Kiswahili: translationNotes Print

Updated ? hours ago # views See on WACS

Exodus 1

Exodus 1:1

jamii

Hii inahusu watu wote wanao ishi katika nyumba pamoja, hususani familia kubwa yenye watumishi.

sabini

"70"

yusufu alikuwa Misri tayari

"Yusufu aliishi Misri kabla ya kaka zake"

Exodus 1:6

kaka zake wote

kaka zake wakubwa 10 na mdogo 1.

Walikuwa wamatunda

Uzao wa watoto kwa Waisraeli unasemekana kama vile mimea inayo zaa matunda.

nchi ili jazwa nao

Hii ya weza wekwa kwenye tensi tendaji. "Walijaza nchi"

pamoja nao

Neno "wao" la husu Waisraeli.

Exodus 1:8

akainuka juu ya Misri

Hapa "Misri" ya husu watu wa Misri.

Akasema kwa watu wake

"Mfalme akasema kwa watu wake"

watu wake

Hawa walikuwa watu waliyo ishi Misri, Wamisri.

na tufanye

Neno "sisi" lina jumuisha na kuhusu mfalme na watu wake, Wamisri.

Vita vikalipuka

Hapa vita vinatajwa kama mtu anaye weza kufanya matendo.

kuondoka nchini

"kuondoka Misri"

Exodus 1:11

mabwana wa kazi

"waendesha watumwa." Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kulazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.

kuwa kandamiza kwa kazi ngumu

"kuwa lazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu ya Wamisri"

miji ya ghala

Hizi zilikuwa sehemu viongozi walipo weka chakula na vitu vingine muhimu kuviweka salama.

Exodus 1:13

kufanya ... kazi kwa juhudi

"kufanya ... fanya kazi kwa nguvu" au "kwa vikali fanya ... kazi"

walifanya maisha yao machungu

Maisha magumu ya Waisraeli yanazungumzwa kama vile yalikuwa chakula kichungu ambacho kili kuwa kigumu kula.

chokaa

Hii ilikuwa gundi ya maji au matope kati ya matofali au mawe yaliyo yashika pamoja yalipo kauka.

Kazi zao zote zilikuwa ngumu

"Wamisri waliwafanya wafanye kazi kwa nguvu sana" au "Wamisri waliwalimizimisha kufanya kazi kwa ngumu"

Exodus 1:15

mfalme wa Misri

Wafalme wa Misri aliitwa Farao.

wakunga

Hawalikuwa wanawake waliyo wasaidia mwanawake kuzaa mtoto.

Shifira ... Pua

Haya ni majina ya wanawake wa Kiebrania.

katika kiti cha kujifungulia

Wanawake waliketi kwenye ichi kiti walipo jifungua. Hivyo basi, ina hashiriwa na kujifungua.

Exodus 1:18

wakunga

Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:15

Kwanini umefanya hivyo, na kuwaacha watoto kuishi?

Farao aliuliza hili swali kukemea wakunga kwa kuruhusu watoto kuishi.

Wanawake wa Kiebrania hawapo kama wanawake wa Kimisri

Wakungu walijibu kwa hekima kuridhisha hasira ya Farao.

Exodus 1:20

Nini Farao aliagiza watu wake kufanya kwa watoto wa kiume?

Farao aliagiza watu wake wote, "Lazima mtupe kila mtoto wa kiume anaye zaliwa kwenye mto."

Exodus 2

Exodus 2:1

Sasa

Neno hili linatumika hapa kuweka alama ya mapumziko katika matukio muhimu. Hapa mwandishi anaanza kusimulia sehemu mpya.

tatu

"3"

Exodus 2:3

kisafina cha manyasi

Hichi ni chombo kilicho tengenezwa kutokana nyasi inayo ota kando ya Mto wa Misri.

akakipaka sifa na lami

Unaeza elezea kuwa hii ilikuwa kwa ajili ya kuzuuia maji.

sifa

Hii ni gundi iliyo tengenezwa kwa petroli. Yaweza kutumika kuzuia maji.

lami

Hii ni gundi ya rangi kawia au nyeusi inayo weza kutengenezwa kwa utomvu wa mti au petroli. Hivyo basi "lami" itajumuisha sio tu "sifa" bali pia mimea yenye utomvu. Yaweza tumika kuzuia maji.

majani

Haya "majani" yalikuwa haina ya nyasi ndefu yaliyo ota sehemu nyevu na tambarare.

akasimama mbali

Hii ina maana ya kuwa alisimama umbali ambao hakuweza kuonekana, lakini kwa ukaribu ambao aliweza kuona sanduku.

Exodus 2:5

vijakazi

"watumishi"

Tazama

Neno "Tazama" la hashiria maelezo yanayo shangaza yafuatayo.

Exodus 2:7

akunyonyeshe

"kunyonyesha"

Exodus 2:9

akamleta

"mwanamke wa Kiebrania akamleta"

akawa mwana wake

"akawa mwana wa kupanga wa binti wa Farao"

Kwasababu nilimtoa kwenye maji

Watafsiri wanaweza kuongeza alama inayo sema "Jina Musa linaeleweka kama jina la Kiebrania linalo maanisha "kuvuta."

nilimtoa

"kumvuta"

Exodus 2:11

akampiga

"kumgonga"

Akatazama huko na huko

Haya maeneo tofauti yana maana moja ya "kila sehemu."

Exodus 2:13

Akatoka

"Musa akatoka"

Tazama

Neno "tazama" hapa la onyesha kwamba Musa alishangazwa kwa alicho kiona.

yeye aliye kuwa na makosa

Hii ilikuwa ni namna ya kusema "yeye alianza pambano"

nani aliye kufanya kiongozi na muamuzi juu yetu?

Mtu aliye tumia hili swali kumkemea Musa kwa kuingilia pambano.

Unataka kuniua kama ulivyo muua yule Mmisri?

Mwanaume huyu alitumia swali kwa kejeli.

Exodus 2:15

Sasa Farao alipo sikia kuhusu hili

Neno "sasa" linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika tukio. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya tukio.

Sasa kuhani wa Midiani alikuwa na mabinti saba

Neno "sasa" linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika tukio. Hapa mwandishi anaeleza watu wapya katika simulizi.

chota maji

Hii ina maana walichota maji kwenye kisima.

birika

chombo kirefu cha wazi, chemba, kinacho wanacho tumia wanyama kulia au kunywea.

kuwafukuza

"kuwakimbiza"

akawasaidia

"akawaokoa"

Exodus 2:18

Kwanini ulimuacha mwanaume?

Hili swali ni kemeo kwa mabinti kwa kutomkaribisha Musa nyumbani kwao kwa kadiri ya mapokezi ya utamaduni.

Exodus 2:21

Musa akakubali kukaa na huyo mwanaume

"Musa akakubali kuishi na Reueli"

Zipora

Huyu ni binti wa Reueli.

Gerishomu

Huyu ni mwana wa Musa

wakazi katika nchi ya kigeni

"wageni katika nchi ya kigeni"

Exodus 2:23

sononeka

Walifanya hivi kwasababu ya uzuni na mateso yao.

maombi yao yakaenda kwa Mungu

kilio chao Waisraeli kikaenda kinazungumziwa kama ni mtu na anaweza kwenda Mungu alipo.

Mungu akakumbuka agano lake

Hii ilikuwa namna ya kitamaduni yakusema Mungu aliwaza kuhusu alicho kiahidi.

Exodus 3

Exodus 3:1

malaika wa Yahweh

Huyu alikuwa Yahweh mwenyewe aliyekuwa anajitokeza kama malaika, na sio kama malaika Yahweh aliye mtuma.

Yahweh

Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wake wa Agano la Kale.

Tazama

Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Musa aliona kitu kilicho kuwa cha tofauti na alicho tegemea.

Exodus 3:4

kutengwa

"kilicho fanywa takatifu"

Mungu wa baba yako, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo

Hawa wanaume wote walimuabudu Mungu mmoja.

baba yako

Maana inayo wezekana ni 1) "babu yako" au 2) "baba yako." Kama ina maana babu yako," kisha basi maneno yafuatayo ya fafananua nani "baba yako" ina muhusu: ina muhusu Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Kama ina maana ya "baba yako," kisha basi ina muhusu baba yake Musa.

Exodus 3:7

wasimamizi

"waendesha watumwa." Hawa walikuwa wa Misri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi.

nchi inayo tiririka kwa maziwa na asali

"nchi ambayo maziwa na asali yatiririka." Mungu akazungumza kwa habari ya nchi kuwa nzuri kwa ajili ya wanyama na mimea kama maziwa na asali kutoka kwa hao wanyama na mimea ilikuwa ya tiririka kwenye nchi.

tiririka kwa

"imejawa na" au "na utele wa"

maziwa

Kwa maana maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii yawakilisha chakula kinacho tokana na mifugo.

asali

Kwa maana asali yatokana na mau, hii ya wakilisha chakula cha mazao.

Exodus 3:9

kelele za watu Waisraeli zimekuja kwangu

Hapa neno "kelele" inazungumziwa kama ni watu wanao weza kusogea mwenyewe.

Exodus 3:11

Mimi ni nani, hadi niende kwa Farao ... Misri?

Musa anatumia hili swali kumuambia Mungu kwamba Musa sio kitu na hakuna atakaye msikiliza.

Exodus 3:13

Mungu akamwambia Musa, "MIMI NIKO AMBAYE NIKO."

Hili ndilo jibu la Mungu kwa swali la Musa kuhusu jina la Mungu.

MIMI NIKO AMBAYE NIKO

Maana inayo wezekana hapa ni 1) hii sentesi yote ni jina la Mungu au 2) Mungu hasemi jina lake lakini kitu kuhusu yeye. Kwa kusema hili, Mungu anafundisha kuwa yeye ni wa milele; aliishi na ataishi.

Exodus 3:16

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kuzungumza na Musa.

Mungu wa mababu zako, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo

Ibrahimu, Isaka na Yakobo walikuwa ni mababu wa tatu wa Musa. Wote walimuabudu Mungu mmoja.

Hakika nimekutathimini

Neno "wewe" la husu watu wa Israeli.

nchi inayo tiririka maziwa na asali

Mungu aliongelea nchi kuwa nzuri kwa wanyama na mimea kana kwamba maziwa na asali kutoka kwa hao wanyama yalikuwa ya tiririka kwenye nchi.

tiririka

"iliyo jawa" au kwa utele wa"

maziwa

Kwa maana maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii ya wakilisha chakula kinacho tokana na mifugo.

asali

Kwa maana asali yanatoka kwenye mau, hii ya wakilisha chakula kinacho tokana na mazao.

Watakusikiliza wewe

Neno "wewe" la muhusu Musa.

Exodus 3:19

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kusema na Musa.

hadi mkono wake ulazimishwe

Hii yaweza andikwa katika tenzi tendaji. Neno "mkono" linasimama katika nafasi ya nguvu ya mwenye mkono. Maana inayo wezekana ni 1) "pale tu atakapoona hana nguvu ya kufanya kitu kingine chochote" 2) "pale tu nitakapo mlazimisha kuacha muende" au 3) "ata kama nitamlazimisha kuwaacha muende"

Nitanyoosha mkono wangu na kushambulia

Hapa "mkono" wa husu nguvu ya Mungu.

sitaenda mikono mitupu

Hapa neno "mikono mitupu" linatumika kueleza maana tofauti.

wanawake wowote wanao ishi nyumbani kwa jirani

"Misri yeyote anaye ishi nyumbani kwa jirani yake wa Kimisri"

Exodus 4

Exodus 4:1

kama wasipo amini

"kama Waisraeli wasipo amini"

Exodus 4:4

shika kwenye mkia

"nyanyua kwenye mkia" au "chukuwa kwenye mkia"

likawa gongo

"geuka kuwa gongo" au "badilika kuwa gongo"

Mungu wa mababu zao, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo

Ibrahimu, Isaka na Yakobo walikuwa ni mababu wa tatu wa Musa. Wote walimuabudu Mungu mmoja.

Exodus 4:6

tazama

Hili neno linatumika kuweka mshangao

nyeupe kama theluji

Neno "kama" hapa linatumika kulinganisha mkono wa Musa ulivyo onekana. Ukoma una sababisha ngozi kuonekana nyeupe.

Exodus 4:8

kuwa makini

"tambua" au "kubali"

Exodus 4:10

mnenaji hodari

"mnenaji mzuri"

mimi ni mtaratibu wa kuongea na mtaratibu wa ulimi

Haya maneno "mtaratibu wa kuongea" na "mtaratibu wa ulimi" yana maana moja. Musa alitumia kuwe mkazo kuwa sio msemaji mzuri.

mtaratibu wa ulimi

Hapa "ulimi" wa husu Musa na uwezo wake wa kuongea.

Nani aliye ufanya mdomo wa mwanadamu?

Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ni muumbaji anaye wezesha watu kuzungumza.

Nani anaye mfanya mtu bubu au kiziwi au kuona au kipofu?

Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ndiye anaye amua kama watu wataongea na kusikia, na kama wataona.

Siye mimi, Yahweh?

Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ndiye mwenye maamuzi haya.

nitakuwa na mdomo wako

Hapa "mdomo" wa husu Musa na uwezo wake wakuongea.

Exodus 4:14

ata kuwa na furaha moyoni mwake

Hapa "moyo" wa husu mawazo ya ndani na hisia.

eka maneno ya kusema modomoni mwake

Maneno hapa yanazungumzwa kama ni vitu vinavyo weza kuwekwa mdomoni mwa mtu. Hapa maneno yana maana ya ujumbe.

nitakuwa na mdomo wako

Neno "mdomo" hapa lina wakilisha uchaguzi wa maneno ya Musa.

mdomo wake

Neno "mdomo" hapa lina wakilisha uchaguzi wa maneno ya Aruni.

Ata kuwa na mdomo wako

Neno "mdomo" hapa lina wakilisha marudio ya yale Aruni aliyo ambiwa na Musa.

utakuwa kwake kama kwangu, Mungu

Neno "kama" hapa la maanisha Musa ata wakilisha mamlaka hayo kwa Aruni kama Mungu alivyo fanya kwa Musa.

Exodus 4:18

baba mkwe

Hii ya husu baba wa mke wa Musa.

Exodus 4:21

ata fanya moyo wake mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungmziwa kama moyo wake ni mgumu.

Israeli ni mwana wangu

Neno "Israeli" hapa lina wakilisha watu wote wa Israeli.

ni mwana wangu, mzaliwa wangu wa kwanza

Hapa watu wa Israeli wanazungumziwa kama wazaliwa wa kwanza anaye sababisha furaha na kiburi.

Nitaua mwanao hakika, mzaliwa wako wa kwanza

Neno "mwana" hapa la husu mwana halisi wa Farao

Exodus 4:24

Yahweh alikutana na Musa na akajaribu kumuua

Hii yaweza kuwa kwasababu Musa hakumtairi mwanae.

Zipora

Hili ni jina la mke wa Musa

kisu cha jiwe

Hichi kilikuwa kisu kliicho undwa kwa jiwe.

kwenye miguu yake

Ina wezekana kuwa neno "miguu" hapa limetumika kama namna ya heshima ya kutaja sehemu zake za siri za mwili.

wewe ni bwana arusi kwangu kwa damu

Maana ya umbo hili sio wazi. Yaweza kuwa ulikuwa msemo unao fahamika kwenye utamaduni wao.

Exodus 4:27

Yahweh akamwambia Aruni

Unaweza taka kuongeza neno linalo weza kuweka alama mwanzo wa sehemu mpya wa hadithi.

katika mlima wa Mungu

Huu waweza kuwa mlima wa Sinai, lakini ukurasa hauelezi maelezo haya.

alimtuma yeye kusema

Neno "yeye" lamuhusu Yahweh.

Exodus 4:29

katika macho ya watu

"mbele ya watu" au "katika uwepo wa watu"

aliwatathimini Waisraeli

"aliwaona Waisraeli" au "alijali kuhusu Waisraeli"

waliinamisha vichwa vyao

Maana zinazo wezakana ni 1) "aliinamisha vichwa vyao kwa mshangao" au 2) "aliinama chini kwa kuabudu"

Exodus 5

Exodus 5:1

Baada ya hivi vitu kutokea

Sio wazi muda gani ambao Musa na Aruni walisubiri mpaka walipo muuona Farao.

sherehe kwa ajili yangu

Hii ni sherehe ya kumuabudu Yahweh.

Yahweh ni nani?

Farao anatumia hili swali kuonyesha kuwa hamtambui Yahweh kama mungu halali.

Kwanini mimi ... ach Israeli iende?

Farao anatumia hili swali kuonyesha kwamba anatamanio la kumtii Yahweh au kuwaacha Waisraeli waende kumuabudu Mungu.

sikiliza sauti yako

Maneno "sauti yako" yana wakilisha Mungu aliyo ya sema.

Exodus 5:3

Mungu wa Waebrania

Hili ni neno linalo tumika kwa ajili ya Mungu wa Waisraeli au Yahweh.

au kwa upanga

Hapa "upanga" ya wakilisha vita au shambulizi la maadui.

kwanini unachukuwa watu kutoka kazini kwao?

Farao anatumia swali hili kuonyesha hasira yake kwa Musa na Aruni kuwatoa Waisraeli kwenye kazi yao.

Exodus 5:6

wasimamizi

"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.

wewe haupaswi kutoa tena

Neno "wewe" katika hii mistari ni wingi na ya husu wasimamizi na mabwana.

Exodus 5:10

wasimamizi

"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.

sitakupatia wewe mrija wowote tena .. pata mriji popote utakapo upata

Neno "wewe" katika hii mistari ni wingi na ya husu watu wa Israeli.

nyinyi wenyewe lazima muende

Hapa "wenyewe" la tilia mkazo kuwa Wamisri hawata wasaidia.

mzigo wa kazi zenu hazitapunguzwa

Hii yaweza andikwa katika mfumo endelevu.

Exodus 5:12

nchi yote ya Misri

Huu ni msisitizo wa kuonyesha juhudi la ziada

wasimamizi

"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.

kapi

sehemu ya mmea ambayo inabaki baada ya mavunop

kwanini ujatengeneza matofali yote yanayo kupasa ... hapo awali?

Wasimamizi walitumia maswali kuonyesha wana hasira kwa upungufu wa matofali.

Exodus 5:15

wakalia

"wakalalamika"

bado wanatuambia 'tengeneza matofali!'

Hapa "wana" ya husu wasimamizi wa Kimisri.

