Kiswahili: translationNotes Print

Updated ? hours ago # views See on WACS

Utangulizi wa Injili ya Mathayo

Sehemu ya 1: Utangulizi wa Ujumla

Maelezo ya Kitabu cha Mathayo

  1. Kuzaliwa kwa Yesu Kristo na mwanzo wa huduma yake (1:1-4: 25)
  2. Mahubiri ya Yesu mlimani (5:1-7:28)
  3. Yesu anaonyesha ufalme wa Mungu kupitia matendo ya uponyaji (8:1-9:34)
  4. Mafundisho ya Yesu kuhusu utume na ufalme (9:35-10:42)
  5. Mafundisho ya Yesu kuhusu injili ya ufalme wa Mungu. Mwanzo wa upinzani kwa Yesu. (11:1-12: 50)
  6. Mifano ya Yesu kuhusu ufalme wa Mungu (13:1-52)
  7. Upinzani zaidi kwa Yesu na kutokuelewa kuhusu ufalme wa Mungu (13:53-17:57)
  8. Mafundisho ya Yesu kuhusu uhai katika ufalme wa Mungu (18:1-35)
  9. Yesu ahudumu katika Yudea (19:1-22:46)
  10. Mafundisho ya Yesu kuhusu hukumu ya mwisho na wokovu (23:1-25:46)
  11. Kusulubiwa kwa Yesu, kifo chake na ufufuo wake (26:1-28:19)

Je, kitabu cha Mathayo kinahusu nini?

Injili ya Mathayo ni moja ya vitabu vinne katika Agano Jipya ambavyo vinaelezea kuhusu maisha ya Yesu Kristo. Waandishi wa Injili waliandika juu ya mambo mbalimbali yaliyoonyesha kama Yesu alikuwa nani na ni nini alichofanya. Mathayo aliashiria kwamba Yesu alikuwa Masiya, na kama Mungu angeweza kuokoa Israeli kupitia kwake. Mathayo mara nyingi alielezea kwamba Yesu alitimiza unabii wa Agano la Kale kuhusu Masiya. Hii inaweza kuonyesha kwamba alitarajia kuwa wasomaji wake wengi wa kwanza watakuwa Wayahudi. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#christ)

Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?

Watafsiri wanaweza kuchagua kukiita kitabu hiki kwa kichwa chake asilia, "Injili ya Mathayo," au "Injili kulingana na Mathayo." Au wanaweza kuchagua kichwa ambacho ni wazi, kama vile "Habari Njema ya Yesu ambayo Mathayo aliandika." (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#translate-names)

Nani aliandika Kitabu cha Mathayo?

Kitabu hakitupi jina la mwandishi. Hata hivyo, tangu nyakati za hapo mwanzo za Kikristo, Wakristo wengi wamefikiri kwamba mwandishi alikuwa Mtume Mathayo.

Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni

Je, "Ufalme wa mbinguni" ni nini?

Mathayo alizungumza juu ya ufalme wa mbinguni kwa njia ile ile ambayo waandishi wengine wa injili walizungumzia juu ya Ufalme wa Mungu. Ufalme wa mbinguni unawakilisha Mungu akitawala juu ya watu wote na viumbe vyote kila mahali. Wale ambao Mungu anakubali katika ufalme wake watabarikiwa. Wataishi pamoja na Mungu milele.

Je, njia za kufundisha za kufundisha zilikuwa zipi?

Watu walimwona Yesu kama rabi. Rabi ni mwalimu wa sheria ya Mungu. Yesu alifundisha kwa njia iliyokuwa sawa na njia ya walimu wengine wa kidini huko Israeli. Alikuwa na wanafunzi ambao walimfuata kila mahali alipoenda. Wanafunzi hawa waliitwa wanafunzi. Mara nyingi aliwaambia mifano. Mifano ni hadithi zinazofundisha masomo ya maadili. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#lawofmoses and https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#disciple na https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#parable)

Sehemu ya 3: Masuala muhimu ya Tafsiri

Je, vitabu vya kwanza vya Injili ni vipi?

Vitabu vya Mathayo, Marko na Luka huitwa injili za sinoptiki kwa sababu vina vifungu vingi vinavyofanana. Neno "sinoptiki" linamaanisha "kuona kwa pamoja."

Maandiko husemekana kuwa "sawa" wakati ambapo injili mbili au tatu zinafanana au zinakaribia kufanana. Wakati wa kutafsiri vifungu sambamba, wafasiri wanapaswa kutumia maneno sawa na kuyafananisha iwezekanavyo.

Je, kwa nini Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana wa Binadamu"?

Katika Injili, Yesu anajiita mwenyewe "Mwana wa Binadamu." Ni kumbukumbu ya Danieli 7:13-14. Katika kifungu hiki kuna mtu anayeelezewa kuwa "Mwana wa binadamu." Hiyo ina maana kwamba mtu huyo alifanana na mwanadamu. Mungu alitoa mamlaka kwa mwana wa binadamu kutawala mataifa milele. Na watu wote watamwabudu milele.

Wayahudi wa wakati wa Yesu hawakutumia "Mwana wa Binadamu" kama jina la mtu yeyote. Kwa hiyo, Yesu aliitumia kwa ajili yake mwenyewe ili kuwasaidia kuelewa kama yeye alikuwa nani. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#sonofman)

Kutafsiri jina "Mwana wa Binadamu" kunaweza kuwa vigumu kwa lugha nyingi. Labda wasomaji hawataelewa tafsiri halisi. Watafsiri pia wanaweza kutumia jina mbadala, kama vile "Yule aliye Mtu." Inaweza pia kusaidia wanapoingiza maelezo ya chini ya tanbihi ili kulielezea.

Je, ni yapi masuala makuu katika maandishi ya Kitabu cha Mathayo?

Haya ni masuala muhimu zaidi ya maandishi katika Kitabu cha Mathayo:

  • "Bariki wale wanaokulaani, tenda mema kwa wale wanaokuchukia" (5:44)
  • "Kwa maana ufalme ni wako na nguvu na utukufu milele. Amina" (6:13)
  • "Lakini aina hii ya pepo haitoki isipokuwa kwa maombi na kufunga" (17:21)
  • "Kwa maana Mwana wa Binadamu alikuja kuokoa kile kilichopotea" (18:11)
  • "Wengi huitwa, lakini wachache huchaguliwa" (20:16)
  • "Ole wenu, walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! kwa kuwa mnaangamiza nyumba za wajane, wakati mnatoa sala ya muda mrefu. Basi mtapata hukumu kubwa zaidi." (23:14)

Watafsiri wanashauriwa kutoingiza vifungu hivi. Hata hivyo, ikiwa katika eneo la watafsiri, kuna matoleo ya zamani ya Biblia ambayo yanajumuisha moja au zaidi ya vifungu hivi, watafsiri wanaweza kuvijumuisha. Ikiwa vinajumuishwa, wanapaswa kuviweka ndani ya mabano ya mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda asili yao sio Injili ya Mathayo. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/jit.html#translate-textvariants)

Matthew 1

Mathayo 01 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 1:23, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Dhana maalum katika sura hii

Nasaba

Nasaba ni orodha ambayo hurekodi mababu au wazao wa mtu. Orodha hizo zilikuwa muhimu sana katika kuamua nani aliyekuwa na haki ya kuwa mfalme, kwa sababu mamlaka ya mfalme mara nyingi ilipokelewa au kurithiwa kutoka kwa baba yake. Ilikuwa pia ya kawaida kwa mtu yeyote mashuhuri kuwa na kizazi cha kumbukumbu.

Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii

Matumizi ya sauti tulivu

Sauti tulivu hutumiwa kwa makusudi katika sura hii ili kuonyesha kwamba Yesu hakuzaliwa kupitia uhusiano wa ngono. Hapa, sauti tulivu inaashiria Roho Mtakatifu kama aliyetanguliza uja uzito wake Maria alipombeba mtoto Yesu. Kwa kuwa lugha nyingi hazina sauti tulivu, watafsiri wanapaswa kutafuta njia nyingine za kuwasilisha ukweli huo. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#figs-activepassive)

| >>

Matthew 1:1

Taarifa kwa ujumla:

Mwandishi anaanza na ukoo wa Yesu ili kuonesha kwamba yeye ni mzaliwa wa mfalme Daudi na wa Ibrahimu.

Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo

Ungeweza kutafsiri hii kama sentenso kamili.

mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu

Kulikuwa na vizazi vingi kati ya Yesu, Daudi, na Ibrahimu. Hapa "mwana" humaanisha "mzaliwa" "mzaliwa wa Daudi, ambaye alikuwa mzaliwa wa Ibrahimu.

mwana wa Daudi

wakati mwingine kirai "mwana wa Daudi" hutumika kama cheo, lakini hapa inaonekana kutumika kutambulisha tu ukoo wa Yesu.

Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka

Kuna njia mbalimbali ungeweza kutafsiri maelezo haya. Kwa namna yoyote unavyo natafsiri hapa, ingekuwa bora zaidi kuyatafsiri kwa namna ilele kwa orodha yote ya mababu wa Yesu. "Ibrahimu akawa baba wa Isaka" au "I brahimu alikuwa na mwana Isaka" au "Ibrahimu alikuwa na mwana aliitwa Isaka."

Peresi na Sera...Hesroni...Ramu

Haya ni majina ya wanaume

Peresi baba... Hesroni baba

"Peresi alikuwa baba... Hesroni alikuwa baba.

Matthew 1:4

Salmoni alikuwa baba wa Boazi kwa Rahabu

"Salamoni alikuwa baba wa Boazi, na mama wa Boazi alikuwa Rahabu" au "Salmoni na Rahabu walikuwa wazazi wa Boazi.

BOazi baba wa Obedi kwa Ruth

"Boazi alikuwa baba wa Obedi, na mama wa Obedi alikuwa Ruth" au "Boazi na Ruth walikuwa wazazi wa Obedi"

Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria.

"Daudi alikuwa baba wa Sulemani, na mama wa Sulemani alikuwa mke wa Uria" au "Daudi na mke wa Uria walikuwa wazazi wa Sulemani"

mke wa Uria

Sulemani alizaliwa baada ya Uria kufa. "mjane wa Uria."

Matthew 1:7

Yoramu baba wa Uzia

Yoramu alikuwa kwa kweli babu ya babu yake na Uzia, hivyo 'baba" linaweza kutafsiriwa kama " babu"

Matthew 1:9

Amoni

Wakati mwingine jina hili limetafsiriwa "Amosi"

Yosia alikuwa baba wa Yekonia

Yosia alikuwa kwa kweli babu yake na Yekonia.

wakati wa kuchukuliwa kwenda Babeli

"wakati walipoamriwa kwa nguvu kuondoka kwenda Babeli" au "wakati Wababeli walipo washinda na kuwahamisha kwenda kuishi Babeli." Kama lugha yako inahitaji kuwataja wazi ambao walienda Babeli, unaweza kusema "Waisraeli" au Waisraeli ambao waliishi Yuda.

Babeli

Hapa humaanisha nchi ya Babeli, sio tu mji wa Babeli.

Matthew 1:12

baada ya kuchukuliwa kwenda Babeli

Tumia maneno yale yale uliyoyatumia katika Mat.1:9

Shealitieli baba ya Zerubabeli

Shealitieli kwa kweli alikuwa babu yake na Zerubabeli.

Matthew 1:15

Maelezo yanayounganisha

Mwandhishi anahitimisha ukoo wa Yesu, ambayo yalianza katika Mat.1: 1

Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa

Mariamu, ambaye alimzaa Yesu

Aitwaye Kristo

Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo hai. "watu ambao humwita Kristo."

Kumi na nne

"14"

kuchukuliwa kwenda Babeli

Tumia maneno yale yale uliyotumia katika Mat.1:9.

Matthew 1:18

Taarifa kwa ujumla:Mama yake alikuwa amechumbiwa kuolewa na Yusufu

"Mama yake Mariamu alikuwa mbioni kuolewa na Yusufu" kwa kawaida wazazi walifanya mipango ya ndoa za watoto wao." Wazazi wa Mariamu, mama wa Yesu, walikuwa wamemwahidi kuolewa na Yusufu.

Mama yake Mariamu alikuwa amechumbiwa

Tafsiri kwa namna ambayo huweka wazi kwamba Yesu alikuwa bado hajazaliwa wakati Mariamu alikuwa amechumbiwa na Yusufu. "Mariamu, ambaye angekuwa mama wa Yesu, alikuwa amechumbiwa,"

Kabla hawajapata kuwa pamoja

"kabla hawajaoana." Hii pengine inamaanisha Mariamu na Yusufu kulala pamoja. kabla hawajalala pamoja."

alionekana kuwa mjamzito

Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo tendaji. "wakatambua kwamba alikuwa mbioni kupata mtoto" au 'ilitokea kuwa alikuwa mjamzito.

kwa Roho Mtakatifu

Uwezo wa Roho Mtakatifu ulikuwa umemwezesha kupata mtoto kabla ya kuwa amelala na mwanamume.

Mumewe Yusufu

Yusufu alikuwa bado hajamwoa Mariamu, lakini wakati mwanamume na mwanamke waliahidi kuoana, Wayahudi waliwahesabu mume na mke ingawa hawakuishi pamoja. "Yusufu, ambaye aliyepaswa kumwpoa Mariamu" au "Yusufu."

alisitisha uchumba kati yake na yeye

kuvunja mipango ya kuoana

Matthew 1:20

Kama alivyofikiri

"Kama Daudi alivyofikiri"

alimtokea katika ndoto

"alikuja kwake wakati Yusufu alikuwa akiota ndoto"

mwana wa Daudi

Hapa "mwana" humaanisha "mzaliwa"

aliyechukuliwa mimba katika tumbo lake amechukliwa mimba kwa Roho Mtakatifu

Hii inaweza kuelezewa kwa namna iliyo tendaji. "Roho Mtakatifu alisababisha Mariamu kuwa mjamzito na kuwa na mtoto huyu."

Naye atamzaa mwana

Kwa sababu Mungu alimtuma malaika, malaika alijua mtoto atakuwa mvulana.

utamwita jina lake

Hii ni amri. "utamwita" au "yakupasa kumpa jina"

kwa kuwa ataokoa

Mtafsiri anaweza kuongeza rejeo inayo sema "Jina 'Yesu' maana yake Bwana huokoa."

watu wake

Hii humaanisha Wayahudi

Matthew 1:22

Taarifa kwa ujumla

Mwandishi amnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba kuzaliwakwa Yesu kulikuwa kwa mujibu wa andiko

Hii yote ilitokea

Malaika hazungumzi tena. Mathayo sasa anaeleza umuhimu wa kile malaika alikisema.

kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii

Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo tendaji. "kile ambacho Bwana alimwambia nabii Isaya kuandika zamani."

Tazama...Emanueli

Hapa Mathayo anamnukuu nabii Isaya.

Tazama

Neno hili huongeza msisitizo kwa kile kilicho fuata kusemwa. "Tazama" au "Sikia" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukuambia"

Emanueli

Hili ni jina la kiume.

maana yake 'Mungu pamoja nasi'

Hii haimo katika kitabu cha Isaya. Mathayo anaeleza maana ya jina "Emanueli." Unaweza kulitafsiri kama sentenso iliyo peke yake. "Jina hili maana yake 'Mungu pamoja nasi.'"

Matthew 1:24

Maelezo yanayo unganisha:

Mwandishi anahitimisha maelezo ya matukio kuelekea kuzaliwa kwa Yesu.

kama malaika wa Bwana alivyoamuru

Malaika alikuwa amemwambia Yusufu kumchukua Mariamu kama mke wake na kumpa mtoto jina Yesu.

akamchukua kama mke wake

"alimwoa Mariamu"

kwa mwana

Hakika ni wazi kuwa Yusufu si baba halisi "kwa mtoto wa kiume" au "kwa mwana wake."

Na alimwita jina lake Yesu

"Yusufu alimwita mtoto Yesu"

Matthew 2

Mathayo 02 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mstari yote ya mistari ya 6 na18, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Dhana maalum katika sura hii

"Nyota yake"

Huenda labda inaelezea nyota ambayo wasomi waliamini kuwa ishara ya mfalme mpya wa Israeli. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#sign)

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Waakili"

Tafsiri za Kiingereza hutumia maneno mengi tofauti ili kutafsiri maneno haya. Maneno haya ni pamoja na "wanajimu" na "watu wenye hekima." Watu hawa wangeweza kuwa wanasayansi au majusi. Ni bora kutafsiri hii kwa neno la kawaida "waakili," inapowezekana.

<< | >>

Matthew 2:1

Taarifa kwa ujumla:

Sehsmu mpya ya habari huanza hapa na kuendelea hadi mwisho wa sura. Mwandishi anasimulia kuhusu jaribio la Herode kumwua mfalme mpya wa Wayahudi.

Bthlehemu ya Yuda

"mji wa Bethlehemu katika jimbo la Uyahudi"

katika siku za mfalme Herode

"wakati Herode alipokuwa mfalme huko"

Herode

Hii humaanisha Herode Mkuu.

mamajusi

"watu wenye elimu ya nyota"

kutoka mashariki

"kutoka nchi ya mbali mashariki ya Uyahudi.

Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi?

Watu wale walijua kutokana na elimu ya nyota kwamba yule ambaye atakuja kuwa mfalme alikuwa amekwisha zaliwa. Walikuwa wanajaribu kuchunguza mahali alipokuwa. Mtoto mdogo ambaye atakuja kuwa mfalme wa Wayahudi amezaliwa. Yuko wapi?"

nyota yake

Walikuwa hawasemi kwamba mtoto mdogo alikuwa mmiliki halali wa nyota. "nyota ambayo hutuambia kuhusu yeye" au "nyota ambayo imehusishwa na kuzaliwa kwake.'

mashariki

"ilikuja tokea mashariki" au wakati tulopkuwa katika nchi yetu"

abudu

uwezekano wa maana ni 1) walikusudia kumwabudu mtoto mdogo kama Mungu, au 2) walitka kumpa heshima kama mfalme wa kibinadamu. Kama lugha yako ina neno ambalo huhusisha maana zote mbili, unapaswa kuzingatia kulitumia hapa.

alifadhaika

"alitaabishwa." Herode alitaabishwa kwamba mtoto mdogo huyu atachukua nafasi yake kama mfalme.

Yerusalemu yote

Hapa "Yerusalemu" ina maanisha watu. Pia "yote" humaanisha "wengi." Mathayo anaongeza chumvi kusisitiza watu wangapi walitaabishwa. "watu wengi wa Yerusalemu."

Matthew 2:4

Taarifa kwa ujumla:

Ktoka mstari wa 6, makuhani wakuu na waandishi wa watu wanamnukuu nabii Mika kuonesha kwamba Kristo angezaliwa Bethlehemu.

Katika Bethlehemu ya Yuda

"Katika mji wa Behlehemu katika jimbo la Yuda"

hili ndilo lililoandikwa na nabii

Hili linaweza kuelezwa kwa namna iliyo tendaji. hiki ndicho likchoandikwa na nabii zamani.

Na wewe, Bethlehemu...Israeli

Wanamnukuu nabii Mika.

wewe, Bethlehemu...hu mdogo miongoni mwa viongozi wa Yuda

MIka alikuwa akizungumza na watu wa Bethlehemu kana kwamba walikuwa pamoja naye, lakini hawakuwa naye. Pia "hu mdogo" linaweza kutafsiriwa na kirai chanya. "ninyi watu wa Bethlehemu,...mji wenu ni miongoni mwa miji iliyo muhimu zaidi kuliko yote katika Yuda.

ambaye atawachunga watu wangu Israeli

Mika anamzungumza mtawala huyu mchungaji. Hii inamaanisha ata waongoza na kuwahudumia watu. "ambaye atawaongoza watu wangu Israeli kama mchungaji aongozavyo kondoo wake."

Matthew 2:7

Herode aliwaita mamajusi kwa siri

Hii inamaanisha kwamba Herode alizungumza na mamajusi bila ya watu wengine kujua.

kuwauliza lini hasa nyota ilikuwa imekwisha onekana.

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya moja kwa moja. "na akawauliza, lini hasa nyota hii ilionekana?"

nyota ilikuwa imeonekana lini

Hii inadokeza kwamba mamajusi walimwambia nyota ilionekana lini. "wakati gani nyota ilikuwa umeonekana. Mamajusi walimwambia Herode lini wakati nyota ilipoonekana mara ya kwanza."

mtoto mchanga

Inamaanisha Yesu.

nipe neno

"nijulishe" au "niambie"

mwabudu

Tafsiri hii kama ulivyofanya katika Mat 2:1

Matthew 2:9

baada ya

"baada ya mamajusi"

walikuwa wamekwisha iona mashariki

"walikuwa wamekwisha iona ikija kutoka mashariki" au "walikuwa wamekwisha iona katika nchi yao."

ikawatangulia

"iliwaonesha njia" au "iliwaongoza"

ilitulia juu ya

"ilisimama juu"

mahali alipokuwa mtoto

"mahali ambapo mtoto mchanga alikuwapo"

Matthew 2:11

Maelezo yanayounganisha:

Hapa mandhari yanahamia kwenye nyumba mahari Mariamu, Yusufu, na mtoto mchanga Yesu walikuwa wakiishi.

walienda

"Mamajusi walienda"

abudu

Trafsiri neno hili kama ulivyofanya katika Mat.1:1

Hazina zao

"hazina" humaanisha kasha au mifuko waliotumia kubebea hazina. "vyombo ambavyo vilishikilia hazina zao."

Mungu aliwaonya

"Baadaye, Mungu aliwaonya mamajusi." Mungu alijua kwamba Herode alitaka kumdhuru mtoto.

wasirudi kwa Herode

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya moja kwa moja. "kusema, 'Msirudi kwa mfalme Herode."

Matthew 2:13

Taarifa za jumla:

Katika mstari wa 15, mwandishi amnukuu nabii Hosea kuonesha kwamba Kristo angekaa Misri.

walikuwa wameondoka

:mamajusi walikuwa wameondoka"

alimtokea yusufu katika ndoto.

"alikuja kwa Yusufu wakati alipokuwa anaota.

Amka, chukua...kimbilia...Baki...wewe

Mungu anazungumza na Yusufu, haya yanapaswa kuwa katika umoja.

hadi nitakapo kuambia

Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa kuwa wazi. "mpaka nitakapo kuambia ni salama kurudi."

Nita kuambia

Hapa "nitakapo kuambia" inamaanisha Mungu. Malaika anazungumza kwa ajili ya Mungu.

Alibaki

Inamaanisha kwamba Yusufu, Mariamu, na Yesu walibaki Misri. "Walibaki"

mpaka kifo cha Herode

Herode hafi mpaka Maelezo haya yanaelezea urefu wa muda wa kukaa Mirsi, na hayasemi kwamba Herode alikufa kwa wakati huu.

Kutoka Misri nitamwita mwanangu

"Nimemwita mwanangu kutoka Misri"

Matthew 2:16

Maelezo yanayounganisha:

Hapa mandhari yahamia kurudi kwa Herode na hueleza alifanya nini baada ya kugundua kuwa mamajusi walikuwa wamemdanganya.

Taarifa kwa ujumla

Matukio haya yalitokea kabla kifo cha Herode, ambayo mwandishi ameyataja katika2:13

amekwisha dhihakiwa na mamajusi

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "mamajusi walikuwa wamemwaibisha kwa kumdanganya."

Alituma na kuwaua watoto wote wa kiume

Herode hakuua watoto yeye mwenyewe. "Alitoa amri ili maaskali wake watoto wote wa kiume" au "Aliwatuma maaskari pale kuwa watoto wote wa kiume.

wenye umri wa miaka miwili na chini yake

"Umri wa miaka 2 na wadogo chini ya umri huo.

kwa mujibu wa wakati

"kutegemeana na wakati"

Matthew 2:17

Taarifa kwa ujumla:

Mwandishi amnukuu nabii Yeremia kuonesha kwamba kifo cha watoto wote wa kiume katika mkoa wa Bethlehemu kilikuwa kwa mujibu wa Maandiko.

Kisha ilitimizwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Hii ilitimizwa" au "matendo ya Herode yalitimiza."

kile kilicho kuwa kimenenwa kwa njia ya nabii Yeremia

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "kile Bwana alikinena hapo zamani kwa njia ya nabii Yeremia"

Sauti ilisikika...hawakuwapo

Mathayo anamnukuu nabii Yeremia.

Sauti ilisikika

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Watu walisikia sauti" au "kulikuwa na sauti kubwa."

Raheli awalilia watoto wake

Raheli aliishi miaka mingi kabla ya wakati huu. Unabii huu huonesha Raheli, ambaye amekufa, akiwalilia wazaliwa wake.

alikataa kufarijiwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "hakuna yeyote angeweza kumfariji"

kwa sababu hawapo tena

kwa sababu watoto walikuwa wametoweka na kamwe hawatarudi." Hapa "hawapo tena" ni njia laini ya kusema wamekufa. "kwa sababu walikuwa wamekufa"

Matthew 2:19

Maelezo yanayounganisha:

Hapa mandhari ya hamia kwenda Misri, mahali Ysufu, Mariamu, na mtoto Yesu wanaishi.

tazama

Hii inaweka alama ya mwanzo wa tukio jingine katika habari ndefu. inaweza kuhusisha watu wengi kuliko matukio yaliyotangulia. Lugha yako inaweza kuwa namna ya kufanya hivi.

wale ambao walitafuta uhai wa mtoto

"wale ambao walikuwa wanamtafuta mtoto ili wamwue"

wale ambao walitafuta

Hii ina maanisha mfalme Herode na washauri wake.

Matthew 2:22

Maelezo yanayounganisha:

Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi ambayo ilianza katika Mat. 2:1. kuhusu jaribio la Herode kumwua mfalme mpya wa Wayahudi.

Lakini aliposikia

"Lakini Yusufu aliposikia"

Arikeleu

Hili ni jina la mwana wa Herode.

aliogopa

"Yusufu aliogopa"

lile lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "lile Bwana alilolinena hapo zamani kwa njia ya manabii"

ataitwa mnazarayo

Hapa "ataitwa" anamaanisha Yesu. Manabii kabla ya wakati wa Yesu wangelimtaja kama Masihi au Kristo. "watu wangesema kuwa Kristo ni Mnazarayo."

Matthew 3

athayo 03 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya mstari wa 3, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Dhana maalum katika sura hii

"Zaeni matunda yanayostahili toba"

Matunda ni taswira ya kawaida katika maandiko. Inatumika kuelezea matokeo ya tabia nzuri au mbaya. Katika sura hii, matunda mazuri ni matokeo ya kuishi kama Mungu anavyoamuru. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/other.html#fruit)

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Ufalme wa mbinguni umekaribia"

Wataalam wanajadili ikiwa "ufalme wa mbinguni" ulikuwepo wakati huu au bado unakuja. Tafsiri za Kiingereza mara nyingi hutumia maneno "karibu," lakini hii inaweza kusababisha changamoto katika kutafsiri. Matoleo mengine hutumia maneno "inakaribia" na "yamekaribia."

<< | >>

Matthew 3:1

Taarifa kwa ujumla:

Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi mahali ambapo mwandishi anaisimulia huduma ya Yohana Mbatizaji. Katika mst. 3. mwandishi anamnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa mjumbe aliyechaguliwa na Mungu kuandaa huduma ya Yesu.

Katika siku hizo

Hii ni miaka mingi baada ya Yusufuna familia kuondoka Misri na kwenda Nazareti.Hii pengine karibu na wakati ambao Yesu alianza huduma yake. "Baadaye" au "Miaka kadhaa baadaye."

Tubuni

Hii iko katika wingi. Yohana anazungumza na umati.

ufalme wa mbinguni umekaribia

Kirai "ufalme wa mbinguni" humaanisha Mungu kutawala kama mfalme. Kirai hiki kiko katika kitabu cha Mathayo tu. Kama inawezekana, tumia neno "mbinguni" katika tafsiri yako. "Mungu wetu uliye mbinguni baada ya muda mfupi atajionesha mwenyewe kuwa mfalme."

Kwa kuwa huyu ndiye aliyenenwa na nabii Isaya akisema

Hii inaweza kuelezwa katika nmna iliyo tendaji. "Kwa kuwa Isaya nabii alikuwa anamnena Yohana Mbatizaji wakati aliposema."

Sauti ya mtu

Hapa "sauti" humaanisha nafsi yote. "Kuna mtu."

Tengenezeni njia ya Bwana, nyosheni njia yake

"Andaeni njia ya Bwana, nyosheni njia yake." Hii ni sitiari ya ujumbe wa Yohana ambao unawita watu kujiandaa na ujio wa Yesu kwa kufanya toba ya dhambi zao. "Badilika katika maisha yako hivyo utakuwa tayari wakati Bwana ajapo."

Matthew 3:4

Sasa...asali ya nyikani

Neno "sasa" limetumika hapa kuweka alama kutenganisha mtiririko mkuu wa simulizi. Hapa Mathayo ana simulia habari za historia ya nyuma kuhusu Yohana Mbatizaji.

alivaa nguoa za manyoa ya ngamia na mkanda wa ngozi katika kiuno chake.

Vazi hili huashiria kwamba Yohana ni nabii kama manabii wa tangu zamani, hususan nabii Eliya.

Kisha Yerusalemu, Uyahudi yote, na mkoa wote

Hii humaanisha watu kutoka maeneo yale. "Hapa neno "yote" humaanisha "wengi." Mathayo anasisitiza jinsi watu wengi walivyoenda kwa Yohana Mbatizaji.

Walibatizwa naye

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Yohana aliwabatiza."

Wao

Hii inamaanisha watu waliokuja kutoka Yerusalemu, Uyahudi, na mkoa kuzunguka Mto Yordani.

Matthew 3:7

Taarifa kwa ujumla:

Yohana Mbatizaji aanza kuwakemea Mafarisayo na Masadukayo.

Enyi uzao wa nyoka wa sumu

Hii ni sitiari. Nyoka wa sumu ni hatari na wanwaklisha uovu. "Enyi nyoka wa sumu waovu!" au "Mu waovu kama nyoka wa sumu."

nani kawaonya kuikimbia ghadhabu ambayo inakuja

Yohana anatumia swali kuwaonya Mafarisayo na Masadukayo kwa sababu walikuwa wakimwomba kuwabatiza ili kwamba Mungu asiwahukumu, lakini hawakutaka kuacha kufanys dhambi. "hamwezi kuikimbia ghadhabu ya Mungu namna hii" au "msifikiri kwamba mnaweza kuikimbia ghadhabu ya Mungu kwa sababu ya kuwabatiza tu.

Ikimbieni gadhabu inayokuja

Neno "ghadhabu" linatumika kumaanisha adhabu ya Mungu kwa sababu ghadhabu yake hutangulia. "kimbieni kutoka kwenye hukumu ambayo inakuja" au "iepukeni kwa sababu Mungu anaenda kuwaadhibu ninyi."

Zaeni matunda yastahiliyo toba

Kirai "zaeni matunda" ni sitiari inayomaanisha matendo ya mtu. "Acha matendo yenu yaoneshe kwamba mmetubu kweli."

Tunaye Ibrahimu baba yetu

"Ibrahimu ni babu yetu" au "ni wazaliwa wa Ibrahimu." Viongozi wa Kiyahudi walifikiri kwamba Mungu hangewahukumu kwa kuwa ni wazaliwa wa Ibrahimu.

Kwa maana nawambieni

Hii inaongeza msisitizo kwa kile Yohana anchokwenda kukisema

Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya.

"Mungu angeweza kufanya wazaliwa wa mwili kutokana hata na mawe haya na kumpa Ibrahimu"

Matthew 3:10

Maelezo yanyounganisha

Yohana Mbatizaji anaendelea kuwakemea Mafarisyo na Masadukayo.

Tayari shoka limekwisha wekwa kwenye shina la miti. Hivyo kila mti usioweza kuzaa matunda mazuri unakatwa na kutupiwa motoni.

Sitiari hii inamaanisha Mungu yuko tayari kuawaadhibu wenye dhambi. Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Mungu ana shoka lake na yuko tayari kukata na kuchoma mti wowote unaozaa matunda mabaya" au "Kama vile mtu atayarishavyo shoka kukata na kuchoma mti ambao huzaa matunda mabaya, Mungu yuko tayari kuwaadhibu ninyi kwa ajili ya dhambi zenu."

kwa ajili ya toba

"kuonesha kwmba umekwisha tubu"

Lakini ajaye nyuma yangu

Yesu ni mtu yule ambaye anakuja nyuma ya Yohana

ni mwenye uwezo kuliko mimi

'ni wa muhimu zaidi kuliko mimi"

Atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto

Sitiari hii hulinganisha ubatizo wa Yohana wa maji kwa ubatizo ujao wa moto. Hii humaanisha ubatizo wa Yohana kiishara huwatakasa watu dhambi zao. Ubatizo kwa Roho Mtakatifu na moto utatakasa dhambi za watu kwa kweli. Kama inawezekana, tumia neno "batiza" katika tafsiri yenu kutunza ulinganishaji wa ubatizo wa Yohana.

Pepeto lake li mkononi mwake kupepeta ngano

Sitiari hii hulinganisha namna Kristo atakavyo watenganisha watu wenye haki na watu wasio haki kwa namna mtu atenganishavyo nafaka ya ngano na makapi. "Kristo ni kama mtu ambaye pepeto lake liko mkononi mwake."

Pepeto lake li mkononi mwake

Hapa "mkononi mwake" humaanisha mtu yuko tayari kutenda. "Kristo ameshikilia pepeto kwa sababu yuko tayari."

pepeto

Hiki ni kifaa kwa ajili ya kurusha juu hewani kutenganisha nafaka za ngano na makapi. Nafaka zenye uzito hurudi na kuanguka chini na makapi yasiyotakiwa hupeperushwa na upepo. Kina fanana na umbo la uma ya nyasi lakini kina meno mapana kimetengenzwa kutokana na mbao.

sakafu yake ya kupuria

"kiwanja chake" au " kiwanja mahali ambapo hutenganisha nafaka na makapi"

kukusanya ngano yake katika ghala...kuchoma makapi kwa moto usioweza kuzimika

Hii ni sitiari inayoonesha jinsi Mungu atakavyowatenganisha watu wenye haki na watu waovu. Wenye haki wataenda mbinguni kama ngano katika ghala ya mkulima, na Mungu atawachoma watu ambao ni kama makapi kwa moto ambao hautazimika.

hautaweza kamwe kuzimika

Hii inweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "kamwe hautazimika."

Matthew 3:13

Maelezo yanayounganisha

Hapa mandhari yahamia kwenda wakati wa baadaye wakati Yohana Mbatizaji ambatiza Yesu.

kubatizwa na Yohana

Hii inaweza kueleza katika namna iliyo tendaji. "hivyo Yohana aliweza kumbatiza."

Nina hitaji kubatizwa wewe, nawe waja kwangu?

Yohana anatumia swali kuonesha kushangazwa kwake na ombi la Yesu. "Wewe ni wa maana zaidi kuliko mimi. Sipaswi kukubatiza wewe. Wewe unapaswa kunibatiza mimi."

kwa ajili yetu

Hapa "sisi" humaanisha Yesu na Yohana.

Matthew 3:16

Maelezo yanayounganisha

Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu Yohana Mbatizaji na hueleza kilichotokea baada ya kumbatiza Yesu.

Baada ya kubatizwa

Hii inaweza kueleza katika namna iliyo tendaji. "Baadaya Yohana kumbatiza Yesu"

tazama

Neneo "tazama" hapa hututahadharisha sisi kuwa makini kwa habari ya kushtukiza ambayo inafuata.

mbingu zilifunguka kwake

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Yesu aliona mbingu zimefunguka" au "Mungu alizifungua mbingu kwa Yesu."

kushuka chini kama njiwa

Maana zinaweza kuwa 1) haya ni maelezo dhahiri kwamba Roho alikuwa katika umbo la njiwa au 2) huu ni mfanano ambao hulinganisha Roho kushuka chini kuja juu ya Yesu kwa upole, ndivyo njiwa angefanya.

sauti toka ilitoka mbinguni ikisema

"Yesu alisikia sauti kutoka mbinguni." Hapa "sauti" humaanisha Mungu anazungumza. "Mungu alizungumza kutoka mbinguni."

Mwana

Hiki ni cheo cha maana cha Yesu, Mwana wa Mungu

Matthew 4

Mathayo 04 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya mistari ya 6, 10, 15 na 16, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Ufalme wa mbinguni umekaribia

Wataalam wanajadili ikiwa "ufalme wa mbinguni" ulikuwepo wakati huu au bado unakuja. Tafsiri za Kiingereza mara nyingi hutumia maneno "karibu," lakini hii inaweza kusababisha changamoto katika kutafsiri. Matoleo mengine hutumia maneno "inakaribia" na "yamekaribia."

"Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu"

Kwa Kiingereza, msomaji anaweza kuelewa kauli hii katika 4:6 kama inayoonyesha kwamba Shetani hajui kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu. Kwa sababu Shetani anajua kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, haipaswi kutafsiriwa kwa njia hii. Inaweza kutafsiriwa kama "kwa sababu wewe ni Mwana wa Mungu." (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#satan na https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#sonofgod)

<< | >>

Matthew 4:1

Taarifa kwa ujula:

Hapa mwandishi anaanza sehemu mpya ya simulizi ambayo Yesu anatumia siku 40 nyikani, mahali ambapo Shetani anamjaribu. Katika mst. 4, Yesu anamkemea Shetani kwa nukuu kutoka Kumbukumbu la Torati.

Yesu aliongozwa na Roho

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Roho alimwongoza Yesu."

kujaribiwa na Ibilisi

Hiiinaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "hivyo Ibilisi aliweza kumjaribu Yesu."

Ibilisi...Mjaribu

Haya yana maanisha kiumbe yuleyule. unaweza kutumia neno lilelile kutafsiri yote mawili.

alikuwa amefunga ...alikuwa na njaa

Haya yanamaanisha Yesu.

siku arobaini mchana na usiku

"Siku 40 mchana na usiku" Hii ina maanisha vipndi vya saa 24. "siku 40."

Kama wewe ni mwana wa Mungu, amuru

Ina wezekana kuwa na maana 1) hili ni jaribu la kufanya miujiza kwa ajili ya manufaa ya Yesu mwenyewe. "Wewe ni mwana wa Mungu, hivyo amuru." Au 2) "Thibitisha kwamba wewe ni Mwana wa Mungu kwa kuamuru." Ni vizuri kuamini kuwa Shetani alijua kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo muhimu kinacho eleza uhusiano kati ya Yesu na Mungu.

Mwana wa Mungu

Hikini cheo cha maana cha Yesu.

amuru mawe haya kuwa mkate

Ungeweza kutafsiri hii na nukuu ya moja kwa moja. "sema kwa mawe haya, Kuwa mkate."'

mkate

"chakula"

imeandikwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Musa aliandika hivi katika maandiko hapo zamani."

Mtu hataishi kwa mkate tu

Hii inamaanisha kuwa kuna kitu ambacho ni cha muhimu zaidi katika maisha kuliko chakula

bali kwa kila neno ambalo hutoka katika kinywa cha Mungu.

Hapa "neno" na "kinywa" humaanisha kwa kile Mungu anasema.

Matthew 4:5

Taarifa za Jumla:

Katika mstari 6, Shetani ananukuu kutoka Zaburi ili kumjaribu Yesu.

Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini

Inaweza kuwa na maana 1) hili ni jaribu kufanya muujiza kwa ajili ya manufaa ya Yesu mwenyewe. "Kwa kuwa Mwana wa Mungu kwa kweli, unaweza kujitupa chini." Au, 2) hii ni changamoto au shtaka. "Thibitisha kuwa wewe kwakweli ni Mwana wa Mungu kwa kujitupa chini" Ni vizuri kuamini kuwa Shetani alijua kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo cha maana ambacho kinaeleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

jitupe chini

"jiachie mwenyewe hadi chini" au ruka kwenda chini"

kwa maana imeandikwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "kwa maana mwimba zaburi aliandika katika maandiko" au " kwa maana inasema katika maandiko."

Ataagiza malaika wake wakutunze

"Mungu atawaagiza malaika wake wakutunze." Hii inaweza kutafsiriwa na nukuuu ya moja kwa moja. "Mungu atasema kwa malaika wake, Mlindeni."'

Watakuinua juu

"Malaika watakushika

Matthew 4:7

Taarifa kwa ujumla:

Katika mstari wa 7, Yesu amemkemea Shetani na nukuu nyingine kutoka Kumbu kumbu

Tena imeandikwa

Imefahamika kuwa Yesu anamaanisha ana nukuu maandiko tena. Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Tena, nitawaambia Musa alichoandika katika maandiko."

Usimjaribu

Hapa "usi" inamaanisha yeyote. "Mtu hapaswi kumjaribu" au "Hapana mtu anapaswa kumjaribu."

Tena, Ibilisi

"Baada ya hapo, Ibilisi"

Alimwambia

"Ibilisi alimwambia Yesu"

Vitu vyote hivi nitakupa

"Nitakupa vitu vyote hivi." Mjaribu anasisitiza kuwa atampa "vitu vyote," si tu baadhi yake.

Matthew 4:10

Maelezo yanayounganisha:

Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu jinsi Shetani alivyo mjaribu Yesu

Taarifa kwa ujumla

Katika mstari su10, Yesu anamkemea ShetanTi na nukuu nyingine kutoka Kumbukumbu la Torati.

Kwa maana imeandikwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna yamuundo tendaji. "Musa pia aliandika katika maandiko."

Yakupasa

Hapa "yakupasa" inamaanisha yeyote.

Tazama

Neno "tazama" hapa lina tutahadharisha kuwa makini kwenye habari mpya muhimu ambazo zinafuata.

Matthew 4:12

Taarifa kwa ujumla:

Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi ambayo katika hiyo mwandishi anaeleza mwanzo wa huduma ya Yesu Galilya. Mistari hii inaeleza jinsi Yesu alivyokuja Galilaya

Sasa

Neno hili lintumika hapa kuweka alama ya kuanzisha mtiririko wa habari kuu wa simulizi. Hapa Mathayo anaanza kutuambia sehemu mpya ya simulizi.

Yohana alikuwa amekamatwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna ya muundo tendaji. "mfalme alikuwa amemkamata Yohana."

Katika majimbo ya Zabuloni na Naftali

Haya ni majina ya makabila ambayo yaliishi katika maeneo haya kabla ya wageni kudhibiti nchi ya Israeli miaka mingi kabla.

Matthew 4:14

Taarifa kwa ujumla:

Katika mstari wa 15 na 16, mwandishi anamnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba huduma ya Yesu Galilaya ilikuwa ni kutimizwa kwa unabii.

Hii ilitokea

Hii inamaanisha Yesu kwenda kuishi Kaperenaumu.

kilichonenwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna ya muundo tendaji. "kile Mungu alichonena"

Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali...Galilaya ya Wamataifa.

Majimbo haya yote yanaeleza eneo lilelile. Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi timilifu. "Katika jimbo la Zabuloni na Naftali...katika jimbo hilo huishi Wamataifa wengi."

kuelekea bahari

Hii ni bahari ya Galilaya.

Watu waliokaa katika giza wameona mwanga mkuu

Hapa "giza" humaanisha maisha ya gizani au dhambi ambayo huwatenga watu na Mungu. Na "mwanga" humaanisha ujumbe wa kweli wa Mungu ambao huwaokoa watu kutoka katika dhambi yao. Hii ni taswira ya watu ambao hawa kuwa na tumaini sasa wana tumaini kutoka kwa Mungu.

kwa hao ambao walikaa katika eneo na kivuli cha kifo, juu yao mwanga umewazukia

Kimsingi hii ina maana ileile kama sehemu ya kwanza ya sentensi. Hapa "eneo" na kivuli cha kifo" humaanisha kifo cha kiroho au kutengana na Mungu.

Matthew 4:17

Tubuni, kwa kuwa ufalme wa mbinguni umekaribia

Sentensi "ufalme wa mbinguni" humaanisha utawala ambao Mungu ndiye mfalme. Sentensi hii imetumika katika injili ya Mathayo tu. Kama inawezekana tumia neno "Mbinguni" katika tafsiri yako. "Si muda mrefu Baba yetu aliye mbinguni atajidhirisha kuwa ni mfalme" Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika Mat. 3:1

Matthew 4:18

Taarifa za jumla:

Hii huanza mandhari mpya katika sehemu ya simulizi kuhusu huduma ya Yesu kule Galilaya. Hapa huanza kwa kuwakusanya watu kuwa wanafunzi wake.

Kutupa nyavu baharini

"Kutupa nyavu majini ili kuvua samaki"

Nifuateni

"Yesu anawakaribisha Simoni na Andrea kumfuata, kuishi naye, na kuwa wanafunzi wake. ""Iweni wanafunzi wangu."

Nitawafanya wavuvi wa watu

Hii sitiari humaanisha Simoni na Andrea watawafundisha watu ujumbe wa kweli wa Mungu hivyo wengine pia waanze kumfuata Yesu. "Nitawafundisha kuwaleta watu kwangu kama mlivyo kuwa mnavua samaki"

Matthew 4:21

Sentensi unganishi

Yesu anawaita watu zaidi kuwa wanafunzi wake.

Aliwaita

"Yesu aliwaita Yohana na Yakobo." Kirai hiki pia humaanisha kwamba aliwakaribisha kumfuata, kuishi naye, na kuwa wanafunzi wake.

maramoja

"wakati huo huo"

waliuacha mtumbwi...na walimfuata

Inapaswa kuwa wazi kwamba haya ni mabadiliko ya maisha. Watu hawa hawaendi tena kuwa wavuvi na wanaacha shughuli za familia zao kumfuata Yesu kwa maisha yao waliyo nayo.

Matthew 4:23

Sentensi unganishi

Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu mwanzo wa huduma ya Yesu Galilaya. Mistari hii ni muhtasari wa kile alichofanya na jinsi watu walivyoitikia.

kufundisha katika masinagogi yao

"kufundisha katika masinagogi ya Wagalilaya" au kufundisha katika masinagogi ya watu wale"

kuhubiri injili ya ufalme

Hapa "ufalme" humaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "kuhubiri habari njema kuhusu jinsi Mungu atakavyojifunua mwenyewe kama mfalme."

"aina zote za maradhi na aina zote za magonjwa"

"kila maradhi na kila ugonjwa." Maneno "maradhi" na :magonjwa" yanakaribia sana lakini yanapaswa kutafsiriwa kama maneno mawili tofauti kama inawezekana. "Maradhi ni kile kinacho sababisha mtu kuwa mgonjwa. "Ugonjwa ni udhifu wa mwili au maumivu ambayo ni matokeo ya kuwa na maradhi.

wale waliopagawa na pepo

Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "walio na pepo" au "wale ambao wanatawaliwa na pepo."

wenye kifafa

"wale waliokuwa na kifafa" au wale walio na maradhi ambayo yalisababisha kuzirai."

waliopooza

"wale ambao hawakuweza kutembea"

Dekapoli

Jina hili humaanisha "Miji Kumi."

Matthew 5

Mathayo 05 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Mathayo 5-7, ambayo huitwa "Mahubiri ya Mlimani," ni funzo moja ndefu ya Yesu. Mgawanyiko wa sura husababisha kuchanganyikiwa hapa. Kichwa kinaweza kumsaidia msomaji kuelewa kwamba sura hizi zinaunda sehemu moja au kitengo. Mtafsiri anapaswa kufahamu kuwa kuna swali fulani kuhusu ikiwa mafundisho yanahusu Israeli, kanisa, au ufalme wa Mungu wa baadaye.

5:3-10, inayojulikana kama Heri au Baraka, imewekwa kwa kutumia uingizaji, na kila mstari unaanza na neno "heri." Uingizaji huu unaashiria fomu ya ushairi wa mafundisho haya.

Dhana maalum katika sura hii

"Wanafunzi wake"

Inawezekana kutaja mtu yeyote aliyemfuata Yesu kama mfuasi au mwanafunzi. Yesu aliwachagua wafuasi wake kumi na wawili kuwa watu wake wa ndani, wale wanafunzi kumi na wawili. Baadaye walijulikana kama mitume. Inaweza kuwa na maana kwamba mafundisho haya yalikuwa kwa mitume hao kumi na wawili.

<< | >>

Matthew 5:1

Sentensi unganishi

Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi ambayo Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake. Sehemu hii huendelea hadi mwisho wa sura ya 7 na mara kwa mara huitwa mahubiri ya Mlimani.

Maelezo ya jumla

Katika msyari wa 3, Yesu anaanza kueleza tabia za watu ambao wamebarikiwa.

Akafunua kinywa chake

"Yesu alianza kunena."

aliwafundisha

Neno "aliwa" humaanisha wanafunzi wake.

maskini katika roho

Hii inamaanisha mtu ambaye ni mnyenyekevu. "wale ambao wanajua wanamhitaji Mungu."

Kwa kuwa uflmeme wa mbinguni ni wao

Hapa "ufalme wa mbinguni" humaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Kirai hiki kiko katika kitabu cha Mathayo tu. Kama inawezekana weka "mbinguni" katika tafsiri yako. "kwa kuwa Mungu wa mbinguni atakuwa mfalme wao."

wale ambao wana huzunika

Sababu zinazopelekea kuwa wenye huzuni ni 1) hali ya dhambi ya ulimwengu au 2) dhambi zao au 3) kifo cha mtu. Usieleze bayana sababu ya kuhuzunika isipkuwa lugha yako inataka hivyo.

watafarijiwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "Mungu atawafariji."

Matthew 5:5

wanyenyekevu

"wapole" au "wale ambao hawategemei uwezo wao wenyewe"

watarithi nchi

"Mungu atawapa nchi yote."

wenye njaa na kiu ya haki

Sitiari hii humaanisha mtu anapaswa kwa uhodari kufanya kilicho sahihi. "kutamani kuishi kwa unyofu kama ilivyo kutamani chakula na kinywaji.

watashibishwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "Mungu atawashibisha" au "Mungu atawatosheleza."

walio safi wa moyo

"watu ambao mioyo yao ni safi." Hapa "safi" hurejelea kwa kutamani kwa mtu. wale ambao tu wanataka kumtumikia Mungu."

watamwona Mungu

Hapa "kuona" inamaanistha wataweza kuishi katika uwepo wa Mungu." "Mungu atawaruhusu kuishi naye."

Matthew 5:9

wapatanishi

Hawa ni watu ambao husaidia wengine kuwa na amani na wengine miongoni mwao.

kwa kuwa wataitwa wana wa Mungu

Hii inaweza kuelezwa katika namna ya muundo tendaji. "kwa kuwa Mungu atawaita watoto wake" au "watakuwa watoto wa Mungu.

wana wa Mungu

Ni vizuri kutafsiri "wana" kwa neno lile lile lugha yako kwa kawaida ungelitumia kurujelea kwa mwana au mtoto wa binadamu

wale ambao wameteswa

Hii inaweza kuelezwa katika namna muundo tendaji. "watu wale ambao wengine huwatendea kwa isivyo haki"

kwa ajili ya haki

"kwa sababu wanafanya kile ambacho Mungu hutaka wafanye"

ufalme wa mbinguni ni wao

angalia jinsi ulivyotafsiri katika Mat. 5:1

Matthew 5:11

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza kueleza tabia za watu ambao wamebarikiwa.

Mliobarikiwa

Neno "ninyi" ni wingi.

kusema kila aina ya mambo maovu dhidi yenu kwa uongo.

