Kiswahili: translationNotes Print

Updated ? hours ago # views See on WACS

Utangulizi wa Waebrania

Sehemu ya 1: Utangulizi wa jumla

Muhtasari wa kitabu cha Waebrania

  1. Yesu ni mkuu kuliko manabii wa Mungu na malaika (1:1-4:13)
  2. Yesu ni mkuu kuliko makuhani wanaohudumu katika hekalu la Yerusalemu (4:14-7:28)
  3. Huduma ya Yesu ni kuu kuliko agano la kale Mungu alilofanya na watu wake (8:1-10:39)
  4. "Imani ni kama nini (11:1-40)
  5. Kutia moyo kuwa mwaminifu kwa Mungu (12:1-29)
  6. Mahimizo ya kumalizia na salamu (13:1-25)

Nani aliandika kitabu cha Waebrania?

Hakuna ajuaye mwandishi wa Waebrania. Wasomi wanapendekeza watu kadhaa ambao kuna uwezekano waliandika Waebrania. Watu hawa ni Paulo, Luka na Barnaba. Tarehe ya kukiandika pia hakijulikani. Wasomi wengi wanafikiri kiliandikwa miaka mbele ya mwaka wa 70 A.D..Yerusalemu iliharibiwa 70 A.D. lakini mwandishi wa kitabu hiki anazungumzia Yerusalemu kana kwamba ulikuwa bado haujaharibiwa.

Kitabu cha Waebrania kinahusu nini?

Katika kitabu cha Waebrania, mwandishi anaonyesha kwamba Yesu alitimiza unabii za Agano la Kale. Mwandishi alifanya hivi kuwahimiza Wakristo Wayahudi kwamba Kristu ni bora kuliko kitu chochote Agano la Kale lingepeana.Yesu ndiye Kuhani Mkuu bora. Yesu pia ndiye dhabihu bora. Dhabihu ya wanyama yalikosa maana kwa sababu dhabihu ya Yesu ilitolewa mara moja na ya mwisho. Kwa hivyo Yesu ndiye njia pekee ya watu kukubalika na Mungu.

Kichwa cha kitabu hiki kinastahili kutafsiriwa namna gani?

Watafsiri wanaweza kuamua kukiita kitabu hiki kutumia kichwa chake cha kitamaduni ,"Waebrania" ama wanaweza kuchagua kichwa kinachoeleweka zaidi kama "Barua kwa Waebrania" ama "Barua kwa Wakristo Wayahudi." (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#translate-names)

Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni

Je, wasomaji wanaweza elewa kitabu hiki bila kufahamu kuhusu dhabihu na kazi ya makuhani katika Agano la Kale?

Itakuwa vigumu kwa wasomaji kuelewa kitabu hiki bila kuyaelewa maswala haya. Watafsiri wanaweza pendekeza kuzifafanua baadhi ya dhana hizi za Agano la Kale kwa maelezo ama katika utangulizi wa kitabu hiki.

Swala la damu limetumika vipi katika kitabu cha Waebrania?

Kuanzia Waebrania 9:7 swala la damu linatumika kuashiria kifo cha mnyama yeyote ambaye alitambikwa kulingana na agano la Mungu pamoja na Israeli. Mwandishi pia anatumia damu kuashiria kifo cha Yesu Kristo.Yesu alikuwa sadaka kamilifu ili Mungu awasamehe watu sababu walimtendea dhambi.(Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#figs-metonymy)

Kuanzia Waebrania 9:19, mwandishi anatumia swala la kunyunyuzia damu kama tendo la maana ya mfano. Katika Agano la Kale makuhani walinyunyuzia damu ya wanyama waliotolewa sadaka. Hii ilikuwa ni ishara ya faida za kifo cha mnyama kuelekezewa watu ama kitu. Hii ilimaanisha kwamba watu ama kitu kilikubalika/walikubalika kwa Mungu.(Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#translate-symaction)

Sehemu ya 3: Maswala muhimu ya tafsiri.

Maswala ya "Takatifu" na "takaza/takatatifuzwa" yameasilishwa namna gani katika Waebrania kwa ULB?

Maandiko yanatumia maneno kama haya kuashiria maswala mbalimbali.Kwa sababu hiyo, mara nyingi ni vigumu kwa watafsiri kuyawakilisha vyema katika matoleo yao.Kuyatafsiri katika Kiingereza, ULB hutumia sheria zifuatavyo:

  • Wakati mwingine maana katika aya huashiria utakatifu. Hii ni muhimu kwa kuelewa injili kwa maana ya kwamba Mungu huwatazama Wakristo kama wasio na dhambi kwa sababu wameungana na Kristo.Swala lingine linalolingana na hili ni kwamba Mungu ni mkamilifu na asiye na doa.Swala la tatu ni kwamba Wakristo hujieleza kwa njia isiyo ya kulaumiwa na siyo na mapungufu yoyote.Katika hali hizi,ULB inatuma "Takatifu", "Mungu Mtakatifu" "wale watakatifu," ama "watu watakatifu."
  • Wakati mwingine maana inaashiria Wakristo bila kuashiria jukumu fulani linalotekelezwa nao. Katika hali hizi, ULB inatumia "muumini" ama "waumini" (Tazama:10; 13:24)
  • Wakati mwingine maana inaashiria kitu kilichowekwa kando kwa ajili ya Mungu pekee. Kwa hali hii, ULB inatumia "Takaza", "Wekwa kando" "kuweka wakfu kwa" ama "hifadhia" (Tazama: 2:11: 9:13; 10:10, 14, 29; 13:12)

UDB itakuwa na usaidizi wakati watafsiri anafikiria jinsi ya kuwakilisha mawazo haya katika matoleo yao wenyewe.

Ni maswala gani muhimu katika maandishi ya kitabu cha Waebrania?

Katika mistari ifuatayo, matoleo ya kisasa ya Bibilia yanatofautiana na matoleo ya kale. ULB ina masomo ya kisasa na huweka masomo ya zamani kama maelezo ya chini. Kama kuna tafsiri ya Bibilia katika eneo jumla, watafsiri wanafaa kuzingatia kutumia masomo yaliyo kwenye hayo matoleo. Kama si hivyo, watafsiri wanashauriwa kutumia masomo ya kisasa.

  • "Ulimvisha taji la utukufu na heshima" (2:7). Matoleo mengine ya kale yanasoma, "Ulimvisha taji la utukufu na heshima na umemtawaza juu ya kazi ya mikono yako."
  • "Wale amabao hawakuungana kwa imani na wale waliotii" (4:2)Matoleo mengine ya zamani husoma, "wale ambao walilisikia bila kuliunganisha na imani".
  • "Kristo alikuja kama kuhani mkuu ya mambo mazuri yaliyokuja" (9:11).Matoleo mengine husoma, "Kristu alikuja kama kuhani mkuu ya mambo mema yatakayokuja".
  • "Kwa hao waliokuwa wafungwa" (10:34). Matoleo mengine yanasoma, "Kwangu nilioko kwenye minyororo yangu".
  • "Walipigwa kwa mawe. Walikatwa kwa msumeno vipande viwili. Waliuawa kwa upanga" (11:37). Matoleo mengine ya kale yanasoma, "Walipigwa kwa mawe. Walikatwa kwa msumeno vipande viwili. Walijaribiwa. Waliuwawa kwa upanga".
  • "Hata mnyama akiugusa huo mlima, lazima apigwe kwa mawe" (12:20). Matoleo mengine ya zamani yanasoma, "Hata mnyama akiugusa huo mlima, lazima apigwe kwa mawe ama achomwe kwa mkuki."

(See: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/jit.html#translate-textvariants)

Hebrews 1

Waebrania 01 Maelezo kwa jumla

Muundo na Mpangilio

Sura hii inaonyesha jinsi Yesu ni muhimu kwa sisi kuliko malaika.

Watafsiri wengine wametenga kila mshororo wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 1:5, 7-13, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

"Mababu wetu"

Mwandishi aliandikia barua hii Wakristo waliokuwa wamekua kama Wayahudi.Hii ndiyo maana barua hii inaitwa "Waebrania".

Mifano muhimu ya hotuba

Maswali ya hadithi

Mwandishi anatumia maswali ya hadithi kama njia ya kuthibitsha kwamba Yesu ni bora kuliko malaika. Yeye pamoja na wasomaji wake wanafahamu majibu ya maswali na mwandishi anajua kwamba wakati wasomaji wanafikiria juu ya majibu ya maswali, watakuja kufahamu kwamba Mwana wa Mungu ni muhimu kuliko malaika wowote.

Ushairi

Walimu Wayahudi sawa na manabii wa Agano la kale, waliyaweka masomo yao mengi ya muhimu kwa ushairi ili wasikilizaji waelewe na kuyakumbuka.

| >>

Hebrews 1:1

Sentensi Unganishi:

Hii inaweka msingi wa kitabu chote: Ukuu wa Mwana- Mwana ni mkuu kuliko wote. Kitabu kinaanza na msisitizo kwamba Mwana ni mkuu kuliko manabii na malaika.

Maelezo ya Jumla:

Ingawa haijaelezwa mwanzoni mwa kitabu, barua hii iliandikwa kwa Waebrania Wakati (Wayahudi) ambao kimsingi walikuwa wanaelewa maelekezo mengi ya Agano la Kale.

Kupitia Mwana

''Mwana" ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.

Mungu kuwa mrithi wa vitu vyote

Mwandishi anamwelezea kana kwamba Mwana atarithi utajiri na mali kutoka kwa Baba. AT: " kumilili vitu vyote"

Mungu aliuumba ulimwengu kupitia yeye

"Ni kupitia yeye pia Mungu aliviumba vitu vyote.

Mwana

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.

mng'ao wa utukufu wa Mungu

"mwanga wa utukufu wake.'Utukufu wa Mungu una muunganiko wa mng'ao sana. Mwandishi anasema Mwana anabeba mng'ao huo na anamwakilisha Mungu kwa ukamilifu.

tabia sawa ya asili yake

"sura ya Uungu wa mungu." Hii ina maana sawa na "mng'ao wa utukufu wa Mungu" Mwana anabeba tabia na asili ya Mungu na anawakilisha uungu wote wa Mungu. inaweza kusemwa katika

neno la nguvu zake

"neno lake la nguv." Hapa "neno" linamaanisha ujumbe au amri. AT: "amri yake ya nguvu"

Baada ya kufanya utakaso kwa ajili ya dhambi

Jina dhaniwa"takasa" linaweza kuelezea kama kitenzi: "kufanya safi." AT: "Baada ya kumaliza kutufanya kuwa safi' au baada ya kumaliza kututakasa kutoka katika dhambi zetu"

amefanya utakaso kwa ajili yetu

Mwandishi anaongea juu ya msamaha wa dhambi kana kwamba ulikuwa unamfanya mtu kuwa safi. AT: amefanya uwezekano kwa ajili ya Mungu kusamehe dhambi"

aliketi katika mkono wake wa kuume wa mwenye enzi"

Hapa "mkono wa kulia" linamaanisha sehemu ya utukufu.AT: "aliketi katika sehemu ya utukufu karibu na kwenye enzi"

Mwenye enzi aketiye juu

"Hapa "enzi" linamaanisha Mungu. AT: "Mungu mwenye enzi

Hebrews 1:4

maelezo ya Jumla:

Hii ni nukuu ya kinabii (Wewe mwanangu) inatoka katika Zaburi. Nabii Samweli aliandika unabii wa pili (nitakuwa baba kwake). Maneno yote ambaye yanamaanisha Yesu. Neno "Wewe" linamaana ya Yesu, na neno "Mimi" linamaanisha Mungu Baba.

Amekuwa

''Mwana amefanyika"

Kama jina alilorithi ni bora zaidi ya majina yao Kwa malaika gani aliwahi kusema ...baba"?

Mwanaidishi anaongea katika swala la kupokea heshima na mamlaka kana kwamba alikuwa akirithi utajiri na mali kutoka kw baba yake.AT: "amepokea."

Ni malaika wapi Mungu alimewahi kuwambia "Wewe ni mwanangu... mwana kwangu"?

Swali linasistiza kuwa Mungu hamwita malaika yeyote mwana wake. AT: " kwa sababu Mungu hajawahi kumwabia malaika yeyote 'Wewe ni mwana wangu... mwana kwangu."

Na tena...kwangu

"Na tena, hakuwahi kusema kwa malaika yeyote, '...kwangu'?"

Wewe ni mwanangu...nimekuwa baba yako...nitakuwa baba kwake...atakuwa mwana kwangu

Uhusiano maalumu Mungu Baba alionao na Mungu Mwana umeelezwa katika Agno la Kale mamia ya miaka kabla ya Yesu kuzaliwa.

Wewe ni mwanangu... nimekuwa baba yako

maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kimoja.

Hebrews 1:6

Maelezo ya Jumla:

Nukuu ya kwanza katika sehemu hii (Malaika wote wa Mungu...) inatoka katika moja ya kitabu alivyoandika Musa. Na nukuu ya pili (Yeye afanyaye ...) inatoka katika kitabu cha Zaburi.

Mzaliwa wa kwanza

Hii inamanisha Yesu.Mwandishi anamwelezea Yesu kama "mzaliwa wa kwanza" kusisitiza umuhimu na mamlaka juu ya mtu yeyote. Haina maana ya kuwa kulikuwa na wakati fulani ambao Yesu hakuwepo au kwamba Mungu alikuwa na wana kama Yesu. AT: "Mwana wake mheshimiwa, Mwana wake wa pekee.

akasema

"Mungu anasema"

Yeye awafanyaye malaika wake roho, na watumishi wake miali ya moto

Maana inayowezekana: 1) "Mungu amewafanya malaika wae kuwa roho zinazomtumikia kwa nguvu kama miali ya moto." (UDB) au 2)Mungu hufanya upepo na miali ya moto kuwa "watumwa" na watumishi wake. Katika lugha za asili neno "malaika" ni sawa na neno "mtumishi," na neno "roho" ni sawa na "upepo." Kwa maana yoyote ile ujumbe kusudiwa ni kwamba malaika wanamtumika Mwana kwa kuwa ni mkuu,

Hebrews 1:8

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii ya andiko inatoka katika kitabu cha Zaburi

Kuhusu Mwana anasema,

"Lakini Mungu asema hivi kuhusu Mwana"

Mwana

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.

Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele

Kiti cha enzi kinawakilisha utawala. AT: " Wewe ni Mungun na utawala wako utadumu milele"

fimbo yako ya ufalme ni ya haki

Fimbo yautawala inamaanisha utawala wa Mwana. AT: "Na utatawala juu ya watu katika ufalme wako kwa haki"

amekupaka mafuta ya furaha zaidi ya wenzako

Hapa "mafuta ya furaha" inamaanisha furaha aliyokuwa nayo wakati Mungu alipo muheshimu. AT:"amekuheshimu na amekufanya kuwa na furaha zaidi ya yeyote.

Hebrews 1:10

Sentensi Unganishi:

Mwanadishi anaendelea kufanua kwamba Yesu ni mkuu kwa malaika.

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii inatoka katika Zaburi.

Hapo mwanzo

"Kabla ya kitu chochote hakijakiwapo"

uliweka misingi ya nchi

Mwandishi anaongea Mungu kuumba dunia kana kwamba anajenga juu ya msingi. AT: " uliumba dunia"

Mbingu ni kazi za mikono yako

Hapa "mikono" inamaanisha nguvu na matendo ya Mungu.AT: "uliziumba mbingu"

Zitaharibika

"Mbingu na nchi zitapotea" au " mbingu na nchi hazitakuwepo tena"

zitachakaa kama kipande cha nguo

Mwandishi anaongea juu mbingu na nchi kama ilikuwa ni kipande cha vazi ambayo itazeeka na mwishowe na kutofaa.

atazianua kama vazi

Mwandishi anaongea kana kwamba mbingu na na nchi ni nguo au aina nyingine ya vazi.

Vitabadilishwa kama kipande cha nguo

Mwandishi anaongea juu ya mbingu na na nchi kana kwamba ni nguo ambazo zinaweza kubadlishwa

zitabadilishwa

Hii inaweza kusema katika muundo tendaji. AT: "utazibadilisha"

Miaka yako haina mwisho

Vipindi vya nyakati vinatumika kuwakilisha Uwepo wa Mungu wa milele.AT: "maisha yako hayatakuwa na mwisho"

Hebrews 1:13

Maelezo ya Jumla

Nukuu hii inatoka katika Zaburi nyingine.

Lakini ni malaika gani wakati wowote Mungu amesema...miguu?

Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba Mungu hajawahi kumwambia malaika. AT: '"Lakini Mungu hajamwambia malaika yeeyote wakati wowote"'

Keti mkono wangu wa kulia

Hapa mkono wa kulia unamaanisha sehemu ya heshima. AT: "Kaa karibu yangu katika sehemu ya heshima"

Hadi nitakapo waweka maadui wako chini ya miguu yako

Maadui wa Kristo wanaongelewa kana kwamba watakuwa chombo ambachomfalme anaweka miguu yake, Picha hii inawakilisha kushindwa na aibu kwa maadui wake.

Sio malaika wote ni roho... wanarithi wokovu

Mwandishi anatumia hili swali kuwakumbusah wasomaji wake kwamba malaika hawana nguvu kama Kristo, lakini wana jukumu tofauti. AT: "malakia wote ni roho ambazo... hurithi wokovu."

kwa wale watakaorithi wokovu

Kupokea kile ambacho Mungu amewaahidi waumini imeongelewa kana kwamba wanarithi utajiri na mali kutoka katika mwana familia. AT: "kwa ajili ya wale wote ambao Mungu atawaokoa"

Hebrews 2

Waebrania 02 Maelezo kwa jumla

Muundo na mpangilio

Sura hii inahusu jinsi Yesu ni bora kuliko Musa, Mwisraeli mkuu kuliko wote.

Watafsiri wengine wameweka kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 2:6-8, 12-13, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Ndugu

Huenda mwandishi anatumia neno "ndugu" kuashiria Wakristo waliokua kama Wayahudi.

<< | >>

Hebrews 2:1

Sentensi Unganishi:

Hili ni onyo la kwanza kati ya maonyo matano mwandishi anatoa

Ni lazima

Hapa "sisi"inamaanisha mwandishi anajijumuisha kwenye kundi lake.

ili kwamba tukatengwa/ kuchukuliwa mbali

kuamini katika neno la Mungu kidogo huongelewa kana kwamba mtumbwi ulikuwa ukichukuliwa mbali juu ya maji kutoka mahali ulipaswa kuwa. AT: " ili kwamba polepole tusiache kuliamini."