Exodus 5:19

walipo ambiwa

Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.

jumba

Hii ni nyumba kubwa sana mfalme anayo ishi.

mmetufanya chukizo

Wamisri wali wajibu Waisraeli kama walivyo kuwa wakijibu wanapo sikia harafu chafu.

wameweka upanga mkononi mwetu kutuua

Hapa "upanga" wawakilisha nafasi ya kuteketeza maadui.

Exodus 5:22

Bwana kwanini umesababisha matatizo kwa hawa watu?

Hili swali la onyesha jinisi alivyo kata tamaa kuwa Wamisri wana wa tendea vibaya Waisraeli kwa ukali zaidi sasa.

kwanini ulinituma mimi kwanza?

Hili swali la onyesha jinsi Musa alivyo kata tamaa kuwa Mungu alimtuma Misri.

ongea nae kwa jina lake

Neno "jina" hapa la wakilisha ujumbe wa Mungu.

Exodus 6

Exodus 6:1

mkono wangu hodari

Neno "mkono" hapa wa wakilisha matendo ya Mungu au kazi.

Exodus 6:2

Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo

"Nilijionyesha kwa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo"

sikujuliikana kwao

Hii yaweza andikwa katika sentensi tendeaji.

kilio

Hii ina maana ya kufanya sauti za uzuni kwasababu ya maumivu na mateso.

Exodus 6:6

sema kwa Waisraeli

Hii ni amri kutoka kwa Yahweh kwa Musa.

Exodus 6:8

muahidi

"apa" au "niliyo sema nita"

Exodus 6:10

Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi , kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?

Musa aliuliza hili swali akitumaini Mungu atabadilisha nia yake ya kumtumia Musa.

Exodus 6:14

vichwa wa nyumba za baba yao

Hapa "vivhwa" ya husu mababu wa hasili wa ukoo.

Hanoki ... Shauli

Haya ni majina ya wanaume.

Exodus 6:16

Gerishoni ... Merari

Haya ni majina ya wanaume.

Amramu ... Uzieli

Haya ni majina ya wanaume.

Exodus 6:20

Izhari ... Kora ... Zikri

Haya ni majina ya wanaume.

Uzieli .. Mishaeli ... Sithri

Haya ni majina ya wanaume.

Exodus 6:23

Nadabu ... Ithamari

Haya ni majina ya wanaume.

Fineazi

Haya ni majina ya wanaume.

Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao

Neno "vichwa" ya wakilisha viongozi wa familia.

Exodus 6:26

kwa makundi ya wanaume wapiganaji

"kabila moja kwa wakati" au "kundi la familia moja baada ya lingine"

Exodus 6:28

Mimi sio mzuri ... kwanini Farao anisikilize mimi?

Musa anauliza hili swali akitumaini kubadilisha nia ya Mungu.

Exodus 7

Exodus 7:1

nimekufanya kama mungu

"nitamsabisha Farao akuchukulie kama mungu"

Exodus 7:3

moyo wa Farao mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo mgumu.

ishara nyingi ... maajabu mengi

Maneno "ishara" na "maajabu" yana maana moja. Mungu anatumia kukazia ukuu wa atakayo ya fanya Misri.

nitaueka mkono wangu juu ya ... nyoosha mkono wangu kwa

Maneno "mkono wangu" ya wakilisha nguvu kubwa ya Mungu.

Exodus 7:6

na miaka themanini na tatu

"na Aruni alikuwa na miaka themanini na tatu

Exodus 7:8

Wakati Farao atakapo waambia, 'Fanya muujiza,' utamwambia Aruni, 'Chukuwa gongo lako na ulirushe chini mbele ya Farao, ililigeuke nyoka

Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.

Exodus 7:11

lilimeza

"lilikula" au "liliharibu"

Moyo wa Farao ulikuwa mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo wake ulikuwa mgumu.

Exodus 7:14

Moyo wa Farao ni mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi ya zungumziwa kama moyo wake ulikuwa mgumu.

anapoenda kwenye maji

Maana kamili ya sentesi yaweza fanya halisi.

Exodus 7:16

Mwambie

"Sema kwa Farao"

piga maji

"gonga maji"

Exodus 7:19

nzima

"kila sehemu"

Exodus 7:20

moyo wa Farao ukawa mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi ya zungumziwa kama moyo mgumu.

kwenye mto

Jina la mto la weza fanywa alisi.

Exodus 7:23

Wamisri wote

Neno "wote" hapa la ni msisitizo wa kukazia jinsi tatizo lilivyo kuwa kubwa.

Exodus 8

Exodus 8:1

Mto

"Mto Nile"

vyombo vya kukandia mkate

Hivi ni vyombo vya mkate watengenezewa

Exodus 8:8

Kisha Farao akawaita Musa na Aruni

"Kisha Farao akawatuma Musa na Aruni"

Unaweza chukuwa fursa ya kuniambia lini nikuombee wewe

"Unaweza chagua lini ni kuombee wewe" au "Unaweza chagua muda wa kukuombea"

Exodus 8:13

aliufanya moyo wake kuwa mgumu

"Farao akaufanya moyo wake mgumu." Hapa "mgumu" ya maanisha akawa na kiburi.

kama Yahweh alivyo sema

"kama Yahweh alivyo sema Musa ata fanya"

Exodus 8:18

Hichi ni kidole cha Mungu

Maneno "kdiole cha Mungu" ya wakilisha nguvu ya Mungu.

moyo wa Farao ulikuwa Mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao.

Exodus 8:20

usimame mbele ya Farao

"jiwakilishe kwa Farao"

Acha watu wangu waende

"waeke watu wangu huru"

Exodus 8:22

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuzungumza na Farao kupitia Musa.

nchi iliharibiwa na makundi ya nzi

Hii yaweza tafsiriwa katika tensi tendaji.

Exodus 8:25

mbele ya macho yao

Hii ilikuwa desturi ya kusema "mbele ya uwepo wa mtu"

hawata tupiga mawe?

Musa ana uliza hili swali kumuonyesha Farao kuwa Wamisri wata waruhusu Waisraeli kumuabudu Yahweh.

Exodus 8:28

usifanye udhalimu tena kwa kutowaacha watu wetu waende

Hii yaweza andikwa katika mfumo halisi.

Lakini usifanye udhalimu

"Lakini husitudanganye sisi"

Exodus 8:30

Farao aliufanya moyo wake mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao.

Exodus 9

Exodus 9:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa kuhusu kushughulika na Farao na kuwaleta watu Waebrania njee ya Misri.

ukikataa kuwaruhusu waende, kama utaendelea kuwa bakiza nyuma

Hii mistari miwili ina maana moja. Watamsisitiza Farao nini kitakacho watokea Farao akifanya hivi.

basi mkono wa Yahweh utakuwa kinyume dhidi

Neno "mkono" hapa wa wakilisha nguvu ya Yahweh ya kuwa dhuru wanyama kwa magonjwa.

ya mifugo yako

Neno "yako" hapa la husu watu wote wa Misri waliyo miliki mifugo.

mifugo ya Israeli

Hapa "Israeli" ya husu watu wa Israeli.

mifugo Misri

Neno "Misri" hapa la husu watu wa Misri

Exodus 9:5

ametenga muda

"ameeka muda" au "ameandaa muda"

mifugo yote ya Misri ikafa

Hii iwe ongezewa kukazia umakini wa tukio.

mifugo ya Misri

Hapa "Misri" ya husu watu wa Misri.

Farao akafanya utafiti

Farao akakusanya ukweli kuhusu hali.

tazama

Neno "tazama" hapa laonyesha kwamba Farao alishangazwa kwa alicho kiona.

moyo wake ulikuwa mjeuri

Hapa "moyo" wa husu Farao.

Exodus 9:8

tanuru

"shimo la moto"

safi

"kidogo sana"

kutokea kwa

"kutokea kwa haraka kwa watu"

Exodus 9:11

Yahweh akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.

Exodus 9:13

kwako wewe

Hii ina maana kuwa ata Farao ata umizwa kwa mapigo.

Nitafanya hivi ili ujue

Neno "hivi" la husu mapigo ambayo Musa alimwambia Farao kuhusu.

Exodus 9:15

ningeweza kuunyosha mkono wangu na kukushambulia wewe

Hapa "mkono wangu" wa husu nguvu ya Mungu.

ili kwamba jina langu litangazwe dunia nzima

Hapa "jina langu" la wakilisha sifa ya Yahweh.

unajiinua dhidi ya watu wangu

Upinzani wa Farao kuto waachia wa Israeli kwenda kumuabudu Yahweh unazungumziwa kama anajiinua yeye kuwa kikwazo kwao.

Exodus 9:18

Sikiliza!

"Kuwa makini kwa kitu muhimu ninacho kuambia"

Exodus 9:27

waite

"kuita"

Exodus 9:29

Musa akamwambia

"Musa akasema kwa Farao"

nitaitanua mikono yangu kwa Yahweh

Hili tendo la ishara la ambatana na maombi.

mheshimu Yahweh Mungu

Kumheshimu Mungu kwa husu kumtii na kuishi kwa namna inayoonyesha jinsi alivyo mkuu.

Exodus 9:31

kitani

Huu ni mmea unao zalisha nyuzi zinazo tengeneza nguo.

shayiri

Hii ni aina ya mbegu inayo tumika kutengeneza mkate; pia ya tumika kulisha mifugo.

kusemethu

Hii ni aina ya ngano

alitanua mikono yake kwa Yahweh

Hii ishara ya ambatana na maombi

Exodus 9:34

kufanya moyo wake kuwa mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.

Moyo wa Farao ulikuwa mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.

Exodus 10

Exodus 10:1

nimeufanya moyo wake mgumu na moyo wa watumishi wake

Yahweh anazungumza kuhusu kumfanya Farao na watumishi wake kuwa na kiburi kama alikuwa anafanya mioyo yao migumu.

tofauti

"aina mbali mbali"

Exodus 10:3

sikiliza

Hili neno la tilia mkazo kwa alicho sema mbeleni

Exodus 10:5

mvua ya barafu ya mawe

mvua ya barafu ya mawe ni mtone ya mvua yanayo ganda mawinguni.

halikuwai shuhudiwa

Hii yaweza wekwa katika tensi tendaji.

Exodus 10:7

msumbufu

Mtu "msumbufu" ni mtu anaye leta shida au madhara.

Mpaka lini huyu mwanaume ata kuwa msumbufu kwetu?

Watumishi wa Farao wanauliza hili swali kumuonyesha Farao kiasi cha uharibifu wa Misri.

Bado haujatambua kuwa Misri imeharibiwa?

Watumishi wa Farao wanauliza hili swali kumleta Farao atambue anacho kataa kuona.

Misri imeharibiwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 10:9

kama nitawaacha muende na wadogo zenu waende

Farao anasema hivi kukazia kwamba hata muacha Musa awachukuwe watoto kwenda muabudu Yahweh.

Kisha Musa na Aruni wakaondolewa uweponi mwa Farao

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 10:14

ikawa giza

kulikuwa na nzige wengi nchi ikaonekana kuwa giza. Kisha hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 10:16

wakati huu

"mara ingine tena"

aondoe hichi kifo kwangu

Neno "kifo" hapa la eleza uharibifu wa nzige kwa mimea yote Misri, ambayo hatimae itapelekea vifo vya watu kwasababu hakuna mazao. Maana yote ya hii sentesi yaweza andikwa kwa uhalisi.

Exodus 10:19

wachukuwa wale nzige

"kuwapeleka nzige juu"

Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.

Exodus 10:21

giza linalo weza kuhisiwa

Yahweh anazungumzia giza lililo pitiliza kana kwamba ni nene sana hadi watu wanaweza shika mikononi mwao. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 10:24

ata mmoja hawezi kubaki

Hapa "ata mmoja" ya husu wanyama wote. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 10:27

Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.

hakuwaacha waende

"Farao hakuwaacha waende"

Kuwa muangalifu na jambo moja

"Hakikisha jambo moja" au "Kuwa na uhakika kuhusu jambo moja"

uona uso wangu

Hapa neno "uso" la husu mtu wote"

Wewe mwenyewe umesema

Kwa haya maneno, Musa anakazia kuwa Farao amesema ukweli.

Exodus 11

Exodus 11:1

atakuacha uondoke hapa

Kila muonekano wa neno "ataku" katika huu mstari ni katika wingi na la husu Musa na Waisraeli wote.

Exodus 11:4

manane

Huu ni muda kati ya saa 6 usiku

Wazaliwa wa kwanza ... mzaliwa wa kwanza wa Farao ... mzaliwa wa kwanza wa misichana mtumwa ... wazaliwa wa kwanza wa mifugo

"Mzaliwa wa kwanza" mara zote wa husu mzao mkubwa wa kiume.

anaye keti kiti chake cha enzi

Hii ya husu Farao

anaye saga mbegu

"anaye saga katika jiwe la kusagia"

Exodus 11:6

Baada ya hapo nitaondoka

Hii ina maana ya kuwa Musa na watu wa Israeli wataondoka Misri.

Exodus 11:9

Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.

Exodus 12

Exodus 12:1

Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako

Hii mistari miwili ina maana moja na kukazia kuwa mwezi ambao haya matukio yana tokea ndio utakuwa mwanzo wa mwaka wa wao wa kalenda.

mwezi wa kwanza wa mwaka

Mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania ya jumuisha sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili katika kalenda za Magharibi. Ina weka alama wakati Yahweh alipo waokoa Waisraeli kutoka Misri.

Exodus 12:3

Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo

Hii ina maana hakuna watu wakutosha katika familia kula mwana kondo mzima.

mwanaume na jirani yake

Hapa "mwanaume" ya husu mwanaume aliye kiongozi wa familia.

Exodus 12:5

jioni

Hii ya husu muda wa jioni baada ya jua kuzama lakini bado pakiwa na mwanga.

kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango

"pembeni na juu ya njia ya kuingia"

Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mimea michungu

Haya ni majani madogo yenye ladha kali na mbaya.

Exodus 12:9

Usiile mbichi

"Usile mwana kondo au mbuzi bila kupika"

Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mkanda

Hii ya husu mshipi wa ngozi au kitambaa cha kufunga kiunoni.

ule kwa haraka

"kula kwa haraka"

Ni Pasaka ya Yahweh

Hapa neno "ni" la husu kula mnyama siku ya kumi ya mwezi.

Exodus 12:12

Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri.

Hii yaweza andikwa katika kwa tensi nenaji

ya kuja kwangu

Hii ya hashiria kwamba Yahweh ataona damu ambayo yaonyesha nyumba ya Misraeli.

nitapita

Neno "kupita" ilikuwa desturi ya kusema husitembelee au kuingia.

kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu

"kwako wewe na vizazi vyote vya uzao wako"

Exodus 12:15

huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli

Mafumbo "akatwe" ina maana kama tatu zinazo wezekana. Inaweza elezewa katika tensi tendaji: 1)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 2) "sitamuhesabu kuwa mmoja wa watu wa Israeli" au 3) "watu wa Israeli lazima wamuue"

kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 12:17

makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha

Neno lilotumika kwa haya makundi ni neno la kijeshi ikimaanisha idadi kubwa ya wanajeshi.

jiono

Hii ina maana ya muda ambao jua limezama wakati bado kuna mwanga.

siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza

Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na nne ni karibu na mwanzo wa Aprili katika Kalenda za Magharibi.

siku ya ishirini na moja ya mwezi

siku ya ishirini na moja ya mwezi wa kwanza. Hii ni karibu na katikati ya Aprili kwa Kalenda za Magharibi.

Exodus 12:19

nyumbani mwenu kusipatikane na hamira

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli

Mafumbo "akatwe" ina maana kama tatu zinazo wezekana. Inaweza elezewa katika tensi tendaji: 1)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 2) "sitamuhesabu kuwa mmoja wa watu wa Israeli" au 3) "watu wa Israeli lazima wamuue"

mkate usio na hamira

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji

Exodus 12:21

waita

"kuwaita rasmi"

hisopu

Huu ni mmea katika jamii ya mnaa,

juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango

"pembeni na juu ya njia ya kuingia nyumbani"

Exodus 12:23

atapita mlango wako

Hapa neno "mlango" una maana ya nyumba nzima. Hii ina maana kwamba Mungu ata wanusuru Waisraeli wenye damu mlangoni.

Exodus 12:24

hili tukio ... hili tendo la ibada

Hii mistari ya husu Pasaka au Sherehe ya Mikate isiyo tiwachachu. Kuadhimisha Pasaka ilikkuwa tendo la kumuabudu Yahweh.

Exodus 12:26

Aliweka nyumba zetu huru

Hii ina maana kwamba Yahweh alinusuru wana wa kwanza wa kuzaliwa wa Waisraeli.

kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni

"kila kitu Yahweh alicho mwambia Musa na Aruni kufanya"

Exodus 12:29

usiku wa manane

"katikati ya usiku"

wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri

Hapa "wazaliwa wa kwanza" mara zote ina maana ya mzao mkubwa wa kiume.

aliye keti kiti chake cha enzi

Hii ya husu Farao.

mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani

Hii ya husu wafungwa, kwa ujumla, na sio mtu maalumu gerezani.

Palikuwa na kelele za maombolezo Misri

Hii yaweza andikwa katika tensi nenaji.

kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa

Hii hasi mbili ina sisitiza chanya.

Exodus 12:31

Sisi ni watu tuliokufa

Wamisri wanatumia tensi endelevu kusisitiza kuwa watakufa hakika kama Waisraeli hawata ondoka Misri.

Exodus 12:34

Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 12:37

Ramesi

Ramesi ulikuwa mji mkuu sana Misri ambapo mbegu zilihifadhiwa.

Walikuwa na idadi ya wanaume 600,000

"Idadi ya jumla ya wanaume ilikuwa 600,000"

waliondolewa Misri

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 12:41

majeshi yote ya Yahweh yalio jiami

Hii ina husu makabila ya Israeli.

kuadhimishwa na Waisraeli wote

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote

"Waisraeli wote na vizazi vya uzao wao"

Exodus 12:43

hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila

"kuila" ina husu chukula cha Pasaka.

kila mtumwa wa Misraeli

"mtumwa yeyote wa Muisraeli"

nunuliwa kwa pesa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 12:45

Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 12:47

ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

watu walio zaliwa kwenye nchi

Hapa neno "nchi" ya husu Kanani. Msemo "walio zaliwa katika nchi' ina maana ya Misraeli halisi.

hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 12:49

kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.