"watasema kila aina ubaya dhidi yenu" au "watasema mambo mabaya juu yenu ambayo si ya kweli"

kwa ajili yangu

"kwa sababu mwanifuata mimi" au "kwa sababu mwaniamini"

Furahini na kushangilia

"Furahini" na "kushangilia" humaanisha karibu kitu kile kile. Yesu alitaka wasikilizaji wake sio tu kufurahi bali hata kufanya zaidi kuliko kufurahi kama inawezekana.

Matthew 5:13

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kufundisha juu ya jinsi wanafunzi wake walivyo kama chumvi na nuru.

Ninyi ni chumvi ya dunia

Inawezekana kumaanisha 1) kama vile chumvi inavyokifanya chakula kuwa kizuri, mwanafunzi wa Yesu yampasa kuwaathiri watu wa ulimwengu ili kwamba wawe wazuri au 2) kama vile chumvi iwezavyo kutumika kwa kutunza chakula, kadhalika wanafunzi wa Yesu wawalinde watu wasiharibike

Matthew 5:15

Pia watu hawawashi taa

"Watu hawawashi taa"

nakuiweka chini ya kikapu

"kuiweka taa chini ya kikapu." Hii ni kusema kuwa ni ujinga kutengeneza nwanga kwa lengo la kuufunika ili watu wasiuone mwanga wa taa.

Nuru yenu na ionekane mbele ya watu

Hii inamaanisha kuwa wanafunzi wa Yesu wanapaswa kuishi maisha ambayo yatawafnya wengine wajifunze kuhusu ukweli wa Mungu. "Maisha yenu yawe kama nuru iangazayo mbele ya watu.

Baba yenu aliye mbinguni

Ni vizuri zaidi ikitafsiriwa "Baba" kwa maana ya maneno sawa na yale yanayotumika kumaanisha baba wa katika mwili huu.

Matthew 5:17

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kwa kufundisha jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya agano la kale

manabii

Hii inamaanisha kile walichoandika manabii katika maandiko.

kweli nawaambieni

"Nawaambia ukweli" Kirai hiki kinaongeza nguvu juu ya kile Yesu atakachosema baadaye.

mpaka mbingu na dunia zote zipite

Hapa "mbingu" na "dunia" humaanisha ulimwengu wote. "Kama vile mbingu zidumuvyo"

hapana yodi moja wala nukta moja

"hapana hata ile herufi ndogo iliyoandikwa au sehemu ndogo ya herufi. Hii ni sitiari inayomaanisha kitu fulani katika maandiko kinachoweza kuonekana kuwa si cha muhimu. "wala sheria zinazoonekana kuwa si za muhimu

kila kitu kitakapokuwa kimetimizwa

Hiki kinaweza kuelezwa kwa kutumia mfumo tendaji. "Mambo yote yametokea" au "Mungu huyafanya mambo yote yatimie".

kila kitu

Kirai cha "kila kitu" kinamaanisha kila kitu kilicho kwenye sheria. "kila kitu kilicho kwenye sheria" au " kila kilichoandikwa kwenye sheria".

Matthew 5:19

yeyote avunjaye

"yeyote asiyetii" au "yeyote apuuziaye"

amri ndogo mojawapo ya amri hizi

"yeyote kati ya amri hizi, hata zile ndogo kabisa"

ataitwa

Hii inaweza kuelezeka kwa muunda tendaji. "Mungu atamwita mtu huyo" au "Mungu atawaita watu hao".

mdogo katika ufalme wa mbinguni

Kirai hiki kimetumika katika injili ya Mathayo tu. Kama inawezekana tumia "mbingu" katika tafsiri yako. "asiye na umuhimu kabisa kwenye ufalme wa Mungu" au "asiye na umuhimu katika utawala wa Mungu wetu wa mbingunij".

azishikaye na kuzifundisha

"anayetii amri zote hizi na kuwafundisha wengine kufanya hivyo hivyo"

mkubwa

"wa muhimu zaidi"

Kwa maana nawaambia

Hiki kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu atasema baadaye.

nawa ... yenu ... hamta..

hivi ni viwakilishi vya wingi

haki yenu isipozidi haki ya waandishi n a mafarisayo, kwa vyovyote vile hamtaingia kataika ufalme wa mbinguni

Hii inaweza kuelezeka kwa muundo hai. "kwamba haki yenu lazima izidi... ili kuingia"

Matthew 5:21

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kufundisha jinsi alivyokuja kutimiliza sheria za agano la kale. Hapa anaanza kufundisha juu ya kuua na hasira

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia kikundi cha watu juu ya kile ambacho kinaweza kutokea kwao kama watu binafsi. Neno "mme" katika sentensi "mmesikia" na "nawaambia" ni maneno ya wingi. Ile amri ya "usiue"ni ya umoja, lakini unahitaji kuitafsiri katika wingi.

ilinenwa zamani

Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "Mungu alisema na mababu zetu zamani za kale".

auaye yuko katika hatari ya hukumu

Hapa "hukumu" inamaanisha kuwa hakimu ndiye atakayemhukumu mtu kufa. "Hakimu atamhukumu yeyote amuuaye mtu mwingine"

kuua ... auaye

Neno hili linamaanisha kitendo cha mauji ya kudhamiria, na wala siyo kila aina ya mauji

Lakini nawambia

Kiwakilishi "na" kinatia msisitizo. Hii inamaanisha kuwa kile anachosema Yesu kina umuhimu sawa na amri itokayo kwa Mungu. Jaribu kutafsiri hili kataka mazingira yanayonesha msisitizo.

ndugu

Neno hili linamaanisha muumini mwenzetu

atakuwa katika hatari ya hukumu

Inaovyoonekana hapa Yesu hamaanishi hakimu wa kibinadamu bali Mungu anamhukumu mtu mwenye hasira kwa ndugu yake.

mtu usiyefaa ... mjinga

Hii ni mizaha kwa watu wasioweza kufifkiri kwa usahihi. "Mtu asiyefaa" ni sawa na "mtu asiye na akili," ambapo "mjinga" inaongezea wazo la kutokuwa mwaminifu kwa Mungu.

baraza

Yawezekana hili ni baraza dogo, siyo lile kuu.

Matthew 5:23

una

Yesu anawaambia kundi la watu juu ya kile kinachoweza kutokea kwao kibinafsi. matukio yote yanayohusiana na viwakilishi "una" na "yako" yametumika katika hali ya umoja, lakini lugha yako inaweza kukutaka utafsiri katika wingi

unatoa sadaka yako

"kutoa sadaka yako" au "kuleta sadaka yako"

katika madhabahu

Hii inamaanisha kuwa ni madhabahu ya Mungu iliyo hekaluni kule Yerusalemu, " madhabahuni pa Mungu hekaluni".

na unakumbuka kuwa

"na ukumbuke ukiwa umesimama madhabahuni"

ndugu yako ana jambo lolote dhidi yako

"mtu mwingine ana hasira na wewe kwa sababu ya kile ulichomfanyia"

kapatane kwanza na ndugu yako

Hili linaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "jambo la kwanza ni kutafuta suluhu"

Matthew 5:25

Patana na... wako

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea katika hali ya mtu mmoja. Matukioyote ya viwakilishi vya "uki" na "wako" viko katika umoja, lakini lugha yako inaweza kukutaka uvitafsiri katika wingi.

mshitaki wako

Huyu ni mtu anayemtuhumu mtu kwa kufanya jambo fulani ambalo ni ovu. Anampeleka mtuhumiwa mahakamani ili kumshitaki kwa hakimu.

kukuacha mikononi mwa hakimu

Hapa neno "kukuacha mikononi mwa" inamaanisha kukukabidhi katika udhibiti wa mtu mwingine. "kumwachia hakimu ashughulike na wewe".

hakimu akuache mikononi mwa askari

Hapa neno "kukuacha mikononi mwa" inamaanisha kukukabidhi katika udhibiti wa mtu mwingine. "hakimu atamkabidhi kwa askari"

askari

ni mtu mwenye mamlaka ya kufanya maamuzi ya hakimu.

nawe utatupwa gerezani

Hili linaelezeka katika hali ya muundo tendaji. "na askari anaweza kukutupa gerezani"

amini nawambieni

"Nawaambieni ukweli." Hiki kirai kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu alisema baadaye.

hutawekwa huru

"kutoka gerezani"

Matthew 5:27

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la Kale. Na hapa anaongelea uzinzi na kutamani mwanamke.

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea katika maisha ya mtu binafsi. Neno "mme..." kutokana na "mmesikia" na "nawaambieni" yametumika katika wingi. Amri ya "Usizini" imetumika katika umoja "usi," lakini unaweza kuitafsiri katika wingi "msi".

imenenwa kuwa

Hii inaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "kuwa Mungu alisema".

fanya (uzinzi)

Hili neno ni kitenzi kikuu cha kufanya jambo fulani

Lakini nawaambieni

Neno "nawa" ni msisitizo. Hii inamaanisha kuwa kile ambacho Yesu anasema kina umhimu sawa na kile kilicho kwenye amri kuu kotoka kwa Mungu. Tafsiri kirai hiki katika namna ambayo inaonesha msisitizo huo. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:21

yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake.

Sitiari hii inamaanisha kuwa mwanamume amtamaniye mwanamke anahatia sawa na mwanamume aliyefanya uzinzi halisi.

amtazamaye mwanamke kwa kumtamani

"na kumtamani mwanamke" au "na kutamani kulala naye"

moyoni mwake

Hapa "moyo" inamaanisha fikra za mtu. "akilini mwake" au "Katika fikra zake"

Matthew 5:29

Na kama ... lako

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye kwa mtu binafsi Matukio yote ya viwakilishi vya "ku" na "lako" viko katika umoja, lakini unaweza kuvitafsiri katika wingi.

kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa

Hapa "jicho" linamaanisha kile ambacho mtu hukiona. Na "kujikwaa". Ni sitiari ya "dhambi." "Kama kile ukionacho hukusababisha kujikwaa" au "kama unataka kufanya dhambi kwa sababu ya kile ukionacho"

jicho lako la kulia ... mkono wako wa kuume

Hii inamaanisha jicho au mkono ule wa muhimu zaidi, dhidi ya mkono au jicho la kushoto. Hapa unaweza kutafsri "kulia" kuwa "ndiyo nzuri zaidi" au "kulia pekee."

ling'oe

"litoe kwa nguvu" au "liharibu" kama jicho lako la kulia halijatajwa rasmi, unaweza kuitafsiri hii kama " kuharibu macho yako." kama macho yametajwa, unaweza kuyatafsiri kama "yaharibu"

ling'oe ... likate

Yesu analikuza zaidi jambo hili juu ya jinsi ambavyo mtu anapaswa kuiona jinsi dhambi ilivyo mbaya kulichukulia kwa umakini swala hili.

uutuplie mbali na wewe

"achana nao"

kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike

"upoteze sehemu ya mwili wako"

kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu

Hili linaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "kuliko Mungu kuutupa mwili wako wote jehanamu"

kama mkono wako wa kuume unakusababisha

katika hii lugha ya umbo, mkono unasimama badala ya matendo la mwili wote

Matthew 5:31

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kutimiliza sheria za Agano la kale. Hapa anaanza kwa kufundisha juu ya talaka

Imenenwa pia

Mungu ndiye "alisema." anatumia mfumo tendewa ili kuifanya kuwa laini kuwa si Mungu au neno la Mungu ambalo hakubaliani nalo. Badala yake anasema kuwa talaka inawezekana pale tu sababu ni ya kweli. talaka inaweza isikubalike hata kama mwanamume atatii kuandika hati ya talaka,

amfukuzaye mkewe

hii ni tafisida ya talaka

na ampe

"lazima ampatie"

lakini mimi nawaambia

Kiwakilishi "mimi" ni cha msisitizo. Hiki kinamaanisha kuwa anachosema Yesu kina umuhimu sawa na amri kuu kutoka kwa Mungu. Jaribu kutafsiri kirai hiki katika namna inayoonesha msisitizo. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:21.

Amfanya kuwa mzinzi

Ni mwanamume anayemtaliki mwanamke bila utaratibu humsababisha kufanya uzinzi" Katika tamadunii nyingi ni kawaida kwake kuolewa tena, lakini kama talaka hiyo haiko sahihi, basi hiyo ndoa ya pili ni batili.

baada ya kupewa talaka

Hii inaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "yeye mwanamke baada ya kutalikiwa na mumewe" au "mwanamke aliyetalikiwa"

Matthew 5:33

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la kale. Na hapa anaanza kuongelea juu ya kuapa viapo

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha ya mtu binafsi. Kiwakilishi "mme" kutokana na "mmesikia" na "nawaambia" viko kataka wingi. na kiwakilishi cha "msi" katika " msiape" na " ni" katika " pelekeni" navyo pia viko katika wingi

Tena, mme

"Pia, mme" au "huu ni mfano mwingine. wa kiwakilishi "mme."

mmesikis ilinenwa kwamba ... kwa uongo

Yesu anaweka bayana kuwa anakubaliana na Mungu na neno lake. Lakini, anawaambia wasikilizaji wake wasitimie vile amabvyo si vyao il ikuwashawishi watu kuamini maneno yao. "viongozi wenu wa dini wamewaambieni kuwa Mungu alisema ... viapo vya uongo.

Msiape kwa uongo, bali pelekeni viapo vyenu

Hi inaweza kumaanisha mambo yafuatayo 1)usiape kwa Mungu kuwa utafanya jambo fulani na usilifanye au 2) Usiape kwa jina la Bwana kuwa unajua kitu fulani kuwa ni kwe ili hali unajua kuwa si kweli.

Lakini nawaambia

Kiwaakilishi "na" ni cha msisitizo. Hii inamaanisha kuwa anachosema Yesu kina umuhimu sawa na kile kilicho kwenye amri kuu kutoka kwa Mungu. Kirai hiki kitafsriwe katika namna inayoonesha msisitizo. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:21

msiape hata kidogo ... ni mji wa mfalme mkuu

Hapa Yesu anamaanisha kuwa mtu asiape katika jambo lolote. inaonekana kuwa kuna mtu aliyekuwa akifundisha kwamba kuapa haina madhara kama mtu ataapa kwa kitu kingine na asikijali kiapo chake kama hakuapa kwa Mungu. ,kama vile kuapa kwa mbingu, dunia, au Yerusalemu. Yesu anasema hata kiapo cha hivyo ni kibaya kwa sababu vyote ni mali ya Mungu.

msiape hata kidogo

Kama lugha yako ina muundo wa wingi katika agizo inaweza kutumika hapa. "hamtaapa kwa kwa kiapo cha uongo" waruhusu watu watoe viapo lakini wazuieni viapo vya uongo. "msiape hata kidogo" hii inazuia viapo vya uongo.

kwa sababu ni enzi ya Mungu

Hapa neno "enzi" linamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "linatokana chanzo hiki kwamba Mungu ni mtawala.

maana ni mahali pa kuweka kiti cha kukanyagia miguu yake

Kirai hiki kinamaanisha kuwa dunia ni mali ya Mungu. "ni kama mahali pa kuweka kiti cha kukanyagia miguu yake"

maana ni mji wa mfalme mkuu

"kwa maana ni mji unaomilikiwa na Mungu

Matthew 5:36

chako ... hu

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. Matukio yote ya viwakilishi hivi viko katika umoja, lakini inakupass kuvitafsiri kama wingi.

kuapa

Hii inamaanisha kuapa. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:23

Bali maneno yenu yawe 'ndiyo, ndiyo,' au 'hapana. hapana'

kama unamaanisha 'ndiyo.' sema 'ndiyo,' na kama unamaanisha ;hapana,' sema 'hapana,'

Matthew 5:38

sentnsi unganishi

Yesu anaendelea kufundisha jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la kale. Anaanza kwa kuongelea juu ya kisasi kwa maadui

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha ya mtu kibinafsi. Kiwakilishi cha "mme" katika "mmesikia" na "mimi nawaambia" viko katika wingi. Kirai hiki "mtu akikupiga" kimesemwa katika umoja "akiku...," lakini unaweza kukitafsiri katika wingi "akiwa..."

mmesikia imenenwa kuwa

Yesu anakubaliana na Mungu na neno lake. Lakini hakubaliani na jinsi viongozi wa dini walivyolitumia neno la Mungu. "Viongozi wenu wa dini wamewambieni kuwa Mungu alisema." Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:33

jicho kwa jicho na jino kwa jino

Sheria ya Musa ilimruhusu mtu kumwumiza kwa njia ileile kama alivyomwumiza, lakini hakumwumiza zaidiya kiasi kile

Lakini mimi nawaambia

Kiwakilishi cha "mimi" kinaongeza msisitizo. Hii inamaanisha kuwa alichosema Yesu kina umuhimu sawa na ule ulio kwenye amri kuu kuto kwa Mungu. Jaribu kutafsiri kirai hiki katika namna ambayo italeta msisitizo. Tazama ilivyotafsiriwa 5:21.

mtu mwovu

"ni mtu mwovu" au "mtu yeyote aliyewahi kukuumiza"

akikupiga shavu la kulia

Kumpiga mtu upande mmoja wa uso kilikuwa kitendo cha fedheha katika utamaduni wa Yesu. Kama ilivyo katika jicho na mkono, shavu la kulia ni la muhimu, kwa hiyo kukupiga shavu la kulia ilikuwa fedhaha kubwa mno.

akikupiga

"kuzabua," hii inammanisha kupiga kumpiga mtu kofi kwa ubapa wa mkono,

mgeuzie na jingine tena

"mwache akupige na shavu jingine pia"

Matthew 5:40

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha ya watu binafsi. Viwakilishi vyote vya "wewe" na "yako" viko katika umoja kama vile amari za "mwachie," "nenda," "mpatie," na "usimwepuke," lakini waweza kuzitafsiri katika wingi.

kanzu ...joho

Hii "kanzu" ilivaliwa karibu na mwili, kama shati zito au sweta. "kanzu," hili lilikuwa la thamani zaidi kati ya haya mavazi mawili, ilivaliwa juu ya kanzu kwa ajili ya koongeza joto na pia lilitumika usiku kama blanketi.

mwachie na

"mpatie pia huyo mtu"

na yeyote

"na kama mtu," hii inamaanisha kuwa huyu ni askari wa Kirumi.

maili moja

Hizi na sawa na hatua elfu moja ambao ndiyo umbali ambao askari wa kirumi angeweza kumlazimisha kisheria mtu kubeba kitu kwa ajili yake. Kama maili moja haieleweki, basi inaweza kutafsiriwa kama "kilometa moja" au "umbali mrefu."

nenda naye

Hii inamhusu yule akulazimishaye kwenda.

nenda naye maili mbili

"uende ile maili anayokulazimisha kwenda, halafu nenda maili nyingine. kama "maili" haieleweki tumia kilometa mbili" au "mara mbili ya mwendo."

na usimwepuke yeyote

"usikatae kumpatia."hii inaweza kuelezeka kwa kutumia muundo halisi. "na umpatie"

Matthew 5:43

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kufundisha jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la Kale. Hapa anaanza kufundisha juu ya kuwapenda maadui.

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kianachoweza kutokea kwao katika maisha yao kibinafsi. "Utampenda ... na kumchukia adui yako" maneno haya yametumika katika hali ya umoja, lakini unaweza kuyatafsiri katika wingi. Matukio mengine ya viwakilishi vya "u" na vile vya amri ya "umpende" na "omba viko katika wingi.

Mmesikia imenenwa

Yesu anakubaliana na Mungu na neno lake. Lakini hakubaliani na jinsi viongozi wa dini wanvyolitumia neno la Mungu. Hili linaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "viongozi wenu wa dini wamewaambia kwamba Mungu alisema" Tazama ilivyotafsiriwa 5:33

jirani

Neno "jirani" hapa linamaanisha mtu ndani ya jamii ile ile au watu wa kundi moja ambao mtu hutamani na anapaswa kumtendea kwa upole. Haimaanishi mtu anayeishi karibu. Unaweza kutafsiri katika wingi.

Lakini nawaambia

Kiwakilishi "na.." kinatia msisitizo. Hii inaonesha kuwa kile anachokisema Yesu kina Uzito sawa na kile kilicho kwenye amri kuu ya Mungu.Jaribu kutafsiri kirai hiki kwa kutia msisitizo. Tazama ilivyotafsirwa katika 5:21

muwe watoto wa baba yenu

Ni vizuri kutafsiri "wana" katika lugha ambayo kwa asili hutumika kumaanisha baba wa watoto wa kimwili.

Baba

Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu

Matthew 5:46

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la kale. Kipengere hiki kinaanzia 5:17

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao kibinafsi. Matukio yote ya viwakilishi vya "mki.." na "zenu" viko katika wingi. Maswali katika mistari hii ni yale usemaji ambao pengine si lazima kujibiwa

mkiwasalimia

Hili ni neno la jumla kwa ajili ya kuwatamanisha wasikilizaji.

Baba

Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu

Matthew 6

Mathayo 06 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Mathayo 6 inaendelea na mafundisho ya Yesu yaliyojulikana kama "Mahubiri ya Mlimani."

Labda mtafsiri atapenda kulitenga sala katika 6:9-11 kwa kutumia uingizaji. Kwa kuwa sura hii hubadilika haraka kutoka kwa mada moja hadi nyingine, inawezekana kutumia mstari wa nafasi kati ya mada tofauti ili kuwasaidia wasomaji kutambua mabadiliko katika mada kwa urahisi zaidi.

<< | >>

Matthew 6:1

Sentensi unganishi

Yesua anaendelea kufundisha wanafunzi wake katika mafundisho ya mlimani yanayoanzia 5:1.Katika sehemu hii, Yesu anahutubia juu ya "matendo ya haki" ya utoaji sadaka, maombi, na kufunga.

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu kile kinachoweza kutokea kwao baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vyote vya "ni" na " yao" viko katika wingi.

mbele ya watu ili kujionyesha

Hii ilimaanisha kuwa wale wanaomuona mtu huyo watamheshimu. Hili linaweza kuelezeka katika mfumo tendaji. "mbele ya watu kwa kusudi la kutazamwa na watu ili wakupe heshima kwa kile ulichofanya."

Kweli nakwambia wewe

"Ninakuambia ukweli." Huu msemo unaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakisema baadaye.

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

Usipige panda na kujisifu

Kirai hiki kina maanisha kitendo cha kukusudia kupata usikivu wa watu. "Usijipatie usikivu wa watu kwa lengo binafsi kama mtu anayepiga panda katikati ya watu.

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile Yesu atakachokisema baadaye.

Matthew 6:3

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake juu ya sadaka

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao baadaye katika maisha binafsi. Viwakilishi vya "wewe" na " ""wako" viko katika wingi.

mkono wako wa kushoto usijue kinachofanywa na mkono wa kulia

Huu ni msemo unaonyesha usiri. Kama vile mikono inavyofanya kazi pamoja na inasemekana "kujua" kila kitu kinachofanywa kwa wakati wote, hivyo hata watu wako wa karibu wasijue unapotoa msaada kwa maskini

sadaka yako itoe kwa siri

Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji "utawapa maskini pasipo watu wengine kujua."

Matthew 6:5

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kufundisha juu ya maombi

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha binafsi.. Viwakilisha vya "una" na "yao" katika mstari wa 5 na 6 viko katika wingi: katika mstari wa 6 viko katika umoja lakini waweza kuvitafsiri katika wingi.

ili kwamba watu wawatazame

Inamaanisha kwamba wale wanaowatazama watawapa heshima. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji"ili kwamba watu wawatazame wao na kuwapa heshima."

kweli ninawaambia

ukweli ninakuambia." Huu msemo jnaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakisema baadaye'

ingia chumbani. Funga mlango

"nenda sehemu ya usiri" au "nenda sehemu ambayo utakuwa peke yako"

Baba aliye sirini

Tafsiri inayowezekana ni 1) hakuna anayeweza kumwona Mungu au 2) Mungu yuko sehemu ya siri pamoja na mtu anayeomba.

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

Baba yako aonaye sirini

Baba yako ataona kile ufanyacho sirini"

kurudia yasiyo na maana

"kurudia maneno yasiyo na maana"

watasikiwa

Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "miungu yao ya uongo itawasikiliza"

maneno mengi

sara ndefu" au "maneno mengi"

Matthew 6:8

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha binfsi. anawaambia kama kundi kwa kutumia wingi kama vile "ombeni hivi." viwakilishi vyote vya "lako" baada ya "baba yetu uliye mbinguni" viko katika umoja.

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

ulitakase jina lako

Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "linamfanya kila mmoja kujua yeye ni mtakatifu."

ufalme wako uje

Hapa "ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. AT: "Waweza kutawala juu ya yote na kila kitu kikamilifu"

mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni

Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo hai. AT: "Kila mmoja duniani atii mapenzi yako kama wanavyofanya kila mmoja huko mbinguni."

Matthew 6:11

Maelezo kwa ujumla

Mionekano ya viwakilishi vya "nasi," "utu," "wetu" unaonesha makutano ambao Yesu alikuwa akiwahutubia.

mkate wa kila siku

Hapa "mkate" inamaanisha chakula kwa ujumla,

deni

Deni ni kile ambacho mtu anamdai mwingine. Huu ni msemo wa dhambi.

wadeni

Mdai ni mtu ambaye anadai deni kwa mwingine. Huu ni msemo kwa wenye dhambi.

usitulete katika majaribu

Neno "majaribu" jina la kitenzi, inaweza kuelezwa kama kitenzi. "usituletee kitu chochote cha kutujaribu" au "usituletee kitu cha kutufanya tushawishike na dhambi"

Matthew 6:14

Maelezo kwa ujumla

viwakilishi vyote vya "mta" na "yako" ni vya wingi. hata hivyo, Yesu anawaambia kile kitakachotokea baadaye katika maisha binafsi kama kila mmoja hatasamehe wengine

maovu

"makosa" au "dhambi"

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

Matthew 6:16

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kufundisha juu ya kufunga

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea katika maisha yao binafsi. Viwakilishi vyote vya "una" na "zao" katika mstari wa 17 na 18 viko katika umoja, lakini vinaweza kutafsiriwa katika wingi ili vioane na kile cha "wa" katika mstari wa 16.

Aidha

"Zaidi ya"

wanakunja sura zao

Wanafiki hawakuosha nyuso zao au kuchana nywele zao. Walifanya hivyo makusudi kuvuta hisia zao ili kwamba watu wawatazame wao na kuwapa heshima kwa sababu ya kufunga.

kweli ninakuambia

"Ukweli ninakuambia." Huu msemo unaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakiongea baadaye.

tengeneza kichwa chako

"paka mafuta kwenye nywele zako" au "tengeneza nywele zako" Kutunza kichwa hapa ni hali ya kawaida ya kutunza nywele. Halina uhusiano na "Kristo" ikimaanisha "mpakwa mafuta" Yesu alikuwa anamaanisha kwamba watu wanapaswa kuonekana kawaida haijalishi wamefunga au hawakufunga.

Baba aliye sirini ... yeye anayeona sirini

Tazama unavyotafsiri hii kwenye 6:5

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

aonaye sirini

"Aonaye kile unachokifanya unapokuwa pekee yako" Tazama ilivyotafsriwa katka 6:5

Matthew 6:19

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kufundisha juu ya fedha na mali

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "usi" na "yako" viko katika wingi isipokuwa vile vya mstari wa 21, amabvyo viko katika umoja.

akiba

"utajiri"

ambapo nondo na kutu wanakula

"ambapo nondo na kutu wanashambulia akiba"

nondo

mdudu mdogo, anayeruka na kuharibu nguo

kutu

ni vitu vya rangi ya kahawia vinavyopatikana kwenye chuma

weka akiba yako mbinguni

Huu ni msemo ambao unamaanisha kwamba fanya mambo mazuri hapa duniani ili Mungu akubariki mbinguni.

na moyo wako utakapokuwepo pia.

Hapa "moyo" maana yake ni mawazo ya mtu na mapenzi yake.

Matthew 6:22

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafasi. viwakilishi vya "yako" vimo katika umoja lakini waweza kuvitafsiri katika wingi.

Jicho ni taa ya mwili... hilo giza ni kubwa kiasi gani

Hii inalinganisha macho mazima ambayo yanamwezesha mtu kuona macho mabovu ambayo yanasababisha mtu kuwa kipofu. Huu ni msemo unaomaanisha uzima wa kiroho. Mara nyingi, wayahudi walitumia msemo "macho mabaya" wakimaanisha uovu. Maana yake ni hii ikiwa mtu amejitoa kwa Mungu na kuona vitu vinafanyika kwa njia hiyo wanafanya vizuri. Endapo mtu ana tamaa ya utajiri wa vitu vingine hivyo anafanya uovu.

jicho

Unaweza kutafsiri kwa wingi, "macho"

ikiwa jicho lako ni baya

Hii aimanishi maajabu. Wayahudi mara zote walitumia msemo huu kwa mtu ambaye ni mwovu.

kwa kuwa atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au la sivyo atajitoa kwa mmoja na kumwachaniza mwingine

Yote kwa pamoja kimsingi yana maana moja. Yanasisitiza kwamba mtu hawezi kupenda na kujitoa kwa Mungu na fedha kwa wakati mmoja.

Huwezi kumtumikia Mungu na mali

"Huwezi kumpenda Mungu na fedha kwa wakati mmoja"

Matthew 6:25

Maelezo kwauumla

Hapa viwakilishi vya "ku" na "yako" vyote viko katika wingi

Ninakuambia wewe

Hii inaongeza msisitizo kwa kile atakachosema Yesu baadaye

kwako

Yesu anaongea kwa kikundi cha watu kuhusu kitakachotokea kwao kwa mtu binafsi. Anapotumia "kwako" na "wako" yote ni wingi.

maisha si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?

Yesu anatumia swali kufundisha watu. "uhakika maisha ni zaidi ya kile unachokula, na mwili wako ni zaidi ya kile unachovaa."

ghala

sehemu ya kutunza mazao

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

Je ninyi hamna thamani kuliko wao?

Yesu anatumia swali kufundisha watu. "uhakika ninyi mna thamani zaidi ya ndege."

Matthew 6:27

Maelezo kwa ujumla

Yesu ansema na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao katika maisha binafsi.viwakilishi vya "mwenu" na "yake" vimo katika wingi.

Na nani mmoja miongoni mwenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza siku za kuishi?

Yesu anatumia swali kufundisha watu. Anamaanisha hakuna atakayeishi maisha marefu kwa kuwa na hofu.

inchi moja

"inchi" ni pungufu ya mita. Hapa ni msemo wa kuongeza kiasi cha miaka mingapi ya kuishi mtu.

Na kwa nini mna kuwa na hofu kuhusu mavazi?

Yesu anatumia swali kufundisha watu. AT:"Usiwe na hofu kuhusu nini utavaa."

Fikiria kuhusu

'Zingatia"

maua

aina ya maua ya porini

Ninakuambia wewe

Hii inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu ataongea baadae

hakuwahi kuvikwa kwa namna hii

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"hakuvaa nguo nzuri kama haya maua."

Matthew 6:30

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao kibinafsi. viwakilishi vya "ninyi" na "wenye" vimo katika wingi.

anayavalisha majani

Huu ni msemo ukiwa na maana Mungu anayapendezesha maua

majani

Ikiwa lugha yako ina neno linalohisi "majani" na neno ulilotumia kwa "maua" kwa mstari uliopita, unaweza kutumia hapa.

yanatupwa na kuteketea

Wayahudi tena walitumia majani kwa moto na kupikia vyakula vyao. Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "mtu mmoja alitupa katika moto" au "mtu mmoja alichoma"

ni kwa kiwango gani atawavalisha ninyi ....imani?

Yesu anatumia swali kufundisha watu.AT: yeye hakika atawavisha ninyi...imani."

ninyi wenye imani ndogo

"ninyi ambao mna imani ndogo." Yesu anawatuhumu watu kwa sababu walikuwa na imani ndogo na Mungu.

Hivyo basi

"Kwa sababu ya hayo yote"

Matthew 6:32

Kwa kuwa mataifa wanafuta mambo haya

"kwa mataifa wanajali san juu ya kile watachokula, kunywa na kuvaa"

Baba yenu wa mbinguni anajua mnahitaji hayo

Yesu anamaanisha kwamba Mungu atahakikisha mahitaji ya muhimu mnapata

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

tafuta kwanza ufalme na haki

Hapa "ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "umaanishe mwenyewe katika kumtumikia Mungu, ambaye ni mfalme wako, na ufanye yaliyo haki."

hayo mengine yote atakupatia wewe

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "Mungu atakupatia hayo yote wewe."

Hivyo basi

"Kwa sababu ya hayo yote"

kesho itajua yenyewe

Yesu anafafanua "kesho" kama mtu ambaye anaweza kuhofu. Yesu anamaanisha kwamba mtu anaweza kuhofu endapo siku inayofuata imefika.

kila siku ina tatizo la kujitosheleza yenyewe

"kila siku huwa ina mabaya yake yakujitosheleza" au "Kila siku ina matatizo yake ya kutosha"

Matthew 7

Mathayo 07 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Kwa kuwa sura hii hubadilika haraka kutoka kwa mada moja hadi nyingine, inawezekana kutumia mstari wa nafasi kati ya mada ili kutofautisha kati yao kwa urahisi zaidi.

Dhana maalum katika sura hii

Mathayo 5-7

Mathayo 5-7 kwa pamoja huunda mahubiri au mafundisho ya Yesu. Mgawanyiko wa sura husababisha kuchanganyikiwa hapa.

"Utawajua kwa matunda yao"

Matunda ni taswira ya kawaida katika maandiko. Inatumika kuelezea matokeo ya tabia nzuri au mbaya. Katika sura hii, matunda mazuri ni matokeo ya kuishi kama Mungu anavyoamuru. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/other.html#fruit)

<< | >>

Matthew 7:1

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake katika mahubiri ya mlimani, yanayoanzia 5:1

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao baadaye katika maisha binafsi. viwakilishi vya "nawe" na amri viko katika wingi.

Usihukumu

Inamaanisha hapa kwamba "hukumu" ina maana ya msingi kuwa "kushutumu vibaya" au "kutangaza kosa"AT:"Usishutumu watu vibaya."

nawe usije ukahukumiwa

Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai.AT:"Mungu hawezi kukushutumu wewe vibaya."

Kwa

Uwe na uhakika msomaji anaelewa maelezo ya mstari wa 7:2 uwe na msingi alichokisema Yesu katika wa 7:1

kwa hukumu utakayohukumu, nawe utahukumiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "Mungu atakushutumu wewe hivyo hivyo kama

kipimo

Tafsiri inayowezekana ni 1) hii ni kipimo cha hukumu unayopewa au 2) hiki ni kiwango kinachotumika kwa kuhukumu.

utapimiwa hicho hicho

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "Mungu atatumia kipimo hicho kwako."

Matthew 7:3

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafasi. viwakilishi vya "u" na "yako" vimo katika umoja lakini vinaweza kutafsirika katika wingi.

kwa nini unatazama....Unawezaje kusema

Yesu anatumia maswali yote kufundisha na kutoa changamoto kwa watu. Yeye anataka wao wajiangalie dhambi zao kabla ya kuangalia dhambi za mtu mwingine.

kipande cha mti

ni msemo

kaka

Hii inamaanisha mkristo mwenzako, siyo kaka halisi au jirani

kipande cha mti

Sehemu ya kipande kikubwa cha mti ambacho mtu amekikata chini. Ni kipande cha ubao kwa mbali kikubwa kiualisia kimeingia kwenye jicho la mtu. Huu ni msemo muhimu kwa mtu mwenye makosa

Matthew 7:6

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "u" na "yao" viko katika wingi.

mbwa....nguruwe

Wayahudi waliwachukulia wanyama hawa kuwa wachafu, na Mungu aliwaambia wayahudi wasiwale. Huu ni msemo kwa watu waovu ambao hawathamini vitu vitakatifu. Itakuwa vizuri kutafsiri maneno haya kiualisia.

lulu

Hiki ni sawa na mviringo,jiwe la thamani au glasi. Ni misemo ya elimu ya Mungu au vitu vyenye ubora kiujumla.

wanaweza kuviharibu

"nguruwe wataviharibu"

na tena watageuka na kurarua

"na mbwa watageuka na kurarua"

Matthew 7:7

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "wewe" na "wake" wake katika wingi.

Omba...Tafuta...Bisha

Hii ni misemo ya maombi kwa Mungu. Mfumo wa kitenzi inaonyesha kwamba tuendelee kuomba mpaka yeye ajibu. Ikiwa lugha yako ina mfumo wa kufanya kitu na kurudia rudia tena, unaweza kutumia hapa.

Omba

Hii ina maana ya kuhitaji kitu kutoka kwa Mungu

Nawe utapewa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"Mungu atakupa kile unachotaka."

Tafuta

"Tafuta kutoka kwa Mungu kile unachotaka"

Gonga

Kugonga mlango ilikuwa njjia ya upole ya kumwomba mtu aliye ndani ya nyumba au chumba afungue mlango.Ikiwa kugonga mlango si kwa upole kwenye utamaduni wenu, tumia neno ambalo linaelezea kwa upole mtu anapotaka kufunguliwa mlango.

nawe utafunguliwa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. Mungu atakufungulia kwa ajili yako"

au kuna mtu miongoni mwenu ambaye....jiwe?

Yesu anatumia swali kufundisha watu. "Hakuna mtu miongoni mwenu ... jiwe,"

kipande cha mkate

Hii inamaanisha chakula kwa ujumla. "chakula"

jiwe...samaki...nyoka

Haya majina yatafsiriwe kiualisia.

au ikiwa atamwomba samaki, na yeye atampa nyoka?

Yesu anauliza swali jingine kufundisha watu. Inaeleweka kwamba yesu alikuwa anarejea mtu na kijana wake. "Na hakuna mtu miongoni mwenu, ikiwa kijana amemwomba samaki, atampatia nyoka."

Matthew 7:11

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. Viwakilishi vya "ninyi" na :wenu" ni vya wingi.

ni kwa kiasi gani zaidi Baba aliye mbinguni atawapa...... yeye?

Yesu anatumia swali kujibu watu. "ndipo Baba yenu aliye mbinguni hakika atampa....yeye."

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu.

unataka kufanyiwa kitu chochote na watu

kwa njia yeyote lolote unalotaka ufanyiwe na wengine"

kwa kuwa hiyo ni sheria na unabii

Hapa "sheria" na "unabii" kinarejea kile ambacho Musa na manabii walikiandika. kwa kuwa hiki ndicho kile Musa na manabii walifundisha kwenye maandiko."

Matthew 7:13

Maelezo kwa ujumla

unapotafsri, tumia neno sahihi la "pana" na la "pana sana" kama yanavyotofautiana na "embamba" kama inavyowezekana ili kukazia tofauti ya hizo jozi za malango na njia.

Ingia kwa kupitia njia nyembamba...wachache wanaoweza kuiona

Hiki ni kivuli cha mtu anayetembea njiani na kuingia kwenye ufalme kwa kupita lango. Ufalme mmoja ni rahisi kuingia na mwingine si rahisi kuingia. Huu ni msemo unaomaanisha kwamba mtu anapaswa kukubali njia ngumu ya maisha ya kumtii Mungu na kupata uzima wa milele. Ikiwa watachagua njia nyepesi ya maisha ya kutomtii Mungu, wataingia kuzimu.

Ingia kwaa kupitia njia nyembamba

Unatakiwa kuendelea hadi mwisho wa mstari wa 14: "Hivyo basi, ingia kwa kupitia njia nyembamba."

lango.....njia

Tafsiri inayowezekana ni 1) hii inarejea langoi la kuingia katika ufalme na njia inayoongoza kwenye lango. Ikiwa hivyo, unaweza kubadilisha mpangalio kinyume kama walivyofanya UDB au 2) "lango" na "njia" vyote vinarejea lango la ufalme. ikiwa hivyo, una haja ya kubadili mpangilio.

katika uharibifu.... katika uzima

Haya majina ya sifa yanaweza kutafsiriwa kwa vitendo. "katika eneo ambalo utakufa.... katika eneo ambalo utaishi."

Matthew 7:15

Jihadharini na

"jilindeni na"

wanakuja wamevaa ngozi ya kondoo,lakini kweli ni mbwa wakali

Huu msemo una maana manabii wa uongo watajifanya wazuri na kutaka kuwasaidia, lakini kwa ualisia ni waovu na watawadhuru.

Kwa matunda yao utawatambua

Huu msemo unarejea matendo ya mtu. "Kama vile unavyofahamu mti kwa tunda linalotokea, utamtabua nabii wa uongo kwa matendo yao."

Je watu wanaweza kuvuna ....miiba?

Yesu anatumia swali kujibu watu. Watu wangetambua kwamba jibu siyo. "watu hawezi kuvuna...miba."

kila mti mzuri huzaa matunda mazuri

Yesu anaendelea kutumia msemo wa tunda akimaanisha nabii mzuri ambaye anafanya kazi nzuri au maneno mazuri.

mti mbaya huzaa matunda mabaya

Yesu anaendelea kutumia mfano wa matunda kwa kurejea kwa nabii mbaya ambaye anafanya kazi ya uovu.

Matthew 7:18

Kila mti ambao hauzai matunda mazuri utakatwa na kutupwa katika moto.

Yesu anaendelea kutumia mti wa matunda kama msemo akimaanisha manbii wa uongo. Hapa, yeye anaongelea kile kitakachotokea kwa mti mbaya. Ikimaanisha kwamba kitu hicho kitafanyika kwa manabii wa uongo.

itakatwa chini na kutupwa katika moto

Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo hai. "mtu ataukata chini na kuuchoma."

kwa matunda yao mtawatambua

Neno "yao" inaweza kurejea labda manabii au miti. Huu msemo unamaanisha kwamba matunda ya mti na matendo ya manabii yote yanafunua kuwa yaweza kuwa mabaya au mazuri. Kama ikiwezekana, unaweza kutafsiri ikimaanisha maana moja kati ya hayo'

Matthew 7:21

wataingia katika ufalme wa mbinguni

Hapa "ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Msemo "ufalme wa mbinguni" umetumika pekee katika kitabu cha mathayo. Ikiwa inawezekana, andika "mbingu" katika tafsiri yako. "wataishi pamoja na Mungu mbinguni pindi atakapojifunua kuwa mfalme."

wale wanaotenda mapenzi ya Baba

"wale wanaotenda kile ambcho Baba yangu anataka"

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

siku hiyo

Yesu alisema "siku hiyo" akijua wasikilizaji walielewa alichomaanisha siku ya hukumu. Unaweza kuhusisha "siku ya hukumu" endapo tu wasikulizaji wako hawatakuelewa vinginevyo.

hatukutoa unabii....kutoa mapepo...tulifanya miujiza mingi?

Watu walitumia maswali kusisitiza kwamba walifanya mambo hayo. "tulitabiri..tulitoa pepo...tulifanya miujiza mingi."

sisi

Hii "sisi" haimuhusishi Yesu.

kwa jina lako

Hapa "jina" maana yake katika nguvu na mamlaka ya Yesu

matendo ya ajabu

"miujiza"

sikuwatambua ninyi

Hii ina maana mtu huyu si wa Yesu."Wewe si mfuasi wangu" au "Sina kitu cha kufanya pamoja nawe"

Matthew 7:24

Hivyo basi

"Kwa sababu hiyo"

maneno yangu

Hapa "maneno" yanarejea kile ambacho Yesu alisema

kama mtu mwenye hekima aliyejenga nyumba juu ya mwamba

Yesu analinganisha wale wanaotii neno lake na mtu aliyejenga nyumba ambayo haitazulika na kitu.

mwamba

Huu ni mwamba mbaya chini ya mchanga ulio juu na udongo, sio jiwe kubwa au mpaka juu ya ardhi.

ilikuwa imejengwa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "yeye alijenga"

Matthew 7:26

Sentensi unganishi

Huu ndio mwisho wa mahubiri ya Yesu ya mlimani yanayoanzaia 5:1

atafananishwa na mtu mpumbavu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga

Yesu aliendelea kutumia mlinganyo kutoka mstari uliopita. Yeye analinganisha wale ambao hawatii neno lake na mpumbavu aliyejenga nyumba. Mpumbavu pekee aweza kujenga nyumba juu ya mchanga ambapo mvua,mafuriko na upepo vinaweza kuhamisha mchanga.

kuanguka

Tumia neno la ujumla kwa lugha yako ambalo linaelezea kilichotokea wakati nyumba inaanguka chini.

na anguko lake likakamilika

Mvua,mafuriko na upepo hakika yaliangamiza nyumba.

Matthew 7:28

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inafafanua jinsi watu katika makutano walivyoyapokea mafundisho ya Yesu ya mlimani.

ilifika kipindi ambacho

Huu usemi unaonyesha hitimisho la hotuba ya mlimani.

walishangazwa kwa mafundisho yake

iko wazi katika 7:29 kwamba walishangazwa si kwa sababu ya alichofundisha Yesu bali pia jinsi alivyofundisha . "walishangazwa kwa jinsi alivyoweza kufundisha."

Matthew 8

Mathayo 08 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Sura hii inaanza sehemu mpya.

Dhana maalum katika sura hii

Miujiza

Miujiza ya Yesu katika sura hii inaonyesha kwamba ana mamlaka juu ya mambo yanayopita udhibiti wa binadamu. Inaonyesha pia kwamba kumwabudu Yesu ni jibu sahihi kwa matendo yake. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#authority)

<< | >>

Matthew 8:1

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwanzo wa sehemu mpaya ya simulizi ambalo limebeba simulizi nyingi za uponya wa watu. Wazo hili linaendelea hadi hadi 9:35.

Wakati Yesu alipokuja kushuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata.

"Baada ya Yesu kuja kushuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata," Umati yawezekana ulijumuisha watu waliokuwa nae juu mlimani na watu ambao hawakuwahi kuwa nae.

Tazama

Neno "tazama" inatupa dokezo sisi la mtu mwingine katika hadithi. Lugha inaweza kuwa namna ya kufanya hivyo.

mkoma

"mtu ambaye ana ukoma" au "mtu ambaye ana ugonjwa wa ngozi"

kusujudu mbele yake

Hii ni ishara ya unyenyekevu heshima mbele ya Yesu.

Ikiwa unataka

"ikiwa unataka kufanya" au "ikiwa unahitaji" mwenye ukoma alijua yesu ana nguvu za kumponya, lakini hakujua endapo Yesu alitaka kumgusa yeye.

wewe unaweza kunisafisha

Hapa "kusafisha" maana yake kuponywa na ili kuweza kuishi kwenye jamii tena."

mara moja

"sasa hivi"

naye akasafishwa ukoma wake

Matokeo ya Yesu kusema"Uwe mzima" ilikuwa kwamba mtu huyo akaponywa.Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"yeye alikuwa mzima" au "ukoma ulimwacha" au "ukoma ulikoma"

Matthew 8:4

yeye

Hii alikuwa anarejea mtu ambaye alimponya

usimwambie mtu yeyote

"usiseme kitu chochote kwa mtu yeyote" au "usimwambie mtu yeyote nimekuponya wewe"

ukajionyeshe kwa makuhani

Sheria ya wayahudi ililazimu kwamba mtu akaonyeshe ngozi aliyoponywa kwa kuhani, ambaye tena angemruhusu yeye au yule kuwa pamoja na watu wengine.

utoe zawadi ambayo Musa aliwaagiza,kwa ajili ya ushuhuda kwao.

Sheria ya Musa ililazimu kwamba yeyote aliyeponywa ukoma atoe sadaka ya shukrani kwa kuhani. Endapo kuhani atakubali zawadi, watu watajua kwamba mtu huyo ameponywa.

kwao

Hii kwa uhakika inaweza kurejea kwa 1) makuhani au 2) wapingaji wa Yesu. Ikiwezekana, tumia kiwakilishi ambacho kitaonyesha kati ya makundi hayo.

Matthew 8:5

Sentensi unganishi

Hapa simulizi hili linabadili mandhari ya muda na eneo na simulizi inakuwa ni ya habari za Yesu akimponya mtu mwingine

akaja kwake na kumwambia yeye

Hapa "yeye" anarejea kwa Yesu.

amepooza

"Asiyeweza kutembea kwa sababu ya ugonjwa"

Yesu akamwambia yeye

"Yesu akamwambia jemedari"

nitakuja na kumponya yeye

"nitakuja nyumbani kwako na kumfanya mtumishi wako apone"

Matthew 8:8

kuingia ndani ya dari langu

Msemo "kuingia ndani ya dari" maana yake "nyumba yangu"

sema neno

Hapa "neno" maana yake sema amri.AT: "toa amri"

ataponywa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "atakuja kuwa mzima"

walio chini ya mamlaka

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"ambaye yuko chini ya mamlaka ya mwingine"

chini ya mamlaka...... chini yangu

Kuwa "chini" mtu inamaanisha kutokuwa na umuhimu sana na kutii agizo la mtu mwenye umuhimu zaidi.

mwanajeshi

"mtalaamu wa kupigana"

kweli ninawaambia

"Ninawaambia ukweli." Huu usemi unaongeza na kusisitiza kile ambacho yesu atazungumza baadae.

sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu Israel

Wasikilizaji wa Yesu wangefikiri kwamba wayahudi katika Israeli, ambao wanadai kuwa ni watoto wa Mungu, watakuwa na imani kuliko yeyote. Yesu anasema hawako sahihi na kwamba imani ya jemedari ilikuwa kubwa.

Matthew 8:11

wewe

Hapa "wewe" ni wingi na ina maanisha "wale ambao walikuwa wakimfuata yeye"

kutoka mashariki na magharibi

Unapotumia kinyume "mashariki" na "magharibi" ni njia ya kusema "kila mahali," "kutoka kila mahali" au "kutoka mbali kila upande"

wataketi katika meza

watu katika utamaduni walikaa chini pembeni ya meza wakiwa wanakula. Huu msemo unaonyesha kwamba wale walio mezani ni familia na marafiki wa karibu. "ishi kama familia na rafiki."

katika ufalme wa mbinguni

Hapa "ufalme" ina maanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Msemo "ufalme wa mbinguni" umetumika katika kitabu cha Mathayo. Ikiwezekana, andika "mbinguni" katika tafsiri yako. "wakati Mungu wetu mbinguni anaonyesha kwamba yeye ni mfalme."

watoto katika ufalme watatupwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. "Mungu atawatupa watoto katika ufalme."

watoto katika ufalme

Usemi "watoto wa"ina maanisha wale ambao wanamikiwa na kitu fulani, kwa namna hiyo ufame wa Mungu. Kuna kejeli pia hapa kwa sababu "watoto" watatupwa nje wakati wageni watakaribishwa. "wale ambao waliruhusu Mungu awatawale wao."

nje gizani

Haya maelezo yanamaanisha hatua ya mwisho ya milele kwa wale waliomkataa Mungu. "sehemu ya giza mbali kwa Mungu" au "kuzimu"

itendeke hivyo kwako

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "hivyo nitafanya kwa ajili yako wewe"

mtumishi aliponywa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "Yesu alimponya mtumishi"

kwa wakati huo

kwa muda ule Yesu alisema yeye atamponya mtumishi."

Matthew 8:14

Sentensi ungsnishi

Hapa simulizi inabadili mandhari ya muda na eneo. simulizi inakuwa ni ya Yesu akimponya mtu mwingine

Yesu alipofika

Hawa wanafunzi yawezekana walikuwa na Yesu, lakini mtazamo wa hadithi Yesu alisema nini na kufanya nini, hivyo watambulishe wanafunzi pekee ikiwa inalazimika kuepusha maana ya uongo.

