hata Sheoli. "Hili neno linamaanisha, "wakati nitakapouua mkangazi."

pamoja na wote walioenda chini kwenye shimo

"pamoja na kila mmoja aliyekuwa amekufa na kwenda kwenye nchi"

sehemu za chini kabisa za nchi

"zilikuwa zimeenda chini tayari kwenda chini ya aridhi"

imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji.

"miti bora ambayo kila mmoja atataka, miti ambayo ina maji mengi" "Hii ni miti ya Edeni ambayo ilikuwa katika sehemu ya mwisho ya ardhi.

chaguliwa

"Hiki ni kitu ambacho kila mtu atakitaka kwa sababu ni chema sana.

Ezekiel 31:17

Maelezo ya Jumla:

fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea.

walishuka chini pamoja nayo hata Sheoli

"Hiyo miti ya Lebanoni pia imekufa na kushuka chini hata Sheoli pamoja na mkangazi"

walikuwa wameuawa kwa upanga

"ambao maadui waliuawa kwa upanga" au "waliokufa katika mapigano"

Hili lilikuwa jeshi lake imara

"Hii miti ya Lebanoni ilikuwa jeshi lake imara." Neno "jeshi imara" maana yake "nguvu."

8Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni?

Mungu anamuuliza Farao jili swali kumwonyesha kwamba fumbo linatumika kwake na nchi yake.

Kwa kuwa utashushwa chini

"Kwa kuwa nitakusha chini"

pamoja na miti ya Edeni

"kama miti mingine ya Edeni"

hata sehemu za mwisho za nchi

"hata sehemu ya chini katika aridhi"

miongoni mwa wasiotahiriwa

"utakuwa wapi na watu ambao hawajatahiriwa"

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 32

Ezekiel 32:1

Kisha ikatokea

hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanzao wa sehemu mpya wa hadithi.

katika mwezi wa kumi na mbili ... katika siku ya kwanza ya mwezi

Hii ni siku ya kumi na mbili na mwezi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza i karibu na mwishoni mwa Mwezi wa pili.

ya mwaka wa kumi na mbili

"ya mwaka wa kumi na mbili ya uhamisho wa Mfalme wa Yehoyakini"

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

Wewe ni kama mwana simba ... kama dubwana katika bahari

"Alifikiri alikuwa kama simba, lakini alikuwa kama jitu la kutisha kabisa.

kama mwana simba miongoni mwa mataifa

Misri ilikuwa imara kuliko mataifa mengine, kama simba ambao ni shupavu kuliko wanyama wengine.

Ezekiel 32:3

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Farao na kumfananisha na jitu la kutisha liishilo katika maji.

Bwana Yahwe asema hivi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:5.

Basi nitautandaza wavu wangu juu yako katika kusanyiko la watu wengi

"Basi nitawakusanya watu wengi na kutupa wavu wangu juu yako."

watawainua juu katika wavu wangu

"kutumia wavu wangu, watu watakuvuta kutokakwenye maji"

Nitakuacha katika nchi

"Nitakuacha bila msaada katika nchi." Jitu la kutisha lililokuwa linatisha wakati lilipokuwa ndani ya maji haliwezi kufanya chochote wakati likiachwa juu ya nchi kavu.

ndege wote wa angani

"ndege wote warukao katika anga"

njaa ya wanyama wote waishio juu ya nchi watashibishwa na wewe

"nitawaacha wanyama wote wa nchi wataula mwili wako hadi njaa iwaishe"

Ezekiel 32:5

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Farao na kumlinganisha na dubwana liishilo ndani ya maji.

funza wako waliokufa

"mwili wako uliokufa"

Kisha nitamwaga damu yako juu ya milima

"nitaifurika nchi damu kwa damu moja kwa moja hata kwenye milima."

vitanda vya kijito vitajazwa kwa damu yako

"nitaijaza mito kwa damu yako"

Ezekiel 32:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumwambia Farao atafanya nini juu ya Misri.

Kisha wakati nitakapo izimisha taa yako

"Yahwe analinganisha jinsi atakavyo muangamiza Farao kwa jinsi atakavyoweka moto wa taa. "Wakati nitakapokuharibu"

nitazifunika mbingu

Yahwe ataifunika anga ili kwamba watu wa nchi hawawezi kuona mwanga wa nyota, jua na mwezi.

giza na nyota zake

"nitazifanya nyota giza." Hakutakuwa na nuru.

nitaweka giza juu ya nchi

"nitalifanya giza katika nchi yako"

hili ni tangazo la Bwana Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 32:9

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Farao.

nitaitisha mioyo ya watu wengi

"nitaifanya mioyo ya watu wengi kuogopa"

katika nchi ambao huwajui

Jinsi ambavyo Yahwe atakavyoiangamiza Misri itaogofya hata watu katika nchi ambayo Farao hajawahi kuifahamu ataifahamu.

wakati nitakapoleta kuhusu uvunjifu miongoni mwa mataifa

"wakati mataifa watakaposikia kuhusu jinsi nitakavyokuangamiza"

Nitawashangaza watu wengi kuhusiana na wewe

"nitawafanya watu wengi kuogopa kwa sababu ya kile kilichotokea kwako"

Ezekiel 32:11

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Farao.

Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja juu yako

Neno "upanga" inarejea hapa kwa jeshi. "Jeshi la mfalme wa Babeli watakushambulia"

Nitawafanya watu wako kuanguka kwa panga za mashujaa

"nitawafanya watu wako kuanguka kwa sababu ya panga za watu wenye uweza"

kila shujaa ni tishio la mataifa

"Kila shujaa ataogofya mataifa"

na kuangamiza watu wake wote

"na kuua hesabu kubwa ya watu waishio katika Misri"

Ezekiel 32:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendela kunena

mifugo yote

Mifugo ni wanyama ambao watu wanao kwa ajili ya kula na kwa sababu nyingine. Ng'ombe, kondoo, na mbuzi vyote ni mifugo.

karibu na maji mengi

"kutoka mahali ambapo kuna maji mengi"

mguu wa mtu

"miguu ya watu"

Kisha nitayafanya maji kuwa masafi

"nitayafanya maji kuwa masafi."

fanya mito yao kukimbia kama mafuta

Mafuta hutiririka pole pole na laini.

hili ndilo tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 32:15

Maelezo ya jumla:

Yahwe anaendelea kunena.

nchi iliyojaa

"nchi iliyojaa viumbe hai"

wakati nitakapo washambulia wenyeji wote

"wakati nitakapowaangamiza waishio huko"

jua ya kwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura yha 6:6.

Kutakuwa na maombolezo

"Huu ni wimbo wa kuomboleza ambao watu wataimba"

binti za mataifa

"wanawake wa mataifa yote"

wataomboleza juu yake

Neno "yeye"linarejea kwa nchi ya Misri.

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 32:17

Kisha ikawa

Hili nenao limetumika kuonyesha mwanzoni mwa ujumbe.

katika mwaka wa kumi na mbili

"Hii ilitokea katika mwaka wa kumi na mbili baada ya Wababeli kuwachukua Waisraeli kwenda Babeli.

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

omboleza kwa ajili ya watumishi wa Misri

"lia kwa sauti kwa ajili ya jeshi la Misri"

walete chini-yeye na binti za mataifa mashuhuri

"itupe Misri chini na binti za mataifa mashuhuri chini"

binti za mataifa mashuhuri

"watu wa mataifa yenye nguvu"

chini ya nchi

"sehemu chini ya ardhi."

pamoja na wale walioshuka chini kwenye shimo

"pamoja na kila mmoja yeyote aliyekuwa amekufa na kwenda aridhini"

shimo

"shimo" inarejea kwa kaburi. Ni shimo katika aridhi ambayo watu huenda baada ya kufa.

Ezekiel 32:19

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli

Waulize

"Waulize Misri na jeshi lake"

Nenda chini

Inaonyesha kwamba wanaenda chini hata Sheoli.

Wao

"Misri na jeshi lake"

wataanguka

"watakufa"

waliokuwa wameuawa kwa upanga

"ambao walikufa katika mapigano"

Misri amepatiwa upanga

"Maadui wataishambulia Misri"

maadui zake watamkamata na watumishi wake."

watumishi wake

kuhusu Misri na washirika wake

"kuhusu Misri na wale waliojiunga nao"

Ezekiel 32:22

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu mataifa katika Sheoli.

Ashuru yupo huko pamoja na kusanyiko lake

"Watu wa Ashuru na jeshi lake lote wote wapo katika Sheoli"

wote waliuawa kwa upanga

"wote waliuawa kwa upanga" au "wote waliuawa katika mapigani"

yamewekwa katika maficho ya shimo

"yamewekwa katika sehemu ya chini kabisa ya shimo"

wote waliokuwa wameuawa, walioanguka kwa upanga

"wote ambao ni maadui waliuawa kwa upanga"

wale walioleta hofu juu ya nchi ya walio hai

"wale walisababisha watu katika nchi ya uhai kuogopa sana"

Ezekiel 32:24

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu mataifa katika Sheole.

Elamu yupo huko

Hapa "Elamu" linarejea kwa watu wa hiyo nchi. "Watu wa Elamu pia wapo huko katika Sheoli"

watumishi wake

watu wake wengi au jeshi lake.

Makaburi yake yamemzunguka

Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22.

wote waliuawa

"Hapa maadui waliwaua wote"

Wale walioanguka kwa upanga

"walio anguka kwa upanga" katika 32:22.

waliokwenda chini wasiotahiriwa

"ambao walikuwa hawajatahiriwa wakati waliposhuka chini"

sehemu ya chini kabisa ya nchi

"sehemu za chini kabisa katika aridhi"

aliwaleta mashujaa wao juu ya nchi ya walio hai

Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22.

Wameweka vitu vya kitandani kwa ajili ya Elamu na watumishi wake

"Walimpatia Elamu vitanda na watumishi wake wote."

katikati ya wachinjaji

"pamoja na watu wote waliokuwa wameuawa."

Wote hawajatahiriwa

Wamisri waliwachukia watu ambao walikuwa wametahiriwa.

Elamu yu miongoni mwa wale waliokuwa wameuawa

"Maiti zilimpatia Elamu mahali kulala miongoni mwao wenyewe"

Ezekiel 32:26

Sentensi Unganishi

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu mataifa katika Sheoli.

watumishi wao wote

"jeshi lao lote" au "watu wao wote."

Makaburi yao yamewazunguka

Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22, "kaburi lake limemzunguka."

Wote ... nchi ya uzima

Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:24.

kinga yao imewekwa juu ya mifupa yao

Kutompenda mwingine asiyetahiriwa, Meshaki na watu wa Tubali walipewa mazishi yanayofaa.

Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai

"kwa sababu, wakati wakiwa bado hai, waliwafanya mashujaa kuogopa sana"

Ezekiel 32:28

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena.

utaangamizwa

"nitakuangamiza."

kati yao wasiotahiriwa

"karibu na watu wasiotahiriwa"

wale waliouawa kwa upanga

Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:24.

Edomu yuko huko na wafalme na viongozi wake wote

"Edomu yupo katika Sheoli pamoja na wafalme na viongozi wake wote."

Walikuwa na nguvu

"Walikuwa na nguvu nyingi"

Ezekiel 32:30

Mwana mfalme wa kaskazini

"Wana mfalme waliotawala mataifa katika kaskazini"

wapo huko

"wapo katika Sheoli"

kwenda chini

"kwenda chini hata Sheole"

pamoja na maiti

"pamoja na wale waliokuwa wameuawa"

ambao waliokuwa wameuawa kwa upanga

"waliokuwa wameuawa kwa upanga"

Wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja nao waendao kwenye shimo

"wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja na wale wanaokwenda chini"

Ezekiel 32:31

Farao ataona

"Farao ataona maiti zote kutoka mataifa mengine."

na kupata faraja kuhusu watumishi wake

Inaonyesha kwamba Farao atafarijiwa kwa sababu maadui wa wafalme wengine wakubwa wamekufa pia.

ambao waliuawa kwa upanga

Tazama tafsiri yake katika sura ya 31:17.

hili ndilo tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Natamuweka kama utiisho katika nchi ya walio hai

"Wakati Farao alipokuwa bado yupo hai, nilimruhusu kuwaogofya watu"

atakuwa amelala chini katikati yao wasiotahiriwa

Hapa "lala chini" inarejea kwa mwili wake kuwekwa katika kaburi wakati atakapokufa.

Ezekiel 33

Ezekiel 33:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

upanga juu ya nchi

Neno "upanga" linarejea kwa adui wa jeshi lishambulialo.

kumfanya mlinzi

"kumteua kama mlinzi"

usitilie manani

"puuza onyo"

damu ya kila mmoja iko juu ya kichwa chake mwenyewe

"ni kosa lao wenye kama wakifa"

Ezekiel 33:5

Maelezo ya jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Waisraeli.

damu yake i juu yake

"itakuwa ni kosa lake mwenyewe kwamba amekufa"

okoa maisha yake mwenyewe

"atajiokoa mwenyewe kutoka kifo"

upanga kama ujavyo

Neno "upanga" inarejea kwa adui wa jeshi.

upanga ujao na kuchukua uhai wa mtu

"upanga ujao kumuua yeyote"

mtu akafa kwenye dhambi yake mwenyewe

"mtu atakufa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe"

Ezekiel 33:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli.

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.

kutoka kwenye kinywa changu

"kutoka kwangu."

waonye badala yangu

"waonye kama muwakilishi wangu"

usitangaze hivi

"usiseme hivi"

kuhusu njia yake

"jinsi anavyotenda"

atakufa katika dhambi yake

Hii inaonyesha kwamba Mungu atasamehe dhambi za huyu mtu.

taka damu yake kutoka mkono wake

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 3:16.

asipogeuka kutoka njia yake

"hataacha kutenda njia yake mbaya" au "hataacha kufanya mambo yake mabaya"

wewe mwenyewe utakuwa umeokoa maisha yako

"utajitunza mwenyewe hai"

Ezekiel 33:10

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Wasraeli.

nyumba ya Israeli

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 3:1.

Mnasema hivi

"Hivi ndivyo ulivyosema"

Makosa yetu na dhambi zetu

wanajisikia haitia kwa makosa yao na dhambi

na tunadhoofika kwa ajili yao

Hili neno linalinganisha jinsi dhambi inavyo muharibu mtu.

kati yao

Hii inamaanisha watu wanajua Mungu hatawasamehe.

Nitaishije?

Watu huuliza hili swali kusisitiza kwamba hawana tumaini la kuishi.

Kama niishivyo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

hili ndilo tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

kama mwovu akitubu kutoka njia yake?

"kama mtu muovu akiacha kufanya mambo mabaya"

kwa nini mnataka kufa

Yahwe anatumia hili swali kusisitiza kwamba hataki watu wa Israeli kufa.

Ezekiel 33:12

Maelezo ya Jumla:

yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.

Haki ya mwenye haki haitamwokoa kama akikosa!

"Kama watu wenye haki wakianza kuasi, ukweli ni kwamba walikuwa wenye haki kabla hawatawaokoa"

kama akiamini katika haki yake

"kama akitegemea juu ya haki yake." Mtu anafikiri kwamba kwa sababu alikuwa na haki Yahwe hatamwadhibu, hata kama akiasi.

fanya isiyo haki

"fanya yaliyo maovu"

kwa ajili ya uovu alioufanya

kwa sababu ya mambo maovu aliyoyafanya.

Ezekiel 33:14

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Waisraeli.

kama akirudisha dhamana

"kama akirudisha dhamana"

dhamana

kitu ambacho mtu huacha kwa mtu mwingine kuonyesha kwamba atatunza ahadi yake kurudisha kile alichokiazima.

akirudisha kwa kile alichokipoteza

"rudisha kile alichokipoteza"

tembea katika maagizo yatoayo uzima

"kuishi kulinagana na sheria zitoazo uzima"

Dhambi alizozifanya hazitakumbukwa kwa ajili yake

"sitashikilia dhambi yake yoyote juu yake."

Ezekiel 33:17

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Waisraeli.

watu wako

Hawa ni watu wa Israeli. Neno "wako" linamrejea Ezekieli.

lakini i kwenye njia zako

Neno "yako" linawarejea wana wa Israeli. "lakini ni njia zenu."

kufa katika hiyo

"kufa kwa sababu ya dhambi"

geuka kutoka uovu wake

"acha kufanya mambo maovu"

kwa sababu ya hayo mambo

"kwa sababu hufanya kilicho haki na haki"

enyi watu

Hawa ni watu wa Israeli.

Ezekiel 33:21

katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kumi

Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na tano ni karibu na mwanzoni mwa Mwezi wa kwanza katika kalenda za Magahribi.

mateka wetu

Hapa "wetu" inarejea kwa Ezekieli na Waisraeli ambao walikuwa katika Babeli tangu wakati Wababeli walipomlazimisha Mfalme Yehoyakini kuondoka Yerusalemu.

mtu mmoja akatoroka kutoka Yerusalemuna

"mtu mmoja alitoroka kutoka Yerusalemu na kuja kwangu." Wababeli waliiangamiza Yerusalemu na kuwaua watu wa Yerusalemu, lakini watu walikimbia.

Mji ulikuwa umetekwa

"Wababeli wameuangamiza mji." Neno "mji" linairejea "Yerusalemu."

Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1, "mkono wa Yahwe ulikuja juu yangu."

mapambazuko

"Mapambazuko" ni mda wa asubuhi sana wakati mwanga wa jua unapoanza kuchomoza.

kinywa changu kilifunuliwa

"Yahwe alifungua kinywa chake." "nitafungua kinywa chako"

sikuwa bubu tena

"niliweza kuzungumza sasa" Ezekieli hakuweza kuzungumza chochote isipokuwa maneno ya kinabii tangu 3:26.

Ezekiel 33:23

neno la Yahwe likaja

Yahwe akanena neno lake."

wale waishio mahali palipoharibika

"wale walio iharibu miji"

nchi

"nchi ya Israeli"

Tumepatiwa nchi

"Yahwe ametupatia nchi."

kama wamiliki

"ili tuweze kuimiliki" au "kama warithi."

Ezekiel 33:25

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu watu waliokuwa wakiishi katika uharibifu wa Israeli.

Mmekula damu

Inaonekana kwamba wanakula damu kwa kula nyama ambayo bado inadamu ndani yake. "Manakula nyama yenye damu ndani yake."

mmeziinulia macho yenu sanamu

"mnazitegemea sanamu zenu." Hii inamaanisha kwamba "mnaziabudu sana zenu"

mnazimwagia damu za watu

"mnamwaga damu." Hii inamaanisha "mnawaua watu."

Je! mna uhakika wa kuimiliki hii nchi?

Yahwe anatumia hili swali kuwaonya watu. "Hamtakiwi kumiliki hii nchi" au "Hamstahili hii nchi."

Mnategemea upanga wenu

"Mmetumia upanga wenu kupata kile mnachokitegemea."

mmetenda mambo maovu

"tenda mambo ambayo ninayoyachukia sana"

kila mwanamume amemnajisi mke wa jirani yake

Inamaanisha kwamba wamewanajisi wake za majirani zao kwa kulala nao.

Ezekiel 33:27

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na ezekieli kuhusu watu waliokuwa wakiishi katika uharibifu wa Israeli.

Kama niishivyo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

anguka kwa upanga

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

walio katika ngome na katika mapango watakufa kwa tauni

"tauni itawaua watu waishio katika ngome na mapango"

ngome

Ngome ni jengo ambalo watu hujenga kujilinda wenyewe na maadui wanao washambulia.

mapango

Mapango ni mashimo ya asili katika upande wa mlima au ndani ya aridhi.

na tishio

"Tishio" ni kitu ambacho kinwafanya watu kuogopa sana wanapokiona. "na watu wataogopa sana kwa sababu ya hiyo"

kiburi cha uweza wake kitaisha

Neno "yake" linarejea kwa nchi, ambayo inarejea kwa watu wa nchi. "watu wa nchi hawatajiinua tena kwamba wako hodari."

milima ya Israeli itakuwa jangwa

"hakuna atakayeishi katika milima ya Israeli"

hakutakuwa na mtu wa kupitia miongoni mwao

"hakutakuwa na yeyote atakaye achwa kusafiri kupitia kwenye nchi au juu ya milima"

mtajua yakwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

wamemaliza

"watu wamemaliza"

machukizo yote waliyafanya

"mambo yote waliyafanya ninayachukia"

Ezekiel 33:30

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekili

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

ile itokayo kutoka kwa Yahwe

"ile Yahwe aipelekayo"

Maneno ya hako hapo juu ya vinywa vyao

"maneno ya upendo yapo katika vinywa vyao"

mioyo yao inafuata udhalimu kwa faida yao

"katika mioyo yao wanataka kujipatia udhalimu" au "wanataka kujipatia vitu katika njia ambazo si sahihi."