Hebrews 2:2

Kama ujumbe uliozungumzwa kupitia malaika

Wayahudi waliamini kuwa Mungu alisema sheria yake kupitia malaika. Hii inaweza kuelezewa katika mfumo tendaji. AT: "Kama ujumbe ambao Mungu aliongea kupitia malaika"

Kwa kuwa kama ujumbe

Mwandishi ana hakika kuwa mambo haya ni kweli. AT: "Kwa sababu ujumbe"

Ni halali

"ni sahihi au "kweli"

kila kosa na uasi hupokea adhabu ya haki

Neno kosa and uasi husimama kwa ajili ya watu ambao wana hatia kwa ajili ya dhambi hizi. AT: "kila mtu atendaye dhambi atapokea adhabu ya haki"

kosa na uasi

maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kimoja.

tutapataje kuepuka kama tusipojali wokovu mku u kama huu?

Mwanadishi anatumia swali kusisitiza watu wata pokea adhabu kama watakataa wokovu wa Mungu kupitia Kristo. AT: "hivyo Mungu atatuadhibu kama hatuutilii manani ujumbe wake kuhusu vile Mungu atakavyo tuokoa!"

kutojali

"kutojali" au "kuona sio muhimu"

Huu ni waovu ambao kwanza ulitangazwa na Bwana

Hii inaweza kusemwa katika mtumo tendaji. AT: "Bwana mwenyewe kwanza alitangaza ujumbe vile atakavyo tuokoa"

na ametuthibitishia kupitia wale walio sikia

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. " na wale walio siki ujumbe walituthibitishia"

kulingana namapenzi yake

" kama jinsi alivyopenda kufanya"

Hebrews 2:5

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anawakumbusha Waebrania hawa kwamba siku moja nchi itakuwa chini ya utawala wa Bwana Yesu.

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hapa inatoka katika kitabu cha Zaburi katika Agano la Kale. Inaendele hadi sehemu inayofuata.

Kwa sababu kama haikuwa kwa malaika ambao Mungu aliwaweka

"Kwa kuwa Mungu hakuwaweka malaika kuwa watawala"

Ulimwengu ujao

"Ulimwengu" hapa unamaanisha kwa watu wanaoishi huko. Na "ujao" unamaanishi huu ni ulimwengu uajao baada ya Yesu atakaporudi. AT: "watu watakaoishi katika ulimwengu wa mpya"

Mtuni nani, kwamba uweze kumkumbuka/ kumjali?

Swali linatumika kusisitiza kuwa wanadamu sio muhimu kwa kumfanya Mungu kuwajal.AT: "Hakuna mwandamu ambaye ni wa Muhimu wa kumfanya Mungu kufikiri kuhusu yeye!"

Au mwana wa mtu , kwamba umjali?

Kimsingi hii inamaanisha kitu kilekile kinachoelezewa katika swali la kwanza. Swali lisilo hitaji kujibiwa linasisitiza mshangao kwamba wanadamu si wa muhimu kiasi cha kwamba Mungu awajalli.AT: "Hakuna mwanadamu anayesitahili kujaliwa na wewe!"

Hebrews 2:7

mdogo kuliko malaika

Mwandishi anamuongelea mwanadamu kuwa sio wa muhimu kuliko malaika kana kwamba wanadamuwamesimama katika nafasi amabayo ni ya chini kuliko nafasi ya malaika. AT: "mdogo kuliko malaika."

amemfanya mtu...amevika... miguu yake... kwake

Maneno haya sio kwa ajili ya mlengwa mmoja bali inajumuisha wanadamu wote, inajumuisha wanaume na wanawake.AT: "amewafanya wanadamu... amewavika...miguu yao... kwao"

umemvika utukufu na heshima

zawadi ya utukufu na heshima zinaongelewa kana kwamba ni shada la majani lililowekwa kichwani mwa mshindi wa mchezo. AT:"umewapa utukufu mwing na heshima"

Umeweka kila kitu kiwe chini ya miguu yake

Mwandishi anamuongelea mwanadamu kuwa na utawala juu ya kila kitu kana kwamba wamesimama juu ya kila kitu. AT: "Umewapa kumiliki juu ya vitu vyote"

Hakuacha kitu chochote kisicho kuwa chini yake

maneno mawili hasi yanamaanisha kwamba vitu vyote vitawekwa chini ya Kristo. AT: "Mungu alifanya kila kitu kuwa chini yao"

Hatuoni vitu vyote vikiwa chini yake

tunafahamu kuwa bado wanadamu hawajawa wamiliki wa kila kitu

Hebrews 2:9

Sentensi Unganishi:

Mwanadishi anawakumbusha hawa Webrania waumini kwamba Kristo alipokuaja duniania alifanyika mdogo kuliko malaika alipokuja dunia kuteseka kufa kwa ajili ya msamaha wa dhambi, na kwamba alifanyika kuhani mkuu mwenye huruma.

tunamwona ambaye

"twafahamu kuwa kuna mwingine"

aliyefanyika

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "ambaye Mungu alimfanya'

chini kuliko malaika...amevikwa utukufu na heshima

Tasifri hii kama ulitafsiri sura ya 2:7

amevikwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimvika'

amaeonja kifo

Uzoefu wa kifo unaongelewa kana kwamba kifo ni chakula kilichoonjwa.AT: "ameonja kifo" au "amekufa"

kwa kuwa kila mtu

"Mtu" hapa linamaanisha watu wote. wakijumuishwa wanaume na wanawake. AT: "kwa kuwa kila mtu"

awaleta wana wengi katika utukufu

Zawadi ya utukufu hapa inaongelewa kana kwamba ni sehemu ambayo watu wangeweza kuletwa. AT: "awaokoe wana wengi"

wana wengi

Hapa wanamaanishwa waumini wote katika Kristo, ikijumuisha wanaume na wanawake.AT: "waumini wengi"

kiongozi wa wokovu wao

Mwanadishi anaongea wokovu kana kwamba ni sehemu ambayo Yesu anawaongoza waumini kuelekea katika sehemu hiyo. Hii inamaanisha Yesu ni mtu ambaye alitenda kwanza ili awaokoe wengine. AT:"yeye anayewaokoa watu"

mkamilifu/ timiza

kukua kiroho na kufundishwa kikamilifu kunaongelewa kana kwamba mtu alikuwa akifanywa mtimilifu, pengine mtimilifu katika viungo vya mwili wake.

Hebrews 2:11

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii ya kinabii inatoka katika Zaburi ya Mfalme Daudi.

yeye anaye dhabihu

yeye anayewafanya wenzake watakatifu" au " "yeye awafanyae wengine kujtenga na dhambi"

walio takaswa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji: AT: "wote anao wafanya watakatifu" au" wale anaowasafisha kutoka katika dhambi.

kuwa na chanzo kimoja

ambaye ni chanzo hicho ni nani inaweza kusemwa kwa ufasaha. AT: "muwe na chanzo, Mungu mwenyewe" au" muwe na yule yule.

haoni aibu

"Yesu haoni aibu"

haoni aibu kuwaita ndugu

maneno mawili hasi yanamaanisha atawafanya kama ndugu zake. AT: "anafurahishwa kuwaita ndugu"

Nitalitangaza jina langu kwa ndugu zangu

"Jina" hapa linamaanisha heshima ya mtu na kile walichokifanya. AT: "Nitatangaza kwa ndugu zangu mambo makuu uliyoyafanya"

kutoka katika asili/ kundi moja

"wakati waumini wanakuja pamoja kumwabudu Mungu"

Hebrews 2:13

Maelezo Jumla:

Nabii Isaya aliandika nukuu hizi

Na tena

"Na nabii aliandika andiko katika sura nyingine kuhusu kileKristo achokisema kuhusu Mungu:" (URD)

watoto... watoto wa Mungu

Hii inaongea wale wanaoamini katika Kristo kana kwamba ni walikuwa watoto wa Mungu.AT: wale walio kama watoto wangu...wale ambaao ni sawa na watoto kwa Mungu"

waliishi maisha yao yote katika utumwa.

Fungu hili la maneno limeelezwa na hurejea utumwa kwa hofu ya kifo

wanashiriki damu na mwili

maneno "mwili" na "damu" inamaanisha asili ya wanadamu." AT: "wote ni wanadamu"

"Yesu pia alishiriki mambo hayo hayo"

"Yesu alikuwa mwanadamu kama wao"

kwa kupitia kifo

kifo hapa kinaweza kuelezewa kama tendo. AT: "kwa kufa"

"alikuwa na nguvu ya kifo

kifo" hapa kinaweza kuelezewa kama tendo.AT: " alikuwa na kuvungu kuwafanya watu kufa"

Hii ilikuwa ili kwamba aweze kuwafanya huru wale wote ambao kupitia hofu ya kifo waliishi maisha ya utumwa

Hofu ya kifo inaongelewa kana kwamba ilikuwa utumwa. Kumuondolea mtu hofu inaongelewa kana kwamba ni kumfungua mtu kutoka utumwani.AT: "Hii ilikuwa ili kwamba awafungue watu wote. Kwa sababu tuliishi kama watumwa kwa sababu tulikuwa tukiogopa kufa"

Hebrews 2:16

mbegu ya Ibrahimu

Wana wa Ibrahimu wanaongelewa kana kwamba walikuwa mbegu yake. AT: "wana wa Ibrahimu"

ilikuwa ni muhimu kwake

"ilikuwa ni muhimu kwa Yesu"

kama ndugu zake

Neno "ndugu" hapa linamaanisha watu kwa ujumla. AT: "kama wanadamu"

ili alete msamaha wa dhambi kwa watu

Kifo cha Yesu msalabani kinamaanisha kwamba Mungu anaweza kusamehe dhambi. AT: "ili kwamba afanye uwezekano wa Mungu kusamehe dhambi za watu."

alijaribiwa

Hii inaweza kusema katika mfumo tendaji. AT: " Shetani akamjaribu"

wanaojaribiwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambao shetani anawajaribu"

Hebrews 3

Waebrania 03 Maelezo kwa jumla

Muundo na mpangilio

Watafsiri wengine wamewaka kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 3:7-11,15, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Ndugu

Huenda mwandishi anatumia neno "ndugu" kuashiria Wakristo waliokua kama Wayahudi.

Mifano muhimu za usemi katika sura hii

Fanya mioyo yenu iwe ngumu

Mtu anayefanya moyo wake kuwa ngumu ni yule ambaye hatamsikiliza ama kumtii Mungu. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#figs-metaphor)

Maswali ya hadith

Mwandishi anatumia maswali ya hadithi kama njia ya kuwaonya wasomaji wake. Yeye pamoja na wasomaji wake wanajua majibu ya maswali haya na mwandishi anajua kwamba wakati wasomaji watafikiria juu ya majibu ya haya maswali, watatambua kwamba wanatakikana kumsikiliza Mungu na kumtii.

<< | >>

Hebrews 3:1

Sentensi Unganishi:

Hili ni onyo la pili na ni refu na liko katika undani na linajumuisha sura ya 3 na 4. Mwandishi anaanza kwa kwa kuonyesha kwamba Kristo ni bora zaidi ya Musa mtumishi wake.

ndugu watakatifu

Neno "ndugu" linamaanisha wakristo wenza, inajumuisha wanaume kwa wanawake. AT: "kaka na dada watakatifu" au "ndugu watakatifu wenzangu"

mnashirika katika mwito wa mbinguni

"Mbinguni" hapa ina mwakilisha Mungu. AT: "Mungu ametuita pamoja"

mtume

Neno hili linamaanisha mtu aliyetumwa. Katika kifungu hiki hakimaanishi mtume kati ya wale kumi na wawili. AT: "aliyetumwa"

ya ukiri wetu

hii inaweza kusemwa ili kwamba nomino dhaniwa "kutubu" inelezea kama kitenzi "tubu." AT: "ambaye tunayemtubia" au "ambaye katika yeye tunaamini"

katika nyumba ya Mungu

Waebrania ambao Mungu amejifunua kana kwamba ilikuwa ni nyumba halisi. AT: "kwa watu wote wa Mungu"

Yesu amefinywa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu amemfanya Yesu"

yeye ajengaye kila kitu

Matendo ya Mungu ya uumbaji wa ulimwengu yanaongelewa kana kwamba amejenga nyumba.

kila nyumba imejengwa na mtu

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. AT: "kila nyumba ina mtu aliyeijenga"

Hebrews 3:5

Hakika/ na

Hili neno linaanzishwa ulinganifu kati ya Musa na Kristo. Hili neno linaweza kuachwa katika tafsiri, kama sio muhimu.

Katika nyumba nzima ya Mungu

Waebrania ambao Mungu alijifunua mwenyewe wanaongelewa kana kwamba zilikuwa ni nyumba halisi. Tazama vile ulivyo tafasiri kama ulivyofanya 3:1.

Alikuwa ni ushuhuda kuhusu vitu

Pengine neno hili linamaanisha kwa kazi zote za Musa. AT: "Maisha na kazi za Musa zilielekeza kwenye vitu"

Viliongelewa katika wakati ujao

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: " Yesu angesema katika siku zijazo"

Mwana

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.

mtumishi katika nyumba ya Mungu

Hii inaongea kuhusu watu wa Mungu kana kwamba zilikuwa nyumba halisi. AT: "ambaye anatawala juu ya watu wa Mungu"

Sisi ni nyumba yake

Hii inaongea kwa watu wa Mungu kana kwamba ni nyumba halisi. AT: "Sisi ni watu wa Mungu"

kama tukiendelea kushikilia "ujasiri" wetu na tumaini letu lenye fahari

"ujasiri" na "tumaini lenye fahari" ni dhaaniwa na inaweza kusemwa kama vitenzi. AT: "tutaendelea katika ujasiri na furaha na kutumaini Mungu kufanya kile alichoahidi"

Hebrews 3:7

Sentensi Unganishi:

Onyo hapa ni ukumbusho kwamba kutokuamini kwa Waisraeli kuliwafanya wote kutoingia katika nchi ambayo Mungu alikuwa amewahidi. Kutokuamini kwao kulionyeshwa vizuri katika Kutoka 17:1, walipo mlalamikia Musa na kuwa na mashaka juu ya Mungu kama alikuwa pamoja nao.

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii inatoka katika Agano la Kale katika Zaburi.

kama mkisikia sauti yake

Amri za Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba aliwakuwa amewapa katika sauti ya kusikika. AT: "kama mtasikia Mungu akiongea"

Msifanye mioyo yenu kuwa migumu

Ugumu wa moyo unaongelewa kana kwamba ni moyo halisi umefanywa kuwa mgumu. AT: "msiwewenye mioyo migumu"

kama katika uasi wakati wa kujaribiwa jangwani

Hapa "uasi" na "kujaribiwa" yanaweza kuelezewa kama vitenzi. AT: "kama vile na mababu zenu walivyo muasi Mungu na kumjaribu jangwani"

Hebrews 3:9

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii inatoka katika Zaburi.

Mababa

"zenu" hapa linamaanisha watu wa Israeli

kwa kunijaribu

Mungu ndiye anayeongea

miaka arobaini

"miaka 40"

Sikufurahishwa

"Nilikuwa na hasira" au "sikufurahia kabisa"

mara zote wanapotoshwa katika mioyo yao

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mara zote wanaenda katika njia zisizomfurahisha Mungu"

mioyoni mwao

Neno "mioyo" inamaanisha akili au tamaa za

Wamevijua njia zangu

Hii inaongelewa katika hali ya kuyafanya maisha ya mtu kana kwamba ni zilikuwa ni njia. AT: "Hawaelewi jinsi nilivyowataka waishi katika maisha yao"

Hawataingia katika pumziko langu

Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu unaongelewa kana kwamba zilikuwa pumziko ambalo angeweza kuwapa, na kama zilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "Hawataingia kamwe katika sehemu ya pumziko" au "sitawaruhusu kupata baraka zangu za pumziko"

Hebrews 3:12

ndugu

Hili linatulejesha kwa ndugu Wakristo, ikijumuisha jinsia zote mbili za kiume na kike. AT: "kaka na dada" au "waumini wenza"

Hakutakuwa na mtu yeyote aliye na moyo mwovu usioamini

moyo unaongelewa hapa kana kwamba ni akili ya mtu, sehemu ya utashi ya mtu. AT: "mtu yeyote kati yenu asiache kuamini katika Mungu"

Moyo ambao unageuka kinyume na Mungu

Moyo mtu unaongelewa kana kwamba nimtu mzima, ambaye angeweza kuacha kufuata njia sahihi. AT: "na unaacha kumtii Mungu aishie"

Mungu aishie

"Mungu wa kweli ambaye kweli anaishi"

kama iitavyo "leo"

"wakati nafasi inapatikana"

Hakuna mmoja miongoni mwenu moyo wake utfanywa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "udanganyifu wa dhambi haufanyi moyo mgumu wa mtu yeyote kati yenu"

hakunammoja kati yenu moyo wake utafanywa kuwa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi

kutokuwa msikivu kunatazamwa kana kwamba kuwa mgumu au kuwa na moyo mgumu. Ugumu wa moyo ni matokeo ya udanganyifu wa dhambi. Hii inaweza kutiwa neno ili kwamba nomino dhaniwa "udanganyifu" inaelezewa kama kitenzi "danganya." AT: "hakuna mtu miongoni mwenu atanganywa na dhambi na kutokuwa msikivu" au "usitende dhambi, ukijidanganya mwenyewe na kutokuwa msikivu"

Hebrews 3:14

Maelezo ya Jumla:

Hii inaendelea kutoka Zaburi ile ile ambayo pia ilinukuliwa katika 3:7.

Kwa sababu tumekuwa

"Tumekuwa" hapa inamaanisha wote, mwandishi na wasomaji,

kama tutaendelea kushikilia ujasiri wetu katika yeye

"kama tukiendelea kutumaini katika yeye kwa ujasiri"

kutoka mwanzo

"tangu mwanzo tulipoanza kuamini katika yeye"

hadi mwisho

Hii ni namna ya kusema kwa upole ikimaanisha mtu anapo kufa.AT: "hadi tunakufa"

imesemwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mwandishi aliandika"

Leo, ukisikia

Amri ya Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba aliwapa katika hali ya kusikia. AT: "kama utasikia Mungu anaongea." Tazama kama ulivyo tafsiri 3:7.

kama katika kuasi

"Uasi" hapa unaweza kusemwa kama kitenzi. AT: "kama vile mababa zako walivyo muasi Mungu." Tanzama ulivyo tafsiri 3:7.

Hebrews 3:16

Maelezo ya Jumla:

Neno "wao" linamaanisha kwa kutotii kwa Waisraeli, na "sisi" inamaanisha mwandishi na wasomaji.