"kila kitu Yahweh alicho mwambia Musa na Aruni kufanya"

Ikaja kuwa

Huu mstari unatumika hapa kuweka alama ya tukio muhimu katika adithi.

kwa makundi yalio jiami

Neno lilotumika kwa haya makundi ni msemo wa kijeshi unao husu idadi kubwa ya wanajeshi.

Exodus 13

Exodus 13:1

Nitengee ... kila mzaliwa wa kwanza

Mungu anataka kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atengwe kwa ajili yake.

Exodus 13:3

kumbukeni hii siku,

Hii ilikuwa ni namna ya kidesturi ya kumwambia mtu azingatie.

nyumba ya utumwa

Musa anazungumzia Misri kama nyumba watu wanapo hifadhia watumwa.

mkono hodari wa Yahweh

Hapa neno "mkono" ya husu nguvu.

Hakuna mkate wa hamira waruhusiwa kuliwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mwezi wa Abibu

Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi.

nchi inayo tiririka kwa maziwa na asali

Tangu maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, "maziwa" uwakilisha chakula kizalishwacho na mifugo. Kwasababu asali utengenezwa na maua, "asali" uwakilisha chakula cha mazao.

wapaswa kuadhimisha hili tendo la ibada

Wakati Waisraeli watakapo ishi Kanani, lazima wa shereheke Pasaka hii siku kila mwaka.

Exodus 13:6

Maelezo ya Jumla

Musa anaendelea kuongea na watu wa Israeli.

Kwa siku saba

"Kwa siku 7"

Mkate usio na hamira wapaswa kuliwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

hakuna mkate ulio na hamira wapaswa kuliwa miongoni mwenu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Hakuna hamira yapaswa kuonekana

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kwenye mipaka yenu

"katika mipaka yenu yeyote ya nchi"

Exodus 13:8

Hiyo siku utasema kwa watoto wako, 'Hii ni kwasababu ya kile Yahweh alichofanya kwangu nilipo taka Misri.'

Nukuu yaweza kwa namna isiyo ya moja kwa moja.

Hii itakuwa kumbukumbu mkononi mwako, na kumbukumbu kwenye paji la uso wako

Hii ni kumbukumbu mbili za mwilini ili watu wasisahau kitu muhimu.

kumbukumbu mkononi mwako

Musa anazungumza kuhusu kusherehekea siku kuu kana kwamba inafunga kitu mikononi mwao kuwakumbusha nini Yahweh amefanya.

kumbukumbu kwenye paji la uso wako

Musa anazungumza kuhusu kusherehekea siku kuu kana kwamba inafunga kitu mikononi mwao kuwakumbusha nini Yahweh amefanya.

ili sheria ya Yahweh iwe kinywani mwako

Maneno "kinywani mwako" hapa ya husu maneno wanayo sema.

mkono hodari

Neno "mkono hapa wa wakilisha matendo ya Mungu au kazi.

Exodus 13:11

na atakapo wapa nchi ninyi

"na atakapo wapa nchi ya Wakanani ninyi"

Kila mzaliwa wa kwanza wa punda

Israeli inapewa uchaguzi wa kuua mzaliwa wa kwanza wa punda au kumnunua tena kwa mwana kondoo.

kila mzaliwa wa kwanza wakiume miongoni mwenu

Kila mtu Israeli aliye kuwa na mwana wa kwanza kuzaliwa, lazima amnunue tena.

Exodus 13:14

Mwanae atakapo kuuliza baadae, 'Hii ina maana gani?' kisha utamwambia

Nukuu ya kwanza yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.

mkono hodari

Neno "mkono" hapa ya wakilisha matendo ya Mungu au kazi.

nyumba ya utumwa

Musa ana i zungumzia Misri kama ni nyumba watu wana hifadhia watumwa.

kumbukumbu mikononi mwako na kumbukumbu kwenye paji lako la uso

Hii ni kumbukumbu mbili ili watu wasisahau kitu muhimu.

Exodus 13:17

karibu

"karibu na eneo walilo kuwepo"

watu watabadili nia zao ... na ... watarudi Misri

Tangu Waisraeli waliishi utumwani maisha yao yote, walizoea amani zaidi ya vita na radhi wa rudi utumwani kuliko kupigana.

Exodus 13:19

kuweka kambi Ethamu

Ethamu ipo kusini mwa njia ya kuelekea kwa Wafilisti, katika mpaka wa nyikani.

nguzo ya wingu ... nguzo ya moto

"wingu kwa mfumo wa mnara ... moto kwa mfumo wa mnara." Mungu yupo nao kwa wingu mchana na moto usiku.

Exodus 14

Exodus 14:1

Pi Hahirothi ... Migdoli ..Baali Zefoni

Hii ni miji ya mashriki ya mipaka ya Misri.

Wapaswa kueka kambi

Hapa neno "wapaswa" ni wingi na la husu Musa na Waisraeli.

Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'

Hii ya weza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.

Nyikani imewafunika

Farao anaingelea nyikani kama mtu aliye wakamata Waisraeli.

Exodus 14:4

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwelekeza Musa wapi pa kwenda na nini Yahweh atafanya.

Nitaufanya moyo wa Farao mgumu

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabai yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo wake ni mgumu.

yeye ata wakimbiza

"Farao ata wakimbiza Waisraeli"

Nitapata utukufu

"Watu watani heshimu"

Wamisri watajua mimi ni Yahweh

"Wamisri wataelewa kwamba mimi ni Yahweh, Mungu mmoja wa kweli"

Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Mfalme wa Misri alipo ambiwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Mfalme wa Misri

Hii ya husu Farao.

wametoroka

"wamekimbia"

, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu

Hapa neno "nia" ya husu tabia zao kwa Waisraeli.

Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?

Waliuliza hili swali wakidhani kuwa wamefanya kitu cha kijinga.

Exodus 14:6

Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara

"Alichukuwa magari yake ya farasi 600 bora"

Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao

Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumizwa kama moyo wake mgumu.

Pi Hahirothi ... Baali Zefoni

Hii miji mashariki mwa mipaka ya Misri.

Exodus 14:10

Farao alipo kuja karibu

Neno "Farao" hapa ya wakilisha jeshi lote la Misri.

waliogopa

"Waisraeli waliogopa"

Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani?

Waisraeli wanauliza hili swali kuonyesha uchovu wao hofu ya kufa.

Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri?

Waisreali wanauliza hili swali kumkemea Musa kwa kuwaleta kwenye jangwa kufa.

Hili si ndilo tulilo kwambia Misri?

Waisreali wanauliza hili swali kusisitiza kwamba hili ndilo walillo mwambia Musa.

Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.'

Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.

Exodus 14:13

Musa akawaambia watu

Musa anajibu hofu za Waisraeli.

atakao uleta kwenu

"kwenu" ya husu Waisraeli wote

Kwa maana hamtawaona tena Wamisri

Musa alitumia lugha ya busara kusema Mungu anaenda kuangamiza jeshi la Wamisri.

Exodus 14:15

Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi?

Musa ni wazi alikuwa akiomba kwa Mungu kwa msaada hivyo Mungu anatumia hili swali kumshawishi Musa kutenda.

uigawanye sehemu mbili

"gawanya bahari katika sehemu mbili"

Jitahadharishe

"jua"

nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu

Hapa "mioyo" ya husu Wamisri wenyewe. Tabia zao za kiburi zinatajwa kama mioyo yao migumu.

ili wawafuate

"ili kwamba Wamisri wataenda kwenye bahari baada ya Waisraeli"

Exodus 14:19

kambi ya Misri na kambi ya Israeli

"jeshi la Wamisri na watu wa Israeli"

hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine

Hii ina maana kuwa Wamisri na Waisraeli hawakuweza fikiana.

Exodus 14:21

upepo mkali wa mashariki

Upepo wa mashariki watoka mashariki na wapiga magharibi.

mashariki

jua linapo chomoza

maji yaligawanyika

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto

"kila upande wao" au "pande zao mbili"

Exodus 14:23

Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri

Hofu ni pale mtu anapo ogopa hadi hawezi fikiri kawaida.

Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi

Hii yaweza anadikwa katika tensi tendaji.

Exodus 14:26

Yahweh akamwambia Musa, "Nyoosha mkono ... na wapanda farasi wao."

Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.

yawarudie

"kuwaangukia"

Wamisri walikimbilia ndani ya bahari

Tangu bahari ilikuwa inafunga juu ya Wamisri, badala ya kutoroka, walikuwa wanakimbia ndani ya maji.

Yahweh akawaingiza Wamisri

"Yahweh akawasukuma Wamisri" au "Yahweh akawatupa Wamisri"

Exodus 14:29

Israeli

Kila tokeo la "Israeli" ya husu watu wa Israeli.

kutoka mkono wa Wamisri

Hapa neno "mkono" ya husu nguvu.

ufukweni

"katika nchi kando ya bahari"

Exodus 15

Exodus 15:1

Maelezo ya Jumla

Huu ni wimbo wa matukio yaliyo tokea 14:16

farasi na dereva wake amewatupa kwenye bahari

Musa aliimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika na kuzamisha farasi na dereva kana kwamba Mungu kawatupa baharini.

farasi na dereva wake

Hii inahusu wote au farasi wengi wa Wamisri na madereva waliyo kuwa wakiwafukuzia Waisraeli.

dereva

Huyu ni mtu anaye keti kwenye farasi au ana safiri kwa gari la farasi linalo vutwa na farasi.

Exodus 15:2

Yahweh ni uweza wangu

Maana zinazo wezekana ni 1) "Yahweh ndiye anaye nipa uweza" au 2) "Yahweh ndiye mwenye nguvu anaye ni linda mimi."

na nyimbo

Musa anamuita Yahweh nyimbo yake kwasababu Yahweh ndiye anaye imba kuhusu.

amekuwa wokovu wangu

Musa anamuita Mungu wakovu wake kwasababu Mungu amemuokoa.

Yahweh ni shujaa

Musa anamuita Mungu shujaa kwasababu Mungu kwa nguvu alipigana dhidi ya Wamisri na kushinda.

Exodus 15:4

Ametupa magari ya farasi ya Farao na jeshi lake kwenye bahari

Musa anaimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika magari ya Farao na jeshi kana kwamba Mungu amewatupa baharini.

walienda kwenye kina kama jiwe

Kama jiwe lisivyo elea lakini la zama chini ya bahari, majeshi ya maadui yamezama chini ya bahari.

Exodus 15:6

Mkono wako wakulia, Yahweh, una nguvu ya utukufu

Musa anamzungumzia Mungu kama Mungu ana mikono. Mkono wa kulia wa husu nguvu ya Mungu au vitu Mungu anavyo fanya kwa nguvu.

mkono wako, Yahweh, umewavunja adui

Musa anamzungumzia Mungu kama Mungu ana mikono. Mkono wa kulia wa husu nguvu ya Mungu.

umewavunja adui

Musa anazungumzia adui kana kwamba ni dhahifu na waweza vunjwa kama kio au chungu.

walio inuka dhidi yako

Kuasi dhidi ya Mungu kuna zungumziwa kama kujiinua dhidi yake.

Umetuma gadhabu

Musa anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ni mtumishi aliye mtuma kufanya kitu

imewateketeza kama karatasi

Musa anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ni moto unao weza kuchoma vitu. Maadui zake waliharibiwa kabisa kama karatasi.

Kwa pumzi ya pua yako

Musa anamzungumzia Mungu kana kwamba Mungu ana pua, na upepo kana kwamba Mungu kapuliza upepo kwa kutoka puani mwake.

Exodus 15:9

tamanio langu litatimizwa kwao

Hii yaweza elezwa katika tensi tendaji.

mkono wangu utawaharibu wao

Maadui wanaongea kuwaharibu Waisraeli kwa nguvu ya mkono wao kana kwamba ni mikono itakyo waharibu.

Lakini ulipuliza kwa upepo wako

Musa aliongea kuhusu Mungu kufanya upepo upulize kana kwamba Mungu alipuliza upepo kupitia pua au mdomo.

walizama kama chuma nzito kwenye maji mengi

Chuma ni kifaa kizito kinacho tumika kawaida kufanya vitu vizame majini. Neno "chuma" linatumika hapa kuonyesha jinsi Mungu alivyo haribu maadui zake.

Ni nani kama wewe, Yahweh, miongoni mwa miungu?

Musa anatumia hili swali kuonyesha jinsi alivyo mkuu.

Nani kama ... fanya miujiza?

Musa anatumia hili swali kuonyesha jinsi alivyo mkuu.

Exodus 15:12

mkono wako wa kulia

Maneno "mkono wakulia" ya wakilisha nguvu kuu ya Mungu.

Ulinyoosha mkono wako wa kulia

Musa anaongea kuhusu Mungu kusababisha kitu kitokee kana kwamba Mungu alinyoosha mkono wake.

dunia ikawameza

Musa ana nafsisha dunia kana kwamba inaweza kumeza au kurarua kwa mdomo wake.

Exodus 15:14

tetemeka

Hii ina maana kutikisika kwasababu una ogopa.

hofu itawakumba wakazi wa Filistia

Musa anaongelea hofu kana kwamba ni mtu anaye weza kuchukuwa kwa nguvu mtu na kumfanya aogope sana.

watayayuka

Musa anaongelea watu kuwa wadhaifu kutokana na hofu ya kuyayuka.

Exodus 15:16

Sentensi Unganishi

Musa anaendelea kuimba kuhusu jinsi watu wa mataifa mengine watajisikia watakapo waona watu wa Mungu.

Mshituko na hofu vitawaangukia

Haya maneno mawili yana maana hofu itakuja juu yao.

hofu

Hofu ni uwoga au wasiwasi kuhusu kitu kinachoenda tokea au kilicho tokea.

Kwasababu ya nguvu ya mkono wako

Mkono wa Mungu wa wakilisha uweza wake mkuu.

watakuwa kimya kama jiwe

Maana zinazo wezekana ni 1) "Watakuwa tulivu kama jiwe" au 2) "Hawata sogea kama jiwe"

Exodus 15:17

Utawaleta

Pale Mungu atakapo waleta yaweza andikwa wazi. Tangu Musa bado hakuwa Kanani, baadhi ya lugha zitatumia "chukuwa" badala ya "leta"

kuwapanda kwenye mlima

Musa anaongelea kuhusu Mungu kuwapa watu wake nchi ya kuishi kana kwamba wao ni mti ambao Mungu anaupanda.

mlima wa urithi wako

Hii ya husu Mlima Sayuni katika nchi ya Kanani.

wa urithi wako

Musa anaongelea kuhusu Mungu kuahidi kuwapa watu mlima milele kana kwamba alikuwa anawapa urithi.

mikono yako iliyo jenga

Maneno "mikono yako" ya husu nguvu ya Mungu.

Exodus 15:19

Miriamu .. Aruni

Miriamu alikuwa dada wa kwanza wa Musa na Aruni.

tari

Hichi ni chombo cha muziki kama ngoma ndogo yenye vipande vya chuma pembeni vinavyo toa sauti vikitikizwa

ameshinda kwa utukufu

"ameshinda kwa utukufu juu ya maadui zake"

Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini

Musa aliimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika na kuzamisha farasi na madereva kana kwamba Mungu aliwatupa baharini.

Exodus 15:22

Musa akaongoza Israeli

Neno "Israeli" la wakilisha watu wa Israeli.

nyikani ya Shuri ...Mara

Hatujui maeno ya hizi sehemu.

Exodus 15:24

wakamlalamikia Musa na kusema

"hawakufurahi na kumwambia Musa" au "kwa hasira wa kamwambia Musa"

sauti ya Yahweh Mungu wako

Yahweh anazungumza kuhusu sauti yake.

kufanya yalio sahihi machoni pake

Maneno "machoni pake" hapa ya wakilisha kile Mungu alicho amini au kuamua.

sitawaekea ninyi magonjwa

Mungu anaongea kusababisha watu kuwa na magonjwa kam kuweka magonjwa juu yao.

Exodus 15:27

Elimu

Hii ni sehemu ya mapumziko jangwani, sehemu yenye maji na vivuli vya miti.

kumi na mbili

"12"

sabini

"70"

Exodus 16

Exodus 16:1

nyikani mwa Sinu

Neno "Sinu" hapa ni jina la Kiebrania la nyikani. Sio neno la kiengereza lenye maana ya "dhambi"

siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili

Huu muda unaingiliana na mwisho wa Aprili na mwanzo wa Mei katika kalenda za Magharibi.

Jamii yote ya Waisraeli

"Waisraeli woe" Huu ni ujumla. Musa na Aruni hawakulalamika.

lalamika

"walikuwa na hasira na kusema"

Kama tu tungekufa

Hii ni namna ya kusema wangetamani kufa.

kwa mkono wa Yahweh

Manaeno "mkono wa Yahweh" wa wakilisha matendo ya Yahweh.

Exodus 16:4

Nitakunyeshea mvua ya mkate.

Mungu anaongelea chakula kutoka mbinguni kana kwamba ni mvua.

mkate

Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.

wataendelea kushika sheria yangu

Mungu anaongelea kutii sheria yake kama kutembea ndani yake.

sheria yangu

"amri yangu"

Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba wata

"itatokea siku ya sita kwamba wata" au "siku ya sita wata"

siku ya sita

"siku ya 6"

Exodus 16:6

Sisi ni nani hadi mtulalamikie?

Musa na Aruni walitumia hili swali kuonyesha watu kwamba ilikuwa ni upumbavu kuwalalamikia wao.

mkate

Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.

Nani ni Aruni na mimi?

Musa anatumia hili swali kuwaonyesha watu kuwa yeye na Aruni hawakuwa na nguvu yakuwapa walicho taka.

Malalamishi yenu sio dhidi yetu; ni dhidi ya Yahweh

Watu walikuwa wana lalamika dhidi ya Musa na Aruni, ambao walikuwa watumishi wa Yahweh. Hivyo kwa kulalamika dhidi yao, watu kihalisi walikuwa wana lalamika dhidi ya Yahweh.

Exodus 16:9

Ikawa

Hili neno linatumika kuweka alama ya tukio muhimu katika historia. Tukio muhimu hapa ni watu kuona utukufu wa Yahweh.

tazama

Neno "tazama" hapa la onyesha kwamba watu waliona kitu cha kuvutia.

mkate

Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.

