Kiswahili: translationNotes Print

Updated ? hours ago # views See on WACS

2 Chronicles 1

2 Chronicles 1:1

Aliimarishawa katka utawala wake

"Selemani alitumia nguvu kubwa juu ya Israeli"

Yahwe

Hili ni jina la Mungu alilojifunulia kwa watu wake katika Agano la Kale. Angalia ukurasa wa tafisiri ya Neno Yahwe kuhusu namna ya kutafsri neno hili

Mungu alikuwa pamoja naye

"Mungu alimshika mkono" au "Mungu alimsaidia

2 Chronicles 1:2

Kiriathi Jearimu

Mji mdogo ulioko kama maili moja magharibi mwa Yerusalemu.

Aliandaa hema

"Simamisha hema"

Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri.

Haya ni majina ya kiume.

2 Chronicles 1:6

Huko kwenye madhabahu ya shaba.

Selemani akaenda Gibeoni ambako kulikuwa na madhabahu kwenye hema ya kukutania.

2 Chronicles 1:8

Itimie

"Kamilishwa" au "kuwekwa katika ukamilifu".

Watu wengi kama mavumbi ya ardhi.

"Watu wasisohesabika".

Ni nani anaweza kuwaamua watu wako, ambaoa ni wengi kwa Idadi?.

"Hakuna awezaye kuwaamua watu wako wote ambao hawahesabiki"

2 Chronicles 1:12

Kutoka mbele ya hema ya kukutania.

"Mbele ya hema".

2 Chronicles 1:14

Katika miji ya magari.

Hii inataja miji ambayo iliyohifadhi magari yake.

akatengeneza fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe katika Yerusalemu.

Fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe.

na mbao za mierezi kuwa kama miti ya mikuyu iliyomo katika nyanda za chini

"mbao adimu na zenye thamani ziagizwazo mbali zikawa zikapatikana kw wingi sana."

2 Chronicles 2

2 Chronicles 2:1

Hiramu

Hiramu ni jina la kiume.

2 Chronicles 2:4

mkate wa uwepo

Hii inataja vipande 12 vya mkate ambavyo viliw ekwa mbele ya madhabahu.

mwezi mpya

Hiki kilikuwa ni kipindi cha sikuku zilizofanyika kwa kuzingatia hatua maalumu za mzunguko wa mwezi.

Mungu ni mkuu

Hii inamtaja Mungu kuwa muhimu zaidi, siyo kwamba ana umbo kubwa kuliko miungu mingine .

2 Chronicles 2:6

ni nani anayeweza kumjengea Mungu nyumba, kama dunia yote na hata mbigu yenyewe haviwezi kumtosha?

"hakuna anayeweza kumjengea Mungu nyumba kwa sababu hakuna kitu cha ambo anaweza kuenea. Mimi hakuna wa kunilinganisha naye! Ni mtu anayeweza kumtolea dhabihu pekee.

2 Chronicles 2:8

Miti ya msandali.

Hii ilikuwa aina ya mti uliopendwa kwa kutengenezea vyombo vya muziki au michoro.

Kori

Hiki ni kipimo cha ujazo cha zamani (kori moja ni sawa na lita 220 za ujazo)

Ngano ya ardhini

Haya ni maua ya ngano.

Bathi.

Hiki pia ni kipimo cha ujazo cha zamani (Bathi moja ni sawa na lita 22 za ujazo),

2 Chronicles 2:11

Mwenye karama aya busara na uelewa.

Aliyepewa karama ya utambuzi

2 Chronicles 2:13

Hiramu.

Hili ni jina la kiume.

2 Chronicles 3

2 Chronicles 3:1

Mlima Moria.

Hii ni sehemsu ampako alimtoa sadaka mwanaye, Isaka, kwa Mungu.

Arauna Myebusi.

(Tazama: tafsri ya majina)

Siku ya pili ya mwezi wa pili.

Huu ni mwezi wa pili wa kataika Kiebrania. Siku ya pili ni karibu na katikati ya Aprili katika kalenda za Magaharibi. (Tazama: tafisri ya miezi ya Kiebrania na tafsri ya tarehe).

Katika mwaka wa nne.

(Tazama: tafsri ya tarehe)

Sitini...ishirini

"60...20" (Tazama: tafsri ya namba)

Mikono

Mikono ni sawa na urefu wa sentimeta 46.(Tazma: tafsri ya umbali).

2 Chronicles 3:4

Ukumbi

varanda

Mikono.

(Tazama: tafsiri ya umbali)

Akalitengeneza.

"Alifanya"

Ukumbi mkubwa.

Hii ni rejea ya chumba kikubwa, siyo lango.

2 Chronicles 3:6

Vito vya thamani.

Vito ambavyo vilikuwa vizuri, vyenye thamani kubwa, na vitumika kwa ajili ya kupambia.

Parvaimu.

Istilahi ya jumla kwa ajili ya neno mashariki. (Tazama: tafsiri ya majina).

2 Chronicles 3:8

Mikono.

(Tazama:tafsri ya umbali).

Talanta.

(Tazama: tafsiri ya fedha)

Shekeli.

(Tazama: tafsiri ya fedha).

2 Chronicles 3:10

Sanamau mbili za makerubi

Baadhi hutafsiri kifungu kiki kwa kumaanisha kwamba sanamu za makerubi ilikuwa imetengenezwa kwa chuma.

2 Chronicles 3:13

Kitani safi.

"nguo yaenye ubora wa hali ya juu" au "nguo nzuri".

2 Chronicles 4

2 Chronicles 4:1

Mikono.

(Tanzama: tafsiri ya umbali)

Bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa.

Hili ni tanki kubwa sana la chuma

Kingo.

Hii ni ncha ya juu ya Kontena.

Mzunguko.

Huu ni umbali kuzunguka sehemu za nje za mduara.

Kumi kutoka ukingo hadi ukingo

"kumi kwa kila mkono".

2 Chronicles 4:4

Robo ya sehemu zao za nyuma.

Hii ni robo ya sehemu ya nyuma ya mnyama mwenye miguu minne. Tazama nene hilo hilo limetumika (pekee katika rejea nyingine katika Agano la Kale, tazama: 7:25).

Mkono.

.(Tazama: tafsiri ya umbali).

Ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi.

Ukingo ulikuwa na ncha laini"(Tazama: tini ta tashibiha)

Mabafu

(Tazama: tafsiri ya ujazo).

2 Chronicles 4:7

Birika.

Hili ni bakuli lenye kina kifupi lililotumia kwa ajaili ya kufulia.

2 Chronicles 4:11

Huramu.

Hili ni jina la kiume.

Mabakuli ya kunyunyizia.

Mabakuli yaliyotumika kunyunyizia madhabahu katika nyumba ya Mungu.

Taji mfano wa upinde.

Kama taji-Sehemu ya juu ya nguzo inaitwa taji:"mabakuli ya juu" au "bakuli la la sehemu za juu."

Nyavu za mapambo.

Hii inataja micjuu katika sehemu za juu za nguzo.horo ya mapambo au muundo wa

2 Chronicles 4:14

Mabirika.

"Mabakuli".

Bahari mpoja.

Hili ni kontena kubwa la kuogea lililopambwa.

Vyombo vingine.

Vifaa vingine au vitu vilivyotumika madhabahuni

Shaba iliyong'arishwa.

Shaba aambayo wafanyakazi waliing'arisha ili iweze kuakisi mwanga.

2 Chronicles 4:17

Sereda.

Hili jina la mji.

Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo hivi vyote.

Selemani hakutengeneza yeye mwenyewe vile vyombo, bali aliamuru vitengenezwe.

Uzito wa shaba haukuweza kujulikana.

"Uzito wa shaba ulikuwa mwingi sana."

2 Chronicles 4:19

Selemani akazitengeza.

Watumishi wa Selemani walitengeneza vitu chini ya amri yake.

Samani zote.

Mabakuli yote na vifaa vyote ambavyo vilitumika katika nyumba ya Mungu.

Mkate wa uwepo.

Angalia jinsi ulivvyotafsiri hili neno katika 2:4.

2 Chronicles 5

2 Chronicles 5:1

Hazina.

Hili ni eneo ambapo vitu hutunzwa au kuhifadhiwa.

2 Chronicles 5:2

Katika sikukuu, aambayo ilikuwa katika wa saba.

Hii ni sikukuu ya makazi ambayo iko katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba katika kalenda ya Kiebrania. Hiki ni kipindi cha Oktoba katika kalenda ya Magharibi.

2 Chronicles 5:4

Vyombo.

Angalia ulivyo tafsiri katika 4:19

Kondoo na maksaai ambao hawakuweza kuhesabika.

"Kondoo na maksai wengi."

2 Chronicles 5:7

Mahali pake.

"Kwenye sehemu yake iliyopangwa"

2 Chronicles 5:9

Hadi leo.

Hii inarejea wakati ampapo kitabu cha 2 Mambo ya Nyakati kiliandikwa.

2 Chronicles 5:11

Asafu, Hemani, Yeduthuni.

Watatu hao hao waliongoza ibada wakati Daudi alipolileta sanduku la agano Yerusalem. Baadaye Daudi aliwachagua kuwa wanamziki wa hekalu. (Tazama: tafsiri ya majina).

Wana na ndugu.

"ndugu zao" au "uzao wao".

Matoazi.

Sahani mbili nyembamba za chuma, ambazo hupigwa pamoja ili kufanya mlio mkubwa (Tazama: tafsiri ya maneno yasiyojulikana).

2 Chronicles 6

2 Chronicles 6:1

Makao makuu.

"Sehemu ya kuishsi ya heshima sana."

Kusanyiko lote la Israeli walaikuwa wamesimama.

"Watu wakiwa wamesimama."

2 Chronicles 6:4

Ili jina langu liwe humo.

"Ili kujifanya mwenyewe nijulikane huko".

Ametimiza kwa mkono wake mwenyewe.

Amewezesha kutokea au amehakikisha kwamba ahadi hizi zinatimia.

2 Chronicles 6:7

Ndani ya moyo wa Daudi.

"Nia ya Daudi."

Kwa ajili ya jina la Yahwe

Jina la Yahwe linawakilisha uwepo wake kamili.

2 Chronicles 6:10

Ambamo kuna agano la Yahwe.

"Ambamo kuna meza za za mawe zikionesha aganao alilofanya Yahwe nasi watu wa Israeli. "

2 Chronicles 6:12

Mbele ya kusanyiko lote la Israeli.

"Mbele ya watu wa Israeli ambao walikuwa wamekusanyika huko."

Mikono.

Kipimo cha zamani.

Akanyosha mikono yake kuzielekea mbingu.

Selemani alinyosha mikono yake na kuilekeza juu huku akipiga magoti juu ya jukwaa ili aombe.

2 Chronicles 6:14

Watumishi wako ambao hutembea mbele zako kwa moyo wako wote.

"Sisi ambao hujibidisha kikamilifu kufanya kile unachotutaka tufanye".

Ulisema kwa kinywa chako na umetimiza kwa mkono wako.

Hii ina maanisha ahadi ambayo Mungu alifanya na Daudi kwamba mwanaye atamjengea hekalu: "Umetimiza ahadi ahadi yako."

2 Chronicles 6:16

Tunza.

Hili ni ombi: "tafadhali fanya"

Hautashindwa kupata mtu mbele yangu wa kukaa juu ya kiti cha enzi cha Israeli.

"Siku zote utakuwa na mfalme kutoka miongoni mwa uzao wa Daudi."

Kama ulivyotembea mbele zangu.

"Katika namna ambayo Daudi alifanya."

2 Chronicles 6:18

Lakini kweli Mungu ataishi na wanadamu juu ya dunia?.