Ezekiel 33:32

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu watu wa Israeli.

wewe ni kama wimbo mzuri kwao

"wanafikiri kwamba wewe ni kama wimbo mzuri"

wimbo mzuri

Maana zinazowezekana "wimbo mzuri" au "wimbo wa mapenzi" au wimbo kuhusu mapenzi."

nzuri awezaye kucheza kinanda vizuri

"ambayo mtu hucheza vizuri kwenye kinanda kizuri."

wakati haya yote yatokeapo

Neno "haya" inarejea kwa mambo yote ambayo Mungu aliyasema yatatokea na kwamba Ezekieli aliwaambia watu.

tazama!

Neno "tazama" hapa linaongeza kusisitiza kwa kile kifuatacho.

yule nabii aliyekuwa miongoni mwao

"kwamba kweli nimekutumia nabii."

Ezekiel 34

Ezekiel 34:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

wachungaji wa Israeli

Hili neno linawalinganisha viongozi wa Israeli ambao wanaotakiwa kuangalia watu wao pamoja na wachungaji ambao wanaotakiwa kuangalia kundi lao. "viongozi wa Israeli walio kama kondoo"

Tabiri na sema

Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:8.

wanajichunga wenyewe

"wanajilisha na kujichunga wenyewe."

Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?

Yahwe anatumia hili swali kuwakaripia viongozi kwa kuacha kuwaangalia watu.

Mnakula mafungu yaliyonona

Inaonyesha kwamba fungu lililonona hutoka kwenye kondoo na mbuzi. "Mnakula sehemu za kondoo na mbuzi zilizonona"

"vaa sufu kutoka kondoo"

Mnachinja walionona

"Mnachinja mifugo wanene ili muweze kuwala"

wanene

"kondoo mwenye afya na mbuzi" au "kondoo na mbuzi walio nona kabia"

hamkuwalisha siku zote

"msiwalishe na kulichunga kundi"

Ezekiel 34:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli

wenye maradhi

"wanaumwa" au "wako dhaifu"

funga

"Hamuwafungi kuzungusha nguo vidonda na mifupa iliyovunjika"

wale waliovunjika

"kondoo waliovunjika mifupa" au "kondoo aliyeumia"

hamuwarudishi

"hamuwarudishi"

waliofukuzwa

"kondoo aliyekuwa amefunkuzwa" au "kondoo dhaifu amefukuzwa na kondoo shupavu"

aliyepotea

"kondoo au mbuzi aliyepotea"

kwa nguvu na vurugu

"kwa kulazimisha na kikatili"

bila mchungaju

"kwa sababu hawana mchungaji."

wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba

"wanyama wote wa porini waliwashambulia na kuwala"

limetawanyika juu ya uso wote wa dunia

"kundi langu limetwanyika juu ya dunia nzima"

Ezekiel 34:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli.

tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Kama niishivyo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba

"kwa sababu wanyama katika shamba wamekuwa wakiiba kundi langu na kuwala"

mateka

"vitu vilivyopotea.

wanyama katika mashamba

"wanyama wa porini"

kwa sababu hapakuwa na mchungaji

"kwa sababu hawana mchungaji"

wanajichunga wenyewe

"wanajichunga wenyewe"

hawakulilisha kundi langu

"hawakulilisha na kulichunga"

Ezekiel 34:9

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli.

Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:7.

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifutacho.

Niko juu ya wachungaji

"nitawaadhibu wachungaji."

nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwao

"nitawaadhibu kwa mambo yote mabaya waliyaacha kutokea kwa kundi langu."

nitawasitisha mbali na kuchunga kundi

"sitawaacha kulichunga kundi tena"

watajichunga wenyewe

"kujilisha na kujichunga wenyewe"

kutoka vinywani mwao

"hivyo hawataweza kuwala."

kundi langu halitakuwa chakula chao tena

"wachungaji hawatawala tena kondoo na mbuzi wa kundi langu"

Ezekiel 34:11

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendela kumptaia ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli.

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linatahadharisha wachungaji kuwa makini kwa habari ifutayo ya kushangaza.

nitawatafuta

"nitawatafuta"

ndani ya kundi lake lililotawanyika.

"pamoja na kundi lake"

waliotawanyika

Kundi halipo sehemu moja. Kondoo na mbuzi wapo katika sehemu tofauti tofauti walipopotea na katika hatari.

katika siku ya mawingu na giza

"katika siku ya wingu na siku ya giza." Hii inarejea wakati majanga mengi yatakapo tokea. "wakati majanga mabaya yatakapowatokea."

warudishe

"rudisha kondoo na mbuzi wangu"

kutoka miongoni mwa watu

"kutoka mahali ambapo walipoishi pamoja na watu wengine"

malisho

nchi ambayo ina majani na mimea midogo ambayo kondoo na mbuzi wanaweza kula

makazi

sehemu ambapo watu huishi. Siku zote wanaishi katika nyumba za makazi.

Ezekiel 34:14

Maelezo ya Juma:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli

sehemu za malisho yao

"mahali ambapo wanaweza kula"

malisho mazuri

nchi zenye majana mengi na mimia

malisho

kula majani na mimea mingine

mimi mwenyewe

Neno "mimi mwenyewe" linaongeza msisitizo. Mungu atafanya hivi kwa sababu wachungaji hawakuwa wanafanya sahihi.

watalisha

"watalisha na kuwaangalia"

watawafanya kulala chini

"watawaacha walale chini"

hili ni tangazo la Bwana Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

waliopotea

"wale waliopotea." "kondoo yeyote au mbuzi aliyepotea"

rudisha waliopotea

"kuwarudisha wale waliokuwa wamefukuzwa mbali"

funga kondoo aliyevunjika

"zungusha nguo kwa kondoo yeyote aliyevunjika mfupa"

Ezekiel 34:17

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake. Sasa ni watu wa Israeli.

tazama

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho.

nitakuwa hakimu kati ya kondoo

"nitakuwa hakimu kati ya kondoo, kondoo dume, na mbuzi"

kondoo dume na mbuzi dume

Kondoo dume na mbuzi huwa ni shupavu katika mifugo na wanaweza kufika popote watakapo kutoka wanyama wengine katika mifugo.

Haitoshi ... miguu

Huu ni mwanzo wa swali ambalo Mungu anatumia kukaripia wale shupavu kwa sababu si wakarimu kwa wale wadhaifu.

Ezekiel 34:20

Tazama!

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho.

mimi mwenyewe

Neno "nini mwenyewe" linasisitiza kwamba ni Yahwe ndiye atakaye hukumu.

nitahukumu kati ya kondoo mnene na yule mwembamba

"nitahakikisha kwamba kondoo mnene na mbuzi na kondoo wembamba na mbuzi wanatendeana kila mmoja vyema"

kwa ajili yako

"Neno "wewe" linarejea kwa kondoo na mbuzi ambazo hazikuwa zinawatenda vyema kondoo wengine na mbuzi.

kwa upande wako

"kwa upande wa mwili wako"

amewapiga

"amewasukuma"

kuwatawanya

"kuwafanya waende katika mahali tofauti tofauti"

mbali na nchi

"mbali na nchi ya Israeli"

Ezekiel 34:22

mateka

"vitu vilivypotea." Wachungaji na wanyama wa porini wamekuwa wakiiba kondoo na mbuzi kutoka kwa mifugo ya Yahwe.

nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine

Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:17, "nitahukumu miongoni mwa kondoo."

Nitaweka juu yao mchungaji mmoja

"nitamtuma mchungaji mmoja kuwa kiongozi wa kondoo na mbuzi wangu"

mtumishi wangu Daudi

Yahwe amesema "Daudi" inarejea kwa uzao wa Dausi. "uzao wa mtumishi wangu Daudi."

nitakuwa Mungu wao

Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19.

atakuwa mwana mfalme miongoni mwenu

"atakuwa mtawala"

mimi, Yahwe, nimetangaza hivi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:15.

Ezekiel 34:25

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli.

agano la amani

"agano lile liletalo amani"

wanyama waovu wa porini

Hawa ni wanyama wa porini ambao waliwaua kondoo na mbuzi.

Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu

Baadhi ya matolea ya kisasa yanatafsiri "pia nitawarudisha na maeneo yanayozunguka kilima changu kwenye baraka."

katika wakati wake

"kwa wakati sahihi"

Hizi zitakuwa mvua za baraka

"Hii mvua itatolewa kama baraka"

na dunia itashindwa kuzaa matunda yake

"nchi itaotesha chakula" Chakula kitamea juu ya nchi

wataokoka

"watakuwa salama"

watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

fito za kongwa zao

"fito zinazoshikilia kongwa zao pamoja"

Ezekiel 34:28

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli.

mateka

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 7:20.

sehemu ya kupanda nzuri

"bustani watakayo kuwa katika amani" au bustani ambayo itakuwa mashuhuri"

angamia kwa njaa

"njaa" au "au kuangamia kwa sababu ya ukosefu wa chakula:

Ezekiel 34:30

mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao

"mimi, Yahwe Mungu wao, ninawasaidia"

Ni watu wangu

"na ni watu wangu"

hili ni tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake ktika sura ya 5:11.

nitakuwa Mungu wako

"ndimi Mungu wako"

Ezekiel 35

Ezekiel 35:1

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

weka uso wako juu ya

Tazama tafsiri yake katika sura ya 4:1.

Mlima Seiri

"mlima Seiri." huu unarejea kwa wtu walioishi katika Edomu kwa sababu waliishi katika mlima Seiri. "watu wa Edomu"

kwa huo

"mlima" au "watu wa Edomu"

Tazama!

Neno "Tazama hapa linaongeza msisitiza kwa kile kifuatacho.

ni juu yako

Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:1.

nitakupiga kwa mkono wangu

"nimeunyoosha mkono wangu juu yako." Hii inamaanisha "ni karibu kukushambulia."

ukiwa na tishio

Tazama jinsi ilivyo tafsriwa katika sura ya 33:27.

Ezekiel 35:4

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa watu wa Mlima Seiri.

utajua yakwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

umewatoa kwenye mikono ya upanga

"umewatoa juu ya maadui zao waliowaua kwa upanga" au "umewaua kwa upanga"

wakati adhabu yao

"katika kipindi wakati walipokuwa katika janga"

kama niishivyo

Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura ya 5:11.

hili ndilo tangazo la Bwana Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

nitakuandaa kwa ajili ya damu

"nitakuandaa kwa kuipoteza damu yako." Hii inarejea kwa kujeruhuwa au kuuawa.

damu itakufuatilia

Yahwe anawakilisha damu kama mtu ambaye angewafukuza. "maadui zako wataendelea kukuchinja"

Kwa kuwa hukuichukia damu

"Tangu ulipoichukia wakati watu wengine walipouawa kikatili."