Exodus 16:13

Ikaja kuwa kwamba

Hili neno linatumika kuweka alama ya tukio muhimu.

kware

Hawa ni ndege wadogo na wanene.

kama barafu

Wasomaji wa mwanzo walijua barafu ilivyo kuwa, hivyo neno hili litawasaidia kuelewa nini hiyo theluji ilivyo kuwa. Theluji ni umande ulio ganda unao undika kwenye ardhi. Ni nyeupe sana.

mkate

Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.

Exodus 16:16

Sentensi Unganishi

Musa anaendelea kuwaambia watu kuhusu chakula Mungu anacho wapa.

lita

"lita mbili"

hawakuwa na kilicho salia

"hawakukosa chochote" au "walitosheka"

Exodus 16:22

siku ya sita

"siku ya 6"

mkate

Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui.

kujiliwaza

"umakini" au "tulivu na kuwaza"

Exodus 16:24

Haikuharibika

"haikunuka vibaya"

leo ni siku iliyo tengwa ya kumtukuza Yahweh

"leo ni Sabato na itumike tu kwa kumtukuza Yahweh.

Exodus 16:26

lakini siku ya saba

lakini katika siku ya saba"

manna

Hili lilikuwa jina Waisraeli walilipa mkate Yahweh aliyo usababisha utokea kila asubui.

hawakukuta

"hawakukuta mana yeyote"

Exodus 16:28

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaongea na Musa, lakini neno "wewe" la husu watu wote wa Israeli.

Kwa muda gani utaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu?

Mungu anatumia hili swali kuwa kemea watu maana hawakutii sheria zake.

kushika amri zangu na sheria zangu

"kutii amri zangu na sheria zangu"

Yahweh amekupa Sabato

Yahweh anaongea kuhusu kufundisha watu kupumzika Sabato kana kwamba Sabato ni zawadi.

siku ya sita ... siku mbili ... siku ya saba

"siku ya 6 ... siku 2 ... siku ya 7"

mkate

Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui.

Exodus 16:31

manna

Hili likuwa jina Waisraeli walilo lipa mkate ambao Yahweh alisababisha kutokea kila asubui.

mbegu ya mgiligani

Watu wanakausha mbegu na kusaga katika unga na kuweka kwenye chakula kuleta ladha.

maandazi

membamba kama biskuti

lita

"lita mbili"

mkate

Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui.

Exodus 16:33

Lita mbili ni makumi ya efa

Hivi ni vyombo vya vipimo. Wasomi wa kwanza waliweza jua kiasi gani efa ilikuwa. Hii sentensi ya weza saidia kujua kiasi gani lita ilikuwa.

lita

"lita mbili"

Exodus 17

Exodus 17:1

nyikani ya Sinu

Neno "Sinu" hapa ni jina la Kiebrania la nyikani. Sio neno la kiengereza lenye maana ya "dhambi"

Refidimu

Hii ina maana ya "sehemu ya kupumzika" sehemu ya kupumzika katika safari ndefu nyikani.

Kwanini mnagombana na mimi? Kwanini mnajaribu Yahweh?

Musa anatumia haya maneno kukemea watu.

Ili utuue sisi na watoto wetu na mifugo yetu kwa kiu?

Watu wanatumia hili swali kumshitaki Musa kwa kutaka kuwaua.

Exodus 17:4

Massa

"sehemu katika jangwa ambalo jina lake la maanisha "jaribu"

Meriba

"sehemu katika jangwa ambalo jina lake la maanisha "lalamika"

Exodus 17:8

Refidimu

Hii ilikuwa sehemu jangwani.

Hivyo Yoshua akapigana na Ameleki

Yoshua ana wakilisha Waisraeli aliyo waongoza kwenye pambano.

Huri

Huri alikuwa rafiki wa Musa na Aruni.

Exodus 17:11

Israeli ilikuwa yashinda ... Ameleki alianza kushinda

Maneno "Israeli" na "Ameleki" wana wakilisha wapiganaji kutoka hizo sehemu.

Mikono ya Musa alipo kuwa mizito

Mwandishi ana andika mikono ya Musa kuchoka kana kwamba mikono yake imekuwa mizito.

kwa upanga

Upanga wawakilisha pambano.

Exodus 17:14

nitaondoa kumbukumbu ya Ameleki

Mungu anaongea kuharibu Ameleki kana kwamba anaondoa kumbukumbu ya watu kuhusu Ameleki. Wakati kundi la watu linapo haribiwa, hakuna cha kuwakumbusha watu kuhusu wao.

mkono ulinyanyuliwa juu

Watu waliinua mkono wao wakati walipo weka ahadi au deni.

mkono ulinyanyuliwa juu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Ameleki

Hii ya husu Waameleki.

Exodus 18

Exodus 18:1

baba mkwe wake Musa

Hii ya husu baba wa mke wa Musa.

akamchukuwa Zipora, mke wa Musa ... na wana wake wawili

Maana zinazo wezekana ni 1) Yethro alimchukuwa Zipora na wana wake wawili kwa Musa, au 2) Yethro alimkaribisha awali Zipora na wana wake wawili.

baada ya kumpeleka nyumbani

Hichi ni kitu Musa alicho fanya hapo awali. Maana yote yaweza fanywa wazi.

Gershomu

Huyu ni mwana wa Musa na Zipora, ambaye jina lake lina maana ya "mgeni"

Eliezeri

Huyu ni mwana wa Musa na Zipora ambaye jina lake lina maana ya "Mungu ndiye anaye ni saidia"

Exodus 18:5

alipo eka kambi

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 18:7

akamwinamia, na kumbusu

Haya matendo ya ishara yalikuwa namna ya kawaida watu walionyesha heshima kubwa na upendo katika huo utamaduni

kwa ajili ya Waisraeli

Neno "Israeli" la wakilisha watu wa Israeli.

magumu yote yaliyo watokea

Musa ana andika magumu kuwa tokea kana kwamba magumu yamewatokea.

Exodus 18:9

mkono wa Wamisri ... mkono wa Farao

Mkono una maana ya nguvu ya mtu kufanya kitu.

Exodus 18:13

Ni nini unachofanya na watu?

Yethro anatumia hili swali kumuonyesha Musa kwamba alicho kuwa anafanya si sawa?

Kwanini unaketi peke yako ... asubui hadi jioni?

Yethro anatumia swali kumuonyesha Musa alikuwa anafanya sana.

unaketi peke yako

Neno "keti" hapa ni mbadala wa "hukumu" Waamuzi walikuwa wana keti wanapo sikiliza malalamishi ya watu.

Exodus 18:17

Hakika utajichosha

"utajifanya kuchoka sana"

Huu mzigo ni mzito sana kwako

Yethro anazungumzia kazi ngumu Musa anayo fanya kana kwamba ni kazi ya mwili Musa alikuwa anabeba.

ushauri

"mwongozo" au "maelekezo"

Mungu ata kuwa na wew

Yethro anaongelea Mungu kumsaidia Musa kana kwamba Mungu ata kuwa na Musa.

leta malumbano yao kwake

Yethro anaongelea Musa kumwambia Mungu kuhusu malumbano kana kwamba Musa ana leta malumbano yao kwa Mungu.

Lazima uwafundishe njia yakutembea

Yethro anaongelea kuishi au kutenda kama kutembea.

Exodus 18:21

Sentensi Unganishi

Yethro anaendelea kuongea na Musa.

Mbali zaidi, lazima uchague

"kwa niongeza, lazima uchague"

maelfu, mamia, hamsini, na makumi

"makundi ya 1,000, makundi ya 100, makundi ya 50, na makundi ya 10"

Lazima uwaeke juu ya watu

Yethro anaongelea kuwapa mamlaka juu ya watu kama kuwaweka juu ya watu.

kesi za kawaida

"kesi rahisi"

kesi ngumu wataleta kwako

Yethro anaongelea kumwambia Musa kuhusu kesi ngumu kama kumletea kesi ngumu.

watabeba mzigo na wewe

Yethro anaongelea kazi ngumu ambayo watafanya kana kwamba ni mzigo watao beba.

kuvumilia

kila watakaacho vumilia cha weza wekwa wazi.

Exodus 18:24

vichwa juu ya watu

Musa ana andika viongozi wa watu kana kwamba ni kichwa cha mwili.

wanaume wenye uwezo

Kilicho kuwa wanaweza kufanywa cha weza andikwa wazi.

hali

"mazingira"

Kesi ngumu walimletea Musa

Mwandishi ana andika kumwambia Musa kuhusu kesi ngumu kama kumletea kesi ngumu.

kesi ndogo

"kesi zilizo rahisi"

Exodus 19

Exodus 19:1

Katika mwezi wa tatu ... siku hiyo

Hii ina maana walifika nyikani siku ya kwanza ya mwezi kama walivyo ondoka Misri siku ya kwanza ya mwezi. Siku ya kwanza ya mwezi wa tatu kwenye kalenda ya Kiebrania ni karibu na katikati ya Mei katika kalenda za Magharibi.

kutoka

"waliondoka"

Refidimu

Hii ni sehemu kando ya nyikani ya Sinai ambapo watu wa Israeli walikuwa kambini.

Exodus 19:3

nyumba ya Yakobo

Neno "nyumba" hapa la wakilisha familia na uzao wa Yakobo.

nyumba ya Yakobo, watu wa Israeli

Neno "watu wa Israeli" ina eleza nini "nyumba ya Yakobo" ina maanisha.

Uliona

Neno "Uliona" hapa linawakilisha Waisraeli. Yahweh anamwambia Musa nini cha kuwaambia Waisraeli.

nilivyo kubeba kwa mabawa ya tai

Mungu anaongelea kujali watu wake wakati walipo safiri kana kwamba yeye alikuwa tai na kuwabeba kwa mabawa yake.

ukinisikiliza kwa utii

Utii yaweza andikwa kama kitenzi.

sauti yangu

Sauti ya Munguya wakilisha anachosema.

kushika agano langu

"fanya kile agano langu linataka mfanye"

mali yangu ya pekee

"hazina"

ufalme wa kikuhani

Mungu anaongelea watu wake kana kwamba ni makuhani.

Exodus 19:7

Aliweke mbele yao maneno yote

Mwandishi ana andika kuhusu Musa kuwaambia watu vitu kana kwamba alikuwa ana weka maneno mbele yao.

maneno yote haya Yahweh aliyo muamuru

Neno "maneno" ya husu kile Yahweh alicho sema.

musa akaja kutoa taarifa

Pale Musa alipo enda pa weza andikwa wazi.

maneno ya watu

Neno "maneno" ya husu kile watu walicho sema.

Exodus 19:10

lazima uwatenge

Hii inaweza kuwa "waambie wajitoe kwangu" au "waambie wajitakase"

mavazi

"nguo"

Kuwa tayari

Hili lilikuwa amri kwa watu wa Israeli.

Exodus 19:12

Maeleo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa

Yeyote atakaye shika mlima ata uawa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Yeyote atakaye shika

"Mtu yeyote atakaye gusa"

mtu huyu

"ambaye atafanya hivi"

lazima apigwe mawe au kuchomwa mshale

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kuchomwa

Hii ya husu kufa kwa mtu anaye piga mishale kutoka kwenye upinde au jiwe kwenye manati.

Exodus 19:14

msiwakaribie wake zenu

Hii ni njia ya kistarabu ya kusema usilale na mke wako.

Exodus 19:16

waliogopa

"walitetemeka kwa hofu"

alishuka

"teremka chini"

kama moshi wa tanuru

Hii yaonyesha ni moshi mkubwa sana ulikuwa.

tanuru

shimo linalo weza fanywa kali sana kwa moto

Exodus 19:19

ongezeka na zaidi

"ikaendelea kuwa kubwa na kubwa"

kwa sauti

Neno "sauti" hapa ya husu sauti Mungu aliyo fanya. Maana inayo wezekana ni 1) kwa kuongea kwangu kama radi" au 2) "kwa kuongea" au 3) "kusababisha radi iongee"

akamuita Musa

"alimuita Musa kuja juu"

wasipite

Mungu aliongea kuhusu kupita mipaka kana kwamba wataweza vunja kizuio na kupita.

Exodus 19:23

shuka chini

"nenda chini"

kupita vizuizi

Mungu aliongea kuhusu kupita mipaka kana kwamba wataweza vunja kizuio na kupita.

Exodus 20

Exodus 20:1

nyumba ya utumwa

"sehemu mlliyo kuwa watumwa"

Msiwe na miungu mingine ila mimi tu

"Msiabudu miungu mingine zaidi yangu"

Exodus 20:4

kufananisha

"na usitengeneze cha kufanana"

wivu

Mungu anataka watu wake wamuabudu yeye tu.

Nitaadhibu uovu wa mabubu kwa kuleta adhabu juu ya kizazi

Mungu ata hadhibu watu kwa dhambi za wazazi wao

cha tatu hadi kizazi cha nne

"kizazi ch 3 na cha 4"

agano la uaminifu kwa maelfu

"kwasababu ya agano langu, ni mwaminifu kwa maelfu" au "napenda maelfu kwa uaminifu"

kwa maelfu watakao

"vizazi vingi vya hao"

Exodus 20:7

Usilitaje bure jina

"kutumia jina langu"

bure

"bila kujali" au "bila heshimu"

Exodus 20:8

ufanye kazi zako

"fanye kazi za kila siku"

malango yako

Miji mara nyingi ilikuwa na ukuta ikizunguka kuweka mbali maadui, na milango watu kuingia na kutoka.

siku ya saba

Hapa "saba" ni namba "7"

aliibariki siku ya Sabato

Maana zinazo wezekana ni 1) Mungu alisababisha Sababto kuzalisha matokea mazuri, au 2) Mungu alisema siku ya Sabato ni nzuri.

kuitenga

"kuitenga kwa kusudi maalumu"

Exodus 20:12

Usifanye uasherati

"usifanye ngono na mtu yeyote zaidi ya mpenzi wako"

Exodus 20:15

Usishuhudie uongo

"usiongea taarifa ya uongo"

Usitamani

"usitamani kuwa nacho sana" au "usitake kuchukuwa"

Exodus 20:18

mlima ukitoa moshi

"moshi ukitoka mlimani"

walitetemeka

"walitetemeka kwa hofu"

walisimama mbali

"walisimama kando"

ili heshima yake iwe ndani yenu, kwa hiyo msitende dhambi

"ili mumheshimu yeye na msitende dhambi"

alikaribia

"alisogea karibu na"

Exodus 20:22

Ni lazima uwaambie hili Waisraeli

"Waambie Waisraeli hili"

Wewe mwenyewe umeona niliongea na wewe kutoka mbinguni

"Umesikia nikiongea na wewe kutoka mbinguni"

Misjitengenezee miungu mingine pamoja nami

"Usifanye sanamu kama miungu mingine zaidi yangu"

miungu ya fedha au miungu ya dhahabu

"miungu iliyo tengenezwa kwa fedha au dhahabu"

Exodus 20:24

madhabahu ya udongo

madhabahu iliyo tengenezwa kwa vitu vya ardhini, kama mawe, mchanga, au udogo

ntakapotaka jina langu liheshimiwe

Hapa "jina" linasimama kwa niaba ya utu wa Mungu.

msije juu ya madhabahu yangu kwa hatua zenu

"Msitengeneze madhabahu yenye ngazi"

msioneshe sehemu zenu za siri

"kuonyesha mwili wenu wa uchi"

Exodus 21

Exodus 21:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa

utakazoweka kabla yao

"lazima uwape" au "utawaambia"

Exodus 21:2

Maelezo ya Jumla

Yahweh anamwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Kama alikuja mwenyewe, ataenda huru kwa ridhaa yake

"Mwenyewe" inaweza andikwa wazi.

mwenyewe

"pekee yake" au "bila mke"

Exodus 21:5

atasema waziwazi

"kusema wazi"

sitaenda nje huru

"sitaki bwana wangu aniachie huru"

atatoboe sikio lake

"kuweka tobo sikioni"

sindano

kipini kinacho tumika kueka shimo

maisha yake yote

"mpaka mwisho wa maisha yake'

Exodus 21:7

aliye mtenga

"aliye chague"

lazima amnunue tena

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Hana ruhusa ya kumuuza

"hana mamlaka ya kumuuza"

amemtendea kwa hila

"kamadanganya"

Exodus 21:9

aliyetenga

"chagua"

apaswi kupunguza chakula chake, mavazi, au haki za ndoa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

punguza

"kuchukuwa"

haki za ndoa

Hii ina husisha vitu mme wake anapaswa kufanya kwa ajili ya mke wake, pamoja na kulala naye.

Exodus 21:12

piga

"shambulia"

huyo mtu lazima auwawe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kufanya pasipo kukusudia

"hakupanga kufanya" au "hakufanya kwa kusudia"

nitaanda sehemu ya yeye kukimbilia

Kusudi la kuchagua sehemu laweza andikwa wazi hapa.

kwa kadiri ya mbinu erevu

"baada ya kufikiria kwa uangalifu"

Hili afe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 21:15

Yeyote atakaye mpiga baba au mama yake lazima auawe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

lazima

"hakika"

mali yake

"pamoja naye"

huyo mtekaji lazima auawe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

eyote atakaye mlaani baba au mama yake lazima auawe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 21:18

alazwe kitandani

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

akapona

"akapata nafuu"

gongo

Hii ni fimbo inayo weza egemewa wakati wakutembea.

muda aliye mpotezea

Hii ya husu hali wakati mtu hawezi pata pesa.

alipe matibabu yake yote

"gharama za matibabu"

Exodus 21:20

kwa madhara ya pigo

"kwasababu ya majeraha"

huyo mtu lazima ahadhibiwe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kwa kuwa atateseka kupoteza mtumishi huy

Waweza eleza wazi katika tafsiri mtumishi alikuwa na dhamani kwa bwana wake.

Exodus 21:22

mimba na kuiharibu

"mtoto akafa tumboni mwake"

mwanaume mwenye hatia lazima alipe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kama hakimu anavyo kusudia

"alicho amuua muamuzi"

lazima utoe uhai kwa uhai, jicho kwa jicho

Hii ina maana kama kaumia, mtu aliye muumiza lazima aumizwe vivyo hivyo.

Exodus 21:26

Kama mwanaume

Hapa "mwanaume" ya husu mmiliki wa mtumwa.

fidia

Fidia ni kitu mtu anafanya kwa mtu mwingine au anampa mtu mwingine kwa kile alicho sababisha kupoteza.

Exodus 21:28

ng'ombe lazima apigwe mawe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

nyama yake hairuhusiwi kuliwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mmiliki wa ng'ombe lazima awe huru

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mmiliki wake lazima auawe pia

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Kama malipo ya uhai yanaitajika

Kama mmiliki wa ng'ombe anaweza kulipa gharama ya kuokoa maisha yake, kisha anapaswa kulipa chochote waamuzi wanachotaka.