"Lakini Mungu, kwa hakika hutaishi kabisa na wanadamu juu ya dunia." (Tazama: tini rg rquestion).

dunia yoye na mbingu yenyewe.

Angalia ulivyoitafisiri hii katika 2:6.

Sikia kilio na maombi.

Neno "kilio" na "maombi" yana maana moja. Kwa pamoja yanaweka msisitizo wa maombi yake: nakusihi jibu maombi yangu ya kumaanisha." (Tazama: tini double)

Ambapo uliahidi kuliweka jina lako.

"Ambapo ulisema utawafanya watu wakujue".

Fumbua macho yako kuelekea hekalu hili usiku na mchana.

Tafadhali wasaidie wanaokuja kwako katika "hekalu, wakati wowote—usiku au mchana."

Maombi atakayaoomba mtumishi wako kuelekea sehemu hii.

Mwandishi anaomba akiwa ameelekea Hekalu.

2 Chronicles 6:21

Un anaposiki, samehe.

"Unaposikia maombi, tafadhali wasamehe dhambi zao."

2 Chronicles 6:22

Ili kuyaleta matendo yake juu ya kichwa.

"Kwa kumwadhibu kama anavyostahili kuadhibiwa" (Tazama: tini ....)

2 Chronicles 6:24

Bsi tafadhali sikia mbinguni na usamehe zao

"Tafadhali, yaheshimu maombi yao" Tazma: tini .....)

2 Chronicles 6:26

Wakati mbingu zimefungwa na hakuna mvua

Kirai, "mbingu zimefungwa" kina maana kwamba hakuna mvua inayoshuka kutoka mawinguni. "Wakati utakapoacha kuruhusu mvua yoyote kunyesha." (Tazama: tini ..........)

Wakilikili jina lako.

Kwa maneno yao na matendo yao, wanamweshimu Mungu na mamlaka Yake. (Tazama: tini ......)

Kuziacha dhambi zao.

Kuziacha njia zao mbaya".

Utakapowaelekeza kwenye njia njema iwapasayo kutembea

"Kuwaonesha jins ya kuishi kwa haki".

2 Chronicles 6:28

Kila mmoja akilijua pigo na huzuni katika moyo wake.

Maana yake yaweza kuwa: "akijua dhambi katika moyo wake" au "akijua moyoni mwake kwamba mapigo na hudhuni ni matokeo ya dhambi zake mwenyewe".

Akinyosha mikono yake.

Angalia tafsir ya mstari wa 2:12.

Njia zake zote.

"Alichofanya".

2 Chronicles 6:32

Ukuu wa jina lako, mkono wako wenye nguvu, na mkono wako ulionyoshwa.

"Wewe ni mkuu sana na mwenye nguvu sana". (Tazama: tini ......)

Inaitwa kwa jina lako.

Inayojulikana kama nyumba ya Yahwe, mali yako"

2 Chronicles 6:34

Nimeijenga.

"Watu wamejenga chini ya uongozi wangu" Tazama: tini synecdoche)

2 Chronicles 6:36

Taarifa za jumla:

Tazama: tini mfano.

Adui wakawabeba na kuwachukua kama mateka kwa ajili ya nchi zao.

Adui wakiwachukua mateka na kuwapeleka kwenye nchi ya adui zao.

Kuomba kukabili nchi yao.

Hii inarea Israeli. "Na ikiwa wataomba kukabili nchi yao uliyowapa babu zao"

2 Chronicles 7

2 Chronicles 7:1

Kwa nyuso zao juu ya sakafu.

Huu ni mkao wa maombi. "Walisudu kwa nyuso zao zikigusa sakafu ya mawe.

Agano lake la kifalme.

"Uaminifu wa agano la Mungu" au Mungu ameahidi kuwapenda milele watu wa Israeli."

2 Chronicles 7:4

Kila mmoja akasimama mahali pake pa kuhudumu.

"Kila mmoja akasimama mahali pake alipopangiwa".

2 Chronicles 7:7

Haikuweza kuzibeba sadaka za kuteketezwa.

"Haikuweza kubeba kiasi kingi cha sadaka za kuteketezwa"

2 Chronicles 7:8

Na Israeli wote pamoja naye,

Watu walikuja kutoka Israeli yote.

Lebo Hamathi

Lebo Hamathi ni jina na mahali

Kusanyiko la makini

Hili lilikuwa kusanyiko maalumu la kidini.

Katika siku ya ishini na tatu ya mwezi wa saba.

Siku ya tatu ya mwezi wa saba - Hii ni siku ya mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya ishirini na tatu ni karibu na katikati ya mwezi wa Oktoba. Katika Kalenda za magharibi.

Kwa furaha na mioyo ya shangwe.

Neno "furaha" na "shangwe" yana maana ya akitu kimoja. Kwa pamoja yanasistiza nia ya furaha (kwa mioyo ya furaha sana)

2 Chronicles 7:11

Alikitimiza kwa.

"Alikikamilisha"

Nimesikia maombi yako.

"Nimeyasikiliza maombi yako".

2 Chronicles 7:13

Kama nitazifunga mbingu ili kwamba kusiwepo mvua.

"Kuizuia mvua" (Tazama: Mifano).

Waimeze nchi.

Neno "nchi" limetumika kumaanisha ",mimea na mazao yote"

Kuutafuta uso wangu.

"Kumtafuta Mungu" au kujaribu kumfanya Mungu akupe usikivu".

Macho yangu yatakuwa wazi na masikio yangu yatasikiliza.

Maneno "macho" na "masikio" yana maana ya Mungu, ambaye huchagua kuona na kusikia maombi yao: "Nitawaona na nitawasikiliza"

2 Chronicles 7:16

Mach yangu na moyo wangu.

"Upenddo wangu. kutazama kwa makini, na kulinda.

Kama utatembe mbele zangu kama baba yako Daudi alivyotembea.

"Kama utanitii kama Baudi, baba yako alivyofanya."

Nitakithibitisha kiti cha enzi cha enzi.

"Nitahakikisha kwamba uzao wako siku zote watakuwa wafalme," (UDB).

2 Chronicles 7:19

Nitawang'oa kutoka kwenye nchi yangu amabayo nimewapa.

"Nitawaondoa kwenye nchi yangu." Inafanalinganisha kuvuta mizizi ya mimea kwa kuindoa kwenye ardhi, na kuondolewa kwa watu wa Mungu kutoka kwenye nchi yake. Matokeo yake yatakuwa kuangamia kwa na huzuni ya watu.

2 Chronicles 8

2 Chronicles 8:1

Ikawa karibu ya mwisho wa miaka ishirini.

Baada ya miaka 20.

Hiramu.

Hili ni jina la kiume.

2 Chronicles 8:3

Selemani akauvamia Hamathzoba.

Selemani anawakilisha jesji lake la vita lote. "Jeshi la Selemani likauvamia mji wa Hamathzoba".

Tadmori...Hamathi.

Miji iliyoko Siria.

2 Chronicles 8:5

Taarifa za jumla.

Tazama tafsiri ya majina

2 Chronicles 8:7

Ambao waliachwa baada yao katika nchi

"Ambao walisalia katika nchi"

Akawafanyisha kazi kwa nguvu.

Akawafanya watumwa.

Hata leo.

Hii inataja wakati ambapo kitabu cha 2 Nyakati kilipoandikwa.

2 Chronicles 8:9

250

Mia mbili hamsini(250).

2 Chronicles 8:12

Ukumbi.

Huu ni ukumbi uliofunikwa au njia ya kuingilia ulioshikiliwa na nguzo kwenye jengo.

Kwa kufuata maelekezo yaliyokuwa katika amri

Kwa mujibu wa maagizo ya ya sheria ya Musa.

2 Chronicles 8:14

Watu hawa hawakupotea kutoka kwenye amri.

Watu walizifuata amari.

2 Chronicles 9

2 Chronicles 9:3

Ikulu aliyokuwa amejenga, 4chakula mezani kwake, mahali pa kukaa watumishi wake, kazi ya watumisshi wake na mavazi yao.

Beth Sheba aliona mambo yote ya Selemani ya kushangaza.

Wabeba kikombe.

Hawa walikuwa watumishi walio onja kinywaji kabla mfalme hajanywa ili kupima kama haina sumu.

Hapakuwa na roho zaidi ndani yake

"Hakujaa akiburi tena".

2 Chronicles 9:5

Na sasa macho yangu yamekiona.

"Sasa nimejionea mimi mwenyewe".

Sikuambiwa nusu ya kuhusu hekima na utajiri wako.

"Wewe una hekima na ni tajiri kupita kawaida"

2 Chronicles 9:7

Ambao husimama mbele yako.

"Ambao husubiri amfri zako mbele zako"

Ambaye amepata raha ndani yako.

"Ambaye amependezwa nawe"

2 Chronicles 9:9

Talanta.

Aina ya fedha iliyotumika katika ssiku za Agano Jipya

2 Chronicles 9:10

Hiramu.

Mfalme wa Tiro

Ofiri.

Sehemu isiyojulikana iliyojulikana kwa dhahabu zake.

Miti ya msandali.

Hii ni aina ya mbao.

2 Chronicles 9:13

666.

Mia sita sitini na sita

2 Chronicles 9:15

Shekeli mia sita za dhahabu zilitumika kwa kila ngao.

"Zilitengenezwa kwa shekeli mia sita za dhahabu".

Shekeli...minas

Shekeli na mina ni mojawapo ya vipimo ambavyo watu wa zamani hasa nyakati za Agano la Kale walitumia kwa sababu hawakuwa na vipimo vya kisa kama vile kilo, mita nk. Shekeli 1 ilikuwa sawa na graamu 1, na mina au shekeli 50 ilikuwa sawa na kilo 0.57.

Ikulu ya Mstu wa Lebanon.

Hii ilikuwa kama sehemu ya kuhifadhia iliyotengenezwa kwa mbao nyingi kubwa kutoka Lebanoni, ilikuwa karibu na ikulu. Kwa jina jingine iliitwa Amori.

2 Chronicles 9:17

Pembe.

Hii ilikuwa kazi nyingine ya pembe ya mnyama kama tembo au faru.

Na sehemu ya juu ya kiti cha enzi ilikuwa duara

"Sehemu ya juu nyuma ya kiti cha enzi ambapo mfalme aliketi ilikuwa ya duara".

2 Chronicles 9:19

Fedha haikuchuliwa kuwa ya thamani katika siku za Selemani.

Katika siku za Selemani fedha haikuwa kitu cha thamani.

Nyani na tausi.

Wanyama kutoka mbali sana, kama vile Afrika

2 Chronicles 9:22

Ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.

"Ambayo Mungu alimpa".

Mwaka baada ya Mwaka.

Kila mwaka

2 Chronicles 9:25

Taarifa za jumla:

Selemani aalikuwa na mazizi elfu nne (4,000), na wapanda farasi kumi na mbi elfu (12,000)

Mazizi.

Hii ni boma ndogo ambamo farasi huhifadhiwa

2 Chronicles 9:27

Nyingi kama mawe juu ya ardhi.

Fedha nyingi sana.

Akazifanya mbao za mierezi kuwa nyingi kama mikuyu ambayo iko nyanda za chini.

"Nyingi sana"

Kutoka nchi zote.

"Kutoka nchi zote jirani" au kutoka nchi zote".

2 Chronicles 10

2 Chronicles 10:1

Israeli wote.

"Watu wote wa taifa la Israeli".

Mwana wa Nebati.

Nebati ni jina la kiume.

2 Chronicles 10:8

Rehoboamu akapuuza ushauri.

"Rehoboamu hakufuata ushauri"

Wanaume vijana.

"Wanaume vijana" jinsi wasivyo na hekima na uzoefu katika mambo ukilinganisha na wanaume wazee ambao walikuwa washauri wa Selemani.