Ezekiel 35:7

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa Mlima Seiri.

wakati nitakapoukatilia mbali kutoka huo yeyote apitaye na arudiye tena

"nitamwangamiza kila auingiaye au kuuacha"

waliouawa kwa upanga

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 31:17.

mkiwa daima

"ukiwa daima" Hii ni kutia chumvi kusisitiza uharibifu.

Miji yako haitakaliwa

"watu hawataishi katika miji yako"

lakini mtajua

Hapa "ninyi" ni wingi. Mungu ananena na watu wa Mlima Seiri, kuliko na mlima mmoja.

mtajua kwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

Ezekiel 35:10

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa watu wa Milima Seiri.

Umesema

Neno "Wewe" linarejea kwa mlima wa Seiri ambao unawakilisha taifa la Edomu.

na sisi

Neno "sisi" linarejea watu wa Edomu.

hata wakati Yahwe alipokuwa pamoja nao

Inaonyesha kwamba Yahwe alikuwa akiilinda Israeli na Yuda. "Lakini Yahwe alikuwa huko akiilinda Israeli na Yuda"

kama niishivyo

Tazama jisni ilivyo tafsiriwa katika sura ya 5:1.

hili ndilo tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

itafanya kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako

"nitakuadhibu kwa sababu ya hasira yako na wivu"

Ezekiel 35:12

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa watu wa Mlima .

watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura ya 6:6.

wametolewa kwetu tuwale

"milima ya Israeli ni kwa aji yetu ili kutula" au tunaweza kuchukua chochote tutakacho kutoka kwao"

Ezekiel 35:14

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa watu wa Mlima Seiri.

Bwana Yahwe asema hivi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:10.

kufanya ukiwa

Neno "wewe" linarejea kwa "mlima Seiri ambao unawakilisha nchi ya Edomu. "nitaifanya nchi yako ukiwa."

nitakavyokutenda wewe

"nitaifanya nchi yako ukiwa" au "nitafanya shangwe wakati nchi yako ikiwa ukiwa"

Mlima Seiri

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 35:1.

Kisha watajua

Neno "wao" yamkini linarejea kwa "watu wa dunia" au "watu wa Israeli na Yuda."

watajua kwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama ilivyo tafsiriwa katika sura ya 6:6.

Ezekiel 36

Ezekiel 36:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekeili. Sasa ujumbe wake ni kwa milima ya Israeli.

mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

tabiri juu ya milima ya Israeli

Mungu anamtaka Ezekilei kunena na milima kana kwamba walikuwa watu.

Enhe

Hii inaonyesha shangwa. Inaweza kutafsiriwa kama "nina furaha sana"

Mahala pa juu pa zamani

Hii inarejea kwa milima mirefu ya Israeli.

imekuwa milki yetu

"sasa ni mali yetu"

Kwa sababu ya ukiwa wenu

"Kwa sababu ninyi milima mmekuwa ukiwa"

kwa sababu mashambulizi yaliyokuja juu yenu kutoka pande zote

"kwa sababu mliishambulia kutoka kila mahali"

mmeambiwa kwa midomo yao waongeao, na kwa masingizio ya watu

"watu wanasema mambo mabaya kuhusu wewe, na mataifa wanasema hadithi mbaya kuhusu wewe"

midomo ya uzushi na ndimi

"maneno ya uzushi"

Ezekiel 36:4

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa milima ya Israeli.

sikiliza neno la Bwana Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:1.

mahali palipoharibika kuwa ukiwa

"miji mikiwa ambayo hakuna watu wanaoishi katika hiyo"

miji iliyoachwa

"miji ambayo watu wamiacha nyuma"

imekuwa mateka

"hao maadui wamepotea"

huru kwa kutaniwa na mataifa yaliyowazunguka

"ambayo wengine, wanayoyazunguka mataifa wanadhihaki"

katika ghadhabu ya moto wangu

Yahwe anaipenda Israeili sana, hivyo amekuwa na wivu na hasira wakati mataifa mengine wanapoidhihaki.

juu ya Edom na wote

"na juu ya Edom yote"

wote walikuwa na shangwa katika moyo wao na dharau katika roho zao

"wameitukana watu wako Israeli.

shangwe katika moyo wake

"kwa shangwe katika mioyo yao"

dharau katika roho zao

inaonyesha kwamba dharau yao ni kwa ajili ya Israeli.

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatach.

Katika ghadhabu yangu na hasira yangu

Maneno "ghadhabu" na "hasira" kimsingi yana maana moja. Yote yanasisitiza mkazo wa hasira.

mmechukua fedheha za mataifa

"mataifa mengine yamekufedhehesha"

Ezekiel 36:7

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa mataifa ya Israeli.

Mimi mwenyewe nitainua mkono wangu kuapa

"mimi mwenyewe nitainua mkono wangu kuapa" Kuinua mkono inaonyesha kwamba kweli atafanya kile alicho kiapia'

kwamba mataifa yanayowazunguka yamkini yatawabebea aibu yao

"yamkini watu wakawadhihaki mataifa yaliyokuzunguka"

kuzunguka

Neno "wewe" linarejea kwa milima ya Israeli.

Ezekiel 36:8

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa milima ya Israeli.

mtachipuza matawi na kuzaa matunda

"miti yenu itachipuza matawi na kuzaa matunda."

tazama

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata."

nipo kwa ajili yenu

"nataka kufanya mambo mazuri kwenu" Neno "ninyi" linarejea kwa milima ya Israeli.

na ninawatenda kwa fadhili

"nitakuwa mkarimu kwenu" (UDB)

mtalimwa na kupandwa mbegu

"Watu wangu, watalima aridhi yako na kuipanda mbegu." Kulima inamaanisha kukata matuta katika aridhi ili kupanda mbegu katika hiyo.

Ezekiel 36:10

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa mataifa ya Israeli.

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.

Miji itakaa na palipoharibiwa kujengwa

"Kisha watu wataishi katika miji na watayajenga tena magofu."

wataongezeka na kuzaa

"watakuwa watu wengi sana na watoto wengi sana"

nitawafanya kuishi kama mlivyokuwa

"watu kuishi juu yako milima kama walivyofanya kabla"

mtajua yakwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

watakumiliki

Neno "wewe" ni umoja na linarejea kwa "nchi ya Israeli."

hutasababisha tena watoto wao kufa

Hii inaonyesha kwamba zamani watoto walikufa kwa sababu hapakuwa na chakula cha kutosha katika nchi. Kisha nchi ilizalisha chakula cha kutosha.

Ezekiel 36:13

Maelezo ya Jumla:

Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa milima ya Israeli.

wanakwambia

"mataifa mengine yanakwambia milima"

Umewala watu

"Umewafanya watu wangu kufa." Neno "ume" ni umoja na linarejea kwa "nchi ya Israeli."

watoto wako wa taifa wamekufa

"umewafanya watoto wa watu wako kufa." Hii inaonyesha kwamba milima hufanya hivi kwa kuacha kuotesha mbegu nzuri.

Hili ndilo tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Wala sintokuruhusu kusikiliza fedhiha za mataifa tena

"sitayaruhusu mataifa mengine tena kukufedhehesha."

hautachukua tena aibu ya watu

"watu hawatakusababisha kujisikia aibu"

au kufanya taifa lako kuanguka

"na ninyi milima fanyeni taifa lenu lishinde"

Ezekiel 36:16

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsir yake katika sura ya 2:1:

Nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.

pamoja na njia zao na matendo yao

"jinsi walivyoishi na mambo waliyoyafanya"

Njia zao zilikuwa kama uchafu wa hedhi ya mwanamke mbele yangu

"Njia zao zilikuwa kama machukizo kwangu kama uchafu wa hedhi ya mwanamke"

hedhi ya mwanamke

ni damu itokayo kwa mwanamke kila mwezi wakati anapokuwa hana mimba

nimeimwaga ghadhabu yangu juu yao

"nimefanya mambo kwao yanayoonyesha jinsi nilivyokuwa na hasira."

kwa ajili ya damu waliyoimwaga juu yanchi

"kwa sabababu wamefanya damu ya watu wengi kusambaa kwenye nchi" au "kwa sababu wamewaua watu wengi."

na kwa ajili ya uchafu wa hiyo kwa sanamu zao

"na kwa sababu wameinajisi nchi yangu kwa sanamu zao"

Ezekiel 36:19

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu Israeli.

Nimewatawanya miongoni mwa mataifa; walitawanyika katika nchi tofauti tofauti.

Tazama tafsiri yake katika sura ya 12:14.

walitawanyika katika nchi tofautitofauti

"nimewatawanya kupitia nchi tofauti tofauti"

njia zao na matendo yao

"mambo ambayo waliyoyafanya"

wakati watu

"kwa sababu watu wengine wamesema"

nchi yake

Hii inarejea kwa nchi Israeli.

nalikuwa na huruma kwa ajili ya langu langu takatifu

"najali kusu jina langu." "nalitaka watu wajue kwamba mimi ndimi Yahwe."

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.

Ezekiel 36:22

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli, na kumpatia ujumbe Israeli.

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:1.

kwa ajili yako

"kwa sababu yako"

lakini kwa ajili ya jina langu takatifu

"ili watu wajue kwamba mimi ni mtakatifu"

mtajua kwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

hili ni tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 36:24

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.

nyunyiza maji masafi

"kupitia maji masafi"

kutoka kwenye uchafu wako wote

"mambo yote yanayokufanya kuwa najisi"

Ezekiel 36:26

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.

moyo mpya na roho mpya

Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19.

katika sehemu zenu za ndani

"ndani yenu"

moyo wa jiwe

Hii inalinganishwa na mioyo ya ukaidi na moyo wa jiwe.

nyama zako

"mwili wako"

mwili wa nyama

Huu ni moyo ambao sio mkaidi, lakini unatamani kumtii Mungu.

tembea katika maagizo yangu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:9.

tunza maagiza yangu, hivyo utawafanya

"utayashika maagizo yangu na kuyafanya"

watu wangu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19

Ezekiel 36:29

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.

nitatia unga

"nitaita unga uje" Hili neno linawakilisha unga kama mtumishi wa Yahwe.

hamtazaa tena aibu ya njaa miongoni mwa mataifa

"mataifa hayatakufanya kujisikia aibu kwa sababu mnateseka na njaa"

matendo maovu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:9.

Ezekiel 36:32

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.

kwa ajili yako

"kwa ajili yako"

hili ndilo tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

ijulikane kwenu

"unaweza kuwa na uhakika na hili"

Hivyo tahayarikeni na kufadhaika

Maneno "tahayarika" na "kufadhaika" yana maana moja. Yote yanasisitiza mkazo wa tahayari.

kwa sababu ya njia zako

"kwa sababu ya kile ufanyacho"

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.

mtailima nchi iliyoharibiwa

"mtailima nchi iliyoharibiwa"

mbele za macho ya wote wapitao karib

"na wasafiri wote katika nchi wataiona"

Ezekiel 36:35

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.