Ni wakina nani walio msikia Mungu na kuasi? Si wale waliokuja kutoka Misri kupitia Musa?

Mwandishi anatumia maswali kudundisha wasomaji wake. Maswali haya mawili yanaweza kuunganishwa kama sentensi moja, kama itahitajika. AT: "wale wote waliokuja na Musa kutoka Misri walimsikia Mungu, lakini bado waliasi."

Ni akina nani ambao Mungu aliawakasirikia kwa miaka arobaini? Sio wale waliotenda dhambi, ni miili ya kina nani iliyanguka jangwani/ nyikani?

Mwandishi anatumia maswali kuwafundisha wasomaji wake. Maswali haya mawli yanaweza kuunganishwa na kuwa swali moja, kama litahitajika. AT: "Mungu alikuwa na hasira kwa miaka 40 na wale waliotenda dhambi na kuwaacha wafe nyikani."

hawakuweza kuingia katika raha yake

Amani na ulinzi ambao Mungu vinaomgelewa kana kwamba ni pumziko alilowapa, na kama kwama vilikuwa ni sehemu za kwenda. AT: "hawataingia sehemu ya pumziko" au "hawatapata baraka zake za pumziko"

kwa sababu ya kutokuamini kwao

"kutokuamini" inaweza kusemwa kama kitenzi "tumaini." AT: "kwa sababu hawakuweza kumtumaini"

Hebrews 4

Waebrania 04 Maelezo kwa jumla.

Muundo na mpangilio

Sura hii inaelezea kwa nini Yesu ni Kuhani Mkuu kuliko wote

Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 4:3-4,7, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Mapumziko ya Mungu

Neno "mapumziko" linaonekana kuashiria vitu viwili katika sura hii. Inaashiria mahali ama wakati Mungu atawaruhusu watu wake kupumzika kutokana na kazi zao (Waebrania 4:3), ama inaashiria kupumzika kwa Mungu siku ya Saba (Waebrania 4:4).

<< | >>

Hebrews 4:1

Sentensi Unganishi

Sura ya 4inaendeleza onyo lililoanza katika sura ya 3:7.Mungu kwa kupitia mwandishi anawapa waumini pumziko ambalo pumziko la Mungu katika uumbaji dunia ni picha.

kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeweza kuonekana kushindwa kuifikia ahadi ya kuingia katika pumziko la Mungu iliyobaki kwa ajili yenu

Ahadi ya Mungu inaongelewa kana kwamba ilikuwa ni zawadi iliyoachwa baada ya Mungu kuwatembelea watu. AT: "mmoja wenu asishindwe kuingia katika pumziko la Mungu , ambalo alituahidi".

kuingia katika pumziko la Mungu

Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu huongelewa kana kwamba vilikuwa ni pumziko ambalo anaweza kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "kuingia katika sehemu ya pumziko" au "kupata baraka za pumziko la Mungu.

Kwani tumekuwa na habari njema kama walivyokuwa nazo

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Kwa kuwa tulisikia habari njema kama walivyosikia"

kama walivyo

walivyo hapa linamaanisha mababu/mababa wa Kiebrania ambao walikuwa hai wakati wa Musa.

Lakini ujumbe ule haukuwafaa wale ambao hawakuungana katika imani pamoja na wale walio tii

"Lakini ujumbe ule haukuwafaa wale ambao hawakuungana na watu walio amini na kutii." Mwandishi anaongea kuhusu makundi mawili ya watu, wale waliopokea agano la Mungu kwa imani, na wale walio sikia lakini hawakuamini.

Hebrews 4:3

Maelezo ya Jumla:

Nukuu ya kwanza hapa (Kama nilivyoapa...) inatoka katika Zaburi, na nukuu ya pili (Mungu akapumzika...) inatoka katika Maandiko ya Musa, na ya tatu (Hawataingia...) inatoka katika Zaburi.

Sisi tulioamini

"sisi tulioamini"

watakao ingia katika pumziko hilo

Amani na ulinzi alioutoa Mungu vinaongelewa kana kwamba vilikuwa ni pumziko ambazo anaweza kuwapa, na kana kwamba ilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeenda.

Kama alivyo sema

"Kama vile Mungu alivyosema"

Kama nilivyo apa katika hasira yangu

"Kama nilivyo apa wakati nilipokuwa nimekasirika sana"

Hawataingia kwenye pumziko langu

Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda.

kazi yake ya uumbaji ilimalizika

Hii inaweza kuwekwa katika mfumo tendaji. AT: "alimaliza uumbaji" au "alimaliza kazi zake za uumbaji"

tangu mwanzo wa dunia/ ulimwengu

Mwandishi anaongelea dunia kana kwamba ni jengo lililowekwa kwenye kwenye msingi.

siku ya saba

Hii inasimama kama badala ya "saba"

Hebrews 4:6

bado imewekwa kwa baadhi kuingia katika pumziko

Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "Mungu bado anaruhusu baadhi ya watu kuingia katika sehemu yake ya pumziko.

kama mtasikia sauti yake

Amri za Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba alikuwa amewapa kwa sauti. AT: "kama mtasikia Mungu akiongea"

msifanye mioyo yenu kuwa migumu

kutosikia kunaongelewa kana kwamba ni moyo ulikuwa umwefanya kuwa mgumu. AT: "Msiwe wenye mioyo migumu." Tafsiri kama ulivyofanya 3:7.

Hebrews 4:8

Sentensi Unganishi:

Mwanadishi anawaonya waumini wasiache kumtii Mungu, bali waiingie katika pumziko ambalo Mungu anawapa. Anawakumbusha kwamba neno la Mungu litawashuhudia na kwamba wanaweza katika maombi kwa ujasiri na kwamba Mungu atawasaidia

kama Yoshua angekuwa amewapa pumziko

Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "kama Yoshua angewaleta Wasraeli kwenye sehemu ambayo Mungu angewapa pumziko"

tuwe na shauku

Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ya kuingia. AT: "tunapaswa kufanya kila kitu ili tuingie katika mpumziko mahali alipo"

wataanguka katika aina ya kutotii ambao walifanya

kutokutii kunaongelewa kana kwamba ni mtu mzima ambaye angeweza kuanguka katika ajali.

Hebrews 4:12

neno la Mungu li hai

"Neno la Mungu" hapa linamaanisha kila kitu ambacho Mungu ameongea kwa wanadamu iwe kwa kuongea au kwa kupitia ujumbe ulioandikwa.

lina hai na lina nguvu

Hii inaongelea neno la Mungu kana kwamba linaishi. Inamaanisha wakati Mungu anapoongea ni kuna nguvu na utendaji kazi.

lina ukali kuliko upanga wowote wenye makali mawili

upanga wenye makali. upanga wenye makali kuwili ni rahisi kukata kupitia mwili wa mtu. Neno la Mungu lina nguvu katika kuonyesha kilichomo katika moyo na mawazo ya watu.

Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho.

Hii inaendelea kuongea kuhusu neno la Mungu kana kwamba ulikuwa ni upanga. Upanga hapa ni mkali sana kiasi kwamba unaweza kukata na kugawa viungo vya mwanadamu ambavyo ni vigumu pengine visivyo wezekana kugawanyika.

nafsi na roho

Haya ni maneno mawili tofauti lakini sehemu za mwanadamu ambazo hazina mwili. "Nafsi" ndiyo inamfanya mtu kuwa hai na "roho" ni sehemu ya mtu ambayo inamsababisha kuweza kumjua na kumwamini Mungu.

viungo kutoka maboho

"kiungo" ndicho kinacho shikilia mifupa miwili pamoja. "uboho" ni sehemu ya kati ya mfupa.

kuweza kufahamu

Hii inaongea neno la Mungu kana kwamba ni mtu ambaye angewezakujua kitu.

mawazo na makusudi ya moyo

Hii inaongea kuhusu moyo kana kwamba ni sehemu ya kati ya mawaazo na hisia za mwanadamu.

Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu

Hili linaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. AT: "hakuna kitu kilichoumbwa na Mungu kinaweza kujificha mbele zake"

kila kitu kiko wazi

Hii inaongelea kila kitu kana kwamba ni mtu amesimama wazi au boksi lililo wazi.

wazi na iliyo wazi

Kimsingi maneno haya mawilii yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba hakuna kitu chochote kilichojificha mbele za Mungu.

kwa macho ya yule tutakaye toa hesabu

Mungu anaongelwa kana mwamba ana macho ya nyama. AT" Mungu atatuhukumu kulingana na vile tulivyoishi"

Hebrews 4:14

aliyeziingia mbingu

"aliyeingia mahali alipo Mungu"

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.

tushikilie sana imani zetu

imani na tumaini vinaongelewa kana kwamba ni vitu ambavyo mtu angeweza kuvikumbatia.

hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kutuhurumia... Badala, tunaye

Maneno haya yakukanusha yanalenga kuonyesha kwamba Yesu ni mwenye huruma kwa watu . AT: " tunaye kuhani mkuu anayeweza kutuhurumia...Kweli tunaye"

kiti cha enzi cha neema

"kiti cha enzi cha Mungu, pale palipo na neema" au "pale Mungu, ambaye ni neema, ameketi katika kiti chake cha enzi"

yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi

Hii inaweza kusemwa katikamfumo tendaji. AT: "yeye ambaye amevumilia majaribu katika kila hali tunayoipitia" au "ambaye movu amekuwa akimjaribu katika kila njia anavyotujaribu"

hana dhambi

"hakutenda dhambi"

kiti cha enzi cha neema

"kwemye kiti cha enzi cha Mungu palipo na neema." "kiti cha enzi" hapa kina maanisha utawala wa Mungu kama mfalme.

ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.

"rehema" na "neema" hapa vinaongelewa kana kwamba ni vitu ambavyo vinaweza kupewa au kupatikana.

Hebrews 5

Waebrania 05 Maelezo kwa jumla

Muundo na mpangilio

Sura hii inaendeleza mafundisho ya sura iliyopita.

Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 5:5-6.

Dhana muhimu katika sura hii

Kuhani mkuu

Ni kuhani mkuu tu angetoa dhabihu ili Mungu asamehe dhambi na kwa hivyo lazima Yesu alikuwa kuhani Mkuu. Sheria ya Musa iliamuru kwamba kuhani mkuu atoke kwa kabila la Walawi lakini Yesu alitoka kabila la Yuda.Mungu alimfanya kuhani kama Melikizedeki aliyeishi nyakati za Abarahamu kabla ya kuwepo kabila la Walawi.

Mifano muhimu za usemi katika hi sura

Maziwa na chakula kigumu

Mwandishi anazungumzia Wakristo ambao wako tu na uwezo wa kuelewa vitu rahisi kumhusu Yesu kana kwamba walikuwa watoto wachanga wanaokunywa tu maziwa na hawawezi kulaa chakula kigumu. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#figs-metaphor)

<< | >>

Hebrews 5:1

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anafafanua dhambi za makuhani wa Agano la Kale, na kisha anaonyesha kuwa Kristo anao ukuhani bora, na hautokani na ukuhani wa haruni, bali unaotokana na ule waMelkizedeki.

chaguliwa kutoka miongoni mwa watu

Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "ambaye Mungu anachagua kutoka miongoni mwa watu"

amechaguliwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu huachangua/ huteuwa"

kusimama badala ya/ kutenda kwa niaba ya watu

"kuwawakilisha watu"

wajinga na waovu

"wale walio wajinga waovu"

waovu

watu ambao wanaishi katika njia za dhambi"

amezungukwa na udhaifu.

udhaifu wa kuhani mkuu unaongelewa kana kwamba ni nguvu zilizo mzunguka

udhaifu

hapa inamaanisha hamu ya kutenda dhambi.

pia anahitajika

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. "Mungu pia anamhitaji"

Hebrews 5:4

Sentensi Unganishi:

Nukuu hii inatoka katika Zaburi katika Agano la Kale

achukuaye heshima hii

Heshima inaongelewa kana kwamba ni kitu ambacho Mungu kukichukua katika mkono wake.

achukue heshima hii

heshima au sifa na heshima ambazo watu walimpa kuhani mkuu husimama kwa ajili ya majukumu yake

aitwe/ ameitwa na Mungu, kama alivyokuwa Haruni

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimwita kama alivyomwita Haruni"

Mungu alisema kwake

"Mungu alisema kwake"

" Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako."

kimsingi neno hili linamaanisha kitu kimoja. Tazama ulivyotafsiri 1:4.

Hebrews 5:6

Maelezo ya Jumla:

Unabi huu unatoka katika Zabur ya Daudi.

kama asemavyo/ pia anasema

kwa yule ambaye Mungu anaongea naye inaweza kusemwa wazi. AT: "pia anamwambia Kristo"

katika sehemu nyingine

"katika sehemu nyingine katika maandiko"

mfano wa Melkizedeki

Hii inamaana kuwa Kristo kama kuhani ana vitu vinavyofananana Melkizedeki kama kuhani.

Hebrews 5:7

kipindi chake katika mwili

Neno siku/ kipindi zinasimama badala ya kipindi cha muda. Na "mwili" unasimama badala ya maisha ya Yesu duniani, AT: "wakati aliposhi duniani"

maombi na kuombea/

Kimsingi maneno haya yanamaanisha kitu kimoja

kumwokoa kutoka kwenye kifo

Kifo kinaongelewa kana kwamba ilikuwa ni sehemu kKristo angezuiliwa kutoingia, au kana kwamba ni sehemu ambayo angeokolewa.

alisikiwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimsikia"

mwana

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.

mambo yaliyomtesa

mateso kana kwamba ni vitu.

Hebrews 5:9

Sentensi Unganishi:

Katika mst wa11 mwandishi anaanza onyo lake la tatu. Anawaonya hawa wauminikuwa bado ni wachanga wa kiroho na kuwatia moyo kujjifunza neno la Mungu ili kwamba waweze kutambua jema na baya.

alifanywa mkamilifu

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alifanya mkamilifu"

alifanya mkamilifu

hapa inamaanisha kuweza kufanywa mtu mzima kiroho, kuwa tayari kumtii Mungu katika nyanja zote za maisha.

Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele

Nomino dhaaniwa "wokovu" inaweza kusemwa kama kitenzi. AT: "hivyo anawaokoa wale wote wanaomtii na kuwafanya waishi milele"

kwa kutengwa na Mungu

Hii inaweza kusems katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimtenga" au "Mungu alimteua"

baada ya zamu ya Melkizedeki

hii inamaanisha kwamba Kristo kama kuhani ana vitu vinavyofanana na Melkizedeki kama kuhani.

Tuna mengi ya kusema

Ingawa mwandishi anatumia neno la wingi lakini inaweza kuwa anamaanisha yeye mwenyewe.

ninyi ni wavivu wa kusikia

uwezo wa kuelewa na kutii kunaongelewa kana kwamba ulikuwa ni uwezo wa kusikia. Na uwezo wa kusikia kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni chuma cha kilichohabika katika matumizi.

Hebrews 5:12

kanuni za msingi

kanuni hapa zinamaanisha maelekezo au viwango vya kufanya maamuzi. AT:"msingi wa ukweli"

Mnahitaji maziwa

mafundisho kuhusu Mungu ambayo ni rahisi kuelewa yanaongelewa ni maziwa, chakula pekee ambacho watoto wachanga wanaweza kula. AT: "mmekuwa watoto na mnaweza kunywa maziwa pekee"

si chakula kigumu

mafundisho ambayo ni magumu kuelwa yanaongelewa kana kwamba kilikuwa ni chakula kigumu, kifaacho kwa watu wazima.

anywaye maziwa

anywaye linasimama ka kunywa.

kwa sababu bado ni mtoto

hii inaongelea waumni ambao wanaweza kuelewa mafundisho rahisi ya injili kana kwamba walikuwa watoto halisi.

ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.

watu walifundishwa kuelwa jambo wanaelezewa kana kwamba ni uwezo wa kuelewa umefundishwa.

Hebrews 6

Waebrania 06 Maelezo kwa jumla

Dhana muhimu kwa sura hii

Agano la Kiabrahamu

Katika agano Mungu alifanya na Abrahamu, Mungu aliahidi kuwafanya uzao wake kuwa taifa kubwa. Aliahidi pia kuwakinga uzao wa Abrahamu na kuwapa ardhi yao. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#covenant)

<< | >>

Hebrews 6:1

Sentensi Unganishi:

mwandishi anendele na kile Waebrania waumini walipaswa kufanya ili wawe wakristo wakomavu. Anawakumbusha mafundisho ya msingi.

tukiacha tulichojifunza kwanza kuhusu ujumbe wa Kristo, twapaswa kuwa na juhudi kuelekea kwenye ukomavu

Hii inaongelea kuhusu mafundisho ya msingi kana kwamba yalikuwa ni mwanzo wa safari na mafundisho makomavu kana kwamba ni mwisho wa safari.

tusiweke tena misingi ya toba kutoka katika kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,

Mafundisho ya msingi yanaongelewa kana kwamba yalikuwa ni jengo ambalo mjenzi alianza kwa kuweka msingi. AT: "tusirudie mafundisho ya awali... ya imani katika Mungu"

kazi zisizo na uhai

matendo ya dhambi yanaongelwa kana kwamba yalitoka katika ulimwengu wa wafu.

ala misingi ya mafundisho ya...hukumu ya milele

Mafundisho ya msingi yanaongelea kana kwamba yalikuwa ni jengo ambalo mjenzi wake alianza kwa kuweka msingi. AT: "wala mafundisho ya msingi... uzima wa milele"

kuwekea mikono

Huduma hii iliwekwa kwa kumtenga mtu kwa huduma au nafasi maalum.

Hebrews 6:4

wale ambao waliipata nuru

uelewa unaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kupatiwa nuru. AT: "wale ambao awali walielewa ujumbe kuhusu Kristo"

ambao walionja kipawa cha mbinguni

kuonja wokovu kunaongelewa kana kwamba ni kuoonja chakula. AT: walionja nguvu ya Mungu ya kuokoa"

kufanywa kuwa washirika wa Roho Mtakatifu,

Roho Mtakatifu ambaye anakuja kwa waumini, anaongelewa kana kwamba ni chombo ambacho watu wangeweza kushiriki. AT: "waliopoke Roho Mtakatifu"

ambao walionja uzuri wa neno la Mungu

Kujifunza neno la Mungu kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kuonja chakula. AT: "waliojifunza neno zuri la Mungu"

nguvu za wakati ujao

Hii inamaanisha nguvuza Mungu wakati ufalme wake utakapo kuwa umetimilka duniani kote. kwa mantiki hii "nguvu" ina maanishaMungu mwenyewe, ambaye anamiliki nguvu zote.

kisha wakaanguka

kupoteza uaminifu kwa Mungu kunaongelewa kana kwamba anguko la kimwili.AT: "walioacha kuamini katika Mungu"

haiwezekani kuwarejesha tena katika toba

"Haiwezekani kuwarejesha tena kwenye toba"

wamemsulubisha Mwana wa Mungu kwa nafsi zao

watu wanapoondoka kwa Mungu ni kana kwamba wanamsulubisha tena Yesu.