Ambao walikuwa wa rika lake, ambao walisimama mbele yake.

Waliokuwa rafiki zake wa muda mrefu, walimshauri.

2 Chronicles 10:10

Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.

Pointi ya Rehoboamu ni kwamba yeye ni katilina mwenye aamri kuliko baba yake.

Nitawaadhibu kwa ng'e.

"Lakini nitawapiga kwa mijeredi yenye vipande vya chuma."

2 Chronicles 10:12

Watu wote

"Viongozi wote"

Siku ya tatu.

Siku ya tatu.

2 Chronicles 10:15

Ahiya Mshiloni...Yeroboamu mwana wa Nebati.

Ahiya, Nebati na Yeroboamu, haya yote ni majina ya kiume.

2 Chronicles 10:16

Tunasehemu gani katika Daudi?

"Hatutaki kufanya kitu chochote na hawa uzao wa Daudi".

2 Chronicles 11

2 Chronicles 11:1

Wanaume waliochaguliwa ambao walikuwa wanajeshi.

"Wanajeshi wake bora"

2 Chronicles 11:2

Neno la Yahwe ,ikamjia.

"Yahwe alisema neno lake"

Shemaya.

Shemaya ni jina mtu wa jinsia ya kiume.

2 Chronicles 11:5

Maelezo ya jumla.

Hii ni miji ambayo Yeroboamu aliijenga katika Yuda na Benyamini.

2 Chronicles 11:11

Yuda na Benyamini zikawa zake.

Yeroboamu alikuwa mmiliki wa mipaka ya Yuda na Benyamini.

2 Chronicles 11:13

Makuhani na walawi waliokuwa katika Israeli yote wakaenda kwake

"Makuhani na Walawi wakatoka Israeli, ufalme wa Kaskazini ili waende Yuda".

Nchi za malisho

Nchi zilizokuwa kwa ajili ya kuchungia wanyama.

2 Chronicles 11:16

Watu kutoka kabila zote za Israeli wakaja nyuma yao, wale walio wameiilekeza mioyo yao kumtafuta Yahwe.

Watu kutoka makabila ya ufalme wa Kaskazini(Israeli) ambao walikuwa bado wanamwabudu Bwana Mungu walikimbilia Yuda.

Wakatembea kwa miaka mitatu katika njia ya Daudi na Selemani.

"Waliufuata mfano wa Daudi na Selemani kwa miaka mitatu".

2 Chronicles 11:18

Taarifa za jumla:

Mahalathi ni jina la kike.

2 Chronicles 11:20

Maelezo ya jumla:

Mahalathi alikuwa binti wa Yerimothi. Mfalme Rehoboamu alimuoa huyu binti akawa mkewe, baadaye Rehoboamu huyu huyu alimuoa Maaka, yaani binti wa Absalomu.

2 Chronicles 11:22

Taarifa za jumla:

Rehoboamu ni jina la kiume, na huyu ndiye alikuwa mfalme wa yuda. Abiya ni jina la kiume pia.

2 Chronicles 12

2 Chronicles 12:1

Ikawa akwamba

"Ikawa kwamba" ni maneno yanayoashiria tukio muhimu katika historia; yaani wakati ule ule jambo lilipotokea".

Na Israeli wote pamoja naye

"Israeli na Yuda wote walimfuata katika dhambi yake." Israeli hapa inajumuisha Yuda pia.

2 Chronicles 12:2

Akaja kinyume.

"Akaja kuvamia au kupiga"

Askari wasio hesabika

"Wanajeshi wengi sana"

2 Chronicles 12:5

Taarifa za jumla:

Shemaya alikuwa nabii katika yuda wakati wa utawala wa mfalme Rehoboamu.

Kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki.

"Kwa hiyo nimewatia katika mikiono ya Shishaki kama mateka"

2 Chronicles 12:7

Wamejinyenyekeza.

"Mfalme na viongozi wengine wa Israeli walikuwa wamejinyenyeza wenyewe," Mfalme na viongozi wengine ni maneno yanayowakilisha au yenye maana ya watu wote wa Isaraeli.

Neno la Yahwe likamjia.

"Yahwe alisema neno lake."

Nitawaokoa kwa hatua fulani.

Nitawaokoa wasiangamie kwa kabisa kabisa

Hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu.

"Sitaiachilia hasira yangu yote dhidi ya Yerusalemu"

2 Chronicles 12:9

Kuzikabidhi mikononi mwa maamri jeshi

"Kuziweka mikononi mwa maamri jeshi"

2 Chronicles 12:11

Ikawa kwamba Mfalme kila alipoingia.

Inaashiria tukio malumu katika historia. Lugha nyingi zina namna yake ya kusema kipindi hiki muhimu.

Gadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakuwaangamiza kabisa kabisa.

"Yahwe hakuwa na hasira naye tena, na kwa hiyo hakumwaangamiza kabisa kabisa"

Pembeni.

"Kwa nyongeza "

2 Chronicles 12:13

Ili kwamba aliweke jina lake humo.

"Ili kwamba aheshimiwe humo siku zote.

Hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe

"Hakuwa na nia na nguvu za kumtii Mungu".

2 Chronicles 13

2 Chronicles 13:1

Maaka, binti wa Urieli wa Gibea.

Maaka alikuwa mama mzazi wa Abiya, mfalme wa Yuda ambaye alipigana vita na Yeroboamu.

2 Chronicles 13:4

Mlima Semaraimu.

Mlima Semaraimu ulikuwa katika mji wa Semaraimu

Hamjui kwamba...agano?

"Mnajua vizuri sana kuhusu agano langu nililofanya na Daudi.

2 Chronicles 13:6

Mwana wa Nebati

Nebati alikuwa baba yake Yeroboamu mfalme wa Israeli.

Washirika wa karibu

"Watu wenye tabia mbaya, wasio na maadili".

Wakamkusanyikia

"Wakaungana pamoja na Yeroboamu".

2 Chronicles 13:8

Ndama wa dhahabu ambao Yeroboamu alitengeneza kama miungu.

Hii ina maana ya miungu aliyotengeneza Yeroboamu.

Hamkuwafukuza...Walawi?

"Mmewafukuza Walawi"

Hamkujifanyia makuhani katika namna ya watu wa nchi zingine.

"Mmejifanyia makuhani kama vile wajifanyiavyo watu wa nch zingine.

Yeyote ajaye kujitakasa mwenyewe na ngo'mbe dume kijana, na madume ya kondoo anaweza kuwa kuhani wa kile ambacho siyo. miungu.

"Yeyote atoaye ng'ombe dume na madume saba ya kondoo anaweza kuwa kuhani wa sanamu tu ambazo hazina hadhi ya kuitwa miungu"

2 Chronicles 13:10

Ambao wako katika kazi zao

"Wanaofanya kazi"

Mkate wa uwepo

"Mkate wa uonyesho" ulikuwa mkate maalum ambao ulitengenezwa kama ishara ya uwepo wa Mungu na ushirika wake na watu wake.

Pia huweka kinara cha dhahabu pamoaja na taa zake

"Pia hukitunza au kukiangalia kinara cha dhahabu"

2 Chronicles 13:12

Msipigane na Yahwe.

Hii ni lugha ya picha inayowataka wahusika hawa wasiende kinyume na mapenzi ya Yahwe (msipigane na Yahwe)

2 Chronicles 13:13

Mavamizi nyuma yao.

Yeroboamu alijipanga na kufanya mavamizi ya kushtukiza nyuma ya jeshi laYuda

Mavamizi yalikuwa nyuma yao.

Mavamizi ya ghafla au kushtukiza yalikuwa nyuma ya jeshi la Yuda.

Wakamlilia Yahwe.

Walimwita Yahwe kwa sauti kubwa sana.

Ikawa kwamba Mungu akampiga.

Mungu alimuacha Yeroboamu akapigwa na adui zake.

2 Chronicles 13:16

500,000

Laki tano(hii ni idadi ya watu waliouawa na Abiya)

2 Chronicles 14

2 Chronicles 14:1

Abiya akalala pamoja na babu zake

"Hii ina maana kwamba Abiya akafa na kuzikwa pamoja na babu zake.

Katika siku zake.

Katika kipindi cha utawala wake.

Katika siku yake nchi ilikuwa tulivu kwa miaka kumi.

"Palikuwa na amani katika nchi kwa miaka kumi"

Katika macho ya Yahwe Mungu wake

"Kama Yahwe atakavyo"

2 Chronicles 14:5

Akaziondosha mbali sehemu za juu na madhabahu za kufukiza kutoka miji yote ya Yuda

Asa aliharibu kila aina ya madhabahu ambayo ilitumika kuabudia miungu ya uongo katika Yuda

2 Chronicles 14:7

Taarifa za jumla:

Wanaume laki tatu (300,000), wanaume laki mbili na themanini elfu (280, 000).

Asa aliwaambia Yuda

Asa aliwaambia watu wa Yuda

Tumemtafuta Yahwe Mungu wetu

Tumemwomba Yahwe Mungu wetu kutusaidia.

2 Chronicles 14:9

Taarifa za jumla:

Zera alikuwa mfalme wa Ethiopia, ambaye alitoka na jeshi la wanajeshi milioni moja (1,000,000), na magari mia tatu (300) kwenda kupigana na mfalme Asa.

Maresha

Maresha ulikuwa mji katika Yuda

Usimuache mtu akushinde

"Enyi watu msiwaruhusu watu wengine kuwashinda"

2 Chronicles 14:12

Waethiopia

Waethiopia walikufa kwa sababu Yahwe aliwaua

2 Chronicles 15

2 Chronicles 15:1

Roho wa Mungu akaja juu ya Azaria

Roho wa Mungu alimpa Azaria uwezo wa kutabiri.

Odedi.

Odedi alikuwa alikuwa mtoto wa kiume wa Azaria.

2 Chronicles 15:3

Isareli hawakuwa na Mungu wa kweli

Israeli walikuwa wameacha kumtii Mungu

.Bila kuhani wa kuwafundisha.

"Hawakuwa na kuhani wa kuwafundisha"

Wakampata

"Mungu aliwaitikia Waisraeli walipomtafuta".

2 Chronicles 15:6

Waligawanyika vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji

Walishindwa na mataifa na miji mingine.

2 Chronicles 15:8

Unabii wa Odedi nabii

Matoleo mengi, likiwemo na UDB, yanasomeka, "Unabii wa Azaria, mwana wa Odedi nabii." Yanasomeka hivyo ili kuleta ujumbe unaokubaliana na 15:1. Watafsiri bila shaka watataka kufanya maana hii hii katika matoleo yao.

Kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza

"Aliziondoa sanamu"

Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye

"Yahwe alikuwa akimsaidia".

2 Chronicles 15:10

Kwa hiyo walikusanyika

Hawa ni makabila ya Yuda na Israeli yaliyokuwa pamoja na Asa.

Mwezi wa tatu.

Huu ni mwezi wa tatu wa kalenda ya Kiebrania

Ni mwezi unaotokea mwishoni mwa Mei na mwanzoni mwa Juni kaatika kalenda ya magharibi

Tatu...kumi na tano

Tatu(3)...Kumi na tano (15)

Mwezi wa tatu.

Mia saba...elfu saba

Mia saba (700)...Elfu saba (7,000)

2 Chronicles 15:12

Kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote

Wakamtafuta Yahwe na Mungu kwa uaminifu na ukamilifu

Kuuawa.

Kutolewa uhai(kuuawa)

2 Chronicles 15:14

Walimuona

Angalia 2 Mambo ya Nyakati 15:4.

Yuda wote wakakifurahia

"Watu wengi walioishi Yuda walifurahia".

2 Chronicles 15:16

Taarifa za jumla:

Maaka ni jina la kike na Asa ni jina la kiume. Maaka alikuwa malkia, yaani mke wa mfalme Asa.