Kisha waka

Neno "waka" llinarejea kwa watu wanaotembea kupitia nchi ya Israeli.

palipokuwa pamebomolewa

"maadui walipaangusha chini"

watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

kwamba nimeyajenga magofu

"na kuijenga miji ambayo maadui walipokuwa wamepabomoa"

kuipanda mbegu sehemu zilizokuwa ukiwa

"kupanda mbegu katika nchi kiwa"

Ezekiel 36:37

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli.

kuwaongeza kama kundi la watu

"kuwafanya kama kundi la kondoo." Kondoo huongezeka haraka. kuwafanya watu kuongezeka haraka kama kondoo."

watajua kwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

Ezekiel 37

Ezekiel 37:1

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli ananena

Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1, "mkono wa Yahwe ukaja juu yangu."

katikati

"katikati"

kuzunguka pote

"katika kila mahali"

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari zifuatazo za kushangaza.

mwandamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

Ezekiel 37:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe ananena na Ezekieli.

Sikiliza neno la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 13:1.

Tazama

"Ona" au "Sikia"

mishipa

sehemu ya miili ya mwanadamu ambayo ni kama gidamu ngumu na hushikkamana na mifupa na misuli pamoja

weka pumzi miongoni

Hapa "pumzi" inarejea kwa kupumua. "nitakufanya kupumua"

pumzi

Neno la Kiebrania limetafsiriwa kama "pumzi" katika mstari huu limetafsiriwa kama "roho" pia limetafsiriwa katika matoleo mengine machache kama "upepo"

mtajua kwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yakekatika sura ya 6:6.

Ezekiel 37:7

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli ananena

kama nilivyokuwa nimeamuru

"kama yahwe alivyokuwa ameniamuru kunena."

tazama

Neno "tazma" hapa linaonyesha kwamba ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.

mishipa

Hii inarejea kwa sehemu za binadamu ambazo ni kama gidamu ngumu na kushika mifupa na misuli pamoja.

Lakini hapakuwa na pumzi juu yao

Hapa "pumzi" inarejea kwa tendo la kupumua. "lakini hawakuwa wanapumua" au "hawakuwa hai"

Ezekiel 37:9

mwanadamu

tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

pumzi

"pumzi" au "roho" au "upepo"

kutokakwenye pepo nne

"kutoka pande ambazo upepo unaweza kuvuma" au "kutoka kila upande"

hawa waliouwa

"hawa watu ambao ni maadui na maafa wameawa."

kama nilivyokuwa nimeamuru

"kama Yahwe alivyo niamuru"

Ezekiel 37:11

mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

nyumba yote ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linaongeza kusisitiza kwa kile kifuatacho.

tabiri na sema

Tazama tafsiri yake katika kumbu ya bibilia 21:08.

Tazama

"Ona" au "Sikia"

Ezekiel 37:13

Maelezo ya Jumla:

Haya ni maneno ya Yhawe kwa watu wa Israeli.

watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

mabaki ya nchi yako

"kuishi kwa amani katika nchi yako mwenyewe"

hili ni tangazo la Yahwe

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 5:11.

Ezekiel 37:15

neno la Yahwe likaja

"yahwe akanena neno lake." Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1.

mwanadamu

tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

Kwa ajili ya Yuda

"Inawakilisha Yuda"

Yuda

Kabila la Yda liliishi uapande wa utawala wa kuskazini mwa Israeli ambayo iliitwa Yuda. hapa hili jina limetumika kurejea ufalme wote wa kusini.

watu wa wote Israeli, wenzake

Hii inarejea kwa Waisraeli walioishi katika ufalme wa kusini mwa Yuda.

Efraimu

Kabila la Efraimu liliishi katika ufalme wa kusini mwa Israeli. Hapa hili jina limetumika kurejea ufalme wote wa kaskazini.

watu wote wa Israeli, wenzao

Hii inarejea kwa Waisraeli walioishi upande wa ufalme kaskazini mwa Israeli.

kwenye fimbo moja

"ili kwamba wawe fimbo moja"

Ezekiel 37:18

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekili.

watakaponena na wea na kusema

Tazama tafsiri yake katika sura ya 33:23.

haya mambo yako yana maana gani

"fimbo zako nina maana gani" au "kwa nini upo na hizi fimbo"

Tazama!

"Ona" au "Sikia!"

chipukizi la Yuda

"chipukizi la Yuda." Hii inawakilisha utawala wa Israeli.

lipo kwenye mkono wa Efraimu

Neno "mkono" linarejea kwa uweza. "ambalo ni kabila la Efraimu kutawala"

kabila za Israeli wenzake

"makabila mengine ambayo ni wenzao na Israeli. au "makabila mengine ya Israeli ambayo ni sehemu ya huo ufalme"

tawi la Yuda

"fimbo ya Yuda." Hii inawakilisha ufalme wa yuda.

mbele ya macho yao

Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:16.

Ezekiel 37:21

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekilei.

Tazama!

"Ona!" au "Sikia!"

mambo ya machukizo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao

tazama tafsir yake katika sura ya 11:19.

Ezekiel 37:24

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli.

Daudi mtumishi wangu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:22.

juu yao

"juu ya watu wa Israeli"

mchungaji mmoja juuyao

tazama tafsiri yake katika sura ya 34:22.

wataenenda kulingana na amri zangu

"wataishi kama nilivyo amuru"

watazitunza amri zangu na kuzitii

Tazama tafsiri yake katika sura ya 18:19.

alikaa

"aliishi"

mkuu

"mwana mfalme"

Ezekiel 37:26

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anazungumzia kuhusu watu wa israeli.

Nitaanzisha agano

"nitaweka"

agano la amani

Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:25.

nitayaimarisha

Inaonyesha kwamba Yahwe wangeweza kuwaimarisha katika nchi ya Israeli.

zidisha

Tazama tafsiri yake katika sura ya 36:10

mahali pangu patakatifu

"patakatifu pangu" au "hekalu langu"

makao yangu

"mahali ambapo ninaposhi"

nitakuwa Mungu wao, na wao watakuwa watu wangu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19.

watajua yakuwa mimi ndimi Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

mahali pangu patakatifu

"patakatifu pangu" au "hekalu langu"

kati yao

"miongoni mwao"

Ezekiel 38

Ezekiel 38:1

Neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Gogu

Hili ni jina la kiongozi au mfalme aliyetawala katika nchi ya Magogu.

nchi ya Magogu

Inaonyesha kwamba hii ni nchi ambayo Gogu alitawala.

Magogu

jina la zamani la taifa ambalo kwa sasa ni Uturuki.

kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali

Usemi huu umetokea mara mbili katika mistari hii.

Ezekiel 38:4

Maelezo ya jumla:

Yahwe ananena na Gogu

weka ndoana katika taya yako

Watu huweka ndoana katika midomo ya wanyama ili waweze kuongoza wanyama popote watakapo.

Puti

taifa lililoishi katika mahali ambapo ni Libya kwa sasa.

Beth-Togarma

Tazama tafsiri yake katika sura ya 27:14.

Ezekiel 38:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe ananena na Gogu.

Utaitwa

"nitakuita kuta kwa ajili ya vita."

makundi yako ya jeshi yatakusanyika pamoja nawe

"makundi yako yote ya jeshi ambayo umeyakusanya kwako"

uliyokuwa umeyakusanya

"na wale watu uliowakusanya."

Ezekiel 38:10

Itakuwa siku hiyo hayo

"katika kipindi hicho"

mawazo yataingia katika mioyoni yenu

"mawazo yatakuja kwenye akili zenu"

Ezekiel 38:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe ananena na Gogu.

Sheba

Tazama tafsiri yake katika sura ya 27:22.

Denani

Tazama tafsiri yake katika sura ya 25:12.

mifugo

kondoo, mbuzi, ng'ombe

Ezekiel 38:14

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Gogu.

Katika siku hiyo ... jifunze kuhusu wao

Yahwe anatumia hili swali kusisitiza kwamba Gogu atasikia hasa kuhusu watu wanaoishi katika Israeli.

wanaweza kunijua

"wanaweza kunijua mimi ni nani"

Ezekiel 38:17

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kuhusu Gogu.

e, wewe siye yule ambaye ... yao?

Yahwe anatumia hili swali kusisitiza kwamba ni yeye ndiye aliyekuwa amemleta Gogu kwenye nchi ya Israeli.

yule ambaye niliyeongea naye

"ambaye ninaye mzungumzia"

juu yao

"juu ya watu wa Israeli"

Ezekiel 38:19

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kuhusu Gogu.

Milima itaangushwa chini

"Yahwe ataifanya milima kuanguka chini."

Ezekiel 38:21

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa gogu.

natafurika mvua, na mvua ya mawe ya moto. Nitaleta mvua ya kiberiti

"na nitanyeshea nchi mafuriko ya mvua, mvua ya mawe na kuchoma salfa"

mvua ya mawe

barafu ambayo huanguka chini kutoka angani

kiberiti

"salfa"

nitaonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu

"onyesha kwamba mimi ni mkubwa na mtakatifu"

Ezekiel 39

Ezekiel 39:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa Gogu.

Tazama!

"Ona" au "Sikia!"

mkuu wa Mesheki na Tubali

Haya maelezo yalitokea mara mbili katika hii mistari.

Ezekiel 39:4

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatiak Ezekieli ujumbe kwa Gogu.

Magogu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 38:1.

watajua ya kwamba mimi ni Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.

Ezekiel 39:7

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpattia Ezekieli ujumbe wake kwa Gogu.

nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli

"nitawafanya watu wangu, Israeli, kujua jina langu takatifu."

Tazama!

"Tazama!" au "Sikia!"

Ezekiel 39:9

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu.

rungu

mbao zilizotengenezwa kwa mbao kama silaha

watawateka nyara

tazama tafsiri yake katika sura ya 23:46.

Ezekiel 39:11

Maelezo ya Jumala:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu.

itakuwa ... kwamba

tukio la mihimu litafanywa.

magharibi mwa bahari

matoleo ya kisasa yanatafsiri maelezo ya Kiebrania hapa kama "upande wa magharibi kuelekea bahari."

Itazuia

"jefu lililokufa litazuia"

Huko wata

"Huko nyumba ya Israeli"

Watapaita

"Watu watapaita"

bonde la Hamon-Gogu

"Bonde la Jeshi Kubwa la Gogu"

Ezekiel 39:12

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu.

mwezi wa saba

"mweza wa 7"

kuwazika

"kuwazika watu wa jeshi la gogu"

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 39:14

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu.

kupitia nchi

"kupitia nchi ya Israeli"

Hamoni

Hili ni jina la "Jeshi Kubwa."