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo muhimu ambacho kinaelezea uhusiano kwa Mungu.

Hebrews 6:7

ardhi iliyopokea mvua inyeshayo mara kwa mara juu yake

ardhi inufaikayo na mvua nyingi inaongelewa kana kwamba ni mtu aliyekunywa maji mengi ya mvua.

ikatoa mazao muhimu

Ardhi izaayo mazao inaongelewa kana kwamba iliwazalia.

kwa hao waliofanya kazi katika ardhi

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kwa wale kwa ajili yao mtu aliandaa ardhi"

ardhi hupokea baraka kutoka kwa Mungu

Mvua naa mazao vinaonekana kama ushahidi kama Mungu amemsaidia mkulima. Ardhi inaongelewa kana kwamba ni mtu ambaye angeweza kupokea baraka za Mungu.

ipo katika hatari ya kulaaniwa

Hii inaongelea "laana" kana kwamba ni ilikuwa ni sehemu ambayo mtu angeweza kukaribia. AT: "iko katika hatari ya Mungu kuilaani.

Mwisho wake ni kuteketezwa

Mungu atasababisha kila kitu katika shamba hilo kuteketea.

Hebrews 6:9

tunashawishiwa

ingawa mwandishi anatumia nomino ya wingi "Tuna" mara nyingi anamaanisha yeye mwenyewe.

ambo mazuri yawahusuyo

Hii inamaana kuwa wanafanya vizuri kuliko wale walio mkataa Mungu, wasiomtii yeye, na hawawezi tena kutubu ili kwamba awasamene.

mambo yahusuyo wokovu

Nomino dhaaniwa "wokovu" inaweza kuwekwa kama kitenzi.

Kwa kuwa Mungu si dhalimu hata asahau

Maneno haya yanamaanisha kuwa Mungu katika haki yake atakumbuka mambo mazuri ambayo watu wake wameyafanya.

jina lake

"Jina" lake lina maanisha Mungu

Hebrews 6:11

tunatamani sana

Ingawa mwandishi anatumia wingi lakini anamaanisha yeye mwenyewe.

bidii

uangalifu, kazi ngumu

mpaka mwisho

AT: "mpaka mwisho wa maisha yako"

kwa ajili ya uhakika wa ujasiri

"ili kuwa na uhakika timilifu kuwa mtapokea kile ambacho Mungu amewaahidi ninyi"

waigaji

"muigaji" ni mtu ambaye ana nakili tabia ya mtu mwingine.

kuzirithi ahadi

kupokea kile ambacho Mungu alichowaahidi waumini kinaongelewa kana kwamba ilikuwa wanarithi kitu na utajiri kutoka kwa mwanafamilia. AT: " pokea kileambacho Mungu amewaahidi"

Hebrews 6:13

Alisema

Mungu akasema

Nitakuongeza zaidi

Neno "ongeza" hapa linasimama kwa uzao. AT: "Nitakupa uzao mwingi'

Kile kilichoahidiwa

Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: " Kile ambacho Mungu alimuahidi"

Hebrews 6:16

kwa warithi wa ahadi

kwa watu ambao Mungu amewawekea ahadi wanaongelewa kana kwamba walikuwa warithi kitu na utajiri kutoka kwa mwanafamilia. AT: "kwa wote ambao wangepokea kile alichoahidi"

kwa kusudi zuri lisilobadilika

"kwamba kusudi lake halitabadilika kamwe" au "kwamba mara zote atafanya kile alichosema atafanya"

kwa vitu viwili visivyobadilika

Hii ina maana ahadi ya Mungu na kiapo cha Mungu. Wala hivi haviwezi kubadilika.

ambavyo katika hivyo haiwezekani kabisa Mungu kudanganya

Vikanushi hivi viwili vinaweza kumaanisha kwamba Mungu atasema kweli kuhusu hali hii. AT:"ambayo mara zote Mungu husema kweli"

sisi, tuliokimbilia

Waumini, ambao wanatumaini katika Mungu kwa yeye kuwalinda, wanaongelewa kana kwamba walikuwa wanakimbilia kwenye sehemu salama. AT: ""sisi, ambao tuliomtumaini yeye"

lile lililowekwa mbele zetu

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kile ambacho Mungu ameweka mbele zetu"

Hebrews 6:19

Sentensi Unganishi:

Baada ya kumaliza onyo lake la tatu na maneno ya kuwatia moyo waumini, mwandishi wa Waebrania anaendeleza ulinganifu wake wa Yesu kama kuhani dhidi ya kuhani Melikizedeki.

kama nanga salama na tegemewa ya roho zetu

Kama vile nanga inanyoshikilia mtumwi kutoenda sehemu nyingine ndani ya maji, Yesu anatuweka sisi sehemu salama katika uwepo wa Mungu.

ujasiri uingiao sehemu ya ndani nyuma ya pazia

Ujasiri unaongelewa kana kwamba ni mtu ambaye angeweza kwenda katika mahali patakatifu pa patakatifu pa hekalu.

sehemu ya ndani

Hii ilikuwa ni sehemu ya ndani ya hekalu.Ilidhaniwa kuwa ndiyo sehemu Mungu alikuwa akikaa miongoni mwa watu wake. Katika sura hii sehemu hii inasimama kama mbingu na chumba cha kiti cha enzi cha Mungu.

kama mtangulizi wetu

Ukweli kwamba Yesu alikufa na kufufuka, na kwamba sasa yuko na Mungu Baba, inaonyesha kwamba sisi tunaoamini katika yeye tutapata mambo yaleyale.Yesu anaoglewa hapa kana kwamba ni mtu ambaye anakimbia mbele yetu na kwamba tunamfuata.

kwa mfano wa Melikezedeki

Hii ina maana kuwa Kristo kama kuhani ana vigezi sawa na vya kuhani Melikizedeki,

Hebrews 7

Waebrania 07 maelezo kwa jumla

Muundo na Mpangilio

Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 7:17,21, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Kuhani mkuu

Ni kuhani mkuu tu angetoa dhabihu ili Mungu asamehe dhambi na kwa hivyo lazima Yesu alikuwa kuhani Mkuu. Sheria ya Musa iliamuru kwamba kuhani mkuu atoke kwa kabila la Walawi lakini Yesu alitoka kabila la Yuda.Mungu alimfanya kuhani kama Melikizedeki aliyeishi dhabihui za Abarahamu kabla ya kuwepo kabila la Walawi.

<< | >>

Hebrews 7:1

Sentensi Unganishi

Mwandishi wa kitabu cha Waebrania anaendeleza ulinganifu wake juu ya Yesu kama kuhani na kuhani Melikizedeki.

Salem

Hili ni jina la mji.

Abrahamu anarudi kutoka kuwauwa wafalme

Hii ina maanisha wakati Abrahamu na watu wake walipoenda na kuyashinda majeshi ya wafalme wanneili kumwokoa benamu yake, Lutu, na familia yake.

ilikuwa kwake

"Ilikuwa kwa Melikizedeki"

mfalme wa haki... mfalme wa amani

"mfalme wa haki... mfalme wa amani"

Hana baba, hana mama, hana wazazi, wala mwanzo wa siku wala mwisho wa maisha yake

Inawezekana kufikiri kutoka katika ukurasa huu kwamba Melikizedeki hakuzaliwa wala hakufa. Ingawa, ni kama inamaanisha mwandishi anamaanisha kwamba Maandiko hayaarifu chochote kuhusu wazazi wa Melkizedeki, kuzaliwa, au kifo.

Hebrews 7:4

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anasema kwamba ukuhani wa Melikizedeki ni bora kuliko wa ukuhani wa haruni na anakumbusha kuwa ukuhani wa Haruni haukukamilisha chochote.

huyu mtu alikuwa

'Melikizedeki alikuwa"

kwa upande mmoja...lakini kwa upande mwingine

maneno haya yametumika kulinganishwa vitu viwili. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya msisitizo kwamba mwandishi anaweka ulinganifu. Au unaweza kutumia "kwa upande mwingine"

Wana wa Lawi ambao hupokea ukuhani

Mwandishi anasema hili kwa sababu sio wana wote wa Lawi walikuwa makuhani.

kutoka kwa watu

"kutoka kwa watu wa Israeli"

kutoka kwa ndugu zao

Neno ndugu hapa linamaanisha kuwa wote wanahusiana kupitia kwa Abrahamu.

wao, pia wanatoka katika mwili wa Abrahamu

Hii ni namna nyigine ya kusema walikuwa wana wa Abrahamu.

ambao uzao wake haukutoka kwao

"ambao hawakuwa wana wa Lawi"

yeye aliyekuwa na ahadi

Mambo ambayo Mungu aliahidi kufanya kwa ajili ya Abrahamu yanaongelewa kana kwamba vilikuwa ni vitu ambavyo angeweza kumiliki.

Hebrews 7:7

mtu mdogo hubarikiwa na mkubwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji: AT: "Mtu wa muhimu humbariki mtu asiye wa muhimu kama yeye"

katika jambo hili... katika jambo lile

Maneno haya hutumika katika kulinganisha ukuhani wa Lawi na ukuhani wa Melikizedeki. Lugha yako unaweza kuwa kunaweza kuwa na namna ya kusisitiza kwamba mwandishi anafanya ulinganifu.

imeshuhudiwa kwamba anaendelea kuishi

haijaandikwa katika maandiko kwamba kwamba Melikizedeki anakufa. Mwandishi wa kitabu cha Waebrania anaandika kukosekana kwa taarifa ya kifo cha Melikizedeki kana kwamba bado anaendelea kuishi. Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji. AT: "andiko linaonyesha kuwa anaendele kuishi:

Lawi... alikuwa katika mwili wa baba yake

kwa kuwa Lawi alikuwa hajazaliwa bado, mwandishi kana kwamba bado alikuwa katika mwili wa Abrahamu. Kwa jinsi hii mwandishi anatia hoja kuwa Lawi alilipa zaka kwa Melikizedeki kupitia Abrahamu.

Hebrews 7:11

sasa

Hii haimanishi "kwa wakati huu," imetumika kuvuta usikivu kwa kipengele muhimu kinachofuata.

kungekuwa na hitaji gani jingine zaidi la kuhani mwingine kuja kwa mfano wa Melikizedeki, na wala sio kwa mfano wa Haruni?

Swali hili linasisitiza kwamba haikutegemewa kwamba kuhani angeweza kuja kwa mfano wa Melikizedeki.

kuinuka

"kuja" au "kutokeza"

kwa mfano wa Melikizedeki

Hii ina maana kuwa Kristo kama kuhani ana sifa zifananazo na kuhani Melikizedeki.

na sio kutoka kwa namna ya Haruni

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "na sio kuwa kwa jinsi ya Haruni" au "ambaye ni kuhani sio kwa mfano wa Haruni"

Kwa kuwa pindi ukuhani unapobdilishwa, sheria nayo ni lazima ibadilishwe.

Hii inaweza kutamkwa katika mfumo tendaji. AT: " kwa kuwa Mungu alipobdilishwa ukuhani, pia alipaswa kubadlisha sheria"

Hebrews 7:13

Kwa ambaye

Hii ina maanisha Yesu.

ambaye mambo mambo haya yanasemwa kuhusu yeye

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambaye ninaongea kuhusu yeye

Sasa

Hii haimanishi "wakati huu," lakini linatumika kuvuta usikivu kwa ajili ya kipengele muhimu kinachofuata.

Bwana wetu alizaliwa katika Yuda

Haya maneno "Bwana wetu" linamaanisha Yesu.

kutoka Yuda

"kutoka katika kabila la Yuda"

Hebrews 7:15

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii inatoka katika Zaburi ya mfalme Daudi

haya tuyasemayo ni wazi hasa

" tunaweza kuelewa hata zaidi." "tuna" inamaanisha mwandishi na watu anaowaandikia.

ikiwa kuhani mwingine atatokea

"kama kuhani mwingine atakuja"

kwa mfano wa Melikizedeki

Hii ina maana kwamba kristo ana sifa sawa na kuhani Melikizedeki.

kwa msingi wa sheria zinazohusiana na uzao wa mwili

wazo la huzao wa mtu linaongelewa kana kwamba ilikuwa inashughulika na mwili wa mtu.

lakini katika msingi wa nguvu ya maisha yasiyo haribika

Neno " alifanyika kuhani" linaeleweka. AT: "lakini alikuwa kuhani kwa msingi wa nguvu ya maisha ambayo hayatakoma"

Kwa sababu maandiko yanashuhudia kuhu yeye

Hii inaongelewa kana kwamba andiko ni mtu ambaye angeweza kushuhudia kuhusu kitu.

kwa mfano wa Melikizedeki

Hii ina maanisha kwamba Kristo kama kuhani ana sifa sawa na za kuhani Melikizedeki.

Hebrews 7:18

kulikuwa na amri ya kwanza kutanguliwa

Mungu aliifanya amri yake ya kwanza kutofaa"

sheria haikukamilisha chochote

sheria inaongelewa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye angeweza mutenda.

kuna utangulizi wa ujasiri mzuri

"Mungu ametupa hoja bora ya kuwa na ujasiri"

kuna utangulizi wa ujasiri bora iliyombele yetu ambayo kwa hiyo tunamkaribia Mungu

Ujasiri kwa wakati ujao unaongelewa kana kwamba ni kitu ambacho kutia hicho mtu lazima amkaribie Mungu.

tunamkaribia Mungu

Kumwabudu Mungu na kuwa na upendeleo wake vinaongelewa kana kwamba ni tendo la kumkaribia yeye.

Hebrews 7:20

maelezo ya Jumla:

Nukuu hii inatoka katika Zaburiya Daudi kama mstari wa 17

hii haikutokea pasipo kula kiapo

Tendo la kula kiapo linaongelewa bila kusema ni nani aliyekula hicho kiapo. Japo kuwa alikuwa Mungu.

kwa kiapo kilichotolewa kwa ambaye alimwambia

hii inawea kusemwa katika mfumo tendaji. AT:"kwa sababu Mungu aliapa kwake kwa kusema"

Hebrews 7:22

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anawahakikishia aumini hawa wa Kiyahudi kwamba Kristo na ukuhani ulio bora kwa sababu anaishi milele na makuhani wote waliotoka kwa Haruni walikufa.

dhamana

"uhakika" au "ukweli"

kwa hakika au kwa upande mwingine

maneno haya yametumika kulinganisha mambo mawili. Lungha yako inaweza kuwa na msisitizo kwamba mwandishi anafanya ulinganifu.

kifo huuhuzuia kutodumu

Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: '"mwishowe wanakufa na hawawezi kuendelea"

ana ukuhani udumuo/ haubadiliki

kazi ya kikuhani inaongelewa kana kwamba ni chombo ambach Yesu alikimiliki. AT: "yeye ni kuhani asiye badilika"

Hebrews 7:25

Kwa hiyo

unaweza kufafanunua "neno "Kwa hiyo" linachomaanisha. AT: " Kwa sababu Kristo ni kuhani wetu mkuu anayeishi milele"

wale wanaomkaribia Mungu

"wale wanaokuja kwa Mungu kwa sababu ya kile Yesu alichofanya"

ametukuka zaidi kuliko mbingu

"na Mungu amemuinua juu kupita mbingu." Mwandishi anaongelea kumiliki heshima zaidi na nguvu zaidi ya mtu yeyote kana kwamba ni nafasi ambayo ni zidi ya vitu vyote. AT: "na Mungu amempaheshima na nguvu kuliko mtu yeyote"

Hebrews 7:27

Maelezo ya Jumla:

Maneno "Yeye" na "mwenyewe" yanaamaniisha Kristo. Neno "yake" linamaanisha makuhani wakuu wa duniani.

sheria uteua

Neno sheria hapa ni neno linalosimama kwa niaba ya Mungu, ambaye alianzisha sheria. Waisraeli waliteuwa makuhani wao kwa mjibu wa sheria.

wamaume waliokuwa dhaifu

wanaume waliokuwa dhaifu kiroho" au "wanaume ambao ni wadhaifu kw dhambi"

neno la kiapo, ambalo lilikuja baada ya sheria, lilimweka Mwana

"baada ya kuwapa sheria, Mungu aliapa kwa kiapo na kumteua Mwanawe"

kwa neno la kiapo

neno "kiapo" limepewa nafsi na linaelezewa kana kwamba ni mtu ambaye aliongea.

Mwana

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.

aliyefanywa kuwa mkamilifu

"aliyekamilishwa kumtii Mungu na kuwa mkomavu"

Hebrews 8

Waebrania 08 Maelezo kwa jumla

Muundo na mpangilio

Mwandishi anamalizia kwa kufafanua jinsi gani na ni kwa nini Yesu ndiye kuhani mkuu muhumu. Halafu anaanza kuzungumzia jinsi agano jipya ni bora kuliko agano Mungu alifanya na Musa. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#covenant)

Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 8:8-12, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii.

Agano jipya

Mwandishi anaelezea jinsi Yesu ameanzisha agano jipya ambalo ni bora kuliko agano Mungu alianzisha na wana wa Israeli. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#covenant)

<< | >>

Hebrews 8:1

Sentensi Unganishi:

Baadaa ya mwandishi kuonyesha ukuhani wa Kristo ulivyo bora kuliko ukuhani wa duniani, anaonyesha kuwa ukuhani wa duniani ulikuwa ni mfano wa mambo ya mbinguni. Kristo ana huduma iliyo bora, au agano lililobora.

Sasa

Hii haimaanishi ni "wakati huu," lakini neno hili limetumika kuvuta usikivu kwa kipengele muhimu kinachofuata.

tunasema

Ingawa mwandishi anatumia wingi "tuna" kimsingi anaongea yeye mwenyewe.AT: "Ninasema" au "ninaandika"

aliketi kwa mkono wa kuume

Neno "mkono wa kuume" linamaanisha sehemu ya heshima. AT: "aliketi katika sehemu ya heshima"

katika kiti cha enzi mbinguni

Neno "Ukuu" linamaanisha Mungu, na kiti chan enzi linamaanisha utawala wa Mungu kama mtawala,

hema ya kweli ambayo Bwana, sio mwanadamu, aliliweka

watu walijenga hema za dunianikwa kutumia ngozi za wanyama zilizofungwa katika nguzo za mbao, na zikawekwa kwa namna ya hema. Hema ya kweli hapa inamaanisha hema ya mbinguni ambayo Mungu ameitengeneza.