Exodus 21:31

ng'ombe amempiga

"kajeruhi kwa pembe zake"

shekeli thelathini za fedha

"gramu 330 za fedha"

ng'ombe lazima apigwe mawe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 21:33

akifungua shimo

"funua shimo kwenye ardhi"

alipe madhara

Mmiliki lazima alipe kwa madhara ya mnyama.

atakuwa wake

Aliye lipa madhara ya mnyama atakuwa mmliki wa mnyama aliye kufa na anaweza fanya ancho taka.

Exodus 21:35

kugawana gharama

"gawanya pesa"

kama ilijulikana

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

tabia ya kupiga hapo awali

"kapiga wanyama wengine kabla"

mmiliki wake hakumfunga ndani

Hii ina maana mmiliki hakumhifadhi ng'ombe kwa usalama ndani ya uzio.

lazima alipe ng'ombe kwa ng'ombe

Mmiliki wa ng'ombe aliye ua lazima atoe ng'ombe kwa aliye poteza ng'ombe wake.

Exodus 22

Exodus 22:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa ajili ya watu wa Israeli.

Kama mwizi akikutwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

anavunja ndani

"akitumia nguvu kuingia ndani ya nyumba"

kama akipigwa na kufa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

hakutakuwa na hatia ya mauaji hayatakuwa juu ya mtu yeyote

"hakuna atakaye kuwa na hatia ya kumuua"

kama jua limechomoza kabla ya yeye kuvunja ndani

"kama kuna mwanga kabla hajaingia"

hatia ya mauaji itakuwa juu ya aliyemuua.

"huyo mtu atakaye muua akatakuwa na hatia ya mauaji"

lazima auzwe kwa uwizi wake

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Kama mnyama amekutwa hai eneo lake

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 22:5

Kama mwanaume akiwapeleka malishoni mifugo yake

"kama mwanaume akimuacha mnyama wake kulala mimea"

malishoni

"inapo kula mimea"

lazima afanye malipo

Lazima amlipe mmiliki wa hilo shamba"

Exodus 22:6

Kama moto ukitokea na kusambaa kwenye miba

"Kama mtu akianza moto na kusambaa kwenye miba"

kusambaa kwenye miba

"kupita kwenye mimea iliyo kauka"

shamba kuteketezwa

"moto kuteketeza shamba"

lazima afanye malipo

"lazima alipe mbegu moto ulizo haribu"

Exodus 22:7

amtunzie

"kuangaliza" au "kuweka salama"

kama itaibiwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mwizi

mtu anaye iba

kama mwizi akipatikana

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kuja mbele za waamuzi

"kuja mbele za waamuzi ili waweze jua kama"

ameeka mkono wake kwenye mali za jirani yake

Huu ni msemo. Kama namna ya kusema hivi katika lugha yako, waweza sema hapa.

malalamiko ya pande zote lazima zije kwa waamuzi

Waamuzi lazima wasikilize watu wote wawili wanao dai vitu ni vyao na waamuzi wataamua nani ana hatia.

Exodus 22:10

kiapo kwa Yahweh lazima wafanye wote wawili

Mtu aliye shutumiwa kuiba mnyama lazima aape kiapo. Mmiliki wa mnyama aliye potea lazima akubali kiapo kilicho apiwa.

Lakini kama iliibwa kwake

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Kama mnyama alikatwa vipande

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Hatalipa kwa ajili ya vile vipande

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 22:14

lazima afanya malipo

"lazima alipe kwa mnyama mwingine"

kama mnyama aliazimwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

atalipwa kwa gharama ya kuazima

Aliye azima mnyama hata mlipa mmiliki zaidi ya ada au gharama ya kukodisha. Hii ada italipa kwa nyama aliye potea.

gharama ya kuazima

"ada ya kukodisha" au "pesa iliyo lipwa kukodisha mnyama"

Exodus 22:16

akimtongoza

"kushawishi"

hana mchumba

"haja ahidiwa kuolewa"

akilala naye

Kulala na mtu ni tafsida ya kufanya ngono.

gharama za bibi arusi

"mahari"

Exodus 22:18

Yeyote atakaye lala na mnyama lazima auawe

Hapa "lala na mnyama" ni tafsida yenye maana ya kufanya ngono na mnyama.

Exodus 22:20

Yahweh lazima auawe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mkosea mgeni

"kutendea vibaya mgeni"

Exodus 22:22

Hauruhusiwi kumtendea vibaya mjane au mtoto asiye kuwa na baba

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mjane

"mwanamke aliye poteza mme wake"

mtoto asiye kuwa na baba

"yatima"

nitakuua kwa upanga

Kuuawa "kwa upanga" ni mbadala yenye maana mtu atakufa vibaya sana.

Exodus 22:25

kutoza faida

"kulipisha kwa pesa ya faida kwa kuazima"

funiko lake

"koti pekee"

Nini tena ambacho anaweza kulalia?

Hili swali latilia msisitizo.

mwenye huruma

"rehema" au "neema"

Exodus 22:28

Husinikufuru mimi, Mungu

"Husimtukane Mungu"

wala kumtukana mtawala

"na usimuombe Mungu kufanya kitu kibaya kwa mtawala"

Exodus 22:29

Husizuie sadaka

Hii yaweza andikwa katika tensi chanya.

unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako

"waweke wakfu wazaliwa wenu wa kwanza kwangu"

ufanye hivyo hivyo kwa

"niwekee wakfu wazaliwa wa kwanza wa"

Kwa siku saba

Hii yaweza andikwa kama namba

siku ya nane

Hii yaweza andikwa kama namba.

unipe mimi

"waweke wakfu kwangu"

Exodus 23

Exodus 23:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumuambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

taarifa ya uongo

Hii ni sawa na kudanganya au shuhuda ya uongo

wala kutoa ushahidi

"na wewe husizungumze"

ukiwa na umati

Hili ni fumbo linalo eleza mtu kukubaliana na kundi la watu kana kwamba alienda na kusimama na hilo kundi.

kupotosha haki

fanya yasio halali au matendo yasio ya kijamii yenye matokeo ya uwamuzi usio haki

Exodus 23:4

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Exodus 23:6

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Haupaswi kupotosha haki

"Husifanye matendo yanayo zalisha matokea yasio halali" ambayo uleta uhuru kwa mwenye hatia au hukumu kwa hasiye na hatia.

sitamuacha muovu

"sitampata muovu bila hatia"

rushwa inawapofusha ... kupotosha

Hapa "rushwa" inaelezwa kama ni mtu.

Exodus 23:10

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

mazao

"chakula kutoka kwenye mimea"

hakujalimwa

"hakujapaliliwa"

ili kwamba maskini miongoni mwenu wale

Maskini wale chakula chochote kinacho ota chenyewe shamba lisilo paliliwa.

Exodus 23:12

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Kuwa makini kwa

"fanya" au "tii"

ng'ombe na punda wako

"wanyama wa kazi zako"

wageni wapumzike na kupata hauweni

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Husitaje majina ya miungu mingine

Hapa "majina" ni mbadala wa kuomba kwa miungu mingine.

Exodus 23:14

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Abibu

Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi.

Exodus 23:16

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Lazima uadhimishe

"Lazima uheshimu"

Sherehe ya Ukusanyaji

Hii sherehe ya sherekewa mwishoni mwa mavuno ya mazao ya mwaka.

Wanaume wote wako lazima wajitokeze

Hapa "kujitokeza" kuna maana ya kukusanyika kwa ibada.

Exodus 23:18

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Mafuta kutoka kwa dhabihu

Mafuta yalichomwa kama sadaka kwa Yahweh na hayakuliwa.

matunda ya kwanza bora

"bora na mazao ya kwanza ya mavuno"

Haupaswi kumchemsha mbuzi mtoto akiwa bado ananyonya

Hii ilikuwa zoezi la kishirikina miongoni mwa Wakanani, ambalo Waisraeli hawakuruhusiwa kushiriki.

Exodus 23:20

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Kuwa makini naye

"Msikilize"

Husimkasirishe, kwa kuwa hatasamehe

"hukimkasirisha, hatasamehe"

Jina langu liko kwake

Hapa "jina" la husu mamlaka ya Mungu.

hakika ukimtii sauti yake

Hapa "sauti" ya wakilisha kile malaika anasema.

adui kwa adui zako na mpinzani kwa wapinzani wako

Hii mistari miwili ina maana ya kitu kimoja na yana tumika kuweka mkazo.

Exodus 23:23

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Haupaswi ... kufanya wanavyo fanya

Waisraeli hawapaswi kuishi kama watu wanao muabudu Mungu mwingine.

Exodus 23:26

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.

Hakuna mwanamke atakaye kuwa tasa au mimba kuharibika katika nchi yako

Hii yaweza andikwa katika tensi chanya.

mimba kuharibika

mimba kufika mwisho mapema na pasipo tarajia

mavu

mdudu anaye paa na anaweza uma watu na kusababisha maumivu

au nchi itakuwa imetelekezwa

"kwasababu hakuna atakaye kuwa anaishi nchini"

Exodus 23:30

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa ajili ya watu wa Israeli.

hakika watakuwa mtego kwako

Hii ina maana ya kuabudu miungu mingine itawapeleka watu wa Israeli kwa uharibifu.

Exodus 24

Exodus 24:1

Nadabu ... Abihu

Haya ni majina ya wanaume.

wazee sabini wa Israeli

"wazee 70 wa Israeli"

Exodus 24:3

kwa sauti moja

Huu ni msemok wenye maana watu walikubaliana.

mguu wa mlima

"tako la mlima"

Exodus 24:5

Musa allichukuwa nusu ya damu na kuweka kwenye mabeseni

Musa alikusanya nusu ya damu kwenye mabesini ili kuwanyunyuzia watu 24:7. Hii itawathibitishia watu ushiriki wao katika agano kati ya watu wa Israeli na Mungu.

alinyunyuzia nusu ingine kwenye madhabahu

Hapa madhabahu ya wakilisha Mungu. Hii itathibitisha ushiriki wa kati ya Mungu na watu wa Israeli.

Exodus 24:7

Tutakuwa watiifu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Kisha Musa akachukuwa damu

Hii ya husu damu ambayo Musa aliweka kwenye bakuli.

Exodus 24:9

Nadabu ... Abihu

Haya ni majina ya wanaume.

Chini ya miguu

Hii ina muongelea Mungu kana kwamba alikuwa na miguu ya mwanadamu.

sakafu iliyo jengwa kwa jiwe la yakuti samawi

"sakafu iliyo tengenezwa kwa mawe ya buluu yanayo itwa yakuti samawi"

sakafu

ardhi ngumu iliyo tengenezwa kwa kutembelea au kuendeshea

jiwe la yakuti samawi

Hii ni dini ambalo ni buluu kwa rangi.

safi kama mbingu yenyewe

Hili ni fumbo.

Mungu hakugusa na mkono kwa hasira viongozi Waisraeli

Hii ina maana kuwa Mungu hakujeruhi viongozi.

Exodus 24:12

saani za mawe na sheria na amri

Mungu aliandika sheria na amri katika saani za mawe.

na msaidizi wake Yoshua

"na Yoshua aliye msaidia"

Exodus 24:14

mtusubiri

"msubiri Yoshua na mimi"

Huri

Huri alikuwa mwanaume aliye kuwa rafiki wa Musa na Aruni.

Exodus 24:16

Utukufu wa Yahweh

Huu ulikuwa mwanga mzuri wa uwepo wa Mungu.

kama moto ulao

Hii ina maana ya utukufu wa Yahweh ulikuwa mkubwa una ulionekana kuwaka kwa mwanga kama moto.

kwenye macho ya Waisraeli

Hapa "macho" ya husu mawazo ya kuhusu walicho kiona

siku arobaini na usiku arobaini

"siku 40 na usiku 40"

Exodus 25

Exodus 25:1

atakayetoa kwa moyo mkunjufu

Huu ni msemo unao hashiria tamanio la mtu kutoa sadaka.

Lazima upokee

Neno "upokee" la husu Musa na viongozi.

Exodus 25:3

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa ni watu wafanye.

buluu, zambarau na nyekundu

Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu iliyo tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau na nyekundu" kupaka kitambaaa.

pomboo

mnyama mkubwa anaye ishi baharini na kula mimea

shohamu

jiwe la thamani lenye miisho meupe na meusi, nyekundu au kijivu.

mawe mengine ya kutiwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 25:8

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa ni watu wafanye.

patakatifum ... maskani

Haya maneno yana maana moja.

Lazima ufanye

Hapa "ufanye" ni wingi na ya husu Musa na watu wa Israeli.

nikuoneshayo mfano

"kukuonyesha katika mpango wake" au "nikuonyeshayo katika ramani"

Exodus 25:10

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu

"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5"

Exodus 25:12

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

viduara vinne vya dhahabu

Hii ilikuwa namna dhahabu ya yayushwa, ilikuwa ya miminwa katika chombo cha mviringo, kisha kuwachwa kuwa ngumu.

ili kulichukua hilo sanduku

"ili uweze kubeba sanduku"

Exodus 25:15

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

kifuniko cha dhahabu

Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika.

dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu

"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5"

Exodus 25:19

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

kifuniko cha dhahabu

Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika.

Lazima uweke

Hapa "uweke" ya husu Musa na watu wa Israeli.

Exodus 25:22

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

nitaonana nawe hapo katika sanduku

"Nitakutana na wewe katika sanduku"

kifuniko cha dhahabu

Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika.

Exodus 25:23

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu

"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5"

Exodus 25:25

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

fremu ya kuizunguka

"fremu ya meza"

ilipo kuwa

"ilipo"

kuichukulia

"ili kubeba"

Exodus 25:28

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

ile meza ichukuliwe kwayo

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

vya kumiminia

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mikate ya wonyesho

Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu.

Exodus 25:31

dhahabu safi

"dhahabu iliyo gongwa"

kinara na kifanywe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kitako chake, na mti wake, vikombe vyake, na matovu yake, na maua yake, vyote vitakuwa vya kitu kimoja nacho

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 25:33

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. Yahwe anaelezea kinara cha taa.

maua ya mlozi

nyeupe au maua ya pinki yenye majani matano

Exodus 25:35

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

kitu kimoja nacho

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 25:37

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

zitoe nuru mbele yake

"hivyo watoa mwangaa"

Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

talanta moja

Talanta ina kilogramu 34

na vyombo

makoleo na visahani

uliooneshwa mlimani

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 26

Exodus 26:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

Lazima ufanye

Yahweh anaongea na Musa, hivyo neno "ufanye" la husu yeye. Yahweh inawezekana alitarajia Musa kumwambia mtu mwingine kufanya kazi, lakini Musa atakuwa ana wajibika kuona kuwa kazi imefanywa sahihi.

mapazia

Haya yalikuwa vitambaa vikubwa vya kushona vilivyo tumika kutengeneza kifuniko na kuta za kugawanya patakatifu.

dhiraa ishirini na nane ... dhiraa nne

"dhiraa 28 ... dhiraa 4." Dhiraa ni sentimita 46.

Mapazia matano yataungwa pamoja ... yataungwa pamoja

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 26:4

tanzi ... vifungo

Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja.

fungu

"fungu moja la mapazia matano"

fungu la pili

"fungu la pili la mapazia matano"

Exodus 26:7

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

kumi na moja ... thelethini ... nne

"11 ... 30 ... 4"

dhiraa

Dhiraa ni sentimita 46

Exodus 26:10

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

tanzi ... vifungo

Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja.

Exodus 26:12

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

dhiraa

Dhiraa ni sentimita 46

Exodus 26:15

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

fremu

Hii ya husu fremu walizo tengeneza kwa kuunganisha mbao ndogo vya vipande.

dhiraa kumi ... dhiraa moja na nusu

"dhiraa 10 ... dhiraa 1.5"

Exodus 26:19

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

vitako vya fedha

Hivi vilikuwa vitofali vya fedha vyenye mpangilio kuweza ustahimili.

Lazima kuwe na vitako viwili

Hii ina weza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 26:22

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

Hizi fremu zitakuwa zimetengana upande wa chini, lakini zimeshinkana kwa juu ya duara moja

Hii ya weza andika katika tensi tendaji.

vitako vya fedha

Haya yalikuwa matofali yenye mpangilio kuweka fremu sehemu yake.

Exodus 26:26

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

mataruma

Hizi ni nguzo zinazo weka imara jengo.

maskani ulio nyuma kuelekea magharibi

Mbele ya maskani ili elekea mashariki.

Exodus 26:29

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa jinsi maskani itengenezwe.

kuwa kama vishikizo

"vitakavyo shika mataruma"

mataruma

Hizi ni nguzo zinazo weka imara jengo.

uliooneshwa mlimani

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 26:31

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa jinsi maskani itengenezwe.

Nawe fanya

Yahweh anazungumza na Musa, hivyo neno "nawe" la muhusu yeye. Yahweh inawezekana alitarajia Musa kumwambia mtu mwingine kufanya kazi, lakini Musa atakuwa ana wajibika kuona kuwa kazi imefanywa sahihi.

vifungo

Vifungo vintoshea kwenye tanzi kushikilia pazia pamoja.

nawe lete lile sanduku la ushuhuda

Sanduku la agano ni chombo linalo hifadhi amri.

Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 26:34

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

juu ya lile sanduku la ushuhuda

"kwenye chombo chenye amri"

Lile meza utaiweka upande wa kaskazini.

Hii ni meza inayo shikilia mkate unao wakilisha uwepo wa Mungu.

Exodus 26:36

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi ya kutengeneza patakatifu.

kisitiri

Hili lilikuwa pazia kubwa lilo tengenezwa kwa kitambaa.

buluu, zambarau, na nyekundu

Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu iliyo tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau na nyekundu" kupaka kitambaaa.

kitani nzuri yenye kusokotwa

Hii ilikuwa kitambaa kilicho tengenezwa kutokana uzi ambao mtu alizokota pamoja kufanya uzi mgumu.

mshonaji

"mtu anaye shona michoro ya vitambaa"

Exodus 27

Exodus 27:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

urefu wake dhiraa tano na upana wake dhiraa tano

"mita 2.2 kila upande"

madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu

"madhabahu itakuwa mraba na mita 1.3 kwenda juu"

dhiraa

dhiraa ni sentimita 46

Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe

"Nawe fanya muonekano wake kama pembe za ng'ombe katika miisho yake"

pembe zitakuwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji

utayafunika

" lazima ifunike madhabahu na pembe"

Exodus 27:3

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

mabakuli

"mabeseni"

meko

Kulikuwa na meko iliyo shika makaa kutoka madhabahuni.