Ezekiel 39:17

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ujumbe wake kwa ndege na wanyama wa porini.

kwenye sadaka

"kwenye karamu" au "kuchinja" Yahwe alimaanisha kwamba atawapatia ndege na wanyama chakula kizuri na sio kuwaabudu.

wote walikuwa wanene katika Basheni

"wote wakawa wanene wakati wakiwa wanachunga Basheni."

Ezekiel 39:19

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa ndege na wanyama wa porini.

farasi

"watu ambao huendesha farasi."

hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 39:21

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu.

Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa

"nitayafanya mataifa kuona utukufu wangu"

hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao

Maneno haya yote yanarejea kwa hukumu ambayo Yahwe ataadhibu juu ya Israeli.

mkono wangu

Hapa neno "mkono" inarejea uweza wa Yahwe ambao huutumia kuleta hukumu.

juu yao

"juu ya watu wa jeshi kubwa la Gogu"

Ezekiel 39:23

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kuhusu Gogu.

naficha uso wangu

"niliacha kuwalinda na kuwajali."

anguka kwa upanga

Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22.

Ezekiel 39:25

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu nyumba ya Israeli.

nitawarudisha watu wa Yakobo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 16:53.

uhaini

"-sio aminifu"

nitajifunua mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi

"mataifa mengi watajua kwamba mimi ni mtakatifu kwa sababu ya kile kilichofanyika kwa nyumba ya Israeli."

Ezekiel 39:28

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu nyumba ya Israeli.

wakati nitakapomwaga Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli

"wakati nitakapoijaza nyumba ya Israeli ujazo wa Roho wangu"

Ezekiel 40

Ezekiel 40:1

miaka ishirini na tano ... miaka kumi na nne

miaka mitano ... miaka kumi na nne -

ya utumwa wetu

Hapa "yetu" inamrejea Ezekieli na Waisraeli ambao walikuwa katika Babeli tangu kipindi Wababeli walipomlazimisha Mfalme Yehoyakini kuondoka Yerusalemu.

mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi

Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ipo katika Mwezi wa nne kwa kalenda za Magharibi.

mji ulitekwa

"Wababeli waliuteka mji wa yerusalemu"

mkono wa Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1.

Akanileta kupumzika

"Akaniweka chini"

Ezekiel 40:3

akanipeleka huko

Yahwe akanileta hata mahali ambapo palipokuwa na majengo"

Tazama

Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.

mshipi wa kitani

"ni kama iliyotengenezwa kwa kitani." Hiki ni kifaa kwa ajili ya kupimia umbali mrefu.

fimbo ya kupimia

Hiki ni kifaa kwa ajili ya kupimia umbali mfupi.

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

elekeza moyo wako juu

"fikiri kuhusu."

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika 3:1

Ezekiel 40:5

kuzunguka eneo la hekalu

"kuelekea moja kwa moja kuzunguka eneo la hekalu"

dhiraa sita urefu

"dhiraa sita urefu." Hii ilikuwa kama mita 3.2.

kila "urefu" unalingana na dhiraa na ujazo wa kiganja

Kila urefu wa dhiraa ulikuwa kama sentimita 54.

ujazo wa kiganja

"upana wa mkono." Hii ilikuwa kama sentimita 8.

upana wa ukuta

"ni jinsi gani ukuta ulikuwa mpana." Ukuta ulikuwa mpana kama jengo.

mwanzi mmoja

"ilikuwa mwanzi mmoja upana." Hii ni kama mita 3.2.

urefu mwanzi mmoja

"na mwanzi mmoja urefu"

panda ngazi zake

"na alipanda ngazi za lango"

kina

"kutoka mbele ya kizingiti hata nyuma"

vyumba vya ulinzi

Kulikuwa na vyumba vilivyokuwa vimejengwa ndani ya lango ambavyo walikaa walinzi kulinda lango.

dhiraa tano

kama mita 2.7.

kati ya vyumba viwili

"kati ya vyumba"

varanda

Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.

Ezekiel 40:8

varanda

Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.

mwanzi mmoja

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

dhiraa mbili

Kama mita moja.

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

kipimo kile kile

"vilikuwa kipimo kimoja"

Ezekiel 40:11

lango la kuingia

"uwazi uliokuwa lango la kuingilia"

dhiraa kumi

kama mita 5.4.

dhiraa kumi na tatu

kama mita 7

vyumba vya ndani

"vyumba"

dhiraa sita

kama mita 3.2

dhiraa moja

"mita 54"

dhiraa ishirini na tano

dhiraa tano - kama mita 13.5

ambacho ni cha pili

"lango la pembe ya pili"

Ezekiel 40:14

vyumba ya ulinzi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

dhiraa sitini

kama mita thelathini na mbili.

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

varanda

Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.

dhiraa hamsini

kama mita ishini na saba

madidirsha yote yalikuwa upande wa ndani

"madirisha yalikuwa yamezunguka upande wa ndani"

Ezekiel 40:17

uwanja wa ndani

Tazama tafsiri yake katika sura ya 10:3.

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linatuonyesha kwamba Ezekieli ameona kitu kinachovutia.

kibamba

sakafu iliyo sawa swa iliyotengenezwa kwa matofali

pamoja navyumba thelathini karibu na kibamba

"na kulikuwa na vyumba thelathini vyote vimezunguka kibamba."

kupanda kuelekea

"kwenda moja kwa moja kuelekea"

dhiraa mia moja

Kama mita hamsini na nne.

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

Ezekiel 40:20

chumba cha ndani

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

kivaranda

Tazama tafsiri yake katika 8:16.

kipimo kile kile

"kulikuwa na kipimo kile kile"

dhraa hamsini

kama mita ishirini na saba.

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

dhiraa ishirini na tano

dhiraa tano -kama mita 13.5

lango kuu

lango ambalo lilikuwa upande wa magharibi mwa hekalu

Ezekiel 40:22

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kuelezea maono ya hekalu na ya yule mtu anayefanana na shaba.

Madirisha yake

Neno "yake" inarejea kwa lango ambalo lilikuwa upande wa kusini mwa uwanja wa nje.

vyumba vya ndani

Tazama tafsiri yake tatika sura ya 40:5.

ilikabiliana na lango lililoelekea mashariki

"ilikuwa kama lile lango lililoelekea mashariki"

uwanja wa ndani

Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.

mbele ya lango linaloelekea kaskazini

"moja kwa moja kukatiza kutoka lango linaelekea kaskazini"

pia kama kulikuwa na lango kuelekea magharibi

"pia kama kulikuwa na lango lililokuwa limeelekea uwanja wa ndani mbele ya lango kuelekea magharibi"

lango moja kuelekea jingine

"kutoka lango la nje upande wa kaskazini kuelekea lango la ndani upande wa kaskazini"

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

dhiraa mia moja

kama mita hamsini na nne

Ezekiel 40:24

kama lango jingine la nje

"kama hayo ya kaskazini na malango ya magharibi"

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

dhiraa hamsini

Kama mita thelathini na saba.

dhiraa ishirini na tano

dhiraa tano -kama mita 13.5.

Ezekiel 40:26

varanda

tazama tafsiri yake katika 8:16

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

dhiraa mia moja

kama mita hamsini na tano.

Ezekiel 40:28

ua wa ndani

Tazama tafsiri yake katika 8:16.

vyumba vya ndani

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

varanda

Tazama tafsiri yake katika 8:18.

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

dhiraa hamsini

kama mita 27.

dhiraa ishirini na tano

dhiraa tano -kama mita 13.5

dhiraa tano

kama mita 2.7

Hii varanda ilielekea ua wa nje

"varanda ilikuwa mbele ya ua wa nje." Watu wangeweza kwenda ndani na nje yake kutoka kwenye ua.

pamoja na mitende

"na ilikuwa na mapango ya mitende"

Ezekiel 40:32

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

dhiraa hamsini

kama mita ishirini na saba.

dhiraa ishirini na tano

dhiraa tano - kama mita 13.5

Ezekiel 40:35

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

dhiraa hamsini

kama mita ishirini na saba.

dhiraa ishirini na tano

dhiraa tano - kama mita 13

Ezekiel 40:38

karibu na kila lango la ndani

"katika kila malango ya ndani"

walipooshea sadaka za kutekezwa

Neno "wao" linarejea kwa watu au makuhani waliokuwa wakileta sadaka.

pande zote

"pande zote"

sadaka ya kuteketezwa ilipochinjiwa

"walijinja sadaka ya kuteketeza" au "waliua wanya ambao wangeteketezwa kama sadaka."

Ezekiel 40:42

jiwe lililochongwa

"ambalo lilikuwa limetengenezwa kwa jiwe ambalo lililokuwa limekatwa"

dharaa

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

dhiraa moja na nusu

Kama mita 0.8.

dhiraa moja

kama nusu mita

Kulabu mbili ujazo wa kiganja urefu uliokuwa umeunganishwa katika ua pande zote

"Kuzunguka varanda yote, watu walikuwa wameshambulia ndoana zilizokuwa zimejaa mkono mrefu na vidole viwili kila kimoja"

Kulabu mbili

kitu ambacho hatua mbili za tao, ambayo watu watu wanaweza kuning'niza vitu juu

ujazo wa kiganja urefu

kama mita nane.

nyama ya matoleo ilikuwa imewekwa juu ya meza

"wataweka mwili wa sadaka juu ya meza

Ezekiel 40:44

lango la ndani

Hili ni lango la ndani upande wa kaskazini.

vyumba vya waimbaji

"vyumba vya waimbaji"

Hiki chumba kilichoelekea kusini

Hili neno linamaanisha "Chumba chenye lango lake la kuingia kwa upande wa kusini."

nani yu katika zamu katika hekalu

"nani anafanya kazi katika hekalu" au "nani anawajibika kwa ajili ya kulinda hekalu"

Ezekiel 40:46

Maelezo ya Jumla:

Yule mtu anaendelea kunena na Ezekieli katika maono

chumba kinachoelekea kaskazini

"ambacho kilikuwa na lango la kuingia upande wa kaskazini"

yeye

"yule mtu"

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika 40:5.

dhiraa mia moja

Kama mita arobaini na nne.

pamoja na madhabahu

"na ilipokuwa madhabahu"

nyumba

Hii inarejea kwa hekalu.