Sanamu ya kuchukiza

Sanamu

Moyo wa Asa ulijito kikamilifu siku zake zote

Asa alimtii na kumfuata Yahwe maisha yake yote. .

2 Chronicles 16

2 Chronicles 16:1

Akaujenga Rama

Hapa "akaujenga ina maana ya kujenga kuta kuzunguka mji ili kwamba mji uweze kulindwa dhidi ya wavamizi".

2 Chronicles 16:2

Beni Hadadi

Ben Adadi alikuwa mfalme wa Aramu.

Ili kwamba aniache.

"Asinivamie."

2 Chronicles 16:4

Akatuma maakida wa jrshi dhidi ya miji ya Israeli

Akatuma majeshi yake kuivaamia miji

Iyoni, Dani, Abelimaimu...miji ya kuhifadhia ya nafutali

Hii ni miji katika Israeli

Akaisitisha kazi yake

Aliyaamuru majeshi yake kuacha kuuzungushia ngome Rama na kufanya kazi zingine huko"

Mbao.

Mbao ni vipande vikubwa vya miti vitumikavyo kujengea nyumba au kuta.

2 Chronicles 16:7

Hanani

Hanani alikuwa mwonaji wakati wa utawalaa wa mfalme wa Yuda.

Waethiopia na Walubi hawakuwa jesi kubwa, wenye magari mengi na wapanda farasi wengi?

Waethiopia na Walubi walikuwa jeshi kubwa, lenye magari na wapanda farasi wengi sana

2 Chronicles 16:9

Macho ya Yahwe yanaona kila mahali

Yahwe anaona kila kinachotokea katika dunia yote.

ili kwamba ajioneshe mwenyewe shujaa kwa niaba ya wale amabao mioyo yao ni mikamilifu kumwelekea yeye

"Na Yahwe hulinda kwa nguvu zake"

2 Chronicles 16:11

Kutoka mwanzo hadi mwisho.

Kila kitu alichofanya.

Kitabu cha Wafalme wa Yuda na Israeli

Hiki ni kitabu ambacho hakipo tena.

Asa alipata ugonjwa kwenye miguu yake

"Asa alikuwa na ugonjwa kwenye miguu yake"

2 Chronicles 16:13

Asa akalala pamoja na babu zake

Hii ina maana kwamba "Asa alikufa".

Kitanda

Kitanda hiki ni mfano wa meza ambayo juu yake mwili wa marehemu huwekwa juu yake wakati wa mazishi.

Manukato na aina mbali mbali ya dawa zilizotayarishwa na wale mafundi wa manukato

Kuweka mmea ambao hunukia vizuri kwenye mwili wa marehemu ilikuws mojawapo ya taratibu za mazishi kwa watu wa Isareli. "Mimea ya manukato ya kunukia yalitengenezwa na mtu aliyekuwa na ujuzi katika mambo ya utamaduni.

2 Chronicles 17

2 Chronicles 17:1

Akajiimarisha dhidi ya Israeli

Wazo la "kujiimarisha mwenyewe" jeshi la mfalme. Alilitayarisha jeshi likawa tayari kwa ajili ya kupigana vita na Israeli.

Magereza.

Hizi ni kambi za jeshi kwa ajili ya ulinzi.

2 Chronicles 17:3

Alitembea katika njia ya baba yake.

Tabia inazungumzwa kama kutembea. "Aliishi katika njia za haki kama babu zake waliomtangulia.

Hakuwatafuta mabaali.

Hakuiabudu miung ya Baali ili kutafuta msaada kwayo

2 Chronicles 17:5

Maashera.

Reejea sura ya 14:1

2 Chronicles 17:7

Katika mwaka wa tatu

Ulipofika mwaka mwaka wa 3

Ben-haili, Obadia, Zekaria, Nethania, na Mikaya...Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, na Tob-adonia, Elishama na Yehoramu

Haya yote ni majina ya kiume

2 Chronicles 17:10

Hofu ya Yahwe ikashuka juu ya falme zote za nchi.

"Watu katika falme zote za karibu na Yuda wakaogopa sana kwa sababu ya kile ambacho Yahwe angeweza kufanya ili kuwaadhibu.

2 Chronicles 17:14

Adna...Yehonani...Amasia mwana wa Zikri.

Haya ni majina ya majemedari maarufu walikuwa wakiongoza vikosi vya jeshi katika Yuda.

300,000...280,000...200,000

Laki tatu(300,000), Laki mbili na themanini elfu (280,000), Laki mbili (200,000)

2 Chronicles 18

2 Chronicles 18:1

Alifanya undugu na Ahabu.

"Alifanya undugu na Ahabu" au alijifanya mwenyewe kuw rafiki wa Ahabu".

Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako.

Yehoshafati anaelezea kuhusu mapatano yake na Ahabu; "Najitoa mwenyewe na wanajeshi wangu kwako ututumie upendavyo."

2 Chronicles 18:6

Hakuna nabii mwingine...ushauri

"Nina uhakika kwambaatakuwepo hapa...ushauri".

Mikaya mwana wa Imla.

Alikuwa nabii wa Bwana.

2 Chronicles 18:9

Mwana wa Kenaani.

Zedekia aalikuwa mmoja wa manabii wa uongo.

Pembe za chuma.

Hii inamaana ya pembe za ng'ombe (kambaku) lakini zilizotengenezwa kwa chuma.

Mtawasukuma Waaramu hadi waangamie."

"Mtawashinda".

Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.

"Yahwe atawapa ushindi"

2 Chronicles 18:12

Mikaya

Angalia sura ya 17:7.

Tafadhali maneno yako yawe kama mmoja wa wao na sema mambo mema.

Hii ni rejea kwa maneno yote ya ujumbe wa manabii.

Kwa kinywa kimoja.

"Kwa wazo moja" au "kwa kukubaliana wote".

Kama Yahwe aishivyo.

"Nawahakikishia kuwa jambo hili ni kweli."

Au la?

"Au hatupaswi kuenda".

2 Chronicles 18:15

Ni mara angapi ninapaswa kukutaka akuapa kutoniambia kitu chochote ispokuwa kweli katika jina la Yahwe?

"Nilishakwambia kwamba unapaswa kusema au kuniambia ukweli tu katika jina la Yahwe"

Kama kondoo wasio na mchungaji.

"Wasio na uongozi mzuri"

2 Chronicles 18:17

Sikukuumbia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu?

"Nilikwambia kwamba lazima angetabia kwamba majanga yatanipata".

2 Chronicles 18:19

Kumrubuni.

Hii ina maana ya kumvutia mtu kwa kumpa kitu cha kuvutia.

Kuanguka.

"Kuumia sana " au "kufa"

Mmoja alaisema hivi na mwingine hivi.

Hii inaashiria kwamba palaikuwa na maoni au mawazo zaidi ya moja.

2 Chronicles 18:20

Roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.

"Roho inayowafanya manabii kudanya".

2 Chronicles 18:22

Ametanagaza aamajanga kwa ajili yako.

"Amethibitisha kwamba wambo ya ajibu yatakupata."

2 Chronicles 18:23

Zedekia mwana wa Kanaani

Huyu siyo Zedikia aliyetajwa ahapo juu, bali ni nabii mwaminifu kwa Ahabu.

Kwa anjia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?

"Roho wa Mungu hakutoka kwangu ili aje kusema nawe."

Mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.

"Mtakapokimbia, kwa hofu kujificha."

2 Chronicles 18:25

Mfalme wa Israeli.

Anayetajwa ahapa ni Ahabu

Amoni.

Hili ni jina la kiume.

Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami.

Mikaya amajua na ana hakika kwamba Yahwe kasema naye.

2 Chronicles 18:28

Wakaenda juu.

"Walipigana dhidi"

Ramothi-giledi.

Angalia sura ya 18:1.

Nitajibadilisha

Hii ina maana ya kujibadilisha mwonekano wa kila siku kwa lengo la kutotambuliwa.

Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshi muhimu.

"Msivamie yeyote miongoni mwa wanajeshi hao"

2 Chronicles 18:31

Yule ni mfalme wa Israeli.

Yehoshafati kwa bahati mbaya walimfananishwa na mfalme wa Israeli kwa sababu Ahabu alikuwa amesistiza kwamba mfalme huyo anakawaida ya kuvaa kifalme.

Mungu akawageuza nyuma kutoka kwake.

"Mungu aliwasababisha wasiendelee kumwelekea"

2 Chronicles 18:33

Kati kati ya maungio ya mavazi yake.

Hii ni sehemu ampapo vipande viwili vya maungi hukutana na huandamwa na mishale na upanga wakati wa vita.

2 Chronicles 19

2 Chronicles 19:1

Mwana wa Hanani.

Yuhu ni jina la mwanaume alikuwa mtoto wa Hanani.

Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe?

"Hupaswi kuwasaidia waovu! Hupaswi kuwapenda wale wamchukia Yahwe"

Maashera.

Angalia sura ya 14:1

Umeukaza moyo wako.

"Kuamua kwa nguvu au kikamilifu"

2 Chronicles 19:4

Akawarudisha akwa Yahwe.

"Akairejesha imani yao kwa Yahwe"

2 Chronicles 19:6

Iache hofu ya Yahwe iwe juu yanu.

"Unapohukumu unapaswa kumkumbuka Yahwe"

2 Chronicles 19:8

Nyumba za mababu wa Israeli.

Familia za mababu wa Israeli.

Kwa ajili ya kufanya hukumu.

"Kusaidia kutatua mabishano"

Kwa moyo wako wote.

Kufanya jambo kwa kujitoa au kwa bidii.

2 Chronicles 19:10

Ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu .

"Mungu atakuwa na hasira nanyi na ndugu zenu"

2 Chronicles 19:11

Amaria.

HIli ni jina la mtu mwanamme aliyekuwa kuhani mkuu.

Zabadia mwana wa Ishmaeli

Zabadia na Ishimaeli ni majina ya kiume.

2 Chronicles 20

2 Chronicles 20:1

Amoni.

Hili lilikuwa kundi la watu ambalo yawezekana liliishi karibu na Edomu, mashariki mwa mto Yorodani.

Hason-tamari.

Hili ni jina jingine la En-gedi.

2 Chronicles 20:3

Akajipanga.

"Alijidhatiti"

Kumtafuta Yahwe.

"Kujaribu kumtafuta Mungu ili awaangalie"

2 Chronicles 20:5

Yahwe, Mungu wa babu zetu, hauko mbinguni? Wewe siyo mtawala juu ya falme zote za mataifa?

"Hakika wewe ni Mungu wa mbinguni na mtawala juu ya wafalme wote wa dunia".

Nguvu na uweza viko mikononi mwako.

Maneno "nguvu" na "uweza" kimsingi yana maana moja na yanasisitiza ukuu wa nguvu za Yahwe. Neno "mkono" lina maana aya umiliki; "Una nguvu kuuu".

Hukuwafukuza nje wakaaji wa nchi hii mbele ya watu wako Israeli, na kuitoa milele kwa ajili ya uzao wa Abrahamu?

"Wewe ndidye uliwatoa nje watu waliokuwa wakiishi katika nchi hii kwa ajili ya watau wako Israeli na kuitoa milele kwa uzaoa wa Abraham"

2 Chronicles 20:8

Jina lako limo ndani ya nyumba hii.

"Uwepo wako umo ndani ya nyumba ahii".

2 Chronicles 20:10

Mlima Seiri

Hii ilikuwa sehemu ambapo Waedomu waliishi.

Ona jinsi wanavyotuzawadia; wanakuja kututoa nje ya nchi yako.

"Hivi ndivyo wanavyo 'tulipa' sisi kwa ajili ya huruma tuliyowaonesha; wanakuja kutufukuza nje ya nchi yako."