Mama mkwe wa Petro

Mkwe - "mama wa mke wa Petro"

homa ikamwacha

Ikiwa lugha yako itaelewa msemo kuwa homa inaweza kufikiri na kutenda yenyewe, hii inaweza kutafsiriwa kama "yeye akawa mzima" au "Yesu akamponya yeye:

akaamka

"akaamka toka kitandani"

Matthew 8:16

Sentensi unganishi

Mandhari yanahamia katika muda wa jioni ambapo Simulizi inakuwa ya Yesu kuponya watu zaidi na kufukuza mapepo..

Maelezo ya jumla

Katika mstari wa 17, mwadishi anamnukuu nabii Isaya il ikuonesha kuwa huduma ya Yesu ilikuwa kutimiza unabii.

Na ilipofika jioni

Hii inajulisha kwamba hii ni baada ya Sabato, kwa sababu wayahudi walikuwa hawafanyi kazi au kusafiri siku ya Sabato. Walisubiri muda wa jioni kuleta watu kwa Yesu. Hauhitaji kutaja Sabato isipokuwa unataka kuepuka tafsiri ya uongo

wengi waliotawaliwa na mapepo

Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai.AT:"wengi ambao mapepo yaliwatawala" (UDB) au "wengi ambao walipagawa na mapepo"

Naye akawafukuza roho kwa neno

Hapa "neno" inamaanisha amri. Yeye aliwaamuru pepo kuondoka."

yalitimizwa unabii wa Isaya uliyosema

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "Yesu alitimiza unabii kwamba nabii Isaya aliongea na watu wa Israeli."

alichukua magonjwa yetu na kubeba malazi yetu

Mathayo anamnukuru nabii Isaya. Hii misemo miwili kiualisi inamaana moja na kusisitiza kwamba yeye aliponya magonjwa yetu yote. "aliponya wale walio wagonjwa na kuwafanya wazima."

Matthew 8:18

Sentensi unganisha

Hapa simulizi linabadilika na kusimulia jinsi Yesu alivyosema juu ya watu waliotaka kumfuata

Kisha

Hili neno limetumika hapa kuonyesha alama ya kikomo cha hadithi. Hapa Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi.

yeye alitoa maelekezo

"aliwaambia wanafunzi wake"

Ndipo

Hapa inamaanisha baada ya Yesu "kutoa maelekezo" lakini kabla yake kuingia ndani ya boti.

popote

"sehemu yeyote"

Mbwea wana mashimo, na ndege wa angani wana vichari

Hii ina maana hata wanyama wakali wana sehemu ya kupumzika.

mbwea

Mbwea ni wanyama kama mbwa. Wanakula ndege wadogo na wanyama wengine wadogo. Ikiwa mbwea hawajulikani kwenye eneo lako, tumia kwa ujumla mbwa - kama viumbe au mnyama mwingine mkali.

shimo

Mbwea wanatengeneza mashimo ardhini kwa kuishi humo. Tumia neno sahihi kwa eneo ambalo mnyama "mbwea" anaishi.

mwanadamu

Yesu anaongelea kuhusu yeye mwenyewe

hana sehemu ya kulaza kichwa chake

Hii ina maanisha sehemu ya kulala. "hana sehemu yake ya kulala."

Matthew 8:21

niruhusu kwanza niende na kumzika baba yangu

Aieleweki kwamba baba wa mtu alikufa na angemzika mapema, au ikiwa mtu anaataka akae muda mrefu baba yake afe na amzike. Pointi ya muhimu mtu anataka kufanya kitu kingine kwanza kabla ya kumfuata Yesu.

uwaache wafu wazike wafu wenzao

Yesu hana maana halisi kwamba watu wafu watazika wafu wengine. Tafsiri inayowezekanaya "wafu" ni 1) ni msemo kwa wale ambao watakufa punde, au 2) ni msemo kwa wale ambao hawamfuati Yesu na kiroho wamekufa. Pinti ya muhimu ni kwamba wanafunzi wasiruhusu kitu chochote kumchelewesha kumfuata yesu.

Matthew 8:23

Sentensi unganishi

Hapa mandhari yanahamia kwenye simulizi la Yesu akituliza dhoruba wakati yeye na wanafunzi walipokuwa wakivuka bahari ya Galilaya.

alipoingia kwenye boti

"kuingia ndani ya boti"

wanafunzi wake wakamfuata

Jaribu kutumia neno lilelile kwa "wanafunzi" na "kufuata" ambalo umelitumia

Tazama

Hii inaonyesha kuanza kwa kutukio jingine kubwa la hadithi. Lugha yako inaweza ikawa na njia nyingine ya kuonyesha hili.

likatokea wimbi kubwa baharini

"wimbi la nguvu likatokea baharini"

ndipo sasa boti ikazungukwa na mawimbi

Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji. "ndipo sasa mawimbi yakafunika boti"

wakamwamsha, wakamwambia,"tuokoe

Maana inayowezekana ni 1) kwanza walimwamsha Yesu na ndipo wakasema, "tuokoe" au 2) walipokuwa wakimwamsha walimwambia "tuokoe"

sisi

ikiwa unataka kutafsiri neno hili kama pamoja au kipekee, ndipo kipekee ni bora. Wanafunzi yawezekana walimaanisha walitaka Yesu awaokoe wanafunzi na yeye mwenyewe kwenye kuzama.

sisi tunaelekea kufa

"sisi tunakwenda kufa"

Matthew 8:26

wao

"kwa wanafunzi"

kwa nini mnaogopa ... imani?

Yesu alikuwa anakemea wanafunzi kwa swali la kejeli. "hampaswi kuogopa...imani" au "hamna sababu ya ninyi kuogopa ....imani."

ninyi wenye imani ndogo

Angalia jinsi unavyotafsiri hii

Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata upepo na bahari vinamtii yeye?

"Hata upepo na bahari vinamtii yeye! Huyu mtu ni wa namna gani?" Hili swali la kejeli linaonyesha kwamba wanafunzi walishangazwa. "huyu mtu niwa tofauti na hatujawahi kumwona! hata upepo na mawimbi vinamtii yeye!"

hata upepo na bahari vinamtii yeye

Kwa watu au wanyama kutii au kutotii haishangazi, lakini kwa upepo na maji inashangaza.Hii kibinadamu inaeleza vitu asili kama viumbe vinaweza kusikia na kuitikia kama watu.

Matthew 8:28

Sentensi unganishi

Hapa mwandishi anaturudisha kwenye wazo kuu la Yesu akiwaponyawatu. Hii inanzisha simulizi la Yesu akiwaponya wanaume wawili waliokuwa na pepo.

upande mwingine

"upande mwingine wa bahari ya galilaya"

nchi ya Gadalene

Gadalene ulitajwa kwa jina la Gadara.

walikuwa wasumbufu, hakuna mpita njia aliyeweza kupita njia ile

Mapepo yaliyowatawala watu hawa wawili yalikuwa hatari kwamba hakuna hata mmoja angeenda kupitia eneo hilo.

Tazama

Hii inaonyesha kuanza kwa kutukio jingine kubwa la hadithi. Inaweza kuhusisha watu tofauti na tukio lililopita, Lugha inaweza kuwa na njia ya kuonyesha hili.

Tuna nini cha kufanya nawe,mwana wa Mungu

Hili swali la kwanza la kejeli ni hostile

Umekuja hapa kututesa sisi kabla ya wakati kufika?

hili swali la pili la kejeli nalo pia ni uhasama na linamaanisha "Haupaswi kutomtii Mungu kwa kutuadhibu sisi kabla ya muda wenyewe ambao Mungu ameupanga ambao atuhukumu sisi"

Matthew 8:30

sasa

hili neno linaonyesha kwamba mwandishi atawaambia wasomaji habari anazotaka kufahamu kabla ya hadithi kuendelea. Nguruwe walikuwa kule kabla ya Yesu kufika.

Ikiwa utatuamuru tutoke

"kwa sababuunakwenda kututoa sisi nje"

sisi

Hii ni pamoja ,ina maanisha nguruwe pekee"

wao

mapepo ndani ya mtu

Mapepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe

"Mapepo wakamwacha mtu na kuwaingia nguruwe"

ndipo

Neno "ndipo" hapa linatoa angalizo kwetu kuwa tayari kwa taarifa za kushangaza zinazokuja.

likashuka chini kutokea mlimani

"kimbia haraka chini kwenye mteremko"

likafia majini

"waliingia kwenye maji na kuzama"

Matthew 8:33

Sentensi unganishi

Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kuwaponya wanaume wawili waliokuwa na pepo

kuchunga nguruwe

"kulinda nguruwe"

kilitokea nini kwa mwanaume ambaye ametawaliwa na mapepo

"Yesu alifanya nini kwa mwanaume ambaye alitawaliwa na mapepo"

Ndipo

Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Inaweza kuhusisha watu tofauti na tukio la zamani.Lugha yako inaweza kuwa na njia kwa kuonyesha hili

mji mzima

Hii ina maanisha wengi au idadi ya watu wengi, sio lazima kila mtu.

mji

"jiji na ardhi inayoizunguka"

Matthew 9

Mathayo 09 Maelezo ya Jumla

Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii

Kuna takwimu nyingi za matamshi katika sura hii. Ilikuwa ni kawaida pia kwa Yesu kutumia mifano ya analojia na sitiari katika mafundisho yake. Jinsi yake ya kufundisha ilikuwa na nia ya kukuza imani ndani yake. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#figs-metaphor na https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#faith)

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Na", "lakini"

Baadhi ya tafsiri za Kiingereza huanzisha sentensi nyingi katika sura hii na neno "na" au "lakini" ili kuonyesha mfululizo wa matukio katika maelezo. ULB kawaida huondoa maneno haya kwa sababu muktadha wa hadithi yenyewe unaonyesha kuwa matukio hutokea kwa mfululizo. Inakubalika kutumia maneno haya ikiwa yana umuhimu katika tafsiri yako.

<< | >>

Matthew 9:1

Sentensi unganishi

Mwandishi anarejea kwenye wazo kuu, ambalo linaanzia 8:1, la Yesu akiwaponya watu. Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya mwanamume aliyekuwa amepooza

Yesu akaingia kwenye boti

Wanafunzi yamkini walienda na Yesu'

boti

Yamkini ni boti ile ile

akafika kwenye mji wake

"mji ambao yeye aliishi"

Ndipo

Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Linaweza kuhusisha watu wengine tofauti na tukio lililopita. Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kuonyesha hili.

yao....zao

Hii inaonyesha wale ambao walimleta mgonjwa wa kupooza kwa Yesu. Hii inahusisha mgonjwa aliyepooza mwenyewe.

Mtoto

Huyu mtu hakuwa mtoto halisi wa Yesu. Yesu alikuwa akiongea naye kwa upole. Ikiwa hii inachanganya, inaweza pia kutafsiriwa"Rafiki yangu" au "Kijana" au hata kuondolewa.

Dhambi zako zimesamehewa

"Mungu amesamehe dhambi zako" au "Nimekusamehe dhambi zako"

Matthew 9:3

Tazama

Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Inaweza kutumia watu wengine tofauti na tukio lililopita. Lugha yako inaweza kuwa njia nyingine kufanya hili.

miongoni mwao

Hii inaweza kumaanisha "wao kwa wao,"kwenye mawazo yao, au "kwa kila mmoja," kutumia midomo yao.

anakufuru

Yesu alidai kuweza kufanya vitu ambavyo waandishi wa sheria walifikiri Mungu peke yake angevifanya.

akatambua mawazo yao

Yesu alitambua walichokuwa wakifikiria kwa uwezo wake au kwa sababu aliwaona wakisemezana wao kwa wao.

Kwa nini mnawaza maovu moyoni mwenu?

Yesu alitumia swali kuwakemea wanasheria.

wewe...yako

Hizi ni wingi

uovu

Huu ni uovu wa kimaadili au ukosefu, sio tu ni kosa kwa uhakika.

kipi ni rahisi......kutembea

Yesu aliuliza swali kukumbusha wanasheria kwamba waliamini mtu amepooza kwa sababu ya dhambi zake na kwamba dhambi zake zimesamehewa, naye angeweza kutembea, ili kwamba alipomponya aliyepooza, wanasheria wajue kwamba yeye anaweza kusamehe dhambi.

kipi kilicho rahisi kusema,dhambi zako zimesamehewa au kusema, simama na utembee?

"kipi ni rahisi kusema,"Dhambi zako zimesamehewa"? au ni rahisi kusema "Simamama na utembee"?

Dhambi zako zimesahewa

Hii inaweza kumaanisha 1)"ninakusamehe dhambi" au 2)"Mungu amesamehe dhambi zako."yako" ni umoja.

mtambue ya kwamba

"Nitawahakikishia ninyi." "ninyi" ni wingi.

yako.....yako

Hizi ni umoja

nenda nyumbani kwako

Yesu hamkatazi mtu kwenda sehemu nyingine. Yeye anampa fursa ya kwenda nyumbani.

Matthew 9:7

Sentensi unganishi

Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kumponya mtu aliyepooza. Kisha Yesu akamwita mtoza ushuru kuawa mmoja wa wanafunzi wake.

ambaye amewapa

"kwa sababu amewapa"

mamlaka hayo

mamlaka ya kuthibitisha kusamehe dhambi

Na Yesu alipokuwa akipita kutoka hapo

Kirai hiki kinaonyesha mwanzo wa simulizi mpya. Kamalugha yako ina namna ya kufanya hili, unaweza kulitumia mahali hapa.

akaipita kutoka hapo

"alikuwa akiondoka" au "alikuwa akienda"

Mathayo...naye...Yeye

Utamaduni wa kanisa unasema Mathayo ni mwandishi wa hii Injili, lakini andiko halitoi sababu ya kubadilisha kiwakilishi kutoka "naye" na "yeye" kwa "kwangu" na "mimi"

Yeye alisema naye

"Yesu alisema na Mathayo"

naye akamwambia

"Yesu alimwambia Mathayo"

Naye akasimama na kumfuata yeye

"Mathayo alisimama na kumfuata yeye" kama mwanafunzi, siyo tu kujumuika na Yesu kwa kinachofuata kukamilisha.

Matthew 9:10

Maelezo kwa ujumla

Matukio haya yalitokea kwenye nyumba ya Mathayo mtoza ushuru

nyumba

Hii yawezekana ni nyumba ya Mathayo, lakini yawezekana kuwa nyumba ya Yesu(walitumia kula Yesu na wanafunzi wake")Kilitengwa maalum ikiwa kitahitajika kuepusha kuchanganywa.

Ndipo

Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine katika habari kuu. Inaweza kuhusisha watu tofauti kuliko matukio yale ya kwanza. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulielezea hili.

Mafarisayo walipoona hayo

"Na mafarisayo walipoona kwamba Yesu alikuwa anakula na watoza ushuru na watu wenye dhambi"

kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na waovu?

Mafarisayo walitumia swali hili kumkosoa Yesu kile alichokuwa akifanya.

Matthew 9:12

Maelezo y a jumla

Matukio haya yanatokea kwenye nyumba ya Mathayo mtoza ushuru.

Na Yesu aliposikia hayo

Hapa "hayo" inarejea swali ambalo mafarisayo waliuliza kuhusu Yesu kula na watoza ushuru na wenye dhambi.

Watu walio na afya nzuri hawahitaji mganga, isipokuwa wale walio wagonjwa

Yesu anajibu kwa kutumia mithali. Anamaanisha kuwa anakula na watu wa aina hii kwa sababu amekuja kuwaokoa wenye dhambi.

watu walio na afy nzuri

"watu wenye afya"

wale walio wagonjwa

Kirai "wanahitaji mganga" kinaeleweka. "Wagonjwa ndio wanaohitaji mganga"

Inawapasa muende mukajifunze maana yake

Yesu anaelekea kunukuu maandiko. "Inakupasa ujifunze maana ya kile ambacho Mungu alisema katika maandiko"

Inawapasa muende

Kiwakilishi "wa" ni cha wingi kinachomaanisha mafarisayo

Ninapenda rehema na wala siyo dhabihu

Yesu ananukuu kile ambacho nabii Hosea aliandika katika maandiko.. Hapa "Ni" inamaanisha Mungu.

Kwa kuwa nilikuja

Hapa "Ni" inamaanisha Yesu.

haki

Yesu anatumia kejeli. Hadhani kuwa kuna watu wenye haki ambao hawahitaji kutubu. "wale wanaodhani kuwa ni wenye haki"

Matthew 9:14

sentensi unganishi

Wanafunzi wa Yohana mbatizaji walihoji swala la wanafunzi wa Yesu kutokufunga.

msifunge

"endeleeni kula kama kawaida"

Je wasindikizaji wa arusi wanaweza kuwa na huzuni pindi bwana harusi anapokuwa pamoja nao?

Yesu anatumia swali kuwajibu wanafunzi wa Yohana. Walijua kuwa watu hawaombolezi na kufunga kwenye sherehe ya harusi. Yesu anatumia mithali hii kuonyesha kuwa wanafunzi wake hawaombolezi kwa sababu yeye bado yuko nao.

Lakini siku zinakuja

"lakini muda utafika"

bwana arusi atachukuliwa kutoka kwao

Hii inaweza kuelezeka katka mfumo tendaji. "Bwana harusi hatakuwa pamoja nao si muda mrefu ujao" au "kuna mmoja atakayemchukua bwana harusi kutoka kwao."

atachukuliwa kutoka kwao

Yamkini Yesu anamaanisha kifo chake, lakini hii isiwekwe wazi kuwa ndichio alichomaanisha. Ili kulinda picha ya harusi, ni vizuri kueleza kuwa bwana harusi ataondoka kitambo.

Matthew 9:16

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kujibu swali ambalo wanafunzi wa Yohana walikuwa wameuliza

Hakuna anayeweka kipande cha nguo mpya kwenye nguo ya zamani

Huu msemo una maana kwamba watu wanaojua utamaduni wa zamani pekee hawako tayari kukubali mpya.

vazi

nguo

kipande

"kipande cha nguo mpya" kinatumika kuziba nguo iliyochanika

na mpasuko mkubwa utatokea

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji

Matthew 9:17

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kujibu swali ambalo wanafaunzi wa Yohana walikuwa wameuliza

Hakuna watu wanaoweka mvinyo mpya katika ngozi ya zamani

Yesu anatumia mithali Nyingine kuwajibu wanafunzi wa Yohana. Hii inamaanisha ni kitu kilekile sawa na mithali ya 9:16

Hakuna watu wanaoweka

"Hakuna hata mmoja anayemwaga" au "Watu hawaweki kamwe"

mvinyo mpya

Huu ni mvinyo ambao haujachacha. Kama mizabibu haijulikani kwenye sehemu yenu, tumia neno la ujumla la tunda."mvinyo wa matunda"

mfuko wa mvinyo mkuukuu

Hii inamaanisha mifuko ya mvinyo ambayo imekuwa ikitumika mara nyingi.

Mfuko wa mvinyo

"mkoba wa mvinyo" au "mkoba wa ngozi". Hii ni mifuko iliyokuwa imetengenezwa kwa ngozi za wanyama.

mvinyo utatoweka na gozi itaharibika

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Na hii itaharibu mfuko wa mvinyo na mvinyo kumwagika.

ngozi itaharibika

mvinyo mpya unapochacha na kuumuka, ile ngozi huchanika kwa sababu haiwezi tena kutanuka.

ngozi mpya

"mifuko mipya ya mvinyo" au "begi jipya la mvinyo" Hii inamaanisha ngozi ya mvinyo ambayo haijawahi kutumika.

vyote vitakuwa salama

Hili linaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji

Matthew 9:18

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha simulizi ya Yesu kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi baada ya kufa.

mambo hayo

Hii inarejea jibu la Yesu alilowapa wanafunzi wa yohana kuhusu kufunga.

Tazama

Neno "tazama" linatupa dokezo la mtu mwingine mpya katika hadithi. Lugha yako inawezekana ikawa na njia nyingine ya kufanya hivi.

akasujudu kwake

Hii ni njia mtu yeyote kuonyesha heshima katika utamaduni wa kiyahudi.

njoo na uweke mkono wako juu yake, na yeye ataishi tena

Hii inaonyesha kwamba ofisa wa kiyahudi aliamini Yesu ana nguvu ya kurudisha uhai wa binti yake.

wanafunzi wake

wanafunzi wa Yesu

Matthew 9:20

Sentensi unganishi

Hii inafafanua jinsi Yesu alivyomponya mwanamke mwingine wakati akiwa njiani kwenda kwa afisa wa Kiyahudi

Tazama

Neno "tazama" linadokeza juu ya mtu mwingine katika hadithi. Lugha yenu inaweza kuwa na njia nyingine ya kufanya hivi

alikuwa anatokwa damu

"kutokwa damu mfululizo"Yawezekana alikuwa akitokwa damu kwenye tumbo lake ingawa haikuwa kipindi cha kawaida yake. Baadhi ya tamaduni yawezekana wana namna nzuri ya kueleza tatizo hili.

miaka kumi na mbili

"miaka 12"

vazi

"kanzu"

Endapo nitagusa vazi lake, nami nitapata uponyaji

Alifikiria hivi kabla hajamgusa Yesu. Unaweza kuiweka sentensi hii mwanzoni.

Endapo nitagusa vazi lake

Kwa mjibu wa sheria za Kiyahudi, kwa sababu ya kutokwa na damu hakutakiwa kumgusa yeyote mtu yeyote. Anagusa vazi la Yesu ili nguvu za Yesu zimponye alidhani kuwa Yesu hatagundua kuwa ameguswa

Lakini

"Badala" Kile mwanamke alichotumaini kutokea hakikutokea.

Binti

Mwanamke hakuwa mtoto halisi wa Yesu. Yesu alikuwa akiongea naye kwa upole. Ikiwa hii inachanganya, inaweza kutafsiriwa "kijana wa kike" au hata kutolewa.

imani yako imekufanya upone

"Kwa sababu uliniamini, Nitakuponya"

Muda huo huo mwanamke alipokea uponyaji

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Yesu alimponya hapohapo"

Matthew 9:23

Sentensi unganishi

Hii inarudisha habari ya Yesu kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi

nyumba ya ofisa

Hii ilikuwa nyumba ya kiongozi wa kiyahudi

wapiga tarumbeta na umati wa watu walikuwa wakipiga kelele

Huu ni utamaduni wa kawaida wa kumboleza pale mtu anapokuwa amekufa.

wapiga zumari

"watu ambao wanapiga zumari/filimbi"

Ondoka hapa

Yesu alikuwa akiongea kwa watu wengi, hivyo tumia mfumo wa wingi wa kutoa amri kama lugha yenu inao huo.

binti hajafa, lakini amelala

Yesu anatumia igizo la maneno. Ilikuwa ni kawaida kipindi cha Yesu kusema mtu aliyekufa kuwa "amelala" Lakini hapa binti aliyekufa ataamka, ingawa yeye alikuwa amelala.

Matthew 9:25

Sentensi unganishi

Hii inahitimisha simulizi la Yesu la kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi

Maelezo kwa ujumla

Mstari wa 26 unatoa muhtasari unaofafanua matokeo ya Yesu kumfufua huyu msichana.

Na wale watu walipotolewa nje

"Baada ya yesu kuwatoa watu nje" au "Baada ya familia kuwatoa watu nje"

akaamka

"akaamka kutoka kitandani" Hii ni maana ile ile kama iliyo kwenye 8:14

Habari hii ikaenea mji mzima

Watu wote wa mji ule walisikia kuhusu hilo" au "Watu walioona binti akiwa hai walianza kuwaambia watu wa eneo hilo habari hizi."

Matthew 9:27

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu akiwaponya wanaume wawili waliokuwa vipofu

Alipokuwa akipita Yesu njiani

Yesu alikuwa akiondoka kwenye mji

akipita

"Alikuwa akiondoka" au "alikuwa akienda"

wakamfuata

Hii inamaainisha kuwa walikuwa wakitembea nyuma ya Yesu, siyo lazima kuwa walikuwa wameshakuwa wanafunzi wake.

uturehemu

Inamaanisha kuwa walitaka Yesu awaponye

Mwana wa Daudi

Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, hivyo inaweza kutafsiriwa kama "Ukoo wa Daudi". Ingawa, "Mwana wa Daudi" pia ni cheo alichopewa Masihi, na wale wanaume yawezekana walikuwa wakimwita Yesu kwa Sifa hii.

Pindi Yesu alipokuwa amefika kwenye nyumba

Hii inaweza kuwa nyumba ya Yesu au nyumba iliyosemwa kwenye 9:10

Ndiyo,Bwana

Jibulote halijatolewa lakini linaeleweka "Ndiyo, Bwana, tunaamini kuwa unaweza kutuponya."

Matthew 9:29

akagusa macho yao na kusema

Haiko wazi kuwa aligusa macho yao wote wakati mmoja au alitumia mkono wake wa kulia kumgusa mmoja na mwingine tena. Mkono wa kushoto kawaida ulitumika kwa makusudi yakutokuwa safi, ni hakika alitumia mkono wa kulia pekee. Pia haiko wazi kwamba aliongea wakati anawagusa au kwanza aliwagusa na ndipo akaongea kwao.

Na ifanyike hivyo kwenu kama imani yenu ilivyo

Hii inaweza kutafsriwa katika mfumo tendaji. "Naitafanya kama ulivyomini" au "kwa sababu unaamini, nitakupaonya"

macho yao yakafumbuka

Hii inamaanisha waliweza kuona. Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu aliponya macho yao" au "wale wanaume wawili vipofu waliweza kuona"

Angalieni mtu yeyote asifahamu jambo hili.

Hapa neno "angalieni" linamaanisha "hakikisha." au "Uwe na Muwe na uhakika hakuna mtu atakaye tafuta juu ya jambo hili" au "Msimwambie mtu yeyeote kuwa nimewaponya"

Lakini

"Badala yake"Wanaume hawakufanya kile ambacho Yesu aliwaambia kufanya.

kutangaza habari

"waliwaambia watu wengi kilichotokea kwao"

Matthew 9:32

Sentensi usganishi

Hii ni habari ya Yesu akiwaponya watu waliokuwa wamepagawa na pepo

tazama

Neno "tazama" linadokeza sisi juu ya mtu mwingine katika simulizi. Lugha yako inaweza ikawa njia nyingine ya kufanya hizi.

mtu mmoja bubu ... akaletwa kwa Yesu.

Hii inaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "mtu mmoja alimleta bubu kwa Yesu... kwa Yesu"

bubu

asiyeweza kuongea

aliyepagawa na pepo

Hii inaweza kueleza katika mfumo tendaji. "ambaye pepo lilikuwa limemumliki" au "amabye pepo lilikuwa linamtawala"

Na pepo walipomtoka

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Baada ya Yesu kuwa amelitoa pepo" au " Baada ya Yesu kuwa ameliamuru pepo kutoka"

yule bubu aliongea

"Yule bubu akanza kuongea" au "yule aliyekuwa bubu aliongea" au "mtu ambaye alikuwa bubu akaongea" au yule mtu hakuwa bubu tena"

umati ukashangazwa

"Watu walishangazwa"

Hii haijawahi kutokea

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "Hii haikuwahi kutokea kabla" au "Hakuna hata mmoja aliyewahi kufanya jambo kama hili hapo awali."

anawafukuza pepo

"huwalazimisha pepo kutoka"

huwaondoa

Kiwakilishi "ana" kinamaanisha Yesu

Matthew 9:35

Sentensi unganishi

Mstariwa 35 ni mwisho wa sehemu ya simulizi ambayo imeamnzia katika 8:1 kuhusu huduma ya Yesu ya uponyaji kule Galilaya.

Maelezo kwa ujumla

Mstari wa3 6 unaanzisha sehemu nyingine ya simulizi ambapo Yesu anawafundisha wanafunzi wake na kuwatuma kwenda kuhubiri na kuponya kama alivyokuwa akifanya.

miji yote

Yesu alienda kwa wengi au kwa miji mingi lakini si kwa kila mji. "Katika miji mingi"

miji....vijiji

"vijiji vikubwa...vijiji vidogo" au "miji mikubwa...miji midogo"

injili ya ufalme

Hapa neno "Ufalme" linamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. tazama ilivyotafsiriwa karika 4:23

magonjwa ya kila aina na udhaifu wa aina zote

"kila magonjwa na kila udhaifu" Neno "magonjwa" na "udhaifu" yanakaribiana kufanana lakini yanapaswa kutafsiliwa tofauti kama inawezekana. "Ugonjwa" unamfanya mtu kuwa dhaifu. "Udhaifu" kukosa nguvu mwili au tokeo linalosababishwa na kuwa na ugonjwa.

Walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji

Mfanano huu unamaanisha kuwa hawakuwa na kiongozi wa kuwaangalia. "Watu hawakuwa na kiongozi"

Matthew 9:37

Maelezo kwa ujumla

Yesu anatumia mithali kuwaambia wanafunzi wake juu ya mavuno ili kuona jinsi watavyopokea mahitaji ya makutano yaliyotajwa katika sehemu ambazo tayari zimepita.

Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache

Yesu anatumia mithali kuonyesha jinsi anavyopokea kile anachokiona. Yesu anamaanisha kuwa kuna watu wengi walio tayari kumwani Mungu lakini kuna watu wachache tu wa kuwafundisha ukweli wa Mungu.

mavuno ni mengi

"Kuna mazao mengi yaliyoiva na yako tayari kuvunwa."

wafanya kazi

"watendaji"

mwombeni Bwana wa mavuno

"Mwombeni Bwana, kwa sababu yeye mkuu wa mavuno"

Matthew 10

Mathayo 10 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Kutumwa kwa wanafunzi kumi na wawili

Sehemu kubwa ya sura hii inazungumza juu ya Yesu kuwatuma wanafunzi kumi na wawili kutoa ujumbe wake kuhusu ufalme wa mbinguni. Walipaswa kufanya huduma yao kwa inchi ya Israeli pekee na wasije wakashiriki habari hii kwa wasio Wayahudi. Maagizo ya Yesu humpa msomaji hisia kwamba hawakupaswa kupoteza wakati wowote. Sauti yake iliashiria kuwa alitaka waharakishe.

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

Wanafunzi kumi na wawili

Yafuatayo ni orodha ya wanafunzi kumi na wawili: Katika Mathayo: Simoni (Petro), Andrea, Yakobo mwana wa Zebedayo, Yohana mwana wa Zebedayo, Filipo, Bartholomayo, Tomasi, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mzeloti na Yuda Iskarioti.

Katika Marko: Simoni (Petro), Andrea, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana mwana wa Zebedayo (ambaye aliwaita Boanerge, yaani, wana wa ngurumo), Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mzeloti, na Yuda Iskarioti.

Katika Luka: Simoni (Petro), Andrea, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni (aitwaye Mzeloti, Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda "Iskarioti.

Inawezekana kuwa Thadayo na Yuda, mwana wa Yakobo, ni majina mawili ya mtu mmoja.

"Ufalme wa mbinguni umekaribia"

Maneno haya yana umuhimu mkubwa wa kitheolojia. Wataalam wanajadili ikiwa "ufalme wa mbinguni" ulikuwepo wakati huu au bado unakuja. Tafsiri za Kiingereza mara nyingi hutumia maneno "karibu," lakini hii inaweza kusababisha changamoto katika kutafsiri. Matoleo mengine hutumia maneno "inakaribia" na "yamekaribia."

<< | >>

Matthew 10:1

Sentensi unganishi

Hii inafungua habari ya Yesu akiwatuma wanafunzi wake wakafanye kazi yake.

akawaita wanafunzi wake kumi na wawili pamoja

"Akawaelezea wanafunzi wake 12"

akawapa mamlaka

Uwe na uhakika kwamba ujumbe unakuwa wazi kuwasilisha kwamba haya mamlaka yalikuwa 1) ni kufukuza roho chafu na 2) kuponya magonjwa na udhaifu

kuwafukuza

"kuwafanya roho wachafu waondoke"

kila aina ya magonjwa na kila aina za udhaifu

"kila ugonjwa na kila udhaifu." Maneno "ugojwa" na "udhaifu" ni kama yanakaribia kufanana lakini yanapaswa kutafsiliwa tofauti kama inawezekana. "Ugonjwa" ni kisababishi cha mtu kuwa dhaifu. "Udhaifu" ni ukosefu wa nguvu mwilini au kisababishi ambacho matokeo yake ni kuwa na ugonjwa.

Matthew 10:2

Maelezo kwa ujumla

Hapa mwanadishi anatoa majina kumi na mbili ya mitume kama taarifa ya itoayo picha ya nyuma.

sasa

Neno hili limetumika hapa kuonesha mwanzo wa simulizi jipya. Hapa Mathayo anaonesha historia ya maisha ya mitume kumi na wawili.

Mitume kumi na wawili

Hili kundi ni sawa na kusema "wanafunzi kumi na wawili" katka 10:1

Kwanza

Hi ya kwanza kwa mpangilio si kwa safu

Mkananayo

Hii inaweza kumaanisha yafuatayo 1) "Mkananayo" hii ni sifa iliyoonesha kuwa alikuwa ni mshirika wa kundi lililotaka kuwaweke huru wayahudi kutoka kwenye utawala wa Warumi. "Mzalendo" au "mmajumui" au 2) Mkereketwa ni neno linalonesha mtu mwenye kutamani kumjengea heshima Muungu. "mwenye uchu"

Mathayo mtoza ushuru

"Mathayo ambaye alikuwa mtoza ushuru"

ambaye atamsaliti yeye

"ambaye atamsaliti Yesu"

Matthew 10:5

Sentensi unganishi

Hapa Yesu anaanza kutoa maelekezo kwa wanafunzi wake juu ya jinsi wanavyopaswa kufanya na wategemee nini wakienda kuhubiri.

Maelezo kwa ujumla

Ijapokuwa mstari wa tano unaanza kwa kusema kuwa alaiwatuma thenashara, Yesualiwapa maelekezo haya kabla ya kuwatuma.

Hawa kumi na wawili Yesu aliwatuma

"Yesu aliwatuma hawa wanaume kumi na wawili" au "Walikuwa ni hawa wanaume kumi na wawili ambao Yesu aliwatuma"

aliwatuma

Yesu aliwatuma kwa kusudi maalumu.

Naye akawaelekeza wao

"Naye aliwaambia kitu gani walipaswa kutenda" au "aliwaamuru wao"

Kondoo aliyepotea wa nyumba ya Israel

Hiki ni kirai kinacholinganisha taifa zima la israel na kondoo ambao wamejitenga kutoka kwa mchungaji

nyumba ya Israel

Haya maelezo yana maanisha taifa la Israel. "watu wa Israel" au "kizazi cha Israel"

Mnapokwenda

Kiwakilishi "mna" ni cha wingi na kinamaanisha mitume kumi na wawili.

Ufalme wa mbinguni umekaribia

Hiki kirai cha "ufalme wa mbinguni", kinapatikana katika injili ya Mathayo tu. Kinamaanisha Mungu ni mfalalme. kama inawezekana tumia neno "mbinguni" katikatafsiri zako. "Mungu wetu wa mbinguni atajidhihirisha mapema kuw a yeyeni mfalme. Tazama ilivyotafsiriwa katika 3:1

Matthew 10:8

Sentensi unganishi

Yesu anaendele kuwaelekeza wanafunzi wake mambo ya kufanya watakapoenda kuhubiri.

mme....zenu

Hivi ni viwakilishi vya wingi vinavyomaanisha mitume kumi na wawili

Mmepokea bure toeni bure

kuna taarifa hapa ambazo hazikuelezwa, lakini inaeleweka . " Nilwasaidia na kuwafundisheni neno la Mungu bure. Kwa hiyo msiwafanye watu wengine wawalipe kwa lengo la kuwasaidia au kuwafundisha ukweli wa Munugu.

dhahabu,fedha au shaba

Hizi ni metali ambazo zilitumika kutengeneza sarafu. Hii orodha ni ya hela, ikiwa metali hazijulikani katika eneo lako, tafasiri orodha kama"hela."

pochi

Hii ina maana "mkanda" au "mkanda wa fedha," lakini kinamaanisha chochote kinachotumika kubebea hela. Mkanda ni kitu kirefu cha kujifunga cha nguo au ngozi kinachopita begani. Kilikuwa ni kipana ambacho kiliweza kukunjwa na kutumiwa kubeba hela

begi la kusafiria

Hii inaweza kuwa begi lolote linalotumika kubeba kitu safarini au begi linalotumiwa na mtu mmoja kukusanya chakula au hela.

nguo ya ziada

Tumia neno hilo hilo ulilotumia kwa "nguo"

mfanyakazi

"mfanyakazi"

chakula chake

Hapa "chakula" Kitu chochote ambacho ni hitaji kwa mtu.

Matthew 10:11

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu nini wanachopaswa kufanya watakapoenda kuhubiri.

mta...yenu

Hivi viwakilishi vinaonyesha mitume kumi na wawili

Kwa kila mji au kijiji mtakachoingia

"Kwa "Kila mji au kijiji" mtakachokwenda" au

Mji..kijiji

"kijiji kikubwa...kijiji kidogo" au "mji mkubwa...mji mdogo." Tazama ilivyotafsriwa katika 9:35.

anayestahili ... asiyestahili

Katika 10:11-13 "anayestahili" inamaanisha mtu aliyetayari kuwakaribisha wanafunzi wa Yesu. Yesu anamlinganisha mtu asiyekuwa tayari kuwakaribisha wanafunzi wake saw namtu asiyestahili

mkae pale mpaka mtakapoondoka

Maana halisi ya sentensi hii inaweza kuwa sahihi kama itasemwa "mkae katika nyumba ya huyo mtu mpaka mtakapoondoka kwenye huo mji au kijiji"

Mtakapoingia katika nyumba,salimuni

Kirai cha "salimieni" inamaanisha isalimuni hiyo nyumba. Salamu ya kawaida kwa nyakati zile ilikuwa "amani iwe katika nyumba hii. "Kaya" inamaanisha watu wanao ishi kwenye hiyo nyumba. mkiwa mnaingia kwenye nyumba, muwasalimu watu wanaoishi ndani yake.

nyumba inastahili

"Nyumba" inamaanisha wale wanaoishi kwenye hiyo nyumba. "watu wanaoishi kwenye nyumba hiyo wakiwakaribisha vizuri" au kaya ile iwakiwakarimu vizuri"

amani yenu ibaki pale

Neno "pale" linamaanisha kaya. Nyumba hapa inamaanisha watu wanaoishi kwenye hiyo nyunba. Amani yenu ibaki pale" au "watu wanaoishi katika nyumba ile wataishi katika amani"

amani yenu

Hii ni amani ambayo mitume wanapaswa kumwomba Mungu awape wanaoishi katika nyumba.

Kama haistahili

Neno "pale" linamaanisha nyumba . "Nyumba" inamaanisha kaya. "ikiwa hawatawakaribisha vizuri" au ikiwa hawatawakarimu"

amani yenu iondoke pamoja nanyi

Yamkini ina maana zifuatazo: 1) Ikiwa nyumba haistahili, ndipo Mungu atazuia amani au baraka katika nyumba hiyo au 2) Ikiwa kaya haistahili, ndipo mitume walipaswa kufanya kitu, kama vile kumwomba Mungu asikubali heshima ya salaam za amani. Ikiwa lugha yako ina maana kama hii ya kurudisha salaam au matokeo, hivyo itumike hapa.

Matthew 10:14

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake cha kufanya watakapoenda kuhubiri

Na kwa wale wasiowapokea au kusikiliza

"Ikiwa hakuna watu watakaowakaribisha au kuwasikia katika mji huo"

ninyi ... yenu

Hivi ni viwakilishi vya wingi ambavyo vinamaanisha mitume kumi na mbili

kusikiliza maneno yenu

Hapa "maneno" inamaanisjha kile ambacho wanafunzi wa Yesu watasema. "kusikiliza ujumbe wenu" au "kusikiliza kile mnachotaka kusema"

mji

Unaweza kutafsiri kama ulivyofanya kwa njia hiyo hiyo

jipanguseni mavumbi ya mguuni

"jipanguseni mavumbi y a miguu yenu mnapoondoka." Hii ni ishara inayoonesha kuwa Mungu amaewakataa watu wa mji au nyumba hiyo.

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu atasema baadaye.

itakuwa zaidi ya kuvumilia

"mateso yatakuwa machache"

mji wa Sodoma na Gomora

Hii inamaanisha watu walioishi Sodoma na Gomora."watu ambao waliishi katika miji ya Sodoma na Gomora"

mji huo

Hii inamaanisha watu katika mji ambao hawakutaka kuwapokea mitume au kusikiliza ujumbe wao. "Watu wa mji huo ambao hawakuwapokea"

Matthew 10:16

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake. Hapa anaanza kuwaambia wao kuhusu dhiki ambayo wanatakiwa kuvumilia pindi watapoenda kuhubiri.

Angalia

Neno "Angalia" hapa linaongeza na kusisitiza ambacho kitafuatia. "Tazama"au "Sikiliza" au "Zingatia kile ninachotaka kukuambia"

Ninawatuma

Yesu anawatuma kwa kusudi maalum.

kama kondoo katikati ya mbwa mwitu

Kondoo ni wanyama wasioweza kuijhami ambao mara kwa mara hushambuliwa na mbwa mwitu. Yesu anasema kuwa watu wanaweza kuwaumiza wanafunzi wake. "Kama kondoo katikati ya mbwa mwitu hatari" au "kama kondoo katikati ya watu wenye tabia kama hizo.

muwe na hekima kama nyoka na wapole kama njiwa

Yesu awaambia wanafunzi wake ili wawe na tahadhari na wasiowamiza watu. Kama kuwafananisha wanafunzi na nyoka au na njiwa kunachanganya, basi ni vizuri kutokuutumia huu mlinganyo. "fanya kwa kuelewa na tahadhari, vile vile kwa makini na wema."

Muwe waangalifu na watu watawapeleka

Unaweza kutafsiri kwa kutumia "kwa sababu" ili kuonnesha jinsi hizi sentensi zinavyohusiana. "Muwe waangalifu na watu kwa sababu watawapeleka

Watawapeleka kwenye

"watawasaliti kwa" au "watawakabidhi Kwa" au watawakamata na kuawajaribu"

mabaraza

"mahakama" Hawa ni viongozi wa kidini au wazee ambao kwa pamoja wanalinda amani katika jamii.

watawapiga mijeledi

"kupiga kwa mijeledi"

katikati ya mbwa mwitu

AT:"katikati ya watu ambao ni kama mbwa mwitu wa hatari" au "katikati ya watu ambao watenda kama wanyama wa kutisha" au "katikati ya watu ambao watakuvamia wew"

na mtaletwa

Hii inaweza kuelezeka katika muundo tendaji "watawaleta" au "watawaburuza"

kwa ajili yangu

"kwasababu ninyi ni wangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi"

kwao na kwa mataifa

Kiwakilishi "kwao" inamaanisha huenda wakawa "magavana au wafalme" au kwa washitaki wa kiyahudi

Matthew 10:19

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotakiwa kuvumilia pindi watapoenda kuhubiri

msi...yenu

kiwakilishi "msi" na "yenu" vinamaanisha mitume kumi na wawili

msiwe na wasiwasi

"msiwe na hofu"

jinsi gani au nini cha kuongea

"jinsi gani ya kuongea au nini cha kusema." Haya mawazo mawili yanaweza kujumuishwa:"Ni nini cha kusema"

kwa kuwa kitu cha kusema mtapewa

Hii inaweza kutafsirika katika mfumo tendaji. "Kwa kuwa Roho mtakatifu atawapa cha kusema"

kwa wakati huo

Hapa wakati" unamaanisha "muda huohuo" au "kwa muda huo"

Pindi watakapowashutumu

Kipindi watu watakapowashitaki kwenye mabaraza.""watu" hapa ni wale wale "watu"

Roho ya Mungu wako

Ikiwa muhimu, inaweza kutafsiliwa kama "Roho ya Mungu baba yako aliye mbinguni" au nyongeza inaweza kuongezwa ili kufafanua kwamba inamaanisha Roho ya Mungu baba na sio roho ya baba wa ulimwengu.

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu.

Ndani yako

"kupitia ninyi"

Matthew 10:21

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotikiwa kuvumilia pindi watakapoenda kuhubiri

Ndugu atamwinukia ndugu yake kumwua, na baba kwa mtoto wake

Kirai hiki cha "baba na mtoto wake" kinawza kutafsiriwa kama sentensi timilifumilifu. Ndugu atamwinukia ndugu na kumwua, na baba atamwinukia mtoto wake na kumwua"

kumwinukia

"saliti" au "kumtoa" Tazama ilivyotafsiriwa kwenye 10:6

kifo

Nomino dhania "kifo" inaweza kutafsiriwa uthabiti, kwa uwazi zaidi. "mahakamani il mamlaka iweze kuwahumu

kumwinukia dhidi ya

"kupigana dhidi" au "kwenda kinyume dhidi ya"

na kusababisha kuingia katika kifo

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "na kuwaweka katika kifo" au "na wenye mamlaka kuwaweka katika kifo"

Nanyi mtachukiwa na kila mtu

Hii inaweza kutafsirika katika muundo tendaji. "Kila mtu atawachukia" au "Watu wote watawachukia ninyi"

nanyi

Hiki ni kiwakilishi cha wingi kichonamaanisha mitume kumi na mbili.

kwa sababu ya jina langu

Hapa "jina" inamaanisha ukamilfu wa nafsi "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mlinitumaini mimi"

yeyote atakayevumilia

" atakayebaki kuwa mwaminif."u

mtu huyo ataokolewa

"yeyote atakayekuwa mwaminifu"

mji huu

Neno "hapa" halina maana ya mji maalumu. "mji mmoja"

kimbilieni mji unaofuata

"mwende mji unaofuata"

Kwa kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atasema baadaye.

Mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu yake mwenyewe

amekuja

"amewasili"

Matthew 10:24

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotakiwa kuvumilia wakati watakapoenda kuhubiri.

Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumwa aliye juu ya bwana wake

Yesu anatumia mithali kuwafundisha wanafunzi wake ukweli wa jumla. Yesu anasisitiza kwamba wanafunzi wake wasitegeme watu kuwatendea vizuri kuliko walivyomtendea Yesu.

Mwanafunzi si mkuu kuliko mwanafunzi wake

"Mwanafunzi daima si wa mhimu kuliko mwalimu wake". Mwalimu daima ni wa mhimu kuliko mwanafunzi wake.

wala mtumwa aliye juu ya bwana wake

"na mtumwa daima si wa mhimu kuliko bwana wake" au "na bwana daima ni wa muhimu kuliko mtumwa wake"

Inatosha kwa mwanfunzi kwamba awe kama mwalimu wake

"Mwanafunzi atalizika pale atakapokuwa kama mwalimu wake"

awe kama mwalimu wake

Kama inawezekana, unaweza kueleza dhahIri jinsi mwanafunzi anavyofanyika kuwa kama mwalimu, "Ajue kma mwalimu anavyojua"

na mtumwa kama bwana wake

Kama inawezekana uieleze dhahiri jinsi mtumwa anvyoweza kuwa kama bwana ." "na mtumishi atarizika pale tu atakapokuwa na umuhimu kama Bwana wake"

Ikiwa wamwita bwana ... wa nyumba Belzabuli, ni kwa kiasi gani zaidi kwa wale wa nyumba yake

Kwa mara nyingine Yesu anasisitiza kuwa kama watu walimtenda vibaya, hivyo wanafunzi wategemee kufanyiwa hivyo au zaidi.'

ni kwa kiasi gani watawakashifu watu wa nyumba yake

" majina yale wanayotumia kuwaita watu wa nyumba yake hakika yatakuwa mabaya zaidi" au "kwa hakika wataita watu wa nyumba yake majina mabaya zaidi"

Ikiwa wamemwita

"kwa watu wamemwita"

Bwana wa nyumba

Yesu anatumia hiii kama msemo kwa ajili yake

Belzabuli

Hili jina linaweza 1) likaelezwa moja kwa moja kama "Belzabuli" au "2) Kutafsiri kama asili yake, kumaanisha "shetani"

wa nyumba yake

Hii ni sitiari kwa maana ya wanafunzi wa Yesu

Matthew 10:26

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayopaswa kuivumilia wakati watakapoenda kuhubiri.

msiwahofu wao

Hapa "wao" inamaanisha watu wanaowatenda vibaya wafuasi wa Yesu

hakuna jambo ambalo halitafunuliwa, na hakuna lililojifichwa ambalo halitajulikana

Hizi sentensi zote mbili zinamaanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa Mungu atayafichua mabo yote. Hii inaweza kutafasiriwa katika mafumo tendaji. "Mungu atafunua mambo ambayo watu wanayaficha."

Kile ninachowaambia gizani, mkiseme nuruni, na mnachokisikia kwa ulaini masikioni, mkitangaze mkiwa juu ya nyumba

Sentensi zote hizi mbili zinamanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa wanafunzi wanapaswa kumwambia kila mmoja kile anachowaambia wanafunzi sirini. "Waambie watu mchana kile ninachokuambia gizani, na tangazeni mkiwa juu ya nyumba kile mnchosikia kwenye masikio yenu"

Kile ninachokuambia gizani

Hapa "giza" linamaanisha "sirini" Ninachowaambia kisirisiri" au "mambo ninayowaambia peke yenu"

kile ninachokisema nuruni

Hapa neno :nuruni" linamaanisha "kwa uwazi. "Semeni kwa uwazi" au "semeni katika umma"

Kile mnachokisikia kwa ulaini masikioni mwenu

Hii ni namna ya kusema kunakomaanisha kunong'ona. "Kile ninachowanong'onezea"

mkitangaze mkiwa juu ya nyumba

mapaa ya nyumba wakati wa Yesu yalikuwa ya bapa, hata watu wali mbali wangeweza kumsikia mtu anapokuwa anaongea kwa sauti ya juu. Hapa mapaa ya nyumba yanamaanisha mahali popote ambapo watu wanaweza kusikia. "Ongea kwa sauti katika eneo la umma ili watu wote wasikie"

Matthew 10:28

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake juu ya dhiki amabyo wanapaswa kuivumilia wakati watakapoenda kuhubiri

Melezo kwa ujumla

Hapa Yesu pia anaanza kutoa sababa kwa nini wanafunzi wake hawapaswi kuiogopa dhiki ambayo itawapata.

Msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho

Hii haina maana ya kutenganisha kati ya watu wanaoweza kuua mwili na wale wanaoweza kuua roho. Hakuna mtu anayeweza kuua roho. "Msiwaogope watu. Wanaweza kuua mwili, lakini hawawezi kuua roho"

Kuua mwili

Hii inamaanisha kusababisha mauti ya mwili. Ikiwa maneno haya ni magumu, yanaweza kutafsiriwa kama "kukua wewe" au "Kuua watu wengine."

mwili

Sehemu ya mtu inayoweza kuguswa, tofauti na roho au nafsi isiyoweza kuguswa.

kuua roho

kudhuru watu baada ya kufa

roho

sehemu ya mwanadamu ambayo haiwezi kuguswa na ambayo inaishi baada ya kifo cha mwili

mwogopeni yule anayeweza

unaweza kuongeza "kwa sababu" ili kufafanua kwa nini watu wamwogope Mungu. "Mwogopeni Mungu kwa sababu yeye anaweza"

Je, mashomoro wawili hawauzwi kwa senti ndogo

Yesu anaieleza mithali hii kwa njia ya swali kuwafundisha wanafunzi wake. "Fikiria kuhusu mashomoro . Wana thamani ndogo sana kiasi kwamba unaweza kuwanunua wawili kwa salafu kidogo.