Vyombo

Haya yalikuwa vifaa au vitu vilivyo tumika kwa kusudi.

Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba

"Nawe ufanye wavu wa shaba kwa ajili ya madhabahu"

Exodus 27:5

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu

Wavu uliwekwa ndani ya madhabahu.

Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu

Hii miti ilitumika kubeba madhabahu.

Exodus 27:7

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua

Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.

ulivyooneshwa mlimani

Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.

Exodus 27:9

kutakuwa na chandarua ya nguo

Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.

chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa

chandarua ilikuwa pazia kubwa lilio tengenezwa na kitambaa

kitani nzuri yenye kusokotwa

Hichi kilikuwa kitambaa kutokana na nyuzi mtu alizo zokota pamoja kufanya uzi mgumu.

dhiraa mia moja

"mita 44"

nguzo

kipande kigumu cha mbao kilicho nyooshwa na kutumika kushikilia

Exodus 27:11

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

hiyo chandarua utakuwa

Hii yaweza andikwa kama amri.

nguzo zake kumi

Hii yaweza andikwa kama amri.

Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini

Hii yaweza andikwa kama amri.

Exodus 27:14

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

Chandarua

Hii ilikuwa pazia lililo tengenezwa kwa kitambaa.

nguzo

Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa juu.

vitako

Hizi zilikuwa matofali ya chuma yenye nafasi ya kushikilia nguzo

dhiraa kumi na tano

kiasi cha mita saba

Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini

Hii yaweza andikwa kama amri.

kitakuwa cha nguo ... kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa

Maana inayo wezekana ni 1) "kitambaa kilicho tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau, na nyekundu"

mshonaji

mtu anaye shona mishono kwenye nguo

Exodus 27:17

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

dhiraa mia moja

"dhiraa 100"

yawe ya nguo ya kitani nzuri

Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliye sokota kufanya uzi mgumu.

Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 27:20

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

hema ya kukutania

Hili ni jina lingine la maskani.

itakuwa ni amri ya milele

"nianataka watu wafanye hii kama amri ya kudumu"

Exodus 28

Exodus 28:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

Umuite

Neno "Umuite" lina husu Musa.

Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamar

Haya ni majina ya wanaume.

Nawe utamfanyia

Hapa "Nawe" ya husu watu.

Exodus 28:4

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

kanzu ya kazi ya urembo

"kanzu iliyo shoneshewa urembo"

kilemba

kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.

mshipi

kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua

Exodus 28:6

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

kitani nzuri yenye kusokotwa

Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.

kazi ya mstadi

mtu anaye weza kufanya vitu vizuri kwa mkono

ya vitu vile vile

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

shohamu

Haya ni mawe yenye miisho meupe na meusi, nyekundu au kahawia.

Exodus 28:10

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo

"Jinsi mtu anavyo chora kwenye muhuri"

mtu mwenye kuchora

mtu anaye kata michoro kwenye vitu vigumu kama mbao, jiwe, au chuma

vijalizo

vipande vya chuma vinavyo shikilia jiwe kwenye naivera

Exodus 28:13

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

vijalizo

vipande vya chuma vinavyo shikilia jiwe kwenye naivera

mikufu miwili ya dhahabu safi; utaifanya iwe mfano wa kamba

"mikufu miwili ya dhahabu yenye kusokotwa kama kamba"

Exodus 28:15

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

kazi ya fundi stadi; utakifanya kwa kuiandama ile kazi ya hiyo naivera

"fundi stadi atafanya kama ile naivera"

shibiri

Shibiri ni sentimita 22.

Exodus 28:17

vito

"madini ya dhamani" au "madini ya hazina"

akiki ... yaspi

Haya ni madini ya thamani.

yakuti

Hili ni jiwe la dini lenye rangi ya buluu

shohamu

Hili ni jiwe la thamani lenye miisho meupe na meusi, nyukundu au kahawia.

Vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 28:21

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

Na vile vito vitakuwa sawasawa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa, ya dhahabu safi

"mikufu iliyo fanywa kwa dhahabu safi na imesokotwa kama kamba"

Exodus 28:25

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

mikufu miwili ya kusokotwa

"mikufu iliyo sokotwa kama kamba"

vile vijalizo viwili

Hizi ni vijalizo viwili vinavyo funga mawe.

Exodus 28:27

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi

Huu ulikuwa mkanda wa kitambaa uliyo tengenezwa kwa nyuzi nyembamba mtu alizo zokota kufanya uzi mgumu.

ili kwamba kikae

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

ili kwamba kifuko cha kifuani kisiachane na naivera

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 28:29

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

atayachukua majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko cha kifuani

Hii ya husu majina ya makabila yaliyo chorwa katika mawe kumi na mbili.

cha kifuani

"katika moyo wa Aruni" au "kifuani mwake"

hizo Urimu na Thumimu ... atachukua hukumu ya

Huu mstari wapili unaeleza hizo Urimu na Thumimu na kusudi lake.

hizo Urimu na Thumimu

Haiko wazi hizi ni nini. Vilikuwa vitu, labda mawe, ambayo makuhani walitumia kufahamu mapenzi ya Mungu.

Exodus 28:31

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

Exodus 28:33

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

komamanga

Komamanga ni tunda la mviringo lenye ganda jekundu.

Kengele ya dhahabu na komamanga

Huu mstari umerudiwa kuonyesha ramani ya mchoro kwenye kanzu.

na sauti ya hizo kengele itasikilikana

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

ili kwamba asife

Ina hashiriwa kwamba ata kufa kwasababu hakumtii Yahweh.

Exodus 28:36

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.

kuchora juu yake, mfano wa machoro ya muhuri

"andika juu yake jinsi mtu anavyo chora kwenye muhuri"

kilemba

kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.

Nalo litakuwa katika kipaji cha uso cha Aruni

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

alo litakuwa katika kipaji chake cha uso sikuzote

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 28:39

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

kilemba

kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.

mshipi

Mshipi ni kipande cha kitambaa ambacho mtu anavaa kwenye kiuno chake au kwenye kifua.

kazi ya mwenye kutia taraza

Mtia taraza ni mtu anaye shona michoro kwenye kitambaa.

Exodus 28:40

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

mshipi

kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua

kofia

Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho.

Nawe mvike huyo nduguye Aruni

Aruni alikuwa kaka mkubwa wa Musa.

Exodus 28:42

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

suruali za nguo ya kitani

Hizi zilikuwa nguo za ndani, nguo zinazo valia njee ya nguo za njee, karibu na ngozi.

hema ya kukutania

Hili ni jina lingine la maskani.

amri ya milele

"sheria hisiyo kwisha"

Exodus 29

Exodus 29:1

Sasa

Neno "sasa" linaeka alama katika somo kutoka mavazi ya makuhani kwenda kutengwa kwa makuhani.

wapaswa kufanya

Hapa "wapaswa" ya husu Musa.

kuwatenga

"kumtenga Aruni na wana wake"

wanitumikie

Hii ya husu Yahweh.

mtoto wa ng'ombe dume

ng'ombe dume

Pia chukuwa maandazi bila hamira yalio pakwa mafuta

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mkate ... keki ... maandazi

Hivi ni aina tofauti vya vyakula vya ngano.

Exodus 29:3

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa

Lazima uweke

"Lazima uweke mkate, keki, na maandazi"

na kuleta pamoja na ng'ombe dume na wana kondoo wawili

Hpa "kuleta" ina maana ya kutoa dhabihu. Maana kamili ya hii yaweza tafsiriwa kwa wazi.

hema la kukutania

Hili ni jina lingine la maskani.

Exodus 29:5

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

kanzu

Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.

mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi

Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.

kilemba

kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.

taji takatifu

Hili taji limeelezewa katika 29:5 kuwa limechorwa kwa maneno "tolewa kwa ajili ya Yahweh"

Exodus 29:8

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

walete hao wanawe

"walete wana wa Aruni"

kanzu

Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.

mshipi

kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua.

kofia

Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho.

kwa kazi takatifu

"wajibu wa kuwa makuhani"

watakuwa na huo

Wajibu wa kuwa makuhani pia utakuwa na zao la wana wa Aruni.

amri ya milele

"sheria isiyo na mwisho"

Exodus 29:10

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

hema ya kukutania

Hili ni jina lingine la maskani.

Kisha utamchinja huyo ng’ombe

Sadaka ya ng'ombe ilikuwa ichinjwe na Musa, na sio makuhani, njiani mwa mlango, sio ndani ya hema la kukutania.

Exodus 29:12

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kungea na Musa.

pembe

Hii ilikuwa mifano ya pembe za ng'ombe zilizokuwa zimewekwa kwenye miisho minne ya madhabahu.

damu yote

"damu iliyo baki"

yafunikayo matumbo

"yanayofunika viungo vya ndani"

ini ... figo

Hivi ni viungo mwilini.

Lakini nyama yake huyo ng’ombe, na ngozi yake, na mavi yake

"Lakini kwa viungo vilivyo baki vya ng'ombe"

Exodus 29:15

Pia mtwae kondoo

Kwa hizi dhabihu za kutengwa za makuhani, alikuwa Musa, sio Aruni wala wana wake, aliye hua wanyama.

katika madhabahu

Tofauti na sadaka ya ng'ombe iliyo chomwa nje ya hema, kondoo allichomwa katika madhabahu ya ndani.

matumbo yake

"viungo vya ndani"

Exodus 29:19

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Kisha utamchinja kondoo

Kondoo aliuliwa kwa kukata koromeo lake.

Exodus 29:21

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Exodus 29:22

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

matumbo ... ini ... figo

Hivi ni viungo vya ndani.

Utwae na mkate mmoja ... mbele ya Yahweh

Kwa ajili ya 29:23 ona jinsi ulivyo tafsiri maneno kama hayo 29:1

Exodus 29:24

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kuongea na Musa.

Nawe utavitia hivi

Hapa "hivi" lina husu sehemu za dhabihu vilivyo tajwa katika mistari ya awali.

ni sadaka iliyotengenezwa kwangu kwa njia ya moto

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 29:26

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

kondoo wa kuwekwa

"kondoo uliye mtoa" au "kondoo uliye muua"

kondoo wa kuwekwa kwake Haruni

"kondoo uliye kuwa ukimwekea Aruni"

Exodus 29:29

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Na hayo mavazi matakatifu ya Aruni yatakuwa ya wanawe baada yake

Haya mavazi yalikuwa ni ya kikuhani ni sio ya Aruni peke yake.

wayavae watakapotiwa mafuta, na watakapowekwa kwa kazi takatifu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

hema ya kukutania

Hili ni jina llingine la maskani.

Exodus 29:31

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

kondoo mume aliyekuwa wa kuwekwa kwa kazi takatifu

"kondoo uliye muua kwa kazi takatifu"

katika mahali patakatifu

Hii sio mahali patakatifu njee na mahali patakatifu

hema ya kukutania

Hili ni jina lingine la maskani.

havitaliwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

maana, ni vitu vitakatifu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 29:35

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Ni hivyo utakavyowatendea Aruni na wanawe kama nilivyo kuagiza

"Nimekuamuru kumtendea Aruni na wana wake hivi"

Exodus 29:38

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Lazima utoe kwenye madhabahu wana-kondoo wa mwaka mmoja wawili siku baada ya siku

"Kila siku utoe sadaka katika madhabahu"

Exodus 29:40

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

vibaba vitatu ... kibaba na robo

"1/10 ... 1/4"

kibaba

kibaba ni lita 22.

Exodus 29:41

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

ni dhabihu ya kusongezwa kwangu kwa njia ya moto

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

katika vizazi vyenu vyote

"katika vizazi vyote vya uzao wenu"

hema ya kukutania

Hili ni jina lingine la maskani.

Exodus 29:43

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

na hiyo hema itafanywa takatifu na utukufu wangu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 29:45

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Exodus 30

Exodus 30:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi ya kujenga vifaa vya kuabuduia.

Nawe fanya

Hapa "nawe" ya husu Musa na watu wa Israeli.

pembe zake zitakuwa

Hizi zilikuwa mifano ya pembe za ng'ombe zilizo wekwa kwenye miisho ya madhabahu.

Exodus 30:3

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wake wafanye.

utazifanya

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 30:5

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

sanduku la ushuhuda

Sanduku ni chombo chenye zile amri.

nitakapokutana nawe

Hapa "nawe" ya husu Musa.

Exodus 30:7

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

katika vizazi vyenu vyote

"katika vizazi vya uzao wenu wote"

Exodus 30:10

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

pembe

Hizi zilikuwa mifano iliyo onekana kama pembe za ng'ombe zilizo katika miisho minne ya madhabahu.

katika vizazi vyenu vyote

"katika vizazi vyote vya uzao wenu"

Exodus 30:11

Utakapowahesabu wana wa Israeli

Viongozi waliwahesabu wanaume tu.

Kila mtu apitaye kwa wale waliohesabiwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. Walihesabu wanaume tu.

nusu shekeli

"1/2 shekeli"

gera ishirini

"20 gera"

miaka ishirini, au zaidi

Namba kubwa zinaongelewa kwa kuwa juu au juu ya namba ndogo.

Exodus 30:15

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

Watu

Wanaume tu walifanya hii sadaka.

Ili kwamba ziwe ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli mbele yangu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zenu

Maana zinazo wezekana ni 1) "itawakumbusha Waisraeli kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zao" au 2) "itawakumbusha Waisraeli wamefanya upatanisho kwa ajili ya roho zao"

Exodus 30:17

birika

"bakuli"

tako lake la shaba

Hili ndilo litakalo wekewa bakuli.

ili kuogea

Hili neno la elezea nini makuhani walitumia bakuli kubwa kwa ajili gani.

madhabahu

madhababu ya sadaka

Exodus 30:19

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyao vyote

"kwa Aruni na vizazi vyote vya uzao wake"

Exodus 30:22

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

manukato

mimea iliyo kauka watu wanayo kausha kuwa unga na kuweka kwenye mafuta au chakula kutoa harufu nzuri au ladha.

shekeli mia tano ... shekeli 250

"shekeli 500 ... shekeli 250" Shekeli ni kama gramu 11.

mdalasini ... kane ... kida

Haya ni manukato mazuri.

kwa kuiandama shekeli ya mahali patakatifu

Dhahiri kulikuwa na shekeli zenye uzito zaidi ya moja kipindi hicho.

kazi ya ustadi ya mtengezaji manukato

Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alikuwa na mtengeneza manakuto afanye hii kazi au 2) Musa alikuwa afanye hii kazi kama mtengeneza manukatao anavyo fanya.

mtengezaji manukato

mtu mwenye utaalamu wa kuchanganya manukato na mafuta

Exodus 30:26

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Nawe utaipaka

Hapa "nawe" ya husu Musa.

sanduku la ushuhuda

Sanduku ni chombo chenye amri.

madhabahu ya kufukizia uvumba

"madhabahu ambayo sadaka ziliteketezwa"

Exodus 30:29

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

utavitakasa

Hii ya husu vitu vilivyo orodheshwa 30:26

katika vizazi vyenu vyote

"vizazi vyote vya uzao wenu"

Exodus 30:32

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

Hayatamiminwa katika kiwiliwili cha binadamu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

mfano wa haya

"kwa viungo hivyo" au "kwa vitu hivyo"

mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake

Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue"

Exodus 30:34

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini cha kufanya. Yahweh anampa amri Musa tu.

natafi, na shekelethi, na kelbena

Haya ni manukato.

Nawe utafanya uvumba wa vitu hivyo, manukato ya kazi ya ustadi wa mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea

Neno "yamekolea" la weza tafsiriwa katika tensi tendaji.

mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea

Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alipaswa kumpa mtengeneza manukato kufanya kazi au 2) Musa alipaswa kufanya kazi peke yake.

utayaponda

"utasaga"

Exodus 30:37

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

hamtajifanyia

Hii ya husu watu wa Israeli.

sawasawa

"kwa viungo kama hivyo"

utakuwa kwenu mtakatifu

"Utahesabu kuwa takatifu"

atakatiliwa mbali na watu wake

Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue"

Exodus 31

Exodus 31:1

nimemwita kwa jina

Mungu anzungumza kuchagua watu maalumu kwa kuwaita majina yao.

Bezaleli ... Uri ... Huri

Haya ni majina ya wanaume.

Exodus 31:3

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa.

nimemjaza Bezaleli na roho ya Mungu

Yahweh anazungumza kumpa Bezaleli Roho yake kana kwamba Bezaleli ni birika na Roho ya Mungu ni maji.

Exodus 31:6

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuzungmza na Musa.

Oholiabu ... Ahisamaki

Haya ni majina ya wanaume.

Nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima

Mungu anazungumza kufanya watu kuweza kutengeneza vitu kana kwamba uwezo alikuwa anaweka kwenye mioyo yao.

hema la kukutania

Hili ni jina lingine la maskani.

sanduku la ushuhuda

Sanduku ni chombo kinacho hifadhi amri.

madhabahu ya kufukizia uvumba

"madhabahu ya kuteketeza uvumba"

madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa

"madhabahu ambayo sadaka ili teketezwa"

Exodus 31:10

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa.

mavazi yenye kufumwa kwa uzuri

Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.

Exodus 31:12

Hakika mtazishika Sabato zangu

Mungu anazungumza kutii maelekezo yake kuhusu Sabato kama kushika Sabato.

kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote

"kwa vizazi vyote vya uzao wenu"

niwatakasaye ninyi

Mungu anaongelea kuchagua kuwa wake kwa kuwatenga kwake.

ni takatifu kwenu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kila mtu atakayeitia unajisi

Mungu anazungmzia kutoheshimu Sababto kama kuinajisi.

hakika yake atauawa

"lazima hakika auawe" Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

itakatiliwa mbali na watu wake

Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue"

lakini siku ya saba

"lakini siku ya 7"

Exodus 31:16

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini awaambie watu wa Israeli.

wataishika Sabato

Mungu anaongelea kutii maelekezo yake kuhusu Sabato kama kushika Sabato.

Kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote

"Wao na vizazi vyote vya watu wao wa itunze"

agano la milele

"sheria isiona mwisho"

Exodus 31:18

zilizoandikwa kwa mkono wake

Hii yaweza tafsiriwa kwa tensi tendaji.