2 Chronicles 20:12

Hutawahukumu?

"Tafadhali wahukumu watu hawa"

Maacho yetu yako kwako.

"Tunakuangalia wewe kwa ajili ya amsaada"

2 Chronicles 20:14

Roho ya Yahwe ikaja juu.

Angalia sura ya 15:1

Yahazieli ... Zekaria ... Benaya ...Yeieli ... Matania ... Asafu.

Haya ni majina ya kiume (ni majina waliyoitwa wanaume).

2 Chronicles 20:16

Muende chini juu yao.

"Nendeni kwenye" au "nendeni mkapigane vita nao".

Njia ya Sisi.

Hili ni bonde jembamba liliko kati kati ya milima kusini mwa Yerusalemu.

Wokovu wa Yahwe.

Mungu atapigana vita na kuwaokoa watu wake.

2 Chronicles 20:18

Yuda wote.

"Watu wote wa Yuda"

Wakohathi na Wakorai.

Haya ni majina ya koo zilizokuwa katika Kabila la Lawi.

2 Chronicles 20:20

Tekoa.

Huu ulikuwa mji mmoja kusini mwa Yerusalemu.

Mtasaidiwa.

"Yahwe atawasaidia."

Amini katika amanabii zake, na mtafanikiwa.

"Kama amtaamini katika manabii wa Yahwe, basi mtafanikiwa."

2 Chronicles 20:22

Mlima Seiri

Angalia sura ya 20:10

Akapanga wanaume katika mavamizi.

"Akafanya mavamizi ya kusitukiza."

Ili kuwaua kabisa na kuwaangamiza.

Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja. Cha pili kinatoa ufafanuzi wa kile cha kwanza. "Kuwaondoa kabisa".

2 Chronicles 20:24

Tazama, walikuwa wamekufa.

Hiki kilikuwa kitu cha kusitusha. Adui zao wote walikuwa wameuana wao kwa wao.

Walikuwa wamekufa, wameanguka chini.

Kirai "wameanguka chini" ni namna ya kusema kwamba "walikuwa wamekufa."wote walikuwa wamekufa ardhini."

2 Chronicles 20:25

Hata leo.

Angalia sura ya 5:9

2 Chronicles 20:27

Kila mtu wa Yuda na Yerusalemu.

Hii ni namna ya kusema kwamba kila mwanaume aendaye vitani.

Yehoshafati katika uongozi wao.

Mfalme Yehoshafati alikuwa mbele ya jeshi lote walipokuwa wakirudi Yerusalemu.

2 Chronicles 20:29

Hofu ya Yahwe ilikuwa juu ya falme zote za mataifa.

"Wafalme wote wa mataifa ya dunia wakamwogopa Mungu"

Falme.

Hii ina maana ya serikali zenye utawala mmoja.

2 Chronicles 20:31

Azuba, binti wa Shilhi.

Azuba ni jina la kike.

Akatembea katika njia za Asa.

"Aliufuata mfano wa Baba yake."

Akafanya yaliyo mema katika macho ya Yahwe.

Angalia suta ya 14:1

2 Chronicles 20:34

Mwana wa Hanani

Hanani ni jina la kiume.

Kitabu cha Wafalme wa Israeli.

Angalia sura ya 16:11

2 Chronicles 20:35

Meli

Hizi ni meli zenye uwezo wa kusafiri katika maji mengi.

Esion-geberi.

Angalia ssura ya 8:17

Maresha.

Angalia sura ya 11:5

Eliezeri.

Angalia sura ya 7:8, hili jina lile lile lakini la mtu mwingine tofauti na aliyetajwa katika mstari huo (7:8).

Dadavahu.

Jina la kiume.

2 Chronicles 21

2 Chronicles 21:1

Akalala pamoja na babu zake.

"Hii inamaanisha kwamba akafa" (Yehoshafati).

Mji wa Daudi.

Huu ni mji wa Daudi.

Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia.

Haya ni majina ya kiume; ni orodha ya majina ya watoto wa Yehoshafati mfalme wa Israeli.

Yehofati, mfalme wa Israeli.

Ufalme wa Kusini ulikuwa uknaitwa "Yuda", Llakini mwandishi wa kitabu hiki alitaka kuweka msistizo kwamba ufalme wa kusini ulikuwa katika hali ya kumtii Mungu, Israeli ya kweli.

Kiti cha enzi alimpa Yehoramu.

Yehoshafati aliamua kuwa Yohoramu awe mfalme baada yake (yaani akirithi kiti chake cha enzi).

2 Chronicles 21:4

Ameinuka katika ufalme wa baba yake.

"Amekuwa na mamlaka kamili juu ya ufalme wa baba yake."

2 Chronicles 21:6

Akatembea katika njia.

.Angalia sura ya 20:31.

Katika macho ya Yahwe.

"Kama Yahwe apendavyo"

Ameahidi kuwa siku zote atampa uhai yeye na kizazi chake.

"Ameahidi kuwa uzao wa Daudi siku zote watakuwa ndio watawala wa Yuda."

2 Chronicles 21:8

Katika siku za Yehoramu.

"Katika kipindi amacho Yehoramu alipokuwa mfalme."

Wakaasi wasiwe chini ya Yuda.

"Kinyume na mamlaka ya Yuda."

Akavuka ng'ambo.

"Akavuka mipaka kuingia Edomu."

Mpaka leo.

Angalia sura ya 5:9

Libna.

Huu ulikuwa mji katika Yuda.

2 Chronicles 21:11

Kahaba.

Neno "kahaba" lina maana aya mtu anayefanya kazi ya kujiuza kwa ajili ya kupata pesa au kwa mambo ya kidini. Kwa kawaida makahaba walikuwa wanawake, lakini wachache walikuwa wanaume.

2 Chronicles 21:12

Mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa.

"Mpaka ugonjwa huu ukuuwe".

2 Chronicles 21:16

Akaichochea dhidi ya Yehoramu roho ya Wafilisti na ya Waarabu.

"Aliwasukuma Wafilisti na Waarabu

2 Chronicles 21:18

Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.

"Alimpiga ugonjwa usiotibika katika utumbo wake.".

Wakati ulipofika.

"Katika wakati sahihi" au "wakati sahihi ulipowadia".

Hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake.

"Hawakumheshimu kwa kwa moto mkubwa"

2 Chronicles 22

2 Chronicles 22:1

Athalia.

Athalia ni jina la kike.

Pia alitembea.

Angalia sura ya 20:31

2 Chronicles 22:4

Katika macho ya Yahwe.

"Katika matakwa ya Yahwe".

Hazaeli.

Hili ni jina la kiume(Ndilo jina aliloitwa mafalme wa Aramu ambayo ndiyo Ashuru).

2 Chronicles 22:7

Nimshi.

Nimshi ni jina la kiume.

2 Chronicles 22:10

Yehoshaba...Yehoiada.

Haya ni majina ya kiume.

2 Chronicles 23

2 Chronicles 23:1

Yehoyada.

HUyu ni kuhani mkuu aliyehudumu katika hekalu na kwa uaminifu kwa Mungu. Alikuwa mshauri wa Yoashi.

Obedi...Maaseya...Adaya...Elishafati...Zikri.

Haya ni majina ya Kiume

2 Chronicles 23:4

Watu wote.

Watu wengi.

2 Chronicles 23:6

Aingiapo ndani na atokapo.

Yaweza kuwa na maana hizi: 1) "Wakatai wote" au 2) Wakati wowote anapoenda".

2 Chronicles 23:8

Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhanai aliwaamuru.

"Watu walio wengi walikuwa waaminifu katika amri za kuhani mkuu."

Wale watakaoondoka katika Siku ya Sabato.

"Waliokuwa wanamaliza kazi zao katika siku ya Sabatao."

2 Chronicles 23:10

Kumpa aganao la sheria.

"Aliyatamka maneno ya agano."

2 Chronicles 23:12

Watu wote wa nchi.

"Karibia watu wote."

2 Chronicles 23:14

Yehoyada

Yehoyada alikuwa kuhani

Waliokuwa juu ya jeshi.

Wale waliokuwa viongozi katika jeshi.

Kati ya safu.

Kati kati ya wanajeshi

2 Chronicles 23:16

Watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali.

Karibu watu wote walienda kwenye hekalu la Baali.

Matani.

Huyu ni mtu mwanaume aliyeitwa Matani, alikuwa kuhani wa miungu ya Baali

2 Chronicles 23:18

Chini ya mkono wa Makuhani.

"Chini ya uongozi na maelekezo ya makuhani.

Ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiye safi.

Hakuna mtu asiyesafi anaruhusiwa kuingia kwa sababu yoyoye.

2 Chronicles 23:20

Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe.

Hekalu lilikuwa limejengwa juu ya mlima huko Yerusalemu. "Alimleta mfalme kutoka hekaluni kutoka juu ya kilele cha mlima hadi ikulu.

2 Chronicles 24

2 Chronicles 24:1

Sibia.

Jina la kiume.

Yaliyomema katika macho ya Yahwe.

Angalia sura ya 14:1

Siku zote za Yehoyada, yule kuhani.

"Muda wote wa maisha ya Yehoyada."

2 Chronicles 24:4

Mnaanza haraka.

"Haraka"

2 Chronicles 24:6

Kwa nini hukuwaagiza Walawi...amri za hema ya agano.

Mmetenda kwa uovu. Nilikuagiza kuwaagiza Walawi kuzifuata amri za hema ya agano, lakini kufanya hivyo.

2 Chronicles 24:11

Waashi na maseremala.

"Wale wajengao kwa mawe na wale wajengao kwa mbao."

walifanya kazi katika chuma na shaba.

"Wale waliokuwa wakifanya kazi kwa chuma."

2 Chronicles 24:13

Ikasonga mbele mikononi mwao.

"Walifanya kwa mikono yao."

Bia kukoma katika nyumba ya Yahwe kwa siku zote za Yehoyada.

"Kila siku kwa siku zote za maisha ya Yehoyada."

2 Chronicles 24:15

Akafa, kufa

Neno hili hutumika kumaanisha aina zote za vifo, yaani kifo cha kimwili na kifo cha kiroho. Kimwili, humaanisha kukoma kuisha katika mwili wa mtu. Kiroho humaanisha kitendo cha watu wennye dhambi kutengwa na Mungu mtakatifu kwa sababu ya dhambi zao.

Wakamzika, mazishi

Neno "zika" lina maaana ya kuweka mwili uliokufa katika shimo au sehemu ya kuzikia. na neno mazishi lina maana ya kitendo cha kuzika kitu fulani.

Mji wa Daudi.

Neno "mji wa Daudi" ni jina jingine la Yerusalemu na Bethelehemu. Yerusalemu ndiko alikoishi Daudi wakati akitawala Israeli. Bethelehemu ndiko alikozaliwa Daudi.

2 Chronicles 24:17

Kutoa heshima kwa mfalme.

"akatoa heshima kwa mfalme."

Hili kosa lao.

"kwa sababu ya dhambi zao."

2 Chronicles 24:20

Akapuuza ukarimu ambao Yehoyada, baba yake Zekaria alikuwa amemfanyia.

Yoashi hakujali wala kukumbuka ukarimu mkuu wa Yehoyada, baba yake Zekaria."

Akuite katika hukumu.

"Utalipa uovu ulioufanya."

2 Chronicles 24:25

Zabadi mwana wa Shimeathi, Mwamoni; na Yehozabadi mwana wa Shimrithi, Mmoabu.

Haya yote ni majina ya kiume.

2 Chronicles 24:27

Kamausi ya kitabau cha Wafaaalme.

Hiki ni kitabu ambacho kwa sasa hakipo tena.

2 Chronicles 25

2 Chronicles 25:1

Yehoadani.

Hili ni jina la mwanamke.

Yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe.

Angalia 14:1

2 Chronicles 25:3

Kitabu cha Musa.

Hii inarejea kitabu cha Mwanzo, Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu, na Kumbu kumbu la Torati.

2 Chronicles 25:5

Akawaandikisha.

Liandika amajina yao katika orodha maalumu kwa ajili ya mambo ya kiofisi.

300,000...100.000

Laki tatu...Laki moja

Talanta.

Fedha

2 Chronicles 25:9

Hivyo Hasira yao iliwaka sana zidi.

"Kwa hiyo walianza kuwaka hasira."

Hasira kali.

"wakiwa na hasira sana."

2 Chronicles 25:11

Bonde la chumvi.

Hili ni Eneo karibu na Bahari iliyokufa.

Hivyo wote wakavujika vunjika katika vipande.

"Hivyo wote wakafa."

2 Chronicles 25:13

Beth-horoni.

Hili lilikuwa bonde lililokuwa kaaribu na Yerusalemu katika Efraimu.

Wakawapiga.

"Waliwaua."

2 Chronicles 25:14

Kuisimamisha iwe miungu yake.

"Wakaiabudu miungu hii ya uongo."

Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako.

"Mmeiabudu miungu ya watu ambayo hata haikuweza kuwaokoa watu wake ddhidi yako, Mfalme Amazia.

2 Chronicles 25:16

Je, wewe tumekufanya msgauri wa mfalme? Acha.

"Kwa hakika hatukukuchagua kuwa mshauri. Kwa hiyo nyamazeni acheni kuszzungumza, na kama amtasema zaidi, nitawambia askari wangu kukuua.

Kwa nini ujitakie kuuawa?

Nitawaambia askari wangu wakuue.

2 Chronicles 25:17

Yehoashi, Yehoazi.

Haya ni majina ya kiume.

2 Chronicles 25:18

Taarifa za jumla:

Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli na Amaziahi alikuwa mfalme wa Yuda.

baruti.

Huu ni mstu mdogo.

Mwerezi.

Aina fulani ya mti mkubwa sana. Hapa neno hili linawakilisha wanajeshi au askari wa Israeli.

Kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka wewe na Yuda pamoja nawe?

"Hupaswi kujisababishaia matatizo mwenyewe na kujiangusha, wewe pamoja na Yuda."

2 Chronicles 25:20

Yuda walishindwa mbele za Israeli.

"Walishindwa."

2 Chronicles 25:23

Mikono.

Kipimo cha zamani

Obedi Edomu.

Hili ni jina la mtu.

2 Chronicles 25:25

Mwanzo na mwisho.

"kila kitu."

Hayajaandikwa katika kitabu cha wafaalme wa Israeli.

"Yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli."

2 Chronicles 25:27

Lachishi.

Hili ni jina la mji mmoja kataika Yuda.

Mji wa Yuda.

Ni jina jingine la mji wa Daudi, au Yerusalemu.

2 Chronicles 26

2 Chronicles 26:1

Kumi na sita...hamsini na mbili.

"16...52."

Elathi.

Huu ulikuwa mji mmoja ulikuwa akatika Ghuba ya Akaba.

Mfalme akalala pamoja na babu zake.

"Maana yake ni kwamba mfalme akafa."

2 Chronicles 26:4

Akafanya yaliyo sahihi katika macho ya Yahwe.

Angalia mstaraaisusra ya 14:1.

Katika kila kitu.

"Katika namna ile ile."

Alijitoa kumtafuta.

"Alijidhatiti kumpendeza."

2 Chronicles 26:6

Yabne.

Huu ulikuwa mji mmoja huko kaskazini mwa Yuda.

Gurbaali.

Huu ulikuwa mji mmoja huko Uarabuni.

Waamoni.

Huu ni ufalme wa watau wa Amoni karibu na Mlima Seiri.

Maingilio ya Misiri.

"Mipaka ya Misiri"

2 Chronicles 26:9

Mabwawa.

Katika mkitadha huu, bwawa nai shsimo kubwa chini ya ardhi ambalo lilitumika kuhifadhia maji ya mvua.

2 Chronicles 26:11

Yeieli, mwandishi, na Maaseya, afsa, chini ya mamlaka ya Hanania, mmoja wa maamri jeshi.

Maaseya na Hanania yote ni majina ya kiume.

2,600...307,500

Elfu mbili na na mia sita (2,600), Laki tatau na elfu saba na mia tano.

2 Chronicles 26:14

Chapeo.

Chapeo ni kitu kifaa cha kujilindia kinachofunika kichwa.

Deraya za majini.

Hili ni vazi la chuma linalofunika mwili mzima likiunganishwa na minyororo.

2 Chronicles 26:16

Moyo wake ulijiinua.

"Akawa na kiburi."

Wana wa Haruni.

"Uzao wa Haruni."

2 Chronicles 26:19

Chetezo.

Hil lilikuwa bakuli maalumu ambalo lilitumika kuchomea sadaka za kuteketezwa.

Walimwondoa pale haraka.

"Walimfanya ondoke haraka."

Yahwe alikuwa amempiga.

"Yahwe alimfanya augue."

2 Chronicles 26:21

Aliishi katika nyumba ya kutengwa.

Hii ina ashiria kuwa aliishi mbali na nyumba za watu wengine katika jamii au nchi.

2 Chronicles 26:22

Mwanzo na mwisho.

"Kila kitu."

Mwana wa Amozi.

Hili ni jina la kiume.

Kwa hiyo Uzia akalala pamoja na babu zake.

"Kwa hiyo Uzia akafa."

2 Chronicles 27

2 Chronicles 27:1

Yerusha.

Yerusha ni jina la kike.

Akafanya yaliyomema katika amacho ya Yahwe.

Angalia sura ya 14:1.

Katika mambo yote.

"Katika anamna ile ile."

2 Chronicles 27:3

Kilima caha Ofeli.

Hiki ni kilama kilichopo katika mji Yerusalemu.

2 Chronicles 27:5

Talanta.

Ainza ya fedha iliyotumika kataika siku au nyakati za Bilia.

Kori.

Kori kilikuwa kipimo kilichotumika katika siku za Biblia.

Katika mwaka wa pili na wa tatu.

"Katika mwaka wa pili na wa tatu baada ya kuwashinda."

2 Chronicles 27:6

Alitembea imara mbele za Yahwe Mungu wake.

"Alimtii Yahwe bila kuyumba" au "Aliishi kwa kujitoa kikamilifu kwa Yahwe."

Kitabu cha Wafalme wa Israeli na Yuda.

Hiki ni kitabu ambacho hakipo tena.

2 Chronicles 27:8

Yothamu akalala pamoja na babu zake.

"Yothamu akafa,"

2 Chronicles 28

2 Chronicles 28:1

Hakuafanaya aayaliyoadili katika macho ya Yahwe.

Angalia sura ya 14:1

Alitembea katika njia za wafalme wa Israeli.

"Alifanya dhambai kama vile walivyofanya wafalme wa Israeli waliomtangaualia."

2 Chronicles 28:3

Bonde la Beni Hinomu.

Hili ni bonde liloko katika Yerusalemu.

Chini ya kila mti wenye majani mabichi.

"Kila mahali au kila upande."

2 Chronicles 28:5

Peka mwana wa Remalaia.

Haya ni majina ya kiume.

2 Chronicles 28:7

Zikri...Maaseya...Azrikamu...Elkana.

Haya ni majina ya wanaume waliotajwa kwa kuhusika kwao katika matukio mbali mbali muhimu.

2 Chronicles 28:9

Odedi.

Odedi hili ni jina la amtu mmoja alikuwa nabii wa Yahwe au Mungu.

Akawatia katika mikono yenu.

"Aliwasaidia kuwashinda."

Lakini je, hamko na hatia...dhidi ya Yahwe Mungu wenu.

"Lakini kumbuka, ninyi ni wenye hatia...dhidi ya Yahwe Mungu wenu.

2 Chronicles 28:12

Azaria mwana wa Yohanani, Berikia mwana wa Meshiremothi, Yeehizikia mwa wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai

Hii ni ordha ya aamajina aya kiume aau ya wanaume ambao wlikwa viongozi wenye vyeo mbali mbali katika nchi ya Efraimu.

2 Chronicles 28:14

Viatu.

Hiii ilikuwa aina fulani ya viatu ambavyo vilikuwa vya wazi.

Wakawahudumia majeraha yao.

"Waliwapa huduma ya matibu."

Wakawaweka waliodhaifu juu ya punda.

"Wakawapa punda wale wasioweza kutembea."

2 Chronicles 28:16

Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, Soko pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake.

Haya ni majina ya miji mbali mbali.

2 Chronicles 28:19

Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi.

"Yahwe alimnyenyekeza Ahazi."

Tiglath-pileseri.

Hii ni Tiglath-pileseri ya III, pia inajulikana kama Puli.

2 Chronicles 28:22

Katika muda wa mateso yake.

"Wakati wa mateso yake."

Nitawatolea sadaka.

"Nitawatolea sadaka ili wanisaidie."

2 Chronicles 28:24

Samani.

"Samani na vyombo vingine."

Katika kila kona ya Yerusalemu.

"Katika Yerusalemu."

2 Chronicles 28:26

Njia zake zote, mwanzo na mwisho.

"Kila kitu alichofanya."

Kitabu cha Wafalme wa Yuda na Israeli.

Hiki ni kitabu ambacaho hakipo tena.

Ahazi akalala pamoja na babu zake.

"Ahazi akafa."

2 Chronicles 29

2 Chronicles 29:1

Abiya.

Hili ni jina la kike (mwanamke)

Alifanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe.

Tazama sura ya 14:1

2 Chronicles 29:3

Katika mwezi wa kwanza.

Huu ni mwezi wa kwanza katika Kalenda ya Kiebrania. Ni kati kati ya mwezi wa nne na wa nne katika kalenda ya Magharibi.

Uondoeni mbali uchafu.

"Ondoeni uchafu" au toeni uchafu."

2 Chronicles 29:6

Walikosea na kufanya kilichokuwa uovu katika macho ya Yahwe.

Angalia sura ya 21:6.

Sehemu ambapo Yahwe aliishi.

Angalia sura ya 18:12.

2 Chronicles 29:8

Wasi wasi, Hofu, kudharauliwa.

Haya yote ni maneno yanayoashiria kuwepo kwa hali mbaya ya kuogopa sana.

Kama aamnavyoona kwa macho yenu.

"Kama mnavyoweza kuona wenyewe."

Hii ndiyo maana mababu zetu walianguka kwa upanaga.

"Hivyo ndivyo baba zetu walivyouawa."

2 Chronicles 29:10

Ili kwamba hasira yake kali iweze kugeuka mbali nasi.

"Ili asikasirike na hasira yake iwe juu yetu."

2 Chronicles 29:12

Taarifa za jumla:

Haya ni majina ya watu wanaume kutoka Kabila la Lawi.

2 Chronicles 29:15

Kijito cha Kidroni.

Sehemu ndogo ya maji ambayo hutiririka upande wa mashariki wa Yerusalemu. Kuna wakati kijito hicho kilikuwa kikitumika kama jalala.

Siku ya kwanza ya mwezi.

Ni kipindi kilicho karibu na mwisho wa mwezi wa tatu katika kalenda ya magharibi.

Siku ya nane ya Mwezi.

Hiki ni kipindi cha mwanzo wa mwezi wa Nne kwa mjibu wa kalenda ya magaharibi.

2 Chronicles 29:18

Katika kipindi cha utawala wake.

"Katika kipindi cha utawala wake."

2 Chronicles 29:25

Matoazi.

Angalia sura ya 5:11.

2 Chronicles 29:31

Dhabihu za shukrani.

Hizi zilikuwa sadaka za shukrani.