Ezekiel 40:48

varanda

Tazama tafsiri yake katika 8:6.

mhimili wake

"mhimili wa nyumba"

dhraa

Tazama tafsiri yake katika 40:5, "refu."

dhiraa mbili

kama mita 2.7

dhiraa kumi na nne

kama mita 7.5

dhiraa tatu

kama mita 1:6

dhiraa ishirini

kama mita kumi na saba

dhiraa kumi na moja

kama mita sita

nguzo

vipande vya mawe ambavyo ni virefu na vyembamba na kusaidia majengo

Ezekiel 41

Ezekiel 41:1

Maelezo ya Jumla:

Yule mtu katika maono ya Ezekieli (40:) anaendelea kumuonyesha Ezekieli kuzunguka hekalu.

Ezekiel 41:3

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 401:5 "urefu"

hata mbele ya ukumbi wa hekalu

"kama upana wa mahali patakatifu"

Ezekiel 41:8

fimbo nzima

Tazama tafsiri yake katika sura ya 4:5, "fimbo"

Ezekiel 41:10

vyumba vya pembeni vya kuhani

"vyumba vya pembeni vya makuhani vilikuwa mbali na patakatifu"

Ezekiel 41:12

lazimisha

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:28.

Ezekiel 41:15

juu

"ubaraza wa ghorofa." Ubaraza wa ghorofa palikuwa mahali palipokuwa pamejengwa juu kuliko sehemu nyingine za jengo. Watu wanaweza kwenda kwenya ubaraza wa ghorofa na kutazama chini upande wa sakafu ya jengo.

varanda

Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.

Ezekiel 41:18

pamba

kufanya kitu kuwa kizuri hasa kwa kuweka kitu juu yake

nyumba

"patakatifu"

Ezekiel 41:21

Kulikuwa na milango miwili kwa ajili ya mahali patakatifu na mahali patakatifu sana

"mahali patakatifu na patakatifu sana kote kulikuwa na milango miwili"

Hii milango ilikuwa na bawaba mbili zilizokuwa zimeshikilia paneli za mlango yote

"Kila mlango ulikuwa na sehemu mbili katika bawaba." Bawaba inaunganisha milango kwenye ukuta na kuruhusu milango kubembea.

paneli mbili kwa ajili ya mlango mmoja na paneli mbili kwa ajili ya mwingine

"milango yote kwa sehemu zote mahali patakatifu na mahali pa juu sana palikuwa na sehemu mbili"

Ezekiel 41:25

kama kutu zilivyokuwa zimepambwa

"kama vile pia kuta zilivyokuwa na mapango ya kerubi na minazi"

varanda

Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.

Ezekiel 42

Ezekiel 42:1

ua wa nje

Tazama tafsiri yake katika sura ya 10:3.

ua wa ndani

Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.

na palikuwa pamefunguliwa kwa ajili yao

"na palionekana nje kwenye ua wa ndani"

kuwa na njia ya kutembea

"kwa sababu kulikuwa na mahali ambapo ungeweza kutembea karibu na vyumba"

Ezekiel 42:4

kiasi kidogo kulinganisha na vyumba

"ndogo kuliko vyumba"

Ezekiel 42:7

kuelekea

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:8.

Ezekiel 42:10

kwenye kichwa chake

"mwanzo wake"

Ezekiel 42:13

sadaka ya chakula

Hii ilikuwa sadaka ya unga. Watu walitoa "sadaka ya chakula" kuonyesha walikuwa na shukrani kwa Mungu.

Ezekiel 42:16

Alipima

Neno "ali" linarejea kwa yule mtu aliyefanana na shaba.

Ezekiel 42:20

Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa

"Nyumba ilikuwa na ukuta umeizunguka ambao ulikuwa na urefu."

Ezekiel 43

Ezekiel 43:1

Tazama!

Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari ya kushangaza inayofuata.

kama mlio wa maji mengi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:24, "Kama sauti ya maji yanayotiririka.

nchi iling'aa

"nchi ilikuwa na mg'ao wa mwanga"

Ezekiel 43:3

Lilikuwa kama

Neno "lili" inarejea kwa maono ya utukufu wa Mungu unaokuja kutoka mashariki.

wakati alipokuja kuiangamiza nchi

"wakati Mungu wa Israeli alipokuja kuuangamiza mji"

Ezekiel 43:6

mizoga ya wafalme wao

Hapa "mizoga" inarejea kwa sanamu ambazo watu wa wafalme waliziabudu. Sanamu zinaitwa mizoga kwa sababu zimekufa haziko hai.

Wameasi

"Nyumba ya Israeli imeasi"

matendo ya machukizo

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 5:9.

nimewala kwa hasira yangu

Hili neno linamaanisha "nimewaangamiza kabisa kwa sababu nilikuwa na hasira."

Ezekiel 43:9

mizoga ya waflme wao

Hapa "mizoga" inarejea kwa sanamu ambazo watu wa wafalme waliziabudu. Sanamu zinaitwa mizoga kwa sababu haziko hai.

Ezekiel 43:10

namna

"hii mbinu"

mbele ya macho yao

Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:6

watatunza ubunifu wake wote

"watatunza kiolezo"

Ezekiel 43:12

maelekezo

"kanuni"

mipaka inayozunguka

Neno "mpaka" ni kama linarejea kwa ukuta ulioelekea moja kwa moja kuzunguka hekalu.

takatifu sana

"takatifu hasa"

Tazama!

Neno "Tazama" hapa linasisitiza kwa kile kifuatacho.

Ezekiel 43:13

Mpaka unaozunguka machinjio

"Mpaka unaoelekea kuzunguka machinjio yake"

Hii ilikuwa chini ya madhabahu

"Hivi vilikuwa vipimo vya chini ya madhabahu."

chini ya madhabahu

"chini kusaidia madhabahu" au "msingi wa msingi wa madhabahu"

Ezekiel 43:15

Moyo

mahali ambapo dhabihu ambapo pengine zilipikwa au kuchomwa kwa moto

pembe

Pembe zilikuwa ni sehemu za madhabahu kwenye pembe ya madhabahu zinazoshikilia juu sehemu nyingine za madhabahu.

Ezekiel 43:18

alisema

"Yahwe alisema"

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

taratibu

"sheria" au "maelekezo"

Uta

Neno "uta" ni umoja.

Ezekiel 43:20

Kisha utachukua

Tazama tafsiri yake katika sura ya 43:18.

pembe nne

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 43:15.

Ezekiel 43:22

katika siku ya pili ume

Tazama tafsiri yake katika sura ya 43:18.

Vitoe mbele ya Yahwe

Madhabahu ambayo watatoa ng'ombe dume na kondoo dume, i mbele ya Hekalu ambapo uwepo wa Yahwe ulipo.

Ezekiel 43:25

Wewe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 43:18.

itakuwa kusu hilo

Hili neno limetumika ha hapa kuonyesha sehemu muhimu ya maelekezo.

sadaka zako za kuteketeza ... sadaka za amani ... kukupokea

Neno "yako" na "wewe" ni nafsi ya pili umoja inarejea kwa watu wa Israeli kwa ujumla.

nitakupokea

"nitakupokea kwa fadhila" au "nitafurahishwa na wewe"

Ezekiel 44

Ezekiel 44:1

iliyoelekea mashariki

Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura 40:5.

haitafunguliwa

"hakuna mtu atakaye ufungua"

Mungu wa Israeli

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 8:3.

varanda

Tazama tafsiri yake katika 8:16.

mbele ya Yahwe

"mbele ya Yahwe" au "katika uwepo wa Yahwe"

Ezekiel 44:4

Kisha aka

"Kisha yule mtu" au "Kisha Yahwe"

tazama

Neno "tazama" hapa inaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.

neno la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:12.

nikaanguka kifudi fudi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:27.

weka moyo wako

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:3.

taratifu zake zote

"maelekezo yote kuhusu nyumba ya Yahwe"

Ezekiel 44:6

Acheni matendo yenu maovu yatoshe kwa ajili yenu

"Matendo yenu maovu yamezidi kwa ajili yenu"

matendo maovu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:9.

Ezekiel 44:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli.

Ezekiel 44:10

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.

ni watumishi katika patakatifu pangu

"watakuwa watumishi katika hekalu langu"

kutazama malango ya nyumba

"kufanya kazi ya ulinzi kwenye malango ya nyumba"

watasimama mbele ya watu na kuwaokoa

"hawa Walawi watasimama mbele ya watu, ili kwamba waweze kuwaokoa watu"

nitainua mkono wangu kuapa kiapo

"nimeinua mkono wangu kuapa kiapo"

Ezekiel 44:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe kwa nyumba ya Israeli.

Wao

"Hawa Walawi"

Watakuja karibu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:46.

watabeba lawama zao na hatia

"wataaibika na kuteseka matokeo"

matendo ya machukizo

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:9.

watunzaji

mtu ambaye kazi yake ni kulinda au kuangalia kitu au mtu

kitakacho fanyika ndani yake

"kwamba wanataka kufanya ndani yake."

Ezekiel 44:15

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekili ujumbe wake kwa Israeli.

hao wana wa Zadoki waliokamilisha

"ambao ni uzao wa Zadoki na kukamilisha"

walipokuwa mbali nami

Hili neno linamaanisha "kuacha kumsikiliza na kunitii."

watakuja karibu nami

"watanikaribia"

hili ndilo tangazo la Bwana Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 44:17

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki wanao tumika kama makuhani.

Kwa hiyo itakuwa hivyo

"Kwa hiyo"

ua wa ndani

Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.

kitani

Tazama tafsiri yake katika sura ya 9:1.

sufu

ngua iliyotengenezwa kwa nywele laini za kondaa

vilemba

Kilemba ni kitu kinachofunika kichwani ambacho kimetengenezwa na nguo ndefu kuzunguka kichwa.

Ezekiel 44:19

Maelezo ya Jumala:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki unaotumika kama makuhani.

ua wa nje

tazama tafsiri yake katika sura ya 10:3.

Ezekiel 44:20

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambao ulitumika kama makuhani.

nyoa

kata nywele za mtu kuwa fupi ili iwezekane kuona ngozi ya kichwa

punguza nywele za vichwa vyao

"kata nywele juu ya vichwa ili ziweze kuwa ndefu au ndefu wala fupi"

mjane

mwanamke ambaye amefiwa na mume wake

kutoka kwenye mstari wa nyumba ya Israeli

"ambaye uzao wake ni watu wa Israeli"

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1

Ezekiel 44:23

Maelezo ya Jumala:

Yahwe anaendela kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambaye anatumika kama makuhani.

mjadala

"majadiliano"

Ezekiel 44:25

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambao ulitumika kama makuhani.

hili ni tangazo la Bwana Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 44:28

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambaye hutumika kama makuhani.

na ninyi

Hili neno "ninyi" linarejea kwa watu wa Israeli.

mali

nchi ambayo mtu humiliki na hutumia kuandaa kwa ajili ya mahitaji ya familia yake

katika Israeli

"katika nchi ya Israeli"

Ezekiel 44:30

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambaye hutumika kama makuhani.

malimbuko

Hapa "malimbuko" huenda inamaanisha kwamba vitu bora miongoni mwa sadaka zote zilizowekwa karibu kumtolea Mungu.

na kila kitu kitokanacho na sadaka

"na kila zawadi ya kitu chochote kutoka zawadi zako zote"

ili kwamba baraka iweze kukaa katika nyumba zenu

Hili neno linamaanisha "hivyo nitabariki familia yako na kila kitu ambacho ni mali yako."

au mnyama aliyeraruliwa, iwe ni ndege au mnyama

"au kiumbe ambaye ni ndege au mnyama wa porini amerarua."