Exodus 32

Exodus 32:1

watu walipoona

Hapa kuelewa kitu kuna zungumziwa kama kinaonekana.

Njoo, katufanyizie sanamu

Neno "njoo" lina imarisha nguvu ya agizo linalo fuata. Watu walikuwa wanataka Aruni awafanyie sanamu kwa ajili yao.

itakayokwenda mbele yetu

"tuongoza sisi" au "kuwa kiongozi wetu"

mkaniletee

Neno "wao" la husu pete za dhahabu.

Exodus 32:3

Watu wote

Hii ya husu watu wote waliyo mkataa Musa kama kiongozi wao na Mungu wa Musa kama Mungu wao.

akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha

Aruni aliyayusha dhahabu na kumimina kwenye patasi iliyo kuwa na umbo la ndama. Dhahabu ilipo kuwa ngumu, aliondoa patasi, na dhahabu iliyo ngumu ikawa na umbo la ndama.

Exodus 32:5

Haruni alipoona jambo hili

"Aruni alipoona kile watu walicho fanya"

wakaondoka wacheze

"kuwa na sherehe ya kukithiri." Watu yawezakana walifanya matendo ya kimapenzi ya kuchukiza.

Exodus 32:7

Wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru

Hapa Mungu anaongelea watu kutotii alicho waamuru kana kwamba aliwaambia waenende kwenye njia maalumu na wakaiacha.

wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha

"Wamefanya sanamu ya dhahabu iliyo kama ndama"

Exodus 32:9

Mimi nimewaona watu hawa

Hapa Yahweh analinganisha kuwajua watu na kuwaona.

watu wenye shingo ngumu

Yahweh anaongelea watu kuwa wajehuri kana kwamba wana shingo ngumu.

Basi sasa

Neno "sasa" linatumika hapa kuweka pumziko kwa kile Yahweh alikuwa anamwambia Musa. Hapa Yahweh anasema nini ata wafanyia watu.

hasira zangu ziwake juu yao

Yahweh anazungumzia hasira yake kana kwamba ni moto unao weza waka sana.

wewe uwe

Neno "wewe" la husu Musa.

kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako

Musa alitumia ili swali kujaribu kumshawishi Yahweh asiwe na hasira sana na watu wake.

uweza mkuu ... mkono wenye nguvu

Hii mistari miwili ina maana moja na iwe ambatanishwa kwa mkazo.

Exodus 32:12

Maelezo ya Jumla

Musa anaendelea kujadiliana na Mungu asiharibu Israeli.

Kwa nini Wamisri kusema, 'Amewatoa ... kuwaondoa watoke juu ya uso wa nchi?'

Musa ametumia ili swali kumshawishi Mungu asiharibu watu wake.

uso wa nchi

"kutoka kwneye uso wa dunia" au "kutoka kwenye dunia"

Geuka katika hasira yako kali

"acha hasira yako kali" au "acha kuwa na hasira sana"

hasira yako kali

Musa anazungumzia hasira ya Mungu kana kwamba ni moto uliyo kuwa wa waka.

Mkumbuke Ibrahimu

"Fikiria kuhusu Ibrahimu"

kuwaambia

"alifanya nadhiri"

watairithi milele

Mungu anazungumzia kuhusu wao miliki nchi kana kwamba watairithi.

Exodus 32:15

mbao mbili za mawe

Hizi ni mbao mbili za mawe ambazo Mungu aliandika amri zake.

Na zile mbao zilikuwa kazi ya Mungu nayo maandiko yalikuwa maandiko ya Mungu

Hii mistari miwili ina maana moja. Wa pili waeleza jinsi hizi mbao zilikuwa "kazi pekee ya Mungu"

Exodus 32:17

akamwambia Musa

Ina kadiriwa kuwa Yoshua alikutana na Musa wakati Musa akirudi kambini.

Exodus 32:19

zile mbao

"zile mbao mbili Yahweh alizo ziandikia"

Exodus 32:21

Musa akamwambia Aruni, "Watu hawa ... dhambi hii kuu juu yao?

Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.

ukaleta dhambi hii kuu juu yao?

Musa aliongea kusababisha watu kufanya dhambi kana kwamba dhambi ni kitu na Aruni aliwawekea.

Hasira yako isiwake

Aruni aliongelea hasira ya Musa kana kwamba ni moto unao weza kuchoma. "Usiwe na hasira sana"

wamejielekeza kwa mabaya

Kupania kufanya uovu kunaongelewa kama kuwekwa kwenye uovu.

huyo Musa

Watu walionyesha kutoheshimu kwa kuweka "huyo" kabla ya jina lake, kana kwamba Musa laikuwa mtu wasio mjua na hawawezi muamini.

Nikawaambia, 'Mtu ye yote aliye na dhahabu na aivue

Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.

nikaitupa ndani ya moto, akatoka ndama huyu

Badala ya kuchukuwa umiliki wa kutengeneza ndama, Aruni anadai ndama alitoka kwenye moto kimuujiza.

Exodus 32:25

wameasi

"walikuwa wanatenda kinyama" au "hawakuwa wanajizuia"

Ndipo Musa akasimama katika mlango ... "Mtu awaye yote aliye upande wa Yahweh na aje kwangu."

Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.

Mtu awaye yote aliye upande wa Yahweh

Musa anazungumza kwa mwaminifu kwa Yahweh kama kuwa upande wa Yahweh.

akapite huko na huko toka mlango hata mlango

"nenda ndani na nje kutoka mlango mmoja wa kambi kwenda mwingine"

Exodus 32:28

watu elfu tatu

"watu 3000"

kila mtu juu ya mwanawe na juu ya ndugu yake

Ukweli kwamba wamefanya hivi kwa kutomtii Mungu yaweza andikwa kwa wazi.

Exodus 32:30

Mmetenda dhambi kuu

Waliabudu sanamu.

Labda nitafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu

Musa aliongea kumshawishi Mungu kuwasamehe watu kana kwamba aliweza fanya upatanisho kwa ajili ya dhambi.

unifute, nakusihi, katika kitabu

Hapa Musa anaongelea jina lake.

kitabu chako ulichoandika

Mungu alicho andika katika kitabu cha weza andikwa wazi.

Exodus 32:33

Mtu ye yote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta katika kitabu changu

Maneno "mtu ye yote" ya wakilisha "hilo jina la mtu"

kitabu changu

Hii ya husu kitabu cha Yahweh Musa alicho zungumzia katika 32:30

Yahweh akawapiga hao watu

Hili pigo la weza kuwa ugonjwa mkali.

alivyoifanya ile ndama, ambayo Aruni aliifanya

Japo kuwa Aruni alifanya ndama, watu walikuwa na hatia kwasababu walimwambia Aruni afanye.

Exodus 33

Exodus 33:1

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa hasira yake.

hiyo nchi, inayo tiririka kwa maziwa na asali

Nchi ilikuwa nzuri kwa kufuga mifugo na kuotesha mazao.

inayo tiririka

"imejawa na" au "yenye utele wa"

maziwa

Sababu maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii inawakilisha chakula cha mifugo.

asali

Sababu asali inatokana na mahua, hii inawakilisha chakula cha mazao.

watu wajehuri

"watu wanao goma kubadilika"

Exodus 33:4

mikufu

nguo nzuri pamoja na mikufu na pete yenye madini ndani yake

watu wajehuri

"watu wanao goma kubadilika"

Exodus 33:7

nguzo ya wingu

Wingu lilikuwa na umbo la nguzo.

ilishuka chini

Lilipo shuka kutoka yaweza andikwa wazi.

Exodus 33:10

Yahweh alizungumza na Musa uso kwa uso

Kuzungumza moja kwa moja pasipo ndoto na maono, inaongelewa kana kwamba Musa na Mungu walionana uso walipo ongea.

kijana

mkubwa wakutosha kuwa mwanajeshi (17:8), lakini mdogo kwa Musa

Exodus 33:12

Ona

"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa nitakalo kwambia."

Nina kujua kwa jina

Kumjua mtu kwa jina ni kumjua vizuri.

umepata upendeleo kwangu

Hii ni moja ya ambacho Mungu alimwambia Musa.

Kama nimepata upendeleo machoni pako

Hii ni moja ya Musa aliyo mwambia Mungu.

nionyeshe njia zako

Maana inayo wezekana ni 1) "nionyeshe unacho kwenda kufanya mbeleni" au 2) "nionyeshe jinsi watu wanawezaje kufanya yanayo kupendeza"

Exodus 33:14

Uwepo wangu utaenda

"Uwepo wa Mungu una muwakilisha yeye"

utaenda nawe ... nitakupa

Neno "nawe" lina husu Musa.

nitakupa pumziko

"Nitaacha upumzike"

Au je

"Kama uwepo husipo enda nasi"

itajulikanaje

Hii yaweza elezwa kwa tensi tendaji.

itajulikanaje

Musa alitumia hili swali kusisitiza kwamba kama Mungu hasipo enda nao, hakuna mtu atakaye jua kuwa Musa kapata upendeleo machoni pa Mungu.

Haitakuwa kuwa tu kama

"Haitajulikana tu kuwa kama"

Exodus 33:17

Maelezo ya Jumla

Yahweh anapo tumia neno "nawe" katika huu mstari, ni katika uchache na lina husu Musa.

umepata upendeleo machoni mwangu

Huu ni msemo wenye maana kwamba Mungu kapendezwa naye.

nina kujua kwa jina

Kumjua mtu kwa jina ni kumjua vyema.

Exodus 33:19

Nitafanya wema wangu wote ujulikani kwako

Mungu anaongelea kutembea mbele ya Musa ili Musa aone wema kana ni wema wake tu utakao pita kwa Musa.

Exodus 33:21

Ona

"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa nitakacho kwambia"

utaona mgongo wangu

Hii ni kwasababu Yahweh atakuwa akiondoka kwa Musa.

ila uso wangu hautaonekana

Hii yaweza elezezwa katika tensi tendaji.

Exodus 34

Exodus 34:1

mbao

"mbao za mawe"

Exodus 34:3

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa

Usiruhusu mtu yeyote aonekana popote kwenye mlima

Kuonekana kufanya kitu ya wakilisha kufanya hicho kitu.

Hakuna kundi la mifugo wanao ruhusiwa ata kula mbele ya mlima

"Ata mifugo hawaruhusiwi kuja karibu na mlima kula"

Exodus 34:5

akasima mbele za Musa

"akasimama na Musa katika mlima"

akatamka jina "Yahweh"

Maana zinazo wezekana ni 1) "alitaja jina "Yahweh"' au 2) "alikiri Yahweh ni nani." Kwa maana ya pili, "jina" lina wakilisha Mungu ni nani.

Yahweh, Yahweh, Mungu ni wa rehema na wa neema

Mungu anaongea kuhusu yeye.

anadumu katika uwaminifu wa agano na uadilifu

"mara zote anaonyesha uwaminifu wa agano na uadilifu"

anadumu katika uwaminifu wa agano

"mara zote ni mwaminifu wa agano langu"

anadumu katika ... uadilifu

"mara zote uwa mwadilifu"

Lakini

Yahweh anazungmza kuhusu yeye.

hamsafishi mwenye hatia

Yahweh anazungmza kuhusu yeye.

hamsafishi mwenye hatia

"hakika hasafishi mwenye hatia" au "hakika hatasema kwamba mwenye hatia hana makosa" au "hata wa weka huru watu wenye hatia"

Ataleta adhabu ya dhambi za baba kwa watoto wao

Kutoa hadhabu kuna ongelewa kana kwamba hadhabu ni kitu mtu anaweza kuleta kwa watu.

watoto wao

Neno "watoto" la wakilisha uzao.

Exodus 34:8

Kama sasa nimepata upendeleo machoni pako

Kumpendeza mtu kuna zungumziwa kama kupata upendeleo machoni pao.

maasi yetu na dhambi zetu

Maneno "maasi" na "dhambi" kimzingi ina maana moja na yame unganishwa kwa msisitizo.

utuchukuwe kama urithi wako

Kitu ambacho mtu ana miliki milele kina zungumziwa kana kwamba ni kitu mtu alirithi.

Exodus 34:10

watu wako

Hapa "wako" ya husu Musa.

ni kitu cha hofu ninacho fanya kwako

Kitu cha hofu ni kitu kinacho sababisha watu kuogopa. Katika hoja hii, watu watamuogopa Mungu watakapo ona anacho fanya.

ninacho fanya kwako

Hapa "kwako" ya husu Musa na watu wa Israeli.

Exodus 34:12

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa. Hapa ana mwambia nini Musa na watu wafanye.

wata kuwa mtego kwako

Watu wanao jaribu wengine kufanya dhambi wana zungumziwa kama ni mtego.

ambaye jina lake ni Uwivu

Neno "jina" hapa la wakilisha tabia ya Mungu.

Yahweh, ambaye jina lake ni Uwivu

Neno "Uwivu" hapa lina maana ya kuwa Mungu anajali kutunza hesima yake. Kama watu wake wakiabudu miungu mingine, ana poteza heshima, kwasababu watu wasipo muheshimu, watu wengine pia hawata muheshimu.

Exodus 34:15

Sentensi Unganishi

Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi watu wake wana paswa kutenda kwa watu wa njee.

kwa kuwa wanajifanyia ukahaba kwa miungu yao

Mungu anaongelea watu wengine kuabudu miungu mingine kana kwamba ni makahaba wanaenda kwa wanaume wengine.

na wewe utakula baadhi ya dhabihu zake

Madhara ya kula chakula kilicho tolewa dhabihu kwa mungu mwingine yaweza andikwa wazi.

Exodus 34:18

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

siku saba

"siku 7"

mwezi wa Abibu

Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi.

Exodus 34:19

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

umnunue tena

Wazaliwa wa kwanza na wazaliwa wa kwanza wa punda walikuwa ni wa Yahweh, lakini Yahweh Yahweh hakutaka watolewe dhabihu kwake. Badala yake, Waisraeli walikuwa watoe dhabihu ya kondoo katika nafasi yake. Hii ili waruhusu Waisraeli kununua punda na wanao kutoka kwa Yahweh.

Hakuna ata mmoja atakye kuja kwangu mikono mitupu

Mungu anaongelea sadaka kana kwamba mtu alikuwa abebe mikononi mwake.

Exodus 34:21

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

Ata wakati wakilimo na wa mavuno

"Ata unapo andaa ardhi au kukusanya mazao"

Sherehe ya Makusanyo

Sherehe ilijulikana kama pia Sherehe ya Mahifadhi au Sherehe ya Mabanda. Wazao lilikuja kutoka kwa walimaji walipo ishi kwenye vibanda vya muda mfupi, au nyumba za nyasi, nje kwenye mashamba kulinda mazao yanapo komaa. Neno "Makusanyo" ina maana wanapo vuna mazao yao.

Exodus 34:23

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

Exodus 34:25

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

damu ya dhabihu yangu

Ukweli kwamba damu ni ya wanyama ina weza andikwa wazi.

hamira yeyote

Ukweli kwamba hamira ye yote yaweza kuwa kwenye mkate yaweza andikwa wazi.

Exodus 34:27

Musa alikuwa huko

"Musa alikuwa kwenye mlima"

siku arobaini

"siku 40"

siku arobaini na usiku

"kwa siku arobaini, mchana na usiku"

Aliandika

"Musa aliandika"

Exodus 34:29

ulikuwa wa'ngaa

"ulianza kuwaka"

wakaja kwake

"wakamfuata" au "wakamuendea." Hawa kwenda kwenye mlima juu.

Exodus 34:32

amri zote Yahweh alizo mpa

Kutoa amri kuna zungumziwa kana kwamba amri zilikuwa ni vitu vinavyo weza kutolewa.

Exodus 34:34

aliondoa

"Musa aliondoa"

alicho amriwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 35

Exodus 35:1

siku ya saba

"siku ile ya saba" au "Juma mosi"

Yeyote atakaye fanya kazi hiyo siku lazima auawe

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 35:4

Maelezo ya Jumla

Musa akawambia Waisraeli wafanye vitu Yahweh alivyo muamuru katika 25:3

Chukuwa sadaka kwa ajili ya Yahweh

"Chukuwa matoleo kwa ajili ya Yahweh"

wote wenye moyo mkunjufu

Hapa "moyo" ya husu mtu anaye leta sadaka.

Exodus 35:10

Maelezo ya Jumla

Musa anaendelea kuwaambia watu nini Mungu kawaamuru kufanya.

Kila mwanaume mwenye ustadi

"Kila mwanaume aliye na ustadi"

vifungo

Vifungo vinatoshea kwenye vishimo vyake kushikilia pazia pamoja.

sakafu

Hivi ni vitu vizito vinavyo kaa chini na kuwezesha visisogee.

kiti cha rehema

Hichi ni kiti kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya upatanisho yatolewa.

Exodus 35:13

Walileta

"Watu wa Israeli walileta"

mkate wa wonyesho

Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu.

kitunzi cha shaba

Hii ni fremu ya chuma za shaba za kushikilia mbao zinapo chomeka.

Exodus 35:17

vishikizo

Hizi zilikuwa pazia kubwa zilizo tengenezwa kwa kitambaa.

nguzo

Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa na kutumika kama vishikizo.

sakafu

Hizi zilikuwa tofali zenye shikizo ndani yake kushikilia mbao.

misumari ya hema

vipande vikali vya mbao au chuma vilivyo tumika kuhifadhi miisho ya hema kwenye ardhi.

Exodus 35:20

makabila yote ya Israeli

Hii ya husu watu katika makabila.

mtu moyo wake ulimchochea

Hapa "moyo" wa husu mtu. Moyo uliyo mjibu Mungu unazungumziwa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko.

aliye andaliwa na roho yake

Hapa "roho" ya husu mtu.

wote waliokuwa na moyo wa utayari

Hapa "moyo" wa husu mtu.

madini, hereni, pete, na vitu vya thamani

Hizi ni aina ya mikufu.

Exodus 35:23

Kila mmoja alikuwa na ... walivileta

Kwa 35:23 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:3

Exodus 35:25

buluu, dhambarau, au sufu nyekundu

Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu vilivyo tiwa buluu, zambarau, na sufu nyekund," 2) "buluu, zambarau na iliyo tiwa sufu nyekundu"

wenye mioyo iliyochochewa

Hapa "mioyo" ya husu wanawake. Mioyo ya wanawake iliyo mjibu Mungu inazungumziwa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko.