Nani alikuwa na moyo wa hiari

"Aliyestahili"

2 Chronicles 29:32

Taarifa za jumla:

Hii ni idadi ya wanyama waliokuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa.

2 Chronicles 29:34

Walikuwa makini sana kujitaksa wenyewe kuliko makuhani.

Walikuwa makini sana katika kufuata taratibu au sheria kwa ajili ya kujitakasa wenyewe.

2 Chronicles 29:35

Zilitolewa pamoja na sadaka za mafauta za amani.

Makuhani waliyachoma mafuta ya wanyama ambao walitolewa kama sadaka kwa ajili ya kulinda ushirika mzuri na Yahwe.

Ikawekwa katika utaratibu.

"Ziliimarishwa na makuhani kwa mjibu wa sheria"

2 Chronicles 30

2 Chronicles 30:1

Wakakubaliana kusherehekea Pasaka katika mwezi wa Pili.

Kwa kawaida Waisraeli walisherehekea Pasaka katika mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Mwezi wa kwanza uko kati kati ya mwezi Machi na nusu ya kwanza ya mwezi Apirl Hii ni kwa mjibu wa kalenda ya magharibi.

Mwezi wa pili

Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kiebrania. Uko kati ya nusu ya pili ya mwezi Aprili na nusu ya kwanza ya mwezi Mei katika kalenda ya Magharibi.

2 Chronicles 30:4

Katika macho ya.

Tazama 14:1

Beer-sheba hadi Dani,

"Watu wote wa Israeli"

2 Chronicles 30:6

Matarishi.

Huyu alikuwa mtu aliyekuwa na kazi ya kupeleka ujumbe

2 Chronicles 30:7

Akawaweka katika uharibifu.

"Aliwafanya waangamie".

Jitoeni wenyewe kwa Yahwe

"Mtiini Yahwe" au jitoeni kwa ajili ya Yahwe".

2 Chronicles 30:13

Mwezi wa pili.

Huu ni mwezi wa pili katika kalenda ya Kiebrania. Ni mwezi ambao uko kati kati ya mwisho wa mwezi wa Apirl na mwazoni mwa mwezi Mei katika kalenda ya magharibi.

Kijito Kidroni.

Hii ilikuwa chemi chemi ya maji katika Bonde Kironi.

Siku ya kumi na na nnne ya mwezi wa pili..

Hiki ni kipindi karibu ya mwanzo wa mwezi wa Mei katika kalenda ya magharibi.

2 Chronicles 30:16

Wakasimama katika makundi yao.

Walisimama katika dhamu zao au sehemu zao walizopangiwa.

Wakawachinja wanakondoo wa Pasaka

Kwa kufuata desturi na taratibu waliwachinja wanakondoo wa Pasaka.

2 Chronicles 30:21

Vyombo.

Hii inarejea vyombo vya muziki.

2 Chronicles 31

2 Chronicles 31:1

Watu wote wa Israeli.

"Karibia watu wote wa Israeli."

2 Chronicles 31:2

Pia akawapanga katika sehemu ya mfalme kwa ajili ya sadaka kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka katika mali zake.

Hezekia alichukua chalakua nyama na nafaka zilizokuwa zinatumika kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka mali zake mwenyewe.

Mwezi mpya.

Hii ilikuwa sikukuu ambayo ilienda pamoja na hatua za mwezi.

Sikukuu zisizobadilika.

Hizi ni sikukuu ambazo hutokea katika tarehe maalumu.

2 Chronicles 31:4

Moja ya kumi ya kila kitu.

"Moja ya kumi ya mazao yao yote".

2 Chronicles 31:6

Mwezi wa tatu.

Huu ni mwezi wa tatu wa kalenda ya Kiebrania.Iko mwisho wa msimu wa mavuno na mwanzo wa msimu wa kiangazi.Ni mwisho wa mwezi wa tano na mwanzo wa mwezi Juni katika kalenda ya Magharibi.

Mwezi wa Saba.

Huu ni mwezi wa saba katika kalenda ya Kiebrania. Hiki ni kipindi cha msimu wa mvua za amwanzo, ambayo ilikuwa ikiilainisha nchi kwa ajili ya kupanda mazao. Ni mwishoni mwa mwezi Septemba na mwanzoni mwa Octoba katika kalenda ya Magharibi.

2 Chronicles 31:9

Kilichokuwa kimebaki ni kiasi kikubwa hiki hapa.

Kuhani mkuu alikuwa akisonta kwenye marundo makubwa.

2 Chronicles 31:14

Kore mwana wa Imna...Edeni, Miniamini, Amaaria, na Shekania

Haya ni majina ya kiume.

Chini yake.

"Chini ya mamlaka yake."

Wote walio muhimu na awsiomuhimu.

"Kila mmoja"

2 Chronicles 31:16

Umri wa miaka mitatu na kuendelea.

"Mika mitatu na zaidi"

Kwa mjibu wa aratiba ya kila siku.

Kama inavyotakiwa kila siku."

2 Chronicles 32

2 Chronicles 32:1

Matendo haya ya uaminifu.

Matendo haya yalifanywa na Hezekia.

2 Chronicles 32:2

Kuyazuia maji ya chemi chemi yaliyokuwa nje ya mji.

Walizifunga chemi chemi amabazo zilikuwa nje ya mji ili kwamba watu wasipate maji.

Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi?

Mfalme wa Ashuru hapaswi kuja na kukuta mengi. Wakalimani wanaweza kusema "mfalme wa Ashuru", kwa sababu hakuna kifunga cha kurejea na kupa masaada wa taarifa za mfalme.

2 Chronicles 32:5

Akajipa ujasiri.

Angalia sura ya 15:8.

Hezekia akajipa ujasiri na kujenga.

"Hezekia alijipa moyo mwenyewe na watu na wakajenga."

Milo.

Hii sehemu ya ukuta amabayo inaushikilia ukuta na kuufanya kuwa imara.

2 Chronicles 32:6

Kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko waliye naye mfalme wa Ashuru

"Kwa maana Mungu wetu yuko nasi, tena ananguvu kuliko wao."

Jeshi la mwili.

"Nguvu za kibinadamu."

2 Chronicles 32:9

Lakishi.

Huu ulikuwa mji katika Yuda.

Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu.

"Hamna uwezo wwa kuhimili uvamizi unaokwenda kutokea katika Yerusalemu."

2 Chronicles 32:11

Je, Hezekia hawapotoshi ninyi ... anapowaaambia, 'Yahwe ...Ashuru'?

"Hezekia anawapotosha ninyi... anapowaamaabia, 'Yahwe atatuoko na mkono wa mfalme wa Ashuru."

Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake ...

"Ni Hezekia yule yule aliyefanya hivyo."

2 Chronicles 32:13

Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya watu wote wa nchi zingine?

"Mnajua vyema sana."

Je, miungu ya watu wa nchi hizo iliweza kwa njia yoyote iliweza kuziokoa nchi zao dhidi ya nguvu zangu?

"Miungu ya makundi ya watu wa nchi hizo kamwe haikuweza kuwaokoa watu wake dhidi ya nguvu zangu!"

Miongni mwa nchi hizo zote, je kulikuwa na miungu iliyoweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu?

"Hapakuwa na muungu kati ya miungo yote ambaye aliweza kuwaokoa!"

Itakuwaje Mungu wenu ninyi aweze kuwaokoa ninyi dhidi ya nguvu zangu?

"Hakuna sababu ya Mungu wenu kuweza kuwaokoa ninyi dhidi ya mkono wangu!"

2 Chronicles 32:18

Ili kuwaogopesha na kuwasumbua.

Virai hivi viwili vina maana ya kitu kimoja na vinasisitiza swala la hofu ("kuwafanya waogope sana.")

Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia.

"Wakamdhihaki Mungu wa Yerusalemu kama walivyokuwa wamewadhihaki miungu wa watu wengine wa Dunia."

2 Chronicles 32:20

Wakalia hadi mbinguni.

"Wakamsihi Mungu."

Uso wa aibu.

"Akiwa ameaibika" au "mwenye aibu."

Nyumba ya muungu wake.

"Hekalu la muungu wake."

2 Chronicles 32:22

Akawapa pumziko katika kila upande

"Mahali hapa "pumziko" linamaana ya "amani". Aliwapa amani pamoja na watu wa nchi zingine jirani.

Mbele za macho ya mataifa yote.

"Kwa hiyo watu wote jirani wakajua"

2 Chronicles 32:24

Moyo wake uliinuliwa juu.

"Akajivuna"

2 Chronicles 32:27

Malisho.

Angalia sura ya 9:25

Pia alikuwa na makundi katika mazizi.

Sehemu ya kuhifadhia kwa ajili ya wanyama wadogo wadogo.

2 Chronicles 32:30

Maji ya Gihoni.

Gihoni ni jina la mahali ampapo palikuwa na chemi chemi za maji

2 Chronicles 32:32

Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi...na katika kitabu cha wa Yuda na Israeli.

Vitabu hivi havipo tena.

Hezekia akalala pamoja na babu zake.

Rejea sura ya 9:29

2 Chronicles 33

2 Chronicles 33:1

Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yahwe.

Rejea sura ya 14:1

Kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambayo Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.

"Kama alivyowatendea watu wengine ambao Yahwe aliwasababisha kupigwa na watu wa Israeli".

2 Chronicles 33:4

Jina langu litawekwa.

"Nitajifanya mwenyewe nijulikane kwa watu"

Akawaweka wanaye katika moto.

"Hiki kilikuwa kitendo cha kuwachoma watoto katika moto kama wakiwa hai kama sadaka kwa miungu"

Bonde la Beni Hinomu

Hii ni sehemu iliyopo karibu na Yerusalemu ambayo pia inajulikana kama Jehena.

2 Chronicles 33:7

Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.

"Watu wa Yuda na Yerusalemu".

2 Chronicles 33:10

Akaleta juu yao.

"Akaleta mavamizi juu yao"

2 Chronicles 33:12

Akaomba kwake; na Mungu akasikia kuoma kwake

"Kirai cha pili kina weka msistizo wa kirai cha kwanza na kinasistiza kuhusu maombi ya Manase. "Alimwomba na kumsihi Mungu."

2 Chronicles 33:14

Maelezo ya jumla .

Manase alikuwa mfalme wa Yuda, ndiye aliyewasababisha watu wa Yuda na Yerusalemu kufanya uovu mbele za macho ya Yahwe.

Miungu ya kigeni.

"Miungu ya uongo kutoka nchi zingine."

2 Chronicles 33:16

Akamwamuru Yuda.

"Aliwaamurisha watu wa Yuda."

2 Chronicles 33:18

Yameandikwa miongoni mwa wafalme wa Yuda.

Tukio hili katika historia ya Israeli halipo tena.

Tarehe ya waonaji.

Hiki ni kitabu ambacho hakipo tena.

Kwa hiyo Manase akalala pamoja na babu zake, na walimzika pamoja nao.

"Kwa hiyo Manase akafa, na familia yake wakamzika".

Amoni.

Hili ni jina la kiume.

2 Chronicles 33:21

Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yahwe.

Angalia sura ya 14:1.

Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi

"Amoni alitenda dhambi zaidi"

2 Chronicles 33:24

Wakapanga njama

"Wakapanga kwa mpngo kwa siri."

2 Chronicles 34

2 Chronicles 34:1

Alifanya yaliyo haki katika macho ya Yahwe,

Angalia sura ya 14:1

Hakugeuka mbali iwe kulia au kushoto.

"Hakusita kumtii Mungu katika hali yoyote", au "alitii amri zote za Mungu"

2 Chronicles 34:4

Hadi zikawa mavumbi.

Hadi zilipokuwa vipande vidogo vidogo sana kiasi cha kuweza kuchukuliwa na upepo".