Hebrews 8:3

Kwa kuwa kila kuhani mkuu huteuliwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "kwa kuwa Mungu huteua kila kuhani'

Sasa

hII haimaanishi "wakati huu," lakini imetumika ili kuvuta usikivu kwenye kipengele muhimu kinachofuata.

kwa mjibu wa sheria

"kama Mungu anavyotaka katika sheria"

nakala na kivuli

Haya maneno yana kimsingi yana maana moja ili kusisitiza kwamba hema ilikuwa ni sura halisi ya hema ya mbinguni.

kivuli cha mambo ya mbinguni

Mwandishi anaongea hekalu la duniani, ambalo ni nakala ya hekalu la mbinguni, kana kwamba ilikuwa ni kivuli.

Kama vile Musa alivyo onywana Mungu wakati alipokuwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. "kama vile Mungu alivyomwonya Musa wakati Musa alipokuwa"

alipotaka kuanza kujenga hema

Musa hakujenga hema yeye mwenyewe. Aliwaamuru watu kuijenga. AT: "alitaka kuwaawamuru watu kuijenga hema"

"Tazama," Mungu akasema, "kwamba wewe...mlima

unaweza kutoa nukuu. AT: "Mungu akasema, 'tazama kwamba wewe... mlima""

tazama

"Hakikisha"

muundo

"kwa muundo"

ilioonyeshwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Ile niliyokuonyesha"

juu ya mlima

Mlima inanaanisha mlima Sinai.

Hebrews 8:6

Sentensi Unganishi:

Sehemu hii inaanza kwa kuonyesha kwamba agano jipya ni bora kuliko agano la kale la Israeli na Yuda.

Kristo amepokea

"Mungu amempa Kristo"

huduma iliyo bora zaidi. kama alivyo mpatanishi wa agano bora

"huduma iliyo bora zaidi, kama Kristo alivyo mpatanishi wa agano bora"

mpatanishi wa agano bora

Hii ina maanisha kuwa Kristo alisababisha agano bora kuendelea kati ya Mungu na wanadamu.

ambalo liko katika ahadi bora

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: ''ni agano hili ambalo Mungu alilifanya kulingana na ahadi zilizo bora" au "Mungu aliahidi vitu bora wakati alipofanya agano hili"

Aagano la kwanza... agano la pili

Haya maneno "kwanza" na "pili" ni namba za kawaida. AT:" agano la zamani ... agano jipya"

halingekuwa na makosa

"ingekuwa kamilifu"

Hebrews 8:8

Maelezo ya Jumla:

Ktika nukuu hii nabii Yeremia alikuwa amesema agano jipya ambalo Mungu angefanya

na watu

"na watu wa Israeli"

Angalia

"Tazama" au "Sikiliza" au "Kuwa na tahadhari kwa lile ninalotaka kuwaambia."

Siku zinakuja

Ziku zijazo zinaongelewa kana kwamba zinatembea kumkabiri mzungumzaji. AT:"ktakuwa na wakati"

nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda

Watu wa Israeli na watu wa Yuda wanaongelewa kana kwamba wao ni nyumba. AT:"watu wa Isareli na watu wa Yuda"

Niliwachukua kwa mkono na kuwaongoza kutoka katika ardhi ya Misri.

Picha inawakilisha upendo mkuu wa Mungu na kujali kwake.

hawakuendelea katika katika agano langu

Kutii agano la Mungu kunaongelewa kana kwamba mtu alipaswa kuendelea katika hilo. AT: "hawakutii agano langu"

Hebrews 8:10

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii inatoka kwa nabii Yeremia.

nyumba ya Israeli

Watu wa Israeli wanaongelewa kana kwamba walikuwa ni nyumba.

baada ya siku hizo

"baada ya wakati huo"

nitaweka sheria zangu mioyoni mwao

Sheria za Mungu zinaongelewa kana kwamba ni vyombo ambavyo vingeweza kuwekwa mahali fulani. Uwezo wa watu kufikiri kunaongelewa kana kwamba ni sehemu.AT: "Nitawawezesha kuelewa sheria zangu"

Pia nitaziandika mioyoni mwao

Mioyo ya watu ilifikiriwa kuwa kituo cha uaminifu kwa Mungu, na imeongelewa kana kwamba ni ukurasa ambao ungeweza kuandikwa.

nitakuwa Mungu wao

"Nitakuwa Mungu wanae mwabudu"

watakuwa watu wangu

"watakuwa watu ambao ninawajali"

Hebrews 8:11

Maelezo ya Jumla:

Hii inaendeleza nukuu kutoka kwa nabii Yeremia.

Hawatafundishana kila mmoja na jirani yake, na kila mtu na ndugu yake, akisema, 'Mjue Bwana.'

Nukuu hii ya moja kwa moja inaweza kuengelewa kana kwamba ni nukuu isiyo ya moja kwa moja. AT: "Hawatahitaji kuwafundisha jirani zao au ndugu za kunijua"

jirani... ndugu

Haya maneno mawili yanalenga Waisraeli wenzao.

Kumjua Bwana...wote watanijua mimi

Neno "kujua" hapa linasimama kwa maana ya kutambua.

kwa matendo yao yasiyo ya haki

Hili linasimama kwa ajili ya watu waliofanya matendo haya yasiyo ya haki.

Sitazikumbuka dhambi zao tena

Neno "kumbuka" linamaanisha "sitafikiri kuhusu dhambi hizo"

Hebrews 8:13

liko karibu na kutowekaka

"limekaribia kabisa kutoweka" au "litatoweka hivi karibuni"

Hebrews 9

Waebrania 09: Maelezo kwa jumla

Muundo na Mpangilio

Sura hii inaonyesha jinsi Yesu ni bora kuliko hekalu na sheria na masharti yake. Sura hii itakuwa ngumu kuelewa iwapo vitabo vitanu vya kwanza vya Agano la Kale havijatafsiriwa.

Dhana muhimu katika sura hii

Agano la urithi

Agano la urithi ni hati ya kisheria ambayo huelezea kile ambacho kitafanyikia mali ya mtu baada ya kifo chake.

Damu

Katika Agano la kale, Mungu alikuwa ameamuru Waisraeli kutoa dhabihu ili dhambi zao zisamehewe. Kabla hawajatoa dhabihu hizi, walipaswa kuwaua wanyama na siyo kutoa tu miili ya wanyama hao lakini pia damu zao. Kutoa damu ni tamathali ya kumuua binadamu ama mnyama.Mungu alipeana uhai na damu yake kama dhabihu/kafara alipowaruhusu watu kumuua.Mwandishi wa Waebrania anasema kwamba hii dhabihu ni bora kuliko dhabihu ya agano la kale.(Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tm/translate.html#figs-metaphor and https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#covenant)

Kurudi kwa Kristo

Yesu atarudi kumaliza kazi aliyoianzisha wakati alipokufa ili Mungu angewasamehe watu dhambi zao. Atamalizia kuwaokoa watu wanaomngojea.(Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#save)

Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii

Agano la Kwanza

Hii inaashiria agano ambalo Mungu alifanya na Musa. Hata hivyo, kabla hajafanya agano hili, Mungu alikuwa amefanya agano na Abrahamu. Lakini hili lilikuwa ni agano la kwanza ambalo Mungu alifanya na watu wa Israeli. Unaweza amua kutafsiri "agano la kwanza" kama "agano la awali."

<< | >>

Hebrews 9:1

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anawaweka wazi hawa waumini wa Kiyahudi kwamba sheria na hema ya agano la kale vilikuwa ni picha ya agano bora na jipya.

Sasa

Hii inaonyesha sehemu mpya ya fundisho.

agano la kwanza

Tafsiri hii kama ulivyotafsiri sura ya 8:6

ilikuwa na taratibu

"ilikuwa na maelekezo ya ndani" au "ilikuwa na miongozo"

kwani

mwandishi anaendeleza mazungumzo kutoka sura ya 8:6

hema ilitengenezwa

Hema ilijengwa na kuwa tayari kwa matumizi

kinara cha taa, meza na mkate wa wonyesho

Vyombo hivi vyote vinafuatwa neno la linaloonyesha upekee wa vyombo. Kwa sababu mwandishi anadhani kwamba wasomaji wake tayari wanafahamu kuhusu vitu vyombo hivi.

mkate wa wonyesho

mkate wa wonyesho mbele za Mungu au mkate ambao makuhani waliuwakilisha kwa Mungu.

Hebrews 9:3

nyuma ya pazia la pili

pazia la kwanza kulikuwa na ukuta wa nje wa hema, hivyo pazia la pili lilikuwa ni pazia la pili kati ya mahali patakatifu na mahali patakatifu pa patakatifu.

pili

Hii ni nambaya kawaida ya namba mbili

ndani yake

"Ndani ya sanduku la agano"

Fimbo ya Haruni iliyoota maua

Hii ina maanisha wakati Mungu alipoonyesha kwa watu wa Israeli kwamba alikuwa amemchagua Haruni kama kuhani kwa kuichipusha maua fimbo ya Haruni.

kuchipua

"kuwa na maua" au "kuchipua" au "ilikuwa na kuendelea"

mbao za agano

"Mbao" ni vipande bapa vya mawe vilivyokuwa na maandishi juu yake. Hizi zinamaanisha mbao za mawe ambazo ziliandkwa amri kumi.

makerubi walifunika juu

wakati Waisraeli walipokuwa wakitengeneza sanduku la agano, Mungu aliwaamuru Waisraeli kuchonga makerubi wawili wanatazamana pamoja na mbao zao zigusa juu ya kifuniko upatanisho cha sanduku la agano. Hapa vinaongelewa kana kwamba kama vinaweka kivuri kwenye sanduku la agano.

ambao hatuwezi

Ingawa mwandishi anatumia kiwakilishi cha wingi "tuna" kimsingi anasema kwa nafsi yake mwenyewe.

Hebrews 9:6

Baada ya vitu hivi kuandaliwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "Baada ya makuhani kuandaa vitu hivi"

na sio pasipo damu

Hii inaweza kusemwa katika muundo tendewa. AT: "na mara zote alileta damu"

damu

Hii ni damu ya dume na mbuzi ambazo kuhani mkuu alipaswa kudhabihu siku ya upatanisho.

Hebrews 9:8

njia ya kuingia mahali patakatifu zaidi ilikuwa haijafunuliwa bado

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alikuwa bado hajaifunua njia ya sehemu takatifu zaidi"

mahali patakatifu zaidi

Maana zinazowezekana: 1) chumba cha ndani cha hema duniani au 2) Uwepo wa Mungu mbinguni.

hema la kwanza bado lilikuwa limesimama

Maana zinazowezekana: 1) "chumba cha nje cha hema bado kinasimama" au 2) "hema ya duniani na taratibu za dhabihu zilikuwa zikiendelea."

kielelezo

"Hii ilikuwa ni "picha" au "Hii ilikuwa ni alama"

kwa muda uliopo

"kwa sasa"

ambayo kwa sasa yanatolewa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. "ambayo sasa makuhani wanatoa"

haviwezi kukamilisha dhamiri ya anayeabudu/ mwabudu

Mwandishi anaongelea dhamiri ya mtu kana kwamba ni kilikuwa ni chombo ambacho kilikuwa kikifanywa bora zaidi. Dhamiri ya mtu ni ni ujuzi wa kujua baya na jema. Pia ni uelewa wake kama amekosa au amefanya jema. Na kama akifahamu kwamba ametenda baya tunasema anajisikia hatia.

taratibu kwa ajili ya mwili

Mwili hapa unamaanisha mwili wa binadamu." AT: "taratibu za mwili"

taratibu za kimwili

"desturi za maisha ya kimwili"

Hizi zilikuwa desturi za kimwili ambazo zilizotolewa

"Mungu aliandaa taratibu zote hizi kwa ajili ya mwili"

ambazo zilizotolewa hadi mpangilio mpya ungeweza kuumbwa

Hii inawezakusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Kwamba Mungu alitoa hadi alipoumba mpangilio mpya"

Mpangilio mpya

"agano jipya"

Hebrews 9:11

Sentensi Unganishi:

Baada ya kufafanua huduma ya hema la agano chini ya sheria ya Mungu, mwandishi anaweka bayana kwamba huduma ya Kristo chini ya agano jipya ni bora pia kwa sababu imefunikwa kwa damu yake. Ni bora pia kwa sababu Kristo ameingia hekalu la kweli, ambalo ni uwepo wa Mungu mbinguni, badala ya ya kuingia, kama makuhani wakuu, ndani ya hema ya duniani, ambayo kimsingi ilikuwa ni nakala isiyo timilifu.

Vitu vizuri

Hii haimaanishi vitu vinavyoshikika. Inamaanishavitu vizuri ambavyo Mungu ameahidi katika agano lake jipya.

hema kuu na ukamilifu zaidi

Hii inamaanisha hema la mbingunini muhimu zaidi na timilifu zaidi ya hema ya duniani.

ambayo haikufanywa kwa mikono ya binadamu

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "ambayo haikufanywa kwa mikono ya binadamu"

mikono ya binadamu

"Mikono" inamanisha mtu.

mahali patakatifu zaidi

Uwepo wa Mungumbinguni unaongelewa kana kwamba kana kwamba ilikuwa sehemu takatifu zaidi, chumbacha ndani cha hekalu.

Hebrews 9:13

kunyunyiziwa kwa majivu kwa hao ambao hawajatakaswa

Kuhani angemimina kiasi kidogo cha majivu kwa watu wasiosafi.

je si sana zaidi damu ya Yesu...kuosha nafsi zetu kutoka katika matendo mafu ili kumtumikia Mungu aliye hai?

Mwandishi anatumia nukuu kusisitiza kwamba dhabihu ya Kristo ilikuwa na nguvu. AT: Hivyo hakika damu ya Kristo itatusafisha nafsi zetu hata zaidi kutoka katika kazi/ matendo mafu na kumtumikia Mungu aliye hai! Kwa sababu, kupitia kwa kupitia Roho wa milele, alijitoa mwenyewe pasipo hatia kwa Mungu.

damu ya Kristo

"damu" ya Yesu inasimama kwa kifo chake.

kusafisha dhamiri zetu

"Dhamiri" hapa inamaanisha mtu kujisikia hatia. Kwa sababu Yesu alijidhabihu yeye mwenyewe, waumini hawapaswi tena kujisikia hatia kwa ajili ya dhambi zao walizozifanya kwa sababu amewasamehe.

waa

Hii ni dhambi ndogo au kosa la kimaadili hapa linaongelewa kana kwamba lilikuwa dogo,doa lisilo la kawaida kuharibu juu ya mwili wa Kristo.

safisha

"kusafisha" linasimama kwa tendo la nafsi zetu kupokea msamaha wa kutokuwa na hatia kwa ajili ya dhambi tulizozitenda

hao walioitwa na Mungu

wale ambao Mungu amewateua au kuchaguliwa na kuwa watoto wake

Kazi/ matendo mafu

matendo mafu yanaongelewa kana kwamba yalikuwa yakitoka katika ulimwengu wa wafu.

Kwa sababu hii

"kama matokeo" au "kwa sababu hii"

Ni mjumbe/ mpatanishi wa agano jipya

Hii inamaanisha Kristo alisababisha agano jipya kati ya Mungu na wanadamu kuwepo.

agano la kwanza

tafsiri hii kama ulivyotafsiri 8:6

wale walioitwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. AT: "wale ambao Mungu aliowachagua kuwa wana wake"

urithi

upokeaji wa kile ambacho Mungu alikuwa amewaahidi waumini kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kurithi kitu na mali kutoka katika mwanafamilia.

Hebrews 9:16

wosia

hati ya kisheria ambayo inamtaja mtu ambaye angepokea zile mali wakati mwenye mali akifa.

kifo cha mtu aliyetenda ni lazima kihakikishwe

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "mtu ni lazima ahakikishe kwamba mtu aliweka wosia amekufa"

Hebrews 9:18

hivyo hata agano la kwanza halikuanzishwa pasipo damu

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Hivyo Mungu alianzisha hata lile agano la kwanza kwa damu"

agano la kwanza

Tafsiri hii kama ulivyotafsiri 8:6

damu

kifo cha wanyama waliotolewa dhabihu kunaongelewa kana kwamba hakukuwa na kitu kingine isipokuwa damu.

alichukua damu... pamojas na maji...na kunyunyiza...gombo... na watu wote

Kuhani alichovyawa hissopo katika damu na maji na kisha alikitikisa kijiti cha hissopo na kudondosha damu na maji juu ya magombo na watu.Kunyunyiza damu lilikuwa ni tendo la ishara lililofanywa na makuhani ambalo kwa hilo walipata faida ya agano kwa watu na vyombo. Na hapa upokelewaji wa gombo na watu vinafanywa upya.

hisoppo

mmea uliotumika katika ibada ya kunyunyiza

damu ya agano

"Damu" hapa linamaanisha kifo cha wanyama waliotolewa dhabihu ili kuftimiza matakwa ya agano.

Hebrews 9:21

alinyunyuzia

"Musa alinyunyuzia"

nyunyuzia

Kunyunyuzia kulikuwa ni tendo la ishara ambalo lilifanywa na makuhani ambalo kwa hilo walipata faida ya agano kwa watu na kwa viyombo.

Vyombo vyote vilivyotumiwa katika huduma

huu ni mkebe au chombo ambacho unaweza kubeba vyombo. Hii inamaanisha vyombo au kitu. AT: " vyombo vyote vilivyotumika katika huduma"

vilitumika katika huduma

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Makuhani walivitumia katika kazi zao"

karibia kila kitu kinatakaswa kwa damu

kufanya kitu kipokelewe na Mungu kunafanywa kana kwamba kitu hicho kilikuwa kinatakaswa. Wazo hili linaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Makuhani hutumia damu kusafisha karibia ila kitu"

damu

Hapa damu ya mnyama inaongelewa kuhusu kifo cha mnyama.