Exodus 35:27

Viongozi walileta

Kwa 35:27-29 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:1 na 25:3

ambao mioyo yao ilikuwa tayari

Hapa "moyo" wa husu Musa.

Exodus 35:30

Aliijaza Bezaleli kwa Roho yake

Roho wa Mungu aliye mpa Bezaleli uwezo wa kufanya kazi una ongelewa kama kama kitu kilicho mjaza Bezaleli.

ubunifu na ujenzi

Kwa 35:30-33 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno.

Exodus 35:34

Maelezo ya Jumla

Musa anaendelea kuongea na watu.

Aliiweka kufundisha ndani ya moyo wake

Hapa "moyo" wa husu Bezaleli. Uwezo wa kufundisha unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kuwekwa kwenye moyo.

Aliwajaza kwa ustadi

Ustadi wa kutengeneza vitu vizuri unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinacho weza kumjaza mtu.

Oholiabu mwana wa Ahisamaki, kutoka kabila la Dani

"Oholiabu" na "Ahimasaki" ni majina ya wanaume.

mwerevu

mtu anaye kata michora kwenye vitu vigumu kama mbao, mawe, au chuma

washonaji

mtu anaye tengeneza nguo kutumia uzi

wabunifu wa sanaa

mtu anaye tengeneza uzuri kwa vifaa

Exodus 36

Exodus 36:1

Maelezo ya Jumla

Musa anaendelea kuongea na watu.

Bezaleli

Hili ni jina la mwanaume.

Oholiabu

Hili ni jinala mwanaume

ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo

Hapa ustadi na uwezo unaongelewa kana kwamba ni kitu Yahweh anacho weza kuweka ndani ya mtu

kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru

"kama Yahweh alivyo amuru"

Exodus 36:2

Bezaleli

Hili ni jinala mwanaume

Oholiabu

Hili ni jinala mwanaume

ambaye moyoni mwake ulichochewa

Hapa "moyo" una husu mtu. Moyo uliyo mjibu Mungu unaongelewa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko.

Exodus 36:5

Wachonga mawe walimwabia Musa ... aliyo tuamuru

Hii yaweza andikwa kama nukuu ya moja kwa moja.

Wachonga mawe walimwabia Musa

"Wanaume walikuwa wanafanya kazi ndani ya hekalu walimwambia Musa"

Exodus 36:8

Hivyo wachonga mawe ... akaviunganisha pamoja

Kwa 38:8-10 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno kwenye 26:1

mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri

Haya mapazia ni vipande vya nguo vilivyo shonwa na pomaja ili viweze kuunda ukuta au hema

Bezaleli

Hili ni jinala mwanaume

Exodus 36:11

Kisha akafanya vitanzi ... ikawa maskani moja

Kwa 36:11-13 ona jinsi ulivyo tafsiri maneno haya 26:4

vitanzi vya uzi wa bluu

vitanzi vya vitambaa vya bluu

kitambaa

Haya yalikuwa vitambaa vikubwa vya kushona vilivyo tumika kutengeneza kifuniko na kuta za kugawanya patakatifu.

Akafanya

Hapa "akafnya" ya husu Bezaleli, lakini ina husisha wanaume wanao fanya kazi hekaluni.

kulabu hamsini za dhahabu

"kulabu 50 za dhahabu"

Exodus 36:14

Bezaleli akafanya vitambaa ...

Kwa 36:14-17 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:7 na 26:10

kumi na moja ndivyo alivyofanyiza

"alifanya 11"

mikono thelathini

"mikono 30"

vitanzi hamsini

"vitanzi 50"

Exodus 36:18

Bezaleli akafanya ... upande wa juu

Kwa 36:18-19 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:10 na 26:12

kulabu hamsini za shaba

"kulabu 50 za shaba"

Exodus 36:20

Bezaleli akafanya ... kwa ajili ya upande kuelekea kusini

Kwa 36:20-23ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:15

mikono kumi ... mkono mmoja na nusu

"mikono 10" ... 1.5"

ndimi mbili zilizounganishwa

Ndimi ni kipande kidogo cha mbao kinacho tokeza mwisho wa mbao ilikuwa salama

Exodus 36:24

Bezaleli akafanya ...

Kwa 36:24-26ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:19

vikalio arobaini vya fedha

"vikalio 40 vya fedha"

viunzi ishirini

"viunzi 20"

Exodus 36:27

Na kwa ajili ya zile pande za nyuma ... ya maskani

Kwa 36:27-28 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:22

kuelekea magharibi

upande uliyo magharibi

kwenye pande zake mbili za nyuma

kwenye pande za nyuma ya maskani

Exodus 36:29

Hizi zilikuwa ...

Kwa 36:29-30 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:22

vikalio vyake kumi na sita

"vikalio vyake 16"

Exodus 36:31

Bezaleli akafanya

Kwa 36:31-34 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:26 na 26:29

magharibi

katika upande wa magharibi

mwisho mmoja mpaka ule mwingine

upande mmoja wa maskani kwenda mwingine

Exodus 36:35

Bezaleli akafanya ... vikalio vinne vya fedha

Kwa 36:35-36 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:31

Exodus 36:37

Naye akafanya ... vilikuwa vya shaba

Kwa 36:37-38 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:36

Naye akafanya

Hapa "naye" ya husu Bezaleli na wanao mfanyia kazi. "Bezaleli na wanaume wake wakafanya"

kisitiri

pazia

Exodus 37

Exodus 37:1

Bezalel

Hili lilikuwa jina la mwanaume.

Mikono miwili na nusu urefu

"mikono 2.5 ... mikono 1.5"

miguu yake minne

Hivi vipande viwili vya mbao vilivyo saidia sanduku vinazungumziwa kama ni mwanadamu au miguu ya mnyama.

Exodus 37:4

Maelezo ya Jumla

Kazi ya Bezaleli na kundi lake la endelea kujenga maskani na vivyombo vyake.

Kisha akafanya ... Mikono miwili na nusu

Kwa 37:4-6ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:12 na 25:15

Kisha akafanya

Japo "akafanya" ya husu Bezaleli, "akafanya" yaweza husisha wafanya kazi wote waliyo msaidia.

Mikono miwili na nusu ... mkono mmoja na nusu

"mikono 2.5" ... mikono 1.5"

Exodus 37:7

Maelezo ya Jumla

Kazi ya Bezaleli na kundi lake la endelea kujenga maskani na vivyombo vyake.

Bezaleli akafanya ...

Kwa 37:7-9 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:15 na 25:19

Nao wakawa makerubi wanaonyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, wakisitiri

Bezaleli aliweka sanamu za makerubi kana kwamba walikuwa ni wa kweli waliyo nyoosha mabawa yao na na kusitiri kiti cha rehema.

Nyuso za makerubi hao zilielekea

Bezaleli aliweka sanamu za makerubi kana kwamba walikuwa ni wa kweli waliyo nyoosha mabawa yao na na kusitiri kiti cha rehema.

Exodus 37:10

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Bezaleli akafanya ... ile miguu minne

Kwa 37:10-13 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:23 na 25:25

Mikono miwili ... mkono mmoja ... mkono mmoja na nusu

"mikono 2" ... mkono 1 ... 1.5"

upana wa kiganja

Huu ulikuwa upana wa mkono wa mwanaume na vidole vimetanuliwa

ile miguu minne

Hivi vipande vinne vya mbao vilivyo saidia sanduku vinazungumziwa kana kwamba ni mwanadamu au miguu ya mnyama.

Exodus 37:14

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Pete hizo ... kutokana na dhahabu safi

Kwa 37:14-16 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:25 na 25:28

Pete hizo zilikuwa karibu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo

Ni mabakuli pekee na mitungi inayo tumika kumimina matoleo.

Exodus 37:17

Sentensi Unganishi

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Kisha akafanya ... yakitoka katika kile kinara cha taa

Kwa 37:17-19 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:31 na 25:33

na vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

maua ya mlozi

Maua ya mlozi ni meupe yenye mashina matano yanayo ota kwenye huo mti.

Exodus 37:20

Na kwenye kile kinara cha taa ... cha dhahabu safi.

Kwa 37:20-22 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:33 na 25:35

kulikuwa na vikombe vinne vyenye umbo la maua ya mlozi

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 37:23

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Kisha akafanya ... talanta ya dhahabu safi

Kwa 37:23-24 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:37

vyetezo

Hichi ni kifaa kilicho tengenezwa kwa mifombo mbili au chuma iliyo unganishwa mwisho na kutumika kunyanyulia vitu.

talanta

"kilogramu 34"

Exodus 37:25

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Sasa akafanya ... wa dhahabu

Kwa 37:25-26 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 30:1 na 30:3

Mkono

Mkono ni sentimita 46.

Pembe zake zilitoka kwake

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 37:27

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Naye akaifanyia pete mbili za dhahabu ...

Kwa 37:27-28 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 30:3 na 30:5

kazi ya mtengenezaji wa marhamu

Mmarhamu ana ujuzi katika kuchanganya viungo na mafuta.

Exodus 38

Exodus 38:1

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Naye akafanya ... Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba

Kwa 38:1-3 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:1 na 27:3

Mikono

Mkona mmoja ni sentimita 46

Pembe zake zilitoka kwake

Hii yaweza andikwa tensi tendaji.

Exodus 38:4

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Tena akaifanyia ... ile miti

Kwa 38:4-5 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:3 na 27:5

mtandao wa shaba

Hii yaweza tensi tendaji.

Exodus 38:6

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Exodus 38:8

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

beseni ya shaba na kinara chake cha shaba

Kinara kilisaidia beseni ya shaba.

Kwa kutumia vioo

Shaba ilitoka kwa vioo.

vioo

Kioo ni kipande cha chuma kilicho ng'arishwa au glasi inayo onyesha umbo.

Exodus 38:9

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

Naye akafanya ... na viungo vyake vilikuwa vya fedha

Kwa 38:9-10 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:9

mia moja ... ishirini

"100 ... 20"

Mikono

Mkono ni sentimita 46.

Exodus 38:11

Pia, kwa ajili ya upande wa kaskazini ... viungo vyake vilikuwa vya fedha

Kwa 38:11-12 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:11

mikono mia ... ishirini ... hamsini ... kumi

"100 ... 20 ... 50 ... 10"

Mikono

Mkono ni sentimita 46

Exodus 38:13

hamsini ... kumi na mitano ... tatu

"50 ... 15 ... 3"

Mikono

Mkono ni sentimita 46

Mapazia yote ya ua kuzunguka pande zote yalikuwa ya kitani

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 38:17

Kwa 38:17-20 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:14 na 27:17

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Vibanio vya vikalio na viungo vyake vilikuwa vya fedha

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kulikuwa na viungo vya shaba kwa ajili ya nguzo zote za ua

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

ishirini ... tano ... nne

"20 ... 5 ... 4"

Mikono

Mkono ni sentimita 46

utando wa vichwa vyake na viungo vyake ulikuwa wa fedha

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Na misumari yote ya hema kwa ajili ya maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 38:21

Sentensi Unganishi

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

vilivyohesabiwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Ithamari

Hili ni jina la mwanaume.

Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru

"Bezaleli" na "Uri" ni majina ya wanaume.

Yahweh alikuwa amemwamuru Musa

"kila kitu Yahweh alicho kuwa amemuamuru Musa kufanya"

Oholiabu mwana wa Ahisamaki

"Oholiabu" na "Ahisamaki" ni majina ya wanaume.

Exodus 38:24

Dhahabu yote iliyotumiwa kwa ajili ya kazi

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

alanta ishirini na tisa ... talanta mia moja

"talanta 29 ... talanta 100." Talanta ni kilogramu 34.

shekeli 730 ... shekeli 1,775

Shekeli ni gramu 11.

kulingana na shekeli ya mahali patakatifu

Ni wazi kulikuwa na shekeli zenye uzito zaidi ya moja kipindi hicho. Hii ili eleza ipi kutumika.

Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

nusu shekeli

"1/2 shekeli"

miaka ishirini

"miaka 20"

Exodus 38:27

Na talanta mia moja za fedha zilitumiwa kutengeneza

Talanta ni kilogramu 34.

mia moja ... sabini

"100 ... 70"

shekeli

Shekeli ni gramu 11

Bezaleli

Hili ni jina la mwanaume.

Exodus 38:30

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.

kiunzi

Hii ni fremu ya chuma ya kushikilia mbao inapo chomwa.

Exodus 39

Exodus 39:1

Maelezo ya Jumla

Bezaleli na kundi lake wanaanza kutengeneza mavazi ya kikuhani.

wakafanya

Neno "wakafanya" lina husu Bezaleli, Oholiabu, na wafanya kazi wingine.

kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa

"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"

Exodus 39:2

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

Bezaleli

Hili ni jina la mwanaume.

Exodus 39:4

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

ulikuwa wa kitambaa kilekile, kitani bora kilichosokotwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa

"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"

Exodus 39:6

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

muhuri

Hili lilikuwa jiwe lilochorwa ambalo lilitumika kutia alama ya mchoro kwenye kitambaa kibichi.

kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa

"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"

Exodus 39:8

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

Kisha akafanya

"Bezaleli akafanya" au "Bezaleli na wafanya kazi wakafanya"

shubiri

Shubiir ni sentimita 23.

Exodus 39:10

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

Kisha wakakijaza

"Wafanya kazi wakaweka kwenye mshipi"

zabarijadi ... yaspi

Baadhi ya lugha zinaweza zisiwe na maneno ya baadhi ya haya mawe. Kitu cha muhimu ni kwamba yalikuwa na dhamani na yalitofautiana.

Yaliwekwa katika mapambo ya dhahabu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 39:14

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

Na mawe hayo yalikuwa kulingana

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 39:17

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

kamba mbili

"kamba zilizo tengenezwa kwa dhahabu safi na kusokotwa kama waya"

Exodus 39:19

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

mshipi

Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.

Exodus 39:21

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

ili kipate kuwa juu ya

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

kifuko cha kifuani kisiondoke juu ya efodi

"kifuko cha kifuani kitabaki kwenye efodi"

Exodus 39:22

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

Bezaleli

Hili ni jina la mwanaume.

Exodus 39:25

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

kengele za dhahabu safi

Hizi zilikuwa kengele ndogo.

kengele na komamanga, kengele na komamanga

Hivi ndivyo mfumo una paswa kurudiwa chini ya pindo la joho.

Exodus 39:27

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

Kisha wakafanya ... amemwamuru Musa

Kwa 39:27-29 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 28:39 na 28:40 na 28:42

kilemba

Hichi ni kifuniko cha kichwa kinacho valiwa na wanaume kilicho tengenezwa na mistari mirefu ya kitambaa.

ukumbuu

Hichi ni kitambaa kirefu kinacho valiwa mabegani au kufungwa kiunoni.

Exodus 39:30

Maelezo ya Jumla

Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.

ishara takatifu

Hichi kilikuwa ni taji lilo wafanya kwa dhahabu safi.

Exodus 39:32

Maelezo ya Jumla

Waisraeli wana maliza kufanya vitu Yahweh alivyo waamuru katika 35:4 na 35:10

Basi kazi ya ile maskani ya hema la mkutano ikafikia mwisho wake. Kwa maana wana wa Israeli waliendelea kufanya kulingana na yote

"Maskani" na "hema la kukutani" ni kitu kimoja. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

viunzi

Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja.

Exodus 39:36

Maelezo ya Jumla

Bezaleli na kundi lake wanaendelea kuonyesha yote waliyo mtengenezea Musa.

mkate wa wonyesho

Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu.

kiunzi

Hii ni fremu ya chuma iliyo shikilia mbao wakati inapo waka.

Exodus 39:40

Maelezo ya Jumla

Bezaleli na kundi lake wanaendelea kuonyesha yote waliyo mtengenezea Musa.

Wakaleta

"Watu wa Israeli wakaleta"

maskani, kwa ajili ya hema ya kukutania

Hii ina maana ya kitu kimoja.

Exodus 39:42

Kulingana na yote

"Na kisha watu"

tazama

Neno "tazama" hapa linaleta umakini wa maelezo yanayo fuata.

kama vile Yahweh alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya.

Walifanya kama Yahweh alivyo waamuru"

Exodus 40

Exodus 40:1

Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka

Mwaka mpya una hashiria wakati ambao Mungu aliwaokoa watu wake kutoka Misri. Hii inatokea wakati wa Machi kwa kalenda za Magharibi.

Exodus 40:3

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye.

Utaweka sanduku la ushuhuda ndani yake

"weka sanduku la amri za agano katika kitunzi takatifu"

utaziba sanduku kwa pazia

"weka sanduku nyuma ya pazia"

Exodus 40:5

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye.

sanduku la ushuhuda

Hii ya husu "kitunzi takatifu"

Exodus 40:8

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye.

samani zake

"vitu vyote ambavyo ni sehemu yake"

Exodus 40:12

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Umlete

Musa atafanya hivi vitu mwenyewe.

yaliyo tengwa kwa ajili yangu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

Exodus 40:14

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa

vizazi vyote vya watu wao

"katika vizazi vyote vya uzao wao"

Exodus 40:17

Hivyo hema la kukutania liliandaliwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

siku ya kwanza ya mwezi

Mwaka mpya una hashiria wakati ambao Mungu aliwaokoa watu wake kutoka Misri. Hii inatokea wakati wa Machi kwa kalenda za Magharibi.

mwaka wa pili

Huu ni mwaka wa pili Yahweh alipo watoa watu wake Misri.

Musa alianda

Musa alikuwa kiongozi. Watu walisaidia kuandaa maskani.

nguzo

kipande kigumu cha mbao kilicho nyooshwa wima kusaidia

Exodus 40:21

Aliichukuwa

Musa alikuwa kiongozi. Alikuwa na wafanya kazi wakimsaidia

ili lizibe

"mbele ya"

Exodus 40:24

Alieka kinara cha taa kwenye hema la kukutania

Musa aliwaelekeza kusogeza kinara. Hii yaweza andikwa kwa wazi katika tafsiri.

Exodus 40:26

mbele ya pazia

Hili pazia lilitenganisha sehemu takatifu kutoka sehemu takatifu sana. Hii yaweza andikwa wazi katika tafsiri.

Exodus 40:31

waliosha mikono yao na miguu kwenye beseni

Waliosha na maji kutoka kwenye beseni.

Katika hili

"Na kisha"

Exodus 40:34

tukufu wa Yahweh ukafunika

"Uwepo mzuri wa Yahweh ukafunika"

Exodus 40:36

lilipo chukuliwa juu kutoka

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

lilipo nyanyuliwa juu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.