2 Chronicles 34:6

Kuwa unga.

"Zile sanamu aliziharibu kabisa zikaisha au zikateketea"

2 Chronicles 34:8

Maelezo ya jumla.

Yosia ni jina la mtu mwanamme, huyu alikuwa mfalme.

Wakakabidhi kwake.

"Walimpa yeye jukumu la kusimamia matumizi ya fedha hizo."

2 Chronicles 34:10

Waliziacha zikaanguka

"Waliziruhusu zikaharibika."

2 Chronicles 34:12

Taarifa za jumla.

Haya ni majina ya watu kutoka koo mbali mbali za Kilawi.

Walawi hawa walikuwa viongozi wa wale waliobeba vifaa vya ujenzi na watu wengine wote waliofanya kazi kwa namna yoyote ile.

"Walawi hawa walikuwa wasimamizi au viongozi wa wanaume wote waliokuwa wakifanya aina zote za kazi za ujenzi."

2 Chronicles 34:14

Taarifa za jumla:

Hilkia alikuwa kuhani na Shefank alikuwa mwandishi, yaani mtu aliyekuwa na kazi ya kuandika mambo mbali mbali yamhusuyo Mungu.

Walipoileta fedha ambayo ilikuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe.

"Wasimamizi walipokuwa wanaipokea fedha kwenye hekalu"

Watumishi wak wanafanya kila kitu walichokabidhiwa.

"Kila kitu ambacho uliwapa jukumu la kukifanya"

2 Chronicles 34:17

Waliitoa fedha yote.

"Walikuwa wameikusanya"

Ikawa kwamba.

Kirai hiki ni alama; kina onesha au kuashiria kwamba tukio au jambo linalofuata katika hadithi hii ni muhimu sana; ni sawa na kusema, "Sasa, tambua kinachofuata".

2 Chronicles 34:20

Taarifa za jumla:

Hii ni ordha ya majina ya makuhani na watumishi mbali mbali wa mfalme katika nhyumba ya Mungu kwa wakatai huo.

Mkaulize mapenzi ya Yahwe kwa ajili yangu.

"Maulize ili mjue ambacho Yahwe anataka nifanye".

"Kwa sababu ya maneno ya kitabu"

"Kwa mjibu wa yale yaliyoandikwa katika kitabu"

Kwa maana ni kikuu, gadhabu ya Yahwe ambayo imemiminwa juu yetu. Ni kuu.

Aina ya hisia kama gadhabaau au hasira huzungumzwa kama kimiminika; kwa kuwa gadhabu ya Yahwe dhidi yetu ni kuu, kama vile maji ambayo yanauwezo wa kuosha kabisa na kutufutilia mbali".

2 Chronicles 34:22

Taarifa za jumla:

Hilkia ni miongoni mwa watumishi wa mfalme

Mtunza mavazi.

"Mtu aliyekuwa na kazi ya kutunza mavazi au kanzu za kikuhani"

Walizunguza naye katika namna hii

"Walifanya naye maongezi yafuayo."

2 Chronicles 34:23

Ili kwamba waniweke katika hasira kwa matendo yao waliyofanya.

"Matokeo yake ni kwamba wamenifanya nikasirike sana kwa sababu ya yale waliyofanya"

Kwa hiyo hasira yangu itamiminwa ajuu ya hii sehemu ,na haitazimishwa.

Aina hii ya hisia kama hasira mara zote katika maandiko huzungumzwa kama vile kimiminika; "kwa hiyo itakuwa kama moto unaomiminwa juu yao, na hakuna kitu kitakachoweza kuuzima moto huu"

2 Chronicles 34:26

Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi: kuhusu maneno uliyoyasikia, kwa sababu ya moyo wako ulipondeka.

" Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi kuhusu maneno uliyoyasikia, kwa sababu moyo wako ulipondeka -ukakubali kubadilika".

.Umeyalarua mavazi yako.

Hii ilikuw ishara ya hudhuni na toba.

Nitakukusanya pakwa babu zako. Utakusanywa katika kaburi lako kwa amani.

"Utakufa."

Macho yako hayataona.

"Hautaonja au kusshudia."

2 Chronicles 34:29

Watu wote kuanzia wakubwa hadi wadogo.

"Kila mtu."

Akasoma mbele zao.

"Akawasomea."

2 Chronicles 34:31

Akisimama katika sehemu yake.

Akasimama mahali alipopaswa kusimama kwe lango la kuingia hekaluni"

Kwa moyo wake wote na roho yake yote.

Kwa pamoja, maneno haya mawili yanatoa maana inayohusu utu mzma wa mtu au utu wote wa mtu.

Wote walioonekana katika Yerusalemu na Benyamini.

"Wote waliokuwa wakiishi katika Yerusalemu na Benyamini."

2 Chronicles 34:33

Mambo yote ya machukizo

Hii ilikuwa ni miungu ambayo ilileta machukizo mbele za Mungu.

2 Chronicles 35

2 Chronicles 35:1

Siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.

Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Mwezi wa kumi na nne uko karibu ya ya mwanzo wa mwezi Apirl katika kalenda ya maghari.

Akawaweka makuhani katika nafasi zao.

"Aliwaambia makuhani kuhusu kazi za kufanya".

2 Chronicles 35:3

Ambayo Selemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli aliijenga.

"Watu waliijenga nyumba hiyo chini ya uongozi wa Mfalme wa Selemani"

Kwa majina ya nyumba za mababu zenu na zamu zenu.

"Kabila zenu na familia zenu"

2 Chronicles 35:5

Simameni katika sehemu takatifu.

Hapa "sehemu takatifu" zinaonekana kutaja maeneo mbali mbali ya hekalu. "kaeni katika zamu zenu katika hekalu"

Zamu zenu.

Hii inataja kundi la kazi lililopangwa kwa kila Mlawi.

Nyumba za mababu.

Hizi ni koo mbali mbali miongoni mwa Walawi. Inaonekana kwamba Walawi walikuwa wamepangiwa makundi ya kazi mbali mbali kwa kuzingatia aina ya kazi iliyokuwa imepangwa kwa kila ukoo au nyumba ya mababu.

2 Chronicles 35:7

Taarifa za jumla:

Yosia ni jina la mwanaume aliyekuwa mfalme. Majina mengine katika kifungu hiki ya wanaume mbali mbali ambao walikuwa viongozi au wasimamizi katika nyumba ya Yahwe, pia kuna majina ya watu wengine kama makuhani kutoka kabila la Lawi.

Wanambuzi.

Huyu ni mtoto wa mbuzi.

2 Chronicles 35:10

Huduma iliandaliwa.

"Walitayarisha kila kitu kwa ajili ya kuifanya Pasaka"

Damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi.

"Damu ambayo Walawi waliwapa."

2 Chronicles 35:13

Wakawaoka kwa moto.

"Waliwapika"

Walizichemsha kwenye vyungu, masufuria, na makaangoni kwa ajili yao wenyewe.

"Waliwapika kataika maji katika vyungu mbali mbali."

2 Chronicles 35:15

Taarifa za jumla:

Haya ni majina ya wanaume ambao walikuwa na huduma au kazi maalumu kama vile ukuhani na unabii.

Katika nafasi zao.

Angalia sura ya 30:16.

2 Chronicles 35:16

Huduma yote.

Kila kitu kilichohusiana na maandalizi ya sadaka na ibada ya Yahwe wakati wa pasaka yanaweza kuwa na maana ya huduma ya ibada.

2 Chronicles 35:18

Israeli

Maana ya kwanza ya neno Israeli lina wakilisha taifa zima la Israeli, lakini maana ya pili ya neno hili Israeli linataja au linawakilisha makabila ya kaskazini ya ufalme wa Israeli.

2 Chronicles 35:20

Taarifa za jumla:

Neko alikuwa mfalme wa Misri na alichukuwa uamuzi wa kwenda kupigana vita na Yosia , mfalme wa Yuda.

Kuliweka hekalu katika utaratibu.

"Alirejesha ibada yenye utaratibu mzuri katika hekalu"

Nikufanye nini, mfaalme wa Yuda?

"Huna sababu ya kunivamia mimi wewe Mfalme wa Yuda".

Mimi iiji kinyume nawe.

"Mimi ssipigani wala kupingana na ufalme wako".

Lakini dhidi ya nyumba ambayo nafanya vita nayo.

"Dhidi ya Babeli. dhidi ya ya wale ninaofanya vita nao".

2 Chronicles 35:22

Apigane naye.

"Apigane na jeshi la Wababeli"

Ambayo yalikuja kutoka kwenye kinywa cha Mungu.

"Kutoka kwa Mungu" au ambayo Mungu alikuwa amemwambia"

2 Chronicles 35:25

Hata leo

Angaalia sura ya 5:9

2 Chronicles 36

2 Chronicles 36:1

Yehoazi.

Huyu alikuwa mwana wa kiume wa mfalme Yosia, watu walimchukua na kumfanya mfalme

2 Chronicles 36:3

Taarifa za jumla

Eliakimu alikuwa ndugu wa mfalme wa Misri na ndiye alifanywa kuwa mfalme wa Yuda.

Talanta.

Fedha ya zamani (talanta moja ilikuwa sawa na vito vya thamani vyenye uzito upatao kilo 33.

Kumpeleka Misri.

"Akampeleka Misiri kama mfungwa".

2 Chronicles 36:5

Akafanya ambayo yalikuwa maovu katika macho ya Yahwe.

Angalia sura ya 21:6

Akamvamia.

Nebukadreza aliuvamia Yerusalemu.

Nebukadreza pia akpeleka baadhi ya vitu.

Watumishi wa Nebukadreza walichukua vitu katika nyumba ya Yahwe na kuvipeleka Babeli.

2 Chronicles 36:8

Mambo mabaya ambayo aliyafanaya.

Kwa kawaida hii ina maana aya kuabudu miungu ya uongo, ambayo Yahwe aliichukia.

Yaliyopatikana dhidi yake.

Hii inaweza kuwa inataja au kuelezea tabia yake

Kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.

Angalia suya ya 35:2

2 Chronicles 36:9

Akafanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe.

Angalia sura ya 14:1

2 Chronicles 36:11

Hakujinyenyekesha mwenyewe mbele za Yeremia nabii.

"Hakujinyenyekesha mwenyewe na kumtii Mungu kwa kumsikiliza nabii Yeremia "

Kutoka kwenye kinywa cha Yahwe.

"Kutoka kwenye maneno ambayo Mungu alikuwa amempa."

2 Chronicles 36:13

Aliishupaza shingo yake na kuufanya moyo wake mgumu.

Haya ni maneno mawili yanayotoa namna mbili za kuutaja usumbufu au ugumu wa moyo wa mtu. Kwa pamoja yanasisitiza uasi wa Sedekia dhidi ya Mungu.

Waliigoshi nyumba ya Yahwe.

"Walikitia unajisi kile ambacho kilipaswa kuwa kitakatifu"

2 Chronicles 36:15

Tena na tena

"Nyakati nyingi"

Palikosekana msaada.

Hapakuwa na namna ya kuizuia hasira ya Yahwe.

2 Chronicles 36:17

Mungu akawatoa wote mkononi mwake.

"Mungu akaruhusu jeshi la Wakaldayo kuwashida au kuwapiga"

2 Chronicles 36:18

Akavipeleka.

Askari wake walivichukua vyombo

Wakaichoma moto

"Wakaichoma" inawataja askari wa Kibabeli.

2 Chronicles 36:20

Mfalme akawapeleka.

"Askari wa mfalme waliwachukua"

2 Chronicles 36:22

Katika mwaka wa kwanza

Katika mwaka wa kwanza (1)

Ameniagiza nijenge nyumba

"Amenichagua ili niwaamuru watumishi wangu wamjengee hekalu katika Yerusalemu"