Mashomoro

Hawa ni ndege wadogo, wanaokula mbegu. "ndege wadogowadogo"

sarafu ndogo

Hii mara nyingi inatafsiriwa kama sarafu yenye thamani ndogo kabisa katika nchi. inamaanisha sarafu ya shaba thamani yake ni sawa na sehemu ya kumi na sita ya malaipo ya kibarua. "kiasi kidogo cha fedha"

hakuna anayeweza kuanguka chini bila baba yenu kufahamu

Haya maelezo yanaweza kutafsiriwa kataika mfumo tendaji. "Baba yenu anafahamu hata shomoro mmoja akifa na kuanguka chini"

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

Hata idadi ya nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa

Hii inaweza kuelezeka katika mfumo tendaji. "Mungu anajua hata kiasi cha nywele kichwani pako"

zimehesabiwa

"zimehesabiwa"

Mnathamani zaidi kuliko kasuku wengi

"Mungu anawathamini kuliko mashomoro wengi"

Matthew 10:32

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kuhofia dhiki ambayo itawapata

yeyote atakayenikiri mbele za mtu

"yeyote atakayewaambia wengine huyo ni mwanafunzi wangu" au "Yeyote anayekubali mbele za wengine kwamba yeye ni mwamanifu wangu"

nami pia nitamkiri mbele ya baba yangu aliye mbinguni

Unaweza kuifafanua hiyo ili ieleweke wazi. "nami nitamkiri mbele za Mungu wangu aliye mbinguni kwamba hawa watu ni wangu"

Babab yangu aliye mbinguni

"Baba wa mbinguni"

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu"

yeyote atakayenikana mbele za mtu

"yeyote atakayenikana mbele za watu" au "yeye atakayenikataa mbele za watu" au "yeyote atakayekataa kunitambua mimi kwa wengine kuwa yeye ni mwanafunzi wangu"

Nami nitamkana mbele ya Babayangu wa mbinguni

Unaweza kulifafanua kwa uwazi unaoweza kueleweka. "Nitamkana mbele ya Baba aliye mbinguni kuwa huyu ni wangu"

Matthew 10:34

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kutohofia dhiki ambayo itawapata.

Msifikiri

"Msidhani" au "msilazimike kufikiri"

duniani

Hii inamaanisha watu wanaoishi duniani. "kwa watu wa duniani" au "kwa watu"

upanga

Hii inamaanisha mgawanyiko, mapigano, na mauji kati ya watu

weka

"kugeuka" au "kugawanya" au "kutenganisha"

mtu dhidi ya baba yake

"mwana dhidi ya baba yake"

Adui wa mtu

"Adui wa mtu" au "Adui mbaya wa mtu"

wale wa nyumbani mwake

"watu wa familia yake"

Matthew 10:37

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kutohofia dhiki itakayowapata.

Yeye ambaye ....hanistahili

Hapa "ana" anamaanisha mtu yeyote kwa ujumla. "Wale ambao ... hawastahili" au "Kama uta... haustahili"

anampenda

Neno la "upendo" hapa linamaanisha upendo wa ndugu" au "upendo kutoka kwa rafiki." "KuMjali" au "aliyejitoa kwa" mwenye kupenda"

anayestahili

"anafaa kuwa wangu" au "anastahili kuwa mwanafunzi wangu"

beba msalaba na kunifuata

"bebea msalaba wake na kunifuata" Huu ni mfano wa kuwa tayari kufa. Kubeba msalalba inamaanisha utayari wa kuteseka na kufa. "lazima anitii kiasi cha kukubali kuteseka na kufa"

beba

"chukua" au "beba na kunyanyua"

Yeye atakayetafuta...atayapoteza...yeye atakayeyapoteza...atayapata

Yesu anatumia mithali kuwafundisha wanafunzi wake. Haya yatafsiriwa kwa maneno machache kwa kadri iwezekanavyo. "Wale wanaotafuta... watayapoteza ... wale wanaoyapoteza ... watayapata" au "wakaoyapata ... uta watakaopoteza ... watapata" au "ikiwa utayapata ... utakosa ... ikiwa utayakosa...utayapata."

atayapata

Hii ni sitiari ya "kutunza" au "kuhifadhi"" jaribu kuhifadhi" au "jaribu kutunza"

atayapoteza

Hii haina maana kwamba mtu atakufa. Ni sitiari " inayomaanisha kuwa mtu hatakuwa na maisha mazuri ya kiroho na Mungu. "Hatakuwa na maisha ya kweli"

anayepoteza maisha yake

Hii haimanishi kufa. Ni sitiari Inayomaanisha mtu kumtii Yesu ni muhimu zaidi kuliko maisha yake. "ambaye anayejikana"

kwa ajili yangu

"kwa sababu ananitumaini mimi" au "kwa ajili yangu" au "kwa sababu yangu" Hili ni wazo lile lile kama "kwa ajili yangu" katika 10:6

yeye ambaye hatabeba ...hana

Tafsiri nyingine:"Wale ambao hawatabeba....sio" au "ikiwa hautabeba...wewe sio" au "endapo utakapobeba ... wewe sio

atayapata

Huu msemo maana yake "atapata maisha ya kweli"

Matthew 10:40

Sentensi unganishi.

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu kutohofia dhiki itakayowakabili.

Yeye atakaye

Neno "yeye" linamaanisha mtu yeyote. "yeyote" au "yeyote ambaye" au " ambaye"

atakayewakaribisha

Inamaanisha kumkaribisha mtu kama mgeni

Wa

Kiwakilishi "wa" kinamaanisha mitume kumi na wawili ambao Yesu anawaaambia.

ananikaribisha mimi

Yesu anamaanisha ni sawa na kumkaribisha yeye. "ni kama ananikaribisha mimi" au "ni kama vile alikuwa ananikaribisha mimi"

kumkaribisha yeye aliyenituma

Hii inamaanisha wakati mtu anamkaribisha Yesu ni sawa na kumkaribisha Mungu. "ni kama vile kumkaribisha Mungu aliyenituma"

Kwa sababu ni nabii

Hapa kiwakilishi cha "ni" kinamaanisha mtu anayekaribishwa.

thawabu ya nabii

Hii inamaanisha zawadi ambayo Mungu anampa nabii. wala siyo zawadi ambayo nabii anampatia mtu mwingine.

mtu wa haki

Hapa "wa" haimaanishi mtu anayekaribisha. Inamaaanisha mtu anayekaribishwa.

thawabu ya mtu wa haki

Hii inamaanisha zawadi ambayo Mungu humpa mtu wa haki, siyo zawadi ambayo mtu wa haki humpatia mtu mwingine.

Matthew 10:42

Sentensi unganishi

Yesu anamalizia kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu kitu cha kufanya na nini watarajie watakapoenda kuhubiri.

yeyote atakayempatia

"yeyote ambaye atampatia."

mmoja wa wadogo hawa

"mmoja wa hawa wanyenyekevu" au "hawa wasio wa muhimu," Kirai "mmoja wa" mmoja kati ya wanafunzi waYesu.

kweli ninwaambia

"Ninawambia ukweli." Kirai hiki kinongeza msisitizo wa kile Yesu atakachokisema baadaye.

hawezi... kukosa thawabu yake

Kiwakiloishi "ha" na "yake" kinamaanisha mtu yule anayetoa.

yeye hawezi kukosa kwa njia yeyote thawabu yake

"kwamba mtu hakika atapokea thawabu yake"

hawezi kukosa kwa njia yeyote

"Mungu hatamkana." "kukanwa" Hii haimanishi kutoweka kwa mali. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "Kwa hakika Mungu atampatia"

Matthew 11

Mathayo 11 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri huingiza kidogo mistari ya nukuu kutoka kwa Agano la Kale. ULB inafanya hivyo kwa mistari ya nukuu zilizotajwa katika 11:10.

Wasomi wengine wanaamini kwamba Mathayo 11:20 huanzisha hatua mpya katika huduma ya Kristo kwa sababu ya kukataliwa kwake na Israeli.

Dhana maalum katika sura hii

Ufunuo uliofichwa

Baada ya Mathayo 11:20, Yesu anaanza kufunua habari kumhusu yeye mwenyewe na kuhusu mipango ya Mungu Baba, huku akificha habari hii kwa wale wanaomkataa. (Angalia: Mathayo 11:25)

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Ufalme wa mbinguni umekaribia"

Maneno haya yana umuhimu mkubwa wa kitheolojia. Wataalam wanajadili ikiwa "ufalme wa mbinguni" ulikuwepo wakati huu au bado unakuja. Tafsiri za Kiingereza mara nyingi hutumia maneno "karibu," lakini hii inaweza kusababisha changamoto katika kutafsiri. Matoleo mengine hutumia maneno "inakaribia" na "yamekaribia."

<< | >>

Matthew 11:1

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwanzo wa sehemu mpya wa simulizi amabapo mwandishi anaonesha jinsi ambavyo Yesu aliwaijibu wanafunzi wa Yohana Mbatizaji.

Ikawa baada ya

Hiki kirai kinaibadilisha kutoka habari ya mafundisho ya Yesu kwenda kile kilichotokea baadaye. "Kisha" au "baadaye"

Kuwaelekeza

"kufundisha" au "kuamurisha".

wanafunzi wake kumi na mbili.

Hii inawahusu wale mitume kumi na wawili waliochaguliwa na Yesu.

katika miji yao

Kimilikishi "yao" kinamaanisha Wayahudi wote kwa ujumla

Sasa

Neno hili limetumika hapa kuonesha mwanzo katika habari kuu. Mathayo anaanza kusimulia habari mpaya

Na Yohana akiwa gerezani aliposikia juu ya

"Wakati Yohana, akiwa gerezani aliposikia juu ya" au "Yohana alipoambiwa na mtu, wakati akiwa gerezani kuhusu, "Ingawa Mathayo hajawaambia wasomaji kwamba mfalme Herode alikuwa amemfunga gerezani Yohana mbatizaji, wasomaji wa kwanza wangekuwa wanaielewa habari na maana yake. Mathayo atatoa habari za Yohana mbatizaji baadaye, kwa hiyo yawezekana si vizuri kufafanua zaidi hapa.

alituma ujumbe kupitia wanafunzi wake.

Yohana Mbatizaji aliwatuma wanafunzi wake ujumbe kumpelekea Yesu.

na wakamuuliza

kiwakilishi "mu'' kinamrejea Yesu.

Wewe ni yule ajaye

"Wewe ndiye yule amabye tunamtarajia kuja." Hii ni namna nyingine ya kumaanisha Masihi au Kristo.

au kuna mwiingine tunayepaswa kumtazamia

''Tunapaswa kumtazamia mwingine." kiwakilishi "tu" kinarejerea ,wayahudi wote, siyo wanafunzi wa Yohana pekee.

Matthew 11:4

mkamtaarifu Yohana

"mwambieni Yohana''

wakoma wanatakaswa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Ninawaponya wenye ukoma"

Watu waliokufa wanafufuliwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. " Ninawafanya wale waliokufa kuwa hai tena

Watu wahitaji wanahubiriwa habari njema

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "Ninawaambia wahitaji"

yule asiyeona shaka juu yangu

Hapa neno "shaka" ni nahau inayomaanisha kupoteza imani. "mtu asiyeachca kuamini kwa sababu ya kile ninachofanya" au "mtu asiyeona mashaka kwa sababu yangu"

Matthew 11:7

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kusema na makutano kuhusu Yohana mbatizaji.

Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa tete likitikiswa na upepo?

Yesu alitumia swali ili kuwafanya watu wafikiri kuhusu Yohana kuwa ni mtu wa aina gani." Kwa hakika hamkuenda jangwani kuona tete ... upepo.

tete likitikiswa na upepo

Hii inaweza kumaanisha 1) majani halisi ya mto Yorodani au 2) Yesu anatumia sitiari kumaanisha aina ya mtu. "mtu anayebadili fikra zake ni kama tete linalopeperushwa na upepo.

likitikiswa na upepo

Hii inaweza kutafsirwa katika mfumo tendaji. "yumbishwa na upepo" au "peperushwa na upepo"

Lakini ni nini mlikwenda kuona _ mtu aliyevaa mavazi?

Yesu anatumia swali ili kuwafanya watu wafikiri juu ya Yohana kuwa ni mtu wa aina gani. Kwa kweli hamkwenda jangwani ili kuona mtu ... aliyevaa?

aliyevaa mavazi mororo

"kuvaa mavazi yenye gharama kubwa." Watu majiri walivaa mavazi ya aina hii.

Hakika

Hili neno, linaongezea msisitizo kwa kile kinachofuata. "kwa kweli"

nyumba za wafalme

"ikulu za wafalme"

Matthew 11:9

Sentesi unganishi:

Yesu aliendelea kuongea na umati kuhusu Yohana Mbatizaji.

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 10, Yesu anamnukuru nabii Malaki kuonyesha kuwa maisha na huduma ya Yohana imetimiza unabii.

Lakini mliondoka kuona nini--nabii?

Yesu anatumia swali ili kuwafikirisha watu juu ya Yohana mbatizaji kuwa ni mtu wa aina gani. "Lakinini kweli kwamba mlienda jajngwani kumuona nabii"

Lakini mlienda nje kuona nini--nabii? Ndiyo, nawaambia nyinyi.

Kiwakilishi cha wingi ''nyinyi'' inarejelea kwa katika hali zote.

ni zaidi ya nabii

Hii inaweza kutafsirika kama sentensi timilifu. "Siyo nabii wa kawaida" au ''siyo mtu wa kawaida'' au ''ni wa muhimu kuliko nabii wa kawaida''

huyu ndiye aliye andikiwa

Hii inaweza kutafsirika katik mfumo tendaji. "Hiki ndicho nabii Malaki aliandika zamamni za kale kuhusu Yohana mbatizaji"

namtuma mjumbe wangu

Kiwakilishi ''na'' na ''wangu'' kinamrejea Mungu. Malaki ananukuu ambacho Mungu alisema.

mbele ya uso wako

Kiwakilishi "wako" ni cha umoja kwa sababu Mungu alikuwa anasema juu ya Masihi katika nukuu.vPia "uso" inamaanisha nafsi timilifu, "mbele yako" au "kutangulia"

ataandaa njia yako

Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa mjumbe atawaandaa watu kupokea ujumbe wa Masihi.

Matthew 11:11

Sentensi Unganishi:

Yesu aliendelea kuwaambia makutano juu ya Yohana Mbatizaji

Mimi nawaambia ukweli

"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye.

kati ya waliozaliwa na wanwake

Hii ni namna ya inayomaanisha watu wote. "kati ya watu wote waliopata kuishi"

Hakuna aliye mkuu kuliko Yohana mbatizaji

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. ''Yohana Mbatizaji ni mkuu zaidi" au " Yohana mbatizaji ni wa muhimu zaidi".

aliyemdogo katika ufalme wa mbinguni

Ha " ufalme wa mbinguni" unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Kirai "ufalme wa mbinguni" kimetumika katika injili ya Mathayo tu. Kama inawezekana jaribu kutumia "mbinguni" unapotafsiri. "aliye mdogo kabisa katika utawala wa Mungu wetu mbinguni"

ni mkuu kuliko yeye

'' wa muhimu kuliko Yohana''

Tokea siku za Yohana Mbatizajihadi leo

''Tokea muda ambao Yohana alianza kuhubiri ujumbe''

ufalme wa mbinguni ni wa nguvu, na wenye nguvu huuchukua kwa nguvu

Kuna maana nyingi zinzazoweza kumaanisha katika mstari huu. 1) Watu wengine huutumia ufalme wa Mungu kwa malengo yao binafsi. na kwamba wako tayari kutumia nguvu dhidi ya watu wengine ili kutimiza hitaji hili. 2)Tafsiri zingine zingine zinatumia maana sahihi kwamba wito wa kuingia katika ufalme wa mbinguni kimekuwa ni kitu cha muhimu, kwamba watu lazima wapokee kwa kuzingatia kabisa. ili kuupokea wito na kuzuia majaribu ya kufanya uovu. 3 )Watu wenye nguvu wanawadhuru watu wa Mungu na kujaribu kumzuia Mungu asitawale.

Matthew 11:13

Sentensi unganishi

Yesu aliendelea kuongea na umati juu ya Yohana Mbatizaji.

kwa kuwa manabii na sheria, imekuwa ikitabiri mpka kwa Yohana

Hapa neno " manabii na sheria"linamaanisha kile ambacho manabii na Musa waliandika katika maandiko. "Kwa kuwa haya ndiyo mambo ambayo manabii na Musa walitabiri katika maandiko mpaka wakati wa Yohana mbatizaji

na kama mko

Kiwakilishi ''mko''kinarejelea watu katika umati.

huyu ni Eliya, yule ajaye

''Hii inarejelea kwa Yohana Mbatizaji. Hii haimaanishi Yohana Mbatizaji ni sawa na Eliya. Yesu anamaanisha Yohana mbatizaji anatimiza unabii juu ya "Eliya ajaye" au "Eliya anayefuata". "Wakati nabii Malaki aliposema kuwa Eliya atarudi, alikuwa akiongea juu ya Yohana mbatizaji"

Aliye na masiko ya kusikia

Hii ni namna ya kumwambia kila anayesikilza. ''Kila anayenisikiliza''

na asike

Hapa ''asikie" inamaanisha kuwa msikivu. " lazima awe mwangalifu kwa kile nisemacho''

Matthew 11:16

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuongea na makutano juu ya Yohana Mbatizaji.

Nikilinganishe na nini

Yesu anaitumia swali kutoa mlinganisho kati ya watu wa nyakati zile na kile amabacho watoto wanaweza kusema katika eneo la soko. "Hivi ndivyo kizazi hiki kilivyo"

kizazi hiki

''watu wanaoishi sasa'' au ''watu hawa'' au ''ninyi watu wa kizazi hiki''

Ni mfano wa watoto wanaocheza maeneo ya sokoni ... na hamkulia

Yesu anatumia mfano kuwaelezea watu waliokuwa hai kipindi hicho. Anawalinganisha na kikundi cha watoto wanaojaribu kuwavuta watoto wengine ili wacheze nao. Lakini haijarishi aina ya mbinu yeyote wanayotumia, wale watoto wengine hawataungana nao. Yesu anamaanisha kuwa haijalishi kama Mungu alimtuma mtu kama Yohana mbatizaji, anaishi nyikani na kufunga, au mtu kama Yesu, ambaye anasherehekea na wenye dhambi bila kufunga. Watu, hususani Mafarisayo na viongozi wa dini, bado wanabaki wasumbufu na wanakataa kuupokea ukweli wa Mungu

maeneo ya soko

eneo kubwa, la wazi ambapo watu walikuja kuuza na kununu bidhaa zao.

tuliwapigia zomari

''tu'' inarejelea watoto waliokuwa wamekaa katika maeneo ya soko. ''wa'' ni wingi na inarejelea lile kundi lingine la watoto

na hamukucheza

''lakini hamukucheza ule muziki mzuri''

tuliomboleza

Hii inamaanisha waliimba nyimbo za huzuni kama vile wanawake wafanyavyo kwenye mazishi.

na hamukulia

''lakini hamukulia pamoja nasi''

Matthew 11:18

Sentensi unganishi:

Yesu anahitimisha kuongea na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji.

bila kula mkate au kunywa mvinyo

Hapa "mkate" unamaanisha chakula. Haimanishi kuwa Yohana alikuwa hali chakula. Inamaanisha kuwa alikuwa anafunga mara kwa mara na alipofungua hakula vizuri, chakula cha gharama. "Mfungo endelevu na kutokunywa pombe" au "kutokula chakula kizuri na kutokunywa divai"

walisema, 'ana pepo.'

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya mojakwa moja. ''wanasema kwamba ana pepo'' au ''walimtuhumu kuwa na pepo.''

wanasema

Matukio yote ya "wali" yanamaanisha watu wa kizazi kile, na zaidi sana mafarisayo na viongozi wa dini.

Mwana wa Adamu

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe. " Mimi mwana wa Adamu"

alikuja akila nakunywa

Hiki ni kinyume cha tabia ya Yohana. Hii ni zaidi ya kula kiasi cha kawaida cha chakula na kinywaji. Inamaanisha Yesu alisherehekea na kufurahia chakula na kinywaji kizuri kama vile watu wengine walivyofanya.

wakasema, anagalia, ni mtu mlaji

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya moja kwa moja. "wanasema kuwa ni mlaji" "wanamtuhumu kuwa anakula sana" Kama ulitafasiri "Mwana wa mtu" kama "Mimi, Mwana wa mtu," Ile nukuu ya moja kwa moja inaweza kutafsiriwa kama "wanasema kwamba mimi ni mlaji"

mlevi

"mlevi" au "hunywa pombe nyingi daima."

Lakini hekima huthibitishwa kwa mataendo yake

Hii ni mithali ambayo Yesu anaitumia katika mazingira haya, kwa sababu watu waliomkataa yeye na Yohana walikuwa hawapati hekima. Yesu na Yohana mbatizaji ni watu wa hekima, na ,matokeo ya matendo yao yanathibitisha.

Hekima huthibitiswa kwa matendo yake

Hapa "hekima" imefafanuliwa kama mwanamke aliyethibitishwa kuwa ni mwema kwa matendo yake. Yesu anamaanisha kuwa matokeo ya matendo ya mtu huthibitisha kuwa ni mwenye hekima. "Hii inawza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Matokeo ya matendo ya mtu humthibitisha kuwa ni mwenye hekima"

hekima inaonekana

Haya maelezo, Yesu anafafanua hekima kama vile ilikuwa ni mwanamke, haitumiki hapa kwa namna kwamba hekima inatoa haki mbele ya Mungu ila kwamba hekima inaonekana haki.

Matthew 11:20

Maelezo kwa ujumla:

Yesu alianza kuwakemea watu wa miji ambayo alianza kufanya miujiza.

kukemea miji

Hapa "miji" inamaanisha watu walioishi kwenye hiyo miji. "alikemea watu wa miji hiyo"

miji

''miji''

ambamo baadhi ya matendo yake makuu yalitendekea

Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji ''ambamo baadhi ya matendo yake makuu yalitendekea''

Matendo makuu

" matendo makubwa" au " kazi za nguvu ya Mungu" au "miujiza"

Ole kwako, Kolazini! Ole kwako, Bethsaiida!

Yesu anaongea kiasi kwamba watu wa miji ya Kolazini na Bethsaida walikuwa pale wakimsikiliza, lakini hawakuwa wao.

kwa sababu hawakutubu

Kiwakilishi ''hawa'' inarejelea kwa watu wa miji ile ambayo haikutubu.

Kama matendo makuu yangetendeka ... kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu

Yesu anafafanua kwa kubuni kuwa kama yangekuwa yametokea huko nyuma, lakini haikotokea

Kama matendo makuu yangetokea Tiro na Sidoni yale yaliyotendeka kwako

Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji. "Kama ningefanya matendo makubwa katika watu wa Tiro na Sidoni ambayo nimeyafanya kwenu"

Yale yaliyotendeka kwako ... kwako

Kiwakilishi cha "kwako" ni cha wingi na kinamaanisha Korazini na Bethisaida. Kama tafsiri hii si kawaida ya lugha yako, utumie neno lenye maana mbili likimaanisha miji miwili au kiwakilishi cha wingi cha "ninyi" kwa kumaanisha watu wa miji ile.

Wangekuwa wametubu zamani

Kiwakilishi "wa"kinarejelea watu wa Tiro na Sidoni.

wangetubu

"inaonesha walihuzunishwa na dhambi zao"

Itakuwa uvumilivu kwa Tiro na Sidonisiku ya hukumu kuliko kwako

Hapa " Tiro na Sidoni'' zinamaanisha watu wanoishi kwenye hiyo miji. "Mungu ataonyesha huruma zaidi kwa watu wa Tiro na Sidoni katika siku ya hukumu kuliko ninyi" au "Mungu atawapa adhabu kalizadi katika siku ya hukumu kuliko watu wa Tiro na Sidoni"

kuliko kwako

maelezo kusudiwa yangewekwa wazi. "kuliko kwako, kwas sabasbu haukutubu na kuniamini, ingawa ulioniona nikifanya miujiza"

Matthew 11:23

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kukemea miji ambayo miujiza yake ilitendeka karibuni.

Wewe, Kapernaum

Yesu sasa anaongea na watu wa mji wa Kapernaum kama vile walikuwa wanamsikiliza, lakini walikuwa hawasikilizi. Kiwakilishi ''wewe'' ni cha umoja kinarejelea Kapernaum kwa mistari yote miwili.

wewe

Matukio yote ya kiwakilishi cha "wewe" yakao katika umoja. Kama kinatumika kila mahali kuonyesha watu wa mji, basi kiwakilishi cha wewe kitafsiriwe katika wingi wake

Kapernaum...Sodoma

Majina ya miji hii yametumika kumaanisha watu waliokuwa wanaishi Kapernaum na Sodoma.

unadhani utainuliwa hadi mbinguni?

"unadhani utainuliwa hadi mbinguni ?" Yesu anatumia balagha kuwakemea watu wa Kapernaum kwa majivuno yao. "inaweza pia kutumika kwa mfumo tendaji. "huwezi kujiinua mwenyewe hadi mbinguni" au "sifa za watu wengine haziwezi kukuinua hadi mbinguni kama unavyodhani atafanya"

utashuswa hadi chini kuzimu

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji ''Mungu atakupeleka hadi kuzimu.''

Kama katika Sodoma ... ingekuwepe hadi leo

Yesu anatumia mazingira ya kubuni ambayo yangetokea katika siku zilizopita, lakini haikutokea.

matendo makuu

''''matendo makuu'' au ''kazi ya nguvu za Mungu'' au "miujiza"

ingekuwepo hadi leo

Kiwakilishi ''inge'' kinarejelea kwa mji wa Sodoma

nasema kwako

Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

itakuwa rahisi kwa nchi ya Sodoa kusimama katika siku ya hukumu kuliko wewe

Hapa "nchi ya Sodoma" inamaansha watu walioishi kule. ''Mungu ataonyesha rehema kwa watu wa Sodoma katika siku ya hukumu kuliko kwako'' au Mungu atawapa adhabu kali zaidi katika siku ya hukumu kuliko watu wa Sodoma.''

kuliko wewe

Taarifa zilizofumbwa ziwekwe wazi. "kwa sababu haukutubu na kuniamini, ingawa uliniona nikifanya miujiza"

Matthew 11:25

Maelezo kwa ujumla:

katika mstari wa 25 na 26, Yesu anomba kwa baba yake aliye mbinguni wakati akiwa bado katika uwepo wa makutano. Katika mstari wa 27, anaanza kusema na watu tena.

Baba

Hi ni sifa muhimu ya Mungu

Bwana wa mbingu na nchi

"Bwana anayetawala mbingu na nchi" Kirai cha mbingu na nchi ni cha mlinganyo wa jumla amabcho kinaonesha watu wote na vitu vyote duniani. ''Bwana atawalaye ulimwenguni kote"

uliwaficha mambo haya ... na kuyafunua

Haiko wazi ina maanisha nini kwa ''mambo haya.'' Kama lugha yako inahitaji kuweka maana halisi, tafsiri nzuri ni hii ''umeuficha ukweli huu na kuwafunulia"

umewaficha mambo haya

''umewaficha mambo haya '' au ''haujafanya mambo haya kueleweka kwao.'' Hili tendo ni kinyume cha ''kufunuliwa.''

wenye hekima na ufahamu

Hizi nomino sifa zinzweza kutafasiriwa kama visifa ''kutokawatu wenye hekima na ufahamu.''

na kuyafunua

"kuyafanya yafahamike." kiwakilisha "ya" kinamaanisha "mambo haya" viko mwanzoni katika mstari huu.

kwa wasio na elimu,

"kwa wajinga"

kama watoto wadogo

Yesu anamlinganisha mtu asiye na elimu na mtoto mdogo. Yesu anasisitiza kwamba wengi wa wale wanaomwamini ni watu wasio na elimu au wanaojidhania kuwa si wenye elimu

kwa kuwa ilikupendeza hivyo machoni pako

kupendeza machoni pako - Hi kirai "machoni pako" ni sentensi mbadala ionyeshayo jinsi mtu apendavyo kitu kuwa ni cha muhimu. "kwa vile ilikupendeza kuwa ni vizuri kufanya hivi"

Mambo yote yamekabidhiwa kwangu kutoka kwa baba yangu

Hii inaweza kutafasiriwa kwa muundo tendaji: ''Baba yangu amekabidhi mambo yote kwangu'' au ''Baba yangu ameweka kila kitu kwangu."

Mambo yote

Maana kusudiwa ni 1)Mungu Baba amefunua kila kitu kuhusu yeye na ufalme wake kwa Yesu. aua 2) Mungu ametoa mamlaka yote kwa Yesu

Baba yangu

Hii ni sifa muhimu ya Mungu amabyo inaonyesha uhusiano kati ya Yesu na Mongu

hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba

''Ni Baba pekee amjuaye Mwana.''

hakuna ajuaye

Nyakati zote Yesu hutumia kirai hiki, neno "ajuaye" linamaanisha zaidi ya kumjua mtu. Linamaanisha kumjua mtu kwa undani kwa sababu wanauhusiano maalumu

Mwana pekee

Yesu alikuwa anajirejelea yeye mwenyewe binafsi katika nafsi ya tatu.

mwana

Hii ni sifa ya muhimu ya Yesu mwana wa Mungu

hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba

''Ni Mwana pekee amjuye Baba''

hakuna amjuaye Baba isipokuwa mwana pekee

"ni mwana pekeeamjuaye Baba

na yeyote ambaye Mwana ana hamu kumfunulia

"na watu wale ambao mwana anapenda kuwafunulia jinsi Mungu alivyo"

Matthew 11:28

Sentensi unganishi

Yesu anamalizia kuongea na makutano.

ninyi nyote

Viwakilishi vyote vya "niniyi" ni vya wingi

mnaolemewa na mzigo mizito

Yesu anaongea kwa watu kama na wanyama, amabao bwana zao wamewabebesha mizigo migongoni mwao. Hii ni sitiari kwa ajili ya Sheria na kanuni ambaazo viongozi wa Kiyahudi waliwabebesha watu ili kuzitii. "msumbukao na sheria ambazo mmebeshwa na viongozi wa dini"

Nitawapumzisha

''Nitawaruhusu nyinyi kupumzika kazi na mizigo''

Mimi ni mnyenyekevu na mpole wa moyo

Hapa neno"mpole" na "mnyenyekevu wa moyo" ki msingi yanamaanisha kitu kilekile. Yesu anayaunganisha kuongeza msisitizo kuwa atawajali kwa upole zaidi kuliko vioingozi wa . dini. "mimi ni mpole na mnyenyekevu" au "mimi ni mpole sana"

Jitieni nira yangu

Yesu anaendelea kutumia sitiari. Yesu anawakaribisha watu kuwa wanafunziwake na kumfuata"

mtapata pumziko la nafsi zenu

Hapa "nafsi" inamaanisha mtu kamili. "mtapumzikia ninyi wenyewe" au "mtaweza kupumzika"

kwa kuwa nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi

Virai vyote hivi vinamaanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa ni rahisi kumtii yeye kuliko sheria za Wayahudi. "kile nitakacho wabebesha kitakuwa ni chepesi"

Mzigo wangu ni mwepesi

Neno "mwepesi" hapa ni kinyume cha kizito, siyo kinyume cha giza.

Matthew 12

Mathayo12 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea huingiza kidogo mistari ya nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya 12: 18-21, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Dhana maalum katika sura hii

Sabato

Kutii Sabato ni sehemu muhimu katika sura hii. Hata hivyo, Yesu anafafanua kati ya kufuata Sabato jinsi Mungu alivyoamuru na kufuata sheria ambazo Mafarisayo waliziunda kuhusu Sabato. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#sabbath)

"Kukufuru Roho"

Kuna utata mkubwa juu ya kutambua vizuri dhambi hii maalum. Hata hivyo, inaonekana kuwa inahusisha kumtukana Roho Mtakatifu na kazi yake. Kwa kuwa sehemu ya kazi yake ni kuwashawishi watu kuwa wao ni wenye dhambi na kwamba wanahitaji msamaha wa Mungu, yeyote ambaye alikejeli ukweli huu hangetaka kuja kwake Mungu kwa toba. Kwa sababu hii, hangeweza kusamehewa. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#sin)

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

Kaka na Dada

Sura hii inaanzisha dhana ya kaka na dada "wa kiroho". Maandiko hutumia maneno haya kwa kutaja uhusiano kati ya Waisraeli. Hapa, wale wanaomfuata Yesu sasa wanajulikana kama kaka na dada. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#spirit na https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#brother)

<< | >>

Matthew 12:1

Maelezo kwa ujumla:

Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi ambapo mwandishi anazungumza juu ya kukua kwa upinzani kwa huduma ya Yesu. Hapa, Mafarisaya wanawakosoa wanafunzi wa Yesu kwa kuvuna nafaka ya ngano siku ya sabato.

Wakati huo

Hii inaonyesha mwanzo mpya wa simulizi. "Baadaye kidogo"

shamba la nafaka

sehemu ya kupanda nafaka. Kama ngano haifahamiki na "nafaka" ni neno la jumla sana, basi waweza kutumia "shamba" la mazao ambayo wanatengeneza mikate."

kuvunja masuke ya nafaka na kuyala...wanajunja sheria ya sabato

Kuvuna nafaka kwenye mashamba ya wengine na kula haikuchukuliwa kuwa ni kuiba. Swali lilikuwa kama mwingine angeweza kufanya shughuli hii kisheria katika siku ya sabato.

kuyavunja masuke na kuyala

"kuchukua baadhi ya ngano na kula" au "kuchukua baadhiya mbegu za ngano na kula"

masuke ya nafaka

Hii ni shsemu ya juu ya mmea wa ngano ambayo ni aina ya jani kubwa. Hushikilia nafaka iliyokomaa au mbegu za mmea.

Mafarisayo

Hiihaimanisha mafarisayo wote. "baadhi tu ya mafarisayo"

Tazama

"angalia." Mafarisayo hutumia neno hili kupata usikifu wa kile wanafunzi wa Yesu walichokuwa wakifanya.

Matthew 12:3

Sentensi unganishi

Yesu anajibu ukosoaji wa mafarisayo

akawaambia

Mafarisayo

Hamjasoma ... nao

Yesu anatumia swali kujibu ukosoaji wa mafarisayo. Yesu anawapa changamoto ili kufikiri juu ya maana ya andiko ambalo walisoma. "Najua mmesoma juu yaa...nao"

nyumba ya Mungu

Wakati wa Daudi bado hapakuwa na hekalu. "hema" au " mahali pa kumwabudia Mungu"

mkate wa wonyesho

Huu ni mkate uliotakaswa ambao makuhani walipeleka mbele za Mungu hemani. "Mikate ambayo makuhani walipeleka mbele za Mungu

wale aliokuwa pamoja nao

"watu waliokuwa pamoja na Daudi"

ila halali kwa makuhani

"ni makuhani tu walioruhusiwa kuula."

Matthew 12:5

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kuwaitikia Mafarisayo.

bado hamjasoma katika sheria ... lakini hawana hatia

Yesu antumia swali kijbu hoja za mafarisayo. Yesu anawataka wafikirie maana yakile walichosoma katika maandiko. "And, na mmesoma katika sheria za Musa... lakini hawana hatia.

huinajisi Sabato

"kufanya katika sabato ambayo wangefanya katika siku nyingine."

hawana hatia

" Mungu hatawaadhibu" au "Mungu hatawaonea hatia"

nasema kwenu

Hiki kinaongeza msisitizo kwa kile alichosema baadaye.

aliye mkuu kuliko hekalu

" aliye wa muhimu zaidi kuliko hekalu." Yesu alikuwa anarejelea kwake yeye mwenyewe kama mmoja aliye mkuu.

Matthew 12:7

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo

Maelezo kwa ujumla:

Katika mstari 7, Yesu anamnukuu nabii Hosea kuwakemea Mafarisayo.

Kama mngalijua hii inamaanisha nini, nataka rehema na siyo dhabihu; msingaliwahukumu wasio na hatia

Hapa Yesu ananukuu andiko. "Nabii Hosea aliandika juu ya haya tangu zamani. "Natakarehema na siyo dhabihu. 'Kama mngalielewa hii ilimaanisha nini, msingaliwalaumu wasio na hatia'

Nataka rehema na sio dhabihu

Katika sheria za Musa, Mungu aliwaagiza Waisraeli kutoa sadaka. Hii inamaanisha kuwa Mungu huichukulia rehema kuwa muhimu kuliko sadaka.

hii inamaanisha nini

"nini Mungu amesema katika maandiko"

Nataka

Kiwakilishi "Na" kinamrejelea Mungu.

wasio na hatia

Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Wale wasiokuwa na hatia"

Mwana wa Adamu

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe

ndiye Bwana wa Sabato

"anaitawala Sabato" au "anatengeneza sheria juu ya nini watu wanaweza kufanya siku ya Sabato"

Matthew 12:9

Maelezo kwa ujumla

Hapa mandhari yanahamia kwenye kitu kingine mahali ambapo mafarisayo wanamkosoa Yesu kwa kumponya mtu siku ya Sabato.

Kisha Yesu akaondoka pale

"Yesu akaondoka kwenye lile shamba la ngano" au "Kisha Yesu akaondoka"

Sinagogi lao

"singogi" Hapa "lao" inamaanisha Wayahudi kwa ujumla na wala si Mafarisayo tu, kutokana na kipengere kilichopita.

Tazama

Neno " tazama" linatuelekeza kwa mtu mwingine katka simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kulifanya hili.

mtu aliyepooza mkon

"mtu alikuwa namkono uliopooza" au "mtu mwenye ulemavu wa mkono"

Mafarisayo wakamuuliza Yesu wakisema . J"e, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato? Ili kwamba waweze kumshitaki kwa kutenda dhambi

"Mafarisayo walitaka kumshitaki Yesu kwa kutenda dhambi, kwa hiyo walimuuliza, 'Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?"

Je, ni halali kuponya siku yaSabato?

Kwa mjibu wa sharia za Musa, Yawezekana mtu kumponya mtu mwingine siku ya Sabato?"

ili waweze kumshitaki kwa kutenda dhambi

Si tu walitaka kumshitaki Yesu mbele za watu, Mafarisayo walitaka Yesu atoa jibu linalopingana na sheria ili waweze kumpeleka kwa hakimu iwamshitaki kwa kuvunja sheria.

Matthew 12:11

Sentensi ungsnishi

Yesu anjibu hoja za Mafarisayo

Nani kati yenu, ambaye ikiwa ana kondoo mmoja ... hatamshika na kumtoa kwa nguvu ndani ya shimo?

Yesu antumia swali kuwajibu Mafarisayo. Anawapa changamoto ya kufikiri juu ya aina gani ya kazi wanayoweza kuifanya siku ya sabato. "Kila mmoja wenu, kama una kondoo mmoja ... angemshika na kumtoa kwa nguvu

Je, ni kipi chenye thamani, zaidi kwani, si zaidi ya kondoo?

Kirai "kipi chenye thamani zaidi" kinaongeza msisitizo kwenye sentensi. " ni wazi mtu ni wa thamani zaidi ya kondoo!" au "Jaribu kufiri vile mtu alivyo wa muhimu kuliko kondoo"

ni halali kutenda mema siku ya Sabato

"Wale wanofanya mema siku ya Sabato wantii sheria"

Matthew 12:13

Kisha Yesu akamwambia yule mtu nyosha mkono wako

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja, "Kisha Yesu akamwamuru yule mtu kunyosha mkono wake"

yule mtu

"yule mtu mwenye mkono uliopoza au " yule mtu mwenye ulemavu wa mkono"

Nyosha mkono wako

"Utoe mkono wako" au "utanue mkon wako"

Akaunyosha

"Yule mtu akaunyosha"

ukapata afyfa

Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "ule mkono ukawa na afya tena" au "ukawa salama tena"

kupanga kinyume chake

"wakapanga kinyume chake"

Matthew 12:15

Maelezo kwa ujumla

Simulizi hii inaeleza jinsi matendo ya Yesu yalivyotimiza moja kati ya unabii wa Isaya

Yesu alivyoelewa hili

"Yesu alikuwa anatambua kile Mafarisayo walichokuwa wakipanga

aliondoka hapo

"alitoka" au "aliondoka"

wasije wakamfanya afahamike kwa wengine

wasimwambie mtu yeyote kuhusu yeye"

kwamba itimie ile kweli

Hii inaweza kutafsriwa kama sentensi mpya. "Hii ilitimiza kile"

iliyokuwa imesemwa na nabii Isaya

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Kile Mungu alichokuwa amesema zamani kupitia Isaya akaisema..

Matthew 12:18

Sentensi unganishi

Hapa Mthayo anamnukuu nabii Isaya kuonesha kuwa huduma ya Yesu ilitimiza unabii

Tazama

"Angalia." Mungu alitumia neno hili kumleta mtu mwingine

mpe ...Nita

Viwakilishi vyote vinamrejelea Mungu. Isaya ananukuu kile ambacho Mungu alimwambia

katika yeye nafsi yangu imependezwa

Hapa "nafsi" inamanisha nafasi kamil. "na nimependezwa naye"

na atatangaza

"na mtumishi wangu atatangaza"

atatangaza hukumu

Hapa "hukumu" haimaanishi "adhabu" inamaanisha mtumishi atawambia mtaifa Mungu ni mwenye haki, na atawaokoa

Matthew 12:19

Sentensi unganishi

Mathayo anaendelea kumnukuu Isaya

wala awaye yote kusikia sauti yake mitaani

hapa "sauti" inamaanisha nafsi kamili "na hataongea kwa sauti"

yake ... hata

Viwakilishivyote hivi vinamaanisha mtumishi wa Mungualiyechaguliwa

mitaani

Hii ni nahau inayomaanisha "umma."katika miji"

hatalivunja tet liliochubuliwa .. hatazima utambi wowote unatoa moshi

Senttensi hizi zote zinamaanisha kitu kilekile. Ni sitiari zinazosisitiza kuwa mtumishi wa Mungu atakuwa mnyenyekevu na mpole. Vyote "tete lililochubuliwa na utambi utoa moshi" vinawakilisha watu dhaifu na wenye kudhuru.

hatalivunja

"hataliweka nje"

utambi utoa moto

Hii inamaanisha utambi ambao moto umezima lakini bado unatoa moshi

moshi, mpaka

Hii inaweza kutafsiriwa kwa sentensi mpya; "moshi Hiki ndicho atachofanya"

Mpaka atakapoleta hukumu ikashinda

"mpaka atakapofaulu kuleta haki na wokovu kwa watu. Maana ya nomino dhania "hukumu" inaweza kutafsiriwa kama "haki" au "okoa". "watuwajue kuwa mimi ni wa haki na nitawaokoa"

katika jina lake

Hapa "jina" linamaanisha nafsi kamili

Matthew 12:22

Maelezo kwa ujumla

Hapa mandhari yanabadilika na kuongelea wakati mwingine wakati Mafarisyao walipomshitaki Yesu kwa kumponyamtu kwa nguvu za shetani.

Mtu fulani kipofu na bubu, aliyepagawa na pepo aliletwa mbele za Yesu

Hiiinaweza kutafsiriwa katikamfumo tendaji. "Mtu mmoja alimleta kwa Yesu mtu aliyekuwa kipofu na bubu kwa sababu pepo lilikuwa likimtawala"

Mtu kipofu na bubu

"mtu asiyeweza kuona na hawezi kuongea"

Makutano wote walishsangaa

"Watu wote waliomwona Yesu akimponya yule mtu walishangaa"

Mwana wa Daudi

Hi ni sifa ya Masihi au Kristo

Mwana wa

Hapa hii inamaanisha "kizazi cha"

Matthew 12:24

Maelezo kwa ujumla

Katika mastari wa 25, Yesu anaanza kuwajibu mashataka ya Mafarisayo kwamba amemponya mtu kwa nguvu za shatani

muujiza huu

Hii inamaanisha muujiza wa kumponya yule kipofu, bubu na alaiyepagawa na pepo.

Huyu mtu hatoi pepo kwa nguvu zake isipokuwa isipokuwa nguvu za Belzebuli,

Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Huyu mtu anaweza kufukuza pepo kwa sababu ni mtumishi wa Belzabul"

Huyu mtu

Mafarisayo waliepuka kumwita Yesu kwa jina ili kuonesha kuwa hawamkubali.

mkuu wa pepo

"mfalme wa pepo"

kila ufalme uliogawanyika wenyewe huharibika, na kila mji au nyumba iliyogawanyika haitasimama

Yesu anatumia mithali kuwajibu Mafarisayo. Sentenzi hizi mbili zinmaanishakitu kilekile. Zinasisitiza kuwa haimanishi chochote kwa Belzabul kutumia nguvu zake kuwapinga pepo wengine.

Kila ufalme uliogawanyika huharibika

Hpa "ufalme" unamaanisha wale wanaoishi kwenye huo ufalme. Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Ufalme hautadumu wakati wake wanapigana wao kwa wao"

kila mji au nyumba iliyogawanyika haitasimama

Hapa"mji" unamaanisha watu wanaoishi humo na. "nyumba" inamaanisha familia. "inaharibu mji au familia watu wanapopigana wao kwa wao

Matthew 12:26

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kujibu hoja za mafarisayo za kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani

ikiwa shetani atamwondoa shetani mwenzake

Matumizi ya pili ya shetani yanamaanisha pepo wanaomtumikia shetani. "Kama shetani atafanya kazi kinyume na pepo zake"

Shetani ... Beelzabul

Majina yote yanamaanisha nafsi moja

ufalme wake utasimama?

Yesu anatumia swali kwapa changamoto Mafarisayo. "Ufalme wa shetani hauwezi kusimama" au "ufalme wa shatani hautadumu"

wafuasi wenu huwatoa kwa njia ya nani

Yesu anatumia swali lingine kuwapa changamoto Mfarisayo. "kisha lazima useme wafuasi wenu pia huwatoa pepo kwa nguvu za beelzabul. Lakini mnajua kuwa hii siyo kweli"

kwa ajili hii watakuwa mahakimu wenu

"Kwa sababu wafuasi wenu huwatoa pepo kwa nguvu za Mungu, wanahakikisha kuwa mmekosea."

Matthew 12:28

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo

Na kama natoa

Hapa "kama" haimaanishi kuwa Yesuanahoji jinsi anavyowatoa pepo. Hapa Yesu anatumia neno kuleta sentensi ya kweli. "Lakimi kwa sababu nina"

basu ufalme wa Mungu umekuja kwenu

"Basi ufalme wa mbinguni umefika kwenu." Hapa "ufalme" utawala wa Mungu kama mfalme. "Hii inamaanisha Mungu anaanzisha ufame kwenu"

umekuja kwenu

Hapa "kwenu" ni wingi na inamaanisha watu wa Israel,

na mtu awezaje kuingia ndani ya nyumba ... atakapoiba mali yake

Yesu anatumia mfanokuendelea na majibu yake kwa Mafarisayo. Yesu anamaanisha anaweza kuwatoa pepo kwa sababu ana nguvu kuliko shetani.

Awezaje mtu kuingi ... asipomfunga mwenye nguvu kwanza?

Yesu anatuumia swali kuwafundisha Mafarisauo na makutano. "Hakuna awezaye kuingia ..bila kumfunga mwenye nguvu kwanza"

Ndipo atakapoiba

"Ndipo atakapoiba" au "Ndipo atakapoweza kuiba"

yeyote asiyekuwa pamoja nami

"ambaye hashirikiani nami" au "amabye hafanyi kazi p amoja nami"

yuko kinyume changu

"ananipinga mimi" au "hufanya kazi kinyume na mimi"

Huyo asiyekusanya nami hutapanya

Yesu anatumia kirai amabcho kinamunesha mtu amabye aidha anakusanya kundi la wanyama kwa mchungaji au anayewatapanya totka kwa mchungaji.

Matthew 12:31

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo

nasema kwenu

Hii inaongeza msisitizo wakile Yesu alichosema baadaye

sema kwenu

Hapa "kwenj" ni wingi. Yesu anaongea moja kwa moja na Mafarisayo, lakini pia anwafundisha makutano

kila dhambi na kufuruwatu watasamehewa

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu atasamahe kila dhambi ambayo watu wanafanya na kila jambo ovu wanlosema

ila kumkufuru Roho Mtakatifu watu hawatasamehewa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu yule amabye anasema mabo maovu dhidi ya Roho Mtakatifu.

Na yeyotte asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu

Hapa "neno" linamaanisha kile amabcho mtu husema, "N kama mtu atasema chchote kibaya kuhusu Mwana wa Adamu"

Mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu yake mwenyewe

hilo atasamahewa

Hili linaweza kuelezwa katikamfumo tendaji. "Mungu atamsamehe mtu kwa ajiloi yahilo"

huyo hatasamehewa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu huyo"

katika ulimwengu huu, na wala ule ujao

Hapa " ulimwengu huu" na " ule ujao" inamaanisha maisha haya ya leo na maisha yajayo. " katika maisha haya au yajayo" au "sasa au baadaye"

Matthew 12:33

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo

Ama ufanye mti kuwa mzuri na tunda lake kuwa zuri, au uharibu mti na tunda lake

maana yake ni 1) kama utafanya mti kuwa mziri na mtunda yake yatakuwa mazuri na kama ukiuharibu mti na matunda yake yatakuwa mabaya" au 2) "Kama ukiufanya mti kuwa mzuri na mataunda yake yatakuwa mazuri kwa sababu matunda yake ni mazuri na kama ukiyafanya matunda kuwa mabaya yatakuwa kwa sababu matunda yake ni mabaya." Hii ni mithali watu walipaswa kuutumia ukweli kwa jinsi wawezavyo kujua kama mtu ni mbaya au mzuri.

mazuri ... mabaya

"eneye afya ... iliyougua"

mti hutambulika kwa tunda lake

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Watu hujua kama mti n mbaya aua mzuri kwa kutazama matunda yake"

ninyi kizazi cha nyoka

Hapa "kizazi" inamaanisha "kuwa na tabia za." Kipiribao ni aina ya nyoka wenye sumu ambao ni hatarina wanawakilisha uovu"

niny ...nyie

Hivi ni viwakilishi vya wingi na vinamaanisha Mafarisayo

mwawezaje kusema mambo mazuri

Yesu anatumia swali kuwakemea Mafarisayo. "huwezi kusema mambo mazuri "Unaweza kusema mambo maovu tu"

kwa kuwa kinywa hunena kutoka katika akiba ya yaliyo moyoni

Hapa "akiba ya moyoni" inamaanisha mawazo ya mtu katika akil iyake. "Kinywa" kinawakilishsa mtu. "Kile ambacho mtu husema katikakinywa chake kinafunua jinsi alivyo katika akili yake"

Mtu mwema katika akiba njema ya moyo wake hutoa wema, na mtu mwovu katika akiba ya uovuwake hutoa kilicho kovu.

Yesu anaongea juu ya "moyo" kama vile kontena lilivyo amablo mtu anaweza kulijaza kwa mambo mazuri au maovu. Hii ni sitiari inayoonesha kile mtu anachosema kinafunua jinsi mtu alivyo.

Matthew 12:36

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha majibu yake hoja za Mafarisayo za kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani.