Hakuna msamaha wa dhambi pasipo kuwagika damu

Hapa "kumwaga damu" kunamaanisha kwa kitu kufa kama dhabihu kwa Mungu. mambo haya hasi yanaweza kumaanisha msamaha wote unapatikana kwa njia ya kumwaga damu.

msamaha

"msamaha wa dahmbi ya watu"

Hebrews 9:23

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anasisitiza kwamba Kristo (sasa yuko mbinguni anatuombea) alipaswa kufa mara moja tu kwa ajili ya dhambi na kwamba atarudi duniani mara ya pili.

nakala ya vitu vya mbinguni vinapaswa kusafishwa kwa dhabihu ya hawa wanyama

"Makuhani wanapaswa kutumia dhabihu hii ya wanyama kusafisha nakala za vitu vya mbinguni"

vitu vya mbinguni vyenyewe vilipaswa visafishwe kwa dhabihu zilizo bora zaidi

Ile ni bora zaidi ya dahabihu zilizotumika kusafisha nakala za duniani. Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kama kwa vitu vya mbinguni vyenyewe, Mungu alipaswa kuvisafisha kwa dhabihu iliyo bora"

ilitengenezwa kwa mikono

"Mikono" hapa inamaanisha mwanadamu. AT: "ambayo wanadamu walitengeneza na"

ya kitu halisi

"sehemu ya kweli na takatifu ya patakatifu pa patakatifu"

Hebrews 9:25

Hakuingia kule

" Hakuingia mbinguni"

mwaka baada ya mwaka

"kila mwaka" au "mwaka baada ya mwa

na damu ya mwingine

Hii inamaanisha na damu ya mnyama wa kafara, na sio kwa damu yake mwenyewe.

na kama hiyo ilikuwa kweli/ sababu

"Kama alipaswa kutoa mara nyingi"

tangu mwanzo wa ulimwengu

Uumbaji wa dunia unaongelewa kana kwamba ni jengo na msingi wake ulikuwa sehemu ya kwanza kujengwa. AT: "tangu Mungu alipoanza kuiumba dunia"

amefunuliwa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mung amemfunua"

kuindoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe

Hii inaongea kuhusu dhambi kana kwamba kilikuwa ni chombo ambach mtu angeweza kukiondoa. AT: "kumsababisha Mungu kusamehe dhambi kwa kujidhabihu mwenyewe"

Hebrews 9:27

Pia Kristo, ambaye alitolewa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Pia Kristo, ambaye "aliyejitoa mwenyewe"

kuziondoa dhambi

Tendo la kutufanya wasio na hatia badala ya kuwa na hatia kwa ajili ya dhambi zetu kunaongelewa kana kwamba dhambi zetu zilikuwa vyombo ambavyo vinashikika ambavyo Kristo aliweza kuzibeba.

dhambi

dhambi inamaanishahatia ambayo watu waliyonayo mbele za Mungukwa sababu ya dhambi walizotenda.

Hebrews 10

Waebrania 10 Maelezo kwa jumla.

Muundo na mpangilio

Katika hii sura, mwandishi anamalizia kwa kufafanua jinsi sadaka ya Yesu ni bora kuliko sadaka zilizotolewa hekaluni.(Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#lawofmoses)

Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 10:5-7,:15-17, 37-38, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Hukumu ya Mungu na tuzo

Kuishi kitakatifu ni muhimu kwa Wakristo. Mungu atawajibisha watu jinsi walivyoishi maisha yao ya Kikristo. Ingawa hakutakuwa na hukumu ya milele kwa Wakristo, matendo yasiyo pendeza Mungu yatakuwa na matokeo. Zaidi ya hayo maisha ya uaminifu yatatuzwa. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#holy, https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#godly and https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#faithful and https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/other.html#reward)

Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii.

Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi" (Waebrania 10:4)

Dhabihu zenyewe hazikuwa na nguvu za kuokoa. Zilifanikiwa kwa sababu zilikuwa dhihirisho la imani ambayo ilitokana na aliyekuwa anatoa hiyo Dhabihu. ilikuwa ni sadaka ya Yesu inayofanya sadaka hizi "kuondoa dhambi". Kulingana na hayo, Mungu hataki sadaka iltolewao bila imani. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#redeem and https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#faith)

"Agano nitakalofanya"

Haiko wazi iwapo huu unabii ulikuwa unatimizwa wakati mwandishi huyu alikuwa anaandika ama iwapo ungetimizwa baadaye. Mtafsiri aepuke kusema wakati muda wa agano hili inaanza. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#prophet and https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#covenant)

<< | >>

Hebrews 10:1

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anaonyesha udhaifu wa sheria na dhabihu zake, kwa nini Mungu aliwapa sheria, na utimilifu wa ukuhani mpya na dhabihu ya Kristo.

sheria ni kivuli cha mambo mema yajayo

Hii inaongewa kuhusu sheria kana kwamba kilikuwa ni kivuli. Mwandishi anaongea kwamba sheria haikuwa vitu vizuri ambavyo Mungu alikuwa ameviahidi. Ni sehemu ndogo tu ya mambo mazuri ambayo Mungu alipaswa kuyafanya.

si yale yaliyo halisi ya yale mambo yenyewe

" sio vitu halisi vyenyewe"

mwaka hadi mwaka

"kila mwaka"

dhabihu hizo zisingeweza kukoma kutolewa

Mwandishi antaumia swali kuelezea kwamba dhabihu zilikuwa na nguvu ya ukomo. "wangekuwa wameacha kudhabihu dhabihu"

ilikoma

"sitisha"

Kwa sababu hiyo

"kwa hali hiyo"

wakiwa wamesafishwa

Dhambi za watu zinaongelewa kana kwamba ziklikuwa zikioshwa ana kwa ana. AT: " Kama Mungu alikuwa tayari amekwisha samehewa dhambi zao"

wasingekuwa na utambuzi

"wangeweza kufahamu kuwa hawana hatia ya dhambi tena."

haiwezekani kwa damu mafahari na mbuzi kuziondoa dhambi

Dhambi zinaongelewa kana kwamba zikuwa vyombo ambavyo damu ya wanyama ingeweza kuziondoa. AT: "Kwa sababu haiwezekani kabisa Mungu kusamehe dhambi kwa kwa sababu ya damu ya mafahar na mbuzi.

damu ya mafahari na mbuzi

"Damu" hapa inamaanisha kwa wanyama hawa waliokuwa wanakufa kwa kama dhabihu kwa Mungu.

Hebrews 10:5

Maelezo ya Jumla:

Maneno ya Kristo alipokuwa duniani yalikuwa yamesemwa katika nukuu hii kutoka Zaburi ya Daudi.

ambayo ulitamani

"Wewe" hapa ni nafsi ya umoja na inamaanisha Mungu.

mliandaa

"kufanya tayari"

kisha nilisema

"Nilisema" inamaanisha Kristo

kama ilivyoandikwa katika gombo kuhusu mimi

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: " kama manabii walivyoandika katika gombo kuhusu mimi"

gombo

Hii inamaanisha maandiko au maandiko matakatifu.

Hebrews 10:8

Maelezo ya Jumla:

pamoja na kwamba anabadilisha maneno polepole, mwandishi anarudia nukuu hii kufoka Zaburi ya Daudi kusisitiza.

dhabihu...sadaka...au sadaka za kuteketezwa... dhabihu kwa ajili ya dhambi

Tafsiri maneno haya kama ulivyotafsiri 10:5

amabyo hutolewa

"ambayo makuhani hutoa"

Ona/tazama

"Tazama" au "sikiliza"

ameweka pembeni taratibu za awali

Jina la tendo dhaaniwa "taratibu"/ tendo hapa inamaanisha njia ya kudhabihu kwa ajili ya dhambi.Kusitisha kufanya kunaongelewa kana kwamba kilikuwa ni chombo ambacho kingeweza kuondolewa.

taratibu za awali... taratibu za pili

Maneno "kwanza" na "pili" ni namba za kawaida.AT: "taratibu za zamani ...taratibu mpya"

ili kuanzishe utaratibu wa pili

Kuanzisha njia ya pili ya kudhabihu inaongelewa kana kwamba kuanzisha utaratibu AT: "ill kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi kwa mara nyingine"

Tumetakaswa/ tumetengwa

"Mungu ametutakasa" au "Mungu ametuweka kwake kwa ajili yake"

tumekwisha kutengwa kwa Mungu kwa mapenzi yake

"Mungu alitaka Kristo kujitoa mwenyewe dhabihu na kwamba dhabihu ilishatutenga sisi kwa Mungu"

kupitia dhabihu ya mwili wa Yesu Kristo

"wakati Yesu Kristo alipotoa mwili wake kama dhambihu" au "kwa sababu Yesu Kristo aliudhabihu mwili wake"

Hebrews 10:11

kwa upande mwingine ... na kwa upande mwingine

Haya maneno yanatumika kulinganisha vitu viwili . Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kusisitiza kwamba mwandishi anaweka ulinganifu. Au unaweza kutumia "Lakini."

siku kwa siku

"siku hadi siku" au "kila siku"

haiwezi kuziondoa dhambi

Hii inaongelea. dhambi kana kwamba ni chombo ambacho mtu anaweza kukiondoa. AT: "haiwezi kumfanya Mungu asamehe dhambi"

hadi maandui zake wamewkwa chini ya miguu yake

kuteswa kwa maadui wa Kristo kunaongelewa kana kwamba ni sehemu iliyotengenezwa kwa ajili yake kupumzishia migu yake. AT: "hadi Mungu atakapowaseta maadui wa Kristo na kuwa kana kiti cha miguu yake"

wale ambao wametengwa kwa Mungu

"wale ambao Mungu amewatenga kwa ajili yake mwenyewe"

Hebrews 10:15

Maelezo ya Jumla:

Hii ni nukuu kutoka kwa nabii Yeremia katika Agano la Kale.

pamoja nao

"amoja na watu wangu"

baada ya siku hizo

"wakati wa agano la kwanza na watu wangu ulipokwisha"

Nitaziweka sheria zangu ndani ya mioyo yao, na nitaziandika katika akili zao

Mioyo ya watu na akili vinaongelewa kana kwamba sheria ya Mungu ingeweza kuwekwa au kuandikwa juu yake. AT: "Nitawasababisha kuzielewa shria zangu na nitawasababisha kuzitii sheria zangu"

Hebrews 10:17

Maelezo ya Jumla:

Hii inaendeleza nukuu ya nabii Yeremia katika Agano la Kale

Sitazikumbuka dhambi zao na makosa yao

Hii ni sehemu ya pili ya ushuhuda wa Roho Mtakatifu (tazama 10:15). Kisha asema, "Sitazikumbuka dhambi zao na makosa yao."

Sitazikumbuka dhambi zao

"Sitazikumbuka dhambi zao"au "sitafikiri tena kuhusu dhambi zao"

Sasa

Hii haimaanishi "wakati huu," lakini imetumika kuvuta usikivu kwa kipengele kinachofuata.

mahali palipo na msamaha kwa mambo haya

"wakati Mungu aliposamehe mambo haya"

hakuna tena dhabihu yeyote kwa ajili ya dhambi

"watu wao hawahitajiki kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi"

Hebrews 10:19

Sentensi Unganishi:

Baada ya kuweka wazi kwamba kuna dhabihu moja kwa ajili ya dhambi, mwandishi anaendelea na picha ya patakatifu pa patakatifu katika hekalu, mahali ambapo kuhani mkuu aliweza kuingia kila mwaka na damu ya dhabihu

Ndugu

Hii inamaanisha kwa waumini wote katika Kristo awe mwanaume au mwanamke. "dada" au "waumini"

mahali patakatifu zaidi

Hii inamaanisha uwepo wa Mungu, sio mahali patakatifu zaidi katika hema ya zamani.

kwa damu ya Yesu

"Damu ya Yesu" inamanisha kwa kifo cha Yesu.

njia iliyo hai

pengine inamaana 1) Njia hii mpya kwa Mungu kwamba Yesu ametoa matokeo ndani ya waumini kuishi milele au 2) Yesu yu hai, na na ni njia ambayo waumini wanaingia kuingia katika uwepo wa Mungu.

kwa jinsi ya mwili wake

neno mwili hapa inasimama kama kwa mwili wa Yesu, na mwili wake unasimama kwa kifo chake the kujidhabihu. AT: "kwa jinsi ya mwili wake"

Tunaye kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mungu

Hii ni lazima itafsiriwe katika namna kuweka wazi kwamba Yesu ni "kuhani Mkuu."

juu ya nyumba

"Msimamizi wa nyumba"

nyumba ya Mungu

"watu wote wa Mungu"

Tumkaribie

Kumkaribia hapa inasimama kwa kumwabudu Mungu, kama kuhani alipaswa kwenda juu ya mimbali ili kudhabihu wanyama kwa Mungu.

mioyo imenyunyiziwa safi

"mioyo ambayo Mungu ameinyunyizia kwa damu ya Yesu na kuifanya safi"

mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kutakaswa

"kana kwamba alifanya mioyo yetu safi kwa damu yake"

kunyunyiziwa

"kazi ya kuweka vitu kuwa safi"

baada ya mikono yetu kuwa imeoshwa kwa maji maji halisi

"kana kwamba alikuwa ameosha miili yetu kwa maji halisi"

miili yetu imeoshwa kwa maji halisi

Kama mtafasirianaelewa kwamba sentensi hii yanamaanishaubatizo wa Kikristo, hivyo maji ni maji halisi na sio mfano. Lakini kama maji yanachukuliwa kama maji, hivyo "halisi" inasimama kwa niaba ya usafi wa kiroho ambao ubatizo unaosemwa hapa umetimiliza. "Kuoshwa" kunasimama kama waumini kuwa kupokelewa na Mungu.

Hebrews 10:23

shikilia kwa udhabiti ungamo la tarajio la ujasiri wetu

"endelea kuwaambia watu kwamba tuna ujasiri kwa sababu tunaamini kuwa Mungu atatenda kile alichoahidi kutenda"

pasipo kugeukageuka/ kuyumba yumba.

pasipokuwa na kuwa na hakika" au "pasipokuwa na shaka"

Tusiache kukusanyika pamoja

"tusiache kujumuika pamoja kwa ajili ya ibada"

kadri mwonavyo siku inakaribia

"Kama mnavyofahamu kuwa Kristo atakuja hivi karibuni"

Hebrews 10:26

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anatoa onyo la nne.

kwa makusudi

"kwa kukusudia"

baada ya kuwa tumepokea ujuzi wa kweli

Ujuzi wa kweli kunaongelewa kana kwamba ni chombo ambacho kinaweza kumpa mtu mmoja hadi mwingine. AT: "baaba ya kuwa tumejifunza kweli"

dhabihu ya dhambi haipo tena

"hakuna awezaye kutoa dhabihu ambayo Mungu atatusamehe dhambi zetu"

kweli

Ukweli kuhusu Mungu.

hakuna tena dhabihu kwa ajili ya dhambi

Hakuna mtu yeyote awezaye kutoa dhabihu mpya kwa sababu dhabihu ya Kristo ndiyo pekee inayofanya kazi.

dhabihu kwa ajili ya dhambi

"dhabihu kwa ajili ya dhambi" inasimama kama njia tendaji ya kudhabihu wanyama ili kuondoa dhambi"

ya hukumu

ya hukumu ya Mungu. ambayo, Mungu atahukumu.

ukali wa moto ambao utawateketeza adui wa Mungu

Ukali wa Mungu unaongelwa kana ni moto ambao ungechoma maadui wake.

Hebrews 10:28

wawili au watatu

Imepewa maana ya kwambahii inamaanisha "angalau wawili au watatu"

kiwango gani zaidi cha adhabu unafikiri kinamstahili...neema?

Mwandishi anasisitiza ukuu wa adhabu kwa wale wote wanaomkataa Kristo.

amemdharau mwana wa Mungu

Kutokumjali Kristo na kumtukana kunaongelewa kana kwamba mtu anakanyaga.

ambaye ameihesabu damu ya agano kama sio takatifu

Hii inaonyesha jinsi mtu alivyokanyaga Mwana wa Mungu. Kwa kuihesbu damu ya agano kama sio takatifu"

Mwana wa Mungu

Hili ni jina muhimu la cheo cha Yesu

damu ya agano

"damu" hapa inasimama kama kifo cha Kristo, ambacho kwa hicho Mungu alianzisha agano jipya.

damu ambayo kwa hiyo alitakaswa

"damu ambayo Mungu alimtakasa kwa hiyo"

Roho wa neema

"Roho wa Mungu anayetoa neema"

Hebrews 10:30

Maelezo ya Jumla:

Neno "tuna" linamaanisha kwa mwandishi na waumini wote. Nukuu hizi mbili zinatoka kwenye sheria ambayo Musa alitoa katika Agano la Kale.

kisasi ni juu yangu

kisasi kinaongelewa kana kwambani chombo ambacho kinatoka kwa Mungu, ambaye alikuwa na haki ya kufanya na kama alivyotaka na kile alichomiliki. Mungu anayo haki kulipa kisasi juuya maadui zake.

nitalipa

Ulipaji wa Mungu wa kisasi kunaongelewa kana kwamba ni kumlipa mtu ujira umfaao

kuanguka katika mikono

kupokea adhabu ya Mungu kunaongelewa kana kwamba mtu anaangukia katika mikono ya Mungu. Mikono" hapa inamaanisha uwezo wa Mungu wa kuhukumu.

Hebrews 10:32

siku zilizopita

"wakati uliopita"

baada ya kutiwa nuru

kujifunza kweli kunaongelewa kana kwamba Mungu aliwasha taa juu ya mtu. AT: "baada ya kujifunza ukweli kuhusu Kristo"

jinsi mlivyo vumilia mapingamizi makubwa

"ni jinsi gani umevumilia mateso mengi"

mlikuwa mmewekwa wazi katika dhihaka ya matukano na mateso

"Watu waliwadhihaki kwa matukano na mateso ya wazi wazi"

mlikuwa mmewekwa wazi katika dhihaka na matukano

watu waliwaasi ninyi na kukutukana wazi

mlikuwa mkishirkiana

"mlijiuna na wale"

urithi urio bora na wa milele

Baraka za Munguza milele zinaongelewa kana kwamba ni mali

Hebrews 10:35

Maelezo ya Jumla:

katika 10:37 ni nukuu kutoka kwa nabii Isaya katika Agano la Kale.

Msiutupe ujasiri wenu, ulio na zawadi kuu.

"Kukataa ahadi kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kutupa kitu kisicho na thamani au kisicho na maana.

kwa kitambo kidogo

" kama Mungu alivyosema katika maandiko, kwa kila kitambo kidogo"

kwa muda kitambo sana

"mapema mno"

Hebrews 10:38

Maelezo ya Jumla:

katika 10:38 mwandishi ananukuu kutoka kwa nabii Habakuki, ambayo moja kwa moja inafuata nukuu kutoka kwa nabii Isaya 10:37.

mwenye haki wangu...kama akigeuka... pamoja naye

Haya maneno yanamaanisha kwa watu wa Mungu wowote.AT: "watu wangu waaminifu ...kama mmoja wao akigeuka...kwa mtu huyo" au " watu wangu waaminifu... kama wakigeuka ... nao"

kama akigeuka

kukosa ujasiri na imani kunaongelewa kana kwamba ilikuwa nikugeuka kutoka kufuata njia.

wanaogeuka kuelekea uangamivu

kukosa ujasiri na imani kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kugeuka kutoka katika kufuata njia.

kwa kuzilinda imani roho zetu

kuishi milele na Mungu kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kutunza roho ya mtu, Na roho hapa inamaanisha mtu mzima mzima.