Ezekiel 45

Ezekiel 45:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.

maeneo yote yanayoizunguka

"eneo lote ndani ya mipaka inayoizunguka"

Ezekiel 45:3

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaedelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.

hili eneo

hekalu na mpaka unaoizunguka

fungu

"fungu la nchi"

dhiraa

Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura ya 40:5.

Ezekiel 45:6

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.

imewekwa akiba kwa ajili ya mahali patakatifu

"ambayo uliyoitoa kwa ajili ya mahali patakatifu."

Urefu utalingana na urefu wa moja ya hayo mafungu

Inaonyesha kwamba Ezekieli analinganisha nchi ya mwana mfalme na ukubwa wa nchi iliyotolewa kwa kila makabila.

kutoka magharibi hata mashariki

Inaonyesha kwamba hii ilikuwa mipaka ya magharibi na mashariki mwa nchi ya Israeli.

Ezekiel 45:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaedelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli

Hii nchi itakuwa mali ya mwana mfalme katika Isaraeli

"Katika nchi, hii itakuwa mali ya mwana mfalme miongoni mwa watu wa Israeli"

Ezekiel 45:9

Inatosha kwa ajili yako

"Umefanya mengi kwa ajili ya hii"

vipimo

ni kifaa ambacho kilichokuwa kikitumika kupimia vitu ambavyo watu walivyovinunua au kuuza

ili kwamba birika liwe la homeri

"ili kwamba mabirika yatakuwa kiasi sawa kama homeri"

homeri

kama lita 220

shekeli

kama gram 11

gera

kama gram 0.55

mane

kama gram 660

Ezekiel 45:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

kwa kila homeri ya ngano

Inaonyesha kwamba hiki kiasi cha ngano ambacho watu huvuna. "kwa kila homeri ya ngano kutoka mavuno."

Maelekezo ya sadaka ya mafuta itakuwa

"Hii ni kanuni kuhusu mafuta, kuhusu birika la mafuta

mwagilia mikoa ya Israeli

"sehemu za Israeli zinazopata kiasi kizuri cha maji"

itatumika

"Utatumia hii migawanyiko kwa ajili"

Ezekiel 45:16

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

sikukuu za kudumu

"sikukuu zilizotengwa"

nyumba ya Israeli

Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.

Ezekiel 45:18

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi

Huu ni mwezi wa kalenda ya Kiebrania.

utachukua

Neno "uta" ni umoja na linarejea kwa yeyote aliye mwana mfalme katika Israeli.

katika saba ya mwezi

"siku ya saba ya mwezi wa kwanza"

kwa dhambi ya mtu yeyote kwa ajali

"kwa kila mtu aliyefanya dhambi bila kukusudia"

au upuuzi

"au aliasi kwa sababu hakujua vyema"

Ezekiel 45:21

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

Katika siku ya mwezi siku ya kumi na nne ya mwezi

Huu ni mwezi wa kalenda ya Kiebrani.

kwa ajili yanu

Neno "yenu" ni wingi na inarejea kwa mwana mfalme na watu wengine wa nyumba ya Israeli.

Ezekiel 45:23

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

sadaka ya chakula

Hii pia inaitwa "sadaka ya unga."

ng'ombe dume saba na kondoo dume saba wasio na dosari

ng'ombe dume na kondoo dume ambao wana afya kabisa"

efa

"lita ishirini na mbili"

hini

"lita ishirini na moja"

Ezekiel 45:25

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

Katika mwezi wa saba siku ya kumi na tano ya mwezi

Huu ni mwezi wa kalenda yaKiebrania.

kwenye sikukuu

Hii ni sikukuu tofauti kuliko sikukuu ambayo Ezekieli alikuwa akiielezea kabla.

Ezekiel 46

Ezekiel 46:1

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

ua wa ndani

Tazama tafsiri yakekatika sura ya 8:16.

kuelekea mashariki

Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:1.

lango la ndani

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 40:17

Ezekiel 46:3

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

mbele ya Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 43:22.

Ezekiel 46:6

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

varanda

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 40:8.

Ezekiel 46:9

mbele ya Yahwe

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 44:1

sikukuu zilizoteuliwa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 36:37.

Ezekiel 46:11

kwa ajili ya hiyo

"kwa ajili yake"

Ezekiel 46:13

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli.

kutia maji kidogo

"ambayo italowa"

Ezekiel 46:16

mwaka wa uhuru

Huu ni mwaka ambao mtumishi alipata uhuru. Huu pia unaitwa "Mwaka wa Jubilii."

Ezekiel 46:19

ambao ulielekea kaskazini

"ambao ulikuwa malango yao makuu kuelekea kaskazini"

Tazama!

Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli aliona kitu kinacho vutia.

ua wa nje

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 10:3.

Ezekiel 46:21

ua wa ndani

Tazama tafsiri yake katika sura ya 10:3.

Ezekiel 47

Ezekiel 47:1

kuelekea mashariki

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 40:5.

hata kulia kwa madhabahu

Huu ni upande wa kulia wa madhabahu wakati mtu alionekana katika huo wakati walipoelekea mashariki.

Ezekiel 47:3

kipimo cha mstari

ni gidamu au kamba ambayo watu hutumia kupimia umbali mrefu

Ezekiel 47:6

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

unaona hii

"Kuwa makini na hii"

Ezekiel 47:9

Kisha itakuwa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:6.

En Gedi

ni chemichemi mkubwa upande wa magharibi mwa Bahari ya Chumvi

kukausha

"kwa ajili ya watu kukausha"

En Eglaimu

ni chemichemi kubwa upande wa magharibi mwa Bahari ya Chumvi

Ezekiel 47:11

tapakaa maji

maeneo ambayo yenye maji lakini pia tope

mabwawa

mahali ambapo kuna kina kifupi cha maji

Ezekiel 47:13

Yusufu atakuwa na mafungu mawili

"uzao wa Yusufu utapokea maeneo mawili ya nchi."

kila mtu na ndugu miongoni mwenu

Hili neno linamaanisha "kila mtu apokee kiasi cha nchi sawa

nimeinua mkono wangu kuapa

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 20:4.

katika njia moja

"hivyo, hasa, hii"

Ezekiel 47:15

Hethloni

ni jina la mahali ambapo palikuwa na njia ndogo za kaskazini na mashariki mwa Tripoli.

Zadadi

ni jina la mji katika Lebanoni ambao ulikuwa katika sehemu moja ambayo ni Sadai kwa sasa.

Barota

ni sehemu katika Lebanoni ambayo ipo kusini kidogo mwa Baalbeki ilipo

Sabraimu

ni sehemu kati ya Damskasi na Hamathi

Hazeri Hatokoni

ni sehemu ilikuwa karibu na kati ya Damaskasi na Haurani

Haurani

Hii ni sehemu ya mashariki mwa Bahari ya Galilaya.

Hazari Enoni

ni sehemu katika Siria.

Ezekiel 47:18

Tamari

ni mji kama kilomita thelathi ni mbili kusini magharibi kutoka sehemu ya kusini ya Bahari ya Chunvi

Meriba Kadeshi

ni sehemu ya mpaka kati ya Israeli na Misri, nusu ya njia kati ya Bahari ya Shamu na Bahari ya Mediteria

kijito cha Misri

ni bonde kubwa sana katika sehemu ya kaskazi mwa Sinai

Ezekiel 47:21

kwa ajili yenu wenyewe

Neno "yenu wenyewe" ni wingi na linarejea kwa watu wa Israeli.

Kisha itakuwa kwamba

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 21:6.

hili ndilo tangazo la Bwana Yahwe

Tazama jinsi livyo tafsiriwa katika sura ya 5:11.

Ezekiel 48

Ezekiel 48:1

fungu moja la nchi

"kipande kimoja cha nchi ambacho utakigawanya"

Hethloni ... Lebo ... Hazari Enani

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 47:15.

Ezekiel 48:4

fungu moja

"fungu moja la nchi"

kunyoosha kutoka upande wa mashariki kwenda upande wa magharibi

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 48:1.

Ezekiel 48:8

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekile ujumbe wake kwa watu wa Israeli

dhiraa

"urefu"

upana

"kutoka kaskazini hata kusini"

Ezekiel 48:10

Sadaka kwa ajili yao itakuwa fungu la hii nchi takatifu sana

"Hili fungu dogo ndani ya fungu takatifu la nchi litamilikiwa na hawa makuhani, fungu ambalo ni takatifu zaidi kuliko yote ya fungu takatifu la nchi"

Ezekiel 48:13

haya malimbuko

"hii nchi ni malimbuko." Hapa "malimbuko" huenda inamaanisha vitu bora miongoni mwa sadaka zote zilizowekwa pembeni kumtolea Mungu.

Ezekiel 48:15

itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi

"itakuwa nchi ambayo imeungana na watu wa mji"

nyumba, na mahali pa malisho

"mahali kwa ajili ya nyumba na kwa ajili ya sehemu za wazi"

Ezekiel 48:17

uzalishaji wake

"vitu vinavyomea huko"

Ezekiel 48:19

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli.

Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji

"Utatoa sadaka takatifu na pia mali ya mji"

ninyi

Huu wingi unarejea kwa watu wa Israeli.

sadaka takatifu

nchi ambayo watu wa Israeli waliyopewa na Yahwe kwa ajili ya Walawi, makuhani, na hekalu

Ezekiel 48:21

sadaka takatifu

Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura ya 48:17.

Ezekiel 48:23

fungu moja

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 48:1, "fungu moja la nchi"

Ezekiel 48:27

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli.

Tamari ... Meriba Kadeshi ... kitabu cha Misri

Tazama tafsiri yake katika sura ya 47:18.

ninyi

Huu wingi unarejea kwa watu wa Israeli.

Hili ndilo tangazo la Yahwe

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.

Ezekiel 48:30

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

dhiraa 4,500

kama kilomita 2.4

Ezekiel 48:33

dhiraa

Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.

dhiraa

kama kilomita 2.4