Nawaambia

Msisitizo wa kileYesu alichosema baadaye

Watu atatoa hesabu ya kila neno

"Mungu atawauliza watu kuhusu" au "atu watajieleza mbele za Mungu"

Kila neno lililo la maana walilosema

Hapa "neno" inamaanisha kitu ambacho mtu husema. "kila jambo lenye kudhuru watakolokuwa wamesema"

utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu atakuhesabia haki ... Mungu atakuhukumu"

Matthew 12:38

Sentensi unganishi

Maongezi katika mistari hii yananza mara baada tu ya Yesu kujibu hoja za Mafarisayo kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani

Maelezo kwa ujumla

Katikamstari wa 39, Yesu anaanza kuwakemea waandishi na Mafarisayo

tungependa

"taka"

kuona ishara totka kwako

Unaweza kuiweka wazi kwa nini wanataka kuona ishara "kuona ishara toka kwako ili kuhakikisha kuwa kile unachosema ni kweli.

kizazi kiovu na cha zinaa kinatafua ishara ... itakayotolewa kwao

Yesu anasema na kizazi kilichokuwepo. "ninyi ni waovu na kizazi cha zinaa wanaotafuta ishara toka kwangu ... itakayotolewa kwao

kizazi cha zinaa

Hapa "zinaa" ni sitiari ya watu wasio waaminifu kwa Mungu.

kinatafuta ishara

Ombi hili linamkasirisha Yesu kwa sababu ya mashaka na tabia ya viongozi wa dini juu ya Yesu. Alikuwa amefanya miujiza mingi, lakini bado walikuwa hawamwamini

hakuna ishara itakayotolewa

Hii inaweza kuelezwa katika mmundo tendaji. "Mungu hatawapa ishara"

isipokuwa ile ishara ya nabii Yona

"isipokuwa ishara ileile amabyo Mungu alimpa nabii Yona"

siku tatu mchan nausiku

Hapa "usiku" na "mchana" inamaanisha kipindi cha saa 24 kamili. "siku tatu kamili"

Mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu ya yeye mwenyewe

ndani y a moyo wa nchi

Hii inammanisha ndani ya kaburi halisi

Matthew 12:41

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo

Watu wa ninawi

"Raia wa Ninawi"

watasimama mbele ya watu pamoja na kizazi cha watu hawa

"watasimama siku ya hukumu na kuwahukumu kizazi hiki"

Kizazi cha watu hawa

Yesu anamaanisha watu walioishikipindi hiki

watakihukumu

Atakuwa Mungu atayekihukumu kizazi cha watu wa Yesu

na tazama

"na angalia" Hii inatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

mtu fulani mkuu

"mtu wa muhimu sana"

kulikoYona yuko hapa

Unaweza kifanya maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "kuliko Yona yuko hapa, Lakini bado hamjatubu, hii ndiyo sababu Mungu atawahukumu.

Matthew 12:42

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo

Malkia wa kusini

Hii inamaanisha Malkia wa sheba. Sheba ni nchi iliyo kusini mwa Israeli

atainuka kwenye hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki

"atasimama siku ya hukumu na kuwahukumu watu wa kizazi hiki, Tazama ilivyotafsiriwa katika 12:41

kizazi hiki

Hii inamaanisha watu walioishi wakati Yesu alipokuwa akihubiri

na kukihukumu

Ni Mungu atakayekihukumu kizazi chxa Yesu. "Na Mungu atawasiliza raiawa Ninawi na kukihukumu kizazi hiki "

alikuja toka miishio ya dunia

Hapa "miishio ya dunia" ni nahau inayomaanisha "mbali." Alikuja tokea mbali"

Alikuja

Sentensi hii inaeleza kwa nini Malkia wa kusini atakihukumu kizazi cha Yesu, "allikuja kwa hilo"

na Tazama

"na anagalia" Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

mtu fulani mkuu

"mtu wa muhimu sana"

fulani

Yesu anaongea juu yake

Kuliko Selemani Yuko hapa

Unaweza kuiweka maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "Kuliko Selemani yuko hapa, lakini hausikilizi. Hiyo ndiyo sababu ya Mungu kuwahukumu"

Matthew 12:43

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisyao.

Wakati pepo machafu ... kwa kizazi hiki kibovu

Yesu anatumia mfano kuwaonya watu hatari ya kutokuamini

"mahali pasipo na maji

"eneo kavu"au "mahali ambapo watu hawaishi"

lakini hapaoni

Hapa "ni" inamaanisha kupumzika

Kisha husema, 'nitarudi kwenye nyumba yangu niloyotoka

Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi na wala si nukuu "kwa hiyo yule roho mchafu huamua kurudi kwenye nyumba yake ambayo alitoka"

kwenye nyumba yangu niliyotoka

Hii ni sitiari ya ya mtu ambaye pepo lilitoka. "pale nilikotoka

arudipo akikuta ile nyumba imesafishwa na iko tayari

Hii inaweza kutafsiriwa katika muunda tendaji. "yule roho mchafu akikuta ile nyumba iko safi na imewekwa kila kitu katika mahali pake",

Hivi ndivyo itavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu

Hii inamaanisha kama watu wa kizazi cha Yesu hawatamwamini na kuwa wanfunzi wake, watakuwa katika hali mbaya kuliko walivyokuwa mwanzoni

Matthew 12:46

Maelezo kwa ujumla

Kufika kwa Mama wa Yesu na ndugu zake inakuwa fursa Kwa Yesu kueleza juu ya familia yake ya kiroho

tazama

neno "tazama" lintatuandaakwa ajili ya watu wapya katika simulizi. Lugha yako yaweza kuwa na namna mpya ya kueleza hili

mama yake

Huyu ni Mariamu, Mam wa Yesu wa mwili.

wakitafuta kuongea

"wakitaka kuongea"

mtu mmoja akamwambia, "tazama mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanatafuta kuongea nawe",

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "mtu mmoja alaimwambia Yesu kuwa mama yake na ndugu zake walikuwa nje na walitaka kuongea naye"

Matthew 12:48

Sentensi unganishi

Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi lililoanzia 12:1 amabapomwadishi ameeleza juu ya kukua kwa upinzani katika huduma ya Yesu

aliyemjulisha

ukweli wa ujumbe ambao yule mtu aliomwambia Yesu unaeleweka na haukurudiwa. "aliyemwambia Yesu kuwa mama yake na ndugu zake walitka kuongea naye"

mamayangu ni nani? na ndugu zangu nu akina nani?

Yesu antumia swali hili kuwafundisha watu. "nitwaambia kweli mamayangu na ndugu zangu ni nani"

Tazama

"anagalia" Hii inatia msisitizo wa kile ambacho Yesu alisema baadaye"

hawa ni mama na ndugu zangu

Hii ni sitiari inayoonesha kuwa wanafunzi wa Yesu ni wake katika familia ya kiroho. Hii ni ya muhimu kuliko kuwa kwenye familia ya kimwili.

yeyote

"mtu yeyote"

baba

Hii ni sifa muhimu ya Yesu

huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu

Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa wale amabo wanamtii Mungu wanakuwa kwenye familia ya Yesu kiroho. Hii ni muhmu zaidi ya kuwa kwenye familia ya kimwili

Matthew 13

Mathayo13 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 13:14-15, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Sura hii inaanza sehemu mpya. Ina baadhi ya mifano ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni.

Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii

Mifano

Mfano ni hadithi fupi inayotumika kuonyesha mfano wa maadili au wa kidini. Katika sura hii, mifano, yanatangaza ukweli kuhusu ufalme wa mbinguni kwa wale ambao wana imani katika Yesu. Pia yanaficha ukweli huo huo kutoka kwa wale wanaomkataa Yesu (Mathayo 13:11-13). Kawaida mifano hii huchukua fomu ya hadithi.

Nahau

Katika sura hii, Yesu anazungumzia macho kuona na masikio kusikia. Anatumia takwimu hizi za matamshi ili kuwahimiza wasikilizaji wake kuelewa masomo ya mifano hiyo.

<< | >>

Matthew 13:1

maelezo ya jumla

Huu nimwanzo wa simulizi jipaya amabapo Yesu anaanza kufundisha makutano, kwa kutumia mifano juu ya ufalme wa mbinguni

katika siku hiyo

Tukio hili liltokea siku hiyohiyo sawa na yale yaliyo kwenye sura iliyopita.

alikaa kando ya bahari

ilimaanisha kuwa alikaa chini kuwafundishsa watu.

aliondoka nyumbani

Haijatajwa kuwa ilikuwa nyumba ya nani ambayo Yesu alikuwa akiishi

aliingia nadni ya mtumbwi

Inamaanisha kuwa Yesu aliingia kwenye mtumbwi kwa sababu ingemfanya iwe rahisi kuwafundisha watu.

mtumbwi

Huu yawezekana mtumbwi wa wazi, uliotengenezwa kwa miti wa kuvulia samaki wenye tanga.

Matthew 13:3

Sentensi unganishi

Yesu anafafanua juu ya ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mpanzi

Yesu alisema maneno mengi kwa mfano

"Yesu aliwaambia maneno mengi kwa mifano"

nao

"kwa wale watu kwenye mkutano"

Tazama

"angalia" au "sikiliza." neno hili linavuta usukivu wa kile Yesu anachotaka kusema baadaye. "uwe tayari kusikiliza jambo amablo nataka kuwaambia"

mpanzi alienda kupanda

"mpanzi alienda kumwaga mbegu shambani"

alipokuwa akipanda

"mpanzi alipokuwa akiendelea kumwaga mbegu"

kandoya njia

Hii inamanisha "njiani wanapopita" peembeni mwa shamba. araidhi ya pale ni ngumu kwa sababu ya watu kuikanyaga.

wakazidonoa

"wakazila mbegu zote"

juu ya mwamba

Hii ni eneo lililojaa miamba na sehemu nyembamba ya udongo ulio juu ya miamba

Ghafla zilichipuka

"zile mbegu zilimea na kukua"

zilichomwa

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "jua lilichoma ile mimea na ikaungua"

Matthew 13:7

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza mfano wa mpanzi

zilianguka katai ya miti ya miiba

"zilianguka mahali ambapo miiba na mimea hukua"

ikaisonga

"ikaisinga ile mimea mipya" tumia neno lako magugu kuzuia mimea mingine kukua vizuri.

kuzaa mbegu

"kuzaa mazao" au "kuzalisha mbegu zaidi" au kutoa matunda"

zingine maramiamoja zadi, zingine sitini, na zingine thelathini

unaweza kuiweka vizuri zaidi katika maana inayoeleweka

mia moja ... sitini ... thelathini

"100 ... 60 ... 30"

aliye na masikio

Hii ni njia inayomaaisha kwa kila anayesikiliza. "Kila anayenisikilza." Tazamaulivyotafsiri katika 11:13

asikie

Hapa "kusikia" inamaanisha kuwa msikivu. "lazima awe makini na kile ninachokisema"

Matthew 13:10

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaeleza wanafunzi wake kwa nini anafundisha kwa kutumia mifano

kwao

Hapa"kwao" inamaanisha wanafunzi wa Yesu

mmepewa upendeleo wa kufahamu siri za ufalme wa mbinguni bali kwao hawajapewa

Hii inaweza kutafasiriwa kwa kutumia muundo tendaji na kutumia taarifa zinazotolewa. " Mungu amewapa fursa ya kuelewa siri za ufalme wa mbinguni" lakini Mungu hajawapa siri hizi watu hawa" au " Mungu amewafnya ninyi kuzielwa siri za ufalme wa mbinguni lakini hajawafanya hawa tayri kuzielewa"

mme

ni kiwakilishi cha wingi kinacho maanisha wanafunzi wa Yesu

siri za ufalme wa mbinguni

Hapa"ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu. Kirai"udalme wa mbinguni" kinaonekena kwenye kitabucha mathayo tu. Kama inawezekana jaribu kuiweka katika tafsiri y ako. "siri kuhusu Mungu wetu na utawala wake"

yeyote aliye nacho

"yeyote aliye na ufahamu" au "yeyote anayepokea kile nanachofundisha"

ataongezewa zadi

Hiiinaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Mungu atampatia ufahamu zaidi"

ila asiye nacho

"asiye na ufahamu" au " asiyepokea hiki ninachofudisha"

hata kile alicho nacho atanyang'anywa

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu atakichukua hata kile alicho nacho"

Matthew 13:13

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake kwa nini anafundisha kwa kutumia mifano

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 14 Yesu anamnukuu nabii Isaya ku onyesha kuwa kushindwa kwa watu kuelewa mafundisho ya Yesu ni kutimilika kwa unabii

kwao ... hamta

Viwakilishi vyote vya "kwao" na "hamta" vinamaanisha watu katika kumati.

na ingawawanasikia wasisikie wala kufahamu....

Huu ni mwanzo wa nukuu kutoka kwa nabii Isaya kuhusu watu wasioamini wakatiwa Isaya. Yesu anatumia nukuu hii kuwa kuwaeleza watu waliokuwa wanamsikiliza. Hii ni semi misambamba inayosisitiza kwamba watu walikataakumwani Yesu.

ingawa wanaona, wasione kweli

Matumizi ya pili ya "kuona" hapa yanamaanisha kuelewa.

Ingawa wanasikia wasisike wala kufahamu

Inaweza kuwekwa wazi kwa kile watu wanachosikia. "Ingawa wanasikia kile ninachosema, hawaelewi kile ninachomaanisha.

kwao unabii wa Isaya umetimia ule usemao

Hii inaweza kuelzwa katika mfumo tendaji. "wanatimiza kile Mungu alisema zamani kuptia nabii Isaya"

Msikiapo msikie, lakini kwa namna yeyote hamtaelewa, wakati mwonapo muweze kuona, lakini kwa namna yeyote ile msijue

Huu ni mwanzo wa nukuu kutoka kwa nabii Isaya kwa watu wasioamini wakati wa Isaya. Yesu anatumia nukuu hii kuwaeleza watu waliokuwa wanamsikiliza. Hii ni misemo sambamba inayosisitiza kuwa watu walikataa kuuelewa ukweli wa Mungu.

msikiapo msikie lakini kwa namna yeyeote msiweze kuelewa.

"mtaskia vitu lakini hamtavielewa" unaweza kuviweka wazi kile amabcho watu watasikia. "Mtasikia kile Mungu asemacho kupitia nabii lakini hamtaelewa maana halisi"

wakati mwonapo muweze kuona lakini kwa namna yeyote msiweze kuelewa

Unaweza kuweka wazi kile ambacho watu wataona. "mtaona kile amabcho Mungu anafanya kupitia nabii, lakini hamtaelewa"

Matthew 13:15

Sentens iunganishi

Yesu anamaliza kumnukuu Isaya

Na mioyo ya watu hawa ... ningewaponya

Ktika 13:15 Mungu anawaeleza watu wa Israwli kana kwamba ni wenya ugonjwa wa mwili ambao unawafanya wasiweze kuelewa, kuona na kusikia Mungu anawataka waje kwake ili awaponye.

Mioyo ya watu hawa imekuwa giza

Mioyo inamaanisha akili. "mioyo yao imekuwa migumu kujifunza"

ni vigumu kusika

wao si viziwa wa masikioya mwili 'vigumu kusikia"wanakataa kusika na kujifunza ukweli wa Mungu

wamefumba macho yao

hawajafumba macho yao ya mwaili. hii inamaanisha hawataki kuelewa.

ili wasiweze kuona kwa macho yao au kusikia kwa masikkio yao auakuelewa kwa mioyo yao, hivyo wangenigeukia tena.

"ili kwamba wasiweze kuona kwa macho yao, kusikia kwa masiko yao, au kuelewa kwa mioyo yao amabyo matokeo yake ni kumrudia Mungu.

wangenigeukia

"kugeukia kwangu tena" au "kutubu"

ningewaponya

"mimi ningewaponya" Hii inamaanisha Mungu angewaponya kiroho kwa kuwasamehe makosa yao na kuwapokea tena kama awatu wake.

Matthew 13:16

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza kuongea na wanafyunzi wake kwa nini anaongea nao kwa mifano

Bali macho yenu yameberikiwa kwa kuwa yanaona, na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia

Sentensi zote zina maanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa wamempendeza kwa sababu wameamini kile ambacho Yesu amesema na wamefanya.

Bali macho yenuyamebarikiwa kwa kuwa yanaona

macho yanamaanisha nafsi kamili. mmebarikiwa kwa sababu machoyenu yanaweza kuona

Yenu .. wewe

viwakilishi hivi ni vya wingi

na masikio yenu, kwa vile yanaona

masikio yanmaanisha nafsi kamili

hakika nawambia

"nawambia ukweli" hii inaongeza msisitizo kwa kile anlichosema Yesu baadaye.

mamabo mnayoyaona

Unaweza kuyaweka wazi yale waliyoyaona "Yle mambo uliyoyaona mimi nikfanya

mambo uliyoyasikia

mambo uliyosikia mimi nikisema

Matthew 13:18

sentensi unganishi

Yesu anaanza kufafanua kwa wanafunzi wake ule mfano wa mpanzi unaoanzi 13:3

neno la ufalme

neno linamaanisha ujumbe "ufalme" unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme

mwovu huja nakukinyakua kilichokwisha kupandwa mioyoni mwenu

Yesu anaongea juu ya shaetani anayewafanya kusahau kile walichosikia kama ndege anavyozidonoa mbegu zilizoanguka chini.

mwovu

shetani

kukinyakua

kukichukua kitu kwa mtu aliyesahihi

kilichokwishapandwa ndani ya moyo wake

ujume ule Mungu aliopanda nadani ya moyo wake.

ndani ya moyo ake

moyo unamanisha akili ya msikilizaji

hii ni mbegu iliyopandwa kando ya njia

tafsiri kama ilivyo 13:3

Matthew 13:20

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kwaeleza wanafunzi wake mfano wa mpanzi

yeye aliyepandwa katika miamba

"kilichopandwa" kinamaanisha mbegu iliyoanguka kwenye miamba.

Kilichopandwa kwenye miamba ni

miamba ambapo mbegu zilianguka inmaanisha udongo uliokuwa juu ya miamba ambapo mbegu zilianguka

yule asikiaye neno

katika mfano, mbegu zinamaanisha neno

neno

ujumbe wa Muungu

hulipokea kwa furaha

kulipokea neno kwa furaha

ila hana mizizi ndani yake hiyo huvumilia kwa kitambo kifupi.

mizizi inamaanisha kile kinachomfanya mtu aendelee kuamini ujumbe wa Mungu

hujikwaa ghafla

kujikwaa humaanisha kuacha kuamini ujumbe wa Mungu

Matthew 13:22

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwawleza wanafunziwake kuhusu mfano wa mpanzi

aliyepandwa

hii ni mbegu iliyopandwa au iliyoanguka

iliyopandwa kati ya miiba

ardhi ilyo na miiba amabapo mbegu ilipandwa

huyu ni yule

inamaanisha mtu

neno

inaanisha ujumbe wa Mungu

masumbuko ya ulimwengu na udanganyifu wa utajiri hulisonga lile nenoi

Yesu anaongelea masumbufu ya ulimwengu na udanganyifu wa utajiri hugeuza nia ya mtu na kushindwa kutii neno la Mungu kama vile magugu yanavyoweza kuuelemea mmea na kushindwa kukua.

masumbko ya ulimwengu

"mamabo ya dunia ambayo huwafanyawatu wawe na mashaka

udanganyifu wa utajiri

Yesu anautumia utajiri kama mtu adanganyaye watu. Hii inamaanisha kuwa watu hudhani kuwa na pesa nyingi huwafanya kuwa na furaha, lakini si kweli.

lisije likazaa matunda

kutokuzaa matunda

aliyepandwa kwenye udongo mzuri

kwenye udongo mzuri ambapo mbegu zilipandwa

azaaye matunda na kuendela kuzaa

Hapa mtu amefananishwa na mti uzaao. "Kama mti wenye afya uzaoa matunda, ambaye ni mzalishaji.

kuzaa moja zaidi ya mara mia, nyingine sitini, nyingine thelatiini

watu wengine huzalisha 100 mara, wengine 60 na wengine 30.

Matthew 13:24

Sentensi unganishi

Hapa Yesu anaelezea juu ya uafalme wa mbinguni kwa kutumia mfanao wa shamba lilikuwa na ngano na magugu vikikuwa pamoja

Ufalme wa mbinguni umefananishwa

tafasiri islinganishe ufame wa mbinguni na mtu, bali ufalme wa mbinguni kama ulivyoelezwa kwenye mfano.

ufalme wa mbinguni umefananishwana mtu

"Wakti Mungu wa mbinguni atakapojionesha kama mfalme"

ufalme wa mbinguni umefananishwa n

wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhirisha kama mfalme, itkuwa kama

mbegu nzuri

"mbegu nzuru ya chakula" au "nafaka nzuri"

adaui ake akaja

"adaui wake akaja shambani"

magugu

magugu huonekena kama mimea ya chakula yanapokuwa hayajakomaa. laini mbegu zake huwa nasumu" au "mbegu mbaya" au mbegu za magugu"

baadaye ngano ilipoota

"badaye mbegu za ngano zilipoota" au "wakati mimea ilipochipua"

ilipotoa mazao

"ilipotoa nafaka" au "ilipotoa mbegu za ngano"

ndipo magugu yalitokea pia

"watu waliweza kuyaona magugu shambani pia"

Matthew 13:27

Sentensi ungsnishi

Yesu anaendelea kueleza mfano wa magaugu na ngano kukua kwa pamoja katika shamba

mwenye shamba

huyu ndiye aliyepanda mbegu nzuri shambani

Haukupanda mbegunzuri katika shamba lako?

ulipanda mbegu nzuri katika shamba

je, haukupanda

tulipanda

akawaambia

"mwenye shamba akawaambia watumishi"

kwa hiyo unatutaka

kiwakilishi "tu" kinamaanisha watumishi

Matthew 13:29

Sentensi unganishi

Yesu anahitimishas mfano wa magugu yalyokua pamaoja na ngano shambani

Mwenye shamba akasema

"Mwenye shamba akasema kwa watumishi"

nitasema kwa wavunaji, 'kwanza yang'oeni magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu,"

"Nitawaambia wavunaji kwanza kuyakusanya magugu na kuyafunga matita matita na kuyachoma, kisha kusanyeni ngano katika ghala langu"

ghala

Jengo la shambani ambalo lilitumika kwa kukusanyia nafaka.

Matthew 13:31

Esntensi ungsnishi

Yesu anaufafanua ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mbegu ambayo hukua na kuwa mti mkubwa

Ufalme wa mbinguni unafanana n a

"Wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme kuwa mfalme, itakuwa kama", Tazama 13:24.

mbegu ya haradari

ni mbegu ndogo sana ambayo huweza kukua na kuwa mti mkubwa

Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote

Mbegu za haradari zilikuwa mbegu ndogo zadi ambazo zilifahamika kwa wasikilizaji wa kwanza

Lakini imeapo

"Lakini mmea unapokuwa"

huwa kubwa kuliko

ni mkubwa kuliko

huwa mti

Mmea wa haradli hukua kiasi cha mita 2 had 4 za urefu

ndege awa angani

"ndege"

Matthew 13:33

Sentensi unganishi

Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa chahu na jinsi inavyoweza kuufanya udongo

Ufalme wa mbinguni ni kama chachu

Ufalme si kama chachu, lakini kusambaa kwa ufalme ni kama kusambaa kwa chachu

ufalme wa mbinguni ni kama

ufalme wa mbinguni una, maanisha utawala wa Mungu kama mfalme..Kirai "ufalme wa mbinguni" kimetumika katika Mthayo tu. Mungu wetuwa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme itakuwa kama"

vipimo vitatu kwa unga

"kipimo kikubwa cha unga" au tumia kipimo kinachotumika katika utamaduni wako cha kuonesha kipimo kikubwa cha unga.

mpaka viumuke

Maana kusudiwa hpa ni kwamba, chachu na vile vipimo vitatu vya unga vilitengenezwa kwa ajiliya kuumulia.

Matthew 13:34

Maelezo kwa umumla

Mwandishi anannukuu toka Zaburi kuonesha kuwa mafundisho ya Yesu kwa mfano ni kwa ajili kutimiza unabii

Hayo yote Yesu aliyasema kwa mifano, Na pasipo mifano hakusema chochote kwao

Sentensi zote zina maana moja. Zimeunganishwa kusisitiza kwamba Yesu alifundisha makutano kwa kutumia mifano.

hayo yote

Hii inamaanisha kuwa kile alichofundisha Yesu kinaanzia 13"1

Pasipo mifano hakusema chochote kwao

""hakufundisha chochote isipokuwa kwa mifano"

kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema

alaikifanya kiwe kweli kile alichokuwa amemwambia mmoja wa manabii kukiandika hapo zamani

aliposema

nabii aliposema

nitafumbua kinywa chcangu

Hii ni nahau inayomaanisha kuwa nitasema "nitasema"

yaliyokuwa yamefichwa

mambo ambayo Mungu ameyaficha

tangu misingi ya ulimwengu

"tangu kuanza kwa ulimwengu" au tangu Mungu aumbe ulimwengu"

Matthew 13:36

Sentensi ungnishi

Mandhari yanahamia kwenye nyumba amabyo Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanaishi. Yesu anaanza kuwafundiasha mfano wa shamba ambalo lilikuwa na magugu na ngano alilokuwa amewaambia mwanzoni katika 13:24.

kwenda nyumbani

"aliingia ndani" au "aliingia kwenye nyumba ile aliyokuwa anaishi"

apandae

"mpamzi"

Mwana wa Adamu

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe

wana wa ufalme

Hapa "wana wa" inamaanisha kuwa mali ya au kuwa na tabia zilezile alizo nazo.

wa ufalme

Mungu ni mfalme

wana wa yule mwovu

watu ambao ni mali ya yule mwovu

adui aliyezipanda

"adui aliyepanda magugu"

mwisho wa ulimwengu

"mwisho wa nyakati

Matthew 13:40

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza kuwaeleza wanafunzi wake mfano wa shamba lenye magugu na ngano

Kama vile magugu yanavyokusanywa nakuchomwa moto

Kwa hiyo, kama watu wayakusanyavyo magugu na kuyachoma moto"

mwisho wa ulimwengu

mwisho wa nyakati

Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe

wale watendao maasi

"wale wasio na sheria" au "watu waovu"

tanuru la moto

moto wa kuzimu

kulia nakusaga meno

Hii inamaanisha huzuni kubwa na mateso

watakapong'aa kama jua

watakuwa rahisi kuwaona kama jua

Baba

hiki ni cheo muhimu cha Mungu

yeye aliye na masikio

kila anayenisikiliza

Matthew 13:44

Sentensi unganishi

Yesu anaelezea juu y a ufalme wa Mungu kwa kutumia mifano miwili ya watu waliouza mali zao kwa kununua kitu cha thamani zaidi

Maelezo kwa ujumla

Katika mifano hii Yesu anatumia milinganyo miwili kuwafundisha wanfanzi wake kuhusu mfano wa ufalme wa mbinguni

Ufalme wa mbinguni ni kama

Tazama ilivyotafsiriwa katika 13:24

kama hazina iliyofichwa shambani

hazina ambayo mtu alificha shambani

hazina

kkitu cha thamani sana au vitu vilivyokusanywa

kuficha

alifunika kwa juu

aliuza kila kitu alichokuwa nacho na kulinunua shamba lile

Maana yake nin kwamba yule mtu ananunua lile shamba ili ili achukue ile hazina iliyofichwa

ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu ya thamani

maana yake ni kwamba yule mtu alikuwa anatafuta ile luu ya thamani ili aweze kuinunua

mfanya biashara

mchuuzaji au mtu anayeshughulika kuuza vitu vya jumla ambaye mara kwa mara hupata wateaja tokea mbali

lulu ya tahmani

"lulu" ni kitu lain, kigumu, kinachong'aa, cheupe au shanga yenye mng'ao inayopatikana kwenye viumbe wenye asili ya konokono baharini. Lulu ina bei y a juu sana na hutengenezwa vitu vya thamani kama pete.

Matthew 13:47

Sentensi unganishi

Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mvuvi anayetumia nyavu kubwa kukamata samaki

Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu

ufalme sikama nyavu, lakini ufalme hukokota watu wa kila aina kamavile nyavu zikokotavyo aina zote za samaki

ufalme wa mbinguni ni kama

tazama katika 13:24

ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari

kama nyavu ambayo wavuvi hutupa ndani ya bahari

iliyotupwa ndani ya bahari

"iliyotupwa baharini"

hukusanya viumbe wa kila aina

"ilikamata viumbe wa kila aina

walivuta ufukweni

"walivuta ule wavu mpaka ufukweni"

vitu vyema

"vile vizuri"

visivyo na thamani

"samaki wabaya" au "samaki wasiofaa"

vilitupwa mbali

"havikutunzwa"

Matthew 13:49

Sentensi unganishi

Yesu anaeleza mfano wa mvuvi aliyetumia wavu mkubwa kukamata samaki

mwisho wa dunia

"mwisho wa nyakati"

watakuja

"kuja" au "kwenda" au "kuja toka mbinguni"

watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki

watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki"

na kuwatupa

"malaika watawatupa watu waovu"

tanuru ya moto

tazama 13:40

maombolezo na kusaga meno

Tazama 8:11

Matthew 13:51

Sentensi unganishi

Yesu anaeleza ufalme wa mbinguni kwa kueleza mfano wa mtu anayewatawala watumishi wa nyumbani.Huu ni mwisho wa habari ya Yesu kuwafundisha watu kuhusu ufalme wa mbinguni kwa kutumia mifano

Mmefahamu mambo yote haya? wanafunzi walimjibu, "Ndiyo"

Yesu aliwaulizakamawalikuwa wameelewa yote haya, na walisema kwamba walielwa

amakuwa mwanafunzi wa ufalme wa mbingun

amaejifunza ukweli kuhusu Mungu wetu wa mbinguni ambaye ni mfalme.

unafananan na mwenye nyumba ataoaye katika hazina yake vitu vipya.

Yesu anafundisha mfano mwingine. Anawafananisha waandishi, ambao wanalyafahamu maandiko vizuri ambayo Musa na manabii waliandika, na ambao pia sasa wanayapokea mafundisho ya Yesu na kuyalinganisha namwenye nyumba anayetumia vitu hazina ya zamani na mpaya.

hazina

Hazina ni kitu cha thamani. Hapa panafananishwa na mahali ambapo vitu huhifadhiwa. "chumba cha kutunzia".

Ikawa Yesu alipomaliza

Kirai hiki kinatuhamishaia simulizi yetu ya mafundisho ya Yesu kwenda kile kilichotokea baadaye.

Matthew 13:54

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwanzo wa habari mpya inyotupeleka hadi 17:26, ambapo mwandishi anaeleza juu ya mwendelezo wa upinzani katika huduma ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni. Hapa watu wa nyumbani kwao Yesu wanamkataa..

"mji wa nyumbani kwao

" Huu ni mji wa Nazarethi ambapo Yesu alikulia

katika masinagogi yao

kiwakilishi "yao" kinamaanisha watu wa eneo hilo

walishangaa

"walishangaa

Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza

"Yawezekananje mtu wa kawaida kama huyu kuwa na mwenye hekima na kufanya miujiza mikubwa.

Mtu hyu siyo mwana wa seremala ...ameyapata wapi haya yote.

Makutano wanatumia maswali haya, kuonyesha mshangao wao kuwa mtu wa kawaida kutoka mji wao anafanya mambo haya yote. Mtu wa kawaida hawezi kuyafanaya haya yote.

Matthew 13:57

Aliwachukiza

watu walimkataa Yesu

Nabii hakosi kuwa na heshima isipokuwa kwao

nabii hupokea heshima kila mahli

nchini yao

"mji wa kwao"

kwao

"nyumbani kwao"

Na hakuweza kufanya miujiza mingi

"Yesu hakuweza kufanya miujiza nyumbani kwao"

Matthew 14

Mathayo14 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

14:3-12 inataja matukio yaliyotokea hapo awali. Kwa hiyo, kuna mkatizo katika utaratibu wa matukio wa hadithi. Kusudi la mkatizo huu ni ufafanuzi; mtafsiri ataona umuhimu wa kuashiria mkatizo huu.

Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii

Kinaya

Herode aliamini kwamba kuvunja kiapo kulikuwa na aibu, hivyo aliamuru kuuawa kwa Yohana Mbatizaji. Hata hivyo, mauaji ambayo aliwajibika ilikuwa mbaya zaidi. Hii ni kinaya. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#figs-irony)

<< | >>

Matthew 14:1

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inaeleza jinsi Herode alivyopokea aliposikia habari za Yesu. Tukio hili linfuatia baada ya tukio linalofuata katika simulizi

Kwa wakati huo

"Katika siku hizo" au "wakati Yesu akiendelea na huduma huko Galilaya"

alaisikia habari juuya Yesu

alaisikia juu ya uvumi wa Yesu

Akawaambia

"Herode alisema"

amaefufuka ktoka wafu

amerudi kuishi

kwa hiyo nguvu hizi zipo juu yake

Baadhi ya Wayahudi waliamini kuwa kama mtu atarudikutoka wafu anaweza kuwa nanguvu za kufanya mambo makubwa.

Matthew 14:3

Sentensi unganishi

Hapa mwandishi anaanza kueleza jinsi Herode alivyomnyonga Yohana mbatizaji. Matukio haya yanaanza kuonekana kabal y a matukio yaliyo kwenye mistari iliyopita

Maelezo kwa ujumla

Mwandishi anaeleza upya habari ya kifo cha Yohana mbatizaji ili kuonesha kwa nini Herode aliitikia kwa jinsi alivyofanya aliposikia habari za Yesu

Kwa kuwa Herode .... kuwa mke wako

Kama inahitajika unaweza kurudia mpangilio wa tukio kama ulivyo 9:3 -4.

Herode alikuwa amemkamata Yohana na kumfunga, na kumtupa gerezani

Inasemekana kuwa Herode alifanya mabo haya kwa sababu aliwaamuru wengine kufanya kwa ajili yake.

mke wa Filipo

Filipo ni jina la kakawa Herode

Kwa kuwa Yohana alimwambia kuwa si halali kumchukua yeye kuwa mke wako

Kwa kuwa Yohana alikuwa amemwambia kuwa siahali kwake kumchukua kama mke wake"

kwa kuwa Yohana alimwambia

"Kwa kuwa Yohana aliendelea kumwambia Herode"

si halali

Filipo bado alikuwa hai wakati Herode anamwoa Herodia

aliogopa

Herode aliogopa

walimwona

"walimwona Yohana

Matthew 14:6

katkati ya watu

katikati ya wageni waliokuwa wamehudhuria ile sherehe ya kuzaliwa

Matthew 14:8

Baada ya kushauriwa na mama yake

baada ya mama yake kumpa maelekezo

kumwelekeza

"kumfundisha" au "kumwambia"

alisema

"binti wa Herodia alaisema kwa Herode"

kombe

sahani kubwa sana

mfalme alikuwa na sikitiko

ombilake lilimfanya mfalme asikitike

mfalme

"mfalme Herode"

aliamuru kwamba inapaswa ifanyike

"aliwaamuru watu wake wafanye alichosema"

Matthew 14:10

Sentensi unganishi

Hii inakamilisha habari ya Herode alivyomuua Yohana mbatizaji

kichwa chake kikaletwa juu ya sinia na akapewa binti

mtu mmoja akaleta kichwa chake kwenye sinia akpeewa yule binti

sinia

sahani kubwa sana

binti

binti ambaye hajaolewa

wanafunzi wake

wanafunzi wa Yohana

mwili

maiti

walienda kumwambia Yesu

wanafunzi wa Yohana walienda kumwambia Yesu kile kilichotokea kwa Yohana mbatizaji

Matthew 14:13

Sentensi unganishi

Mistari hii inaeleza jinsi Yesu alivyopokea taarifa za kuuawa kwa Yohana mbatizaji.

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inatoa historia yaju ya muujiza ambao Yesu anataka kuufanya wa kulisha watu elfu tano.

Naye

Neno hili limetumika hapa kama mwanzo wa habari mpya. Hapa Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari hii.

ulipofahamu

" walposika kilichoteka kwa Yohana au waliposikia habari za Yohana

akajitenga

"aliondoka" au "alaienda mbali n a kundi

kutoka mahali pale

"kutoka eneo hilo"

wakati umati ulipofahamu

"wakati umati waliposikia kule Yesu alikokuwa ameenda

umati

"makutano ya watu" aua "kundi kubwa la watu"

kwa miguu

Hii inamaanisha kuwa wale watu walikuwa wkitembea

kisha Yesualikuja mbele zao akauona umati

Yesu alipokuja karibu na ufukwe akauona umati wa watu

Matthew 14:15

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu akiwalisha watu elfu tano kwa mikate mitano na samaki wawili

wanafunzi wakaja kwake

"wanafunzi wa Yesu wakaja kwake"

Matthew 14:16

hawana haja

"watu hawana haja"

wapeni ninyi

neno "ninyi" ni la wingi linalomaanisha wanafunzi

wakamwambia

"wanafunzi wakamwambia Yesu

mikate mitano

mkate ni bonge lenye sura kama donge lililookwa

"ileteni kwangu"

"leteni mkate na samaki kwangu

Matthew 14:19

Sentensi unganishi

Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kuwalisha watu elfu tano

kukaa chini

kaeni

akachukua

akabeba mikononi mwake

kumega mikate

kuivunja mikate

mikate

mikate mizima

akatazama juu

maana zaweza kuwa 1) alipokuwa akitazama juu 2) baada ya kutazama juu

wakala wote na kushiba

walishiba hadi walipokuwa hawana njaa

walikusanya

wanafunzi walikusanya aua waaaaatu walikusanya

vikapu kumi na mbili

vikapu 12 vilivyojaa

waliokula

waliokula mikate na samaki

elfu tano

wanaume 5,000

Matthew 14:22

Sentensi unganishi

Mistari ifuatayo inaelaza matukio yaliyotokea baada ya Yesu kuwalisha watu elfu tano

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inatoa historia juu ya muujiza amabo Yesu anataka kuuonesha juu ya kutumbea juu ya maji

Mara moja

"Punde tu baada ya Yesu kuwalisha watu wote"

ilipokuwa jioni

"baadaye jioni" au "giza lilipoingia"

bahari ikiyumbayumba kwa sababu ya mawimbi

"na wanafunzi hahawezi kuiongoza mashua kwa sababu ya mawimbi makubwa"

kwani upepo ulikuwa wa mbisho

kwani upepo ulivuma kinyume nao

Matthew 14:25

zamu ya nne

zamu ya inne ilikuwa kati ya saa 9 za usiku mpaka machweo

akaitembea juu ya bahari

akaitembea juu ya maji

walihofu

"waliogopa sana

Ni mzuka

Roho ile iliyotengana na mwili wa mtu baada ya kifo

Matthew 14:28

Petro alimjibu

Petro alimjibuYesu

Lakini Petro alipoona mawimbi

Hapa "kuona mawimbki" maana yake ni kwamba ni kwamba alitambua kuwa kulikuwa na upepo

Matthew 14:31

wewe mwenye imani ndogo

"wewe uliye na imani ndogo kiasi hicho

kwa nini ulikuwa na mashaka

Haukupaswa kuwa na mashaka

Mwana wa Mungu

Hii ni sifa ya muhimu ya Yesu inayoonesha mahusiano kati yake na Mungu

Matthew 14:34

Sentensi unganishi

Mistari hii inaeelza kile kilichotokea baada ya Yesu kutembea juu ya maji. Mistari hii inatoa muhtasari wa jinsi watu walivyokuwa wakiitikia kwenye huduma ya Yesu

Na walipokwisha kuvuka

Wakati Yesu na wanafunzi walipokuwa wamevuka bahari

Genesareti

Huu ni mji mdogo ulioko Kaskazini Magharibi mwa mji wa bahari ya Galilaya

walituma ujumbe

"wanaume wa eneohilo waltuma ujumbe

walmsihi

waagonjwa walimsihi

Pindo la vazi lake

"chini yavazi" au "ncha ya vazi"

vazi

"joho" au "kile alichokuwa amevaa"

waliponywa

wakawa salama

Matthew 15

Mathayo15 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya 15: 8-9, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Dhana maalum katika sura hii

"Desturi"

"Desturi za wazee," yaani, sheria zilizotamkwa, ni dhana muhimu katika sura hii. Hizi ndizo sheria ambazo viongozi wa kidini kati ya Wayahudi walikuza ili kuhakikisha kwamba Sheria ya Musa ilipata utii. Hata hivyo, sheria hizi mara nyingi zilikuwa muhimu zaidi katika vitendo kuliko Sheria ya Musa yenyewe. Yesu aliwakemea viongozi wa kidini kwa hili, na kwa sababu hiyo wao wakawa na hasira. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#lawofmoses)

Wayahudi na Wayunani

Imani ya mwanamke Mkanaani kwake Yesu ulikuwa tofauti sana na kutomkubali kwa viongozi wa Kiyahudi. Tofauti hii ilichangia kukemewa vikali kwa viongozi hao.

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

Kondoo

Watu mara nyingi huashiriwa kama kondoo katika maandiko. Katika sura hii, taswira ya kondoo inaonyesha kuwa Wayahudi walikuwa wamepotea kiroho bila ya kuwa na kiongozi mwafaka wa kuwaongoza.

<< | >>

Matthew 15:1

Maelezo kw ujumla

Hapa Yesu anajibu hoja za Wayahudi

kwa nini wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee?

wanafunzi wako hawaziheshimu taratibu amabzo mababu zetu walitupa

Mapokeo ya wazee

Hizi si sawa na sheria za Musa. haya ni mafundisho na tafsiri za sheria zilizotolewa na viongozi wa dini baada ya Musa

hawanawi mikono y ao

kunawa huku siyo tu kwa kusafisha mikono. Hii inamaanisha kunawa kwa desturi kutokana na taratibu za wazee. Hawaoshi mikono yao vizuri

Nanyi kwa nini mnaihalfu sheri ya Bwana kwa ajili ya mapokeo yenu

Nami n aona kwamba mnakataa kuzitii sheria za Mungu ili tu mweze kufuata kile ambacho mababu zenu waliwafundisha

Matthew 15:4

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kwajibu Mafarisayo

Maelezo kwa ujumla

Katika mstariwa 4, Yesu ananukuu m ara mbili kutoka kitabu cha kutoka ili kuonyesha jinsi Mungu anavyotegemea watu kuwatendea wazazi wao

hakika atakufa

watu watamuua

Lakini ninyio husema, 'kila amwambiaye baba yake na mama yake ... mtu huyo hana haja ya kumheshimu baba yake

Lakini mnafundisha kuwa mtu hahitajio kuwaheshimu wazazi wake kwa kuwapa kitu ambacho kingeweza kuwasaidia kama mtu atawaambia wazazi wake hivyo tayari ameto zawadi kwa Mungu

hana haja ya kumheshimu baba yake

inamaanisha kuwa baba yake ni mzazi wake. Hii inamaanisha kuwa viongozi wa dini waliwafundisha kuwa mtu hana haja ya kumheshimu mzazi wake kwa kumsaidia.

mmelitangua neno la Mungu kwa ajiliya mapkeo yanu

Mmezifanya desturi zenu kuwa za muhimu kulikko neno la Mungu

Matthew 15:7

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha majibu yake kwa Mafarisayo

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 8 na 9Yesu anamnukuu nabii Isaya kwa kuwakemea Mafarisayo na waandishi

ni vyema kama Isaya alivyotabiri juu yenu

Isaya alisema ukweli katika unabii wake juu ayenu

alaposema

aliposema kile ambacho Mungu alisema

watu hawa wananiheshimu mimi kwa midomo yao

Watu hawa wanasema kweli kwangu

kwangu

viwakilishi vya "kwang"u vinaanisha Mungu

lakini mioyo yaoiko mbali na mimi

watu hawjajitoa kwa ukweli kwa Mungu

wananiabudu bure

"Ibaada zao hazina maana kwangu" au "wanaigiza kuniabudu mimi"

maagizo ya wanadanu

"shseria ambazo watu hutengeneza

Matthew 15:10

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwafundisha makutano na wanafunzi wake juu ya kile kinachomtia mtu unajisi na kwa nini mMafarisayo na waandishi walikuwa wamekosea kumkosoa Yesu

Sikilizeni na mfahamu

Sikilizeni kwa makini kile ninachosema ili muelewe maana yake.

Kiingiacho mdomono ... kitokacho kinywani

Yesu anatofautisha kile ambacho mtu hula na kile asemacho. Yesu anamaanisha kuwa Mungu hujali zaidikile ambacho mtu husema kuliko kile ambacho hula

Matthew 15:12

Mafaaarisayo walipolisikia lile neno walikwazika

Usemi huu uliwafanya Mafarisayo wachukie

Kila mmea ambao baba yangu wa mbinguni hajaupanda utang'olewa

Hiki ni kirai kinachomaanisha kuwa Mafarisayo si watu wa Mungu, kwa hiyo Mungu atawatoa

Baba yangu wa mbinguni

Hiki ni cheo cha Yesu kinachoonesha uhusiano kati yake na Mungu

watang'olewa

Baba yangu atawang'oa

waacheni pekee

neno pekee linamaanisha Mafrarisayo

mtu kipofu ... wataanguka shimoni

Inamaanisha kuwa Mafarisayo hawajui amari za Mungu au jinsi ya kumpendeza Mungu Kwa hiyo, hawawezi kuwafundisha wengine jinsi ya kumpendeza Mungu

Matthew 15:15

Sentensi unganishi

Yesu anaeleza mfano amabao amefundisha katika 15:12

kwetu

kwetu wanafunzi

bado hamuelewi

Yesu mfano kuwakemea wanafunzi kwa kutokuelewa mfano. Pia kwakilisha cha "hamu" kimesisitizwa. Yesu hawezi kuwaamini wanafunzi wake kwa kutokuelewa. Nimekatishwa tamaa na ninyi wanafunzi wangu kwa kuwa hamjaelewa kile ninachofundisha.

Nanyi hamuoni kuwa kile kiendacho ... na kwenda chooni

Yesu anatumia swli kuwakemea wanafunzi kwa kutokuelewa mfano. "hakika mnaelewa ... kwenda chooni"

kiendacho mdomoni

hupitia mdomoni

chooni

Hii ni tafsida kwa eneo ambalo watu huzika uchafu wa mwili

Matthew 15:18

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kufundisha mfano aliofundisha katika 15:12

vyote vitokavyo mdomoni

Hii inamaanisha kile ambacho mtu husema

katika moyo

Hapa "moyo" inamaanisha akili za mtu au ndani ya mtu.

uuaji

kuua mtu asiye na kosa

ushuhuda wa uongo

Kusema kitu juu ya mtu mwingine ambacho ni cha kuumiza na si cha kweli

bila kunawa mikono

Hii inamaansha mtu ambaye hajaosha mikono kwa desturi za wazee

Matthew 15:21

Maelezo kwa ujumla

Hii inaazisha habari y aYesu kumponya binti wa mwanamke Mkananayo

Yesu akatoka

Inamaanisha kuwa wanafunzi waliondoka na Yesu

Tazama, akaja mwanmke Mkanani

Kulikuwa na mwanamke Mkanaani aliyekuja kwa Yesu

Akaja mwanamke Mkanaani kutoka pande hizo

"mwanamke kutoka kundi la watu aliyeitw Mkaanani anayeishi katika eneo hilo.

Nihurumie

Kirai hiki kinamaanisha kuwa alikuwa akimuomba Yesu amponye binti yake.

Mwana wa Daudi

Yesu hakuwa Mwana wa Daudi kimwili, hii inaweza kutafsiriwa kama "wa kizazi cha Daudi"

binti yangu anateswa sana na pepo

Pepo linamtesa sana binti yangu

lakini Yesu hakumjibu neno

Hapa "neno" linamaanisha kile mtu asemacho

Matthew 15:24

Sikutumwa kwa mtu yeyote

Mungu hakunituma kwa yeyote

isipokuwa kwa kondoo waliopotea

Tazama 10:5

alaikuja

mwanamke Mkanaani alikuja

akainama

Hii inaonesha kuwa yule mwanake alikuwa akinyeynyekeza mbele za Yesu

Siyo vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa

Yesu anamjibu mwanamke kwa kutumia mithali. Maana yake ni kwamba siyo sawa kuchukua kitu cha Wayahudi n a kuwapa watu wasio kuwa Wayahudi.

mkate wa watoto

mkate unamaanisha chakula kwa ujumla

mbwa wadogo

Wayahudi waliona mbwa kuwa ni wanyama najisi. hapa wanamanisha kama sura ya watu wasio Wayahudi

Matthew 15:27

hata hivyo mbwa waadogo hula chkula ... mezani mwa bwana zao

Yule Mwanamke akamjibu Yesu kwa kutumia mazingira yale yale aliyetumia Yesu kwenye mithali. Alimaanisha kuwa wasiokuwa Wayahudi waliweza kupata kiasi kidogo cha kile walichopata Wayahudi amabcho walikuwa wanatupa.

mbwa wadogo

tazama 15"24

na ifanyike kwako kama ulivyotaka

Nitafanya

binti yake alikuwa ameponywa

Yesu alimponya yule binti

wakati huo

ghafla

Matthew 15:29

Maelezo kwa ujumla

Mstari huu unatoa histora ya muujiza amba Yesu anataka kuufanya wakulisha watu elfu nne

viwete, vipofu, bubu vilema na wengine wengi

wale wasioweza kutembea, wale wasioona, wasiongea, na wale ambao miguu yao na mkono haifanyi kazi

waliwaweka katika miguu ya Yesu

waliwaweka katika mbele ya ya Yesu

vilema wakifanywa wazima

vilema wakaw salama

vilema... viwete ... vipofu

watu viwete ... watu vilema ... watu vipofu.

Matthew 15:32

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu akiwalisha watu elfu nne

wasije wakazimia njiani

"kwa sababu wanaweza kuzimia njiani

ni wapi tunaweza kupata mikate ya kutosha hapa nyikani kushibisha umati huu mkubwa?

hakuna mahali pa karibu tunapoweza kupata mikate ya kutosha huu umati mkubwa

saba na samaki wadogo

mikate saba na samaki wachache wadogo

uketi chini

kaeni mkao wa kula

Matthew 15:36

alitwaa

Yesu alibeba mkononi mwake

akaimega i

akaigawa mikate

na kuwapa

akawapa mikate na samaki

wakakusanya

wanafunzi walikusanya au watu walikusanya

wotewaliokula

watu waliokula

wanaume elfu nne

wanaume 4,000

kwenda sehemu

lile eneo

Magadani

Hili eneo wakati mwingine huitwa Magdala

Matthew 16

Mathayo16 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Mkate

Mkate ni picha maalum katika 16:5-12. Yesu alitumia mjadala wa wanafunzi wake kuhusu mkate ili kuwaonya dhidi ya mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo. Aliyazungumzia mafundisho haya kana kwamba yalikuwa chachu, kiungo ambacho husababisha mkate kuinuka kabla ya kuokwa.

Wakati huo huo, kutajwa kwa mkate katika sura hii ni maana ya kuwakumbusha wasomaji kwamba Yesu alilisha watu elfu tano na mkate (tazama: Mathayo 14:13-21) na pia watu elfu nne (tazama: Mathayo 15:29-39 ). Maana ni kwamba Yesu hutoa mkate mzuri (mafundishoa), lakini Mafarisayo na Masadukayo hawafanyi hivyo.

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

Mathayo 16:21 huunda mkatizo katika maelezo haya. Katika hatua hii, Mathayo anatoa maoni kuhusu matendo ya Yesu ambayo yataendelea katika siku zijazo. Ni muhimu kwa mtafsiri kuashiria wazi wazi kwamba maoni haya ni kuhusu siku zijazo, yaliyoingizwa katika maelezo.