Hebrews 11

Waebrania 11 Maelezo kwa jumla

Muundo

Mwandishi anaanza sura hii kwa kuelezea nini maana ya imani. Baadaye anapeana mifano mingi ya watu waliokuwa na imani na jinsi walivyoishi.

Dhana muhimu katika sura hii.

Imani

Katika maagano yote mapya na ya zamani, Mungu alihitaji imani. Watu wengine wa imani walifanya miujiza na walikuwa wenye nguvu sana. Watu wengine wa imani waliteseka sana.

<< | >>

Hebrews 11:1

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anaongea vitu vtatu kuhusu imani katika maelekezo haya mafupi.

Sasa

Neno hili limetumika hapa kufanya kupumzika katika fundisho lake kuu. Hapa mwandishi anaanza kufafanua maana ya "imani."

Kwa hakika aliyo nayo mtu wakati atarajiapo

"imani ni msingi alionao mtu katika tegemeo"

hakika anatarajia

Hapa jambo hili hurejea katika ahadi za Mungu, hususani uhakika walionao waamini wote wa Yesu kuwa kunawakati watakuwa na Mungu mbinguni milele.

ambayo bado hayajaonekana

"yale ambayohatujayaona" au "ambayo hayajaonekana"

kwa sababu hii

"Kwa sababu kulikuwa na matukio ya hakika ambayo yalikuwa hayajatokea"

mababu walithibitishwa kwa imani yao

"Mungu aliwathibisha mababu zetu kwa sababu ya imani yao"

ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu

"Mungu aliimba dunia kwa kuiamuru iwepo"

kinachoonekana hakikuumbwa kwa vitu vinavyoonekana

"Mungu hakuumba tunavyoviona kutokana na vitu vinavyoonekana"

Hebrews 11:4

Sentensi Unganishi:

kisha mwandishi anatoa mifano mara nyingi kutoka Agano la Kale ya watu walioishi ka imani ingawa hawakupokea kile ambacho alikuwa amekiahidi wakati walipoishi duniani.

alishuhudiwa kuwa mwenye haki

'Mungu alishuhudia kwamba Habili alikuwa mwenye haki"

Abel bado anazungumza.

Yale aliyofanya Abel yanaendelea kutufundisha

alishuhudiwa kuwa mwenye haki

Mungu alimshuhudia kuwa mwenye haki"

Hebrews 11:5

Kwa imani Enoko alichukuliwa juu na hakuonja mauti

Kwa imani Enoko hakufa kwa sababu Mungu alimchukua.

Tazama Kifo

Kufa.

Kabla hajachukuliwa juu

"Kabla Mungu hajamchukua juu"

alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. Maana dhaaniwa: 1) "Mungu alisema Enoki alikuwa amempendeza," 2) "Watu walisema Henoko alikuwa amempendeza Mungu."

sasa pasipo imani

Sasa hapa haimaanishi kwamba wakati huu lakini imetumika kuvuta usikivu kwa ajili ya kipengele kinachofuata.

Pasipo imani haiwezekani kumpendeza yeye

"mtu anaweza kumpendeza Mungu kama tu ana imani katika Mungu"

yeyote ajaye kwa Mungu

yeyote ajaye kwa Mungu

anayetaka kumwabudu Mungu na kuwa sehemu ya watu wake kunaongelewa kana kwamba ni kuja kwa Mungu. "mtu yeyote anayehitaji kuwa sehemu ya Mungu"

huwapatia zawadi

"huwapatia wale"

wale wote wamtafutao

Kujifunza kuhusu Mungu na kufanya juhudi kumtii kunaongelewa kana kwamba mtu anamtafuta mtu mwingine.

Hebrews 11:7

baad ya kupewa ujumbe wa kiungu

"Kwa sababu Mungu alimwambia yeye"

kuhusu vitu ambavyo havijaonekana

"kuhusu vitu ambavyo hapana hakuna hata mmoja amewahi kuviona kabla" au " kuhusu matukio ambayo hayajatokea bado"

Ulimwengu

Watu wanaoishi duniani wakati huo

akawa mrithi wa haki

Nuhu anaongelewa kana kwamba alikuwa akirithi mali ana utajiri kutoka kwa mwana familia. "alipokea kutoka kwa Mungu mwenye haki"

hivyo kulinganga na imani

"kwamba Mungu huwapa wale walio na imani katika yeye"

Hebrews 11:8

Alipoitwa

"pindi Mungu alipomwita"

alienda kwenye sehemu nje

"Aliacha nyummba yake kwenda kwenye sehemu"

Nchi ya ahadi

"Nchi ambayo Mungu alimuahidia.

aliishi katika nchi ya ahadi kama mgeni

"aliishi kama mgeni katika nchi ambayo Mungu alikuwa amemuahidi."

Warithi wenza

"warith pamoja." Hii inaongea kuhusu Abrahamu, Isaka, na Yakobo kana kwamba walikuwa warithi ambao wangepokea urithi kutoka kwa baba yao.

Mji ulio na misingi

Mungu anaongelewa kana kwamba ni mbunifu na mjenzi.

Mtaalam wa ujenzi

Mtu ambaye anaunda majengo.

mbunifu wa ujenzi

mtu anayebuni majengo

Hebrews 11:11

Uwezo wa kushika mimba

"Uwezo wa kuwa baba"

walimwona Mungu kuwa mwaminifu, ambaye aliwapa ahadi

"walimwamini Mungu, ambaye alikuwa amewaahidi vitu kuwa mwaninifu"

alikuwa karibia na kufa

"mzee sana kupata" au "mzee sana"

Wazao wasioweza kuhesabika... wengi kama nyota angani na mbegu za mchanga zisizohesabika kwenye ufukwe ambao hauhesabiki

Hii ilimuhusu Abrahamu kuwa na wana uzao mwingi sana.

ambayo haihesabiki

"ambayo mengi sana kuhesabu"

Hebrews 11:13

pasipo kupokea ahadi

"pasipo kupokea ahadiambazo Mungu alikuwa ameawaahidi

baada ya kuona na kuwasalimu kutoka mbali

"baada ya kujifunza kile Mungu atakachofanya wakati ujao"

walikiri

walitambua" au walipokea"

Walikuwa wageni na wapitaji katika nchi

"wageni" na "wapitaji" kimsingi yanamaanisha kitu kimoja. Hii inasisitiza kwamba nchi haikuwa nyumbani kwao kweli. Walikuwa wakisubiri kwa ajili ya nyumbani kwao kweli ambapo Mungu ametengeneza kwa ajili yao.

Nchi ya nyumbani.

"Nchi ambayo wanatokea"

Hebrews 11:15

wa mbinguni

"nchi ya kimbingu" au "nchi mbinguni"

Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao.

"Mungu anafurahi kuitwa Mungu wao" au "Mungu anajivuna kuwa Mungu wao"

Hebrews 11:17

alipojaribiwa

"pindi Mungu alipomjaribu"

kwake ambaye ilikuwa imesemwa

"kwake ambaye Mungu alisema"

Kutoka kwa Isaka uzao wako utaitwa

"Ni katika uzao wa Isaka amabao Mungu atafikiri uzao wako.

kuongea kwa mafumbo

namna ya kuongea." Hii ina maana kwamba mwandishi anachosema kisichukuliwe kama tukio ambalo linatokea kimwili. Mungu hakumleta Isaka kutoka kwa wafu.Lakini Abrahamu alikuwa anataka kumdhabihu Isaka wakati Mungu alipomzuia, ilikuwa kana kwamba Mungu alikmrudisha kutoka kwa wafu.

Alimpokea tena

"Abraham alimpokea Isaka tena

ilikuwa kutoka kwao

"ilikuwa kutoka kwa wafu

alimpokea

"Abrahamu alimpokea Isaka"

Hebrews 11:20

Yakobo aliabudu

"Yakobo alimwabudu Mungu"

Mwisho ulipokuwa umekaribia

"alipokuwa amekaribia kufa"

aliongeakuondoka kwa wana wa Israeli wangetoka Misri"

"aliongea wakati wana wa Israeli wangeondoka Misri"

wana wa Israeli

"wana wa Israeli" au " uzao wa Israeli"

aliwaelekeza kuhusu mifupa yake

Yusufu alikufa akiwa Misri. Aliwataka waru wake kuchukua mifupa yake wakati wataondoka Misri ili kwamba waizike mifuka katika nchi ambayo Mungu alikuwa amewaahidi.

Hebrews 11:23

Musa, alipozaliwa, alifichwa na wazazi wake kwa miezi mitatu

"Wazazi wa Musa walimfika kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa."

alikua

"Akawa mtu mzima

alikataa kuitwa

"aliwazuia watu kumuita"

Dharau zitokanazo na kumfuata Kristo

"udhoefu wa watu kutokumuheshimu kwa sababu alifanya kile ambacho Kristo angetaka"

Elekeza macho yake katika zawadi ya mbele

"Kufanya kile alichojua kuwa kitampatia zawadi huko mbinguni."

kumfuata Kristo

kumtii Kristo kunaongelewa kana kwamba walikuwa wakimfuata katika njia.

kuweka mach yake katika zawadi yake

Kufanya kile alichokifahamu kungemwezesha kupata taji mbinguni"

Hebrews 11:27

alivumilia kana kwamba alikuwa alimwona yeye asiye onekana

Musa anaongelewa kana kwamba alimwona Mungu, ambaye haonekani.

yule ambaye haonekani

"yeye ambaye hakuna mtu anaweza kumwona"

Kunyunyiza kwa damu

Hii inamaanisha amri ya Mungu kwa Waisraeli kuchinja mwana kondoo na kusambaza juu ya kila muimo wa kila nyumba mahali ambapo waliishi Hii ingezuia muharibifu kutowaaribu wazaliwa wao wa kwanza.

usiguse

"usidhuru" au " usiue"

Hebrews 11:29

Maelezo ya Jumla:

"wao" ya kwanza ina maanisha Waisraeli, na "wao" ya pili inamaanisha Wamisri na "wao" ya tatu inamaanisha kuta za Yeriko.

Walipita

Waisraeli walipita kupitia Bahari ya Shamu'

Walimezwa

"Maji yaliwameza Wamisri"

walimezwa

"Wamisri walizama ndani ya maji"

Walikuwa wamezunguka kwa siku saba

"Waisrael walitembea kwa kuzunguka kuta kwa siku saba"

Aliwapokea wapelelezi na kuwahifadhi salama

"Aliwaficha wapelelezi ili wawe salama

Hebrews 11:32

Sentensi Unganishi:

mwandishi anaendelea kuongelea kwa kile ambacho Mungu angefanya kwa mababu wa Israeli.

Niseme nini tena

Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba kuna mifani mingi ambayo aliyoinukuu.

Muda hauta niruhusu

"Sita kuwa na muda wa kutosha"

Baraka

Jina la mtu.

ilikuwa ni kwa kupitia imani kwamba wali

"ilikuwa ni kwa ajili ya imani wale wanaume kama hivi"

walishinda

"waliwashinda watu wa falme ngeni"

Shinda

Iliyoshinda

Simamisha vinywa vya simba alizima nguvu ya moto... alikwepa makali ya ncha ya upanga

Njia ambazo watu wa Israeli waliokoka kutoka kifo. "Simba hawakuwala... moto haukuwaunguza." Upanga haukuwaua."

Waliponywa

"walipokea uponyaji kutoka kwa Mungu"

wakawa hodari katika vita, na wakashinda

"wakawa hodari katika vita na wakashinda"

Hebrews 11:35

Wanawake walipokea wafu wao tena kwa ufufuo

"Wanawake walipokea wafu waliokuwa wamekufa wakati Mungu alipowafufua"

Wengine waliteswa... wengine waliumizwa na dhihaka na vipigo... walipondwa mawe ... walikatwa kwa msumeno... walichinjwa

Wengine waliteseka wakati wengine wanadhihakiwa... na wakachapwa wengine walikufa kwa sababu ya kutupiwa mawe... wengine walikufa walipokatwa na misumeno... watu waliwaua

ufufuo ulio bora

Maana zinazo dhaaniwa 1) hawa watu watapata maisha bora mbinguni au 2)Watu hawa watapata ufufuo ulio bora zaidi ya wale wasio na imani.

wenginne walijaribiwa katika kutukana na kuchapwa... wapondwa mawe. walikatwa kwa wawili. waliuawa kwa upanga

watu waliwatukana na kuwapiga wengine... watu waliwaponda mawe.

wengine walijaribiwa katika kutukanwa, na hata minyororo na vifungo

Mungu aliwajaribu wengine kwa kuwaruhusu adui zao kuwa tukana na kuwachapa na hata kuwaweka vifungo"

katika mavazi ya kondoo na mbuzi

"wakiva tu ngozi za kondoo na mbuzi"

hawakuwa na makao

"hawakuwa na kitu" au " walikuwa masikini sana"

Ulimwengu haikuwastahili

"watu wa dunia hii haikuwastahili"

mapango, na ndani ya mashimo ya ardhi

"na wengine waliishi katika mapango na mashimo ya ardhi"

Hebrews 11:39

Ingawa watu hawa wote walikuwa wamehakikishwa na Mungukwa sababu ya imani yao, hawakupokea ahadi

"Mungu aliheshimu hawa kwa sababuya imani yao, lakini wenyewe hawakupokea kile ambacho Mungu alikuwa amekiahidi"

ahadi

"kile ambacho Mungu alikuwa amewaahidi."

ili kwamba pasipo yeye wasingeweza kukamilishwa

" ili kwamba Mungu angetukamikamilisha sisi na wao pamoja"

Hebrews 12

Waebrania 12 Maelezo kwa jumla

Muundo na mpangilio

Baada ya kuwafundisha watu umuhimu wa adhabu, mwandishi anaanza mfuatano ya mahubiri. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#exhort).

Watafsiri wengine wameweka kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 12:5-6, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Nidhamu

Mungu anataka watu wake kutenda yaliyo mema.Wakifanya kile hakipendi, anatakikana kuwarekebisha ama kuwadhibu. Yeye hufanya hivi jinsi baba wa duniani huwarekebisha na kuwadhibu watoto wao wanaowapenda. (Tazama: https://read.bibletranslationtools.org/u/WA-Catalog/*_tw/kt.html#discipline)

<< | >>

Hebrews 12:1

Sentensi Unganishi:

Kwa sababu ya idadi kubwa ya waumini wa Agano la Kale, mwandishi anaongelea maisha ya imani ambayo waamini wanapswa kuishi na Yesu kama kielezo chao.

Maelezo ya Jumla:

inamaanisha mwandishi na wasomaji wake. Neno nyie linamaanisha wasomaji.

Tumezungukwa na kundi kubwa la mashahidi

" kundi kubwa la mashahidi linatuzunguka sisi" au "Kundi kubwa la mashahidi linasimama kama mfano kwetu."

Mashahidi

"Mashahidi" hapa inamaanisha waumini wa Agano la Kale katika sura ya 11 walioishi kabla ya shindano la imani ambayo waumini wanashindana sasa hivi.

tuweke kando kila mzigo na unatuzonga kwa urahisi

"mzito" hapana "dhambi inayozonga kwa urahisi" vinaongelewa kana kwamba mtu angeweza kuziondoa na kuzitua chini.

Mwanzilishi na mkamilishaji

"muumbaji na mkamilishaji." Hii inamaanisha kwamba Yesu ni chanzo imani ya waumini.Ndiye ambaye waumini wanamtumaini, na atahakikisha waumini wanafikia lengo lao.

furaha iliyowekwa mbele yake

Furaha ungetoka kwa Yesu kunaongelewa kana kwamba Mungu Baba aliyoiwekambele yake kufikia lengo.

aliidharau aibu yake

Hii inamaanisha hakujali kuhusu aibu ya ya kufa msalabani.

alikaa mkono wa kuume

"Mkono wa kuume" hapa unamaanisha sehemu ya heshima.

kiti cha enzi

"enzi" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme.

kuchoka katika mioyo

"mioyo" inamaanisha mawazo ya mtu na hisia.

Hebrews 12:4

Hauateseka na dhambi vya kutosha kiasi cha kupoteza damu

"Umeshindana na dhambi, lakini wengine wamefanya hivyo kiasi cha kupoteza damu

dhambi, mdhambi, kutenda dhambi

Neno "dhambi" linamaanisha matendo, mawazo, na maneno ambayo yako kinyume na mapenzi na sheria za Mungu. Dhambi pia inaweza kumaanisha kutokufanya kitu ambacho Mungu anahitaji sisi tufanye.

damu

Neno "damu" linamaanisha kimiminikka chekundu ambacho kinatoka kwa mtu katika ngozi ya mtu wakati anapoumia au kidonda. Damu huleta virubtubisho vya uzima katika mwili wa mtu. Damu pia inamaanisha uzima na inapomwagika inaonyesha kifo. watu walipotengeneza dhabihu, waliua mnyama na kumwaga damu yake juu ya madhabahu. Na hii iliwakilisha dhabihu ya uhai wa wanyama kulipa kwa ajili ya dhambi za watu.

kutia moyo, utiaji moyo

Maneno kutia moyo na utiaji moyo inamaanisha kusema na kufanya vitu vinavyosababisha mtu kupata faraja, tumaini, ujasiri na moyo.

kulekeza, elekezo

Neno "kuelekeza" na "elekezo" yanamaanisha kutoa maalekezo ya moja kwa moja kuhusu nini kifanyike.

mwana, mwana wa

Neno "mwana" linamaanisha mvulama au mwanaume katika uhusiano na wazazi wake.Inaweza pia kumaanisha uzao wa mtu mme au kwa mtu mwana aliye asiliwa.

Bwana

Neno "Bwana" linamaanisha kwa mtu ambaye anaumiliki au uwezo juu ya watu. Inapotumika kwa herufi kubwa ni cheo kinachomaanisha Mungu.

huadhibu

Neno "adhibu" linamaanisha kufundiisha watu kutii maelekezo au kanuni kwa tabia njema.

upendo

kumpenda mtu mwingine in kumjali mtu huyo na na kufanya vitu vitakavyo mnufaisha. Kuna maana tofauti za upendo katika baadhi ya lugha inaweza konyeshwa kwa kutumia maneno tofauti: 1 Upendo utokao kwa Mungu kuna lengamazuri juu ya wengine hata kama kama haimnufaishi. Aina hii ya upendo unajali wengine bila kujali wanafanya nini. Mungu mwenyewe ni upendo na chanzo cha upendo wa kweli.

adhibu, adhabu

Neno adhibu maana ni kusababisha mtu kuteseka kwa sababu ya kukosea kwake.

Hebrews 12:7

Vumilia majaribu kama maonyo

"Elewa nyakati wa mateso Mungu hutufundisha nidhamu"

Mungu anashughulik na ninyi kama ashughulikavyo na wana

Hii inalinganisha unidhamishaji kwa Mungu kwa watu wake kama baba anavyo wanidhamisha watoto.

wana... mwana

Hiii ina jumuisha wamaume na wanawake, AT: "watoto... mtoto"

ni mtoto yupi ambaye baba yake hawezi kumrudi?

Mwandishi anatumia swali kuelewesha kwamba ni kawaida kwa kila baba mzuri kuwarudi watoto wake.

Lakini kama hakuna kurudiwa ambako sisi sote tunashiriki

"Hivyo kama haujapata kurudiwa na Mungu kama anavyowarudi wana wake wote"

basi ninyi ni haramu na sio wana wake

wale ambao Mungu hawarudi kunaongelewa kana kwamba ni wana ambao wamezaliwa na mwanamke na mwanaume ambao hawajaoana.

Hebrews 12:9

baba katika mwili

Neno "mwili" hapa linamaanisha mwanadamu.

kama warudiaji/ wanaotunidhamisha

wanao turudi

Je hatupaswi hata zaidi kumtii Baba wa kiroho na kuishi?

Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba wangeweza kumtii Mungu Baba,

na ishi

"ili kwamba tuishi"

Baba wa roho

"Baba yetu wa kiroho" au Baba yetu wa mbinguni"

ili tushiriki utakatifu wake

"ili kwamba tuwe watakatifu kama Mungu alivyo mtakatifu"

tunda la amani

"Tunda" hapa ni alama na inaongelewa kana kwamba ni mtu aliye katika amani na ambaye alileta amani kwa wengine.

tunda la utauwa

Utauwa, ni hali ya mtu anaye mtii Mungu, inaongelewa kana kwamba ni tunda linakuwa juu ya mti. Mwandishi hapa anasema kwamba utauwa unaongezeka kama matokeo ya kurudiwa.

wale waliofundishwa nayo

"wale walio fundishwa kwa kurudiwa." Ambao Mungu amewafundisha kwa kuwarudi."

Hebrews 12:12

inueni mikono yenu iliyolegea na kufanya magoti yenu yaliyo dhaifu kuwa yenye nguvu. Nyosheni mapito ya nyayo zenu

Katika namna hii mwandishi anaongea kuhusu kuishi kama wakristo na kuwasaidia wengine.

njia iliyonyooka

Kuishi kama kumuheshimu na kumtukuza Mungu kunaongelewa kana kwamba ni kufuata njia iliyonyooka.

iliyo dhaifu haitapotoshwa

katika mfano huu wa kukimbia mashindanoni, "dahaifu" inawakilisha mtu mwingine katika shindano aliyeumia na anataka kuandoka katika shindano.Hili "geuka" linawakilisha wakristo wenyewe.

isipokuwa aponywe

"badala yake aimalike" au "badala yake Mungu atamponya"

Hebrews 12:14

Maelezo ya Jumla:

Esau, ambaye amesema katika maandishi ya Musa, inamaanisha kwa mwana wa kwanza wa Isaka na ndugu yake Yakobo.

tafuteni kuwa na amani na kila mmoja

" jaribu kuishi na kila mtu"

na pia ambao bila huo utakatifu hakuna atakayemwona Bwana

"na pia fanya bidii kuwa mtakatifu, kwa sababu ni watakatifu pekee ndio watakaomwona Mungu"

pia utakatifu

"pia tafuta utakatifu"

atakaye tengwa/ pungukiwa na neema ya Mungu

"hakuna mtu anapokea neema ya Mungu na kisha akaiachia" au " hakuna anaikataa neema baada ya kwanza kuamini katika yeye"

kwamba hakuna shina la uchungu litakalo kua na kusababisha shida ili kwamba wengi wasichafuliwe kwalo

kwamba hakuna yeyote anayekuwa kama mzizi mchungu, ambao unaweza kukua na kusababisha matatizo uharibifu kwa watu wengi"

alikataliwa

"baba yake, Isaka, alikataa kumbariki"

kwa sababu hakupata fursa ya kutubu

"kwa sababu haikuwa inawezekana kwa baba yake, Isaka, kubadilisha uamuzi wake"

ingawa alitafuta sana kwa machozi

Hapa aliyetafuta ni Esau

Hebrews 12:18

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anakinzanisha katika waumini wakati wa Musa walipaswa kufanya chini ya sheria na kile ambacho waumini wa sasa wanapaswa kusihi baada ya kuja kwa Yesu chini ya agano jipya.

Maelezo ya Jumla:

Maneno haya "ninyi" "Nyie" inamaanisha waumini wa Kiebrania ambao mwandishi anawaandikia. Neno "wale" linamaanisha watu wa Israeli baada ya Musa kuwaongoza kutoka Misri. Nukuu ya kwanza inatoka katika maandishi ya Musa. Mungu anafunua katika ukurasa huu katika Waebrania kwamba Musa alisema alitetemeka alipoona mlima.

kwa kuwa hamkuja katika mlima ambao unaweaz kuguswa

kwa kuwa hamjafikia, kama watu wa Israeli walivyokuja, mlimani ambao unaweza kuguswa"

ambao unaweza kuguswa

Hii inamaanisha waumini katika Kristo hawajafikia mlima kama Mlima Sinai ambao mtu anaweza kugusa au kuona.

hamjafikia sauti ya tarumbeta

"Hamjafikia mahali ambapo palipo na mlio mkubwa wa tarumbeta"

au kwa maneno yatokanayo na sauti ambayo ilisababisha kila waisikiayo wasiombe neno lolote kusemwa kwao

"sauti" inamaanisha mtu anaye ongea. pale ambapo Mungu anaongea kwa namna ya kwamba wale waliosikia walimtaka asiongee neno jingine kwao"

kilichoamliwa

'kile ambacho Mungu aliamuru"

lazima apigwe kwa mawe

"ni lazima uiponde"

Hebrews 12:22

Maelezo ya Jumla:

Abeli alikuwa mwana wa mwanamme na mwanamke wa kwanza, Adamu na Eva. Pia Kaini mwana wao alimuua Habili.

Mlima Sayuni

Mwandishi anaongea Mlima Sayuni, hekalu la mlima Yerusalem kana kwamba lenyewe ilikuwa mbingu, nyumbani kwa Mungu.

Wamekuja

Wamewasili

Malaika elfu kumi

"Idadi isiyohesabika ya malaika"

mzaliwa wa kwanza

Hii inaongea waumini katika Kristo kana kwamba ni wana ambao ni wazaliwa wa kwanza. Hii inasisitiza sehemu yao maalumu na faida kama watu wa Mungu.

mmesajiliwa mbinguni

"ambao majina yao yameandikwa mbinguni

mpatanishi wa agano jipya

Hii inamaana Yesu alisababisha agano jipya kuwepo kati ya Mungu na wanadamu

Mmekamilishwa

"ambao Mungu amewafanya wakamilifu"

Damu ya kunyunyiza ambayo hunena zaidi kuliko damu ya Habili.

"Damu ya Yesu iliyonyunyizwa ambayo inamaana kubwa zaidi kuliko damu ya Habili, ambaye aliuawa na Kaini"

damu

damu hapa inasimama kwa kifo cha Yesu, kama damu ya Habili inavyoisimama kwa kifo chake.

Hebrews 12:25

Sentensi Unganish:

Baada ya kulinganisha uzoefu wa Waisraeli katika Mlima Sinai na uzoefu wa waumini baada ya Kristo kufa, mwandishi anawakumbusha waumini kwamba wana Mungu yuleyule anayewaonya leo. Hili ni onyo la tanzo kwa waumini.

Maelezo ya Jumla:

Hii nukuu inatoka kwa nabii Hagai katika Agano la Kale.

usije ukamkataa anayeongea

"msikilizeni anaye ongea.

kama hawakuepuka

"kama watu wa Israeli hakuepuka hukumu"

aliyewaonya duniani

Pengine 1) Musa aliye waonya duniani." au) Mungu aliyewaonya katika Mlima Sinai"

kama tukigeuka kutoka kwa yule anayetuonya

Kutmtii Mungu kunaongelewa kana kwamba mtu alikuwa akigeuka na kutoka kwake. "kama tusipomtii yeye anayeonya"

sauti yake iliitikisa ardhi

"Mungu alipoongea mlio wa sauti yake ilisababisha ardhi kutikisika"

ilitikiswa... tikisa

tumia neno ambalo tetemeko la ardhi inafanya katika kuitetemesha adrhi.

Hebrews 12:27

Maelezo ya Jumla:

Nukuu hii hapa kutoka kwa nabii Hagai inarudiwa kutoka mstari wa mwanzo.

kutoweshwa kwa vitu vile viteteshwavyo

'Mungu ataondoa vitu vyote vinavyotetemeshwa"

tetemeshwa

Tumia neno kwa tetemeko la ardhi linachofanya katika kutembea kwenye ardhi.

vilivyokwisha kuumbwa

"kwamba amekwisha umba."

hivi vitu ambavyo haviwezi

'vitu ambavyo havitetemeki"

kupokea ufalme

"kwa sababu tunapokea ufalme au " kwa "sababu Mungu anatufanya sisi kuwa wanafamilia wa ufalme wake"

tufurahi

"tumshukuru Mungu"

kunyenyekea katika kicho

"kunyenyekea" na "kicho" yana maanshabiliana maana na inasisitiza ukuu wa unyenyekevu kwa sababu ya Mungu"

Mungu wetu ni moto ulao

Mungu anaongelewa kana kwamba ni moto ambao unaweza kuchoma kitu chochote.

Hebrews 13

Waebrania 13: Maelezo kwa jumla

Muundo na mpangilio

Mwandishi anamalizia orodha ya mashauri aliyoyaanza katika sura ya 12. Halafu anawauliza wasomaji wake kumuombea anapomalizia barua hii.

Watafsiri wengine wametenga kila mistari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 13:6 ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Ukarimu

Mungu anataka watu wake wakaribishe watu wengine kuja kwa nyumba zao kula chakula na hata kulala. Watu wake wanastahili wafanye hivi hata kama hafahamu vizuri watu wanaowaalika. Katika Agano la Kale, Abrahamu na binamu yake Lutu walionyesha ukarimu kwa watu ambao hawakuwafahamu. Abrahamu aliandaa chakula cha bei na Lutu akawakaribisha kulala kwake.Walikuja kufahamu baadaye kwamba watu hao walikua malaika.

__<< | __

Hebrews 13:1

Sentensi Unganishi:

katika kufunga sehemu hii, mwandishi anatoa maelekezo ya moja kwa moja kwa waumini namna wanapaswa kuishi.

Basi na upendo wa kindugu uendelee

"Endeleeni kuonyesha upendo wenu kwa waumini wengine kama mfanyavyo kwa mwana familia"

Usisahau

"hakikisha unakumbuka"

wakaribisheni wageni

"kuwaribisha wageni na kuwaonyesha wema"

Hebrews 13:3

kana kwamba mlikuwa mmefungwa pamoja

"kana kwamba mlikuwa gerezani pamoja nao"

Ndoa na iheshimiwe na watu wote na kila mmoja

"wanaume na wanawake walio na kuolewa waliolewa ni lazima waheshimiane.

kama miili yao ilitendewa kama wao

Hii inawatia moyo waumini kufikiri kuhusu mateso ya watu wengine kama ambaavyo wangeweza kufikiri juu ya mateso yao.

kitanda cha ndoa kiwe safi

Hii inamaanisha tendo la ndoa kana kwamba n kitanda cha watu walioana. AT: "wanaume na wanawakewaheshimu mahusiano ya ndoa yao na sio kwenda na watu wengine"

Hebrews 13:5

tabia zenu ziwe huru lakini sio katika kupenda fedha

"Msipende pesa"

Mtosheke

"Toshekeni"

Bwana ni msaidizi wangu...kunifanya mimi

Hii nukuu inatoka katika Zaburi ndani ya Agano la Kale.

Sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?

Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba haogopi watu kwa sababu Mungu anamsaidia.

Hebrews 13:7

tokeo la mwenendo wao

"matoke ya

kuiga imani yao

Tumaini katika Mungu na njia ya uzima iliyoongozwa na viongozi hawa inaongelewa kama "imani ya kweli'

ni yeye yule yule, leo, na milele

"Jana" hapa ina maana muda wote uliopita.

Hebrews 13:9

Maelezo ya Jumla:

Sehemu hii inamaanisha dhabihu ya wanyama walio wafanya waumini katika Mungu katika kipindi cha Agano Kale, ambayo inafunika dhambi zao kwa muda hadi kifo cha Yesu kilipokuja.

msije mkabebwa na mafundisho mageni mbalimbali

usisawichiwe kwa mafundisho mbalimbali kunaongelewa kana kwamba mtu alikuwa amechukuliwa kwa lazima.

moyo unapaswa kuimarishwa

"moyo" unasimama kwa ujasiri wa mtu, upendo, na ushupavu.

ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa vyakula ambavyo haviwasaidii wale wanao tembea kwa hivyo

"tunapata nguvu pale tunapofikilia jinsi Mungu ambavyo amekuwa mwema kwetu, lakini hatuwi na nguvu kwa kutii sheria za kuhusiana na chakula"

vyakula

Vyakula hapa vinasimama kuhusu sheria za chakula.

wale wanaotembea kwa hizo

Kuishi kunaongelewa kana kwamba ni kutembea.

madhabahu

madhabahu inasimama kwa sehemu ya ibada. Pia inasimama kwa ajili ya wanyama ambao makuhani katika dhabihu za agano la kale, ambavyo walichukua nyama kwa ajili yao na familia.

damu za wanyama zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi inaletwa na kuhani mkuu sehemu takatifu

kuhani mkuu analeta ndani ya sehemu takatifu damu ya wanyama ambao makuhani waliwachinja kwa ajili ya dhambi.

wakati miili yao inachomwa moto

"wakati makuhani wanapochoma miili ya wanyama"

nje ya kambi

"mbali na mahali ambapo watu waliishi"

Hebrews 13:12

Sentensi Unganishi:

Kuna ulinganifu kati ya dhabihu ya Yesu na dhabihu za hekalu ya Agano la Kale.

Kwa hiyo

" Kwa njia hiyohiyo" au "Kwa sababu miili ya kujitoa iliunguzwa nje ya kambi"

nje yalango la mji

"Nje ya mji."

Kwa hiyo ngoja sasa twende

Kumtii Yesu kunaongelewa kana kwamba ni mtu alipaswa kuacha kambi kwenda nje Yesu alipo.

kubeba aibu yake

kutokuwa na huruma kunaongelewa kana kwamba in chombo ambacho kinapaswa kubebwa katika mikono ya mtu au juu ya mgongo wa mtu.

Hebrews 13:15

dhabihu ya sifa

Sifa inaongelewa kana kwamba ni dhabihu ya wanyama au uvumba.

sifa ambayo ni tunda la midomo ambayo inakiri jina lake

sifa inaongelewa kana kwamba ni tunda, na "midomo" inaongelewa kana kwamba ni miti inayozaa matunda. Kwa nyongeza "midomo" inawakilisha watu wakimsifu Mungu.

Jina lake

Jina la mtu linamwakilisha mtu.

tusisahau kufanya mazuri na kusaidiana

"mara zote tukumbuke kufanya mema na kusaidia wengine"

na dhabihu hiyo

Kufanya wema na kuwasaidia kunaongelewa kana kwamba ni dhabihu juu ya mimbari.

zitunzeni nafsi/roho zenu

roho za waumini,ambayo ni mwenendo wa maisha ya kiroho, yanaongelewa kana kwamba ni vyombo au wanyamaambao waangaliz wangeweza kutazama.

sio kwa huzuni

"huzunu" inasimama kama msiba au huzuni.

Hebrews 13:18

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anafunga kwa baraka na salaamu

Tuombeeni

"Tuombeeni"hapa anamanisha mwandishi na wenzake.

tuna uhakika kwamba tuna dhamira njema/ safi

njema/ safi hapa inamaanisha hatuna hatia.

kwamba nitarudi tena kwenu hivi karibuni

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kwamba Mungu akipenda nitaondoa mambo yanayonizuia kuja kwenu"

Hebrews 13:20

Sasa

Hii ni sehemu ya mpya ya barua. Mwandishi hapa anamsifu Mungu na anatoa maombi ya mwisho kwa wasomaji wake.

mchungaji mkuu wa kondoo

Kristo katika jukumu lake la kiongozi na mlinzi wa wale wanaoaminikatika yeye kunaongelewa kana kwamba ni mchungaji wa kondoo.

kwa damu ya agano la milele

"Damu" hapa linasimama kwa kifo cha Yesu, ambacho ni msing kwa agano ambalo litakalodumu milele kati ya Mungu na waumini katika Kristo.

kuwakamilisha katika kufanya kila jambo jema ili kufanya mapenzi yake

"kuwakamilisha" hapa inamaanisha kuwafanya "kuweza" au "kuwafundisha"

afanye kazi ndani yetu

Neno hili "yetu" inamaanisha kwa mwandishi na wasomaji wake.

kwake uwe utukufu milele na milele

ambaye watu wote watamsifu milele

Hebrews 13:22

Sasa

Hii inaonyesha sehemu mpya ya barua. Hapa mwandishi anatoa maoni yake ya mwisho kwa wale anaowaandikia.

ndugu

Hii inamaanisha waumini wote anaowandikia wanume au wanawake.

huchukuliana na neno la kutia moyo

"kwa uvumilivu fikirini juu ya nilichokiandika kuwatieni moyo.

neno la faraja

"Neno" hapa linasimama kwa niaba ya ujumbe.

amewekwa huru

"hayuko tena gerezani"

Hebrews 13:24

wale wanaotoka Italia wawasalimu

Maana zinazodhaaniwa ni 1) mwandishi hayuko Italia, lakini kuna kundi la waumini waliotoka Italia walio pamoja naye au 2) mwandishi yuo Italia anapoandika barua hii.

Italia

Hili ni jina la sehemu wakati huo. Rumi ilikuwa mji mkuu wa Italia.