Paradox

Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini kwa hakika sio ya ajabu. Kitendawili kiko katika sura hii: "Yeyote anayetaka kuokoa maisha yake ataipoteza, na yeyote anayepoteza maisha yake kwa ajili yangu ataipata." (Mathayo 16: 24-28).

<< | >>

Matthew 16:1

Maelezo ya jumla

Hii inaanzisha mapambano kati y a Mafarisayo na Masadukayo

kumjaribu

walimkosoa au walitaka kukamata

ilipokuwa jioni

ni wakati wa siku ambapo juu huzama

hali nzuri ya hewa

hali nzuri, shwali na ya kuvutia

anga jekundu

Wayahudi walijua kuwa, kama anaga litabarika na kuwa jekundu ilikuwa dalili ya kuwa siku inayofuat itakuwa nzuri

Matthew 16:3

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo na Masadukayo

asubuhi

jua linapochomoza

hali ya hewa mbaya

hali ya mawingu na ya kimbunga

jekundu na mawingu

jekundu na zito

Mnajua kutambua mwonekano wa anaga

mwajua namna ya kutazama na kutambua aina ya hali ya hewa mtakayokuwa nanyo

lakini hamuwezi kutambua ishara za nyakati

lakini hamwezi kutambua kile kinachotokea sasa na kujua maana yake

kizazi kiovu na cha uzinzi

watu amabao si waaminifu kwa Mungu

kinatafuta ishara

tazama 12:38

lakini hakuna ishara yeyote

Mungu hatawapeni ishara

isipokuwa ishara ya Yona

tazama 12:38

Matthew 16:5

Sentensi unganishi

Mandhari yanabadilika nakuto eleka wakati wa mbale. Yesu anatumia nafasi ya kuwaonya wanafunzi juu ya Mafarisayo na Masadukayo

upande wa pili

upande wa pili wa ziwa au upande wa pili wa bahari ya Galilaya

chachu ya Mafarisayo na Masadukayo

Hapa chachu inamaanisha mawazo macahfu na mafundisho yasiyo sahihi ya Mafarisayo Tazama 16:12.

Wakahojiana miongoni mwao

wakajadiliana

eneyi wenye imani ndogo

Ninyi mlio na imani ndogo Tazama 6:30

kwa nini mnawaza... hamkuchukua mikate

Ninasikitika kuwa mnadhani kuwa mlisahau kuchukua mikate kwa sabasbu nimeongea juu ya chahu ya Mafarisayo na Masadukayo.

Matthew 16:9

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaonya wanafunzi juu ya Mafarisayo na Masadukayo

Je, bado hamtambui na kukumbuka au ... mlivyokusanya

Kwa hakika mnakumbuka ... mlivyokusanya

elfu tano ... elfunne

"5,000 ... 4,000"

au mikate saba ... mlichukua?

kwa hakika mnakumbuka ... mlivyokusanya!

Matthew 16:11

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaonya wanafunzi wake juu ya Mafarisayo na Masadukayo

Imekuwaje hata hamuelewii kuwa sizungumzi nanyi kuhusu mikate?

"Inatakiwa muelewe kwamba siongei kumaanisha mikate kweli."

chachu ya Mafarisayo n a Masadukayo

tazama 16:12

wao...wao

"wanafunzi"

Matthew 16:13

Sentensi unganishi

Yesu anawauliza wanafunzi kama wanaelewa kuwa yeye ni nani

Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?

"Lakini ni ninyi ninaowauliza:mnasema kuwa mimi ni nani?"

wakati

Neno hili limetumika kuonesha mwanzo wa habari kuu au kumtambulisha mtu mwingine, Mathayo anaanza kueleza habari mpya.

Mwana wa Adamu

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe

Mungu aliye hai

Hapa neno "hai" linalinganisha Mungu wa Israeli na Miungu wengine wa uongo na masananu ambayo watu waliabudu. Mungu aliye ndiye Mungu pekee mwenye nguvu za kutenda.

Matthew 16:17

Simoni Bar Yona

"Simoni, mwana wa Yona"

damu na nyama havikukufunulia hilo

damu na nyama inamaanisha binadamu

hili kwako

neno "hili" inamaanisha jibu la Petro kwamba Yesu ni Kristo mwana wa Mungu aliye juu

Baba yangu aliye mbinguni

Hicho ni cheo cha muhimu kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu

Nami pia ninakwambia

hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

wewe ni Petro

jina Petro linamaanisha "mwamba"

juu y a mwamba huu nitalijenga kanisa

hii inamaanisha kuwa Petro atakuwa kiongozi wa jamii ya watu wanomwamini Yesu

Milango ya kuzimu haitalishinda

Maana zinazowezekana:1)"nguvu za kifo hazitaliweza kanaisa au 2) Kanaisa langu zitaivunja nguvu ya kifo kama jeshi liingiavyo katika mji

Matthew 16:19

nitkupa wewe

neno wewe linamaanisha Petro

Funguo za ufalme wa mbinguni

Hapa "funguo" zinamaanisha Yesu akimpatia Petro mamlaka. Hii haimaanishi kuwa Petroni mmliki wa ufalme, lakini ana mamlaka ya kuamu nani ataiingia katika ufalme wa Mungu

ufalme wa mbinguni

Ufalme wa mbinguni limetumika katika Mathayo tu. tumia "mbingu"

fungwa duniani...funguliwa mbinguni

kuwatangazia watu kusamehewa au kuhukumiwa kama ilivyofanyika mbinguni

funguo

kitu kinachotumika kufungua na kufunga milango

chochote utakachokifunga mbinguni ...kifungua duniani kimefungiliwa duniani

Mungu wa mbinguni ataruhusu maombi ya Petro kuruhusu au kufunga duniani

itafunga ... itafunguliwa

Mungu atafunga .. Mungu atafungua

Matthew 16:21

Sentensi unganishi

Yesu antabiri kifochake na anaanza kuwambia wanafunzi wake gharama za kumfuata.

kuanzia muda huo

Baada ya Yesu kuwaamuru wanafunzi wake kutokumwambia yeyote kuwa yeye ni Kristo, alianza kushirikisha kile kitakachotokea Yerusakamu

Kuteswa kwa mambo mengi katika mikono ya wazee na wakuu wa makuhani na waandishi

Hapa "mikono " inamaanisha mamlaka. Ambapo wazee, makuhani na waandishi watamsababishia maumivu

kuuawa

watamuua

jambo hilina liwe mbali n a wewe

"hapana" au "halitatokea" au "Mungu alizuie"

kufufuka siku ya tatu

"siku ya tatu, Mungu atamfanya aishi tena"

rudi nyuma yangu shetani wewe ni kizuizi

Yesu anamaanisha kuwa Petro anafanya kazi kama shatani kwa sababu Petro anajaribu kumzuia Yesu kukamilisha kile ambacho Mungu amemtuma Yesu. "Rudi nyuma yangu kwa sababu unafanya kama shetani! wewe ni kikwazo kwangu.

Matthew 16:24

nifuate

"uwe mwanafunzi wangu" au "uwe mmoja wa wanafunzi wangu"

auchukue msalaba wake na anifuate

msalaba unawakilisha mateso na kifo. lazima anitii hata kiasi cha kufa"

, na kunifuata

"na kunitii"

Kwa yeyote atakaye

"Kwa yeyote anayetaka"

atayapoteza

Hii haimanishi kuwa yule mtu lazima afe. inamaanisha kumwamini Yesu kuwa jambo la muhimu kuliko maisha yake.

kwa ajili yangu

"kwa sababu ananiamini mimi" au " kwa sababu yangu"

atayaokoa

atapata maisha ya kweli

Ni faida gani atakayopata mtu ... akapoteza maisha yake

Haimpi mtu faida ...maisha yake

akaipata dunia yote

hakuna kitu cha thamani duniani kuliko kuishi na Mungu. " kama akipata kila kitu ulimwenguni"

lakini akapoteza maisha yake

"lakini akapoteza maisha yake"

ni kitu gani atakachotoa mtu katika kubadilishana na maisha yake

"Hakuna kitu ambacho mtu atatoa ili kurudisha uhai wake"

Matthew 16:27

Mwana wa Adamu...baba yake

Yesu alikuwa anajirejelea yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu kama "Mwana wa mtu"

katika utukufu wa baba yake

"kupata utukufu sawa na Baba yake"

na malaika wake

"na malaika watakuwa pamoja naye" au "na malaika wa Baba watakuwa pamoja na mimi"

baba yake

Hicho ni cheo kikubwa kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano wa Mungu na Mwana wa mtu, Yesu

kweli nawambia

"Nawaambieni ukweli"

wewe

kiwakilishi cha wingi kinachomaanisha wanafunzi wa Yesu.

hawataonja kifo

"kuonja" inamaanisha kupitia kifo" au "hawatapitia kifo" aua "hawatakufa"

Mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake

"Ufalme" inamaanisha Mwana Adamu akitawala kama mfalme" aua "mpaka watakapomwona wa Adamu akija kutawala kama mfalme"

mpaka watakapomwaona

Yesu bado anaongelea wanafunzi. "mpaka mtakapomwona"

Matthew 17

Mathayo17 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Eliya

Nabii Malaki alitabiri kwamba siku moja Eliya atarudi kabla Masihi hajaja. Yesu anaelezea kwamba Yohana Mbatizaji alitimiza unabii huu kwa kumtumikia Mungu kwa namna ile ile kama Eliya. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#prophet na https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#christ)

"Yeye (Yesu) alibadilishwa"

Utukufu wa Mungu unaonekana kama mwanga mkubwa, katika maandiko. Utukufu wa Mungu daima humhofisha mtu anayeuona. Tukio hilo, lililoko katika sura hii, linaitwa "kubadilika," ambako Yesu anabadilika ili aonyeshe utukufu wake wa uungu. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#glory na https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#fear)

<< | >>

Matthew 17:1

Maelezo kwa ujumla

Hii inazisha habariya Yesu kubadilika sura

Petro, na Yakobo, na Yohana kaka yake

"Petro, Yakobo, na kaka yake Yakobo Yohana"

Alibadilishwa

"Mungu amembadilisha kabisa Yesu

mavazi

"nguo"

Uso wake ukang'aa kama jua ...kung'aa kama nuru

Hii ni milinganyo inayosisitiza jinsi Yesu alivyong'aa.

Matthew 17:3

Tazama

Neno hili linatutayarisha kuwa tayari kwa taarifa za kushangaza zinazofuata.

kwao

kwa wanafunzi waliokuwa na Yesu amabao ni Petro, Yakobo na Yohana

akajibu na kusema

"sema." Petro hajibu swali.

pamoja naye

"pamoja na Yesu"

ni vizuri kwetu kuwa hapa

Maana zinazowezekana: 1)"ni vizuri kwamba sisi wanafunzi tuko hapa pamoja nawe, Musa, na Eliya au 2)"ni vizuri kuwa wewe, Musa, Eliya, na sisi wanafunzi wote tuko hapa pamoja"

mahala pa kujihifadhi

Maana zinazowezekana: 1)mahali pa watu kuja kuabudia au 2)mahali pa muda pa watu kulala.

Matthew 17:5

Tazama

Hii hutahadharisha msomaji kuwa makini na maelezo ya kushangaza yanayofuata

likawatia kivuli

"lilikuaj juu yao"

ikatokea sauti toka kwenye wingu

"Sauti inamaanisha Mungu aliogea" aua "Mungu aliongea noa kutoka kwenye wingu"

waanafunzi waliposikia

"wanafunzi walimsikia Mungu akiongea"

Walianguka kifulifuli

Wanafunzi waliinama kwa nyuso zao kugusa chini ardhini.

Matthew 17:9

Sentensi unganishi

Tukio lifuatalo lilitokea mara tu baada ya wale wanafunzi watatu kushuhudia Yesu akibadilishwa

Na walipokuwa

Na Yesu na wanafunzi wake

mwana wa Adamu

yeye anajinenea mwenyewe

kwa nini wandishai husema kuwa Eliya atakuja kwanza?

Wanafunzi wanazingatia mafundisho ya kwamba Eliya atarudi kwanza kwa wana wa Israel kabla ya Masihi kurudi

Matthew 17:11

Kurudisha vitu vyote

"kuweka vitu katika mpangilio au utaratibu" au " waandae watu tayari kwa ajili kumpokea Masihi"

Lakini nawaambieni

huu ni msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

hawa .... yake

Maana zinazowezekana: 1) viongozi wa wayahudi au 2) wayahudi wote

Mwan wa Adamu atakavyoteswa

Hapa "mikono" inamaanisha nguvu. "watamfanya mwana wa Adamu kuteseka"

Mwana wa Adamu

Yesu anajineneea mwenyewe.

Matthew 17:14

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya kijana aliyekuwa na roho mchafu.Tukio hili limetokea baada ya Yesu na wanafunzi wake kushuka kutoka mlimani.

umhrumie mwanangu

inamanisha kuwa yule mtu alimtaka Yesu amponye mwanae. "umhurumie mwangu na umponye"

amaekuwa na kifafa

Hii inamaanisha kuwa wakati mwingine hupoteza fahamu

Matthew 17:17

kisichoamini na kilichoharibika

"Kizazi hiki hakimwani Mungu na hakijiui kitu kibaya na kizuri.

nitakaa pamoja nanyi mpaka lini, nitavumiliana nanyi mpaka lini?

nimechoka kukaa pamojana nyi, nichoshwa na kutokuamni kwenu

kijana aliponywa

kijana akawa mzima

tangu saa ile

mara moja

Matthew 17:19

Sisi

waongeaji na si wasikilizaji

Kwa nini tusingeweza kuifukuza?

"Kwa nini tusimfanye pepo amtoke kijana?"

Hakuna kitakachowezekana kwenu kukifanya

"Mtaweza kufanya kitu chochote

kweli nawaambieni

"nawambia ukweli"

kama mtakuwa na imani hata ndogo kama punje ya mbegu haradali

Yesu analinganisha ukubwa wa mbegu ya haradari na kiasi cha imani kinachotakiwa ili kufanya miujiza. inahitajika imani ndogo tu ili kufanya miujiza.

hakutakuwa na kitu chochotte cha kushindikan kwenu

mtaweza kufanya kila kitu

Matthew 17:22

Sentensi unganishi

Yesu anatabiri kifo chake na ufufuo

wamekaa

"wanafunzi na Yesu wamekaa"

Mwan wa Adamu Watamuua

"mmoja atamuua Mwana wa Adamu"

Mwana wa Adamu ...mwa ...watu

inamaanisha yeye yenyewe

Atafufuka

"Mungu atamfufua" au" ataishi tena"

atatiwa

atatolewa

mikononi mwa watu

mikononi inamaanisha mamlaka ya kutwala. "katika utawala wa watu

siku ya tatu

siku ya tau

atafufuka

Mungu atamfufua

Matthew 17:24

Sentensi unganishi

Yesu anamfundisha Petro juu ya kulipa ada ya hekalu

wakati wao

wakati yesu na wanafunzi wake

kodi ya nusu shekeli

kodi juu ya wanaume wote wa kiyahudi ambayo ilitolewa ili kuwezesha kazi za hekaluni

nyumba

mahali Yesu alipokaa

Unafifkiri nini Simoni? wafalme wa dunia ...kutoka kwa wageni?

Yesu anauliza swali hili kumfundisha Simoni asitafute taarifa kutoka kwake. "Sikiliza Simoni, tunafahamu kuwawafalme wa dunia hukusanya kodi kutoka kwa wageni na wala si kwa raia wake.

wafalme wa dunia

viongozi kwa ujumla

Raia

watu chini ya kiongozi au mfalme

wanaotawaliwa

watu walio chini ya mfalme

Matthew 17:26

Sentensi unganishi

Yesu anaendela kumfundisha Petro juu ya kulipa kodi

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwisho wa habariinayoanzi 13:54 amabpo mwandishi amaeelza juu ya upinzani wa wa huduma ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni

Petro aliposema kutoka kwa wageni

wakati Petro aliposema "ndiyo. hiyo ni sawa ,wafalme hukusanya kodi kutoka kwa wageni"

kutoka kwa wageni

Nyakati hizi za leo. wafalme wanatoza kodi toka kwa raia wake, lakini katika nyakati za zamani wafalme walitoza kodi toka kwa watu waliokuwa wamewashinda na si raia wao.

watawaliwa

Watu chini ya kiongozi au mfalme.

lakini tusije tukawafanya watoza ushuru kutenda dhambi

lakini tusiwafanye watoza ushuru kutenda kuwa na hasira

tupa ndoano

wavuvi hufunga ndoano mwisho wa uzi, na kisha huitupa majini ili kukamata samaki

mdomo wake

"mdomo wa samaki"

shsekeli

sarafu iliyotosha malipo ya kibarau kwa siku moja

chukua

chukua shekeli

kwangu na wewe

wewe inamaanisha Petro. Kila mwanamume alipaswa kulipa shekeli moja. kwa hiyo Shekel moja iliweza kutosha kwa kodi ya Peteo na Yesu

Matthew 18

Mathayo18 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Je, unapaswa kufanya nini "ndugu yako akikukosea"?

Katika sura hii, Yesu anafundisha kwamba ni muhimu kwa wafuasi wake kuacha ugomvi kati yao wenyewe. Anafundisha kwamba kikundi cha waumini lazima kiwe tayari kuwezesha hii kufanyika kwa njia "inayomheshimu Mungu.

Kanisa lina jukuma pia wa kuwahimiza waumini kutubu ikiwa wanafanya dhambi. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#repent na https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#sin)

<< | >>

Matthew 18:1

Maelezo kwa ujumla

Hii ni mwanzo wa habari mpya inayoanzia 18:34, mahali Yesu anapofundisha juu ya maisha katika uflme wa mbinguni. Hapa Yesu anatumia mtoto mdogo kufundisha wanafunzi wake.

nanai mkuu

Nani ambaye ni wa muhimu zaidi"au "nani kati yetu atakuwa wa muhimu zaid

katika ufalme wa mbinguni

wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapoanzisha utawala wake duniani

Kweli nawaambia

"nawambia ukweli" au hii inaongeza msisitizo kwa kile Yesu alichosema baadaye

msipotubu na kuwa ... hamtaweza kuingia

lazima mbadilike .. ili kuingia"

kuwa kama watoto

lazima wawe wanyeyenyekevu kama watoto.

kuingia katika ufalme wa mbinguni

Mungu kutawala kama mfalme

Matthew 18:4

Sentensi unganishi

Yesu anawafundisha wanafunzi wake kwamba wanahitaji kuwa wanyeyekevu kama watoto ili kuwa watu wa muhimu kwenye ufakme wa mbingini

ni mkuu

ni wa muhimu zaidi aua atakuwa ni wa muhimu

katika ufame wa mbinguni

katika ufalme wa mbinguni

kwa jina langu

kwa sababu yangu

anipokea mimi

ni kama ananipokea mimi

Jiwe kuu la kusagia likafungwa shingoni mwake,na kuzamishwa kilindini mwa bahari.

"kama wangemwekea jiwe la kusagia shingoni mwake na kumtupa kilindini mwa bahari"

Jiwe la kusagia

Jiwe kubwa, zito iliyotengenezwa kama duara inayotumika kusagia nafaka kuwa unga .

Matthew 18:7

Sentensi unganishi

Yesu anaendela kutumia watoto wadogo kuwafundisha wanafunzi wake na kuwaonya dhidi ya madhara makubwa ya kuwaangusha watoto

kwa dunia

dunia inamaanisha watu

kwa sababu ya wakati wa kukwazwa

kwa sababu ya mambo yanyowafanya watu kukwazwa

Mkono wako

Yesu anaongea na wanafunzi wake kama ni mtu mmoja.

kwa nyakati hizo huja

kwamba mambo hayo huja yanayowafanya watu kufanya dhambi

kwake kwa mtu yule nyakati hizo

mtu yeyote anayewafnya wengine kufanya dhambi

kama mkon wako ... utupe mbali

Yesu anamaanisha kuwa mtu lazima afanye kila linalolazimika ili kukitoa katika maisha kile kinachomfanya mtu kufanya dhambi

wako ... uki

Yesu anaongea kwa watu wote kwa ujumla

kwenye uzima

uzima wa milele

kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote aua miguu yote

kuliko kuwa na mikono miwil na miguu miwili wakati Mungu anakutupa kwenye moto wa milele.

Matthew 18:9

Ng'oa na tupa

Fungu hili linaonesha ukweli wa kutokuamini na ulazima wa kuizuia kwa gharama yoyote

Ingia uzimani

"Ingia katika uzima wa milele"

Matthew 18:10

Tazameni

Muwe waangalifu

musiwadharau hawa wadogo

"Msidhani kuwa hawa wadogo hawana umuhimu". onyesheni heshima kwa hawa wadogo

kwa maana nawaambia

hii inatia msisitizo kwa kile Yesu alichosema baadaye

mbinguni kuna malaika wao siku zote wakiutazama uso wa baba yangu aliye mbinguni

Yesu anammanisha kuwa malaika wa mbinguni humwambia Mungu juu ya wadogo hawa

Muda wote tazama uso wa

"wapo karibu muda wote"

siku zote wakiutazama uso wa baba yangu

kila mara wako karibu na baba yangu"

baba yangu

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu kinachonesha uhsiano kati ya Yesu na Mungu

Matthew 18:12

Sentensi unganishi

Yesu anaendele kuwatumia watoto wadogo kuwafundisha wanafunzi kueleza ulinzi wa Mungu kwa watu

Unawaza nini?

"Fikiri watu wanavyofanya,"

wewe ... yako

viwakilishi vya wingi

ikiwa mtu ...wasiopotea

Yesu anatumia mfano kuwafundisha wanafunzi

kondoo mia moja ...tisini n a tisa

100 ...99

hatawaacha ...aliyepotea

Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi

kweli nawaambia

nawaambia ukweli

Siyo matakwa ya baba yenu wa mbinguni kuwa moja wa wadogo hao apotee

"Baba yenu mbinguni anataka wadogo wote hao waishi"

Matthew 18:15

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwafundisha wanafunzi wake juuy msamaha

ndugu yao

waumini wenzake

utampata ndugu yako

"mtafanya mahusiano yenu mazuri tena na ndugu yako"

kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili ...kila neno linaweza kuthibitishwa

"mdomo" na "maneno" inamaanisha kile amabcho mtu anasema " ili kwamba wawili au watatu wanaweza kuthibitisha kile unachosema juu ya mwamini mwenzako"

Kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno linaweza kuthibitika

Yesu anatumia moja katai ya sheria ambazo Musa alaiwapati watu

Matthew 18:17

akipuuza kuwasikiliza

kama huyo nndugu akipuuza kuwasiliza mashahidiuliokuja nao

kanisani

kwa waumini wote

Mwacheni awe kwenu kama mtu wa mataifa na mkusanya ushuru

"Mchukulie kama utakavyomchukulia mtu wa mataifa au "mtoza ushuru. Maana yake ni kwamba wamwondoe kati ya jamii ya waumini.

Matthew 18:18

mta

viwakilishi vyote hivi viko katka wingi

Funga...fungwa...fungua...funguliwa

tazama 16:19

Itafungwa...itafunguliwa

"Mungu atafunga...Mungu atafungua."

nawaambieni

Msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

Baba yangu

Hicho ni cheo cha muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano wa Mungu na Yesu.

kama wawili wenu

anagalau wawili

wawili au watatu

"wawili au zaidi" au "angalau wawili"

Wamekusanyika

"kutana"

waki ... wao

inamaanisha "wawili wenu"

Baba yangu

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu

Matthew 18:21

Mara saba

"mara 7"

Sabini mara saba

Maana zenye kufaa: 1) "70 mara 7". au 2) "mara 77." kama kutumia namba kutachanganya,unaweza kusema, "mara nyingi kuliko utakavyohesabu"

Matthew 18:23

Sentensi unganishi

Yesu anatumia mfano kufundisha juuya msamaha na mapatano

Ufalme wa mbinguni unafanana

Hii inatoa utangulizi wa mfano. Tazama 13:24

Kusahihisha hesabu na mtumwa wake

"ili awalipe watumwa wake kile walichostahili"

Mtumishi mmoja akaletwa

"mtu fulani akamleta mmoja wa watumishi wa wafalme"

Talanta elfu kumi

"Talanta 10,000" au " fedha nyingi zaidi kuliko mtumishi alizoweza kulipa

Mkuu wake aliamuru auzwe,...na malipo kufanyika

"mfalme aliwaamuru watumishi wake kumuuza huyo mtu...na kulipa deni kwa fedha ya mauzo"

Matthew 18:26

alianguka, akapiga magoti chini

Hii inammanisha kuwa yule mtumwa aliongea na yule mfalme katika hali ua unnyenyekevu mkubwa.

mbele yake

"mbele ya mfalme"

alaisukumwa sana na huruma

"alimhurumia yulemtumwa"

alimwachilia

alimwacha aende"

Matthew 18:28

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaambia mfano wanafunzi wake

Dinari mia moja

"dinari 100" au "malipo ya kibarua ya siku miamoja"

alimvuta, akamkaba kooni

"yulemtumwa wa kwanza alimkaba mtumwa mwenzake

alimkaba

kumung'ang'nia " au "kamata kwa nguvu"

alianguka

Tazama 18:26

Matthew 18:30

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaambia mfano wanafunzi wake

alienda na kumtupa gerezani

"yule mtumwa wa kwanza alienda na kumtupa gerezani mtumwa mwenzake"

"watumwa menzake"

"watumwa wengine"

walimwambia bwana wao

"walimwambia mfalme"

Matthew 18:32

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwambia mfano wanafunzi wake

Kisha bwana wa mtumishi yule akamwita

"Kisha mfalme akamwita mtumwa wa kwanza"

ulinisihi

"uliniomba

Je, haukutakiwa kuwa na huruma kwa mtumwa mwenzio?

Mfalme anatuma swalikumkalipia mtumwa wa kwanza. "ulitakiwa ... wewe"

Matthew 18:34

Sentensi unganishi

Yesu anamalizia mfano wake juu ya msamaha na upatanishi

Maelezo kwa ujumla

Huuni mwaisho wa shsemu y a simulizi iliyoanzia 18:1 mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya maisha katika ufalme wa mbinguni.

Bwana wake

"Mfalme"

kumkabidhi kwa

"alimtoa kwa" inawezekena kuwa mfalme mwenyewe hakumkabidhi yule mtumwa wa kwanza kwa watesaji," "Aliwaagiza watumwa wake wamkabidhi"

kwa watesaji

"kwa wale ambao wangemtesa"

alichokuwa anadaiwa

Hii inaweza kutafasiriwa kwa mafumo tendaji. Kile ambacho mfalme alimdai yule mtumwa wa kwanza"

baba yangu wa mbinguni

Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu ya Yesu.

mmoja wenu ... kwenu

Viwakilishi vyote hivi viko katika wingi. Yesu anaongea na wanafunzi wake, lakini mfanohuu unafundisha ukweli ambao unaweza kutumiwa na waamini wote

ndugu yake

"ndugu yake"

moyoni mwenu

Hii ni nahau. "kwa ukweli" au "kwa ukamilifu"

Matthew 19

Mathayo19 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Mafundisho ya Yesu kuhusu talaka

Katika sura hii, Yesu anafundisha kuhusu talaka. Ilikuwa jibu la changamoto lililotolewa na Mafarisayo. Mafundisho yake Yesu yanategemea nia ya awali ya Mungu katika kuunda ndoa. Yesu anaonyesha makosa ambayo viongozi wa dini walifanya katika desturi zao kuhusu ndoa.

<< | >>

Matthew 19:1

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwanzo wa simulizi jipyaamabalo linanaishia 22:45, ambayo inaonesha Yesu akihudumia huko Yudea

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inatoa historia ya jinsi Yesu alivyokuja Yudea

Ilitokea wakati

Habari inaeleza jinsi Yesu alivyositisha mafundisho yake kwenda tukio lililofuata

Alipomaliza maneno hayo

kile Yesu alichofundisha kuanzi 18:1

akaondoka

"alitembea kutoka" au "akatoka"

Matthew 19:3

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kufundisha juu ya ndoa na talaka

wakamjia

"walikuja kwa Yesu

wakaimjaribi wakisema

kujaribu limetumika kwa maana hasi. "wakamkosoa kwa kumuuliza" au "walitaka kumkamata kwa kumuuliza"

Hamkusoma kwamba yeye aliyewaumba mwanzo aliwauumba mume na mke?

Yesu anatumia swali kuwajibu Mafarisayo. "Kwa hakika mmesoma kwamba mwanzo Mungu aliwaumba watu,aliwaumba"mume na mke

Matthew 19:5

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 5, Yesu ananukuu kutoka Mwanzo kuonesha kuwa Mume na mke hawatakiwi kuachana

Na yeyealiyewaumba pia alisema, 'kwa sababu hii ...mwili mmoja?

Huu ni mwandelezo wa swali ambal oYesu alilitumia kuwaliza Mafarisayo katika 19:3. Hii nukuu ya moja kwa moja inaweza kuelezwa kama nukuu isyo ya moja kwa moja. Kwa hakika mnajua kuwa Mungu alisema kuwa kwa sababu hii...mwili mmoja.

kwa sababu hii

sababu ya mwanamume kumwacha baba na mama ni kwamba Mungu alimuumba mwanamke kuwa msaidizi wa mwanamume

Ungana na mke wake

"Kaa na mke wake"

Na wale wawili watakuwa mwili mmoja

"watakuwa kama mwili mmoja"

Hivyo si wawili tena, bali mwili mmoja

Kwahiyo mwanamume na mwanake siwawil tena bali mwili mmoja"

Matthew 19:7

Wakamwambia

"Mafarisayo walimwambia Yesu"

Tuamuru

"Amuru sisi Wayahudi"

Hati ya talaka

Waraka unaohalalisha kisheria mwisho wa ndoa

kwa sabau ya ugumu wa mioyo yenu

kwa sababu ninyi ni wasumbufu

kwa ugumu ... aliwaruhusu ....wake zenu

wewe na yenu ziko katika wingi. Yesu anaongea na Mafarisayo, lakini Musa aliwapa shaeria hii miaka mingi iliyopita kwa mababu zao. amri ya Musa ilitumika kwa Wayahudi wote.

tangu mwanzo

"Wakati Mungu alipomuumba mume mke hakupanga waachane"

nawaambieni

anaongeza msisitizo

na kumwoa mwingine

na kumwoa mwanamke mwingine

Na mwanaume anayemwoa mwanamke ambaye ameachwa amefanya uzinzi

Maandishi mengi ya mwanzo hayajumuishi maneno haya.

Matthew 19:10

walioruhusiwa

wale ambao Mungu amewaruhusu au ambao Mungu huwaruhusu

kwa kuwa wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama

kwa kuwa kuna wanaume waliozaliwa kuwa matowashi

Matowashi waliojifanya matowashi

kuna matowashi waliofanywa kuwa matowashi

kuna matowashi waliojifanya kuwa matowashi

inawweza kumaanisha 1)wanaume waliojifanya wenyewe kwa kutoa sehehmu zao za siri 2) wanaume waliochagua kutokuoana ni wasafi katika swala la zinaa.

kwa ajili ya ufalme wa mbinguni

ualame wa mbinguni inamaanisha Mungu kutawala kama mfalme

Pokea mafundisho haya...pokea

Anayeweza kupokea mafundisho haya na ayapokee."

Matthew 19:13

Sentensi unganishi

Yesu anawapokea na kuwabariki wat.oto wadogo

Kisha akaletewa baadhi ya watoto wadogo

watu baadhi wakaleta watoto wadogo kwa Yesu

Kibali

"Ruhusu"

Msiwazuie kuja kwangu

Msiwazuie kwa kuja kwangu

Kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu kama hao

Mungu kuwa mfalme kwa watu anaowatawla

ni wa watu kama hao

ni wa watu kama watoto

Matthew 19:16

Sentensi unganishi

Yesu anaongelea habariya mtu tajiri na jinsi iwezavyo kumgharimuamafuatapo Yesu

Tazama

Mwandishi anamweka mtu mpya kwenye habari.Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kufanya hivyo.

Kitu kizuri

kitu kinachompendeza Mungu

kwa nini unaniuliza ni kitu gani kizuri

usiniulize juu ya kitu kilicho kizuri

kuna mmoja tu aliye mwema

"Mungu pekee ndiye mwema aliyekamilka"

kuingia uzimani

"ikupokea uzima wa milele"

Matthew 19:18

mpende jirani yako

Wayahudi waliamni kuwa majirani zao ni wayahudi tu. Yesu alipanua maana ya jirani il kujuisha watu wote.

Matthew 19:20

kama ukitaka

"kama unataka"

uwape masikini

kwa wale amabao ni masikini

utakuwa na hazina mbinguni

Mungu atakuzawadia mbinguni

Matthew 19:23

Sentensi unganishi

Yesuanawaeleza wanafunziwake zawadi ya kutokutafuta mali ya hapa duniani na uhusianao wa kumfuata yeye.

kweli nawaambia

nawaambia ukeli. huunimsisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

kuingia katika ufalme wa mbinguni

kumpokea Mungu wa mbinguni kama mfalme wetu.

ni rahisi ... ufalme wa mbinguni

Yesu anatumia mbalagha kusisitiza kuwa ni vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Tundu la sindano

Tobo katika mwisho wa sindano kwa kupitishia uzi

Matthew 19:25

Wakashangaa sana

"wanafunzi wameshtushwa au kushangazwa." walishangazwa kwa sababu waliamini kuwa na utajiri ilikuwa ishara ya kukubarika kwa Mungu

Ni nani basi atakayeokoka?

Kwa hiyo hakuna ambayae Mungu atamwokoa" au "hakuna ambaye atapokea uzima wa milele

Tumeacha kila kitu

"tumeacha utajiri wetu wote" au "tumeacha miliki yetu yote"

Hivyo tutapata nini?

"Kitu gani kizuri Mungu atakachotupa?"

Matthew 19:28

kweli nawaambia

msisistizo wa kile kinachofuatia

kaika uzao mpya

"wakatimpya" inamaanisha wakatiMungu akirudisha kila ktu" au "wakati ule ambao Mungu atafanya kila kitu kuwa kipya.

Mwana wa Adamu

Yesuanaonge juuyake mwenyewe

atakapoketikatika kiti cha enzi

Kukaa katika enzi kunamaanisha kutawala kama mfalme. enzi yake kuwa tukufu minawakilisha "utawala wake kuwa wa utukufu" au "kutawala kwa utukufu kama mfalme"

mtaketi juu ya viti kumi na viwili vya enzi

Hapa "enzi" inamaanisha kutawala kama mfalme. Wanafunzi hawatakuwa sawa na Yesu ambaye pia yuko kwenye enzi.. Watapokeamamlaka kutoka kwake."kukaa kama kwenye enzi 12"

makabila kumi na mawili ya Israel

Hapa "makabila" inamaanisha wtu kutoka kabila hizo

Matthew 19:29

kwa ajili ya jina langu

hapa "jina" linamaanisha nafasi nzima. "kwa sababu yangu" au " kwa sababu ananiamini mimi"

atapata mara mia

Kupokea kutoka kwa Mungu mara 100 na vitu vingine vizuri kama walivyoacha

kuurithi uzima wa milelel

Hii ni nahau inayomaanisha "Mungu atawabariki na uzima wa milele" au "Mungu atawafanya kuishi milele

Lakini wengi walio wa kwanza sasa, watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwawa kwanza.

Yesu analinganisha kizazi hiki na kile kijacho. Wale ambao ni wa muhimu sasa Mungu atawafanya kuwa si wa muhimu atakapoanzisha utawala wake hapa duniani. Wale wanaoonekana si wa muhimu leo Mungu atawafanya kuwa wa muhimu atakapoanzisha utawala wake.

Matthew 20

athayo 20 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Mfano wa mwenye shamba na shamba lake la mizabibu

Yesu anatumia mfano huu (Mathayo 20:1-16) ili kuwafundisha wanafunzi wake kwamba kanuni za Mungu kuhusu kile kilicho sawa ni tofauti na kanuni za binadamu.

<< | >>

Matthew 20:1

Sentensi unganishi

Yesu anaelzea mfano wa mtu mmoja aliyekuwa anamiliki shamba anayeajiri wafanya kazi, ili kufafanua jinsi atakavyowalipa watu wa ualme wake.

Kwa maana ufalme wa mbinguni unafanana

Tazama 13:24

Baada ya kukubaliana

"baada ya mmiliki wa shamba kukubaliana"

Dinari moja

"malipo ya kibarau ya siku moja"

aliwatuma kwenda katika shamba lake la mizabibu

aliwatuma kwenda kufanya kazi katika shamba lake

Matthew 20:3

Sentensi unganishi

Yesu anaendela kuelza mfano

Alienda tena

"Mmiliki wa shamba alienda tena"

baada ya masaa matatu

saa ya tatu ni sawa na saa tatu asubuhi

wamesimama bila kazi katika eneo la soko

"Wamesisma eneo la soko pasipo kufanya kazi yeyote"

eneo la soko

Hili ni eneokubwa la wazi ambapowatu huuza na kununua chakula na bidhaa zingine.

Matthew 20:5

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kusimulia mfano

akaenda tena

"Mmiliki wa shamba akaenda tena"

saa ya sita

saa ya sita ni sawa na sasa sita mchana. saa ya tisa ni sawa na saa tisa mchana

alifanya hivyo hivyo

Hii inamaanisha yule mmilikiwashamba alienda sokono kuaajiri atu wengine

saa ya kumi n a moja

Hii ni sawa na saa kumi na moja mchana

bila kazi

"bila kufanya chochote" au "bila kuwa na kazi yote"

Matthew 20:8

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kueleza mfano

kwa kuanza na wa mwisho hadi wa kwanza

Waweza kuzi kuyafanya maelezo h aya yaeleweke kwa uwazi. "Kwa kuanza na wafanyakazi niliowaajiri mwishoni, kisha lipa wafanyakazi niliowaajiri kwanza"

walioajiriwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "wale aliowaajiri mwenye shamba"

Dinari moja

"malipo kibarua ya siku moja"

Matthew 20:11

Sentensi ungsnishi

Yesu anaendelea kueleza mfano

Baada ya kupokea

"pindi wafanyakazi waliofanya kazi kwa muda mrefu walipopokea"

Mmiliki wa shamba

"mmiliki shamba" au "mwenye mizabibu"

umewalinganisha na sisi

"umewalipa kiasi kilekile cha fedha sawa na ulivyotulipa"

Sisi tumebeba mzigo kwa siku nzima na kuungua na joto

Kirai "tumebeba mzigo kwa siku nzima" ni nahau inayomaanisha kuwa "sisi ambao tumefanya kazi kwa siku nzima tukiungua na joto la jua"

Matthew 20:13

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kueleza mfano

Mmoja wao

"mmoja wa wafanyakazi waliofanyakazi kwa muda mrefu

Rafiki

Tumia neno ambalo mtu moja angelitumia kumtambulisha mtu mwingine ambaye anamkemea kwa upole

Je, hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja

Mmilki wa shamba anatumia swali kumkemea mfanykazi aliyekuwa akilalamika. "tumeshakubaliana kuwa nitakulipa dinari moja"

Dinari moja

"malipo ya kibarua ya siku moja"

Matthew 20:15

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha mfano wake juu ya mmiliki wa shamba aliyeajili wafanya kazi

Je! si haki kwangu kufanya kile ninachotaka juu ya mali zangu?

Yule mmiliki wa shamba anatumia swali kuwanyamazi wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Ninaweza kufanya chochote ninachotakajuuya mali yangu"

Au jicho lako ni ovu kwa sababu mimi ni mwema?

Yule mmiliki wa shanba anaatumia swali kuwanyamazisha wale wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Msiwe na wivu kwa sababu ya ukarimu wangu kwa watu wengine

Au mnaona wivu kwa sababu ya ukarimu wangu?

Yule mmiliki w a shamba anatumia swali kuwanyamazisha wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Msione wivu kwa sababu ya ukarimu kwa watu wengine"

wa mwisho atakuwa wa kwanza na kwanza atakuwa wa mwisho.

Tazama 19:29

Hivyo wa mwisho atakuwa wa kwanza

Yesu anasema kwa kuhitimisha kwa mfano huu. "Ndipo Yesu aliposema. 'wa mwisho atakuwa wa kwanza'"

Matthew 20:17

Sentensi unganishi

Yesu anatabiri juu ya kifo na ufufuo wake kwa mara ya tatu wakati akisafiri na wanafunzi wake

alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu

Yesu alikuwa juu ya mlima kwa hiyo watu walipanda kwenda pale.

Tazama tunaelekea

Yesu anatumia neno "tazama" ili kuwajengea usikivu wanafunzi wake juu kile anachotaka kuwaambia.

tunaelekea

Kiwakilishi "tu" kinamaanisha Yesu na wanafunzi wake.

Mwana wa Adamu atatiwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "mtu fulani atamtoa Mwana wa Adamu"

mwana wa Adamu ... watamhumkumu ... ata

Yesu anaongea juu yake akitumia nafsi ya tatu. Kama inawezekana unaweza kutafsiri hii kwa kutumia nafsi ya kwanza

Watamtoa.. ili kumdhihaki

Makuhani wakuu na waandishi watamhukumu na kumtoa kwa watu wa mataifa, na watu wa mataifa watamdhihaki.

kumchapa

"kumchapa" au "kumpiga kwa mijeredi"

siku ya tatu

siku ya 3

atafufuka

Hi inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu atamfufua"

Matthew 20:20

Sentensi ungsnishi

Akijibu swali ambalo Yesu aliulizwa na mama wa wale wanafunzi wawili, Yesu anafundisha wanafunzi wake juu ya mamlaka na kuwatumikia wengine katika ufalme wa mbinguni

Wana wa Zebedayo

Hii inamaanisha Yakobo na Yohana

mkono wako wa kulia ... mkono wako wa kushoto

Maana yake ni uwezo wa kuwa na nguvu, mamlaka, na heshima.

katika ufalme wako

Hapa "ufalme inamaanisha utawala wa Yesu kama mfalme. "utakapokuwa mfalme"

Matthew 20:22

Haujui

Hapa "ham" iko katika wingi na inamaanisha mama na watoto

Je! unaweza

Hapa "mna" ni wingi, lakini Yesu anasema na wale wana wawili.

kukinywea kikombe ambacho nitakinywea

Hii ni nahau inayomaanisha kupita katika mateso. "kupitia mateso ambayo punde nitayapitia"

wakamwambia

"wale wana wa Zebebdayo walimwambia" au "Yakobo na Yohana walisema"

kikombe changu hakika mtakinywea

Hii ni nahau kupitia dhiki. "kwa hakika mtateseka kama nitakavyoteseka

mkono wa kulia ... mkono wa kushoto

tazama 20:20

ni kwale ambao imekwisha kuandaliwa na baba yangu

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Baba yangu amekwisha kuyaandaa hayo maeneo, na atawapatia wale anaowachagua.

Baba yangu

Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu kinachoonesha mahusiano kati ya Yesu na Mungu.

waliposikia hivyo

"Waliposikia ambacho Yakobo na Yohana walimwuliza Yesu"

walihuzunishwa sana na wale ndugu wawili

Kama inawezekana unaweza kukiweka wazi kilichowahuzunisha wale wanafunzi kumi. "Walikasirishwa sana na wale ndugu wawili kwa sababu kilammoja wao alitaka kuketi kwenye upande wa heshima karibu na Yesu.

Matthew 20:25

Sentensi unganishi

Yesu anamalizia kufundisha juu ya mamlaka na kuwatumikia wengine

aliwaita

"aliwaita wale thenashara"

watawala wa wa mataifa huwatiisha,

watawala wa mataifa hulazimisha watu wa mataifa kufanya kile watawala wanataka.

watawala wa mataifa

"watawala wa watu wa mataifa"

huwatiisha

"huwatawalawatu"

yeyote atakayetaka

"yeyote atakaye" au "yeyote atamaniye"

kuwa wa kwanza

"kuwa wa muhimu"

Mwana wa Adamu ... maisha yake

Yesu anaonge juu yake mwenyewe kwa kutumia nafsi ya tatu. kama inawezekana unaweza kuitafsiri hii katika nafsi ya kwanza.

hakuja kutumikiwa

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Hakuja ili kwamba watu wengine wamtumikie" au "sikuja ili kwamba watu wengine wanitumikie"

bali kutumika

"bali kuwatumikia watu wengiine"

na kutoa uhai wake

Hii ni nahau. "kufa"

kuwa ukombozi kwa wengi

Neno "ukombozi" htumika kwa maana ya kuwafanya wengine kuwa huru kutoka gerezani au utumwani. Hii ni sitiari ya Yesu kuwaokoa watu kutoka kwenye hukumu ya adhbu ya Mungu kwa ajili y a dhanbi zao

kwa wengi

"kwa ajili ya watu wengi"

Matthew 20:29

Sentensi unganishi

Hii inaanza na habari ya Yesu akiwaponya vipofu wawili

Wakati wakitoka

Hii inaongelea wanafunzi na Yesu

ulimfuata

"ulimfuata Yesu"

vipofu wawili wameketi

Wakati mwingine jambo hili limetafsiriwa kama "Tazama kulikuwa na wanaume wawili weameketi." Mwandishi anatambulisha watu wawili kwenye hii habari. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulifanya jambo hili.

waliposikia

"wale vipofu wawili waliposikia"

na waliona

wakati mwingine hutafsiriwa , "Tazama" Mwandishi anamwambia msomaji kuwa makini kwa maelezo ya kushangaza yanayofuata. Lugha yako inaweza ikawa na njia fulani ya kufanya hivi.

Alikuwa akipita

Alikuwa akitembea kati yao

Mwana wa Daudi

Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, Kwa hiyoinaweza kutafsiriwa kama "kizazi cha mfalme wa Daudi." Hata hivyo "mwana wa Daudi " ni cheo cha Masihi, na huenda wale wanaume walikuwa wakimwita Yesu kwa cheo hiki.

Matthew 20:32

Aliwaita

Aliwaita vipofu

je! mnatamani?

"je! mnataka"

kwamba macho yetu yafumbuliwe

Kirai cha "macho yetu yafumbuliwe" ni nahau inayomaanisha kuweza kuona tena. "tunataka utufanye kuona" au "tunataka uwezo wa kuona"

akiwa amevutwa na huruma

"kuwa na hurma" au "kusukumwa na huruma kwa ajili yao"

Matthew 21

Mathayo 21 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya 21:5,16 na 42, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Dhana maalum katika sura hii

Hosana

Hili ndilo neno ambalo watu walisema wakipiga kelele walipomkaribisha Yesu huko Yerusalemu. Ilikuwa ni tamko la sifa, ingawa pia ilikuwa neno la Kiebrania linalomaanisha, "Tuokoe!"

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Ufalme wa Mungu utaondolewa kutoka kwenu"

Wasomi wametofautiana kuhusu maana ya maneno haya. Swali muhimu ni hili: Je, tukio hili itakuwa la kudumu au la muda? Ikiwezekana, uziache wezekano zote mbili kuwa wazi katika tafsiri yako.

<< | >>

Matthew 21:1

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu akiingia Yerusalemu. Yesu anawapa maalekezo ya kile wanachopaswa kufanya.

Bethfage

Hikini kijiji kilichoko karibu na Yerusalemu

mwanapunda amefungwa

"mwanapunda ambaye amefungwa na mtu"

amefungwa pale

"amefungwa kwenye nguzo" au "amefungwa kwenye mti.

Matthew 21:4

Taarifa kwa ujumla

Hapa mwandishi anamnukuu nabii Zecharia kuonesha kuwa Yesu anataimiza unabii kwa kumpanda mwanapunda kuelekea Yerusalemu.

Sasa

Hili neno limetumika hapa kuonesha mwanzo wa habari mpya. Hapa Mathayo anafafanua jinsi matendo ya Yesu yanatimiza maandiko

Jambo hili lilitokea lile lililonenwa ili kupitia kwa nabii litimizwe

Jambo hili linaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Hili lilitokea ili Yesu atimize kile alichosema Mungu kupitia manabii tangu zamani za kale"

kupitia kwa nabii

"kupitia kwa nabii Zekaria"

Binti wa sayuni

Binti wa mji inamaanisha watu wa ule mji. "watu wa mji ule" au"watu waishio Sayuni"

Sayuni

Hili ni jina jingiine la Yerusalemu

Mwanapunda mme, mwanapunda mchanga

Neno mwanapunda na mwanapunda mchanga inamaanisha mnyama yuleyule, haimaanishi wanyama wawili tofauti

mwanapunda

dume changa la punda

Matthew 21:6

Mavazi

Makutano wakatandaka mavazi yao chini, na wengine wakakata matawi ya miti wakayatandika barabarani

Matthew 21:9

Hosana

Neno la Kiebrania linalomaanisha "Tuokoe" lakini pia linaweza kumaanisha "Kumsifu Mungu!"

Mwana wa Daudi

Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, kwa hiyo hii inaweza kutafsiriwa kama "kizazi cha mfalme Daudi. Lakini pia, "Mwana wa Daudi" ni cheo cha Masihi, Huenda makutano walikuwa wakimwita Yesu kwa cheo hiki.

kwa jina la Bwana

Hapa "kwa jina la Bwana" inamaanisha "kwa nguvu ya Bwana" au "kama mwakilish wa Bwana"

Hosana juu zaidi

Neno "juu zaidi" linamaanisha Mungu atawalaye kutoka juu mbinguni. "Mungu asifiwe, ambaye yuko juu mbinguni" au "Sifa kwake Mungu"

Mji mzima ulitaharuki

Neno "mji" linamaanisha wakazi wa mji huo. "Watu wengi mjini kote walitaharuki"

Matthew 21:12

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu alipoingia Hekaluni

Maelezo kwa ujumla

Katika msari wa 13, Yesu anamnukuu nabii Isaya kuwakememea wachuuzina wabadilishaji wa fedha.

Yesu akaingia hekaluni

Yesu hakuliingia lile hekalu halisi. Aliingia kwenye lile korido la hekalu

waliokuwa wakinunua na kuuza

Wachhuzi waliokuwa wakiuza wanyama na bidhaa ziingine ambavyo wasafiri walinunua ili wapate sadaka halisi ya kutoa hekeluni.

Akawaambia

"Yesu aliwaambia wale waliokuwa wanabadilisha fedha na kununua na kuuza vitu"

Imeandkikwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Nabii aliandika zamani za kale" au "Mungu alishasema tangu zamani

Nyunba yangu itaitwa

"Nyumba yangu itaitwa"

Nyumba yangu

Kiwakilishi "yangu" kinamaanisha Mungu "Nyumba" inamaanisha hekalu

nyumba ya maombi

"mahali ambapo watu wataomba

Pango la wanyang'anyi

Yesu anatumia sitiari kuwakemea watu wanouza na kununua bidhaa hekaluni. "Kama mahali ambapo wanyang'nyi hujificha"

vipofu na vilema

wale waliokuwa vipofu na vilema"

mlemavu

kuwa na mguu ulioumia ambao unaosababisha kutembea kwa tabu"

Matthew 21:15

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 16,Yesu anatumia nukuu toka Zaburi kuthibitisha jinsi watu walivyokuwa wamemwitikia

maajabu aliyoyataenda

"vitu vya kushangaza" au "miujiza." Hii inamaanisha Yesu alivyowaponya vipofu na vilema kati ka 21:12

Hosana

Tazama 21:9

Mwana wa Daudi

Tazama 21:9

walishikwa na hasira

Inamaanisha kuwa walishikwa na hasira kwa sababu hawakuamini kuwa Yesu ndiyo Kristo na hawakutaka watu wamsifu. "Walikasirika sana kwa sababu watu walikuwa wanamsifu"

umesikia kile kinachosemwa na hawa watu?

Wakuu wa Makuhani na waandishi wanauliza swali hili kumkemea Yesu kwa sababu wanamchukia, "Usiwaruhusu watu kusema mambo haya juu yako"

Lakini hamjawahi kusoma ... sifakamili?

Yesu anauliza swali hili kuwakumbusha wakuu wa makuhani na waandishi kile walichosoma kwenye maandiko. "Naam, nawasikia, lakini inawapasa mkumbuke mlichokisoma katika maandiko ... sifa"

Lakini hamkusoma...sifu'?

"Ndiyo nimewasikia lakini mnatakiwa kukumbuka mlichokisoma katika maandiko matakatifu...sifu'."

kutoka kwa midomo ya watoto na watoto wachanga mnayo sifa kamili

Kirai hiki "kutoka kwenye midomo" kinamaanisha kuongea. "uliwafanya watoto na watoto wachanga kusema sifa kamili"

Yesu akawaacha

"Yesu aliwaacha makuhani wakuu na waandishi"

Matthew 21:18

Sentensi unganishi

Yesu anatumia mtini kuwafundisha wanafunzi juu ya imani na maombi

Sasa

Hili neno limetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaeleza kuwa Yesu alikuwa na njaa na ndiyo sababu anasimama kwenye ule mtini.

ukanyauka

"ukafa"

Matthew 21:20

Imekuwaje mtini umenyauka mara moja?

Wanafunzi wanatumia swali kuonesha mshangao wao. "Tumeduwaa kuona kuwa ule mtiini umenyauka haraka!"

kweli nawaambieni.

"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaonggeza msisitizo wa kile Yesu anachosema baadaye.

kama mkiwa na imani na bila wasiwasi

kama mtaamini kwa ukweli

kunyauka

"kukauka na kufa"

mtauambia hata huo mlima, 'uchukuliwe na kutupwa baharini;

mtaweza kuumbia mlima huu kuondoka na kutupwa baharini"

itafanyika

itatokea

Matthew 21:23

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya viongozi wa dini wakimhoji Yesu

alipofika hekaluni

Inamaanisha kuwa Yesu hakuingia hekaluni ndani. Aliingia kwenye korido la hekalu

mambo haya

Hii inamaanisha mafundisho na uponyaji wa Yesu mle hekaluni. Pia inaweza kumaanisha tukio lililofanyika siku moja kabla la Yesu kuwafukuza wanunuzi na wachuuzi.

Matthew 21:25

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwajibu viongozi wa dini

ulitoka wapi

"alipata mamlaka toka wapi?"

tukisema, ulitoka mbinguni; atatuambia, kwa nini hamkumwamini?

"kama tukisema kuwa tunaamini kuwa Yohana alipokea mamlaka toka mbinguni, Yesu atatuuliza kuwa kwa nini hatukumwamini Yohana"

Toka mbinguni

"mbinguni" inamaanisha Mungu."Kutoka kwa Mungu mbinguni"

Kwa nini hamkumwamini?

Basi mngekuwa mmemwamini Yohana Mbatizaji"

lakini tukisema, 'ulitoka kwa watu'

"lakini kama tukisema kuwa tunaamini kuwa Yohana alipokea mamlaka kutoka kwa watu"

tunawaogopa watu

tunaogopa kile makutano watakachotufikiria au kile watakachotufanyia"

Wote wanamwona Yohana kama nabii

"Wanaamini kuwaYohana ni nabii"

Matthew 21:28

Sentensi unganishi

Yesu anatumia mfano wa wana wawili kuwakemea viongozi wa dini na kufafanua kutokuamini kwao

Lakini mnafikiri nini?

Yesu anatumia swali ili kuwafanya viongozi wa dini wafikirie zaidi juu ya mfano aliotaka kuwaambia. "Niambieni mnafikiri nini juu ya kile ninachotaka kuwaambia"

akabadilisha mawazo yake

Hii inamlenga yule mwana akifikiri kana kwamba alikuwa na fikra zaidi ili achague

Matthew 21:31

Wakasema

"Makuhani wakuu na wazee walisema"

Yesu akawaambia

Yesu aliwaambia wakuu wa makuhani na wazee"

Kweli nawaambieni

"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atasema baadaye

Wakusanya ushuru na makahaba wataingia kwenye ufalme wa Mungu kabla Yenu kuingia

Neno "ufalme wa Mungu" linamaanisha utawala wa Mungu kama Mfalme. "Mungu atakaposimamisha utawalawake duniani, atawabariki watoza ushuru na makahaba kwa kuwatawala kabla ya kufanya hivyo kwenu"

kabla yenu kuingia

Yaweza 1)Yesu atawapokea watoza ushuru na makahaba kabla ya kuwapokea viongozi wa dini 2) Mungu atawapokea watoza ushuru na makahaba badala ya kuwapokea viongozi wa dini wa Kiyahudi

Yohana alikuja kwenu

Kiwakilishi cha "ninyi" ni cha wingi na kinamaanisha watu wote wa Israel na wala si viongozi wadini tu. "Yohana alikuja kwa watu wa Israel"

kwa njia iliyo nyoofu

Hii ni nahau inayomaanisha kuwa Yohana aliwaonesha watu njia sahihi ya maisha. "na aliwaambia njia sahihi ambayo Mungu anataka ninyi muishi"

hamkumwamini

kiwakilishi cha"hamku.." ni cha wingi. nacho kinamaanisha viongoziwa dini.

Matthew 21:33

Sentensi unganishi

Kuwakemea viongoziwa dini na kufafanua kutokuamini kwao, Yesu anaeleza mfano wa watumishi wapinzani.

Mtu mwenye eneo kubwa la aridhi

"mtu anayemiliki sehemu ya mali"

uzio

"ukuta" au "kizuizi"

akachimba shinikizo

"alichimba shimo la kukamulia zabibu"

akalikodisha kwa watunza zabibu

"kuwaweka wakulima wa mizabibu kuwa wasimamizi wa shamba la mizabibu" Mwenye shamba bado ni mmliki wa shamba.

Wakulima wa mizabibu

watu waliojua jinsi ya kutunza mizabibu na divai

Matthew 21:35

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuelezea mfano

Watumishi wake

Watumwa wa "Mtu mwenye shamba kubwa"

Matthew 21:38

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuelezea mfano.

Matthew 21:40

Sasa

Neno "sasa" halimaanisha "wakati huu," bali limetumika kuvuta usikivu kwa ajili ya fundisho linalofuata.

Wakamwambia

"Watu wakamwambia Yesu"

Matthew 21:42

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuelezea mafano wa watumishi wapinazani

Maelezo kwa ujumla

Yesu anamnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba Mungu atamheshimu yule ambaye viongozi wa dini wanamkataa.

Yesu akawaambia

Tazama 21:40

Hamkusomakatika maandiko ... machoni'?

"Fikiria juu ya kile ambacho mmesoma ... macho"

Jiwe waliliolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni

Yesu ananukuu kutoka Zaburi. Hii ni sitiari inamaanisha viongozi wa dini, kama wajenzi, watamkataa Yesu, lakini Mungu atamfanya kuwa wa muhinmu katika ufalme wake, kama jiwe kuu la pembeni katika ujenzi.

limekuwa jiwe kuu la pembeni

"limekuwa jiwe kuu la pembeni"

Hili lilitoka kwa Bwana

"Bwana ndiye aliyefanya haya mabadiliko

inashangaza machoni petu

Kirai cha "machoni petu" kinamaanisha kuona. "ni maajabu kuona"

Matthew 21:43

Nawaambieni

Hii inaongeza msisitizo juu ya kile ambacho Yesu anasema baadaye

wa..

Kiwakilishi cha wa... ni cha wingi. Yesu alikuwa anaongea na viongozi wa dini na Wayahudi pia katika ujumla wao.

Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwenu na kupewa taifa linalojali matunda yake

Neno "ufalme wa Mungu" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "Mungu atawakataa, Wayahudi, na atakuwa mfalme wa watu toka mataifa mengine watakaozaa matunda"

linalojali matunda yake

Hii ni nahau inayomaanisha utii. "wale wanaotii amri za Mungu"

Yeyote atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa vipandevipande.

Neno "jiwe hili" nijiwe sawa na lile la 21:42. Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa Kristo atamharibu mtu yeyote anayempinga. "Jiwe litamvunjavunja yeyote anayeanguka juu yake"

Kwa yeyeote litayemwangukia litamsaga

Hiki ni krai kinachoonesha kuwa Kristo ndiye atakuwa hakimu wa mwisho na atamharibu kila mtu atakayempinga.

Matthew 21:45

Sentensi unganishi

Viongozi wa dini wanamwinukia Yesu juu ya mfano ambao Yesu alifundisha

Mifano yake

Mifano ya Yesu

Matthew 22

Mathayo 22 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Some translations set poetry farther to the right than the rest of the text to show that it is poetry. The ULB does this with the poetry in verse 44, which is from the Old Testament.

Dhana maalum katika sura hii

Wedding Feast

In the parable of the wedding feast (Matthew 22:1-14), Jesus taught that when God offers to save a person, that person needs to accept the offer. Jesus spoke of life with God as a feast that a king prepares for his son, who has just gotten married. In addition, Jesus emphasized that not everyone whom God invites will properly prepare themselves to come to the feast. God will throw these people out from the feast.

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

Maana iliyodokezwa

Kama waandishi wengine wa Injili, Mathayo anadhani kwamba wasomaji wake wataelewa hali nyingi ambazo anawasilisha, kwa hiyo hatoi maelezo mengi. Anasema, kwa mfano, katika Mathayo 22:15-22, kwamba Wafarisayo walijaribu kumdanganya Yesu ili aseme mambo mabaya, lakini anadhani kwamba wasomaji wataelewa kwa nini swali lao kwa Yesu lilikuwa la hatari kujibu (Mathayo 22:16) ). Walitarajia kwamba Yesu katika jibu lake angewakasirisha Wayahudi au mamlaka ya Kirumi.

Kitendawili

Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini kwa hakika sio ya ajabu. Katika sura hii, Yesu ananukuu Zaburi ambapo Daudi anamwita mwanawe "bwana," yaani, mkuu. Wayahudi daima walitarajia kwamba mababu wangekuwa wakubwa kuliko wazao wao. Katika kifungu hiki, Yesu anajaribu kuwaongoza wasikilizaji hatua kwa hatua kuelewa ukweli kwamba Masihi mwenyewe atakuwa Mungu, na kwamba yeye, Yesu, kwa hakika ndiye Masihi. (Mathayo 22:43-44)

<< | >>

Matthew 22:1

Sentensi unganishi

Kuwakemea viongozi wa dini na kuonesha kutokuamini kwao, Yesuanafundisha mfano wa sherehe ya harusi

nao

"watu"

Ufalme wa mbinguni unafanana na.

Tazama 13:24

Wale wote waliokuwa wamealikwa.

"Watu ambao mfalme alikuwa amewaalika."

Matthew 22:4

Sentensi unganishi

Yesuanaendelea kuelezea mfano

watumishi wengine, akisema waambieni wote walioalikwa

akawaamuru, watumishi wawaambie wale aliowaalika.

Angalieni

"Angalia" au "Sikiliza" au "Kuwa msikivu kwa kile ninachotaka kukuambia."

Fahali na ndama wangu wameuawa

Inamaanisha kuwa wale wanyama wameshapikwa na wako tayari kwa kuliwa. "Watumishi wangu wamechinja na wamewapika mafahali na ndama wangu wanono"

Mafahali na ndama wangu wanono

"Mafahali wangu na ndama wangu walio wazuri kwa kula"

Matthew 22:5

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuelezea mfano

Hawakuzingatia kwa dhati.

"Lakini wale wageni walioalikwa na mfalme walipuuzia"

akawaua wale wauaji

Inamaanisha kuwa, askari wa mafalme waliawaua wale wauaji.

Matthew 22:8

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuelezea mfano

walioalikwa

"Wale ambao nimewaalika"

Makutano ya njia kuu.

"Mahali ambapo barabara hukutana." mfalme anawatuma watumishi kwenye maeneo ambayo wana uhakika mkubwa wa kupata watu.

wema na wabaya

"watu wabaya na watu wema"

Hivyo ukumbi wa harusi ulijaa watu

"kwa hivyo wageni waliujaza ukumbi wa harusi"

ukumbi

chumba kikubwa

Matthew 22:11

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuelezea mfano

ulipataje kufika hapa ndani bila vazi la harusi?

"haujavaa vazi rasmi kwa ajili ya harusi. haupaswi kuwa hapa"

mtu huyo hakujibu kitu chochote

"yule mtu alikuwa kimya"

Matthew 22:13

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha mfano wa harusi

mfungeni mtu huyu mikono na miguu

"mfungeni kiasi kwamba hawezi kusogeza mikono na miguu"

nje katika giza kuu

Tazama 8:11

kilio na kusaga meno

Tazama 8:11

Kwa kuwa watu wengi wanaitwa lakini wateule ni wachahe

"Kwa kuwa Mungu huwakaribisha watu wengi, lakini huchagua wachache"

kwa

Neno hili linamaaisha mpito. Yesu anamaliza mfano na sasa ataeleza maana ya mfano

Matthew 22:15

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya viongozi wa dini wakipanga jinsi ya kumkamata Yesu kwa kutumia maswali mengi magumu. Hapa Mafarisayo wanamuuliza Yesu juu ya kulipa kodi kwa Kaisari.

Jinsi ya kumkamta Yesu katika maneno yake mwenyewe.

"Jinsi ambavyo wangeweza kumsababisha Yesu kukosea katika kauli ili wamkamate"

wanafaunzi wao ... Maherode

Wanafunzi wa Mafarisayo walikubaliana na swala kulipa kodi kwa mamlaka za Kiyahudi. Maherode walikubaliana na swala la kulipa kodi kwa mamlaka za Kirumi. kwa maana hiyo, Mafarisayo waliamini kuwa kwa vyote ambavyo Yesu angejibu; angelikosea moja ya makundi hayo.

Maherode

Hawa walikuwa wafuasi na maofisa wa Herode mfalme wa Wayahudi. Alikuwa rafiki wa mamlaka za Kirumi.

Hauoneshi upendeleo kwa watu.

"Huoneshi heshima ya kipekee kwa baadhi ya watu" au " haujali tu watu maarufu zaidi."

Kulipa kodi kwa kaisari

Watu hawakulipa kodi moja kwa moja kwa Kaisari lakini kwa mmoja wa maofisa wake. "Kulipa kodi ambayo Kaisari alilitaka"

Matthew 22:18

Kwa nini mnanijaribu, enyi wanafiki?

"msinijaribu mimi enyi wanafiki" au "Najua kuwa ninyi wanafiki mnajaribu kunijaribu!"

Dinari.

Sarafu ya kirumi yenye thamani ya ujira wa siku.

Matthew 22:20

wa

kiwakilishi "wa" kinamaanisha Maherode na wanafunzi wa Mafarisayo.

Sura na jina hili ni vya nani

Niambieni sura na jina mnavyoviona kwenye hii sarafu ni vya nani?

vya Kaisari.

"Sarafu hii ina sura na jina la Kaisari"

vitu ambavyo ni vya Kaisari

"Vitu ambavyo ni mali ya Kaisari"

Vitu ambavyo ni vya Mungu.

"Vitu ambavyo ni mali ya Mungu."

Matthew 22:23

Sentensi unganishi

Masadukayo wanajaribu kumkamata Yesu kwa kumtega kwa swali gumu kuhusu ndoa na ufufuo wa wafu.

Mwalimu, Musa alisema, 'ikiwa mtu amekufa.

Walikuwa wakimuuliza kuhusu alichoandika Musa katika Maandiko. "Musa alisema kwamba ikiwa mtu amekufa."

Ndugu yake...mke wake...ndugu yake.

Kimilikishi "yake" inamaanisha yule mfu

Matthew 22:25

Sentensi unganishi

Mafarisayo wanaendelea kumwuliza Yesu swali

wa kwanza ... wa pili ... wa saba

namba za mpangiliio

Baada ya wote.

"Baada ya kila ndugu kuwa amemuoa" au " Baada ya kila ndugu kuwa amefariki."

baada ya kufanya hivyo wote

"baada ya kila ndugu kufa"

sasa

Hapa Masadukayo wanabadilisha habari ya ndugu yule wa saba na kuuliza swali halisi

Matthew 22:29

Mnakosea

"Mnakosea juu ya ufufuo"

Nguvu za Mungu.

"Kile ambacho Mungu anaweza kufanya."

katika ufufuo

"wakati wafu watapofufuka"

hawaoi

"watu hawataoa"

wala kuolewa

"wala watu hawataruhusu watoto wao kuolewa"

Matthew 22:31

Sentensi unganishi

Katika 22:32, Yesu ananukuu kutoka kitabu cha Kutoka ili kuhakikisha kuwa watu wataishi tena baada ya kifo

Hamjasoma kile ambacho ...Yakobo?'

"Najua mmekwisha soma, Lakini inaonekana hamkuelewa ambacho...Yakobo.'

Kile kilichosemwa kwenu na.

"Kile alichowaambia Mungu"

Mungu, anasema, Mimi ni...Yakobo?'

"Mungu alimwambia Musa kwamba Yeye, Mungu, ni Mungu wa Abramu,Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo."

"Si Mungu wa wafu balini Mungu wawalio hai

wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai"

Matthew 22:34

Sentensi unganishi

Farisayo mwanasheria alimtega Yesu kwa swali kwa kumwuliza swali gumu juu ya amri kuu

Mwanasheria.

Farisayo ambaye alikuwa na ujuzi maalum katika kuelewa sheria ya Musa.

Matthew 22:37

Maelezo kwa ujumla

Yesu ananukuu ile amri kuu kutoka Kumbukumbu la torati

kwa moyo wako wote, na kwa akili zako zote. na kwa roho yako yote.

Virai vyote vitatu vinamaanisha kitu kilekile. Vinamaanisha kuwa mtu lazima ampende Mungu kwa pendo la ndani na kwa kujito kwa ukweli.

.kuu na ya kwanza

Neno "kuu" na ya "kwanza" yanamaanisha kitu kilekile. vinasisitiza kuwa hii ni amri ya muhimu

Matthew 22:39

Maelezo kwa ujumla

Yesu ananukuu mstari toka Walawi kama amri kuu ya pili

Na ya pili inafana na hiyo

Yaweza kumaanisha 1) "kuna amri ya pili ambayo inafuatia kwa umuhimu" au 2) "kuna amri ya pili ambayo nayo ni ya muhimu." Kwa namna yeyote ile, Yesu anamaanisha kuwa amri hizi zote ni za muhimu kuliko amri zingine zote.

Na amri ya pili

Ya pili ni katika kupangilia

inafanana

Tazama 2:37

jiraniyako

Neno "jirani" inamaana zaidi ya mtu aliye karibu na wewe. inamaanisha kuwa mtu lazima awapende watu wote

Sheria zote na Manabii hutegemea hutegemea amri hizi mbili

Neno "sheria zote na manabii" limzznisha maandiko yote. "Kila kitu ambacho Musa na Manabii waliandika katika maandiko zinategemea amri hizi zote mbili"

Matthew 22:41

Sentensi unganishi

Yesu anawauliza Mafarisayo swali gumu ili kuzuia mpango wao wa kumkamata.

Sasa

Neno hili limetumika ili kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya simulizi wakati Yesu alipowauliza viongozi wa dini swali.

Mwana ... mwana wa Daudi

vyote hivi "mwana" vinamaanisha "kizazi"

Matthew 22:43

Maelezo kwa ujumla

Yesu ananukuu toka Zaburi kuonesha kuwa Kristo ni zaidi ya "mwana wa Daudi"

Ni kwa namna gani Daudi katika Roho anamwita Bwana

"Yesu anatumia swali kuwafanya viongozi wa dini kufikiri kwa undani zaidi juu ya Zaburi anyotaka kuinukuu "Niambieni kwa nini Daudi katika Roho anamwita Bwana"

Daudi katika Roho

"Daudi ambaye anavuviwa na Roho. "Hii inamaanisha kuwa Roho Mtakatifu anamwezesha Daudi kusema.

anamwita

Hapa "mwi" inasimama badala ya Kristo, ambaye pia ni kizazi cha Daudi.

Bwana alimwambia

Neno "Bwana" inamaanisha Mungu Baba

Katika mkono wangu wa kuume,

Kiwakilishi "wangu" kinamaanisha Mungu Baba. "Mkono wa kuume" huwa inatumika kuonesha sehemu ya heshima

Hadi nitakapowaweka maadui zako wawekwe chini ya miguu yako

Hii ni nahau. "hadi nitakapowashinda adui zako" au hadi nitakapowafanya maadui zako kukuinamia"

Matthew 22:45

Sentewnsi unganishi

Huu nu mwisho wa jitihada za viongozi wa dini kutaka kumkamata Yesu kwa maswali mengi

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwisho wa sehemu ya habari hii inayoanzia 19:1, ambayo inaelezea habari za Yesu akihudumia Yuda

Kama Daudi anamwita Kristo "Bwana," kwa namna gani awe mtoto wa Daudi?

"Daudi anamwita Yeye Bwana, kwa hiyo Kristo lazima awe zaidi kuliko mzao wa Daudi."

Kama Daudi tena anamwita Kristo.

Daudi amemrejea Yesu kama "Bwana" kwa sababu Yesu hakuwa tu mzao wa Daudi, lakini pia alikuwa bora kuliko Daudi.

kumjibu neno

"Neno" inamaanisha kile amabacho watu husema. "kumjibu yeye chochote" au " kumjibu"

maswali zaidi

Inamaanisha kuwa hakuna aliyemuuliza maswali ya jinsi hiyo ambayo yalikusudiwa kuwaYesu angeyajibu kimakosa ili viongozi wa dini wamkamate

Matthew 23

Mathayo 23 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

Wanafiki

Unafiki wa Wafarisayo ni neno kuu katika sura hii. Yesu anazungumzia kwa kina kuhusu unafiki huu. Wafarisayo waliunda sheria ambayo hakuna mtu angeweza kutii, na kisha wakawashawishi watu kwamba walikuwa na hatia kwa sababu ya kutotii sheria. Pia, sheria za Wafarisayo ziliwapa sababu za kutotii amri za asili za Mungu za Sheria ya Musa.

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

Kutusi

Katika tamaduni nyingi, ni makosa kuwaalumu watu. Maneno mengi katika sura hii yaliyowalenga Wafarisayo yanaweza kuchukuliwa kama matusi. Wanaitwa "wanafiki," "viongozi vipofu," "wajinga," na "nyoka." Yesu anatumia maneno haya kuelezea na kuhukumu tabia zao.

Kitendawili

Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini kwa hakika sio ya ajabu. Kwa mfano, "aliye mkuu kati yenu atakuwa mtumishi wenu" (Mathayo 23:11-12).

<< | >>

Matthew 23:1

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwamnzowa habari mpya inyoenedelea hadi 25:44, amabpo Yesu anafundisha juu ya wokovu na hukumu ya mwisho. Anaanza kuwaonya watu juu ya Mafarisayo na waandishi

Wanakalia kiti cha Musa.

Kiti kinamaanisha mamlaka ya kutawala na kuhukumu. "Wanayo mamlaka kama aliyokuwanayo Musa." au "wanayo mamlaka ya kusema maana ya sheria Musa."

Chochote.

"Yoyote" au "kila kitu."

Matthew 23:4

Wanafunga mizigo mizito ambayo ni migumu kubeba, na kisha kuwabebesha watumabegani

"Wanawawekea ninyi kanuni nyingi ambazo ni ngumu kufuata."

Wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba

"Wao hawatatoa msaada hata msasada kidogo"

Matendo yao yote huyafanya ili watazamwe na watu

wanafanya mataendo yao kwa kusuadi la kutazamwa na watu

Kwa sababu wao hupanua masanduku yao, na huongeza ukubwa wa mapindo wa mavazi yao

Hivi vyote ni vitu ambavyo Mafarisayo huvifanya ili waonekane kuwa wanamtii Mungu kuliko watu wengine

Masanduku

Haya ni makasha madogo ya ngozi yenye karatasi za maandiko

hongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao

Mafarisayo huweka mapindo marefu chini ya kanzu zao kuonesha uchaji wao kwa Mungu.

Matthew 23:6

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuongea na makutano kuhusu Mafarisayo

maeaneo ya kifahari ... viti vya heshima

Maeneo yaote haya na yale amabayo watu muhimu hukaa

maeneo ya sokoni

Maeneo makubwa ya wazi amabyo watu huuza na kununua bidhaa

na kuitwa 'Rabi' na watu

"ili watu wawaite rabi"

Matthew 23:8

Lakini ninyi hampaswi kuitwa

"Msimruhusu mtu yeyote awaite"

ninyi

viwakilishi vyote vya "ninyi" viko katka wingi na vinamaanisha wafauasi wote wa Yesu

wote ni ndugu

Neno "ndugu" linamaanisha "waumini wenzenu"

msimwite mtu yeyeote hapa duniani kuwa baba

"msiseme kwamba mtu yeyote hapa duniani ni baba yenu"

kwa kuwa mnaye baba mmoja tu

"baba" ni cheo muhimu cha Mungu

walla msije mkaitwa

"pia msimruhusu mtu kuwaita"

Kwa kuwa mnaye mwalimu mmoja tu, yaani Kristo

Wakati Yesu aliposema "Kristo" alikuwa anasema juu yake mwenyewe katika nafsi ya tatu. AT: "Mimi, Kristo ndiye mwalimu wenu pekee."

Matthew 23:11

Bali aliye mkubwa miongoni mwenu

"mtu maarufu miongono mwenu"

miongoni mwenu

kiwakilishi "mwenu" ni cha wingi na kinamaanisha wafuasi wa Yesu

Yeyote ajiinuaye

"ajifanyaye mwenyewe kuwa maarufu."

atashushwa

"Mungu atamshusha

atainuliwa

Mungu atamuheshimu

Matthew 23:13

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwakemea viongozi wa dini kwa sababu ya unafiki wao

Lakini ole wenu

tazama 11:20

Mnawaffungia watuufalme wa mbinguni

"Mnawazuia watu kumpokea Mungu wetu wa mbinguni kuwa mfalme wao"

Hamwezi kuingia

"Hamumruhusu Mungu kuwa mfalme wenu"

na hamuwaruhusu wanaoingiakufanya hivyo

"wala hamuwarusu wale wanaotaka kumpokea Mungu kuwa mfalme wao kufanya hivyo"

"mnasafiri umbali mrefu"

kumfanya mtu mmoja aamini

"kumfanya mtu mmoja aamini dini yenu"

mwana wa jehanamu

"Mtu ambaye mahali pake ni kuzimu." au mtu ambaye hanabudi kwenda kuzimu."

mnawameza wajane wajane.

"Kuiba kila kitu kutoka kwa wanawake wasio na wanaume wa kuwalinda."

Matthew 23:16

Viongozi vipofu...wapumbavu.

Tazama 15:12

kwa hekalu, si kitu

"kwa hekalu hawezi kulinda kiapo chake

Amefungwa na kiapo chake.

"Lazima atende kile alichoahidi kufanya."

Kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhabu, au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu ya Mungu?

Hekalu amablo limetumika kuweka wakfu dhahabu kwa Mungu ni la muhimu kuliko dhahabu ile"

Hekalu amabalo limeweka wakfu dhahabu

"Hekalu ambalo hutengeneza dhahabu ni mali ya Mungu pekee"

Matthew 23:18

Na

"na ninyi pia husema"

si kitu

"hakuna haja ya kulinda kiapo chake"

sadaka

ni mnyama au nafaka ambayo mtu anaweza kuileta kwa Bwana na kuiweka madhabahuni

amefungwa na kiapo chake

"lazima afanye kile alichoahidi kufanya"

Watu vipofu.

Viongozi wa Kiyahudi walikuwa vipofu kiroho. Ingawa walijidhania kuwa walimu, hawakuwaeza kuuelewa ukweli wa Mungu

Kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka, au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu?

"Madhabahu ambayo huzifanya sadaka kuwa takatifu ni kuu kuliko sadaka

"madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka"

madhabahu ambayo huziweka sadaka kuwa rasmi kwa Mungu"

Matthew 23:20

na kwa vitu vyote vilivyo juu yake

"kwa vitu vyote ambvyo sadaka zote huwekwa juu yake"

na kwa yeye akaaye ndani yake ... na kwa yeye aketiye juu yake

virai vyote hivi vinamaanisha Mungu Baba.

Matthew 23:23

Ole wenu.

Tazama 11:20.

Bizali, Mnanaa, na Mchicha.

Majani na mbegu zinazotumika kuungia chakula.

kuacha mengine bila kutekeleza

"hamkutii

mambo mazito

"mambo y a muhimu zaidi"

lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya

"mnapaswa kuwa mmeziheshimu hizi sheria za muhimu"

na siyo kuyaacha mengine bila kuyatekeleza

"wakati pia mnatii zile sheria ndogondogo"

Ninyi viongozi vipofu.

Tazama 15:12

Ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia.

Kuwa mwaangalifu kufuatilia sheria zenye uzito kidogo na kupuuzia sheria zenye uzito mkubwa, hiyo ni upumbavu sawa na kuwa mwangalifu kwa kutokumeza mnyama mdogo aliye najisi, bali unakula nyama ya mnyama mkubwa sana aliye najisi pengine kwa makusudi au kwa kutokujuwa. AT: "Wewe ni mpumbavu kama mtu ambaye anachuja mdudu aliyeangukia ndani ya kinywaji chake lakini akimeza ngamia."

Kuchuja mdudu.

Kujucha kwa kutumia ktambaa ili kuondoa mdudu katika kinywaji

Mdudu.

Mdudu mdogo arukae.

Matthew 23:25

Ole wenu.

Tazama 11:20

Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe a nje ya sahani... kutokuwa na kiasi

"Waandishi" na "Mafarisayo" kwa wengine wanaonekana "safi kwa nje, lakini ndani ni wachafu

Kwa ndani wamejaa dhuluma and kutokuwa na kiasi.

"Wanachukua vitu vya watu kwa ubinafsi

Ewe Mfarisayo kipofu.

Mafarisayo walikuwa vipofu kiroho. Ingawa wao wenyewe walijidhania kuwa walimu. hawakuwa na uwezo wa kuelewa ukweli wa Mungu

Safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili nje pia pawe safi.

Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa kama wangekuwa safi mioyoni mwao, basi matokeo yake wangekuwa safi kwa nje pia

Matthew 23:27

kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa... kichafu

hii ni kejeli inayoonesha kuwa Mafarisayo na waandishi wanaonekana kuwa safi nje, lakini ndani ni wachafu

makaburi yaliyopakwaa chokaa

"makaburi ambayo mtu ameyapaka chokaa" Wayahudi walipakaa makaburi kwa chokaa ili kuepusha kuyagusa. Kugusa kaburi ilihesabiwa kuwa ni unajisi.

Matthew 23:29

ya wenye haki

"ya watu wenye haki"

siku za baba zetu

"wakati wa mababu zetu"

tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao

"tusingekuwa tumeshirikiana nao"

kumwaga damu

Damu inamaanisha uhai. kumwaga damu inamaanisha kuua. "kuua" au "mauaji"

watoto wa hao

"watoto inamaanisha uzao"

Matthew 23:32

Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu.

"Ninyi mna kamilisha dhambi ambazo babu zenu walizianzisha,"

Enyi nyoka, enyi wana wa vipiribao.

"Ninyi ni waovu na hatari kama nyoka wenye sumu."

wana wa vipiribao

tazama 3:7

Jinsi gani mtaepuka hukumu ya jehanamu?

"Hakuna njia mnayoweza kutumia kuepuka hukumu ya jehanamu!"

Matthew 23:34

nawatuma

"nitawatuma." Hapa "ni" inamaanisha Yesu.

juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani

"Mungu atawahukumu kwa mauaji ya watu wenye haki"

kuanzia damu ... kwa damu

"kutoka mauji hadi ... mauaji"

Kutoka...Abeli...to...Zekaria.

Abeli alikuwa mhanga wa kwanza katika mauaji, na Zakaria huenda akafikiriwa kuwa wa mwisho kuuwawa na Wayahudi hekaluni.Watu hawawaili wanawakilisha mauaji ya watu wote wenye haki

Zakaria.

Siyo baba yake na Yohana Mbatizaji.

mliyemuua

Yesu hamaanisha watu wale aliokuwa akisema nao kuwa ndio waliomua Zekaria. Anamaanisha kuwa mababu zao ndio waliomuua.

Kweli nawaambieni

"Nawaambia ukweli." Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu atakachosema baadye.

Matthew 23:37

Sentensi unganishi

Yesu anaomboleza juuya watu wa Yerusalemu kwa sababu wanamkataa kila aliyetumwa na Mungu kwao

Yerusalemu, Yerusalemu.

Yesu anazungumza na watu wa Yerusalemu kana kwamba wao wenyewe ndio walikuwa mji.

ambao wanatumwa kwako

wale ambao Mungu huwatuma kwako

Watoto wenu.

"watu wako" au 'kizazi chako"

kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake

Huu ni usemi unaosisitiza upendowa Yesu kwa watu n a jinsi alivyotaka kuwajali.

Nyumba yako imeachwa ukiwa.

"Mungu ataiacha nyumba yako, na itabaki tupu."

Nyumba yako.

Maana yake ni : (1). Mji wa Yerusalemu au (2). Hekalu.

Nami nakuambia

Huu ni msisitizo wa kile Yesualichosema baadaye

Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana

Tazama 21:9

Matthew 24

Mathayo 24 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Katika sura hii, Yesu anaanza kutabiri kuhusu wakati ujao kutoka wakati huo hadi atakaporudi kama mfalme wa ulimwengu. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#prophet)

Dhana maalum katika sura hii

"Mwisho wa ulimwengu"

Katika sura hii, Yesu anatoa jibu kwa wanafunzi wake wakati wanauliza jinsi watakavyojua wakati atakapokuja tena. (See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#writing-apocalypticwriting)

Mfano wa Nuhu

Katika wakati wa Nuhu, Mungu alituma gharika kuu kuwaadhibu watu kwa dhambi zao. Aliwaonya mara nyingi kuhusu kuja kwa mafuriko hayo, lakini kwa hakika yalianza ghafla. Katika sura hii, Yesu analinganisha mafuriko hayo na siku za mwisho. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#sin)

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Ruhusu"

ULB hutumia neno hili kuanzisha amri kadhaa za Yesu, kama "wacha wale walio Yudea wakimbilie milimani" (24:16), "yule aliye juu ya nyumba asije akashuka kuchukua chochote kutoka kwa nyumba yake "(24:17), na" aliye mashambani asirudi kuchukua nguo yake "(24:18). Kuna njia nyingi za kuunda amri. Watafsiri wanapaswa kuchagua njia za asili zaidi katika lugha zao wenyewe.

<< | >>

Matthew 24:1

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kueleza matukio amabayo yatakuja tokea kabla hajarudi mara ya pili

alitoka hekaluni

Inaonesha kuwa Yesu hakuwa ndani ya hekalu. alikuwa kwenye korido la hekalu.

Je, hamyaoni mambo haya yote?

"Ngoja niwaambie kitu fulani kuhusu majengo haya yote."

kweli nawambia

"Nawaambia ukweli." huu ni msisitizo wa kile alichosema Yesu badaye

Hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe lingine ambalo halitabomolewa

"wakati maaskari walio adui watakapokuja, watabomoa kila jiwe juu ya majengo haya"

Matthew 24:3

kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu

Neno "kuja kwako" linamaanisha wakati Yesu atakapokuja katika nguvu, kuanzisha utawala wa Mungu duniani na kukifikisha kizazi hiki mwisho wake.

Mwe waangalifu asije mtu akawapotosha.

"Mwe waangalifu kwamba msiamini yeyote ambaye atawaongopea kuhusu mambo haya."

wengi watakuja kwa jina langu

Neno "jina" linamaanisha "katika mamlaka" au " kama mwakilishi" wa mwingine. "Wengi watadai kuwa wamekuja kama wawakilishi wangu" au "wengi watasema kuwa wanaongea kwa niaba yangu"

Matthew 24:6

Angalieni msiwe na wasiwasi.

"Msije mkaruhusu mambo haya kuwapa wasiwasi."

kwa kuwa taifa litainuka juu ya taifa jingine, na ufalme dhidi ya ufalme

Hii inamaanisha kitu kilekile. na msisitizo wake ni kwamba kutakuwa na mapigano kila mahali

ni mwanzo tu wa uchungu

Hii inamaanisha maumivu mwanamke huyapata wakati anapotaka kujifungua mtoto. Sitiari hii inamaanisha kuwa haya matetemeko, njaa na vita ni mwanzo tu wa matukio yatakayotuongoza kuelekea mwisho wa dunia

Matthew 24:9

Watawatoa kwa ajili ya mataeso na kuwaua

"watuwatawatoa kwa mamlaka amaboa watawatesa na kisha kuwaua"

mtatchukiwa na mataifa yote

"watu kutoka kilataifa watawachukia"

kwa sababu ya ina langu

"kwa sababu mnaniamini "

watatokea

"watakuja"

Matthew 24:12

uovu utaongezeka

"watu watafanya dhambi zaidi na zaidi"

Upendo wa wengi utapoa.

Maana ya karibu: 1."watu wengi hawatawapenda wenzao." au 2."watu wengi hawatampenda Mungu."

atakayevumilia

"yeyote atayebaki na uvumilivu"

mpaka mwisho

haieleweki kama "mwisho" inamaanisha mtu anapokufa, au wakati dhiki itakapokoma, au mwisho wa nyakati wakati Mungu atakapojionesha kuwa mfalme. jambo l a kuzingatia hapa ni uvumilivu usiokoma

ataokolewa

"Mungu atamwokoa mtu huyo"

Hii injili ya ufalme itahubiriwa

"Watu watahubiri ujumbe juu ya utawala wa Mungu"

Mataifa yote.

"Watu wote katika sehemu zote."

na ndipo ule mwisho

"mwisho wa ulimwengu" aua "mwisho wa nyakati"

Matthew 24:15

chukizo la uharibifu

"mtu wa aibu atakayevinajisi vitu vya Mungu"

Lililosemwa na nabii Danieli.

"Kuhusu ambacho nabii Danieli aliandika."

asomaye na afahamu

Haya maneno hayakusemwa na Yesu. Matahayo aliongezea haya ili kupata usikivu

Na yule aliyeko juu ya paa

mapaa wakati wa Yesu yalikuwa tambarare, kiasi kwamba watu wangeweza kusimama

Matthew 24:19

Wao ambao wana mtoto.

"wanawake wenye mimba"

katika siku hizo

"wakati huo"

kukimbia kwenu kusiwe

"kwamba msikimbie"

Wakati wa baridi.

"Majira ya baridi."

kama siku hizo zisingefupishwa, hakuna ambaye angeokoka

"kama Mungu hatazifupisha siku zadhiki watu wote wangekufa"

Wenye mwili

Watu.

siku hizo zitafupishwa

"Mungu atazifupisha siku za dhiki"

Matthew 24:23

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaambia wanafunzi wake

Msiamini maneno hayo

"Msiamini mambo ya uongo wanayowaambia."

kwa kusudi la kuwapotosha

"ili kuwafanya watu wasitii"

kupotosha, kama ingeliwezekana hata na wateule

"kupotosha, kama ingeliwezekana, watawafanya hata na wateule kutotii"

Matthew 24:26

ikiwa watawambia, 'Kristo yuko jangwani,' msiende huko jangwani. Au 'Tazameni, 'yuko ndani ya nyumba,'

"au, kama mtu atawambia kuwa Kristo yumo ndani ya nyumba"

ndani ya nyumba

"ndani ya chumba cha siri"

kama vile radi inavyomulika ... ndivyo itavyokuwa kuja

Hiiinamaanisha mwana wa mtu atakuja kwa kasi sana na itakuwa rahisi kumwona

Kama vile radi inavyomulika...ndivyo itakavyokuwa kuja.

Atakuja kwa kasi na itakuwa rahisi kuonekana.

mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu yake katika nafsi ya tatu

Popote ulipo mzoga, huko ndiko tai wakusanyikapo.

Maana ya karibu ni: (1). Mwana wa Adamu atakapokuja, kila mtu atamuona na kujua kwamba amekuja; (2). Popote walipo watu aliokufa kiroho, manabii wa uongo watakuwepo huko kuwaambia uongo.

tai

Ndege ambao wanakula mizoga au wanyama wanaokaribia kukata roho.

Matthew 24:29

Lakini mara

"wakati huo"

dhiki y a siku hizo

"wakati huo wa dhiki"

Jua litatiwa giza.

"Mungu atalifanya jua liwe giza."

Nguvu za mbinguni zitatikisika.

" Mungu atatikisa vitu katika mbingu na juu ya anga."

Matthew 24:30

Mwana wa Adamu ... mwo ... wake

Yesu anaongea juu yake katika nafsi ya tatu.

makabila yote

watu wa makabila yote

atawatuma malaika wake kwa sauti kuu ya tarumbeta

"wakati tarumbeta itakapolia atawatuma malaika wake"

Watakusanya.

"Malaika wake watakusanya."

Wateule wake.

Watu ambao Mwana wa Adamu amewachagua.

kutoka pande nne za dunia, kutoka mwisho wa mmoja wa mbingu hadi mwingine

kutoka kila upande

Matthew 24:32

amekaribia

"wakati wangu wa kuja umekaribia"

Karibu na malango.

karibu na malango

Matthew 24:34

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli" huu ni msisitizo wa kile kinachosemwa baadaye

Kizazi hiki hakitapita.

"Watu wanaoishi kipindi hiki hawatafariki wote."

Hadi mambo yote haya yatakuwa yametokea.

"Mpaka Mungu asababishe mambo haya yote yatimie."

Mbingu na nchi zitapita.

"Mbingu na nchi hazitaendelea kuwapo."

maneno yangu hayatapita kamwe

"kile ninachosema daima kitabaki kuwa ukweli"

Matthew 24:36

siku ile na saa

hapa "siku" na "saa" vinamaanisha muda halisi ambao mwana wa Adamu atarudi

Wala Mwana.

"Hakuna hata mwana"

mwana

Hiki ni cheo muhimu cha Yesu, Mwana wa Mungu

Baba

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu

Matthew 24:37

Kama ilivyokuwa katika siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu.

"Siku ambayo Mwana wa Adamu atakuja tena itakuwa kama ilivyokuwa siku za Nuhu,"

Mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu yake akaitumia nafsi ya tatu

katika safina na hawakujua kitu

"katika safina. Na watu hawakuju kuwa kuna kitu kilikuwa kinaenda kutokea"

ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu

"Hivyo ndivyo itakavyokuwa wakati wa kuja kwa Mwana wa Adamu"

Matthew 24:40

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwaambia wanfunzi wake kuwa tayari kwa ajili ya kurudi kwake

Ndipo.

Wakati Mwana wa Adamu ajapo.

Mmoja atachukulia, na mmoja ataachwa nyuma.

Maana za karibu: 1. Mungu atamchukuwa mmoja kwenda mbinguni na ataacha mmoja duniani kwa ajili ya adhabu, au 2. Malaika watamchukua mmoja kwa ajili ya adhabu na kumuacha mwingine kwa ajili ya baraka.

Kinu.

Chombo cha kusagia.

Kwa hiyo.

"Kwa sababu ya kile nilicho waambia."

Kuweni macho.

Kaa tayari.

Matthew 24:43

ikiwa bwana mwenye nyumba ... nyumba yake kuvamiwa

Yesu anaatumia mfano wa bwana na mtumwa kufafanua kuwa wansfunzi wake wanatakiwa kujiandaa kwa ajili ya kurudi kwa Yesu

Mwizi.

Yesu anasema atakuja wakati ambao watu hawamtarajii, siyo kwamba atakuja kuiba.

Angekuwa amelinda.

"Angelinda nyumba yake" kuisalimisha.

Na asingeruhusu nyumba yake ivamiwe.

"Asingeruhusu mtu yeyote kuingia ndani ya nyumba yake aibe vitu."

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafasi ya tatu kujisemea yeye

Matthew 24:45

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea na mithali yake ya bwana na mtumwa kufafanua kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu.

Hivyo ni nani mwaminifu, mtumwa mwenye akili, ambaye bwana wake...wakati?

"Hivyo ni nani mwaminifu, mtumwa mwenye akili? Ndiye yule ambaye bwana wake...wakati."

Awape chakula chao

"Awape watu chakula chao katika mji wa bwana wake"

Kweli nawambia

"Nawaambieni ukweli" Hii inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atakuja kusema baadaye.

Matthew 24:48

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha mithali yake ya bwana na mtumwa ...

Anasema moyoni mwake.

"Anafikiri akilini mwake."

Bwana wangu amekawia

Bwana wangu hafanyi haraka kuja

katika siku ambayo hatarjii, na katika saa ambayo haijui

Virai hivi vyote vinamaanisha kitu kilekile. vinasisitiza kuwa bwana atakuja wakati ambao mtumwa wake hamtarajii kuja.

Kumweka katika nafasi au kumhesabu kama.

"Kumtendea"

kumweka katika nafasi

"kumtendea"

atamkata vipande

kumfanya mtu aumie sana

kilio na kusaga meno

Tazama 8:11

Matthew 25

Mathayo 25 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Sura hii inaendeleza mafundisho ya sura ya awali.

Dhana maalum katika sura hii

Mfano wa bikira kumi

Miongoni mwa Wayahudi, wakati ndoa ilipangwa, kulikuwa na muda kabla ya harusi. Mwisho wa muda huo, kijana huyo angeenda nyumbani kwa bibi arusi, ambako alikuwa anamngojea. Sherehe ya harusi basi ingefanyika. Kwa furaha kubwa wangeweza kusafiri hadi nyumba ya bwana harusi, ambako kungekuwa na sikukuu. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#writing-apocalypticwriting)

Yesu anatumia desturi hii kwa kuwaambia mfano wa bikira kumi (Mathayo 25:1-13).

<< | >>

Matthew 25:1

Sentensi unganishi

Yesu anaongea mfano wa wanawali wenyebusara na wale wanawali wajinga kufundisha kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu

ufslme wa mbinguni utafananishwa na

Tazama 13:24

Lamps.

Hizi ziliweza kuwa, 1.taa zenyewe au mienge iliyotengenezwa kwa kuwekewa kitambaa kuzunguka mwisho wa mti na hulowanishwa na mafuta.

Watano kati yao.

Watano kati ya wanawali.

Hawakuchukua mafuta yoyote.

"Waliyokuwa nayo ni yale tu yaliyokuwa katika taa zao."

Matthew 25:5

Sasa

Neno linaloonesha kuanzisha habari mpya. Yesu anaanza kueleza sehemu ya habari hii.

bwana harusi amechelewa

"wakati bwana harusi alipochukua muda mrefu kuwasili"

Wote walianza kusinzia.

Wanawali wote kumi walianza kusinzia.

kulikuwa na yowe

"mtu mmoja alianza kupiga kelele"

Matthew 25:7

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kueleza mfano

Kutayarisha taa zao.

"Wakarekebisha taa zao ili ziwake kwa mng'ao."

Wapumbavu walisema na welevu.

"Wanawali wapumbavu walisema na wanawali welevu."

Taa zetu zinazimika

"Moto katika taa zetu unaelekea kuzima."

Matthew 25:10

Sentensi ungsnishi

Yesu anahitimisha mfano wa wanawali kumi

wakati wameenda huko

"Wanawali wapumbavu waliondoka."

kununua

"kununua mafuta zaidi"

Wale ambao walikuwa tayari.

Wanawali waliokuwa na mafuta ya ziada.

Mlango ulifungwa.

"watumishi walifunga mlango."

Tufungulie.

"Fungua mlango kwa ajili yetu ili tuingie ndani"

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli" Hiiinatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

"Siwatambui ninyi."

"Si watambui ninyi ni akina nani" au 'si wajui ninyi ni akina nani."

kwa kuwa hamjui siku wala saa

"Hamjui muda halisi ambao Mwana wa Adamu atakuja"

Matthew 25:14

Sentensi unganishi

Yesu anaeleza mfano wa mtumishi mwaminifu na asiye mwaminifu ili kuwafundisha wanafunzi wake kubaki waaminifu wakati yeye hatakuwepo na wawe tayari kwa ajili ya kurudi kwa Yesu.

Ni sawa na.

"Ufalme wa mbinguni ni unafanana na."

Alipotaka kuondoka

"Alipokuwa tayari kuondoka" au mara alipotaka kuondoka."

Aliwakabidhi utajiri wake.

"Akawapa usimamizi wa mali yake." au "akawapa usimamizi wa utajiri wake."

Utajiri wake.

"Mali yake."

Talanta tano.

"Talanta moja" ilikuwa na thamani ya mishahara wa miaka ishirini. Epuka kutafsiri jambo hili katika pesa za siku hizi. Mfano huo unalinganisha uwiano wa kiasi cha tano, cha mbili na kiasi cha moja sawia na kiasi kikubwa cha utajiri uliotumika. "mifuko mitano ya dhahabu."

kulingana nauwezo wake

"kulingana na uwezo wa kila mtumishi wa kusimsmia mali"

Na kuzalisha talanta zingine tano.

"Kutokana na uwekezaji wake, alipata faida ya talanta zingine tano."

na kuzalisha talanta zingine tano

"kutokana na uwekezaji wake, akazalisha talanta zingine tano"

Matthew 25:17

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea mafano wa watumishi na talanta

Alizalisha zingine mbili.

"Alipata faida ya talanta zingine mbili.'

Matthew 25:19

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta

na baada ya muda

Kirai hiki kimetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Yesu anaanza kueleza sehemu mpya ya simulizi.

Nimepata talanta tano zaidi

"Nimepata faida ya talanta tano zaidi."

Talanta

Mali yenye thamani kubwa. talanta moja ilikuwa sawa na mishahara ya miaka ishirini.Tazama tafsiri katika. 25:14--15.

Hongera.

"Umefanya kazi vizuri." au "Umefanya vema." Katika utamaduni wako pengine mnao usemi ambao mkuu (mtu mwenye mamlaka) angetumia kuthibitisha kile ambacho mtumishi wake (au yeyote chini yake) amekitekeleza.

Ingia katika furaha ya Bwana wako

"Njoo ufurahie na mimi"

Matthew 25:22

Sentensi unganishi

Yesu anaendelelea kueleza mfano wa watumishi na talanta

Nimepata faida ya talanta zingine mbili

"Nimepata fada ya talanta mbili zaidi"

Umefanya vema

umefanya vema.

Ingia katika furaha ya bwana wako

Tazama 25:19

Matthew 25:24

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta

Unachuma mahali ambapo hukupanda, na unavuna mahli ambapo hukupanda.

Maelezo haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. Mtumwa anamlaumu bwana kwa kukusanya mazao ambayo siyo yake. "Unakusanya mazao ya bustani kutoka katika bustani ambazo huna haki ya kukusanya mazao hayo."

Kupanda

Siku hizo walizoea kutupa kiasi kidogo cha mbegu pande zote badala ya kupanda katika mistari.

Tazama, unapata ile ile ya kwako.

"Angalia, hii n"diyo yako"

Matthew 25:26

Sentensi unganishi

Yesu anaenedelea kueleza mfano wa watumishi na talanta.

Wewe mtumwa mwovu na mzembe.

"wewe ni mtumwa mwovu ambaye hutaki kufanya kazi."

Ninachuma mahali ambapo sikupanda na kuvuna mahali ambapo sikusiha.

Tazama 25:24

Kupokea tena ile yangu.

"Kupokea tena fedha yangu mwenyewe"

Faida.

Malipo yanayotolewa na benki kutokana na matumizi yasiyo ya kudumu ya pesa ya bwana.

Matthew 25:28

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta

mnyang'anyeni hiyo talanta

Bwana anawaambia wale watumishi wengine

talanta

Tazama 25:14

aliye na

"anayetumia vizuri alicho nacho"

ataongezewa zaidi

"Mungu atampa zaidi"

hata kwa kuzidishiwa

"hata zaidi"

kwa yeyote asiye na kitu

"Kwa yeyeote asiyetumia vizuri hicho alicho nacho.

Ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno

"Mahali ambapo watu watalia na kusaga meno yao."

"nacho atanyang'anywa"

nitakiondoa

mtupeni nje gizani huyo mtumishi asiyefaa, ambako kutakuwa na kilion a kusaga meno

"nje gizani ambako kuna kilio na kusaga meno"

Matthew 25:31

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakaporudi wakatiwa mwisho

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake mwenyewe

Mataifa yote yatakusanyika mbele zake.

"Atayakusanya mataifa yote mbele zake."

Mbele zake.

"Mbele za uso wake."

Mataifa yote.

"Watu wote kutoka kila nchi."

kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi

Yesuanatumia msemo kuonesha jinsi atakavyowatenganisha watu

atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, bali mbuzi atawaweka mkono wake wa kushoto

atawaweka watu wenye haki upande wake wa kuume na atawaweka wenye dhambi upande wake wa kushoto

Matthew 25:34

Mfalme... mkono wake wa kulia

"Mimi mfalme, ... mkono wangu wa kulia"

Mfalme...mkono wake wa kulia

Yesu alijisema yeye mwenyewe katka nafsi ya tatu. AT: "Mimi, Mfalme...mkono wangu wa kulia."

Njoni, ninyi mliobarikiwa na Baba yangu.

"Njoni, ninyi ambao baba yangu amewabariki."

Baba yangu

Hili ni jina mashuhuri la Mungu linaloonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu

Urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajili yenu.

"Urithini ufalme ambao Mungu ameufanya tayari kwa ajili yenu."

urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajiloi yenu

"pokeeni baraka za utawala wa Mungu ambazo Mungu alipanga kuwapeni"

tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu

"Tangu hapo alipouumba ulimwengu"

Matthew 25:37

wenye haki

watu wenye haki

au kiu ... au uchi

"au ni lini tulipokuwa ukiwa na kiuau nilini tulipokuona u uchi"

Mfalme.

Hiki ni cheo kingine cha Mwana wa Mungu

na kuwaambia

"Akasema na wale walio mkono wa kulia."

Kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli, "Huu ni msisitizo wa kile ambacho Yesu alikuja kusema baadaye"

kwa mmoja wa ndugu zangu wadogo

"mmoja wa wasio wa muhimu"

Ndugu zangu

"kaka zangu na dada" au "hawa ambao ni kama kaka zangu na dada zangu

mlinitendea mimi

"Ninajali kwamba mlifanya hivyo kwa ajili yangu."

Matthew 25:41

Ndipo atawaambia

"Ndipo mfalme atawaambia"

Mlio laaniwa.

"enyi watu ambao Mungu amewalaani."

Moto wa milele ambao umeandaliwa.

"Moto wa milele ambao Mungu ameandaa."

Malaika wake.

Wasaidizi wake.

Uchi lakini hamkunivika.

"Nilikuwa uchi lakini hamkunipa nguo."

Mgonjwa na niko kifungoni.

"Nilikuwa mgonjwa na nilikuwa kifungoni."

nikiwa mgonjwa na nikiwa kifungoni

"nilikuwa mgonjwa na nilikuwa gerezani"

Matthew 25:44

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakapokuja mara ya pili

Maelezokwa ujumla

Huu ni mwisho wa sehemu ya habari inayoanzaia 23:1, mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya wokovu na hukumu ya mwisho.

Wao pia watamjibu.

"Hao walioko kushoto pia watamjibu"

Mmoja wa wadogo hawa.

"Kwa yeyote kati ya watu wangu walio wadogo."

Hamkunitendea mimi.

"Nina jali kuwa hamkufanya kwa aajili yangu" au "Mimi ndiye hasa yule ambaye hamkumsaidia"

Hawa watakwenda katika adhabu ya milele

"Mfalme atawapeleka hawa kwenye eneo amablo watapata adhabu ambayo haitakoma"

Wenye haki kwenda katika uzima wa milele.

"Watu wenye haki wataenda katika uzima wa milele."

bali wenye haki katika uzima wa milele

"lakini mfalme atawapeleka hawa mahali ambapo wataishi milele pamoja na Mungu"

wenye haki

"watu wenye haki"

Matthew 26

Mathayo 26 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri zinaingiza nukuu kutoka kwa Agano la Kale. ULB inafanya hivyo kwa mistari iliyonukuliwa katika 26:31.

Dhana maalum katika sura hii

Kondoo

Hii ni taswira ya kawaida inayotumiwa katika Maandiko ya kutaja watu wa Israeli. Lakini, katika Mathayo 26:31, "kondoo" inawakilisha wanafunzi wa Yesu, ambao walikimbia wakati alikamatwa.

Pasaka

Kifo cha Yesu kilitokea kwa uhusiano na Sikukuu ya Pasaka kwa sababu yeye ndiye timizo la mwanakondoo wa Pasika. Ni kifo chake cha dhabihu ambacho kinatuokoa kutokana na hukumu ya Mungu.

Kula mwili na damu

Sherehe hii, ambayo mara nyingi huitwa "Meza ya Bwana," "Ekaristi", au "Ushirika Mtakatifu," hufanyika katika karibu makanisa yote hadi siku hii kwa ukumbusho wa dhabihu ya Kristo kwa ajili ya dhambi za binadamu. Hufanyika kwa kutii maagizo ya Yesu kwa wanafunzi wake katika Mathayo 26:26-28.

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

Aibu na woga

Kote katika sura hii, matendo ya viongozi wa Kiyahudi ni ya aibu na ya woga. Waliwaogopa watu waliopaswa kuwaongoza. Matendo yao ya aibu na ya uoga yanaweza kuwa vigumu kueleza katika kutafsiri.

Yuda kumbusu Yesu

Yuda amenakiliwa katika Mathayo 26:49 kumbusu Yesu ili kutoa ishara kwa askari ili kumtambua yule watakaomkamata. Miongoni mwa Wayahudi, kubusu ilikuwa njia ya kawaida ya kumsalimu mtu. Walikuwa na busu za aina mbalimbali kati ya watu wa tabaka mbalimbali. Kwa kuwa Yesu alikuwa mwalimu wa Yuda, labda alibusu mkono wake kama ishara ya heshima na utii.

"Haribu hekalu la Mungu"

Katika Mathayo 26:61, watu wawili wanamshtaki Yesu kwa kutaka hekalu la Yerusalemu liangamizwe ili aweze kulijenga kwa "siku tatu." Labda walikuwa wakimshtaki Yesu kwa kutukana hekalu na kwa hiyo, kwa njia nyingine, kumtukana Mungu. Mathayo hana rekodi ya Yesu akitamka haya, lakini maneno haya yapo katika Yohana 2:19.

Maneno "katika siku tatu" yanapaswa kueleweka kwa njia ya Kiyahudi kama "ndani ya siku tatu," wala sio "baada ya siku tatu."

<< | >>

Matthew 26:1

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwanzo wa sehehmu mpya wa simulizi amablao linaelezea kusulibiwa kwa Yesu, kufa na kufufuka. Hapa anawaeleza wanafunzi wake jinsi atakavyoteseka

Wakati Yesu alipomaliza

"kisha " au"baadaye"

Maneno haya yote.

Tazama 24:3

Mwana wa Adamu atatolewa ili asulibiwe.

"Baadhi ya watu watamtoa Mwana wa Adamu kwa watu wengine ambao watamsulibisha."

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake

Matthew 26:3

Sentensi unganishi

Mstari huu unatoa historia ya mpango wa viongozi wa Wayahudi wa kumkamata na kumwua Yesu

walikutana pamoja

"walikutana"

Kwa siri.

"Bila kujulikana kwa wengi"

Siyo wakati wa sikukuu.

"Tusimuue Yesu wakati wa sikukuu"

Sikukuu.

Sikukuu ya kila mwaka ya Pasaka.

Matthew 26:6

Sentensi unganishi

Hii inaanza na habari ya mwanamke akimwaga manukato ya gharama kabla ya kifo cha Yesu

Wakati

Hil ni neno linalotumika kuazisha habari mpya. Mathayo anaanza kuelezea habari mpya

Simoni mkoma

Inamaanisha kuwa huyu ndiye mtu ambaye Yesu alimponya kwa ukoma

Alipokuw amejinyoosha.

"Yesu alikuwa amekaa upande wake". Unaweza kutumia neno la lugha yako kwa mkao wa watu ambavyo huwa wakati wa kula.

Mwanamke alimwendea.

Mwanamke alikuja kwa Yesu.

Mkebe wa alabasta.

chombo ambacho hugharimu sana kwa kukinunua kilicho tengenezwa na jiwe laini.

Mafuta

Mafuta ambayo yana harufu nzuri.

aliyamimina juu ya kichwa chake

Yule mwanamke alifanya hivi kuonesha heshima kwa Yesu

Ni nini sababu ya hasara hii.

"Mwanamke huyu amefanya jambo baya kwa kuharibu mafuta haya"

Haya yangeweza kuuzwa kwa thamani kubwa na kupew masikini

"angweza kuyauza kwa thamani kubwa ya pesa na kuitoa ile pesa

kupewa masikini

"kwa watu masikini"

Matthew 26:10

Kwa nini mnamsumbua mwanamke huyu?

"Hamkupaswa kumsumbua mwnamke huyu"

kwa nini mna

viwakilishi vyote vya "mna" viko katika wingi

masikini

"watu masikini"

Matthew 26:12

mafuta

Tazama 26:6

kweli nawaambia

"nawambia ukweli" huu ni msisitizo wa kile kilichofuata

popote injili hii itakapohubiriwa

"popote pale watu watakapohubiri injili hii"

kitendo alichofanya huyu mwanamke, pia kitakuwa kinasemwa kwa ajili ya kumkumbuka

"watakumbuka kile ambacho mwanamke huyu amefanya na wataambiwa wengine juu yake"

Matthew 26:14

Sentensi unganishi

Yuda Iskaariote anakubali kuwasaidia viongozi wa Wayahudi kumkamata na kumwua Yesu

Nikimsaliti

"kuwasaidia kumkamata Yesu."

Vipande therathini vya fedha.

Kwa kuwa maneno haya ni sawa na yale ya unabii katika Agano la Kale, endeleza muundo huu badala ya kuugeuza katika pesa ya leo.

Kumsaliti kwao.

"Kuwasaidia wakuu wa makuhani kumkamata Yesu."

vipande thelathini

"vipande 30"

Matthew 26:17

Sentensi unganishi

Hii inaazisha hanari y a Yesu akisherehekea Pasaka pamoja na wanafunzi wake

Sasa

Hili ni neno amablo limetumika kuonesha mwazo wa habari mpya. Matahyo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari

Alisema , "nendeni mjini kwa mtu fulani na mwambieni , 'Mwalimu anasema," Muda wangu umekaribia. Nitaitimiza Pasaka pamoja na wanafunzi wangu katika nyumba yako."''

"Aliwaambia wanafunzi wake kuingia mjini kwa mtu fulani na kumwambia kwamba Mwalimu anamwambia, 'Muda wangu umekaribia. Nitaitimiza Pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani mwako.'" au "Aliwaambia wanafunzi wake kwenda mjini kwa mtu fulani na kumweleza mtu huyo kwamba Mwalimu anasema muda wake umekaribia na atatimiza Pasaka pamoja na wanafunzi wake katika nyumba ya mtu huyo."

Muda wangu.

Maana yake yaweza kuwa: 1) " Muda ambao niliwahi kuwajulisha" au 2 "Muda ambao Mungu amepanga kwa ajili yangu."

Umekaribia.

Maana yake yaweza kuwa: 1) "uko karibu" au 2) "Umefika."

Timiza Pasaka.

"Kula chakula cha Pasaka" au "sherekea sikukuu ya Pasaka kwa kula chakula maalum."

Matthew 26:20

Aliketi chini apate kula.

Tumia neno kwa mkao ambao watu katika utamaduni wako daima hukaa wakati wa kula.

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli." Huu ni msisitizo wa kile kilichofuata

Hakika siyo mimi, Bwana?

"Nina hakika mimi siye, Je, ni mimi?"

Matthew 26:23

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu y ake mwenyewe

ataondoka

"akufa"

kama ilivyoandikwa

"kama vile manabii walivyoandika juu yake katika maandiko"

Mtu yule ambaye kwake Mwana wa Adamu asalitiwa.

"Mtu ambaye amsaliti Mwana wa Adamu."

Je, ni mimi Tabi?

"Rabi, kwa hakika si mimi nitakayekusaliti"

Umesema jambo hilo wewe mwenyewe

"wewe ndiye unayesema"

Matthew 26:26

Sentensi unganishi

Yesu anakula chakula na wanafunzi kwa kusherehekea Pasaka na wanafunzi wake

Alichukua... alibariki.

Tazama 14:19

Matthew 26:27

kutwaa au chukua.

Tazama14:19

kikombe

Kikombe kinamaanisha kikombe kikiwa na divai ndani yake

kunyweni

"kunywa divai kutoka kikombe hiki"

kwa kuwa hii ni damu yangu

"kwa kuwa hii divai ni damu yangu"

Damu ya agano.

"Damu ambayo huonesha kwamba agano linafanya kazi" au "damu ambayo hufanya agano liwezekane.

Inamwagwa.

"Inamwagwa kwa ajili ya kifo" au "hivi punde itachuruzika kutoka mwilini mwangu." au "itachuruzika kutoka katika majeraha yangu nitakapo kufa."

matunda ya mzabibu.

"mvinyo"

Lakini nawaambia

Hii inaongeza msisitzo

katika Ufalme wa Baba yangu.

Baba atakapoanzisha ufalme wake duniani "hapa"

wa baba yangu

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu kinachoonesha uhusiano muhimu kati ya Mungu na Yesu.

Matthew 26:30

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake wakati wakielekea mlima wa Mizeituni

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 31, Yesu anamnukuu Nabii Zekaria kuonesha kuwa ili kutimiza unabii, wanaaafunzi wake wataondoka.

Wimbo.

Wimbo wa sifa kwa Mungu.

kujikwaa

"mtaniacha"

Kukataa.

"Kuniacha."

kwa kuwa imeandikwa

Kwa kuwa nabii zekaria aliandika tangu awali katika maandiko"

Nitampiga

kiwakilishi "ni" kinamaanisha Mungu. Inamaanisha kuwa Mungu atasababisha au kuruhusu watu kumwumiza na kumwua Yesu

mchungaji ... na kondoo wa kundi

Yesu na wanafunziwake

Kondoo wa kundi watatawanyika

"Watawatawanya kondoo wote wa kundi"

Baada ya kufufuka kwangu

"Baada ya Mungu kunifufua"

Matthew 26:33

Kukataa.

Tazama 26:30

kweli nakuambia

"Ninakuambia ukweli" Hiiinaongeza msisitizo wa kile kilichofuata baadaye

Kabla jogoo hajawika.

"Kabla jua halijachomoza."

Jogoo.

Ndege ambaye huwika kwa sauti kubwa karibu na majira ya jua kuchomoza.

Kuwika.

Sauti ambayo jogoo hufanya anapowika.

utanikana mara tatu

"utasema mara tatu kuwa wewe si mfuasi wangu"

Matthew 26:36

Sentensi unganishi

Hii inaazisha habariy a Yesu akiomba Gethsemane

na akaanza kuhuzuniaka

"na akawa na huzuni sana"

Roho yangu inahuzuni kubwa sana

Hapa roho inamaanisha nafsi nzima ya mtu. "Nina huzuni sana"

kiasi cha kufa

"Najihisi kama nataka kufa"

Matthew 26:39

Alianguka kifudifudi.

Kwa makusudi kuweka uso chini ili upate kuomba.

Baba yangu.

Hili ni jina maarufu la Mungu ambalo huonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

KIkombe hiki kiniepuke.

Usemi huu, "kikombe hiki" huashiria mateso ambayo Yesu atapitia.

Hata hivyo, siyo kama nipendavyo, bali kama utakavyo.

Hii inaweza kuelezwa kama sentensi iliyo kamilika. "Lakini usifanye kile nitakacho bali kile utakacho."

akamwambia Petro, kwa nini hamkukesha

Yesu anamwambia Petro, kiwakilishai cha "hamku" ni cha wingi kinamaanisha Petro, Yakobo na Yohana.

kwa nini hamkuweza kukesha nami hata kwa saa moja?

"Ninasikitaka kuwa hamkuweza kukesha nami hata kwa saa moja"

msiingie katika majaribuni

"mtu yeyote asiwajaribu mtende dhambi"

Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu

Roho inamaanishahamu ya nafsi. Na "mwili" inamaanisha mwanadamu kamili. Yesu anamaanisha wanaweza kuwa na hamu ya kufanya mapenzi ya Mungu, Lakini kama wanadamu ni wadhaifu na wanaweza kushindwa

Matthew 26:42

Akaenda zake.

"Yesu alienda zake."

mara ya pili ... mara ya tatu

mpangilio kwa nafasi za namba

Nisipokinywea.

"Isipokuwa kukinywea kikombe hiki cha mateso."

Baba yangu.

Hili ni jina mashuhuri la Mungu ambalo hueleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

Macho yao yalikuwa mazito.

"Walikuwa wakisinzia- sinzia sana."

hili haliwezi kuepukika

"lazima nikinywee"

kama jambo hili

J"ambo hili" inamaanisha kikombe na kile kilichomo.

na ni lazima nikinywee

"lazima nikinywee" lazima nikinywee kikombe cha mateso"

mapenzi yako yatimizwe

"kile utakacho kifanyike"

macho yako yalikuwa mazito

"walikuwa na usingizi mzito"

Matthew 26:45

Bado mmelala tu na kijipumzisha

Ninasikitika kwamba bado mmelala na kupumzika"

Saa imekaribia.

"Muda umefika."

na Mwana wa Adamu anasalitiwa

"kuna mmoja wenu anamsaliti mwana wa Aadamu"

Mikono ya wenye dhambi.

Neno "mikono" linamaanisha mamlaka ya kutawala. "Watu wenye dhambi."

Tazameni

"Zingatia kile ambacho nataka kuwaambia."

Matthew 26:47

Sentensi unganishi

Hii inaazisha habari ya Yuda wakati alipomsaliti Yesu na viongozi wa dini wakamkamata

Wakati alipokuwa bado akiongea.

"Wakati Yesu alipokuwa bado akiongea."

marungu

vipande vikubwa vya miti vya kupigia watu

Sasa ... mkamateni

Neno "sasa" linaonesha kuanza kwa habari mpya. Mathayo anaeleza jinsi Yuda atakavyotoa ishara atakayotoa kwa nia ya kumsaliti.

Akisema, "Yule nitakaye mbusu, ndiye yeye. Mkamateni."

"Akasema kwamba yule aliye mbusu ndiye waliyepaswa kumkamata."

Huyo nitakaye mbusu.

"Yule nitakaye mbusu" au "Mtu ambaye nita mbusu."

Busu.

Namna ya heshima ya kumsalimia mwalimu wa mtu mwingine.

Matthew 26:49

alikuja kwaYesu.

"Yuda alimtokea Yesu."

Alimbusu.

"Akakutana naye kwa kumbusu."

ndipo wakaja

"Kiwakilishi "waka.." kinamaanisha wale watu waliokuja na Yuda wakiwaa na marungu na mapanga pamoja na viongozi wa dini

Wakamnyooshea Yesu mikono.

Wakamkamata Yesu"

Matthew 26:51

Tazama.

Neno "tazama" linatuvuta usikivu kwa ajili ya taarifa ya kugusa inayofuatia.

alichomoa upanga

"aliyechukua upanga ili aue wengine"

wataangamizwa kwa upanga

"watakufa kwa njia ya upanga" au "mtu atawaua kwa upanga"

Mnadhani kuwa siwezi kumwita Baba, na angenitumia zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?

"Mlipaswa kujua kwamba ningeweza kumwita Baba yangu, na angenitumia majeshi zaidi ya kumi na mawili ya malaika."

mnadhani

hapa "mna" neno la umoja linlomaanisha yule mtu aliye na upanaga.

Baba yangu.

Hili ni jina mashuhuri la Mungu ambalo hueleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

Majeshi ya malaika zaidi ya kumi na mawili.

Neno "jeshi" ni neno la kijeshi linalojumuisha wanajeshi 6,000. Yesu anamaanisha kuwa Mungu angeweza kutuma malaika wa kutosha kuwazuia wale waliokuwa wanamkamata. Zaidi ya makundi 12 ya malaika.

lakini bai jinsi gani maandiko yangeweza kutimizwa, hivi ndivyo ilipswa kutoka

"Lakini kama nkifanya hivyo, nisingeweza kutimiza,kile Mungu alichosema kwenye maandiko kitokee"

Matthew 26:55

Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kama mnyang'anyi?

"Mnajua kwamba mimi siyo mnyang'anyi, hivyo ni makosa yenu kuniijia mkiwa na mapanga na marungu.

Marungu.

Vipande vikubwa vya miti migumu kwa ajili ya kupigia watu.hekaluni

hekaluni

Inaoneshakuwa Yesu hakuwa hekaluni. alikuwa kwenye korido la hekalu

ili maandiko ya manabii yatimie

"napenda kutimiza kile ambacho manabii waliandika kwenye maandiko"

Kumuacha.

Kujitenga naye au walijitenga naye.

Matthew 26:57

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya majaribu ya Yesu kwenye baraza la viongozi wa dini ya Wayahudi

Petro alimfuata

"Petro alimfuata Yesu

Ukumbi wa Kuhani Mkuu.

Sehemu ya uwazi karibu na nyumba ya Kuhani Mkuu.

Aliingia ndani

"Petro aliingia ndani"

Matthew 26:59

Sasa

Hili neno linaonesha kuazisha habari mpya kwenye simulizi. Matahyo anaanza kueleza habari mpya ya simulizi

kusudi wapate

kiwakilisi "wa" kinamaanisha wale wakuu wa Makuhani na wale wajumbe wa baraza.

Wawili walitokeza mbele.

"Wanaume wawili walikuja mbele" au "mashahidi wawili walitokeza mbele."

Walisema, "Mtu huyu alisema, 'Ninaweza kuliharibu hekalu la Mungu na kulijenga upya kwa siku tatu.'"

"Walishuhudia kwamba walimsikia Yesu akisema angeweza kuvunja hekalu la Mungu na kulijenga upya kwa muda wa siku tatu."

Mtu huyu alisema.

"Mtu huyu Yesu alisema."

Matthew 26:62

hawa wanakushuhudia nini dhidi yako?

"unajibu nini juu ya ushuhuda huu dhidi yako?"

Mwana wa Mungu.

Hili ni jina mashuhuri ambalo hueleza uhusiano kati ya Kristo na Mungu.

Mungu aishivyo

Tazama 16:13

Umesema jambo hilo wewe mwenyewe.

Yesu anathibitisha kwamba yeye "ndiye Kristo, Mwana wa Mungu. "Kama ulivyosema, Mimi ndiye" au "Umekubaliana na ukweli huo"

Lakini nakuambia, tangu sasa na kuendelea

Neno "wewe" ni la wingi. Yesu anamwambia kuhani mkuu na kwa wengine waliokuwapo hapo.

Tangu sasa na kuendelea mtamwona Mwana wa Adamu.

Maana zinaweza kuwa: 1) Watamuona Mwana wa Adamu baadaye kwa wakati ujao au 2) kwa "sasa" Yesu anamaanisha wakati wa kifo chake, kule kurudi kwake kutoka kwa wafu, na kupaa kwake kwenda mbinguni.

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake

Upande wa mkono wa kulia wenye nguvu.

"Upande wa mkono wa kulia wa Mungu mwenyezi"

Akija katika mawingu ya mbinguni.

"Akisafiri kuja duniani katika mawingu ya mbinguni."

Matthew 26:65

Kuhani Mkuu alirarua mavazi yake.

Kuchana mavazi ilikuwa ni ishara ya huzuni na hasira.

amekufuru

kwa kufuru hii, inamaanisha kuwa Yesu alikuwa akidai kuwa yeye ni sawa na Mungu

Je, twahitaji tena ushahidi?

"hatuhitaji kusikia ushahidi mwingine"

Tayari mmesikia

kiwakilishi cha "mme" kikokatika wingi kinamaanisha wajumbe wa baraza.

Matthew 26:67

Kisha wali

Maana yaweza kuwa: "Kisha baadhi ya watu" au "Kisha askari"

Walimtemea usoni.

Hili ni tendo la kufedhehesha.

Tutabirie.

Hapa "tutabirie" humaanisha, "tuambie kwa kutumia uwezo wa Mungu." Haimaanishi, "tuambie kitu gani kitatokea kwa wakati ujao."

Wewe Kristo

Wale waliokuwa wakimpiga Yesu. Walimwita kwa kumdhihaki

Matthew 26:69

Sentensi unganishi

Hii ni habri ya Petro akimkana mara tatu kuwa anamjua Yesu, kama vile Yesu alivypkuwa amaesema kuwa atafanya.

Maelezo kwa ujumla

Matukio haya yanatokea sambamba na majaribu ya Yesu kwa viongozi wa dini

Wakati huo

Hili neno linaonesha kuanza kwa habari nyingine. Mathayo anaanza kuwaambia sehemu ya habari.

Sijui kile unachosema.

Petro aliweza kufahamu alichosema mjakazi. Alitumia maneno haya kukana kwamba alikuwa pamoja na Yesu.

Matthew 26:71

Alipo...

"Petro alipo..."

Lango.

Uwazi katika ukuta kwenye ukumbi.

Akakana tena kwa kiapo, "mimi sim"jui mtu huyu

"akakana tena na kusema, 'Naapa simjui mtu huyu'"

Matthew 26:73

Mmoja wao.

"Mmoja wa hao waliokuwa pamoja na Yesu."

Kwa kuwa rafudhi yako huonesha.

"Tunaweza kukuambia kwamba unatoka Galilaya kwa sababu unaongea kama Mgalilaya."

kulaani.

"Kujitakia laana iwe juu yake mwenyewe."

jogoo akawika

Tazama 26:33

Petro alikumbuka maneno aliyoambiwa na Yesu, "kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu."

Ptro alikumbuka kuwa Yesu alikuwa amemwambia kuwa kabla jogoo hajawika atakuwa amemkana mara tatu"

Matthew 27

Mathayo 27 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

"Walimpeleka kwa gavana Pilato"

Wayahudi walikuwa chini ya utawala wa Ufalme wa Kirumi, na Warumi hawakuwaruhusu watoe uhai wa mhalifu yeyote bila kupata ruhusa kwanza. Kwa hivyo viongozi wa Kiyahudi walimuomba Pontio Pilato athibitishe hukumu yao juu ya Yesu. Pilato alijaribu kuepuka kuthibitisha uamuzi wao. Alijaribu kuwafanya viongozi wa Kiyahudi kuchagua kati ya kumkomboa Yesu au mfungwa mbaya sana aliyeitwa Baraba.

Kaburi

Kaburi ambamo Yesu alizikwa (tazama: Mathayo 27:59-60) ilikuwa ni aina ya kaburi ambamo Wayahudi tajiri walizikwa. Ilikuwa na chumba halisi ambacho kilichombwa kwenye mwamba, ambapo miili ilikuwa imefungwa na kuwekwa kwenye miamba ilivyokuwa kwenye kuta. Baadaye, wakati miili imeharibika na kubakia mifupa iliyo wazi, mifupa hiyo ilikusanywa na kuingizwa kwenye mitungi maalum inayoitwa mabasi. Makaburi hayo yalifungwa na mwamba mmoja mkubwa wa kutosha kuufunga mlango. Mwamba huu ulikuwa umevingirwa au kuwekwa mahali pa mlango mwa kaburi.

Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii

"Shikamoo, Mfalme wa Wayahudi!"

Kifungu hiki, kinachopatikana katika Mathayo 27:29, ni mfano wa kinaya. Katika takwimu hii ya matamshi, kitu kinasemwa ili kuashiria kitu kingine, mara nyingi maana yake ikiwa ni kinyume. Tamko "Shikamoo" ilikuwa salamu iliyotumiwa na watu nyakati maalum, mara nyingi mbele ya wafalme na malkia. Hata hivyo, askari waliomdhihaki Yesu hawakutaka kumheshimu. (Angalia: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#figs-irony)

<< | >>

Matthew 27:1

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha kujariwa kwa Yesu mbele ya Pilato

Muda wa asubuhi

neno linamaanisha kuazisha habari mpyakataika simulizi. Matahyo anaanza kueleza habari mpya katika sehemu hii

walikula njama dhidi ya Yesu wapate kumuua

Viongozi wa Wayahudi walikuwa wakipanga jinsi ya kuwashawishi viongozi wa Rumi jinsi ya kumuua Yesu

walimwongoza

"walimkabidhi" au "walimpeleka"

Matthew 27:3

Sentensi unganishi

Mwanadishi amekoma kueleza habari ya kuhojiwa kwa Yesu na anaeleza jinsi Yuda alivyojiua

Maelezo kwa ujumla

Tukio hili limeanza baada ya Yesu kuhojiwa mbele ya baraza la viongozi wa Wayahudi, lakinni hatujui kama hii ilitokea baada au kabla ya mahojiano ya Yesu kwa Pilato

Kisha wakati Yuda

Kama lugha yako ina namna ya kuonesha habari mpya inapoanza, unaweza kuitumia hapa.

Yesu amaekwisha kuhukumiwa

"Viongozi wa Wayahudi wameshamhukumu Yesu"

vipande thelathini vya fedha

Tazam 26:14

damu isiyo na hatia

"mtu ambaye hakustahili kufa"

inatuhusu nini?

"hilo siyo tatizo letu" au "hilo ni tatizo lako"

alivirusha chini vile vipande vya fedha katika hekalu"

Hii inamaanisha 1) alivitupa vile vipande vya fedha akiwa kwenye korido la hekalu, au 2) alikuwa amesimama kwenye korido la hekalu na akavitupa vile vipande vya fedha hekaluni.

Matthew 27:6

si halali kuiweka fedha hii

"Sheria zetu hazituruhusu kuiweka hii"

Kuiweka hii

"kuiweka fedha hii"

hazina

ahaili ni eneo ambalo waliweka ile fedha waliyotumia kwa mahitaji ya hekaluni nakwa makuhani.

gharama ya damu

Hii ni nahau inayomaanisha pesa i;iyotumika kumlipa mtu aliyeua mtu. "Pesa iliyolipwa kwa ajili ya kuuawa kwa mtu"

shamba la mfinyanzi

Hili n ishamba ambalo lilikuwa limenunuliwa kwa ajili ya kuwazikia wageni waliofia Yerusalemu

hilo shamba limekuwa likiitwa

"watu huliita shamba hilo"

hadi leo hii

Hadi wakati ambao Mathayo alikuwa anaandika kitabu hiki.

Matthew 27:9

Maelezo kwa ujumla

Mwandishi ananukuu toka maandiko ya Agano Jipya kuonesha kuwa kujinyonga kwa Yuda kulikuwa kutimiza unabii

Kisha lile neno lililokuwa limenwa na nabii Yeremia litimie

"Hili liltimiza unabii ambao nabii Yeremia alisema"

gharama iliyopngwa na watu wa Israel

"Gharama ambayo watu wa Isrel walimpngia"

watu wa Israel

Hii inamaanisha baadhi ya watu wa Isrel waliolipa ili Yesu auawe. "baadhi ya watu wa Israel" au "viongozi wa Israel"

alivyokuwa amenielekeza

kiwakilishi "ni" kinamaanisha Yeremia

Matthew 27:11

Senteni unganishi

Ni habari inayoanzi 27:1

Sasa

Kama lugha yako ina maneno yanyotumika kuendeleza mazungumzo baada ya pumziko la hadithi kubwa, waweza kuyatumia hapa

liwali

"Pilato"

wewe wasema hivyo

Hii ni nahau ambayo Yesu anatumia kumaanisha "ndiyo" lenye lengo lakumaanisha kutoweka wazi alichokuwa anasema "wewe ndiye unayesema" au "unaonesha kukiri"

wakati aliposhitakiwa na wakuu wa Makuhani na wazee

"Lakini wakati wakuu wa makuhani na wazee walipomshitaki"

Hyasikii mashaitaka yote dhidi yako?

Pilatoanauliza swali kwa sababu anashangazwa na ukimya wa Yewsu. "Ninashangazwa kwamba huwajibu hawa watu wanokushitaki kwa kutenda mabaya"

neno moja, hivyo liwali alijawa na mshangao

"neno moja; hii ilimshangaza sana liwali"

Matthew 27:15

Sasa

Hili ni neno linalotumika kuosha mwanzo wa habari kuu ili kwamba mwandishi aweze kutoa taarifa za kumsaidia msomaji kinachotokea kuanzia 27:17

Sikukuu

Hii ni sikuu ya kusherehekea Pasaka

mfungw mmoja anayechaguliwa na umati

"mfungwa ambaye umati utamchagua"

walikuwa na mfungwa sugu

"kulikuwa na funwa sugu"

sugu

anayejulikan vizuri kwa kutenda makosa makubwa

Matthew 27:17

walipokiuwa wamekusanyika

"umati ulikuwa umekusanyika"

Yesu anayeitwa Kristo

ambaye watu baadhi humwita Kristo

wamekwisha kumkamata Yesu

viongozi wa Wayahudi walikuwa wamemleta Yesu kwake. "walifanya haya ili kwamba Pilato amhukumu Yesu.

alipokuwa akiketi

"Pilato alopokuwa ameketi"

alipokuwa akiketi kwenye kti chake cha hukumu"

"Kuketi kwenye kiti cha hakimu." Hapa ndipo hakimu huketi anapokuwa akifanya maamuzi.

alimtumia neno

"neno" inamaanisha ujumbe. "alituma ujumbe"

leo nimeteswa mno

"Nimeteseka san leo"

Matthew 27:20

Ndipo ... Yesu auawe

Neno "ndipo" limetumika kumaanisha mwanzo wa habari. Yesu anaeleza kwa nini umati ulimchagua Baraba.

Yesu auawe

Askari wa Rumi wamuue Yesu"

aliwauliza

"aliuliza umati"

anayeitwa Kristo

"ambaye watu baadhi humwita Kristo"

Matthew 27:23

ametenda

"ambalo Yesu ametenda"

walipaza sauti

"walipiga kelele"

akanawa mikono yake mbele ya umati

Pilato alifanya hivi kama ishara ya kuwa yeye hawajibiki kwa kifo cha Yesu

damu

"damu" inamaanisha damu ya mtu "kifo"

yaangalieni haya wenyewe

"huu ni wajibu wenu"

Matthew 27:25

Damu yake iwe juu yetu na watoto wetu

damu inamaanisha kifo cha mtu. Kirqai cha "iwe juu yetu na watoto wetu" ni nahau inayomaanisha kuwa wanakubali kuajibika kwa kile kinachotokea. "Ndiyo! Sisi na wa watoto wetu tutaajibika kwa kifo cha Yesu"

alimpiga mijeredi

Maaskari wa Pilato walimpiga mijeredi Yesu.

kupiga mijeredi

kumpiga mtu kwa kutumia mjeredi

Kumkabidhi kwao kwenda kusulibiwa

"na Pilato akaamuru Yesu asulibiwe"

Matthew 27:27

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya kusulibiwa kwa Yesu

kundi kubwa la maaskari

"kikosi cha maaskari

wakamvua

"kumvulisha nguo"

nyekundu

"nyekundu yenye mng'ao

taji ya miiba

"taji iliyotengenezwa kwa matawi ya miiba" au "taji ilitengenezwa ka matawi yalyo na miiba"

mwanzi katika mkono wake wa kuume

Walimpa Yesu ashikilie fimbo kuonesha kuwa wafalme hushilia fimboya enzi. walifanya hivi kumkejeli.

salalmu mfalme wa Wayahudi

walisema hivi kumkejeliYesu. walikuwa wakimwita Yesu "mfalme, wa Wayahudi," lakini kwa hakika hawakuamini kuwa Yesu alikuwa mfalme. Lakini walichokuwa wakisema kilikuwa kweli.

Matthew 27:30

walimtemea mate

"maaskari walimtemea Yesu"

Matthew 27:32

Walipotoka nje

Hii inamaanisha Yesu na maaskari walitoka nje ya mji, "walipokuwa wakitoka nje ya Yerusalaem"

walimwonamtu

"maaskari walimwona mtu"

ambaye walimulazimisha kwenda nao ili apate kubeba msalaba wake

"amabye maaskari walimlazimisha kwenda naye ili kwamba abebe msalaba wa Yesu"

mahali paitwapo fuvu la kichwa

"eneo ambalo watu waliliita Golgotha"

Walimpa siki iliyochanganywa na nyongo.

"walimpa siki, ambayo walikuwa wameichanganya na nyongo"

siki

kinwaji kichungu cha njano ambacho miili hukitumia kwa mmeng'enyo wa chakula

Matthew 27:35

mavazi

Hili ni vazi ambalo Yesu alikuwa akilivaa

Juu ya kichwa chake waliweka mashitaka dhidi yake

"mashitaka" inamaanisha waliandika ili kuonesha sababu za kumsulibisha Yesu

Matthew 27:38

wanyang'anyi wawili walisulibishwa pamoja naye

Maskari walimsulibishaYesu pamoja na wanyanga'nyi wawili

wakitikisa vichwa vyao

walifanya hivi kumcheka Yesu

Kama nia mwana wa Mungu shuka chini

Kama wewe ni mwana wa Mungu thibitisha kwa "kushuka msalabani"

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo cha muhimu amabcho kinaonesha uhusiano kati ya Kristo na Mwanawa Mungu

Matthew 27:41

Aliokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe

Maana yake yaweza kuwa 1) viongozi wa Wayahudi hawakuamini kuwa Yesu aliwaokoa wengine au kwamba anaweza kujiokoa wenyewe au 2) waliamini kuwa Yesu aliwaokoa wengine na sasa wanamcheka kwa sababu sasa hawezi kujiokoa mwenyewe

yeye ni mfalme

Viongozi wanamkejeli Yesu. Wanamwita "Mfalme wa Israel," Lakini kwa uhalisia hawaamini kuwa yeye ni Mfalme. "Anasema kuwa yeye ni mfalme wa Israel"

Matthew 27:43

Sentensi unganishi

Viongozi wa Wayahudi wanaendelea kumkejeli Yesu

Kwa sababu alisema, 'Mimi ni Mwana wa Mungu.'

"Kwa sababu Yesu alisema kuwa yeye ni Mwana wa Mungu"

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo cha maalumu cha Yesu ambacho kinaelezea uhusiano na Mungu

Na wale wanyang.nyi waliokuwa wamesulibiwa pamoja naye

"Na wale wanyanga'nyi ambao maaskari waliwasulibisha pamoja na Yesu"

Matthew 27:45

Sasa

Neno hili limetumika kuonesha kuanza kwa habari nyingine. Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari

kutoka saa ya sita ... hadi saa tisa

Kuanzia mnamo adhuhuri ... kwa muda wa saa tatu" au "kuazia mnamo muda wa saa sita mchana ... hadi mnamo muda wa saa tisa mchana"

kulikuwa na giza katika nchi yote

Neno "giza" ni nomino. "ilikuwa giza nchi yote"

Yesu akalia

"Yesu akaita" au "Yesu alipiga kelele"

Eloi. Eloi. lamathabakithani

Haya ndiyo maneno amabyo Yesu aliita kwa sauti kuu katika lugha ya.ke

Matthew 27:48

mmoja wao

inaweza kumaanisha 1)mmoja wa maaskari au 2) mmoja wale waliokuwa wamesimama karibu wakitazama

sifingo

Huyu ni mnyama wa majini ambaye anapokuwa amevuliwa lile ganda lake liliweza kutumika kwa kuwekea vitu kama maji na kinywaji ambacho kinaweza kusukumwa nje.

na kumpa

"akampa Yeu

akaitoa nafsi yake

"akafa akiitoa roho yake kwa Mungu" au "akapumua pumzi ya mwisho"

Matthew 27:51

Sentensi unganishi

Hii inaanza na matukio ambayo yalitokea baada ya Yesu kufa

Tazama

Neno "tazama" linatutaka kuwa makini kwa taarifa za kushangaza zinazofuata.

pazia la hekalu lilipasuka

"lile pazia la hekaluni lilipasuka katika sehamu mbili" au "Mungu alilifanya pazia la hekalu ligawanyike mara mbili"

Makaburi yalifunguka, na miili ya watakatifu wengi waliokuwa wamelala usingizi walifufuliwa.

"Mungu alifunua makaburi na kuifufua miili ya watu wengi wa Mungu waliokuwa wamekufa"

wamelala usingizi

Hii ni tafsida yenye maana ya kufa "waliokuwa wamekufa"

Makaburiyalifunuka ... na walionekana kwa wengi

Mpangilio wa matukio haya hauko wazi sana. Baada ya tetemeko la ardhi wakati Yesu alipokufa na makaburi kufunuka 1)Watu watakatifu walikuwa hai tena, kisha baada ya Yesu kufufuka, watakatifu wakauingi mji wa Yerusalemu na watu wengi waliwaona, au 2)Yesu alifufuka, kisha watakatifu nao wakafufuka na kuuingia mji ambapo watu wengi waliwaona.

Matthew 27:54

Basi

Hili neno limetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaaza kueleza sehemu nyingine ya habari

na wale ambao walikuwa wakimtazama

"na wale maaskari waliokuwa wakimtazama Yesu"

Mwana waMungu

Hiki ni cheo maalumucha Yesu kinachoonesh uhusiano na Mungu

mama wa watoto wa Zebedayo

"Mama wa Yohana na Yakobo" au "mke wa Zebedayo"

Matthew 27:57

Sentensi unganishi

Hii inaanza na habari ya kuzikwa Kwa Yessu

Arimathayo

Hili jina la mji ulioko Israel

Pilato aliagiza apate kupewa

"Pilato aliwaagiza maaskari kumpa Yusufu mwili wa Yesu"

Matthew 27:59

sufi safi

Nguo laini ya thamani

aliliokuwa amelichonga mwambani

Inamaanisha kuwa Yusufu aliajiri watu ambao waliochonga hilo akaburi

akavingirisha jiwe kubwa

Yawekana Yusufu alikuwa na watu wengine pale waliomsaidia kulivingirisha lile jiwe

kuelekea kaburi

"karibu na kaburi"

Matthew 27:62

maandalio

Hii ni siku ambayyo watu waliandaa mabo yao kwa sababu ya sabato

walikusanyika pamoja kwaPilato

"walikutana na Pilato"

yule mdanganyifu alipokuwa hai

"wakati mdanganyifuYesu alipokuwa hai"

alisema, 'baada ya siku tatu atafufuka tena.'

"alisema kwamba baada ya siku tatu atafufuka tena"

agiza kwamba kaburi lilindwe salama

"waagize maaskari wako kulilinda kaburi"

siku ya tatu

siku ya 3

kumuiba

"kuiba mwili wake"

na kusema kwa watu, 'Amefufuka kutoka wafu.'

"na kuwaambia watu kwamba amefufuka kutoka wafu"

Na udanganyifu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko wa kwanza

"kama watawadanganya watu kwa kusema hivyo, itakuwa vibaya kuliko alivyowadanganya watu kwa kusema kuwa yeye ni Kristo"

Matthew 27:65

walinzi

kwa Warumi Ilimaanisha maaskari wanne hadi kumi na sita

jiwe liligongwa muhuri

Inaweza kumaanisha 1) waliweka kamba karibu na jiwe na kuliunganishana kuta za lile jiwe katika pande zote za lango la kaburi au 2) waliweka mihuri katkati ya jiwe na kuta

na kuweka walinzi

"kuwaambia walinzi wasimame mahali ambapo wataweza kuwazuia watu ambao watadirika kufanya chochote kaburini.

Matthew 28

Mathayo 28 Maelezo ya Jumla

Dhana maalum katika sura hii

"Wafanye wanafunzi"

Aya mbili za mwisho (Mathayo 28:19-20) zinajulikana kama "Tume Kubwa" kwa sababu zina amri muhimu sana iliyotolewa kwa Wakristo wote. Wakristo wanapaswa "wafanye wanafunzi" kwa kwenda kwa watu, kuwapa injili na kuwafundisha kuishi kama Wakristo.

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

Malaika wa Bwana

Mathayo, Marko, Luka, na Yohana wote waliandika juu ya malaika waliovalia nguo nyeupe wakiwa pamoja na wanawake kwa kaburi la Yesu. Waandishi wawili kati yao waliwaita wanaume, lakini ni kwa sababu tu malaika walikuwa katika hali ya kibinadamu. Waandishi wawili waliandika kuhusu malaika wawili, lakini waandishi wengine wawili waliandika juu ya moja tu. Ni bora kutafsiri kila moja ya vifungu hivi kama inavyoonekana katika ULB bila kujaribu kufanya vifungu vyote kufanana. (Angalia: Mathayo 28:1-2, Marko 16: 5 na Luka 24: 4 na Yohana 20:12)

__<< | __

Matthew 28:1

Sentensi ungsnishi

Hii ni habari ya ufufuo wa Yesu kutoka wafu

Baadye jioni siku ya Sabato, jua lilipokuwa likichwa kuelekea siku ya kwanza ya juma

Baada ya Sabato kuisha, jua lilipokuwa likichomoza Jumapili asubuhi"

Baadaye

Hili ni nenolinaloonesha kuanza kwa habari mpya. Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari hii

Mariamu mwingine

Huyu ni Mariamu mama wa Yakobo na Yusufu Tazma (27:54)

Tazama

Neno "tazama" linatutahadharisha kuwa tayari kwa ajili ya taarifa kushanagaza ambazo zinafuata. Lugha yako inaweza kuwa namna ya kulisema hili.

kulikuwa na tetemeko kubwa, kwa sabau malaika wa Bwana alishuka ... na kulivingirisha jiwe

Yaweza kumaanisha yafatayo 1) tetemeko lilitokea kwa sababu alishuka na kulivingirisha lile jiwe au 2) matukio yote haya yalitokea kwa wakati mmoja.

tetemeko

kutetemeka ghafla kwa ardhi

Matthew 28:3

Sura yake

"Sura ya malaika"

ilikuwa kama ya umeme

"ilikuwa inang'aa kama ya umeme"

mavazi yake yalikuwameupe kama theluji

"mavazi yake yalikuwa meupe sana kama theluji"

na kuwa kama wafu

Huu ni msemo unaomaanisha kuwa wale maaskari walianguka chini na hawakuweza hata kutikisika. "na walianguka chini na kulala pale kama watu waliokufa"

Matthew 28:5

wale wanawake

"Mariamu Magadalena na yule Mariamu mwingine"

aliyesulibiwa

"yule ambaye watu na maaskari walimsulibisha" au "yula ambaye walimsulibisha"

amefufuka toka wafu

kirai cha "toka wafu" kinamaanisha eneo ambalo roho za wale waliokufa huenda. 'Lakini amefufuka"

mkawaambie wanfunzi wake, 'amefufuka toka wafu. Tazama amewatangulia Galilaya ambako mtamkuta"

waambieni wanafunzi wake kuwa amefufuka wafu na kwamba Yesu amewatangulia kwenda Galilaya ambako mtamwona"

amewatangulia ... mtamwona

kiwakilishi cha "mta" ni cha wingi. kinamaanisha wale wanawake na wanafunzi

nimewaambia

kiwakilishi "wa" ni cha wingi. kinamaanisha wale wanawake

Matthew 28:8

Wale wanawake

"Mariamu Magedalena na Mariamu yule mwingine"

Tazama

neno "Tazama" linatuandaa kusikiliza taarifa zinazofuata. Lugha yako yaweza kuwa namfumo wa kulisema hili.

Salamu

Hii ni salamu ya kawaida

na kushika miguu yake

"walipiga magoti na kugusa miguu yake"

ndugu zangu

Hii inamaanisha wanafunzi wa Yesu.

Matthew 28:11

Sentensi unganishi

Hii inaanza kwa habari ya mwitikio wa viongozi wa dini waliposikia habari ya kufufuka kwa Yesu

Sasa

Hili neno linaonesha mwanzo wa habari kuu. Mathayo anaanza kusimuliasehemu ya habari

wale wanawake

Inamaanisha Mariamu Magadelena na yula Mariamu mwingine

Tazama

Hii inaonesha mwanzo wa tukio lingine katika habari kuu. Inaweza kujumuisha watu tofauti katika matukio yalitangulia. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulifanya hilo.

kujadili jambo hilo pamoja nao

"walipanga mpango wao wenyewe." Makuhani na wazee waliamua kuwapa zile fedha wale maaskari

Waambieni wengine kuwa, 'wanafunzi wa Yesu walikuja ... wakati tulipokuwa tumelala,'

Wambieni wengine kuwa wanafunzi wa Yesu waikuja ... wakati mlipokuwa mmelala"

Matthew 28:14

Kamataarifa hii itmfikia liwali

"Kama liwali atasikia haya kuwa mlikuwa mmesinzia wakati wanafunzi wa Yesu walipouchukua mwili"

Liwali

"Pilato"

Tutamshawishi na kuwaaondoleeni ninyi mashaka

"msihuzunike. tutongea naye ili asiwaadhibu"

na kufanya kama walivyokuwa wameelekezwa

"walifanya kile ambacho makuhani waliwaambia kufanya"

Habari hii ikaenea sana kwa Wayahudi na imekuwa hivyo hadi leo

"Wayahudi wengi waliisikia habari hii na wanaeendelea kuwaambia wengine hadi leo"

hadi leo

Hii inamaanisha wakati Mathayo alipokuwa akiandika kitabu.

Matthew 28:16

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu kukutana na wanafunzi wake

walimwabudu, lakini wengine waliona shaka

Maana zake zaweza kuwa 1) wote walimwabudu Yesu ingawa baadhi yao waliona shaka au) Baadhi yao walimwabudu Yesu, lakini wengine hawakumwabudu kwa sababu waliona shaka

lakini baadhi yao waliona shaka

"Wengine wlions shaka kuwa ni kweli yeye ndiye aliyekuwa Yesu na kwamba amefufuka

Matthew 28:18

Nimepewa mamlaka yote

"Baba yangu amaenipa mamlaka yote"

dunuani na mbinguni

"Mbingini" na "duniani"zimetumika pamoja kumaanisha kila kitu na kila mmoja duniani na mbinguni.

mataifa yote

Hapa "mataifa" inamaanisha watu. "kwa watu wote kwa kila taifa"

kwa jina

Hapa "jina" linamaanisha mamlaka. 'kwa mamlaka"

Baba ... Mwana

hIvi ni vyeo maalumu vinavyoonesha uhusiano wa Yesu na Mungu.

Matthew 28:20

"Na azama

"Sikilizeni" au "iweni tayari"

mpaka mwisho wa dunia

"mpaka mwisho wa nyakati" au "mpaka mwisho wa ulimwengu"